Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2148_swa
Kinywa na Mkono Hapo zamani, kulikuwa na marafiki wawili, Kinywa na Mkono. Waliishi kijijini kama ndugu kila mmoja na mkewe. Baada ya muda mfupi, mke wa Kinywa alifariki. Kinywa alimwomba rafiki yake vifaa ili amzike mke wake. Kinywa aliporudi nyumbani, aligundua kwamba alikuwa amelipoteza panga la Mkono. Alienda kuomba msamaha ila Mkono hakutaka kusikia maelezo yoyote. Mkono alimlazimisha Kinywa amrudishie panga lake na lisiwe jingine bali lile alilokuwa amemuazima. Kinywa hakuwa na la kufanya. Aliamua kurudi alipomzika mkewe ili alitafute panga hilo. Alitafuta kila mahali lakini, hakulipata. Mwishowe, aliamua kuchimbua kaburi ili angalie. La kushangaza ni kuwa hata mwili wa mkewe haukuwepo tena kaburini. Kwa huzuni, Kinywa alirudi nyumbani. Alipokaribia kufika, alimwona mbwa akiwa na panga hilo. Wakati huo, aliisikia sauti ya mkewe ikisema, "Huyu ni mtumishi wako." Kinywa alilichukua panga lile akamrudishia Mkono. Yeye akabaki na mbwa yule. Kinywa aliishi na mbwa yule akimsaidia kuwinda. Siku moja aliacha kumwita mbwa na kuanza kumwita Mtumishi. Waliishi kwa furaha hadi urafiki baina ya Kinywa na Mkono uliporudi kuwa kama ulivyokuwa mbeleni. Baadaye, Mkono alitamani kula nyama, lakini hakuwa na mbwa wa kumwindia. Alikwenda kuomba mbwa wa Kinywa. Kinywa hakusita kumpatia Mtumishi wake. Lakini alimwambia asimwite mbwa bali amwite Mtumishi. Mkono alienda na Mtumishi popote alipotaka. Kila alichomtaka afanye, alifanya. Allimtuma porini kuwinda. Mkono alimfurahia Mtumishi sana. Siku moja walipokuwa porini, Mtumishi alipotea. Kinywa alianza kumwita, "Mtumishi! Mtumishi! Uko wapi?" Alipochoka, alisema kwa hasira, "Mbwa huyu ni gaidi sana." Wakati huo Mtumishi alitokea na kusema, "Umeniita mbwa! Naenda zangu." Alitoroka. Mkono alirudi nyumbani bila Mtumishi. Alienda kwa rafikiye Kinywa kumpasha habari ya kupotea kwa Mtumishi. Kinywa hakufurahia ujumbe huo. Alimlazimisha Mkono kumrudishia Mtumishi wake. Mkono hakufaulu kufanya hivyo. Tangu siku hiyo hadi leo, mkono ni mtumishi wa kinywa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kinywa na Mkono Author - Espoir Ntinda Illustration - Espoir Ntinda Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mtumishi yupi alimpa Kinywa panga ya rafikiye?
{ "text": [ "Mbwa" ] }
2148_swa
Kinywa na Mkono Hapo zamani, kulikuwa na marafiki wawili, Kinywa na Mkono. Waliishi kijijini kama ndugu kila mmoja na mkewe. Baada ya muda mfupi, mke wa Kinywa alifariki. Kinywa alimwomba rafiki yake vifaa ili amzike mke wake. Kinywa aliporudi nyumbani, aligundua kwamba alikuwa amelipoteza panga la Mkono. Alienda kuomba msamaha ila Mkono hakutaka kusikia maelezo yoyote. Mkono alimlazimisha Kinywa amrudishie panga lake na lisiwe jingine bali lile alilokuwa amemuazima. Kinywa hakuwa na la kufanya. Aliamua kurudi alipomzika mkewe ili alitafute panga hilo. Alitafuta kila mahali lakini, hakulipata. Mwishowe, aliamua kuchimbua kaburi ili angalie. La kushangaza ni kuwa hata mwili wa mkewe haukuwepo tena kaburini. Kwa huzuni, Kinywa alirudi nyumbani. Alipokaribia kufika, alimwona mbwa akiwa na panga hilo. Wakati huo, aliisikia sauti ya mkewe ikisema, "Huyu ni mtumishi wako." Kinywa alilichukua panga lile akamrudishia Mkono. Yeye akabaki na mbwa yule. Kinywa aliishi na mbwa yule akimsaidia kuwinda. Siku moja aliacha kumwita mbwa na kuanza kumwita Mtumishi. Waliishi kwa furaha hadi urafiki baina ya Kinywa na Mkono uliporudi kuwa kama ulivyokuwa mbeleni. Baadaye, Mkono alitamani kula nyama, lakini hakuwa na mbwa wa kumwindia. Alikwenda kuomba mbwa wa Kinywa. Kinywa hakusita kumpatia Mtumishi wake. Lakini alimwambia asimwite mbwa bali amwite Mtumishi. Mkono alienda na Mtumishi popote alipotaka. Kila alichomtaka afanye, alifanya. Allimtuma porini kuwinda. Mkono alimfurahia Mtumishi sana. Siku moja walipokuwa porini, Mtumishi alipotea. Kinywa alianza kumwita, "Mtumishi! Mtumishi! Uko wapi?" Alipochoka, alisema kwa hasira, "Mbwa huyu ni gaidi sana." Wakati huo Mtumishi alitokea na kusema, "Umeniita mbwa! Naenda zangu." Alitoroka. Mkono alirudi nyumbani bila Mtumishi. Alienda kwa rafikiye Kinywa kumpasha habari ya kupotea kwa Mtumishi. Kinywa hakufurahia ujumbe huo. Alimlazimisha Mkono kumrudishia Mtumishi wake. Mkono hakufaulu kufanya hivyo. Tangu siku hiyo hadi leo, mkono ni mtumishi wa kinywa. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kinywa na Mkono Author - Espoir Ntinda Illustration - Espoir Ntinda Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kinywa alipoteza kifaa kipi cha rafikiye?
{ "text": [ "Panga alichoazimwa kwa matumizi yake" ] }
2150_swa
Kisirusiru mjinga Hapo zamani za kale, kulikuwa na mkulima na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja pekee mvulana aliyeitwa Kisirusiru. Kisirusiru alipompeleka mbuzi malishoni, mbuzi alirarua shati lake. Mamake alimtuma sokoni kununua sindano aweze kushona shati lake. Kisirusiru aliiweka sindano kwenye mfuko wa shati lake. Njiani, Kisirusiru alijiunga na wavulana waliokuwa wakicheza mpira. Sindano ilipotea. Alipofika nyumbani, alisema, "Samahani mama, nimepoteza sindano njiani." "Mwanangu, wakati mwingine, idunge sindano kwenye karatasi kisha uiweke mfukoni," mamake alieleza. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Kisirusiru alichukua chungu kwenda mtoni. Alikifungia chungu ndani ya kipande cha karatasi. Alipokuwa njiani, karatasi iliraruka, chungu kikaanguka chini na kuvunjika vigae vigae. Maji yote yalimwagika. Alipofika nyumbani, Kisirusiru alimweleza mamake, "Samahani mama, chungu kimeanguka na kuvunjika." "Mwanangu, wakati mwingine, kibebe chungu kichwani," mama alishauri. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Siku iliyofuata, babake alimtuma Kisirusiru ampeleke mbuzi malishoni. Kisirusiru alimbeba mbuzi kichwani. Mbuzi alimpiga mateke na kumkwaruza kichwa hadi damu ikamtiririka usoni. Babake alikereka akamwuliza, "Utaacha ujinga wako lini? Mbuzi hufungwa na kuvutwa kwa kamba! Usipokuwa mwerevu, utahama hapa nyumbani." Siku iliyofuata, babake alimtuma akanunue nyama sokoni. Kisirusiru alikumbuka alivyoambiwa na babake. Aliifunga nyama kwa kamba akaivuta kuelekea nyumbani. Alikimbia ili babake asisubiri kwa muda mrefu. Hebu fikiria, nyama hiyo ilikuwaje alipowasili nyumbani? Babake alikasirika mno akamwambia afunganye virago vyake ahame nyumbani. Mamake aliposikia hivyo, aliamua kuondoka pamoja na mtoto wake. Waliung'oa mlango wa jikoni wakaubeba ili wawe na kitu cha kuanzia ujenzi wa nyumba yao mpya. Walitembea kwa muda mrefu. Lakini, hawakufanikiwa kupata mahali pa kujenga nyumba yao mpya. Giza lilipoingia, waliamua kukwea mti na kulala pale. Kisirusiru na mamake waliamua kukaa juu ya mti. Walikuwa wakiuvuta mlango juu waliposikia makelele chini. Waliwaona wavulana watatu waliobeba magunia makubwa. Waliuachilia mlango ukaanguka kwa kishindo. Kishindo kiliwaogofya wavulana wale wakaacha kila kitu na kutoroka. Kisirusiru na mamake walishuka chini, wakayafungua yale magunia. Humo walipata pesa, nguo, mablanketi, na kila kitu walichohitaji kuanzisha nyumba yao. Punde, walipata pahali pa kujenga nyumba. Waliishi kwa furaha tangu siku hiyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kisirusiru, mjinga Author - Cissy Kiwanuka Luyiga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mtoto wa mkulima na mkewe aliitwa nani
{ "text": [ "Kisirusiru" ] }
2150_swa
Kisirusiru mjinga Hapo zamani za kale, kulikuwa na mkulima na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja pekee mvulana aliyeitwa Kisirusiru. Kisirusiru alipompeleka mbuzi malishoni, mbuzi alirarua shati lake. Mamake alimtuma sokoni kununua sindano aweze kushona shati lake. Kisirusiru aliiweka sindano kwenye mfuko wa shati lake. Njiani, Kisirusiru alijiunga na wavulana waliokuwa wakicheza mpira. Sindano ilipotea. Alipofika nyumbani, alisema, "Samahani mama, nimepoteza sindano njiani." "Mwanangu, wakati mwingine, idunge sindano kwenye karatasi kisha uiweke mfukoni," mamake alieleza. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Kisirusiru alichukua chungu kwenda mtoni. Alikifungia chungu ndani ya kipande cha karatasi. Alipokuwa njiani, karatasi iliraruka, chungu kikaanguka chini na kuvunjika vigae vigae. Maji yote yalimwagika. Alipofika nyumbani, Kisirusiru alimweleza mamake, "Samahani mama, chungu kimeanguka na kuvunjika." "Mwanangu, wakati mwingine, kibebe chungu kichwani," mama alishauri. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Siku iliyofuata, babake alimtuma Kisirusiru ampeleke mbuzi malishoni. Kisirusiru alimbeba mbuzi kichwani. Mbuzi alimpiga mateke na kumkwaruza kichwa hadi damu ikamtiririka usoni. Babake alikereka akamwuliza, "Utaacha ujinga wako lini? Mbuzi hufungwa na kuvutwa kwa kamba! Usipokuwa mwerevu, utahama hapa nyumbani." Siku iliyofuata, babake alimtuma akanunue nyama sokoni. Kisirusiru alikumbuka alivyoambiwa na babake. Aliifunga nyama kwa kamba akaivuta kuelekea nyumbani. Alikimbia ili babake asisubiri kwa muda mrefu. Hebu fikiria, nyama hiyo ilikuwaje alipowasili nyumbani? Babake alikasirika mno akamwambia afunganye virago vyake ahame nyumbani. Mamake aliposikia hivyo, aliamua kuondoka pamoja na mtoto wake. Waliung'oa mlango wa jikoni wakaubeba ili wawe na kitu cha kuanzia ujenzi wa nyumba yao mpya. Walitembea kwa muda mrefu. Lakini, hawakufanikiwa kupata mahali pa kujenga nyumba yao mpya. Giza lilipoingia, waliamua kukwea mti na kulala pale. Kisirusiru na mamake waliamua kukaa juu ya mti. Walikuwa wakiuvuta mlango juu waliposikia makelele chini. Waliwaona wavulana watatu waliobeba magunia makubwa. Waliuachilia mlango ukaanguka kwa kishindo. Kishindo kiliwaogofya wavulana wale wakaacha kila kitu na kutoroka. Kisirusiru na mamake walishuka chini, wakayafungua yale magunia. Humo walipata pesa, nguo, mablanketi, na kila kitu walichohitaji kuanzisha nyumba yao. Punde, walipata pahali pa kujenga nyumba. Waliishi kwa furaha tangu siku hiyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kisirusiru, mjinga Author - Cissy Kiwanuka Luyiga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mama alimtuma kununua sindano wapi
{ "text": [ "sokoni" ] }
2150_swa
Kisirusiru mjinga Hapo zamani za kale, kulikuwa na mkulima na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja pekee mvulana aliyeitwa Kisirusiru. Kisirusiru alipompeleka mbuzi malishoni, mbuzi alirarua shati lake. Mamake alimtuma sokoni kununua sindano aweze kushona shati lake. Kisirusiru aliiweka sindano kwenye mfuko wa shati lake. Njiani, Kisirusiru alijiunga na wavulana waliokuwa wakicheza mpira. Sindano ilipotea. Alipofika nyumbani, alisema, "Samahani mama, nimepoteza sindano njiani." "Mwanangu, wakati mwingine, idunge sindano kwenye karatasi kisha uiweke mfukoni," mamake alieleza. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Kisirusiru alichukua chungu kwenda mtoni. Alikifungia chungu ndani ya kipande cha karatasi. Alipokuwa njiani, karatasi iliraruka, chungu kikaanguka chini na kuvunjika vigae vigae. Maji yote yalimwagika. Alipofika nyumbani, Kisirusiru alimweleza mamake, "Samahani mama, chungu kimeanguka na kuvunjika." "Mwanangu, wakati mwingine, kibebe chungu kichwani," mama alishauri. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Siku iliyofuata, babake alimtuma Kisirusiru ampeleke mbuzi malishoni. Kisirusiru alimbeba mbuzi kichwani. Mbuzi alimpiga mateke na kumkwaruza kichwa hadi damu ikamtiririka usoni. Babake alikereka akamwuliza, "Utaacha ujinga wako lini? Mbuzi hufungwa na kuvutwa kwa kamba! Usipokuwa mwerevu, utahama hapa nyumbani." Siku iliyofuata, babake alimtuma akanunue nyama sokoni. Kisirusiru alikumbuka alivyoambiwa na babake. Aliifunga nyama kwa kamba akaivuta kuelekea nyumbani. Alikimbia ili babake asisubiri kwa muda mrefu. Hebu fikiria, nyama hiyo ilikuwaje alipowasili nyumbani? Babake alikasirika mno akamwambia afunganye virago vyake ahame nyumbani. Mamake aliposikia hivyo, aliamua kuondoka pamoja na mtoto wake. Waliung'oa mlango wa jikoni wakaubeba ili wawe na kitu cha kuanzia ujenzi wa nyumba yao mpya. Walitembea kwa muda mrefu. Lakini, hawakufanikiwa kupata mahali pa kujenga nyumba yao mpya. Giza lilipoingia, waliamua kukwea mti na kulala pale. Kisirusiru na mamake waliamua kukaa juu ya mti. Walikuwa wakiuvuta mlango juu waliposikia makelele chini. Waliwaona wavulana watatu waliobeba magunia makubwa. Waliuachilia mlango ukaanguka kwa kishindo. Kishindo kiliwaogofya wavulana wale wakaacha kila kitu na kutoroka. Kisirusiru na mamake walishuka chini, wakayafungua yale magunia. Humo walipata pesa, nguo, mablanketi, na kila kitu walichohitaji kuanzisha nyumba yao. Punde, walipata pahali pa kujenga nyumba. Waliishi kwa furaha tangu siku hiyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kisirusiru, mjinga Author - Cissy Kiwanuka Luyiga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbuzi hufungwa na kuvutwa kwa kutumia nini
{ "text": [ "kamba" ] }
2150_swa
Kisirusiru mjinga Hapo zamani za kale, kulikuwa na mkulima na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja pekee mvulana aliyeitwa Kisirusiru. Kisirusiru alipompeleka mbuzi malishoni, mbuzi alirarua shati lake. Mamake alimtuma sokoni kununua sindano aweze kushona shati lake. Kisirusiru aliiweka sindano kwenye mfuko wa shati lake. Njiani, Kisirusiru alijiunga na wavulana waliokuwa wakicheza mpira. Sindano ilipotea. Alipofika nyumbani, alisema, "Samahani mama, nimepoteza sindano njiani." "Mwanangu, wakati mwingine, idunge sindano kwenye karatasi kisha uiweke mfukoni," mamake alieleza. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Kisirusiru alichukua chungu kwenda mtoni. Alikifungia chungu ndani ya kipande cha karatasi. Alipokuwa njiani, karatasi iliraruka, chungu kikaanguka chini na kuvunjika vigae vigae. Maji yote yalimwagika. Alipofika nyumbani, Kisirusiru alimweleza mamake, "Samahani mama, chungu kimeanguka na kuvunjika." "Mwanangu, wakati mwingine, kibebe chungu kichwani," mama alishauri. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Siku iliyofuata, babake alimtuma Kisirusiru ampeleke mbuzi malishoni. Kisirusiru alimbeba mbuzi kichwani. Mbuzi alimpiga mateke na kumkwaruza kichwa hadi damu ikamtiririka usoni. Babake alikereka akamwuliza, "Utaacha ujinga wako lini? Mbuzi hufungwa na kuvutwa kwa kamba! Usipokuwa mwerevu, utahama hapa nyumbani." Siku iliyofuata, babake alimtuma akanunue nyama sokoni. Kisirusiru alikumbuka alivyoambiwa na babake. Aliifunga nyama kwa kamba akaivuta kuelekea nyumbani. Alikimbia ili babake asisubiri kwa muda mrefu. Hebu fikiria, nyama hiyo ilikuwaje alipowasili nyumbani? Babake alikasirika mno akamwambia afunganye virago vyake ahame nyumbani. Mamake aliposikia hivyo, aliamua kuondoka pamoja na mtoto wake. Waliung'oa mlango wa jikoni wakaubeba ili wawe na kitu cha kuanzia ujenzi wa nyumba yao mpya. Walitembea kwa muda mrefu. Lakini, hawakufanikiwa kupata mahali pa kujenga nyumba yao mpya. Giza lilipoingia, waliamua kukwea mti na kulala pale. Kisirusiru na mamake waliamua kukaa juu ya mti. Walikuwa wakiuvuta mlango juu waliposikia makelele chini. Waliwaona wavulana watatu waliobeba magunia makubwa. Waliuachilia mlango ukaanguka kwa kishindo. Kishindo kiliwaogofya wavulana wale wakaacha kila kitu na kutoroka. Kisirusiru na mamake walishuka chini, wakayafungua yale magunia. Humo walipata pesa, nguo, mablanketi, na kila kitu walichohitaji kuanzisha nyumba yao. Punde, walipata pahali pa kujenga nyumba. Waliishi kwa furaha tangu siku hiyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kisirusiru, mjinga Author - Cissy Kiwanuka Luyiga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kisirusiru waliishije baada ya kujenga nyumba
{ "text": [ "kwa furaha" ] }
2150_swa
Kisirusiru mjinga Hapo zamani za kale, kulikuwa na mkulima na mkewe. Walikuwa na mtoto mmoja pekee mvulana aliyeitwa Kisirusiru. Kisirusiru alipompeleka mbuzi malishoni, mbuzi alirarua shati lake. Mamake alimtuma sokoni kununua sindano aweze kushona shati lake. Kisirusiru aliiweka sindano kwenye mfuko wa shati lake. Njiani, Kisirusiru alijiunga na wavulana waliokuwa wakicheza mpira. Sindano ilipotea. Alipofika nyumbani, alisema, "Samahani mama, nimepoteza sindano njiani." "Mwanangu, wakati mwingine, idunge sindano kwenye karatasi kisha uiweke mfukoni," mamake alieleza. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Kisirusiru alichukua chungu kwenda mtoni. Alikifungia chungu ndani ya kipande cha karatasi. Alipokuwa njiani, karatasi iliraruka, chungu kikaanguka chini na kuvunjika vigae vigae. Maji yote yalimwagika. Alipofika nyumbani, Kisirusiru alimweleza mamake, "Samahani mama, chungu kimeanguka na kuvunjika." "Mwanangu, wakati mwingine, kibebe chungu kichwani," mama alishauri. "Ndiyo mama, nimeelewa," Kisirusiru alijibu. Siku iliyofuata, babake alimtuma Kisirusiru ampeleke mbuzi malishoni. Kisirusiru alimbeba mbuzi kichwani. Mbuzi alimpiga mateke na kumkwaruza kichwa hadi damu ikamtiririka usoni. Babake alikereka akamwuliza, "Utaacha ujinga wako lini? Mbuzi hufungwa na kuvutwa kwa kamba! Usipokuwa mwerevu, utahama hapa nyumbani." Siku iliyofuata, babake alimtuma akanunue nyama sokoni. Kisirusiru alikumbuka alivyoambiwa na babake. Aliifunga nyama kwa kamba akaivuta kuelekea nyumbani. Alikimbia ili babake asisubiri kwa muda mrefu. Hebu fikiria, nyama hiyo ilikuwaje alipowasili nyumbani? Babake alikasirika mno akamwambia afunganye virago vyake ahame nyumbani. Mamake aliposikia hivyo, aliamua kuondoka pamoja na mtoto wake. Waliung'oa mlango wa jikoni wakaubeba ili wawe na kitu cha kuanzia ujenzi wa nyumba yao mpya. Walitembea kwa muda mrefu. Lakini, hawakufanikiwa kupata mahali pa kujenga nyumba yao mpya. Giza lilipoingia, waliamua kukwea mti na kulala pale. Kisirusiru na mamake waliamua kukaa juu ya mti. Walikuwa wakiuvuta mlango juu waliposikia makelele chini. Waliwaona wavulana watatu waliobeba magunia makubwa. Waliuachilia mlango ukaanguka kwa kishindo. Kishindo kiliwaogofya wavulana wale wakaacha kila kitu na kutoroka. Kisirusiru na mamake walishuka chini, wakayafungua yale magunia. Humo walipata pesa, nguo, mablanketi, na kila kitu walichohitaji kuanzisha nyumba yao. Punde, walipata pahali pa kujenga nyumba. Waliishi kwa furaha tangu siku hiyo. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kisirusiru, mjinga Author - Cissy Kiwanuka Luyiga Translation - Brigid Simiyu Illustration - Catherine Groenewald Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona wavulana wale waliacha kila kitu na kuondoka
{ "text": [ "kishindo kiliwaogofya" ] }
2152_swa
Kima apoteza mkia wake Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima. Walishiriki mambo mengi pamoja. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali bila kujua yaliyomsubiri! Walienda katika shamba la wenyewe na kuanza kula mahindi. Sungura alikuwa na njama ya kumtendea Kima uovu. Sungura alimwonea Kima wivu kwa kuwa na mkia mrefu. Alikuwa amewaeleza wenye shamba, "Kima atakuja kula mahindi yenu leo. Mfunze adabu!" Walipokuwa wakila mahindi, Sungura alijificha na kupiga kelele akisema, "Mwizi! Mwizi! Mahindi yenu yanaliwa yote!" Kisha akatoroka na kwenda zake. Kima hakujua kilichokuwa kikiendelea. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Hata hivyo, mkia wake mrefu ulimzuia kwenda haraka. Walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Umetumalizia mahindi yetu." Walimshika na kuanza kumpiga. Kima alijaribu kuponyoka na kutoroka tena lakini hakuweza. Kima hakuweza kuvumilia kichapo. Aliwasihi waache kumchapa ili awaeleze mambo yalivyokuwa. "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika," alilia. Hata hivyo, wenyewe hawakumsikiza. Mmoja alitoa panga na kusema, "Leo ni leo! Utashika adabu!" Aliukata mkia wake. Sungura alishuhudia kila kitu kutoka alikojificha. Wenye shamba waliondoka na kwenda zao. Kima alipokimbilia usalama wake, Sungura aliuchukua mkia wa Kima na kwenda kuupika. "Nitamwalika Kima kwa chakula cha mchana," alitabasamu. Baada ya mlo, Kima alisema, "Asante rafiki yangu kwa kuandaa chakula kitamu." Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokuwa amekula. Bila kujua, Kima alijibu, "La, sijui!" Sungura alisema, "Hicho kitoweo kitamu ulichokula, kilikuwa mkia wako." Baada ya kusema hivyo, alitoroka. Na kutoka siku hiyo walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima apoteza mkia wake Author - Mozambican folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa rafiki mkubwa wa kima
{ "text": [ "Sungura" ] }
2152_swa
Kima apoteza mkia wake Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima. Walishiriki mambo mengi pamoja. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali bila kujua yaliyomsubiri! Walienda katika shamba la wenyewe na kuanza kula mahindi. Sungura alikuwa na njama ya kumtendea Kima uovu. Sungura alimwonea Kima wivu kwa kuwa na mkia mrefu. Alikuwa amewaeleza wenye shamba, "Kima atakuja kula mahindi yenu leo. Mfunze adabu!" Walipokuwa wakila mahindi, Sungura alijificha na kupiga kelele akisema, "Mwizi! Mwizi! Mahindi yenu yanaliwa yote!" Kisha akatoroka na kwenda zake. Kima hakujua kilichokuwa kikiendelea. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Hata hivyo, mkia wake mrefu ulimzuia kwenda haraka. Walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Umetumalizia mahindi yetu." Walimshika na kuanza kumpiga. Kima alijaribu kuponyoka na kutoroka tena lakini hakuweza. Kima hakuweza kuvumilia kichapo. Aliwasihi waache kumchapa ili awaeleze mambo yalivyokuwa. "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika," alilia. Hata hivyo, wenyewe hawakumsikiza. Mmoja alitoa panga na kusema, "Leo ni leo! Utashika adabu!" Aliukata mkia wake. Sungura alishuhudia kila kitu kutoka alikojificha. Wenye shamba waliondoka na kwenda zao. Kima alipokimbilia usalama wake, Sungura aliuchukua mkia wa Kima na kwenda kuupika. "Nitamwalika Kima kwa chakula cha mchana," alitabasamu. Baada ya mlo, Kima alisema, "Asante rafiki yangu kwa kuandaa chakula kitamu." Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokuwa amekula. Bila kujua, Kima alijibu, "La, sijui!" Sungura alisema, "Hicho kitoweo kitamu ulichokula, kilikuwa mkia wako." Baada ya kusema hivyo, alitoroka. Na kutoka siku hiyo walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima apoteza mkia wake Author - Mozambican folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Walishiriki nini pamoja
{ "text": [ "Mambo mengi" ] }
2152_swa
Kima apoteza mkia wake Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima. Walishiriki mambo mengi pamoja. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali bila kujua yaliyomsubiri! Walienda katika shamba la wenyewe na kuanza kula mahindi. Sungura alikuwa na njama ya kumtendea Kima uovu. Sungura alimwonea Kima wivu kwa kuwa na mkia mrefu. Alikuwa amewaeleza wenye shamba, "Kima atakuja kula mahindi yenu leo. Mfunze adabu!" Walipokuwa wakila mahindi, Sungura alijificha na kupiga kelele akisema, "Mwizi! Mwizi! Mahindi yenu yanaliwa yote!" Kisha akatoroka na kwenda zake. Kima hakujua kilichokuwa kikiendelea. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Hata hivyo, mkia wake mrefu ulimzuia kwenda haraka. Walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Umetumalizia mahindi yetu." Walimshika na kuanza kumpiga. Kima alijaribu kuponyoka na kutoroka tena lakini hakuweza. Kima hakuweza kuvumilia kichapo. Aliwasihi waache kumchapa ili awaeleze mambo yalivyokuwa. "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika," alilia. Hata hivyo, wenyewe hawakumsikiza. Mmoja alitoa panga na kusema, "Leo ni leo! Utashika adabu!" Aliukata mkia wake. Sungura alishuhudia kila kitu kutoka alikojificha. Wenye shamba waliondoka na kwenda zao. Kima alipokimbilia usalama wake, Sungura aliuchukua mkia wa Kima na kwenda kuupika. "Nitamwalika Kima kwa chakula cha mchana," alitabasamu. Baada ya mlo, Kima alisema, "Asante rafiki yangu kwa kuandaa chakula kitamu." Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokuwa amekula. Bila kujua, Kima alijibu, "La, sijui!" Sungura alisema, "Hicho kitoweo kitamu ulichokula, kilikuwa mkia wako." Baada ya kusema hivyo, alitoroka. Na kutoka siku hiyo walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima apoteza mkia wake Author - Mozambican folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura alikuwa na njama ya kufanya nini
{ "text": [ "kumtendea kima uovu" ] }
2152_swa
Kima apoteza mkia wake Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima. Walishiriki mambo mengi pamoja. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali bila kujua yaliyomsubiri! Walienda katika shamba la wenyewe na kuanza kula mahindi. Sungura alikuwa na njama ya kumtendea Kima uovu. Sungura alimwonea Kima wivu kwa kuwa na mkia mrefu. Alikuwa amewaeleza wenye shamba, "Kima atakuja kula mahindi yenu leo. Mfunze adabu!" Walipokuwa wakila mahindi, Sungura alijificha na kupiga kelele akisema, "Mwizi! Mwizi! Mahindi yenu yanaliwa yote!" Kisha akatoroka na kwenda zake. Kima hakujua kilichokuwa kikiendelea. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Hata hivyo, mkia wake mrefu ulimzuia kwenda haraka. Walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Umetumalizia mahindi yetu." Walimshika na kuanza kumpiga. Kima alijaribu kuponyoka na kutoroka tena lakini hakuweza. Kima hakuweza kuvumilia kichapo. Aliwasihi waache kumchapa ili awaeleze mambo yalivyokuwa. "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika," alilia. Hata hivyo, wenyewe hawakumsikiza. Mmoja alitoa panga na kusema, "Leo ni leo! Utashika adabu!" Aliukata mkia wake. Sungura alishuhudia kila kitu kutoka alikojificha. Wenye shamba waliondoka na kwenda zao. Kima alipokimbilia usalama wake, Sungura aliuchukua mkia wa Kima na kwenda kuupika. "Nitamwalika Kima kwa chakula cha mchana," alitabasamu. Baada ya mlo, Kima alisema, "Asante rafiki yangu kwa kuandaa chakula kitamu." Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokuwa amekula. Bila kujua, Kima alijibu, "La, sijui!" Sungura alisema, "Hicho kitoweo kitamu ulichokula, kilikuwa mkia wako." Baada ya kusema hivyo, alitoroka. Na kutoka siku hiyo walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima apoteza mkia wake Author - Mozambican folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kima alijaribu kufanya nini
{ "text": [ "kuponyoka na kutoroka" ] }
2152_swa
Kima apoteza mkia wake Sungura alikuwa rafiki mkubwa wa Kima. Walishiriki mambo mengi pamoja. Siku moja Sungura alisema, "Hebu twende matembezi tukatafute chakula." Kima alikubali bila kujua yaliyomsubiri! Walienda katika shamba la wenyewe na kuanza kula mahindi. Sungura alikuwa na njama ya kumtendea Kima uovu. Sungura alimwonea Kima wivu kwa kuwa na mkia mrefu. Alikuwa amewaeleza wenye shamba, "Kima atakuja kula mahindi yenu leo. Mfunze adabu!" Walipokuwa wakila mahindi, Sungura alijificha na kupiga kelele akisema, "Mwizi! Mwizi! Mahindi yenu yanaliwa yote!" Kisha akatoroka na kwenda zake. Kima hakujua kilichokuwa kikiendelea. Ghafla, wenyewe walifika na kumpata Kima akijaribu kutoroka. Hata hivyo, mkia wake mrefu ulimzuia kwenda haraka. Walimfuata wakipiga kelele, "Simama! Simama! Umetumalizia mahindi yetu." Walimshika na kuanza kumpiga. Kima alijaribu kuponyoka na kutoroka tena lakini hakuweza. Kima hakuweza kuvumilia kichapo. Aliwasihi waache kumchapa ili awaeleze mambo yalivyokuwa. "Nilikuwa na rafiki yangu Sungura. Ni yeye aliyenialika," alilia. Hata hivyo, wenyewe hawakumsikiza. Mmoja alitoa panga na kusema, "Leo ni leo! Utashika adabu!" Aliukata mkia wake. Sungura alishuhudia kila kitu kutoka alikojificha. Wenye shamba waliondoka na kwenda zao. Kima alipokimbilia usalama wake, Sungura aliuchukua mkia wa Kima na kwenda kuupika. "Nitamwalika Kima kwa chakula cha mchana," alitabasamu. Baada ya mlo, Kima alisema, "Asante rafiki yangu kwa kuandaa chakula kitamu." Sungura alimwuliza Kima ikiwa alijua alichokuwa amekula. Bila kujua, Kima alijibu, "La, sijui!" Sungura alisema, "Hicho kitoweo kitamu ulichokula, kilikuwa mkia wako." Baada ya kusema hivyo, alitoroka. Na kutoka siku hiyo walikuwa maadui! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kima apoteza mkia wake Author - Mozambican folktale Adaptation - Ursula Nafula Illustration - Horácio José Cossa Language - Kiswahili Level - First paragraphs © Mozambican Writers 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini sungura alimwonea kima wivu
{ "text": [ "Kwa sababu ya kuwa na mkia mrefu" ] }
2155_swa
Kalabushe Hapo kale, kuliishi msichana aliyeitwa Kalabushe. Kalabushe alikuwa chiriku. Alionywa na mamake kutozungumza sana, lakini hakusikia. Siku moja, shangaziye Kalabushe aliugua. Aliishi ng'ambo mbali kidogo nao. Mamake Kalabushe alikuwa na shughuli nyingi siku hiyo. Kalabushe alipopewa chakula kumpelekea shangaziye, tayari ilikuwa jioni. Njiani, Kalabushe alikutana na Sinisou. Sinisou alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinisou alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nimebeba nyama, mayai na maziwa." Kalabushe alikuwa ameonywa kutotambua alichokuwa amebeba. Kalabushe vilevile alimwambia Sinisou kuwa shangaziye alikuwa mgonjwa na kwamba alikuwa anampelekea chakula hicho. Sinisou alidondokwa mate alipofikiria juu ya nyama aliyoibeba Kalabushe. Sinisou alikimbia mbele haraka haraka. Aliingia nyumbani kwa shangaziye Kalabushe. Sinisou alimmeza shangazi. Alijigubika blanketi lake akasubiri Kalabushe afike. Kalabushe alipowasili, nyumba ilikuwa kimya kabisa. Aliingia ndani na kuita, "Shangazi, uko wapi? Nimekuletea chakula ule." Kalabushe hakumsikia shangaziye. Aliingia ndani ya chumba ambamo kawaida shangaziye alilala. Alishangaa alimpomwona mtu amejigubika blanketi. "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa sana leo?" Kalabushe aliuliza. Sinisou alijibu kutoka ndani ya lile blanketi kubwa, "Ili niweze kukusikia vyema." Kalabushe aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukuona vyema." Mwishowe, Kalabushe aliuliza, "Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukumeza." Kisha Sinisou aliruka na kummeza Kalabushe. Kawaida, Kalabushe alipenda kuongea sana. Alizidi kuzungumza na kuuliza maswali mengi hata alipokuwa mle tumboni kwa Sinisou. Hatimaye, Sinisou alichoshwa na maswali mengi aliyouliza Kalabushe. Akaamua kumtema nje. 15 Kalabushe na shangaziye waliokolewa na wanakijiji. Tokea siku ile, Kalabushe alikoma kuzungumza sana hasa, na watu asiowajua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe, Chiriku Author - Gaspah Juma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kalabushe alikuwa nini
{ "text": [ "chiriku" ] }
2155_swa
Kalabushe Hapo kale, kuliishi msichana aliyeitwa Kalabushe. Kalabushe alikuwa chiriku. Alionywa na mamake kutozungumza sana, lakini hakusikia. Siku moja, shangaziye Kalabushe aliugua. Aliishi ng'ambo mbali kidogo nao. Mamake Kalabushe alikuwa na shughuli nyingi siku hiyo. Kalabushe alipopewa chakula kumpelekea shangaziye, tayari ilikuwa jioni. Njiani, Kalabushe alikutana na Sinisou. Sinisou alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinisou alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nimebeba nyama, mayai na maziwa." Kalabushe alikuwa ameonywa kutotambua alichokuwa amebeba. Kalabushe vilevile alimwambia Sinisou kuwa shangaziye alikuwa mgonjwa na kwamba alikuwa anampelekea chakula hicho. Sinisou alidondokwa mate alipofikiria juu ya nyama aliyoibeba Kalabushe. Sinisou alikimbia mbele haraka haraka. Aliingia nyumbani kwa shangaziye Kalabushe. Sinisou alimmeza shangazi. Alijigubika blanketi lake akasubiri Kalabushe afike. Kalabushe alipowasili, nyumba ilikuwa kimya kabisa. Aliingia ndani na kuita, "Shangazi, uko wapi? Nimekuletea chakula ule." Kalabushe hakumsikia shangaziye. Aliingia ndani ya chumba ambamo kawaida shangaziye alilala. Alishangaa alimpomwona mtu amejigubika blanketi. "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa sana leo?" Kalabushe aliuliza. Sinisou alijibu kutoka ndani ya lile blanketi kubwa, "Ili niweze kukusikia vyema." Kalabushe aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukuona vyema." Mwishowe, Kalabushe aliuliza, "Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukumeza." Kisha Sinisou aliruka na kummeza Kalabushe. Kawaida, Kalabushe alipenda kuongea sana. Alizidi kuzungumza na kuuliza maswali mengi hata alipokuwa mle tumboni kwa Sinisou. Hatimaye, Sinisou alichoshwa na maswali mengi aliyouliza Kalabushe. Akaamua kumtema nje. 15 Kalabushe na shangaziye waliokolewa na wanakijiji. Tokea siku ile, Kalabushe alikoma kuzungumza sana hasa, na watu asiowajua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe, Chiriku Author - Gaspah Juma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Alionywa na mamake kutofanya nini
{ "text": [ "kutozungumza mno" ] }
2155_swa
Kalabushe Hapo kale, kuliishi msichana aliyeitwa Kalabushe. Kalabushe alikuwa chiriku. Alionywa na mamake kutozungumza sana, lakini hakusikia. Siku moja, shangaziye Kalabushe aliugua. Aliishi ng'ambo mbali kidogo nao. Mamake Kalabushe alikuwa na shughuli nyingi siku hiyo. Kalabushe alipopewa chakula kumpelekea shangaziye, tayari ilikuwa jioni. Njiani, Kalabushe alikutana na Sinisou. Sinisou alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinisou alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nimebeba nyama, mayai na maziwa." Kalabushe alikuwa ameonywa kutotambua alichokuwa amebeba. Kalabushe vilevile alimwambia Sinisou kuwa shangaziye alikuwa mgonjwa na kwamba alikuwa anampelekea chakula hicho. Sinisou alidondokwa mate alipofikiria juu ya nyama aliyoibeba Kalabushe. Sinisou alikimbia mbele haraka haraka. Aliingia nyumbani kwa shangaziye Kalabushe. Sinisou alimmeza shangazi. Alijigubika blanketi lake akasubiri Kalabushe afike. Kalabushe alipowasili, nyumba ilikuwa kimya kabisa. Aliingia ndani na kuita, "Shangazi, uko wapi? Nimekuletea chakula ule." Kalabushe hakumsikia shangaziye. Aliingia ndani ya chumba ambamo kawaida shangaziye alilala. Alishangaa alimpomwona mtu amejigubika blanketi. "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa sana leo?" Kalabushe aliuliza. Sinisou alijibu kutoka ndani ya lile blanketi kubwa, "Ili niweze kukusikia vyema." Kalabushe aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukuona vyema." Mwishowe, Kalabushe aliuliza, "Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukumeza." Kisha Sinisou aliruka na kummeza Kalabushe. Kawaida, Kalabushe alipenda kuongea sana. Alizidi kuzungumza na kuuliza maswali mengi hata alipokuwa mle tumboni kwa Sinisou. Hatimaye, Sinisou alichoshwa na maswali mengi aliyouliza Kalabushe. Akaamua kumtema nje. 15 Kalabushe na shangaziye waliokolewa na wanakijiji. Tokea siku ile, Kalabushe alikoma kuzungumza sana hasa, na watu asiowajua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe, Chiriku Author - Gaspah Juma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani aliugua
{ "text": [ "shangaziye" ] }
2155_swa
Kalabushe Hapo kale, kuliishi msichana aliyeitwa Kalabushe. Kalabushe alikuwa chiriku. Alionywa na mamake kutozungumza sana, lakini hakusikia. Siku moja, shangaziye Kalabushe aliugua. Aliishi ng'ambo mbali kidogo nao. Mamake Kalabushe alikuwa na shughuli nyingi siku hiyo. Kalabushe alipopewa chakula kumpelekea shangaziye, tayari ilikuwa jioni. Njiani, Kalabushe alikutana na Sinisou. Sinisou alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinisou alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nimebeba nyama, mayai na maziwa." Kalabushe alikuwa ameonywa kutotambua alichokuwa amebeba. Kalabushe vilevile alimwambia Sinisou kuwa shangaziye alikuwa mgonjwa na kwamba alikuwa anampelekea chakula hicho. Sinisou alidondokwa mate alipofikiria juu ya nyama aliyoibeba Kalabushe. Sinisou alikimbia mbele haraka haraka. Aliingia nyumbani kwa shangaziye Kalabushe. Sinisou alimmeza shangazi. Alijigubika blanketi lake akasubiri Kalabushe afike. Kalabushe alipowasili, nyumba ilikuwa kimya kabisa. Aliingia ndani na kuita, "Shangazi, uko wapi? Nimekuletea chakula ule." Kalabushe hakumsikia shangaziye. Aliingia ndani ya chumba ambamo kawaida shangaziye alilala. Alishangaa alimpomwona mtu amejigubika blanketi. "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa sana leo?" Kalabushe aliuliza. Sinisou alijibu kutoka ndani ya lile blanketi kubwa, "Ili niweze kukusikia vyema." Kalabushe aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukuona vyema." Mwishowe, Kalabushe aliuliza, "Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukumeza." Kisha Sinisou aliruka na kummeza Kalabushe. Kawaida, Kalabushe alipenda kuongea sana. Alizidi kuzungumza na kuuliza maswali mengi hata alipokuwa mle tumboni kwa Sinisou. Hatimaye, Sinisou alichoshwa na maswali mengi aliyouliza Kalabushe. Akaamua kumtema nje. 15 Kalabushe na shangaziye waliokolewa na wanakijiji. Tokea siku ile, Kalabushe alikoma kuzungumza sana hasa, na watu asiowajua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe, Chiriku Author - Gaspah Juma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Alitumwa ampelekee shangaziye chakula saa ngapi
{ "text": [ "jioni" ] }
2155_swa
Kalabushe Hapo kale, kuliishi msichana aliyeitwa Kalabushe. Kalabushe alikuwa chiriku. Alionywa na mamake kutozungumza sana, lakini hakusikia. Siku moja, shangaziye Kalabushe aliugua. Aliishi ng'ambo mbali kidogo nao. Mamake Kalabushe alikuwa na shughuli nyingi siku hiyo. Kalabushe alipopewa chakula kumpelekea shangaziye, tayari ilikuwa jioni. Njiani, Kalabushe alikutana na Sinisou. Sinisou alikuwa fisi aliyegeuka mtu. Sinisou alimwuliza alichobeba. Kalabushe alijibu, "Nimebeba nyama, mayai na maziwa." Kalabushe alikuwa ameonywa kutotambua alichokuwa amebeba. Kalabushe vilevile alimwambia Sinisou kuwa shangaziye alikuwa mgonjwa na kwamba alikuwa anampelekea chakula hicho. Sinisou alidondokwa mate alipofikiria juu ya nyama aliyoibeba Kalabushe. Sinisou alikimbia mbele haraka haraka. Aliingia nyumbani kwa shangaziye Kalabushe. Sinisou alimmeza shangazi. Alijigubika blanketi lake akasubiri Kalabushe afike. Kalabushe alipowasili, nyumba ilikuwa kimya kabisa. Aliingia ndani na kuita, "Shangazi, uko wapi? Nimekuletea chakula ule." Kalabushe hakumsikia shangaziye. Aliingia ndani ya chumba ambamo kawaida shangaziye alilala. Alishangaa alimpomwona mtu amejigubika blanketi. "Shangazi, mbona masikio yako ni makubwa sana leo?" Kalabushe aliuliza. Sinisou alijibu kutoka ndani ya lile blanketi kubwa, "Ili niweze kukusikia vyema." Kalabushe aliuliza tena, "Shangazi, mbona macho yako ni makubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukuona vyema." Mwishowe, Kalabushe aliuliza, "Shangazi, mbona mdomo wako ni mkubwa sana leo?" Sinisou alijibu, "Ili niweze kukumeza." Kisha Sinisou aliruka na kummeza Kalabushe. Kawaida, Kalabushe alipenda kuongea sana. Alizidi kuzungumza na kuuliza maswali mengi hata alipokuwa mle tumboni kwa Sinisou. Hatimaye, Sinisou alichoshwa na maswali mengi aliyouliza Kalabushe. Akaamua kumtema nje. 15 Kalabushe na shangaziye waliokolewa na wanakijiji. Tokea siku ile, Kalabushe alikoma kuzungumza sana hasa, na watu asiowajua. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Kalabushe, Chiriku Author - Gaspah Juma Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Sinosou alidondokwa mate
{ "text": [ "alifikiria juu ya nyama aliyoibeba Kalabushe" ] }
2157_swa
Khalai anapenda mimea Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Katika jamii yake, jina lake lina maana sawa na 'aliye mzuri'. Khalai anaamka na kuuzungumzia mmea mchanga wa Mchungwa. Anasema, "Tafadhali Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu." Khalai anapokuwa njiani kwenda shuleni, anazizungumzia Nyasi. Anasema, "Tafadhali Nyasi, zidi kuwa kijani kibichi na wala usinyauke." Khalai anayapita Maua ya kichakani Anasema, "Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili nikutumie kuzirembesha nywele zangu." Anapokuwa shuleni, Khalai anauzungumzia Mti ulioko pale shuleni. "Tafadhali Mti, yazae matawi makubwa ili tuweze kusomea chini ya kivuli chako." Khalai anauzungumzia Ua unaoizingira shule yake. "Tafadhali Ua, kua uwe mwenye nguvu ili uilinde shule yetu dhidi ya watu wabaya." Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa mchungwa kutazama ikiwa machungwa yameiva. "Machungwa bado mabichi," Khalai anashusha pumzi. "Nitakutembelea kesho, Mchungwa wee! Labda utanipa chungwa mbivu wakati huo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khalai anapenda mimea Author - Ursula Nafula Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Khalai ni wa jinsi ipi?
{ "text": [ "Kike" ] }
2157_swa
Khalai anapenda mimea Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Katika jamii yake, jina lake lina maana sawa na 'aliye mzuri'. Khalai anaamka na kuuzungumzia mmea mchanga wa Mchungwa. Anasema, "Tafadhali Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu." Khalai anapokuwa njiani kwenda shuleni, anazizungumzia Nyasi. Anasema, "Tafadhali Nyasi, zidi kuwa kijani kibichi na wala usinyauke." Khalai anayapita Maua ya kichakani Anasema, "Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili nikutumie kuzirembesha nywele zangu." Anapokuwa shuleni, Khalai anauzungumzia Mti ulioko pale shuleni. "Tafadhali Mti, yazae matawi makubwa ili tuweze kusomea chini ya kivuli chako." Khalai anauzungumzia Ua unaoizingira shule yake. "Tafadhali Ua, kua uwe mwenye nguvu ili uilinde shule yetu dhidi ya watu wabaya." Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa mchungwa kutazama ikiwa machungwa yameiva. "Machungwa bado mabichi," Khalai anashusha pumzi. "Nitakutembelea kesho, Mchungwa wee! Labda utanipa chungwa mbivu wakati huo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khalai anapenda mimea Author - Ursula Nafula Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Khalai ana umri wa miaka mingapi?
{ "text": [ "Saba" ] }
2157_swa
Khalai anapenda mimea Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Katika jamii yake, jina lake lina maana sawa na 'aliye mzuri'. Khalai anaamka na kuuzungumzia mmea mchanga wa Mchungwa. Anasema, "Tafadhali Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu." Khalai anapokuwa njiani kwenda shuleni, anazizungumzia Nyasi. Anasema, "Tafadhali Nyasi, zidi kuwa kijani kibichi na wala usinyauke." Khalai anayapita Maua ya kichakani Anasema, "Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili nikutumie kuzirembesha nywele zangu." Anapokuwa shuleni, Khalai anauzungumzia Mti ulioko pale shuleni. "Tafadhali Mti, yazae matawi makubwa ili tuweze kusomea chini ya kivuli chako." Khalai anauzungumzia Ua unaoizingira shule yake. "Tafadhali Ua, kua uwe mwenye nguvu ili uilinde shule yetu dhidi ya watu wabaya." Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa mchungwa kutazama ikiwa machungwa yameiva. "Machungwa bado mabichi," Khalai anashusha pumzi. "Nitakutembelea kesho, Mchungwa wee! Labda utanipa chungwa mbivu wakati huo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khalai anapenda mimea Author - Ursula Nafula Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jina la Khalai inamaanisha ni mtu wa aina gani?
{ "text": [ "Mzuri" ] }
2157_swa
Khalai anapenda mimea Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Katika jamii yake, jina lake lina maana sawa na 'aliye mzuri'. Khalai anaamka na kuuzungumzia mmea mchanga wa Mchungwa. Anasema, "Tafadhali Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu." Khalai anapokuwa njiani kwenda shuleni, anazizungumzia Nyasi. Anasema, "Tafadhali Nyasi, zidi kuwa kijani kibichi na wala usinyauke." Khalai anayapita Maua ya kichakani Anasema, "Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili nikutumie kuzirembesha nywele zangu." Anapokuwa shuleni, Khalai anauzungumzia Mti ulioko pale shuleni. "Tafadhali Mti, yazae matawi makubwa ili tuweze kusomea chini ya kivuli chako." Khalai anauzungumzia Ua unaoizingira shule yake. "Tafadhali Ua, kua uwe mwenye nguvu ili uilinde shule yetu dhidi ya watu wabaya." Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa mchungwa kutazama ikiwa machungwa yameiva. "Machungwa bado mabichi," Khalai anashusha pumzi. "Nitakutembelea kesho, Mchungwa wee! Labda utanipa chungwa mbivu wakati huo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khalai anapenda mimea Author - Ursula Nafula Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Khalai alitaka kutumia nini kurembesha nywele zake?
{ "text": [ "Maua" ] }
2157_swa
Khalai anapenda mimea Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Katika jamii yake, jina lake lina maana sawa na 'aliye mzuri'. Khalai anaamka na kuuzungumzia mmea mchanga wa Mchungwa. Anasema, "Tafadhali Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu." Khalai anapokuwa njiani kwenda shuleni, anazizungumzia Nyasi. Anasema, "Tafadhali Nyasi, zidi kuwa kijani kibichi na wala usinyauke." Khalai anayapita Maua ya kichakani Anasema, "Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili nikutumie kuzirembesha nywele zangu." Anapokuwa shuleni, Khalai anauzungumzia Mti ulioko pale shuleni. "Tafadhali Mti, yazae matawi makubwa ili tuweze kusomea chini ya kivuli chako." Khalai anauzungumzia Ua unaoizingira shule yake. "Tafadhali Ua, kua uwe mwenye nguvu ili uilinde shule yetu dhidi ya watu wabaya." Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa mchungwa kutazama ikiwa machungwa yameiva. "Machungwa bado mabichi," Khalai anashusha pumzi. "Nitakutembelea kesho, Mchungwa wee! Labda utanipa chungwa mbivu wakati huo." You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Khalai anapenda mimea Author - Ursula Nafula Illustration - Jesse Pietersen Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Rangi ya nyasi ni ipi?
{ "text": [ "Kijani kibichi" ] }
2159_swa
Abby, dereva wa kike wa tuktuk Tuktuk ni gari lenye magurudumu matatu. Linatumika kwenda sehemu moja hadi nyingine kwa haraka. Katika jamii nyingi, uendeshaji gari la abiria ni kazi inayofanywa hasa na wanaume. Wanawake hawajihusishi sana nayo. Siku moja, Abby aliwaomba wazazi wake fedha. Alitaka kulipia mafunzo ya udereva. Wazazi wake walisema, "Kazi hii si nzuri kwa wanawake. Watu watasemaje?" Abby alisema, "Ninaweza kufanya kazi yoyote inayofanywa na watu wengine." Alifaulu kuwashawishi. Wazazi walimruhusu akaanza kujifunza udereva. Abby alikamilisha mafunzo hayo vizuri. Wazazi wake walijadiliana namna ya kumsaidia zaidi. Baadaye, walikubali kumnunulia tuktuk. Abby alianza kuendesha tuktuk yake mjini Sokomoja. Siku moja alipata wazo zuri. Aliweka tangazo kwenye mlango wa nyuma. Tangazo lilikuwa na namba yake ya simu. Tangazo lilisema, "Ninawasafirisha wanawake waja wazito, akina mama waliojifungua, na watoto, bila malipo." Abby alianza kupokea simu kutoka kwa waliohitaji kusafirishwa. Abby alipata pesa kwa kuwasafirisha watu. Hata hivyo, aliendelea kuwasaidia wasiokuwa na fedha zozote. Abby aliifurahia kazi yake. Watu wakongwe walimtakia baraka. Kila wakati wanakijiji waliongea kuhusu kazi yake. Abby aliwaambia, "Mtu huvuna anachopanda!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abby, dereva wa kike wa tuktuk Author - Dawit Girma Translation - Ursula Nafula Illustration - Yirgalem Birhanu Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was developed at the Ras Abebe Library in Debre Birhan with the help of Janet Lee and funded by a grant from the International Library Cultural Exchange Interest Group of the Colorado Association of Libraries (USA).
Ni nani huusika katika uendeshaji wa gari kwa jamii nyingi
{ "text": [ "wanaume" ] }
2159_swa
Abby, dereva wa kike wa tuktuk Tuktuk ni gari lenye magurudumu matatu. Linatumika kwenda sehemu moja hadi nyingine kwa haraka. Katika jamii nyingi, uendeshaji gari la abiria ni kazi inayofanywa hasa na wanaume. Wanawake hawajihusishi sana nayo. Siku moja, Abby aliwaomba wazazi wake fedha. Alitaka kulipia mafunzo ya udereva. Wazazi wake walisema, "Kazi hii si nzuri kwa wanawake. Watu watasemaje?" Abby alisema, "Ninaweza kufanya kazi yoyote inayofanywa na watu wengine." Alifaulu kuwashawishi. Wazazi walimruhusu akaanza kujifunza udereva. Abby alikamilisha mafunzo hayo vizuri. Wazazi wake walijadiliana namna ya kumsaidia zaidi. Baadaye, walikubali kumnunulia tuktuk. Abby alianza kuendesha tuktuk yake mjini Sokomoja. Siku moja alipata wazo zuri. Aliweka tangazo kwenye mlango wa nyuma. Tangazo lilikuwa na namba yake ya simu. Tangazo lilisema, "Ninawasafirisha wanawake waja wazito, akina mama waliojifungua, na watoto, bila malipo." Abby alianza kupokea simu kutoka kwa waliohitaji kusafirishwa. Abby alipata pesa kwa kuwasafirisha watu. Hata hivyo, aliendelea kuwasaidia wasiokuwa na fedha zozote. Abby aliifurahia kazi yake. Watu wakongwe walimtakia baraka. Kila wakati wanakijiji waliongea kuhusu kazi yake. Abby aliwaambia, "Mtu huvuna anachopanda!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abby, dereva wa kike wa tuktuk Author - Dawit Girma Translation - Ursula Nafula Illustration - Yirgalem Birhanu Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was developed at the Ras Abebe Library in Debre Birhan with the help of Janet Lee and funded by a grant from the International Library Cultural Exchange Interest Group of the Colorado Association of Libraries (USA).
Abby aliwaomba wazazi wake nini
{ "text": [ "fedha akajifunze udereva" ] }
2159_swa
Abby, dereva wa kike wa tuktuk Tuktuk ni gari lenye magurudumu matatu. Linatumika kwenda sehemu moja hadi nyingine kwa haraka. Katika jamii nyingi, uendeshaji gari la abiria ni kazi inayofanywa hasa na wanaume. Wanawake hawajihusishi sana nayo. Siku moja, Abby aliwaomba wazazi wake fedha. Alitaka kulipia mafunzo ya udereva. Wazazi wake walisema, "Kazi hii si nzuri kwa wanawake. Watu watasemaje?" Abby alisema, "Ninaweza kufanya kazi yoyote inayofanywa na watu wengine." Alifaulu kuwashawishi. Wazazi walimruhusu akaanza kujifunza udereva. Abby alikamilisha mafunzo hayo vizuri. Wazazi wake walijadiliana namna ya kumsaidia zaidi. Baadaye, walikubali kumnunulia tuktuk. Abby alianza kuendesha tuktuk yake mjini Sokomoja. Siku moja alipata wazo zuri. Aliweka tangazo kwenye mlango wa nyuma. Tangazo lilikuwa na namba yake ya simu. Tangazo lilisema, "Ninawasafirisha wanawake waja wazito, akina mama waliojifungua, na watoto, bila malipo." Abby alianza kupokea simu kutoka kwa waliohitaji kusafirishwa. Abby alipata pesa kwa kuwasafirisha watu. Hata hivyo, aliendelea kuwasaidia wasiokuwa na fedha zozote. Abby aliifurahia kazi yake. Watu wakongwe walimtakia baraka. Kila wakati wanakijiji waliongea kuhusu kazi yake. Abby aliwaambia, "Mtu huvuna anachopanda!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abby, dereva wa kike wa tuktuk Author - Dawit Girma Translation - Ursula Nafula Illustration - Yirgalem Birhanu Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was developed at the Ras Abebe Library in Debre Birhan with the help of Janet Lee and funded by a grant from the International Library Cultural Exchange Interest Group of the Colorado Association of Libraries (USA).
Abby aliomba fedha za kuenda kujifunza nini
{ "text": [ "udereva" ] }
2159_swa
Abby, dereva wa kike wa tuktuk Tuktuk ni gari lenye magurudumu matatu. Linatumika kwenda sehemu moja hadi nyingine kwa haraka. Katika jamii nyingi, uendeshaji gari la abiria ni kazi inayofanywa hasa na wanaume. Wanawake hawajihusishi sana nayo. Siku moja, Abby aliwaomba wazazi wake fedha. Alitaka kulipia mafunzo ya udereva. Wazazi wake walisema, "Kazi hii si nzuri kwa wanawake. Watu watasemaje?" Abby alisema, "Ninaweza kufanya kazi yoyote inayofanywa na watu wengine." Alifaulu kuwashawishi. Wazazi walimruhusu akaanza kujifunza udereva. Abby alikamilisha mafunzo hayo vizuri. Wazazi wake walijadiliana namna ya kumsaidia zaidi. Baadaye, walikubali kumnunulia tuktuk. Abby alianza kuendesha tuktuk yake mjini Sokomoja. Siku moja alipata wazo zuri. Aliweka tangazo kwenye mlango wa nyuma. Tangazo lilikuwa na namba yake ya simu. Tangazo lilisema, "Ninawasafirisha wanawake waja wazito, akina mama waliojifungua, na watoto, bila malipo." Abby alianza kupokea simu kutoka kwa waliohitaji kusafirishwa. Abby alipata pesa kwa kuwasafirisha watu. Hata hivyo, aliendelea kuwasaidia wasiokuwa na fedha zozote. Abby aliifurahia kazi yake. Watu wakongwe walimtakia baraka. Kila wakati wanakijiji waliongea kuhusu kazi yake. Abby aliwaambia, "Mtu huvuna anachopanda!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abby, dereva wa kike wa tuktuk Author - Dawit Girma Translation - Ursula Nafula Illustration - Yirgalem Birhanu Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was developed at the Ras Abebe Library in Debre Birhan with the help of Janet Lee and funded by a grant from the International Library Cultural Exchange Interest Group of the Colorado Association of Libraries (USA).
Wazazi wake Abby walimnunulia tuktuk lini
{ "text": [ "alipokamilisha mafunzo yake" ] }
2159_swa
Abby, dereva wa kike wa tuktuk Tuktuk ni gari lenye magurudumu matatu. Linatumika kwenda sehemu moja hadi nyingine kwa haraka. Katika jamii nyingi, uendeshaji gari la abiria ni kazi inayofanywa hasa na wanaume. Wanawake hawajihusishi sana nayo. Siku moja, Abby aliwaomba wazazi wake fedha. Alitaka kulipia mafunzo ya udereva. Wazazi wake walisema, "Kazi hii si nzuri kwa wanawake. Watu watasemaje?" Abby alisema, "Ninaweza kufanya kazi yoyote inayofanywa na watu wengine." Alifaulu kuwashawishi. Wazazi walimruhusu akaanza kujifunza udereva. Abby alikamilisha mafunzo hayo vizuri. Wazazi wake walijadiliana namna ya kumsaidia zaidi. Baadaye, walikubali kumnunulia tuktuk. Abby alianza kuendesha tuktuk yake mjini Sokomoja. Siku moja alipata wazo zuri. Aliweka tangazo kwenye mlango wa nyuma. Tangazo lilikuwa na namba yake ya simu. Tangazo lilisema, "Ninawasafirisha wanawake waja wazito, akina mama waliojifungua, na watoto, bila malipo." Abby alianza kupokea simu kutoka kwa waliohitaji kusafirishwa. Abby alipata pesa kwa kuwasafirisha watu. Hata hivyo, aliendelea kuwasaidia wasiokuwa na fedha zozote. Abby aliifurahia kazi yake. Watu wakongwe walimtakia baraka. Kila wakati wanakijiji waliongea kuhusu kazi yake. Abby aliwaambia, "Mtu huvuna anachopanda!" You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abby, dereva wa kike wa tuktuk Author - Dawit Girma Translation - Ursula Nafula Illustration - Yirgalem Birhanu Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source This story was developed at the Ras Abebe Library in Debre Birhan with the help of Janet Lee and funded by a grant from the International Library Cultural Exchange Interest Group of the Colorado Association of Libraries (USA).
Tangazo kwenye mlango wa nyuma lilikua linasema aje
{ "text": [ "anasafirisha waja wazito, waliojifungua na watoto bila malipo" ] }
2160_swa
Abeli na mwanasesere wa dadake Kulikuwa na mvulana mmoja kwa jina Abeli. Alijitengenezea rukwama. Abeli hakuwa na dereva wa rukwama yake mpya. Akamwambia Meri dada yake, "Nataka dereva wa rukwama yangu. Tafadhali nipe mwanasesere wako. Anaweza kuketi ndani ya rukwama." Lakini Meri akasema, "Hapana, namtaka mwanasesere wangu." Wakati Meri hakumkubali amchukue mwanasesere, Abeli alikasirika sana. Alimnyakua mwanasesere na kumvuta. Meri alivuta mkono mwingine wa mwanasesere. Abeli alivuta na Meri akavuta. Mkono wa mwanasesere ukang'oka! Meri akalia na kukimbia kwa mama yake. "Angalia mama," akasema, "Abeli alivuta mkono wa mwanasesere wangu na ukang'oka. Alitaka mwanasesere wangu aketi ndani ya rukwama yake mpya lakini nilitaka kucheza naye." Mama yake akasema, "Abeli hakufanya tabia nzuri." Mama akawaza jinsi ya kumfunza mwanawe kutogusa vitu vya dadake vya kuchezea. Alikuwa na wazo. Alikwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa daktari na kumwambia, "Tafadhali, nisaidie." Daktari akajibu, "Naweza kukusaidia namna gnai, rafiki yangu?" Mama akajibu, "Mwanangu Abeli ana tabia mbaya sana siku hizi. Aling'oa mkono wa mwanasesere wa dadake. Hastahili kufanya hivyo. Kesho nitamwambia akuletee huyo mwanasesere umrudishe mkono tena." "Tafadhali mwambie Abeli kuwa lazima akulipe kwa kazi yako. Hana pesa zozote, kwa hivyo utamwambia asafishe gari lako kubwa zee ambalo huwa na vumbi kila wakati," mama akasema. Rafiki yake alicheka na kusema, "Ee- ee! Hilo litakuwa jambo zuri." Mamake Abeli akarudi kwake nyumbani. Akamwuliza Abeli, ''Unapokuwa mgonjwa au kuwa na maumivu, wewe huenda wapi?" Abeli akajibu, "Wakati mimi ni mgonjwa au nikiwa na maumivu, lazima niende kwa daktari." Mama akasema, "Ulimwumiza mwanasesere, sasa ni sharti umpeleke kwa daktari." Kwa hivyo Abeli alimpeleka mwanasesere kwa daktari. "Huyu mwanasesere ameumia vibaya sana. Mama yangu aliniambia nimlete kwako. Daktari, unaweza kumpa mkono mpya?" Daktari alikubali kumtunza mwanasesere. Aliweza kutengeneza mkono mpya. Daktari akamwambia Abeli, "Mwanasesere ana mkono mpya. Lazima unilipe. Una pesa ngapi?" Abeli akajibu, "Tafadhali daktari, sina fedha zozote. Siwezi kukulipa kwa kazi yako." Daktari akasema, "Vizuri! Huna fedha zozote? Gari langu kubwa ni chafu mno! Lisafishe na hivyo ndivyo utakavyonilipa." Abeli akachukua ndoo ya maji na kitambaa safi. Ilichukua muda mrefu sana kusafisha gari hilo chafu. Kisha Abeli akamrudishia Meri mwanasesere wake. Alifurahi sana na kumwambia Abeli, "Wewe ni ndugu mzuri. Asante sana kwa kumtengeneza mwanasesere wangu." "Dadangu, pole kwa kukasirika na kukuhuzunisha," akasema Abeli. 11 Tangu siku hiyo, Abeli hakuchukua vitu vya dadake tena. Na akajaribu sana ili asikasirishwe naye. Abeli alikumbuka muda aliouchukua kusafisha gari lile kubwa, chafu la daktari. Akaamua haikufaa kukasirika na kuvunja vitu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abeli na mwanasesere wa dadake Author - Eyobi Kitaw Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Abeli alijitengenezea nini
{ "text": [ "Rukwama" ] }
2160_swa
Abeli na mwanasesere wa dadake Kulikuwa na mvulana mmoja kwa jina Abeli. Alijitengenezea rukwama. Abeli hakuwa na dereva wa rukwama yake mpya. Akamwambia Meri dada yake, "Nataka dereva wa rukwama yangu. Tafadhali nipe mwanasesere wako. Anaweza kuketi ndani ya rukwama." Lakini Meri akasema, "Hapana, namtaka mwanasesere wangu." Wakati Meri hakumkubali amchukue mwanasesere, Abeli alikasirika sana. Alimnyakua mwanasesere na kumvuta. Meri alivuta mkono mwingine wa mwanasesere. Abeli alivuta na Meri akavuta. Mkono wa mwanasesere ukang'oka! Meri akalia na kukimbia kwa mama yake. "Angalia mama," akasema, "Abeli alivuta mkono wa mwanasesere wangu na ukang'oka. Alitaka mwanasesere wangu aketi ndani ya rukwama yake mpya lakini nilitaka kucheza naye." Mama yake akasema, "Abeli hakufanya tabia nzuri." Mama akawaza jinsi ya kumfunza mwanawe kutogusa vitu vya dadake vya kuchezea. Alikuwa na wazo. Alikwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa daktari na kumwambia, "Tafadhali, nisaidie." Daktari akajibu, "Naweza kukusaidia namna gnai, rafiki yangu?" Mama akajibu, "Mwanangu Abeli ana tabia mbaya sana siku hizi. Aling'oa mkono wa mwanasesere wa dadake. Hastahili kufanya hivyo. Kesho nitamwambia akuletee huyo mwanasesere umrudishe mkono tena." "Tafadhali mwambie Abeli kuwa lazima akulipe kwa kazi yako. Hana pesa zozote, kwa hivyo utamwambia asafishe gari lako kubwa zee ambalo huwa na vumbi kila wakati," mama akasema. Rafiki yake alicheka na kusema, "Ee- ee! Hilo litakuwa jambo zuri." Mamake Abeli akarudi kwake nyumbani. Akamwuliza Abeli, ''Unapokuwa mgonjwa au kuwa na maumivu, wewe huenda wapi?" Abeli akajibu, "Wakati mimi ni mgonjwa au nikiwa na maumivu, lazima niende kwa daktari." Mama akasema, "Ulimwumiza mwanasesere, sasa ni sharti umpeleke kwa daktari." Kwa hivyo Abeli alimpeleka mwanasesere kwa daktari. "Huyu mwanasesere ameumia vibaya sana. Mama yangu aliniambia nimlete kwako. Daktari, unaweza kumpa mkono mpya?" Daktari alikubali kumtunza mwanasesere. Aliweza kutengeneza mkono mpya. Daktari akamwambia Abeli, "Mwanasesere ana mkono mpya. Lazima unilipe. Una pesa ngapi?" Abeli akajibu, "Tafadhali daktari, sina fedha zozote. Siwezi kukulipa kwa kazi yako." Daktari akasema, "Vizuri! Huna fedha zozote? Gari langu kubwa ni chafu mno! Lisafishe na hivyo ndivyo utakavyonilipa." Abeli akachukua ndoo ya maji na kitambaa safi. Ilichukua muda mrefu sana kusafisha gari hilo chafu. Kisha Abeli akamrudishia Meri mwanasesere wake. Alifurahi sana na kumwambia Abeli, "Wewe ni ndugu mzuri. Asante sana kwa kumtengeneza mwanasesere wangu." "Dadangu, pole kwa kukasirika na kukuhuzunisha," akasema Abeli. 11 Tangu siku hiyo, Abeli hakuchukua vitu vya dadake tena. Na akajaribu sana ili asikasirishwe naye. Abeli alikumbuka muda aliouchukua kusafisha gari lile kubwa, chafu la daktari. Akaamua haikufaa kukasirika na kuvunja vitu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abeli na mwanasesere wa dadake Author - Eyobi Kitaw Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Abeli alikuwa na dada yake aliyeitwa nani
{ "text": [ "Meri" ] }
2160_swa
Abeli na mwanasesere wa dadake Kulikuwa na mvulana mmoja kwa jina Abeli. Alijitengenezea rukwama. Abeli hakuwa na dereva wa rukwama yake mpya. Akamwambia Meri dada yake, "Nataka dereva wa rukwama yangu. Tafadhali nipe mwanasesere wako. Anaweza kuketi ndani ya rukwama." Lakini Meri akasema, "Hapana, namtaka mwanasesere wangu." Wakati Meri hakumkubali amchukue mwanasesere, Abeli alikasirika sana. Alimnyakua mwanasesere na kumvuta. Meri alivuta mkono mwingine wa mwanasesere. Abeli alivuta na Meri akavuta. Mkono wa mwanasesere ukang'oka! Meri akalia na kukimbia kwa mama yake. "Angalia mama," akasema, "Abeli alivuta mkono wa mwanasesere wangu na ukang'oka. Alitaka mwanasesere wangu aketi ndani ya rukwama yake mpya lakini nilitaka kucheza naye." Mama yake akasema, "Abeli hakufanya tabia nzuri." Mama akawaza jinsi ya kumfunza mwanawe kutogusa vitu vya dadake vya kuchezea. Alikuwa na wazo. Alikwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa daktari na kumwambia, "Tafadhali, nisaidie." Daktari akajibu, "Naweza kukusaidia namna gnai, rafiki yangu?" Mama akajibu, "Mwanangu Abeli ana tabia mbaya sana siku hizi. Aling'oa mkono wa mwanasesere wa dadake. Hastahili kufanya hivyo. Kesho nitamwambia akuletee huyo mwanasesere umrudishe mkono tena." "Tafadhali mwambie Abeli kuwa lazima akulipe kwa kazi yako. Hana pesa zozote, kwa hivyo utamwambia asafishe gari lako kubwa zee ambalo huwa na vumbi kila wakati," mama akasema. Rafiki yake alicheka na kusema, "Ee- ee! Hilo litakuwa jambo zuri." Mamake Abeli akarudi kwake nyumbani. Akamwuliza Abeli, ''Unapokuwa mgonjwa au kuwa na maumivu, wewe huenda wapi?" Abeli akajibu, "Wakati mimi ni mgonjwa au nikiwa na maumivu, lazima niende kwa daktari." Mama akasema, "Ulimwumiza mwanasesere, sasa ni sharti umpeleke kwa daktari." Kwa hivyo Abeli alimpeleka mwanasesere kwa daktari. "Huyu mwanasesere ameumia vibaya sana. Mama yangu aliniambia nimlete kwako. Daktari, unaweza kumpa mkono mpya?" Daktari alikubali kumtunza mwanasesere. Aliweza kutengeneza mkono mpya. Daktari akamwambia Abeli, "Mwanasesere ana mkono mpya. Lazima unilipe. Una pesa ngapi?" Abeli akajibu, "Tafadhali daktari, sina fedha zozote. Siwezi kukulipa kwa kazi yako." Daktari akasema, "Vizuri! Huna fedha zozote? Gari langu kubwa ni chafu mno! Lisafishe na hivyo ndivyo utakavyonilipa." Abeli akachukua ndoo ya maji na kitambaa safi. Ilichukua muda mrefu sana kusafisha gari hilo chafu. Kisha Abeli akamrudishia Meri mwanasesere wake. Alifurahi sana na kumwambia Abeli, "Wewe ni ndugu mzuri. Asante sana kwa kumtengeneza mwanasesere wangu." "Dadangu, pole kwa kukasirika na kukuhuzunisha," akasema Abeli. 11 Tangu siku hiyo, Abeli hakuchukua vitu vya dadake tena. Na akajaribu sana ili asikasirishwe naye. Abeli alikumbuka muda aliouchukua kusafisha gari lile kubwa, chafu la daktari. Akaamua haikufaa kukasirika na kuvunja vitu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abeli na mwanasesere wa dadake Author - Eyobi Kitaw Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Malipo ya Abeli kwa daktari yalikuwa gani
{ "text": [ "Kusafisha gari lake kubwa chafu" ] }
2160_swa
Abeli na mwanasesere wa dadake Kulikuwa na mvulana mmoja kwa jina Abeli. Alijitengenezea rukwama. Abeli hakuwa na dereva wa rukwama yake mpya. Akamwambia Meri dada yake, "Nataka dereva wa rukwama yangu. Tafadhali nipe mwanasesere wako. Anaweza kuketi ndani ya rukwama." Lakini Meri akasema, "Hapana, namtaka mwanasesere wangu." Wakati Meri hakumkubali amchukue mwanasesere, Abeli alikasirika sana. Alimnyakua mwanasesere na kumvuta. Meri alivuta mkono mwingine wa mwanasesere. Abeli alivuta na Meri akavuta. Mkono wa mwanasesere ukang'oka! Meri akalia na kukimbia kwa mama yake. "Angalia mama," akasema, "Abeli alivuta mkono wa mwanasesere wangu na ukang'oka. Alitaka mwanasesere wangu aketi ndani ya rukwama yake mpya lakini nilitaka kucheza naye." Mama yake akasema, "Abeli hakufanya tabia nzuri." Mama akawaza jinsi ya kumfunza mwanawe kutogusa vitu vya dadake vya kuchezea. Alikuwa na wazo. Alikwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa daktari na kumwambia, "Tafadhali, nisaidie." Daktari akajibu, "Naweza kukusaidia namna gnai, rafiki yangu?" Mama akajibu, "Mwanangu Abeli ana tabia mbaya sana siku hizi. Aling'oa mkono wa mwanasesere wa dadake. Hastahili kufanya hivyo. Kesho nitamwambia akuletee huyo mwanasesere umrudishe mkono tena." "Tafadhali mwambie Abeli kuwa lazima akulipe kwa kazi yako. Hana pesa zozote, kwa hivyo utamwambia asafishe gari lako kubwa zee ambalo huwa na vumbi kila wakati," mama akasema. Rafiki yake alicheka na kusema, "Ee- ee! Hilo litakuwa jambo zuri." Mamake Abeli akarudi kwake nyumbani. Akamwuliza Abeli, ''Unapokuwa mgonjwa au kuwa na maumivu, wewe huenda wapi?" Abeli akajibu, "Wakati mimi ni mgonjwa au nikiwa na maumivu, lazima niende kwa daktari." Mama akasema, "Ulimwumiza mwanasesere, sasa ni sharti umpeleke kwa daktari." Kwa hivyo Abeli alimpeleka mwanasesere kwa daktari. "Huyu mwanasesere ameumia vibaya sana. Mama yangu aliniambia nimlete kwako. Daktari, unaweza kumpa mkono mpya?" Daktari alikubali kumtunza mwanasesere. Aliweza kutengeneza mkono mpya. Daktari akamwambia Abeli, "Mwanasesere ana mkono mpya. Lazima unilipe. Una pesa ngapi?" Abeli akajibu, "Tafadhali daktari, sina fedha zozote. Siwezi kukulipa kwa kazi yako." Daktari akasema, "Vizuri! Huna fedha zozote? Gari langu kubwa ni chafu mno! Lisafishe na hivyo ndivyo utakavyonilipa." Abeli akachukua ndoo ya maji na kitambaa safi. Ilichukua muda mrefu sana kusafisha gari hilo chafu. Kisha Abeli akamrudishia Meri mwanasesere wake. Alifurahi sana na kumwambia Abeli, "Wewe ni ndugu mzuri. Asante sana kwa kumtengeneza mwanasesere wangu." "Dadangu, pole kwa kukasirika na kukuhuzunisha," akasema Abeli. 11 Tangu siku hiyo, Abeli hakuchukua vitu vya dadake tena. Na akajaribu sana ili asikasirishwe naye. Abeli alikumbuka muda aliouchukua kusafisha gari lile kubwa, chafu la daktari. Akaamua haikufaa kukasirika na kuvunja vitu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abeli na mwanasesere wa dadake Author - Eyobi Kitaw Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Daktari alikuwa rafiki wa mamake
{ "text": [ "Meri na Abeli" ] }
2160_swa
Abeli na mwanasesere wa dadake Kulikuwa na mvulana mmoja kwa jina Abeli. Alijitengenezea rukwama. Abeli hakuwa na dereva wa rukwama yake mpya. Akamwambia Meri dada yake, "Nataka dereva wa rukwama yangu. Tafadhali nipe mwanasesere wako. Anaweza kuketi ndani ya rukwama." Lakini Meri akasema, "Hapana, namtaka mwanasesere wangu." Wakati Meri hakumkubali amchukue mwanasesere, Abeli alikasirika sana. Alimnyakua mwanasesere na kumvuta. Meri alivuta mkono mwingine wa mwanasesere. Abeli alivuta na Meri akavuta. Mkono wa mwanasesere ukang'oka! Meri akalia na kukimbia kwa mama yake. "Angalia mama," akasema, "Abeli alivuta mkono wa mwanasesere wangu na ukang'oka. Alitaka mwanasesere wangu aketi ndani ya rukwama yake mpya lakini nilitaka kucheza naye." Mama yake akasema, "Abeli hakufanya tabia nzuri." Mama akawaza jinsi ya kumfunza mwanawe kutogusa vitu vya dadake vya kuchezea. Alikuwa na wazo. Alikwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa daktari na kumwambia, "Tafadhali, nisaidie." Daktari akajibu, "Naweza kukusaidia namna gnai, rafiki yangu?" Mama akajibu, "Mwanangu Abeli ana tabia mbaya sana siku hizi. Aling'oa mkono wa mwanasesere wa dadake. Hastahili kufanya hivyo. Kesho nitamwambia akuletee huyo mwanasesere umrudishe mkono tena." "Tafadhali mwambie Abeli kuwa lazima akulipe kwa kazi yako. Hana pesa zozote, kwa hivyo utamwambia asafishe gari lako kubwa zee ambalo huwa na vumbi kila wakati," mama akasema. Rafiki yake alicheka na kusema, "Ee- ee! Hilo litakuwa jambo zuri." Mamake Abeli akarudi kwake nyumbani. Akamwuliza Abeli, ''Unapokuwa mgonjwa au kuwa na maumivu, wewe huenda wapi?" Abeli akajibu, "Wakati mimi ni mgonjwa au nikiwa na maumivu, lazima niende kwa daktari." Mama akasema, "Ulimwumiza mwanasesere, sasa ni sharti umpeleke kwa daktari." Kwa hivyo Abeli alimpeleka mwanasesere kwa daktari. "Huyu mwanasesere ameumia vibaya sana. Mama yangu aliniambia nimlete kwako. Daktari, unaweza kumpa mkono mpya?" Daktari alikubali kumtunza mwanasesere. Aliweza kutengeneza mkono mpya. Daktari akamwambia Abeli, "Mwanasesere ana mkono mpya. Lazima unilipe. Una pesa ngapi?" Abeli akajibu, "Tafadhali daktari, sina fedha zozote. Siwezi kukulipa kwa kazi yako." Daktari akasema, "Vizuri! Huna fedha zozote? Gari langu kubwa ni chafu mno! Lisafishe na hivyo ndivyo utakavyonilipa." Abeli akachukua ndoo ya maji na kitambaa safi. Ilichukua muda mrefu sana kusafisha gari hilo chafu. Kisha Abeli akamrudishia Meri mwanasesere wake. Alifurahi sana na kumwambia Abeli, "Wewe ni ndugu mzuri. Asante sana kwa kumtengeneza mwanasesere wangu." "Dadangu, pole kwa kukasirika na kukuhuzunisha," akasema Abeli. 11 Tangu siku hiyo, Abeli hakuchukua vitu vya dadake tena. Na akajaribu sana ili asikasirishwe naye. Abeli alikumbuka muda aliouchukua kusafisha gari lile kubwa, chafu la daktari. Akaamua haikufaa kukasirika na kuvunja vitu. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Abeli na mwanasesere wa dadake Author - Eyobi Kitaw Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Jesse Breytenbach Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2017 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mwanasesere alikuwa awe kama nani katika rukwama ya Abeli
{ "text": [ "Dereva" ] }
2162_swa
Adie na Adhoch Mamake Adhoch alikuwa na huzuni Hapo zamani za kale, palikuwa na sana. Alimpoteza Adhoch kwa sababu mwanamume mmoja aliyekuwa na ya wivu. wake wawili. Alilazimika kuzifanya kazi zote peke Wake zake walipata watoto yake. wasichana wawili, Adie na Adhoch. Watoto hao walipendana sana. Adie alikuwa mwenye bidii, mkarimu Adhoch aliingia majini naye na mwenye nidhamu. akabebwa ba maji hadi upande mwingine wa mto. Adhoch naye alikuwa mvivu, mchoyo na mtovu wa nidhamu. Adie aliingia majini akimwita dada Adie alipendwa na walimu. Alipata yake. "Adie uko wapi?" zawadi nyingi kutokana na bidii yake. Alisikia jibu kama lile la kwanza, "Niko Adhoch hakupata zawadi upande mwingine wa mto. Mama yoyote. Mamake Adhoch alimwonea aliniacha." wivu Adie. Mamake Adie aliugua na kufa. Jioni, Adhoch alienda kumtafuta dadake. Alimwita, "Adie! Uko wapi?" Adie hakupendwa na mamake wa kambo kama alivyopendwa na Adhoch akasikia sauti ikisema, "Niko mamake mzazi. upande mwingine wa mto. Mama aliniacha." Mama aliporudi nyumbani, Adhoch Adie alizifanya kazi zote za nyumbani. alimwuliza, "Mama, Adie yuko wapi?" Hakupata nafasi ya kujitayarisha kwenda shule. Mama alisema, "Anacheza na wenzake. Atakuja nyumbani Adhoch alisoma na kucheza na baadaye." wenzake. Hata hivyo Adie alifanya vyema katika Siku moja, mamake Adhoch alimtaka masomo yake shuleni. Alipita mitihani Adie aende naye kuchota maji mtoni. yake na kuendelea kupata zawadi. Walipofika, mama alimwambia Adie Hili lilizidi kumkera mamake Adhoch. achote maji safi mbali na ukingo wa mto. Mawimbi yalimbeba Adie hadi upande mwingine wa mto. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Adie na Adhoch Author - Christine Nyangate Translation - Christine Nyangate Illustration - Alice Toich, Catherine Groenewald, Melany Pietersen, Michael Omadi, Silva Afonso, Vusi Malindi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani alikua mwenye bidii,mkarimu na mwenye nidhamu
{ "text": [ "Adie" ] }
2162_swa
Adie na Adhoch Mamake Adhoch alikuwa na huzuni Hapo zamani za kale, palikuwa na sana. Alimpoteza Adhoch kwa sababu mwanamume mmoja aliyekuwa na ya wivu. wake wawili. Alilazimika kuzifanya kazi zote peke Wake zake walipata watoto yake. wasichana wawili, Adie na Adhoch. Watoto hao walipendana sana. Adie alikuwa mwenye bidii, mkarimu Adhoch aliingia majini naye na mwenye nidhamu. akabebwa ba maji hadi upande mwingine wa mto. Adhoch naye alikuwa mvivu, mchoyo na mtovu wa nidhamu. Adie aliingia majini akimwita dada Adie alipendwa na walimu. Alipata yake. "Adie uko wapi?" zawadi nyingi kutokana na bidii yake. Alisikia jibu kama lile la kwanza, "Niko Adhoch hakupata zawadi upande mwingine wa mto. Mama yoyote. Mamake Adhoch alimwonea aliniacha." wivu Adie. Mamake Adie aliugua na kufa. Jioni, Adhoch alienda kumtafuta dadake. Alimwita, "Adie! Uko wapi?" Adie hakupendwa na mamake wa kambo kama alivyopendwa na Adhoch akasikia sauti ikisema, "Niko mamake mzazi. upande mwingine wa mto. Mama aliniacha." Mama aliporudi nyumbani, Adhoch Adie alizifanya kazi zote za nyumbani. alimwuliza, "Mama, Adie yuko wapi?" Hakupata nafasi ya kujitayarisha kwenda shule. Mama alisema, "Anacheza na wenzake. Atakuja nyumbani Adhoch alisoma na kucheza na baadaye." wenzake. Hata hivyo Adie alifanya vyema katika Siku moja, mamake Adhoch alimtaka masomo yake shuleni. Alipita mitihani Adie aende naye kuchota maji mtoni. yake na kuendelea kupata zawadi. Walipofika, mama alimwambia Adie Hili lilizidi kumkera mamake Adhoch. achote maji safi mbali na ukingo wa mto. Mawimbi yalimbeba Adie hadi upande mwingine wa mto. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Adie na Adhoch Author - Christine Nyangate Translation - Christine Nyangate Illustration - Alice Toich, Catherine Groenewald, Melany Pietersen, Michael Omadi, Silva Afonso, Vusi Malindi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikua mvivu,mchoyo na mtovu wa nidhamu
{ "text": [ "Adhoch" ] }
2162_swa
Adie na Adhoch Mamake Adhoch alikuwa na huzuni Hapo zamani za kale, palikuwa na sana. Alimpoteza Adhoch kwa sababu mwanamume mmoja aliyekuwa na ya wivu. wake wawili. Alilazimika kuzifanya kazi zote peke Wake zake walipata watoto yake. wasichana wawili, Adie na Adhoch. Watoto hao walipendana sana. Adie alikuwa mwenye bidii, mkarimu Adhoch aliingia majini naye na mwenye nidhamu. akabebwa ba maji hadi upande mwingine wa mto. Adhoch naye alikuwa mvivu, mchoyo na mtovu wa nidhamu. Adie aliingia majini akimwita dada Adie alipendwa na walimu. Alipata yake. "Adie uko wapi?" zawadi nyingi kutokana na bidii yake. Alisikia jibu kama lile la kwanza, "Niko Adhoch hakupata zawadi upande mwingine wa mto. Mama yoyote. Mamake Adhoch alimwonea aliniacha." wivu Adie. Mamake Adie aliugua na kufa. Jioni, Adhoch alienda kumtafuta dadake. Alimwita, "Adie! Uko wapi?" Adie hakupendwa na mamake wa kambo kama alivyopendwa na Adhoch akasikia sauti ikisema, "Niko mamake mzazi. upande mwingine wa mto. Mama aliniacha." Mama aliporudi nyumbani, Adhoch Adie alizifanya kazi zote za nyumbani. alimwuliza, "Mama, Adie yuko wapi?" Hakupata nafasi ya kujitayarisha kwenda shule. Mama alisema, "Anacheza na wenzake. Atakuja nyumbani Adhoch alisoma na kucheza na baadaye." wenzake. Hata hivyo Adie alifanya vyema katika Siku moja, mamake Adhoch alimtaka masomo yake shuleni. Alipita mitihani Adie aende naye kuchota maji mtoni. yake na kuendelea kupata zawadi. Walipofika, mama alimwambia Adie Hili lilizidi kumkera mamake Adhoch. achote maji safi mbali na ukingo wa mto. Mawimbi yalimbeba Adie hadi upande mwingine wa mto. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Adie na Adhoch Author - Christine Nyangate Translation - Christine Nyangate Illustration - Alice Toich, Catherine Groenewald, Melany Pietersen, Michael Omadi, Silva Afonso, Vusi Malindi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nini ilizidi kumkera mamake Adhoch
{ "text": [ "Adie kuendelea kuzawadiwa" ] }
2162_swa
Adie na Adhoch Mamake Adhoch alikuwa na huzuni Hapo zamani za kale, palikuwa na sana. Alimpoteza Adhoch kwa sababu mwanamume mmoja aliyekuwa na ya wivu. wake wawili. Alilazimika kuzifanya kazi zote peke Wake zake walipata watoto yake. wasichana wawili, Adie na Adhoch. Watoto hao walipendana sana. Adie alikuwa mwenye bidii, mkarimu Adhoch aliingia majini naye na mwenye nidhamu. akabebwa ba maji hadi upande mwingine wa mto. Adhoch naye alikuwa mvivu, mchoyo na mtovu wa nidhamu. Adie aliingia majini akimwita dada Adie alipendwa na walimu. Alipata yake. "Adie uko wapi?" zawadi nyingi kutokana na bidii yake. Alisikia jibu kama lile la kwanza, "Niko Adhoch hakupata zawadi upande mwingine wa mto. Mama yoyote. Mamake Adhoch alimwonea aliniacha." wivu Adie. Mamake Adie aliugua na kufa. Jioni, Adhoch alienda kumtafuta dadake. Alimwita, "Adie! Uko wapi?" Adie hakupendwa na mamake wa kambo kama alivyopendwa na Adhoch akasikia sauti ikisema, "Niko mamake mzazi. upande mwingine wa mto. Mama aliniacha." Mama aliporudi nyumbani, Adhoch Adie alizifanya kazi zote za nyumbani. alimwuliza, "Mama, Adie yuko wapi?" Hakupata nafasi ya kujitayarisha kwenda shule. Mama alisema, "Anacheza na wenzake. Atakuja nyumbani Adhoch alisoma na kucheza na baadaye." wenzake. Hata hivyo Adie alifanya vyema katika Siku moja, mamake Adhoch alimtaka masomo yake shuleni. Alipita mitihani Adie aende naye kuchota maji mtoni. yake na kuendelea kupata zawadi. Walipofika, mama alimwambia Adie Hili lilizidi kumkera mamake Adhoch. achote maji safi mbali na ukingo wa mto. Mawimbi yalimbeba Adie hadi upande mwingine wa mto. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Adie na Adhoch Author - Christine Nyangate Translation - Christine Nyangate Illustration - Alice Toich, Catherine Groenewald, Melany Pietersen, Michael Omadi, Silva Afonso, Vusi Malindi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Adhoch alienda kumtafuta Adie lini
{ "text": [ "jioni" ] }
2162_swa
Adie na Adhoch Mamake Adhoch alikuwa na huzuni Hapo zamani za kale, palikuwa na sana. Alimpoteza Adhoch kwa sababu mwanamume mmoja aliyekuwa na ya wivu. wake wawili. Alilazimika kuzifanya kazi zote peke Wake zake walipata watoto yake. wasichana wawili, Adie na Adhoch. Watoto hao walipendana sana. Adie alikuwa mwenye bidii, mkarimu Adhoch aliingia majini naye na mwenye nidhamu. akabebwa ba maji hadi upande mwingine wa mto. Adhoch naye alikuwa mvivu, mchoyo na mtovu wa nidhamu. Adie aliingia majini akimwita dada Adie alipendwa na walimu. Alipata yake. "Adie uko wapi?" zawadi nyingi kutokana na bidii yake. Alisikia jibu kama lile la kwanza, "Niko Adhoch hakupata zawadi upande mwingine wa mto. Mama yoyote. Mamake Adhoch alimwonea aliniacha." wivu Adie. Mamake Adie aliugua na kufa. Jioni, Adhoch alienda kumtafuta dadake. Alimwita, "Adie! Uko wapi?" Adie hakupendwa na mamake wa kambo kama alivyopendwa na Adhoch akasikia sauti ikisema, "Niko mamake mzazi. upande mwingine wa mto. Mama aliniacha." Mama aliporudi nyumbani, Adhoch Adie alizifanya kazi zote za nyumbani. alimwuliza, "Mama, Adie yuko wapi?" Hakupata nafasi ya kujitayarisha kwenda shule. Mama alisema, "Anacheza na wenzake. Atakuja nyumbani Adhoch alisoma na kucheza na baadaye." wenzake. Hata hivyo Adie alifanya vyema katika Siku moja, mamake Adhoch alimtaka masomo yake shuleni. Alipita mitihani Adie aende naye kuchota maji mtoni. yake na kuendelea kupata zawadi. Walipofika, mama alimwambia Adie Hili lilizidi kumkera mamake Adhoch. achote maji safi mbali na ukingo wa mto. Mawimbi yalimbeba Adie hadi upande mwingine wa mto. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Adie na Adhoch Author - Christine Nyangate Translation - Christine Nyangate Illustration - Alice Toich, Catherine Groenewald, Melany Pietersen, Michael Omadi, Silva Afonso, Vusi Malindi and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini mamake Adhoch alikua na huzuni
{ "text": [ "alimpoteza Adhoch kwa sababu ya wivu" ] }
2164_swa
Ah! Mpira! Mimi ninapenda kucheza na rafiki yangu Chuma. Mimi na Chuma tunapendana sana. Tukitumwa, tunaenda pamoja. Siku moja nilitumwa na bibi dukani nikanunue chumvi na mafuta. Nilienda na Chuma. Tukiwa njiani, tuliwaona watoto wenzetu wakicheza mpira wa miguu. Mimi nilitamani sana kucheza mpira huo. Nilisema, "Ah! Mpira!" Nilimwambia Chuma, "Twende tuwaombe kucheza nao mpira. Mimi hupenda mpira wa miguu." Chuma alinijibu, "Twende kwanza dukani, halafu turudi kucheza." Lakini, nilimwambia Chuma, "Tucheze kwanza wewe! Tukienda nyumbani bibi hataturuhusu." Tulikubaliwa na wenzetu tukacheza mpira. Nilikuwa golikipa. Nilijitahidi kudaka mpira. Wenzangu hawakuweza kufunga goli hata moja. Uwanja tuliochezea ulikuwa na mchanga mwingi. Magoli yake yalikuwa mawe makubwa. Baada ya mchezo, tuliondoka kwenda dukani, lakini, hatukuwa na pesa. Nilianza kulia. Chuma alinikemea, "Acha kulia. Ni wewe ulitaka tucheze kabla ya kwenda dukani." Tulirudi nyumbani bila chumvi wala mafuta. Pia, tulikuwa tumechafuka kweli kweli. Tulimkuta bibi amekasirika mno. Alituuliza, "Mmekuwa wapi muda huu wote?" Alipogundua kuwa tulipoteza hela, alisema, "Nawasamehe leo, lakini, msirudie tena kucheza bila ruhusa." Tulipoona tumesamehewa, tulienda haraka kuwalisha kuku na bata. Baadaye, tulioga na kuwa wasafi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ah! Mpira! Author - Stella Kihweo Illustration - Onesmus Kakungi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Jina la rafiki yangu ni lipi?
{ "text": [ "Chuma" ] }
2164_swa
Ah! Mpira! Mimi ninapenda kucheza na rafiki yangu Chuma. Mimi na Chuma tunapendana sana. Tukitumwa, tunaenda pamoja. Siku moja nilitumwa na bibi dukani nikanunue chumvi na mafuta. Nilienda na Chuma. Tukiwa njiani, tuliwaona watoto wenzetu wakicheza mpira wa miguu. Mimi nilitamani sana kucheza mpira huo. Nilisema, "Ah! Mpira!" Nilimwambia Chuma, "Twende tuwaombe kucheza nao mpira. Mimi hupenda mpira wa miguu." Chuma alinijibu, "Twende kwanza dukani, halafu turudi kucheza." Lakini, nilimwambia Chuma, "Tucheze kwanza wewe! Tukienda nyumbani bibi hataturuhusu." Tulikubaliwa na wenzetu tukacheza mpira. Nilikuwa golikipa. Nilijitahidi kudaka mpira. Wenzangu hawakuweza kufunga goli hata moja. Uwanja tuliochezea ulikuwa na mchanga mwingi. Magoli yake yalikuwa mawe makubwa. Baada ya mchezo, tuliondoka kwenda dukani, lakini, hatukuwa na pesa. Nilianza kulia. Chuma alinikemea, "Acha kulia. Ni wewe ulitaka tucheze kabla ya kwenda dukani." Tulirudi nyumbani bila chumvi wala mafuta. Pia, tulikuwa tumechafuka kweli kweli. Tulimkuta bibi amekasirika mno. Alituuliza, "Mmekuwa wapi muda huu wote?" Alipogundua kuwa tulipoteza hela, alisema, "Nawasamehe leo, lakini, msirudie tena kucheza bila ruhusa." Tulipoona tumesamehewa, tulienda haraka kuwalisha kuku na bata. Baadaye, tulioga na kuwa wasafi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ah! Mpira! Author - Stella Kihweo Illustration - Onesmus Kakungi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tukienda dukani, tuliwaona watoto wakicheza mpira wa aina gani?
{ "text": [ "Miguu" ] }
2164_swa
Ah! Mpira! Mimi ninapenda kucheza na rafiki yangu Chuma. Mimi na Chuma tunapendana sana. Tukitumwa, tunaenda pamoja. Siku moja nilitumwa na bibi dukani nikanunue chumvi na mafuta. Nilienda na Chuma. Tukiwa njiani, tuliwaona watoto wenzetu wakicheza mpira wa miguu. Mimi nilitamani sana kucheza mpira huo. Nilisema, "Ah! Mpira!" Nilimwambia Chuma, "Twende tuwaombe kucheza nao mpira. Mimi hupenda mpira wa miguu." Chuma alinijibu, "Twende kwanza dukani, halafu turudi kucheza." Lakini, nilimwambia Chuma, "Tucheze kwanza wewe! Tukienda nyumbani bibi hataturuhusu." Tulikubaliwa na wenzetu tukacheza mpira. Nilikuwa golikipa. Nilijitahidi kudaka mpira. Wenzangu hawakuweza kufunga goli hata moja. Uwanja tuliochezea ulikuwa na mchanga mwingi. Magoli yake yalikuwa mawe makubwa. Baada ya mchezo, tuliondoka kwenda dukani, lakini, hatukuwa na pesa. Nilianza kulia. Chuma alinikemea, "Acha kulia. Ni wewe ulitaka tucheze kabla ya kwenda dukani." Tulirudi nyumbani bila chumvi wala mafuta. Pia, tulikuwa tumechafuka kweli kweli. Tulimkuta bibi amekasirika mno. Alituuliza, "Mmekuwa wapi muda huu wote?" Alipogundua kuwa tulipoteza hela, alisema, "Nawasamehe leo, lakini, msirudie tena kucheza bila ruhusa." Tulipoona tumesamehewa, tulienda haraka kuwalisha kuku na bata. Baadaye, tulioga na kuwa wasafi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ah! Mpira! Author - Stella Kihweo Illustration - Onesmus Kakungi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nafasi yangu kwenye mchezo ulikua upi?
{ "text": [ "Golikipa" ] }
2164_swa
Ah! Mpira! Mimi ninapenda kucheza na rafiki yangu Chuma. Mimi na Chuma tunapendana sana. Tukitumwa, tunaenda pamoja. Siku moja nilitumwa na bibi dukani nikanunue chumvi na mafuta. Nilienda na Chuma. Tukiwa njiani, tuliwaona watoto wenzetu wakicheza mpira wa miguu. Mimi nilitamani sana kucheza mpira huo. Nilisema, "Ah! Mpira!" Nilimwambia Chuma, "Twende tuwaombe kucheza nao mpira. Mimi hupenda mpira wa miguu." Chuma alinijibu, "Twende kwanza dukani, halafu turudi kucheza." Lakini, nilimwambia Chuma, "Tucheze kwanza wewe! Tukienda nyumbani bibi hataturuhusu." Tulikubaliwa na wenzetu tukacheza mpira. Nilikuwa golikipa. Nilijitahidi kudaka mpira. Wenzangu hawakuweza kufunga goli hata moja. Uwanja tuliochezea ulikuwa na mchanga mwingi. Magoli yake yalikuwa mawe makubwa. Baada ya mchezo, tuliondoka kwenda dukani, lakini, hatukuwa na pesa. Nilianza kulia. Chuma alinikemea, "Acha kulia. Ni wewe ulitaka tucheze kabla ya kwenda dukani." Tulirudi nyumbani bila chumvi wala mafuta. Pia, tulikuwa tumechafuka kweli kweli. Tulimkuta bibi amekasirika mno. Alituuliza, "Mmekuwa wapi muda huu wote?" Alipogundua kuwa tulipoteza hela, alisema, "Nawasamehe leo, lakini, msirudie tena kucheza bila ruhusa." Tulipoona tumesamehewa, tulienda haraka kuwalisha kuku na bata. Baadaye, tulioga na kuwa wasafi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ah! Mpira! Author - Stella Kihweo Illustration - Onesmus Kakungi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Tungerudi nyumbani, nani hangeturuhusu kuenda kucheza?
{ "text": [ "Bibi" ] }
2164_swa
Ah! Mpira! Mimi ninapenda kucheza na rafiki yangu Chuma. Mimi na Chuma tunapendana sana. Tukitumwa, tunaenda pamoja. Siku moja nilitumwa na bibi dukani nikanunue chumvi na mafuta. Nilienda na Chuma. Tukiwa njiani, tuliwaona watoto wenzetu wakicheza mpira wa miguu. Mimi nilitamani sana kucheza mpira huo. Nilisema, "Ah! Mpira!" Nilimwambia Chuma, "Twende tuwaombe kucheza nao mpira. Mimi hupenda mpira wa miguu." Chuma alinijibu, "Twende kwanza dukani, halafu turudi kucheza." Lakini, nilimwambia Chuma, "Tucheze kwanza wewe! Tukienda nyumbani bibi hataturuhusu." Tulikubaliwa na wenzetu tukacheza mpira. Nilikuwa golikipa. Nilijitahidi kudaka mpira. Wenzangu hawakuweza kufunga goli hata moja. Uwanja tuliochezea ulikuwa na mchanga mwingi. Magoli yake yalikuwa mawe makubwa. Baada ya mchezo, tuliondoka kwenda dukani, lakini, hatukuwa na pesa. Nilianza kulia. Chuma alinikemea, "Acha kulia. Ni wewe ulitaka tucheze kabla ya kwenda dukani." Tulirudi nyumbani bila chumvi wala mafuta. Pia, tulikuwa tumechafuka kweli kweli. Tulimkuta bibi amekasirika mno. Alituuliza, "Mmekuwa wapi muda huu wote?" Alipogundua kuwa tulipoteza hela, alisema, "Nawasamehe leo, lakini, msirudie tena kucheza bila ruhusa." Tulipoona tumesamehewa, tulienda haraka kuwalisha kuku na bata. Baadaye, tulioga na kuwa wasafi. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ah! Mpira! Author - Stella Kihweo Illustration - Onesmus Kakungi Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Uwanja tuliochezea ulikua na nini?
{ "text": [ "Mchanga" ] }
2165_swa
Ajabu za Buibui Nilipokuwa mtoto mdogo tuliishi katika shamba moja pamoja na wazazi wangu na ndugu zangu. Nilipenda kuwatazama wadudu wakifanya kazi zao. Wadudu niliopenda kuwatazama zaidi ni buibui walioishi mahali mbalimbali katika boma yetu. Nilitumia muda mwingi nikiwatazama na kuona waliyokuwa wakifanya. Nilipojua kusoma nilifanya utafiti katika vitabu na kujua mambo mengi sana kuwahusu. Nilijifunza kwamba miili yao ina sehemu mbili tu ambazo ni kichwa na tumbo. Buibui huwinda na kushika mawindo: wengi huwinda wadudu wengine. Pia nilijifunza kwamba buibui wana sumu ambayo inatumiwa kuua mawindo yao. Kabla ya buibui kula chakula chake lazima akifanye kiwe majimaji. Hutengeneza hariri ambayo huitumia kujenga nyumba yake iitwayo utando. Hutaga mayai mengi na huyalinda kwa kutumia utando wake. Buibui wengi wana miguu minane ambayo hutumika kutembea na kupanda. Buibui wengine wana macho manane na wengine wana sita. Ajabu! Nilitamani sana kumweka buibui mmoja kama mnyama kipenzi lakini mama yangu alikataa kata kata. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajabu za Buibui Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Msimulizi alipenda kuwaona wadudu gani
{ "text": [ "Buibui" ] }
2165_swa
Ajabu za Buibui Nilipokuwa mtoto mdogo tuliishi katika shamba moja pamoja na wazazi wangu na ndugu zangu. Nilipenda kuwatazama wadudu wakifanya kazi zao. Wadudu niliopenda kuwatazama zaidi ni buibui walioishi mahali mbalimbali katika boma yetu. Nilitumia muda mwingi nikiwatazama na kuona waliyokuwa wakifanya. Nilipojua kusoma nilifanya utafiti katika vitabu na kujua mambo mengi sana kuwahusu. Nilijifunza kwamba miili yao ina sehemu mbili tu ambazo ni kichwa na tumbo. Buibui huwinda na kushika mawindo: wengi huwinda wadudu wengine. Pia nilijifunza kwamba buibui wana sumu ambayo inatumiwa kuua mawindo yao. Kabla ya buibui kula chakula chake lazima akifanye kiwe majimaji. Hutengeneza hariri ambayo huitumia kujenga nyumba yake iitwayo utando. Hutaga mayai mengi na huyalinda kwa kutumia utando wake. Buibui wengi wana miguu minane ambayo hutumika kutembea na kupanda. Buibui wengine wana macho manane na wengine wana sita. Ajabu! Nilitamani sana kumweka buibui mmoja kama mnyama kipenzi lakini mama yangu alikataa kata kata. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajabu za Buibui Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Msimulizi alijigunza nini kutokana na buibui
{ "text": [ "Walikuwa na sehemu mbili, kichwa na tumbo" ] }
2165_swa
Ajabu za Buibui Nilipokuwa mtoto mdogo tuliishi katika shamba moja pamoja na wazazi wangu na ndugu zangu. Nilipenda kuwatazama wadudu wakifanya kazi zao. Wadudu niliopenda kuwatazama zaidi ni buibui walioishi mahali mbalimbali katika boma yetu. Nilitumia muda mwingi nikiwatazama na kuona waliyokuwa wakifanya. Nilipojua kusoma nilifanya utafiti katika vitabu na kujua mambo mengi sana kuwahusu. Nilijifunza kwamba miili yao ina sehemu mbili tu ambazo ni kichwa na tumbo. Buibui huwinda na kushika mawindo: wengi huwinda wadudu wengine. Pia nilijifunza kwamba buibui wana sumu ambayo inatumiwa kuua mawindo yao. Kabla ya buibui kula chakula chake lazima akifanye kiwe majimaji. Hutengeneza hariri ambayo huitumia kujenga nyumba yake iitwayo utando. Hutaga mayai mengi na huyalinda kwa kutumia utando wake. Buibui wengi wana miguu minane ambayo hutumika kutembea na kupanda. Buibui wengine wana macho manane na wengine wana sita. Ajabu! Nilitamani sana kumweka buibui mmoja kama mnyama kipenzi lakini mama yangu alikataa kata kata. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajabu za Buibui Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Buibui hufanya chakula chake kiwe nini kabla kukila
{ "text": [ "Kiwe majimaji" ] }
2165_swa
Ajabu za Buibui Nilipokuwa mtoto mdogo tuliishi katika shamba moja pamoja na wazazi wangu na ndugu zangu. Nilipenda kuwatazama wadudu wakifanya kazi zao. Wadudu niliopenda kuwatazama zaidi ni buibui walioishi mahali mbalimbali katika boma yetu. Nilitumia muda mwingi nikiwatazama na kuona waliyokuwa wakifanya. Nilipojua kusoma nilifanya utafiti katika vitabu na kujua mambo mengi sana kuwahusu. Nilijifunza kwamba miili yao ina sehemu mbili tu ambazo ni kichwa na tumbo. Buibui huwinda na kushika mawindo: wengi huwinda wadudu wengine. Pia nilijifunza kwamba buibui wana sumu ambayo inatumiwa kuua mawindo yao. Kabla ya buibui kula chakula chake lazima akifanye kiwe majimaji. Hutengeneza hariri ambayo huitumia kujenga nyumba yake iitwayo utando. Hutaga mayai mengi na huyalinda kwa kutumia utando wake. Buibui wengi wana miguu minane ambayo hutumika kutembea na kupanda. Buibui wengine wana macho manane na wengine wana sita. Ajabu! Nilitamani sana kumweka buibui mmoja kama mnyama kipenzi lakini mama yangu alikataa kata kata. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajabu za Buibui Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nyumba ya buibui huitwaje
{ "text": [ "Utando" ] }
2165_swa
Ajabu za Buibui Nilipokuwa mtoto mdogo tuliishi katika shamba moja pamoja na wazazi wangu na ndugu zangu. Nilipenda kuwatazama wadudu wakifanya kazi zao. Wadudu niliopenda kuwatazama zaidi ni buibui walioishi mahali mbalimbali katika boma yetu. Nilitumia muda mwingi nikiwatazama na kuona waliyokuwa wakifanya. Nilipojua kusoma nilifanya utafiti katika vitabu na kujua mambo mengi sana kuwahusu. Nilijifunza kwamba miili yao ina sehemu mbili tu ambazo ni kichwa na tumbo. Buibui huwinda na kushika mawindo: wengi huwinda wadudu wengine. Pia nilijifunza kwamba buibui wana sumu ambayo inatumiwa kuua mawindo yao. Kabla ya buibui kula chakula chake lazima akifanye kiwe majimaji. Hutengeneza hariri ambayo huitumia kujenga nyumba yake iitwayo utando. Hutaga mayai mengi na huyalinda kwa kutumia utando wake. Buibui wengi wana miguu minane ambayo hutumika kutembea na kupanda. Buibui wengine wana macho manane na wengine wana sita. Ajabu! Nilitamani sana kumweka buibui mmoja kama mnyama kipenzi lakini mama yangu alikataa kata kata. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajabu za Buibui Author - Njeri Wachira Illustration - Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2021 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Buibui wana miguu na macho mangapi
{ "text": [ "Minane na manane/sita mtawalia" ] }
2167_swa
Ajenti wa Siri Hapo zamani, kulikuwa na msichana aliyeitwa Kate. Wazazi wa Kate walikuwa wanasayansi werevu. Walikuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa juu wa siri katika maabara yao. Mwanasayansi mwovu kwa jina Daktari Mpotovu, alitaka kujua siri hasa ya mradi huo wa siri. Usiku mmoja, Daktari Mpotovu alimtuma mshiriki wake aliyeitwa Dan Mharibifu kuwateka nyara wazazi wa Kate. Dan aliwashika wazazi. Karibu pia ampate Kate. Lakini, kwa vile Kate alikuwa mdogo na mwepesi wa mbio, aliweza kutoweke. Kate alikimbia kama umeme. Kate alijikuta katika msitu mweusi uliozungukwa na miti. Alipotazama juu, aliteleza na kuanguka! Alianguka chini, chini, chini, na kugonga kichwa chake. Kate alipoamka, alikuwa katika chumba kizuri kilichokuwa na Runinga kubwa. "Hujambo Kate," mtu aliyekuwa kwenye Runinga alisema. "Mimi ni ajenti wa siri wa Dunia Nzuri! Wewe sasa ni ajenti wetu mpya wa siri! " Maneno hayo yalimfanya Kate kuwa jasiri kama mbwa mwitu. Ajenti Kate aliuacha mti kupitia mlango wa ndani kwenye shina. Alikimbia hadi mahali Daktari Mpotovu aliishi na kumtaka wapigane vita vya watu wawili. Walipigana kwa siku mbili, hadi Kate akawa mshindi! Baada ya wazazi wake kurudi nyumbani, Kate alikwenda kumtafuta yule mtu aliyekuwa kwenye Runinga. Aliupata mti, lakini hapakuwa na mlango. Kate alikaa chini ya mti na kuwaza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajenti wa Siri Author - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Wazazi wa Kate walikuwa wanafanya kazi wapi
{ "text": [ "Kwenye mradi wa juu wa siri katika maabara yao" ] }
2167_swa
Ajenti wa Siri Hapo zamani, kulikuwa na msichana aliyeitwa Kate. Wazazi wa Kate walikuwa wanasayansi werevu. Walikuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa juu wa siri katika maabara yao. Mwanasayansi mwovu kwa jina Daktari Mpotovu, alitaka kujua siri hasa ya mradi huo wa siri. Usiku mmoja, Daktari Mpotovu alimtuma mshiriki wake aliyeitwa Dan Mharibifu kuwateka nyara wazazi wa Kate. Dan aliwashika wazazi. Karibu pia ampate Kate. Lakini, kwa vile Kate alikuwa mdogo na mwepesi wa mbio, aliweza kutoweke. Kate alikimbia kama umeme. Kate alijikuta katika msitu mweusi uliozungukwa na miti. Alipotazama juu, aliteleza na kuanguka! Alianguka chini, chini, chini, na kugonga kichwa chake. Kate alipoamka, alikuwa katika chumba kizuri kilichokuwa na Runinga kubwa. "Hujambo Kate," mtu aliyekuwa kwenye Runinga alisema. "Mimi ni ajenti wa siri wa Dunia Nzuri! Wewe sasa ni ajenti wetu mpya wa siri! " Maneno hayo yalimfanya Kate kuwa jasiri kama mbwa mwitu. Ajenti Kate aliuacha mti kupitia mlango wa ndani kwenye shina. Alikimbia hadi mahali Daktari Mpotovu aliishi na kumtaka wapigane vita vya watu wawili. Walipigana kwa siku mbili, hadi Kate akawa mshindi! Baada ya wazazi wake kurudi nyumbani, Kate alikwenda kumtafuta yule mtu aliyekuwa kwenye Runinga. Aliupata mti, lakini hapakuwa na mlango. Kate alikaa chini ya mti na kuwaza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajenti wa Siri Author - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliyewateka nyara wazazi wa Kate
{ "text": [ "Dan Mharibifu" ] }
2167_swa
Ajenti wa Siri Hapo zamani, kulikuwa na msichana aliyeitwa Kate. Wazazi wa Kate walikuwa wanasayansi werevu. Walikuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa juu wa siri katika maabara yao. Mwanasayansi mwovu kwa jina Daktari Mpotovu, alitaka kujua siri hasa ya mradi huo wa siri. Usiku mmoja, Daktari Mpotovu alimtuma mshiriki wake aliyeitwa Dan Mharibifu kuwateka nyara wazazi wa Kate. Dan aliwashika wazazi. Karibu pia ampate Kate. Lakini, kwa vile Kate alikuwa mdogo na mwepesi wa mbio, aliweza kutoweke. Kate alikimbia kama umeme. Kate alijikuta katika msitu mweusi uliozungukwa na miti. Alipotazama juu, aliteleza na kuanguka! Alianguka chini, chini, chini, na kugonga kichwa chake. Kate alipoamka, alikuwa katika chumba kizuri kilichokuwa na Runinga kubwa. "Hujambo Kate," mtu aliyekuwa kwenye Runinga alisema. "Mimi ni ajenti wa siri wa Dunia Nzuri! Wewe sasa ni ajenti wetu mpya wa siri! " Maneno hayo yalimfanya Kate kuwa jasiri kama mbwa mwitu. Ajenti Kate aliuacha mti kupitia mlango wa ndani kwenye shina. Alikimbia hadi mahali Daktari Mpotovu aliishi na kumtaka wapigane vita vya watu wawili. Walipigana kwa siku mbili, hadi Kate akawa mshindi! Baada ya wazazi wake kurudi nyumbani, Kate alikwenda kumtafuta yule mtu aliyekuwa kwenye Runinga. Aliupata mti, lakini hapakuwa na mlango. Kate alikaa chini ya mti na kuwaza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajenti wa Siri Author - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nani aliyepanga njama za kuwateka nyara wazazi wa Kate
{ "text": [ "Daktari Mpotovu" ] }
2167_swa
Ajenti wa Siri Hapo zamani, kulikuwa na msichana aliyeitwa Kate. Wazazi wa Kate walikuwa wanasayansi werevu. Walikuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa juu wa siri katika maabara yao. Mwanasayansi mwovu kwa jina Daktari Mpotovu, alitaka kujua siri hasa ya mradi huo wa siri. Usiku mmoja, Daktari Mpotovu alimtuma mshiriki wake aliyeitwa Dan Mharibifu kuwateka nyara wazazi wa Kate. Dan aliwashika wazazi. Karibu pia ampate Kate. Lakini, kwa vile Kate alikuwa mdogo na mwepesi wa mbio, aliweza kutoweke. Kate alikimbia kama umeme. Kate alijikuta katika msitu mweusi uliozungukwa na miti. Alipotazama juu, aliteleza na kuanguka! Alianguka chini, chini, chini, na kugonga kichwa chake. Kate alipoamka, alikuwa katika chumba kizuri kilichokuwa na Runinga kubwa. "Hujambo Kate," mtu aliyekuwa kwenye Runinga alisema. "Mimi ni ajenti wa siri wa Dunia Nzuri! Wewe sasa ni ajenti wetu mpya wa siri! " Maneno hayo yalimfanya Kate kuwa jasiri kama mbwa mwitu. Ajenti Kate aliuacha mti kupitia mlango wa ndani kwenye shina. Alikimbia hadi mahali Daktari Mpotovu aliishi na kumtaka wapigane vita vya watu wawili. Walipigana kwa siku mbili, hadi Kate akawa mshindi! Baada ya wazazi wake kurudi nyumbani, Kate alikwenda kumtafuta yule mtu aliyekuwa kwenye Runinga. Aliupata mti, lakini hapakuwa na mlango. Kate alikaa chini ya mti na kuwaza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajenti wa Siri Author - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni kwa njia ipi Kate alikwepa kutekwa nyara
{ "text": [ "Alikwepa kwa kukimbia kama umeme" ] }
2167_swa
Ajenti wa Siri Hapo zamani, kulikuwa na msichana aliyeitwa Kate. Wazazi wa Kate walikuwa wanasayansi werevu. Walikuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa juu wa siri katika maabara yao. Mwanasayansi mwovu kwa jina Daktari Mpotovu, alitaka kujua siri hasa ya mradi huo wa siri. Usiku mmoja, Daktari Mpotovu alimtuma mshiriki wake aliyeitwa Dan Mharibifu kuwateka nyara wazazi wa Kate. Dan aliwashika wazazi. Karibu pia ampate Kate. Lakini, kwa vile Kate alikuwa mdogo na mwepesi wa mbio, aliweza kutoweke. Kate alikimbia kama umeme. Kate alijikuta katika msitu mweusi uliozungukwa na miti. Alipotazama juu, aliteleza na kuanguka! Alianguka chini, chini, chini, na kugonga kichwa chake. Kate alipoamka, alikuwa katika chumba kizuri kilichokuwa na Runinga kubwa. "Hujambo Kate," mtu aliyekuwa kwenye Runinga alisema. "Mimi ni ajenti wa siri wa Dunia Nzuri! Wewe sasa ni ajenti wetu mpya wa siri! " Maneno hayo yalimfanya Kate kuwa jasiri kama mbwa mwitu. Ajenti Kate aliuacha mti kupitia mlango wa ndani kwenye shina. Alikimbia hadi mahali Daktari Mpotovu aliishi na kumtaka wapigane vita vya watu wawili. Walipigana kwa siku mbili, hadi Kate akawa mshindi! Baada ya wazazi wake kurudi nyumbani, Kate alikwenda kumtafuta yule mtu aliyekuwa kwenye Runinga. Aliupata mti, lakini hapakuwa na mlango. Kate alikaa chini ya mti na kuwaza. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ajenti wa Siri Author - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Translation - Brigid Simiyu Illustration - Linda Liphondo and Sbusiso Boikanyo Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2019 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mtu aliyemsalimu Kate runingani alikuwa ajenti wa nini
{ "text": [ "Ajenti wa siri wa Dunia nzuri" ] }
2168_swa
Akadeli abahatika Siku moja Akadeli, Lucia, Acharait na Maria walienda msituni kutafuta matunda. Walishikana mikono wakavuka mto mkubwa. Waliufikia mti uliojaa matunda mabivu. Walikubaliana kuukwea mti ule kuyachuma matunda. Sharti lilikuwa wayafumbe macho yao wakifanya hivyo. Hata hivyo, Lucia, Acharait na Maria hawakuyafumba macho yao. Akadeli pekee alifanya hivyo alipokuwa akichuma matunda. Ilipofika wakati wa kuyafumbua macho, Akadeli alikuta kwamba alikuwa ameyachuma matunda mabichi pekee. Lucia, Acharait na Maria walimcheka Akadeli kisha wakaondoka kwenda zao nyumbani. Akadeli aliyatupa matunda yale mabichi akaanza kuchuma mabivu. Muda mfupi baadaye, Akadeli alikijaza kikapu chake kwa matudna mabivu. Alianza kuuvuka mto ule mkubwa peke yake. Akadeli alipokuwa katikati, kikapu chake kilimponyoka na kuanguka majini. Alikasirika sana akaanza kulia. Kabla hajavuka ng'ambo, Akadeli alimwona samaki ukingoni mwa mto. Alimchukua. Alipokuwa amembeba samaki yule, mwewe alimnyang'anya akaruka naye juu. Akadeli aliona unyoya mmoja mrefu uliokuwa umeachwa na mwewe. Ingawa alikasirika, aliuchukua ule unyoya na kuendelea na safari yake. Akadeli aliwapita watu wakisherehekea harusi ya kitamaduni. Wachezaji walivalia nyasi vichwani badala ya manyoya kama ilivyokuwa desturi. Waliuchukua ule unyoya wakampatia fahali mkubwa! Akadeli alifika nyumbani na fahali wake. Wazazi na jamaa zake walifurahi sana. Lucia, Acharait na Maria walisikitaka kumdanganya Akadeli. Ilikuwa siku ya bahati kwa Akadeli! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Akadeli abahatika Author - Simon Ipoo Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Akadeli alinyang'anywa samaki na ndege yupi
{ "text": [ "Mwewe" ] }
2168_swa
Akadeli abahatika Siku moja Akadeli, Lucia, Acharait na Maria walienda msituni kutafuta matunda. Walishikana mikono wakavuka mto mkubwa. Waliufikia mti uliojaa matunda mabivu. Walikubaliana kuukwea mti ule kuyachuma matunda. Sharti lilikuwa wayafumbe macho yao wakifanya hivyo. Hata hivyo, Lucia, Acharait na Maria hawakuyafumba macho yao. Akadeli pekee alifanya hivyo alipokuwa akichuma matunda. Ilipofika wakati wa kuyafumbua macho, Akadeli alikuta kwamba alikuwa ameyachuma matunda mabichi pekee. Lucia, Acharait na Maria walimcheka Akadeli kisha wakaondoka kwenda zao nyumbani. Akadeli aliyatupa matunda yale mabichi akaanza kuchuma mabivu. Muda mfupi baadaye, Akadeli alikijaza kikapu chake kwa matudna mabivu. Alianza kuuvuka mto ule mkubwa peke yake. Akadeli alipokuwa katikati, kikapu chake kilimponyoka na kuanguka majini. Alikasirika sana akaanza kulia. Kabla hajavuka ng'ambo, Akadeli alimwona samaki ukingoni mwa mto. Alimchukua. Alipokuwa amembeba samaki yule, mwewe alimnyang'anya akaruka naye juu. Akadeli aliona unyoya mmoja mrefu uliokuwa umeachwa na mwewe. Ingawa alikasirika, aliuchukua ule unyoya na kuendelea na safari yake. Akadeli aliwapita watu wakisherehekea harusi ya kitamaduni. Wachezaji walivalia nyasi vichwani badala ya manyoya kama ilivyokuwa desturi. Waliuchukua ule unyoya wakampatia fahali mkubwa! Akadeli alifika nyumbani na fahali wake. Wazazi na jamaa zake walifurahi sana. Lucia, Acharait na Maria walisikitaka kumdanganya Akadeli. Ilikuwa siku ya bahati kwa Akadeli! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Akadeli abahatika Author - Simon Ipoo Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kuchukuliwa kwa unyoya wa Akadeli kulisababisha yeye kupewa nini
{ "text": [ "Fahali mkubwa" ] }
2168_swa
Akadeli abahatika Siku moja Akadeli, Lucia, Acharait na Maria walienda msituni kutafuta matunda. Walishikana mikono wakavuka mto mkubwa. Waliufikia mti uliojaa matunda mabivu. Walikubaliana kuukwea mti ule kuyachuma matunda. Sharti lilikuwa wayafumbe macho yao wakifanya hivyo. Hata hivyo, Lucia, Acharait na Maria hawakuyafumba macho yao. Akadeli pekee alifanya hivyo alipokuwa akichuma matunda. Ilipofika wakati wa kuyafumbua macho, Akadeli alikuta kwamba alikuwa ameyachuma matunda mabichi pekee. Lucia, Acharait na Maria walimcheka Akadeli kisha wakaondoka kwenda zao nyumbani. Akadeli aliyatupa matunda yale mabichi akaanza kuchuma mabivu. Muda mfupi baadaye, Akadeli alikijaza kikapu chake kwa matudna mabivu. Alianza kuuvuka mto ule mkubwa peke yake. Akadeli alipokuwa katikati, kikapu chake kilimponyoka na kuanguka majini. Alikasirika sana akaanza kulia. Kabla hajavuka ng'ambo, Akadeli alimwona samaki ukingoni mwa mto. Alimchukua. Alipokuwa amembeba samaki yule, mwewe alimnyang'anya akaruka naye juu. Akadeli aliona unyoya mmoja mrefu uliokuwa umeachwa na mwewe. Ingawa alikasirika, aliuchukua ule unyoya na kuendelea na safari yake. Akadeli aliwapita watu wakisherehekea harusi ya kitamaduni. Wachezaji walivalia nyasi vichwani badala ya manyoya kama ilivyokuwa desturi. Waliuchukua ule unyoya wakampatia fahali mkubwa! Akadeli alifika nyumbani na fahali wake. Wazazi na jamaa zake walifurahi sana. Lucia, Acharait na Maria walisikitaka kumdanganya Akadeli. Ilikuwa siku ya bahati kwa Akadeli! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Akadeli abahatika Author - Simon Ipoo Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Lucia na wenzake walienda msituni kutafuta nini
{ "text": [ "Matunda" ] }
2168_swa
Akadeli abahatika Siku moja Akadeli, Lucia, Acharait na Maria walienda msituni kutafuta matunda. Walishikana mikono wakavuka mto mkubwa. Waliufikia mti uliojaa matunda mabivu. Walikubaliana kuukwea mti ule kuyachuma matunda. Sharti lilikuwa wayafumbe macho yao wakifanya hivyo. Hata hivyo, Lucia, Acharait na Maria hawakuyafumba macho yao. Akadeli pekee alifanya hivyo alipokuwa akichuma matunda. Ilipofika wakati wa kuyafumbua macho, Akadeli alikuta kwamba alikuwa ameyachuma matunda mabichi pekee. Lucia, Acharait na Maria walimcheka Akadeli kisha wakaondoka kwenda zao nyumbani. Akadeli aliyatupa matunda yale mabichi akaanza kuchuma mabivu. Muda mfupi baadaye, Akadeli alikijaza kikapu chake kwa matudna mabivu. Alianza kuuvuka mto ule mkubwa peke yake. Akadeli alipokuwa katikati, kikapu chake kilimponyoka na kuanguka majini. Alikasirika sana akaanza kulia. Kabla hajavuka ng'ambo, Akadeli alimwona samaki ukingoni mwa mto. Alimchukua. Alipokuwa amembeba samaki yule, mwewe alimnyang'anya akaruka naye juu. Akadeli aliona unyoya mmoja mrefu uliokuwa umeachwa na mwewe. Ingawa alikasirika, aliuchukua ule unyoya na kuendelea na safari yake. Akadeli aliwapita watu wakisherehekea harusi ya kitamaduni. Wachezaji walivalia nyasi vichwani badala ya manyoya kama ilivyokuwa desturi. Waliuchukua ule unyoya wakampatia fahali mkubwa! Akadeli alifika nyumbani na fahali wake. Wazazi na jamaa zake walifurahi sana. Lucia, Acharait na Maria walisikitaka kumdanganya Akadeli. Ilikuwa siku ya bahati kwa Akadeli! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Akadeli abahatika Author - Simon Ipoo Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Akadeli aliyatupa matunda mabichi na kuanza kuyachuma matunda gani
{ "text": [ "Mabivu" ] }
2168_swa
Akadeli abahatika Siku moja Akadeli, Lucia, Acharait na Maria walienda msituni kutafuta matunda. Walishikana mikono wakavuka mto mkubwa. Waliufikia mti uliojaa matunda mabivu. Walikubaliana kuukwea mti ule kuyachuma matunda. Sharti lilikuwa wayafumbe macho yao wakifanya hivyo. Hata hivyo, Lucia, Acharait na Maria hawakuyafumba macho yao. Akadeli pekee alifanya hivyo alipokuwa akichuma matunda. Ilipofika wakati wa kuyafumbua macho, Akadeli alikuta kwamba alikuwa ameyachuma matunda mabichi pekee. Lucia, Acharait na Maria walimcheka Akadeli kisha wakaondoka kwenda zao nyumbani. Akadeli aliyatupa matunda yale mabichi akaanza kuchuma mabivu. Muda mfupi baadaye, Akadeli alikijaza kikapu chake kwa matudna mabivu. Alianza kuuvuka mto ule mkubwa peke yake. Akadeli alipokuwa katikati, kikapu chake kilimponyoka na kuanguka majini. Alikasirika sana akaanza kulia. Kabla hajavuka ng'ambo, Akadeli alimwona samaki ukingoni mwa mto. Alimchukua. Alipokuwa amembeba samaki yule, mwewe alimnyang'anya akaruka naye juu. Akadeli aliona unyoya mmoja mrefu uliokuwa umeachwa na mwewe. Ingawa alikasirika, aliuchukua ule unyoya na kuendelea na safari yake. Akadeli aliwapita watu wakisherehekea harusi ya kitamaduni. Wachezaji walivalia nyasi vichwani badala ya manyoya kama ilivyokuwa desturi. Waliuchukua ule unyoya wakampatia fahali mkubwa! Akadeli alifika nyumbani na fahali wake. Wazazi na jamaa zake walifurahi sana. Lucia, Acharait na Maria walisikitaka kumdanganya Akadeli. Ilikuwa siku ya bahati kwa Akadeli! You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Akadeli abahatika Author - Simon Ipoo Illustration - Rob Owen Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2016 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni wahusika wangapi wametajwa katika hadithi hii
{ "text": [ "Wanne" ] }
2171_swa
Aku, rafikiye Jua Hapo zamani, kuliishi msichana mmoja katika kijiji kilichoitwa Nchijua. Msichana huyo aliitwa Aku. Alikuwa msichana mwenye miguu mirefu mno. Aku alistaajabishwa na mambo mengi. Babake Aku aliitwa Juma na alikuwa mvuvi. Wakati mwingine, Juma alienda na Aku kuvua samaki. Alipofanya hivyo, Aku alistaajabu kwa nini kila mara jua lilimtazama kutoka juu angani. Mara nyingine Aku alimsaidia mamake, Agatha, kupika. Alipofanya hivyo, alistaajabu kwa nini mafuta yalikuwa rangi nyekundu yalipokuwa kwenye kibuyu lakini kuwa manjano yakiwa kwenye viazi vikuu. Pia, Aku alistaajabu kwa nini Oti, kakake, na wavulana wengine hawakumruhusu acheze nao mpira wa miguu. Aku alipowauliza kwa nini, walicheka kisha wakamwambia aende acheze na wasichana wenzake. Wasichana nao hawakutaka kucheza naye. "Miguu yako ni mirefu sana," walimwambia Aku kila mara. Aku alifanya urafiki na jua. Alitazamia kuliona jua kila alipoamka asubuhi. Jogoo walipowika kutangaza mawio, Aku alichezea juani huku kivuli chake kikicheza naye. Kuimba kwa ndege na kuwika kwa jogoo ilikuwa muziki mtamu kwake. Jua lilimfurahisha na kumfanya atabasamu. Lakini siku moja, jua halikuchomoza. Aku alisubiri jogoo kuwika, lakini, hawakufanya hivyo. Ndege hawakuimba. Bila jua, watu wa Nchijua hawakutekeleza majukumu ya kila siku. Wakulima hawakukuza mimea yao. Anga liligeuka kijivu likahuzunika. Juma hakwenda kuvua samaki. Watoto hawakwenda shuleni. Wanawake hawakujadiliana bei za bidhaa sokoni. Aku alivikosa vitu hivyo vyote. Alikosa kuwika kwa jogoo na nyimbo walizoimba ndege. Alichokikosa zaidi, ni kuchomoza kwa jua. Kila mmoja alitaka kujua jua lilienda wapi. "Labda jua limefariki," baadhi yao walisema. "Jua limesafiri," wengine wakasema. Wengine walimcheka Aku. Hata hivyo, Aku alijipa moyo, "Ninasema ukweli. Jua ni rafiki yangu. Jua halijafariki." Lakini hakuna yeyote aliyemsikiliza zaidi. Walisahau jua wakamcheka Aku kwa nguvu. Kilichomhuzunisha zaidi ni kule kuchekwa na watoto wenzake. Akiwa amehuzunika kama vile jua lilivyokuwa, Aku alifanya hima akaenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kimakosa. Mpira uliviringika na kuingia jikoni. Mpira ulikigonga kibuyu cha mafuta kilichokuwa jikoni kikaanguka chini. Mafuta yalimwagika nao mpira ukaloa. Oti na rafikiye mmoja waliingia jikoni kuuchukua mpira wao. Walikiona kibuyu kilichokuwa kimeanguka na mafuta yaliyomwagika. Mpira wao uliokuwa umeloa. Oti, Agatha na watu wote wa Nchijua walimtazama Aku akitoroka. Walistaajabu wasijue alichopanga kuufanyia mpira ulioloa mafuta. Aku alisimama alipofika katikati ya uwanja. Akauweka mpira chini na kwa nguvu zote, akaugonga kwa mmoja wa miguu yake mirefu. Mpira ukazunguka chini ukaelekea mwishwo wa uwanja. Ukaugonga mizizi ya mtende mmoja uliokuwa mwisho wa uwanja. Mpira huo ulielekea angani. Wakiwa vinywa wazi, watu wa Nchijua waliutazama mpira ukiruka mbali na mawingu, mbali na upeo wa macho yao. Kila kitu kikatulia. Kukawa na kimya kikubwa. Ghafla, anga lilifunguka. Mawingu yakawa kama pamba nyororo. Mpira mkubwa ukapenyezea nyuma ya mawingu. Mpira huo uliokuwa mwekundu na manjano kama mafuta, ukang'aa. Mpira huo ulikuwa jua, rafikiye Aku. Kila kitu kilisisimuka. Kimya kikamalizika. Kila mtu alifanya hima kwenda nyumbani kujitayarisha kwa shughuli za kawaida. Juma alitafuta ndoo yake ya samaki. Wakulima waliyachukua majembe yao. Watoto walioga na kuvaa tayari kwenda shuleni. Wanawake walijifunga kanga zao. Walibeba vikapu wakaenda haraka sokoni. Jua lilirejea Nchijua. Aku alikuwa amefaulu. Siku mpya ilianza… You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Aku, rafikiye Jua Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Aku aliishi katika kijiji gani
{ "text": [ "Nchijua" ] }
2171_swa
Aku, rafikiye Jua Hapo zamani, kuliishi msichana mmoja katika kijiji kilichoitwa Nchijua. Msichana huyo aliitwa Aku. Alikuwa msichana mwenye miguu mirefu mno. Aku alistaajabishwa na mambo mengi. Babake Aku aliitwa Juma na alikuwa mvuvi. Wakati mwingine, Juma alienda na Aku kuvua samaki. Alipofanya hivyo, Aku alistaajabu kwa nini kila mara jua lilimtazama kutoka juu angani. Mara nyingine Aku alimsaidia mamake, Agatha, kupika. Alipofanya hivyo, alistaajabu kwa nini mafuta yalikuwa rangi nyekundu yalipokuwa kwenye kibuyu lakini kuwa manjano yakiwa kwenye viazi vikuu. Pia, Aku alistaajabu kwa nini Oti, kakake, na wavulana wengine hawakumruhusu acheze nao mpira wa miguu. Aku alipowauliza kwa nini, walicheka kisha wakamwambia aende acheze na wasichana wenzake. Wasichana nao hawakutaka kucheza naye. "Miguu yako ni mirefu sana," walimwambia Aku kila mara. Aku alifanya urafiki na jua. Alitazamia kuliona jua kila alipoamka asubuhi. Jogoo walipowika kutangaza mawio, Aku alichezea juani huku kivuli chake kikicheza naye. Kuimba kwa ndege na kuwika kwa jogoo ilikuwa muziki mtamu kwake. Jua lilimfurahisha na kumfanya atabasamu. Lakini siku moja, jua halikuchomoza. Aku alisubiri jogoo kuwika, lakini, hawakufanya hivyo. Ndege hawakuimba. Bila jua, watu wa Nchijua hawakutekeleza majukumu ya kila siku. Wakulima hawakukuza mimea yao. Anga liligeuka kijivu likahuzunika. Juma hakwenda kuvua samaki. Watoto hawakwenda shuleni. Wanawake hawakujadiliana bei za bidhaa sokoni. Aku alivikosa vitu hivyo vyote. Alikosa kuwika kwa jogoo na nyimbo walizoimba ndege. Alichokikosa zaidi, ni kuchomoza kwa jua. Kila mmoja alitaka kujua jua lilienda wapi. "Labda jua limefariki," baadhi yao walisema. "Jua limesafiri," wengine wakasema. Wengine walimcheka Aku. Hata hivyo, Aku alijipa moyo, "Ninasema ukweli. Jua ni rafiki yangu. Jua halijafariki." Lakini hakuna yeyote aliyemsikiliza zaidi. Walisahau jua wakamcheka Aku kwa nguvu. Kilichomhuzunisha zaidi ni kule kuchekwa na watoto wenzake. Akiwa amehuzunika kama vile jua lilivyokuwa, Aku alifanya hima akaenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kimakosa. Mpira uliviringika na kuingia jikoni. Mpira ulikigonga kibuyu cha mafuta kilichokuwa jikoni kikaanguka chini. Mafuta yalimwagika nao mpira ukaloa. Oti na rafikiye mmoja waliingia jikoni kuuchukua mpira wao. Walikiona kibuyu kilichokuwa kimeanguka na mafuta yaliyomwagika. Mpira wao uliokuwa umeloa. Oti, Agatha na watu wote wa Nchijua walimtazama Aku akitoroka. Walistaajabu wasijue alichopanga kuufanyia mpira ulioloa mafuta. Aku alisimama alipofika katikati ya uwanja. Akauweka mpira chini na kwa nguvu zote, akaugonga kwa mmoja wa miguu yake mirefu. Mpira ukazunguka chini ukaelekea mwishwo wa uwanja. Ukaugonga mizizi ya mtende mmoja uliokuwa mwisho wa uwanja. Mpira huo ulielekea angani. Wakiwa vinywa wazi, watu wa Nchijua waliutazama mpira ukiruka mbali na mawingu, mbali na upeo wa macho yao. Kila kitu kikatulia. Kukawa na kimya kikubwa. Ghafla, anga lilifunguka. Mawingu yakawa kama pamba nyororo. Mpira mkubwa ukapenyezea nyuma ya mawingu. Mpira huo uliokuwa mwekundu na manjano kama mafuta, ukang'aa. Mpira huo ulikuwa jua, rafikiye Aku. Kila kitu kilisisimuka. Kimya kikamalizika. Kila mtu alifanya hima kwenda nyumbani kujitayarisha kwa shughuli za kawaida. Juma alitafuta ndoo yake ya samaki. Wakulima waliyachukua majembe yao. Watoto walioga na kuvaa tayari kwenda shuleni. Wanawake walijifunga kanga zao. Walibeba vikapu wakaenda haraka sokoni. Jua lilirejea Nchijua. Aku alikuwa amefaulu. Siku mpya ilianza… You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Aku, rafikiye Jua Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Babake Aku aliitwa nani
{ "text": [ "Juma" ] }
2171_swa
Aku, rafikiye Jua Hapo zamani, kuliishi msichana mmoja katika kijiji kilichoitwa Nchijua. Msichana huyo aliitwa Aku. Alikuwa msichana mwenye miguu mirefu mno. Aku alistaajabishwa na mambo mengi. Babake Aku aliitwa Juma na alikuwa mvuvi. Wakati mwingine, Juma alienda na Aku kuvua samaki. Alipofanya hivyo, Aku alistaajabu kwa nini kila mara jua lilimtazama kutoka juu angani. Mara nyingine Aku alimsaidia mamake, Agatha, kupika. Alipofanya hivyo, alistaajabu kwa nini mafuta yalikuwa rangi nyekundu yalipokuwa kwenye kibuyu lakini kuwa manjano yakiwa kwenye viazi vikuu. Pia, Aku alistaajabu kwa nini Oti, kakake, na wavulana wengine hawakumruhusu acheze nao mpira wa miguu. Aku alipowauliza kwa nini, walicheka kisha wakamwambia aende acheze na wasichana wenzake. Wasichana nao hawakutaka kucheza naye. "Miguu yako ni mirefu sana," walimwambia Aku kila mara. Aku alifanya urafiki na jua. Alitazamia kuliona jua kila alipoamka asubuhi. Jogoo walipowika kutangaza mawio, Aku alichezea juani huku kivuli chake kikicheza naye. Kuimba kwa ndege na kuwika kwa jogoo ilikuwa muziki mtamu kwake. Jua lilimfurahisha na kumfanya atabasamu. Lakini siku moja, jua halikuchomoza. Aku alisubiri jogoo kuwika, lakini, hawakufanya hivyo. Ndege hawakuimba. Bila jua, watu wa Nchijua hawakutekeleza majukumu ya kila siku. Wakulima hawakukuza mimea yao. Anga liligeuka kijivu likahuzunika. Juma hakwenda kuvua samaki. Watoto hawakwenda shuleni. Wanawake hawakujadiliana bei za bidhaa sokoni. Aku alivikosa vitu hivyo vyote. Alikosa kuwika kwa jogoo na nyimbo walizoimba ndege. Alichokikosa zaidi, ni kuchomoza kwa jua. Kila mmoja alitaka kujua jua lilienda wapi. "Labda jua limefariki," baadhi yao walisema. "Jua limesafiri," wengine wakasema. Wengine walimcheka Aku. Hata hivyo, Aku alijipa moyo, "Ninasema ukweli. Jua ni rafiki yangu. Jua halijafariki." Lakini hakuna yeyote aliyemsikiliza zaidi. Walisahau jua wakamcheka Aku kwa nguvu. Kilichomhuzunisha zaidi ni kule kuchekwa na watoto wenzake. Akiwa amehuzunika kama vile jua lilivyokuwa, Aku alifanya hima akaenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kimakosa. Mpira uliviringika na kuingia jikoni. Mpira ulikigonga kibuyu cha mafuta kilichokuwa jikoni kikaanguka chini. Mafuta yalimwagika nao mpira ukaloa. Oti na rafikiye mmoja waliingia jikoni kuuchukua mpira wao. Walikiona kibuyu kilichokuwa kimeanguka na mafuta yaliyomwagika. Mpira wao uliokuwa umeloa. Oti, Agatha na watu wote wa Nchijua walimtazama Aku akitoroka. Walistaajabu wasijue alichopanga kuufanyia mpira ulioloa mafuta. Aku alisimama alipofika katikati ya uwanja. Akauweka mpira chini na kwa nguvu zote, akaugonga kwa mmoja wa miguu yake mirefu. Mpira ukazunguka chini ukaelekea mwishwo wa uwanja. Ukaugonga mizizi ya mtende mmoja uliokuwa mwisho wa uwanja. Mpira huo ulielekea angani. Wakiwa vinywa wazi, watu wa Nchijua waliutazama mpira ukiruka mbali na mawingu, mbali na upeo wa macho yao. Kila kitu kikatulia. Kukawa na kimya kikubwa. Ghafla, anga lilifunguka. Mawingu yakawa kama pamba nyororo. Mpira mkubwa ukapenyezea nyuma ya mawingu. Mpira huo uliokuwa mwekundu na manjano kama mafuta, ukang'aa. Mpira huo ulikuwa jua, rafikiye Aku. Kila kitu kilisisimuka. Kimya kikamalizika. Kila mtu alifanya hima kwenda nyumbani kujitayarisha kwa shughuli za kawaida. Juma alitafuta ndoo yake ya samaki. Wakulima waliyachukua majembe yao. Watoto walioga na kuvaa tayari kwenda shuleni. Wanawake walijifunga kanga zao. Walibeba vikapu wakaenda haraka sokoni. Jua lilirejea Nchijua. Aku alikuwa amefaulu. Siku mpya ilianza… You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Aku, rafikiye Jua Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Aku alifanya urafiki na nani
{ "text": [ "jua" ] }
2171_swa
Aku, rafikiye Jua Hapo zamani, kuliishi msichana mmoja katika kijiji kilichoitwa Nchijua. Msichana huyo aliitwa Aku. Alikuwa msichana mwenye miguu mirefu mno. Aku alistaajabishwa na mambo mengi. Babake Aku aliitwa Juma na alikuwa mvuvi. Wakati mwingine, Juma alienda na Aku kuvua samaki. Alipofanya hivyo, Aku alistaajabu kwa nini kila mara jua lilimtazama kutoka juu angani. Mara nyingine Aku alimsaidia mamake, Agatha, kupika. Alipofanya hivyo, alistaajabu kwa nini mafuta yalikuwa rangi nyekundu yalipokuwa kwenye kibuyu lakini kuwa manjano yakiwa kwenye viazi vikuu. Pia, Aku alistaajabu kwa nini Oti, kakake, na wavulana wengine hawakumruhusu acheze nao mpira wa miguu. Aku alipowauliza kwa nini, walicheka kisha wakamwambia aende acheze na wasichana wenzake. Wasichana nao hawakutaka kucheza naye. "Miguu yako ni mirefu sana," walimwambia Aku kila mara. Aku alifanya urafiki na jua. Alitazamia kuliona jua kila alipoamka asubuhi. Jogoo walipowika kutangaza mawio, Aku alichezea juani huku kivuli chake kikicheza naye. Kuimba kwa ndege na kuwika kwa jogoo ilikuwa muziki mtamu kwake. Jua lilimfurahisha na kumfanya atabasamu. Lakini siku moja, jua halikuchomoza. Aku alisubiri jogoo kuwika, lakini, hawakufanya hivyo. Ndege hawakuimba. Bila jua, watu wa Nchijua hawakutekeleza majukumu ya kila siku. Wakulima hawakukuza mimea yao. Anga liligeuka kijivu likahuzunika. Juma hakwenda kuvua samaki. Watoto hawakwenda shuleni. Wanawake hawakujadiliana bei za bidhaa sokoni. Aku alivikosa vitu hivyo vyote. Alikosa kuwika kwa jogoo na nyimbo walizoimba ndege. Alichokikosa zaidi, ni kuchomoza kwa jua. Kila mmoja alitaka kujua jua lilienda wapi. "Labda jua limefariki," baadhi yao walisema. "Jua limesafiri," wengine wakasema. Wengine walimcheka Aku. Hata hivyo, Aku alijipa moyo, "Ninasema ukweli. Jua ni rafiki yangu. Jua halijafariki." Lakini hakuna yeyote aliyemsikiliza zaidi. Walisahau jua wakamcheka Aku kwa nguvu. Kilichomhuzunisha zaidi ni kule kuchekwa na watoto wenzake. Akiwa amehuzunika kama vile jua lilivyokuwa, Aku alifanya hima akaenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kimakosa. Mpira uliviringika na kuingia jikoni. Mpira ulikigonga kibuyu cha mafuta kilichokuwa jikoni kikaanguka chini. Mafuta yalimwagika nao mpira ukaloa. Oti na rafikiye mmoja waliingia jikoni kuuchukua mpira wao. Walikiona kibuyu kilichokuwa kimeanguka na mafuta yaliyomwagika. Mpira wao uliokuwa umeloa. Oti, Agatha na watu wote wa Nchijua walimtazama Aku akitoroka. Walistaajabu wasijue alichopanga kuufanyia mpira ulioloa mafuta. Aku alisimama alipofika katikati ya uwanja. Akauweka mpira chini na kwa nguvu zote, akaugonga kwa mmoja wa miguu yake mirefu. Mpira ukazunguka chini ukaelekea mwishwo wa uwanja. Ukaugonga mizizi ya mtende mmoja uliokuwa mwisho wa uwanja. Mpira huo ulielekea angani. Wakiwa vinywa wazi, watu wa Nchijua waliutazama mpira ukiruka mbali na mawingu, mbali na upeo wa macho yao. Kila kitu kikatulia. Kukawa na kimya kikubwa. Ghafla, anga lilifunguka. Mawingu yakawa kama pamba nyororo. Mpira mkubwa ukapenyezea nyuma ya mawingu. Mpira huo uliokuwa mwekundu na manjano kama mafuta, ukang'aa. Mpira huo ulikuwa jua, rafikiye Aku. Kila kitu kilisisimuka. Kimya kikamalizika. Kila mtu alifanya hima kwenda nyumbani kujitayarisha kwa shughuli za kawaida. Juma alitafuta ndoo yake ya samaki. Wakulima waliyachukua majembe yao. Watoto walioga na kuvaa tayari kwenda shuleni. Wanawake walijifunga kanga zao. Walibeba vikapu wakaenda haraka sokoni. Jua lilirejea Nchijua. Aku alikuwa amefaulu. Siku mpya ilianza… You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Aku, rafikiye Jua Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kipi kilimhuzunisha Aku zaidi
{ "text": [ "kuchekwa na watoto wenzake" ] }
2171_swa
Aku, rafikiye Jua Hapo zamani, kuliishi msichana mmoja katika kijiji kilichoitwa Nchijua. Msichana huyo aliitwa Aku. Alikuwa msichana mwenye miguu mirefu mno. Aku alistaajabishwa na mambo mengi. Babake Aku aliitwa Juma na alikuwa mvuvi. Wakati mwingine, Juma alienda na Aku kuvua samaki. Alipofanya hivyo, Aku alistaajabu kwa nini kila mara jua lilimtazama kutoka juu angani. Mara nyingine Aku alimsaidia mamake, Agatha, kupika. Alipofanya hivyo, alistaajabu kwa nini mafuta yalikuwa rangi nyekundu yalipokuwa kwenye kibuyu lakini kuwa manjano yakiwa kwenye viazi vikuu. Pia, Aku alistaajabu kwa nini Oti, kakake, na wavulana wengine hawakumruhusu acheze nao mpira wa miguu. Aku alipowauliza kwa nini, walicheka kisha wakamwambia aende acheze na wasichana wenzake. Wasichana nao hawakutaka kucheza naye. "Miguu yako ni mirefu sana," walimwambia Aku kila mara. Aku alifanya urafiki na jua. Alitazamia kuliona jua kila alipoamka asubuhi. Jogoo walipowika kutangaza mawio, Aku alichezea juani huku kivuli chake kikicheza naye. Kuimba kwa ndege na kuwika kwa jogoo ilikuwa muziki mtamu kwake. Jua lilimfurahisha na kumfanya atabasamu. Lakini siku moja, jua halikuchomoza. Aku alisubiri jogoo kuwika, lakini, hawakufanya hivyo. Ndege hawakuimba. Bila jua, watu wa Nchijua hawakutekeleza majukumu ya kila siku. Wakulima hawakukuza mimea yao. Anga liligeuka kijivu likahuzunika. Juma hakwenda kuvua samaki. Watoto hawakwenda shuleni. Wanawake hawakujadiliana bei za bidhaa sokoni. Aku alivikosa vitu hivyo vyote. Alikosa kuwika kwa jogoo na nyimbo walizoimba ndege. Alichokikosa zaidi, ni kuchomoza kwa jua. Kila mmoja alitaka kujua jua lilienda wapi. "Labda jua limefariki," baadhi yao walisema. "Jua limesafiri," wengine wakasema. Wengine walimcheka Aku. Hata hivyo, Aku alijipa moyo, "Ninasema ukweli. Jua ni rafiki yangu. Jua halijafariki." Lakini hakuna yeyote aliyemsikiliza zaidi. Walisahau jua wakamcheka Aku kwa nguvu. Kilichomhuzunisha zaidi ni kule kuchekwa na watoto wenzake. Akiwa amehuzunika kama vile jua lilivyokuwa, Aku alifanya hima akaenda nyumbani. Aliugonga mpira wa kakake kimakosa. Mpira uliviringika na kuingia jikoni. Mpira ulikigonga kibuyu cha mafuta kilichokuwa jikoni kikaanguka chini. Mafuta yalimwagika nao mpira ukaloa. Oti na rafikiye mmoja waliingia jikoni kuuchukua mpira wao. Walikiona kibuyu kilichokuwa kimeanguka na mafuta yaliyomwagika. Mpira wao uliokuwa umeloa. Oti, Agatha na watu wote wa Nchijua walimtazama Aku akitoroka. Walistaajabu wasijue alichopanga kuufanyia mpira ulioloa mafuta. Aku alisimama alipofika katikati ya uwanja. Akauweka mpira chini na kwa nguvu zote, akaugonga kwa mmoja wa miguu yake mirefu. Mpira ukazunguka chini ukaelekea mwishwo wa uwanja. Ukaugonga mizizi ya mtende mmoja uliokuwa mwisho wa uwanja. Mpira huo ulielekea angani. Wakiwa vinywa wazi, watu wa Nchijua waliutazama mpira ukiruka mbali na mawingu, mbali na upeo wa macho yao. Kila kitu kikatulia. Kukawa na kimya kikubwa. Ghafla, anga lilifunguka. Mawingu yakawa kama pamba nyororo. Mpira mkubwa ukapenyezea nyuma ya mawingu. Mpira huo uliokuwa mwekundu na manjano kama mafuta, ukang'aa. Mpira huo ulikuwa jua, rafikiye Aku. Kila kitu kilisisimuka. Kimya kikamalizika. Kila mtu alifanya hima kwenda nyumbani kujitayarisha kwa shughuli za kawaida. Juma alitafuta ndoo yake ya samaki. Wakulima waliyachukua majembe yao. Watoto walioga na kuvaa tayari kwenda shuleni. Wanawake walijifunga kanga zao. Walibeba vikapu wakaenda haraka sokoni. Jua lilirejea Nchijua. Aku alikuwa amefaulu. Siku mpya ilianza… You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Aku, rafikiye Jua Author - Aisha Nelson Translation - Ursula Nafula Illustration - Idowu Abayomi Oluwasegun Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona wasichana hawakutaka kucheza na Aku
{ "text": [ "miguu yake ilikuwa mirefu sana" ] }
2173_swa
Amara na wanyama Amara alikuwa na umri wa miaka tisa. Alisomea shule ya msingi ya Kerema. Masomo aliyoyaenzi mno ni Kiingereza, Sayansi na Masomo ya Jamii. Alitaka kuwa wakili atakapokuwa mkubwa. Amara aliwapenda wanyama sana. Amara aliishi na mama yake, Margi. Alikuwa mkulima mwenye bidii. Baba yake Amara aliaga dunia alipokuwa na umri wa miaka mitano. Wakati Amara hakuwa shuleni, alichukua muda wake kuwa na Mbisi, mbuzi. Alimsafisha na kumlisha. Amara pia alikuwa na bembeleza wake, Simba. Mama yake hakuwapenda mbwa sana lakini alimruhusu Amara kumweka Simba. Endapo Simba angemsumbua, angefoka, "Ondoka kabla sijakupiga teke." Amara alihuzunika. Jumamosi moja, walikuwa na wageni kutoka kwa kikundi cha akina mama. Amara alifurahi kuwa rafiki za mama yake walikuwa wamekuja na watoto wao. Wangecheza kandanda. Mama yake alikuwa ameandaa chakula ambacho kikundi kilipenda. Amara alikumbushwa na mamaye kumfungia Simba. Aliwabwekea wageni. Amara hakumfungia Simba vizuri. Wageni walishangaa kumwona mbwa chumbani. Mama Oto aliuliza, "Kwa nini mnamruhusu mbwa kuingia ndani ya nyumba?" Mama alimwita Amara aje amtoe Simba nje. Amara hakusikia mama yake akimwita kwa sababu walikuwa na shughuli za kucheza. Amara alipoenda ndani ya nyumba, alimwita Simba nje. Simba alikuwa mtiifu sana kwa Amara. Baada ya mlo, wageni walisema, "Tutawatunza pia mbwa wetu vizuri kama Amara. Tunawatesa ilhali wanatusaidia sana." Baadaye, mama alimwomba Amara radhi kwa kuwa mchoyo na katili kwa Simba. Amara alifurahi kwa kuwa mwishowe mama yake alimkubali mbwa wake. Amara anapokuwa shuleni mama yake humlisha Simba. Rafiki za mama yake wamejifunza kuwa wazuri kwa mbwa wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Amara na wanyama Author - Judy B. Maranga Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Sarah Bouwer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Judy B.maranga 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Amara alitaka kuwa nani akiwa mkubwa
{ "text": [ "Wakili" ] }
2173_swa
Amara na wanyama Amara alikuwa na umri wa miaka tisa. Alisomea shule ya msingi ya Kerema. Masomo aliyoyaenzi mno ni Kiingereza, Sayansi na Masomo ya Jamii. Alitaka kuwa wakili atakapokuwa mkubwa. Amara aliwapenda wanyama sana. Amara aliishi na mama yake, Margi. Alikuwa mkulima mwenye bidii. Baba yake Amara aliaga dunia alipokuwa na umri wa miaka mitano. Wakati Amara hakuwa shuleni, alichukua muda wake kuwa na Mbisi, mbuzi. Alimsafisha na kumlisha. Amara pia alikuwa na bembeleza wake, Simba. Mama yake hakuwapenda mbwa sana lakini alimruhusu Amara kumweka Simba. Endapo Simba angemsumbua, angefoka, "Ondoka kabla sijakupiga teke." Amara alihuzunika. Jumamosi moja, walikuwa na wageni kutoka kwa kikundi cha akina mama. Amara alifurahi kuwa rafiki za mama yake walikuwa wamekuja na watoto wao. Wangecheza kandanda. Mama yake alikuwa ameandaa chakula ambacho kikundi kilipenda. Amara alikumbushwa na mamaye kumfungia Simba. Aliwabwekea wageni. Amara hakumfungia Simba vizuri. Wageni walishangaa kumwona mbwa chumbani. Mama Oto aliuliza, "Kwa nini mnamruhusu mbwa kuingia ndani ya nyumba?" Mama alimwita Amara aje amtoe Simba nje. Amara hakusikia mama yake akimwita kwa sababu walikuwa na shughuli za kucheza. Amara alipoenda ndani ya nyumba, alimwita Simba nje. Simba alikuwa mtiifu sana kwa Amara. Baada ya mlo, wageni walisema, "Tutawatunza pia mbwa wetu vizuri kama Amara. Tunawatesa ilhali wanatusaidia sana." Baadaye, mama alimwomba Amara radhi kwa kuwa mchoyo na katili kwa Simba. Amara alifurahi kwa kuwa mwishowe mama yake alimkubali mbwa wake. Amara anapokuwa shuleni mama yake humlisha Simba. Rafiki za mama yake wamejifunza kuwa wazuri kwa mbwa wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Amara na wanyama Author - Judy B. Maranga Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Sarah Bouwer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Judy B.maranga 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Baba yake Amara aliaga Amara akiwa na miaka mingapi
{ "text": [ "Miaka mitano" ] }
2173_swa
Amara na wanyama Amara alikuwa na umri wa miaka tisa. Alisomea shule ya msingi ya Kerema. Masomo aliyoyaenzi mno ni Kiingereza, Sayansi na Masomo ya Jamii. Alitaka kuwa wakili atakapokuwa mkubwa. Amara aliwapenda wanyama sana. Amara aliishi na mama yake, Margi. Alikuwa mkulima mwenye bidii. Baba yake Amara aliaga dunia alipokuwa na umri wa miaka mitano. Wakati Amara hakuwa shuleni, alichukua muda wake kuwa na Mbisi, mbuzi. Alimsafisha na kumlisha. Amara pia alikuwa na bembeleza wake, Simba. Mama yake hakuwapenda mbwa sana lakini alimruhusu Amara kumweka Simba. Endapo Simba angemsumbua, angefoka, "Ondoka kabla sijakupiga teke." Amara alihuzunika. Jumamosi moja, walikuwa na wageni kutoka kwa kikundi cha akina mama. Amara alifurahi kuwa rafiki za mama yake walikuwa wamekuja na watoto wao. Wangecheza kandanda. Mama yake alikuwa ameandaa chakula ambacho kikundi kilipenda. Amara alikumbushwa na mamaye kumfungia Simba. Aliwabwekea wageni. Amara hakumfungia Simba vizuri. Wageni walishangaa kumwona mbwa chumbani. Mama Oto aliuliza, "Kwa nini mnamruhusu mbwa kuingia ndani ya nyumba?" Mama alimwita Amara aje amtoe Simba nje. Amara hakusikia mama yake akimwita kwa sababu walikuwa na shughuli za kucheza. Amara alipoenda ndani ya nyumba, alimwita Simba nje. Simba alikuwa mtiifu sana kwa Amara. Baada ya mlo, wageni walisema, "Tutawatunza pia mbwa wetu vizuri kama Amara. Tunawatesa ilhali wanatusaidia sana." Baadaye, mama alimwomba Amara radhi kwa kuwa mchoyo na katili kwa Simba. Amara alifurahi kwa kuwa mwishowe mama yake alimkubali mbwa wake. Amara anapokuwa shuleni mama yake humlisha Simba. Rafiki za mama yake wamejifunza kuwa wazuri kwa mbwa wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Amara na wanyama Author - Judy B. Maranga Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Sarah Bouwer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Judy B.maranga 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Amara alisomea shule gani ya msingi
{ "text": [ "Kerema" ] }
2173_swa
Amara na wanyama Amara alikuwa na umri wa miaka tisa. Alisomea shule ya msingi ya Kerema. Masomo aliyoyaenzi mno ni Kiingereza, Sayansi na Masomo ya Jamii. Alitaka kuwa wakili atakapokuwa mkubwa. Amara aliwapenda wanyama sana. Amara aliishi na mama yake, Margi. Alikuwa mkulima mwenye bidii. Baba yake Amara aliaga dunia alipokuwa na umri wa miaka mitano. Wakati Amara hakuwa shuleni, alichukua muda wake kuwa na Mbisi, mbuzi. Alimsafisha na kumlisha. Amara pia alikuwa na bembeleza wake, Simba. Mama yake hakuwapenda mbwa sana lakini alimruhusu Amara kumweka Simba. Endapo Simba angemsumbua, angefoka, "Ondoka kabla sijakupiga teke." Amara alihuzunika. Jumamosi moja, walikuwa na wageni kutoka kwa kikundi cha akina mama. Amara alifurahi kuwa rafiki za mama yake walikuwa wamekuja na watoto wao. Wangecheza kandanda. Mama yake alikuwa ameandaa chakula ambacho kikundi kilipenda. Amara alikumbushwa na mamaye kumfungia Simba. Aliwabwekea wageni. Amara hakumfungia Simba vizuri. Wageni walishangaa kumwona mbwa chumbani. Mama Oto aliuliza, "Kwa nini mnamruhusu mbwa kuingia ndani ya nyumba?" Mama alimwita Amara aje amtoe Simba nje. Amara hakusikia mama yake akimwita kwa sababu walikuwa na shughuli za kucheza. Amara alipoenda ndani ya nyumba, alimwita Simba nje. Simba alikuwa mtiifu sana kwa Amara. Baada ya mlo, wageni walisema, "Tutawatunza pia mbwa wetu vizuri kama Amara. Tunawatesa ilhali wanatusaidia sana." Baadaye, mama alimwomba Amara radhi kwa kuwa mchoyo na katili kwa Simba. Amara alifurahi kwa kuwa mwishowe mama yake alimkubali mbwa wake. Amara anapokuwa shuleni mama yake humlisha Simba. Rafiki za mama yake wamejifunza kuwa wazuri kwa mbwa wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Amara na wanyama Author - Judy B. Maranga Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Sarah Bouwer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Judy B.maranga 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mamake Amara alikuwa anaitwa nani
{ "text": [ "Margi" ] }
2173_swa
Amara na wanyama Amara alikuwa na umri wa miaka tisa. Alisomea shule ya msingi ya Kerema. Masomo aliyoyaenzi mno ni Kiingereza, Sayansi na Masomo ya Jamii. Alitaka kuwa wakili atakapokuwa mkubwa. Amara aliwapenda wanyama sana. Amara aliishi na mama yake, Margi. Alikuwa mkulima mwenye bidii. Baba yake Amara aliaga dunia alipokuwa na umri wa miaka mitano. Wakati Amara hakuwa shuleni, alichukua muda wake kuwa na Mbisi, mbuzi. Alimsafisha na kumlisha. Amara pia alikuwa na bembeleza wake, Simba. Mama yake hakuwapenda mbwa sana lakini alimruhusu Amara kumweka Simba. Endapo Simba angemsumbua, angefoka, "Ondoka kabla sijakupiga teke." Amara alihuzunika. Jumamosi moja, walikuwa na wageni kutoka kwa kikundi cha akina mama. Amara alifurahi kuwa rafiki za mama yake walikuwa wamekuja na watoto wao. Wangecheza kandanda. Mama yake alikuwa ameandaa chakula ambacho kikundi kilipenda. Amara alikumbushwa na mamaye kumfungia Simba. Aliwabwekea wageni. Amara hakumfungia Simba vizuri. Wageni walishangaa kumwona mbwa chumbani. Mama Oto aliuliza, "Kwa nini mnamruhusu mbwa kuingia ndani ya nyumba?" Mama alimwita Amara aje amtoe Simba nje. Amara hakusikia mama yake akimwita kwa sababu walikuwa na shughuli za kucheza. Amara alipoenda ndani ya nyumba, alimwita Simba nje. Simba alikuwa mtiifu sana kwa Amara. Baada ya mlo, wageni walisema, "Tutawatunza pia mbwa wetu vizuri kama Amara. Tunawatesa ilhali wanatusaidia sana." Baadaye, mama alimwomba Amara radhi kwa kuwa mchoyo na katili kwa Simba. Amara alifurahi kwa kuwa mwishowe mama yake alimkubali mbwa wake. Amara anapokuwa shuleni mama yake humlisha Simba. Rafiki za mama yake wamejifunza kuwa wazuri kwa mbwa wao. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Amara na wanyama Author - Judy B. Maranga Translation - Geraldine Nanjala Illustration - Sarah Bouwer Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Judy B.maranga 2015 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni mnyama yupi aliitwa mbwa na mama Oto
{ "text": [ "Simba" ] }
2174_swa
Anansi, Kunguru na Mamba Wakati mmoja kulikuwa na kiangazi na njaa kubwa. Hakuna aliyekuwa na chakula isipokuwa Kunguru. Kila asubuhi walikwenda mbali katikati ya mto kwenye mkuyu uliokuwa na matunda matamu. Kisha walirudi wakiwa wamebeba makuyu hayo kuwaletea ndugu zao. Alipoyaona matunda hayo, Buibui Anansi, alidondokwa na mate. Je, angewezaje kuyapata matunda hayo? Baada ya kufikiri kwa muda mrefu, alipata wazo zuri. Alijipaka nta inayonata kwenye sehemu yake ya nyuma. Kisha akachukua kigae cha nyungu akaenda nyumbani kwa Kunguru akasema, "Tafadhali, naomba usadizi! Naomba kaa la moto. Jiko langu limezimika." Walipokuwa wakimchukulia kaa la moto kutoka jikoni, Buibui Anansi alikalia kuyu moja kubwa. Tunda hilo lilijinata kwenye makalio yake. Aliwashukuru kunguru akaenda haraka nyumbani kulifurahia tunda hilo. Lakini, tunda moja halikumtosha. Alirudi huko akafanya alivyofanya mara ya kwanza. Aliporudi mara ya tatu, kunguru walimwuliza. "Kwa nini unarudi hapa kila mara kuomba kaa la moto?" Buibui Anansi akajibu, "Kila ninapofika nyumbani, kaa huwa limezimika." Kunguru walimwambia, "Unatudanganya! Unatamani chakula chetu." Buibui Anansi alijitetea, "Si kweli." Akaanza kulia. Wakamhurumia wakasema, "Beba kaa jingine. Asubuhi, tutakuonyesha mkuyu wenye matunda." Asubuhi iliyofuata kila kunguru alimchangia Anansi manyoya akapata mabawa. Akaruka hadi kwenye mkuyu uliokuwa katikati ya mto. Alipoona matunda yale matamu aliyataka yote peke yake. Kila wakati kunguru alipojaribu kuchuma tunda, Buibui Anansi alisema, "Wacha, hilo ni langu! Mimi nililiona kwanza!" Halafu alichukua kila tunda na kuliweka mfukoni kwake. Hatimaye, alichukua matunda yote akawaacha kunguru bila chochote. Kunguru waliyachukua manyoya yao. Buibui Anansi aliachwa peke yake. "Siwezi kuishi kwenye mti huu maisha yangu yote," alijiambia. "Ni lazima niruke hewani kama kunguru." Akashusha pumzi, kisha akaruka, na mara, chubwi! Akaanguka mtoni baina ya mamba hatari. "Hapa tuna nyama tamu na nyororo." Mamba mmoja alisema. "Hebu tuanze kula mlo." "Tafadhali, msiniue," Buibui Anansi akasema. Kisha akaanza kulia. "Kwani hamjui mimi ni mmoja wenu? Nilipotea wakati wa mababu zenu na hakuna aliyeweza kunipata. Sasa nyinyi ni ndugu zangu!" Alilia machozi hadi mamba wakamwonea huruma. Mamba mmoja mzee hakuamini, "Tutajua kwamba wewe ni mmoja wetu ukinywa supu ya matope kama sisi." Walimpatia kibuyu cha maji machafu. "Bibi yangu alikuwa akitengeza supu kama hii," Buibui Anansi alisema. Lakini, alichimba shimo ardhini akitumia mguu wake wa nyuma, kisha akatoboa shimo kwenye kibuyu kwa mguu wake wa mbele. Alijifanya kwamba alikuwa akinywa yale maji na kumbe yalikuwa yakimwagika. "Tamu sana!" alisema huku akirudisha kibuyu kitupu. "Sasa tumejua bila shaka kwamba wewe ni mmoja wetu," mamba wakamwambia. Walimruhusu Buibui Anansi kulala pamoja nao usiku huo. "Kesho asubuhi nitawaambia hadithi kuhusu maisha yangu," Buibui Anansi aliwaambia walipokuwa wakianza kulala. Siku iliyofuata, Buibui Anansi aliamka asubuhi na mapema akamwamsha mamba mmoja. "Ningependa kwenda ili nimlete mke na watoto wangu ili wanisaidie kuhadithia. Je, utanisaidia niende kuwaleta kabla ya wengine kuamka?" Mamba huyo hakufurahi kwa kuamshwa mapema sana. "Tafadhali nisaidie! Wewe unajua kuogelea haraka kuliko mimi," Buibbui Anansi akamwambia. Mamba akakubali kumbeba Buibui Anansi kwenye pua lake hadi ukingo wa mto. Buibui Anansi aliposhuka kutoka kwenye pua la mamba alisema, "Nitarudi hivi punde. Tafadhali ningoje papo hapo!" Kisha akatorokea kwenye nyasi kwa kasi. Tangu siku hiyo, mamba angali anamngoja Buibui Anansi kwenye ukingo wa mto. Pua na macho yake makubwa yanajitokeza juu ya maji. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi, Kunguru na Mamba Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kunguru ndiye tu aliyekuwa na nini
{ "text": [ "Chakula" ] }
2174_swa
Anansi, Kunguru na Mamba Wakati mmoja kulikuwa na kiangazi na njaa kubwa. Hakuna aliyekuwa na chakula isipokuwa Kunguru. Kila asubuhi walikwenda mbali katikati ya mto kwenye mkuyu uliokuwa na matunda matamu. Kisha walirudi wakiwa wamebeba makuyu hayo kuwaletea ndugu zao. Alipoyaona matunda hayo, Buibui Anansi, alidondokwa na mate. Je, angewezaje kuyapata matunda hayo? Baada ya kufikiri kwa muda mrefu, alipata wazo zuri. Alijipaka nta inayonata kwenye sehemu yake ya nyuma. Kisha akachukua kigae cha nyungu akaenda nyumbani kwa Kunguru akasema, "Tafadhali, naomba usadizi! Naomba kaa la moto. Jiko langu limezimika." Walipokuwa wakimchukulia kaa la moto kutoka jikoni, Buibui Anansi alikalia kuyu moja kubwa. Tunda hilo lilijinata kwenye makalio yake. Aliwashukuru kunguru akaenda haraka nyumbani kulifurahia tunda hilo. Lakini, tunda moja halikumtosha. Alirudi huko akafanya alivyofanya mara ya kwanza. Aliporudi mara ya tatu, kunguru walimwuliza. "Kwa nini unarudi hapa kila mara kuomba kaa la moto?" Buibui Anansi akajibu, "Kila ninapofika nyumbani, kaa huwa limezimika." Kunguru walimwambia, "Unatudanganya! Unatamani chakula chetu." Buibui Anansi alijitetea, "Si kweli." Akaanza kulia. Wakamhurumia wakasema, "Beba kaa jingine. Asubuhi, tutakuonyesha mkuyu wenye matunda." Asubuhi iliyofuata kila kunguru alimchangia Anansi manyoya akapata mabawa. Akaruka hadi kwenye mkuyu uliokuwa katikati ya mto. Alipoona matunda yale matamu aliyataka yote peke yake. Kila wakati kunguru alipojaribu kuchuma tunda, Buibui Anansi alisema, "Wacha, hilo ni langu! Mimi nililiona kwanza!" Halafu alichukua kila tunda na kuliweka mfukoni kwake. Hatimaye, alichukua matunda yote akawaacha kunguru bila chochote. Kunguru waliyachukua manyoya yao. Buibui Anansi aliachwa peke yake. "Siwezi kuishi kwenye mti huu maisha yangu yote," alijiambia. "Ni lazima niruke hewani kama kunguru." Akashusha pumzi, kisha akaruka, na mara, chubwi! Akaanguka mtoni baina ya mamba hatari. "Hapa tuna nyama tamu na nyororo." Mamba mmoja alisema. "Hebu tuanze kula mlo." "Tafadhali, msiniue," Buibui Anansi akasema. Kisha akaanza kulia. "Kwani hamjui mimi ni mmoja wenu? Nilipotea wakati wa mababu zenu na hakuna aliyeweza kunipata. Sasa nyinyi ni ndugu zangu!" Alilia machozi hadi mamba wakamwonea huruma. Mamba mmoja mzee hakuamini, "Tutajua kwamba wewe ni mmoja wetu ukinywa supu ya matope kama sisi." Walimpatia kibuyu cha maji machafu. "Bibi yangu alikuwa akitengeza supu kama hii," Buibui Anansi alisema. Lakini, alichimba shimo ardhini akitumia mguu wake wa nyuma, kisha akatoboa shimo kwenye kibuyu kwa mguu wake wa mbele. Alijifanya kwamba alikuwa akinywa yale maji na kumbe yalikuwa yakimwagika. "Tamu sana!" alisema huku akirudisha kibuyu kitupu. "Sasa tumejua bila shaka kwamba wewe ni mmoja wetu," mamba wakamwambia. Walimruhusu Buibui Anansi kulala pamoja nao usiku huo. "Kesho asubuhi nitawaambia hadithi kuhusu maisha yangu," Buibui Anansi aliwaambia walipokuwa wakianza kulala. Siku iliyofuata, Buibui Anansi aliamka asubuhi na mapema akamwamsha mamba mmoja. "Ningependa kwenda ili nimlete mke na watoto wangu ili wanisaidie kuhadithia. Je, utanisaidia niende kuwaleta kabla ya wengine kuamka?" Mamba huyo hakufurahi kwa kuamshwa mapema sana. "Tafadhali nisaidie! Wewe unajua kuogelea haraka kuliko mimi," Buibbui Anansi akamwambia. Mamba akakubali kumbeba Buibui Anansi kwenye pua lake hadi ukingo wa mto. Buibui Anansi aliposhuka kutoka kwenye pua la mamba alisema, "Nitarudi hivi punde. Tafadhali ningoje papo hapo!" Kisha akatorokea kwenye nyasi kwa kasi. Tangu siku hiyo, mamba angali anamngoja Buibui Anansi kwenye ukingo wa mto. Pua na macho yake makubwa yanajitokeza juu ya maji. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi, Kunguru na Mamba Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ni nini ilijinata kwa makalio ya Buibui Anansi
{ "text": [ "Kuyu" ] }
2174_swa
Anansi, Kunguru na Mamba Wakati mmoja kulikuwa na kiangazi na njaa kubwa. Hakuna aliyekuwa na chakula isipokuwa Kunguru. Kila asubuhi walikwenda mbali katikati ya mto kwenye mkuyu uliokuwa na matunda matamu. Kisha walirudi wakiwa wamebeba makuyu hayo kuwaletea ndugu zao. Alipoyaona matunda hayo, Buibui Anansi, alidondokwa na mate. Je, angewezaje kuyapata matunda hayo? Baada ya kufikiri kwa muda mrefu, alipata wazo zuri. Alijipaka nta inayonata kwenye sehemu yake ya nyuma. Kisha akachukua kigae cha nyungu akaenda nyumbani kwa Kunguru akasema, "Tafadhali, naomba usadizi! Naomba kaa la moto. Jiko langu limezimika." Walipokuwa wakimchukulia kaa la moto kutoka jikoni, Buibui Anansi alikalia kuyu moja kubwa. Tunda hilo lilijinata kwenye makalio yake. Aliwashukuru kunguru akaenda haraka nyumbani kulifurahia tunda hilo. Lakini, tunda moja halikumtosha. Alirudi huko akafanya alivyofanya mara ya kwanza. Aliporudi mara ya tatu, kunguru walimwuliza. "Kwa nini unarudi hapa kila mara kuomba kaa la moto?" Buibui Anansi akajibu, "Kila ninapofika nyumbani, kaa huwa limezimika." Kunguru walimwambia, "Unatudanganya! Unatamani chakula chetu." Buibui Anansi alijitetea, "Si kweli." Akaanza kulia. Wakamhurumia wakasema, "Beba kaa jingine. Asubuhi, tutakuonyesha mkuyu wenye matunda." Asubuhi iliyofuata kila kunguru alimchangia Anansi manyoya akapata mabawa. Akaruka hadi kwenye mkuyu uliokuwa katikati ya mto. Alipoona matunda yale matamu aliyataka yote peke yake. Kila wakati kunguru alipojaribu kuchuma tunda, Buibui Anansi alisema, "Wacha, hilo ni langu! Mimi nililiona kwanza!" Halafu alichukua kila tunda na kuliweka mfukoni kwake. Hatimaye, alichukua matunda yote akawaacha kunguru bila chochote. Kunguru waliyachukua manyoya yao. Buibui Anansi aliachwa peke yake. "Siwezi kuishi kwenye mti huu maisha yangu yote," alijiambia. "Ni lazima niruke hewani kama kunguru." Akashusha pumzi, kisha akaruka, na mara, chubwi! Akaanguka mtoni baina ya mamba hatari. "Hapa tuna nyama tamu na nyororo." Mamba mmoja alisema. "Hebu tuanze kula mlo." "Tafadhali, msiniue," Buibui Anansi akasema. Kisha akaanza kulia. "Kwani hamjui mimi ni mmoja wenu? Nilipotea wakati wa mababu zenu na hakuna aliyeweza kunipata. Sasa nyinyi ni ndugu zangu!" Alilia machozi hadi mamba wakamwonea huruma. Mamba mmoja mzee hakuamini, "Tutajua kwamba wewe ni mmoja wetu ukinywa supu ya matope kama sisi." Walimpatia kibuyu cha maji machafu. "Bibi yangu alikuwa akitengeza supu kama hii," Buibui Anansi alisema. Lakini, alichimba shimo ardhini akitumia mguu wake wa nyuma, kisha akatoboa shimo kwenye kibuyu kwa mguu wake wa mbele. Alijifanya kwamba alikuwa akinywa yale maji na kumbe yalikuwa yakimwagika. "Tamu sana!" alisema huku akirudisha kibuyu kitupu. "Sasa tumejua bila shaka kwamba wewe ni mmoja wetu," mamba wakamwambia. Walimruhusu Buibui Anansi kulala pamoja nao usiku huo. "Kesho asubuhi nitawaambia hadithi kuhusu maisha yangu," Buibui Anansi aliwaambia walipokuwa wakianza kulala. Siku iliyofuata, Buibui Anansi aliamka asubuhi na mapema akamwamsha mamba mmoja. "Ningependa kwenda ili nimlete mke na watoto wangu ili wanisaidie kuhadithia. Je, utanisaidia niende kuwaleta kabla ya wengine kuamka?" Mamba huyo hakufurahi kwa kuamshwa mapema sana. "Tafadhali nisaidie! Wewe unajua kuogelea haraka kuliko mimi," Buibbui Anansi akamwambia. Mamba akakubali kumbeba Buibui Anansi kwenye pua lake hadi ukingo wa mto. Buibui Anansi aliposhuka kutoka kwenye pua la mamba alisema, "Nitarudi hivi punde. Tafadhali ningoje papo hapo!" Kisha akatorokea kwenye nyasi kwa kasi. Tangu siku hiyo, mamba angali anamngoja Buibui Anansi kwenye ukingo wa mto. Pua na macho yake makubwa yanajitokeza juu ya maji. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi, Kunguru na Mamba Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kunguru alimchangia Anansi nini
{ "text": [ "Manyoya" ] }
2174_swa
Anansi, Kunguru na Mamba Wakati mmoja kulikuwa na kiangazi na njaa kubwa. Hakuna aliyekuwa na chakula isipokuwa Kunguru. Kila asubuhi walikwenda mbali katikati ya mto kwenye mkuyu uliokuwa na matunda matamu. Kisha walirudi wakiwa wamebeba makuyu hayo kuwaletea ndugu zao. Alipoyaona matunda hayo, Buibui Anansi, alidondokwa na mate. Je, angewezaje kuyapata matunda hayo? Baada ya kufikiri kwa muda mrefu, alipata wazo zuri. Alijipaka nta inayonata kwenye sehemu yake ya nyuma. Kisha akachukua kigae cha nyungu akaenda nyumbani kwa Kunguru akasema, "Tafadhali, naomba usadizi! Naomba kaa la moto. Jiko langu limezimika." Walipokuwa wakimchukulia kaa la moto kutoka jikoni, Buibui Anansi alikalia kuyu moja kubwa. Tunda hilo lilijinata kwenye makalio yake. Aliwashukuru kunguru akaenda haraka nyumbani kulifurahia tunda hilo. Lakini, tunda moja halikumtosha. Alirudi huko akafanya alivyofanya mara ya kwanza. Aliporudi mara ya tatu, kunguru walimwuliza. "Kwa nini unarudi hapa kila mara kuomba kaa la moto?" Buibui Anansi akajibu, "Kila ninapofika nyumbani, kaa huwa limezimika." Kunguru walimwambia, "Unatudanganya! Unatamani chakula chetu." Buibui Anansi alijitetea, "Si kweli." Akaanza kulia. Wakamhurumia wakasema, "Beba kaa jingine. Asubuhi, tutakuonyesha mkuyu wenye matunda." Asubuhi iliyofuata kila kunguru alimchangia Anansi manyoya akapata mabawa. Akaruka hadi kwenye mkuyu uliokuwa katikati ya mto. Alipoona matunda yale matamu aliyataka yote peke yake. Kila wakati kunguru alipojaribu kuchuma tunda, Buibui Anansi alisema, "Wacha, hilo ni langu! Mimi nililiona kwanza!" Halafu alichukua kila tunda na kuliweka mfukoni kwake. Hatimaye, alichukua matunda yote akawaacha kunguru bila chochote. Kunguru waliyachukua manyoya yao. Buibui Anansi aliachwa peke yake. "Siwezi kuishi kwenye mti huu maisha yangu yote," alijiambia. "Ni lazima niruke hewani kama kunguru." Akashusha pumzi, kisha akaruka, na mara, chubwi! Akaanguka mtoni baina ya mamba hatari. "Hapa tuna nyama tamu na nyororo." Mamba mmoja alisema. "Hebu tuanze kula mlo." "Tafadhali, msiniue," Buibui Anansi akasema. Kisha akaanza kulia. "Kwani hamjui mimi ni mmoja wenu? Nilipotea wakati wa mababu zenu na hakuna aliyeweza kunipata. Sasa nyinyi ni ndugu zangu!" Alilia machozi hadi mamba wakamwonea huruma. Mamba mmoja mzee hakuamini, "Tutajua kwamba wewe ni mmoja wetu ukinywa supu ya matope kama sisi." Walimpatia kibuyu cha maji machafu. "Bibi yangu alikuwa akitengeza supu kama hii," Buibui Anansi alisema. Lakini, alichimba shimo ardhini akitumia mguu wake wa nyuma, kisha akatoboa shimo kwenye kibuyu kwa mguu wake wa mbele. Alijifanya kwamba alikuwa akinywa yale maji na kumbe yalikuwa yakimwagika. "Tamu sana!" alisema huku akirudisha kibuyu kitupu. "Sasa tumejua bila shaka kwamba wewe ni mmoja wetu," mamba wakamwambia. Walimruhusu Buibui Anansi kulala pamoja nao usiku huo. "Kesho asubuhi nitawaambia hadithi kuhusu maisha yangu," Buibui Anansi aliwaambia walipokuwa wakianza kulala. Siku iliyofuata, Buibui Anansi aliamka asubuhi na mapema akamwamsha mamba mmoja. "Ningependa kwenda ili nimlete mke na watoto wangu ili wanisaidie kuhadithia. Je, utanisaidia niende kuwaleta kabla ya wengine kuamka?" Mamba huyo hakufurahi kwa kuamshwa mapema sana. "Tafadhali nisaidie! Wewe unajua kuogelea haraka kuliko mimi," Buibbui Anansi akamwambia. Mamba akakubali kumbeba Buibui Anansi kwenye pua lake hadi ukingo wa mto. Buibui Anansi aliposhuka kutoka kwenye pua la mamba alisema, "Nitarudi hivi punde. Tafadhali ningoje papo hapo!" Kisha akatorokea kwenye nyasi kwa kasi. Tangu siku hiyo, mamba angali anamngoja Buibui Anansi kwenye ukingo wa mto. Pua na macho yake makubwa yanajitokeza juu ya maji. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi, Kunguru na Mamba Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alilia machozi hadi mamba wakamwonea huruma
{ "text": [ "Buibui Anansi" ] }
2174_swa
Anansi, Kunguru na Mamba Wakati mmoja kulikuwa na kiangazi na njaa kubwa. Hakuna aliyekuwa na chakula isipokuwa Kunguru. Kila asubuhi walikwenda mbali katikati ya mto kwenye mkuyu uliokuwa na matunda matamu. Kisha walirudi wakiwa wamebeba makuyu hayo kuwaletea ndugu zao. Alipoyaona matunda hayo, Buibui Anansi, alidondokwa na mate. Je, angewezaje kuyapata matunda hayo? Baada ya kufikiri kwa muda mrefu, alipata wazo zuri. Alijipaka nta inayonata kwenye sehemu yake ya nyuma. Kisha akachukua kigae cha nyungu akaenda nyumbani kwa Kunguru akasema, "Tafadhali, naomba usadizi! Naomba kaa la moto. Jiko langu limezimika." Walipokuwa wakimchukulia kaa la moto kutoka jikoni, Buibui Anansi alikalia kuyu moja kubwa. Tunda hilo lilijinata kwenye makalio yake. Aliwashukuru kunguru akaenda haraka nyumbani kulifurahia tunda hilo. Lakini, tunda moja halikumtosha. Alirudi huko akafanya alivyofanya mara ya kwanza. Aliporudi mara ya tatu, kunguru walimwuliza. "Kwa nini unarudi hapa kila mara kuomba kaa la moto?" Buibui Anansi akajibu, "Kila ninapofika nyumbani, kaa huwa limezimika." Kunguru walimwambia, "Unatudanganya! Unatamani chakula chetu." Buibui Anansi alijitetea, "Si kweli." Akaanza kulia. Wakamhurumia wakasema, "Beba kaa jingine. Asubuhi, tutakuonyesha mkuyu wenye matunda." Asubuhi iliyofuata kila kunguru alimchangia Anansi manyoya akapata mabawa. Akaruka hadi kwenye mkuyu uliokuwa katikati ya mto. Alipoona matunda yale matamu aliyataka yote peke yake. Kila wakati kunguru alipojaribu kuchuma tunda, Buibui Anansi alisema, "Wacha, hilo ni langu! Mimi nililiona kwanza!" Halafu alichukua kila tunda na kuliweka mfukoni kwake. Hatimaye, alichukua matunda yote akawaacha kunguru bila chochote. Kunguru waliyachukua manyoya yao. Buibui Anansi aliachwa peke yake. "Siwezi kuishi kwenye mti huu maisha yangu yote," alijiambia. "Ni lazima niruke hewani kama kunguru." Akashusha pumzi, kisha akaruka, na mara, chubwi! Akaanguka mtoni baina ya mamba hatari. "Hapa tuna nyama tamu na nyororo." Mamba mmoja alisema. "Hebu tuanze kula mlo." "Tafadhali, msiniue," Buibui Anansi akasema. Kisha akaanza kulia. "Kwani hamjui mimi ni mmoja wenu? Nilipotea wakati wa mababu zenu na hakuna aliyeweza kunipata. Sasa nyinyi ni ndugu zangu!" Alilia machozi hadi mamba wakamwonea huruma. Mamba mmoja mzee hakuamini, "Tutajua kwamba wewe ni mmoja wetu ukinywa supu ya matope kama sisi." Walimpatia kibuyu cha maji machafu. "Bibi yangu alikuwa akitengeza supu kama hii," Buibui Anansi alisema. Lakini, alichimba shimo ardhini akitumia mguu wake wa nyuma, kisha akatoboa shimo kwenye kibuyu kwa mguu wake wa mbele. Alijifanya kwamba alikuwa akinywa yale maji na kumbe yalikuwa yakimwagika. "Tamu sana!" alisema huku akirudisha kibuyu kitupu. "Sasa tumejua bila shaka kwamba wewe ni mmoja wetu," mamba wakamwambia. Walimruhusu Buibui Anansi kulala pamoja nao usiku huo. "Kesho asubuhi nitawaambia hadithi kuhusu maisha yangu," Buibui Anansi aliwaambia walipokuwa wakianza kulala. Siku iliyofuata, Buibui Anansi aliamka asubuhi na mapema akamwamsha mamba mmoja. "Ningependa kwenda ili nimlete mke na watoto wangu ili wanisaidie kuhadithia. Je, utanisaidia niende kuwaleta kabla ya wengine kuamka?" Mamba huyo hakufurahi kwa kuamshwa mapema sana. "Tafadhali nisaidie! Wewe unajua kuogelea haraka kuliko mimi," Buibbui Anansi akamwambia. Mamba akakubali kumbeba Buibui Anansi kwenye pua lake hadi ukingo wa mto. Buibui Anansi aliposhuka kutoka kwenye pua la mamba alisema, "Nitarudi hivi punde. Tafadhali ningoje papo hapo!" Kisha akatorokea kwenye nyasi kwa kasi. Tangu siku hiyo, mamba angali anamngoja Buibui Anansi kwenye ukingo wa mto. Pua na macho yake makubwa yanajitokeza juu ya maji. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi, Kunguru na Mamba Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Buibui Anansi aliomba asaidiwe na Mamba
{ "text": [ "Alitaka kutorokea mamba" ] }
2175_swa
Anansi awapa watu hadithi Hapo zamani za kale, Mungu wa hadithi, alizifungia hadithi zote kwenye sanduku la mbao, huko juu. Watu duniani walihuzunika sana kwa kuwa hawakuhadithiana. Wakamwuliza Buibui Anansi, mwerevu, awasaidie. Buibui Anansi alisokota utando mrefu unaonata, akautumia kupanda hadi mbinguni. "Tafadhali nipe hadithi?" Buibui Anansi alimwambia Mungu wa hadithi. Lakini Mungu wa hadithi alimcheka Anansi akisema, "Hadithi hizi ni ghali mno. Wewe buibui mdogo hutaweza kuzilipia." "Hadithi hugharimu pesa ngapi?" Buibui Anansi aliuliza." "Itabidi uniletee wanyama watatu wakali tena wa kipekee. Chui mwenye meno makali kama mkuki, nyigu anayewauma watu, na nyoka anayewameza watu," Mungu wa hadithi alisema. Alicheka tena. Alidhani kwamba hadithi zake zilikuwa salama. Buibui Anansi alishuka chini polepole. Aliwaza na kuwazua kisha akapata mpango. Alichimba shimo refu, akalifunika kwa matawi na udongo ili lisionekane, halafu, akaenda nyumbani. Asubuhi iliyofuata, chui alikuwa ameanguka kwenye lile shimo. Alikuwa akikwaruza kuta za shimo kwa hasira. "Hebu nikusaidie, rafiki yangu. Lala juu ya vijiti hivi halafu nitakuvuta utoke nje," Buibui Anansi alisema. Buibui Anansi akautungia utando wake unaonata kwenye mwili wa chui na vijiti. Akamvuta hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alimcheka akauliza, "Wako wapi nyigu na nyoka?" Buibui Anansi alirudi tena ardhini kumtafuta mnyama wa pili. Alifikiri hatimaye akapata wazo. Alichukua kibuyu kilichojaa maji na kwenda kwenye mti walimoishi nyigu. Akamwagilia nyumba ya nyigu maji mpaka ikalowa kabisa. Kisha akatafuta jani la mgomba akajikinga nalo kichwani. Akajimwagilia maji yaliyobaki kila sehemu ya mwili. Akawaita nyigu, "Aisee nyigu! Njooni mwone! Mvua inanyesha! Ingieni haraka ndani ya kibuyu changu ili mjikinge na mvua." Nyigu hawapendi kulowa maji. Walikimbilia ndani ya kibuyu cha Buibui Anansi. Kwa kasi, Buibui Anansi aliutungia utando wake kwenye mlango ili nyigu wasitoke kamwe. Akawabeba wote hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alisema, "Wapi nyoka?" Wakati huu hakucheka. Kwa hivyo, Buibui Anansi alirudi ardhini tena. Alifikiri lakini hakuna wazo zuri lililomjia akilini. Basi akamwuliza mkewe aliyekuwa na wazo bora sana. Walishirikiana kutafuta kijiti kimoja kirefu na kamba dhabiti. Walipofika karibu na mto alimoishi nyoka, walianza kubishana. Mmoja alidai kuwa kijiti kile kilikuwa kirefu huku mwingine akisema sivyo. Nyoka alitoka majini akawauliza sababu ya mabishano yao. "Mke wangu anasema kwamba kijiti hiki ni kirefu kukuliko wewe. Lakini si kweli," Buibui Anansi alisema. "Mimi ni mrefu kuliko kijiti hicho! Hebu kiweka karibu nami nijipime," nyoka alijibu. Buibui Anansi alifanya hivyo. Alimfunga yule nyoka kwenye kijiti kile kwa kutumia kamba ili kumnyoosha sawasawa. Alimbeba hadi juu mbinguni. Mungu wa hadithi akaridhika na malipo ya Buibui Anansi. Akafungua sanduku lake la mbao, akampa Buibui Anansi hadithi. Buibui Anansi alizigawa kwa mkewe, watu pamoja na wanyama. Hadithi ni za kuhadithia wala si za kuficha sandukuni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hadithi Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Ghanaian Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alizifungia hadithi zote kwenye sanduku la mbao
{ "text": [ "mungu wa hadithi" ] }
2175_swa
Anansi awapa watu hadithi Hapo zamani za kale, Mungu wa hadithi, alizifungia hadithi zote kwenye sanduku la mbao, huko juu. Watu duniani walihuzunika sana kwa kuwa hawakuhadithiana. Wakamwuliza Buibui Anansi, mwerevu, awasaidie. Buibui Anansi alisokota utando mrefu unaonata, akautumia kupanda hadi mbinguni. "Tafadhali nipe hadithi?" Buibui Anansi alimwambia Mungu wa hadithi. Lakini Mungu wa hadithi alimcheka Anansi akisema, "Hadithi hizi ni ghali mno. Wewe buibui mdogo hutaweza kuzilipia." "Hadithi hugharimu pesa ngapi?" Buibui Anansi aliuliza." "Itabidi uniletee wanyama watatu wakali tena wa kipekee. Chui mwenye meno makali kama mkuki, nyigu anayewauma watu, na nyoka anayewameza watu," Mungu wa hadithi alisema. Alicheka tena. Alidhani kwamba hadithi zake zilikuwa salama. Buibui Anansi alishuka chini polepole. Aliwaza na kuwazua kisha akapata mpango. Alichimba shimo refu, akalifunika kwa matawi na udongo ili lisionekane, halafu, akaenda nyumbani. Asubuhi iliyofuata, chui alikuwa ameanguka kwenye lile shimo. Alikuwa akikwaruza kuta za shimo kwa hasira. "Hebu nikusaidie, rafiki yangu. Lala juu ya vijiti hivi halafu nitakuvuta utoke nje," Buibui Anansi alisema. Buibui Anansi akautungia utando wake unaonata kwenye mwili wa chui na vijiti. Akamvuta hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alimcheka akauliza, "Wako wapi nyigu na nyoka?" Buibui Anansi alirudi tena ardhini kumtafuta mnyama wa pili. Alifikiri hatimaye akapata wazo. Alichukua kibuyu kilichojaa maji na kwenda kwenye mti walimoishi nyigu. Akamwagilia nyumba ya nyigu maji mpaka ikalowa kabisa. Kisha akatafuta jani la mgomba akajikinga nalo kichwani. Akajimwagilia maji yaliyobaki kila sehemu ya mwili. Akawaita nyigu, "Aisee nyigu! Njooni mwone! Mvua inanyesha! Ingieni haraka ndani ya kibuyu changu ili mjikinge na mvua." Nyigu hawapendi kulowa maji. Walikimbilia ndani ya kibuyu cha Buibui Anansi. Kwa kasi, Buibui Anansi aliutungia utando wake kwenye mlango ili nyigu wasitoke kamwe. Akawabeba wote hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alisema, "Wapi nyoka?" Wakati huu hakucheka. Kwa hivyo, Buibui Anansi alirudi ardhini tena. Alifikiri lakini hakuna wazo zuri lililomjia akilini. Basi akamwuliza mkewe aliyekuwa na wazo bora sana. Walishirikiana kutafuta kijiti kimoja kirefu na kamba dhabiti. Walipofika karibu na mto alimoishi nyoka, walianza kubishana. Mmoja alidai kuwa kijiti kile kilikuwa kirefu huku mwingine akisema sivyo. Nyoka alitoka majini akawauliza sababu ya mabishano yao. "Mke wangu anasema kwamba kijiti hiki ni kirefu kukuliko wewe. Lakini si kweli," Buibui Anansi alisema. "Mimi ni mrefu kuliko kijiti hicho! Hebu kiweka karibu nami nijipime," nyoka alijibu. Buibui Anansi alifanya hivyo. Alimfunga yule nyoka kwenye kijiti kile kwa kutumia kamba ili kumnyoosha sawasawa. Alimbeba hadi juu mbinguni. Mungu wa hadithi akaridhika na malipo ya Buibui Anansi. Akafungua sanduku lake la mbao, akampa Buibui Anansi hadithi. Buibui Anansi alizigawa kwa mkewe, watu pamoja na wanyama. Hadithi ni za kuhadithia wala si za kuficha sandukuni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hadithi Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Ghanaian Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini watu duniani walihuzunika
{ "text": [ "kwa kuwa hawakuadithiana" ] }
2175_swa
Anansi awapa watu hadithi Hapo zamani za kale, Mungu wa hadithi, alizifungia hadithi zote kwenye sanduku la mbao, huko juu. Watu duniani walihuzunika sana kwa kuwa hawakuhadithiana. Wakamwuliza Buibui Anansi, mwerevu, awasaidie. Buibui Anansi alisokota utando mrefu unaonata, akautumia kupanda hadi mbinguni. "Tafadhali nipe hadithi?" Buibui Anansi alimwambia Mungu wa hadithi. Lakini Mungu wa hadithi alimcheka Anansi akisema, "Hadithi hizi ni ghali mno. Wewe buibui mdogo hutaweza kuzilipia." "Hadithi hugharimu pesa ngapi?" Buibui Anansi aliuliza." "Itabidi uniletee wanyama watatu wakali tena wa kipekee. Chui mwenye meno makali kama mkuki, nyigu anayewauma watu, na nyoka anayewameza watu," Mungu wa hadithi alisema. Alicheka tena. Alidhani kwamba hadithi zake zilikuwa salama. Buibui Anansi alishuka chini polepole. Aliwaza na kuwazua kisha akapata mpango. Alichimba shimo refu, akalifunika kwa matawi na udongo ili lisionekane, halafu, akaenda nyumbani. Asubuhi iliyofuata, chui alikuwa ameanguka kwenye lile shimo. Alikuwa akikwaruza kuta za shimo kwa hasira. "Hebu nikusaidie, rafiki yangu. Lala juu ya vijiti hivi halafu nitakuvuta utoke nje," Buibui Anansi alisema. Buibui Anansi akautungia utando wake unaonata kwenye mwili wa chui na vijiti. Akamvuta hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alimcheka akauliza, "Wako wapi nyigu na nyoka?" Buibui Anansi alirudi tena ardhini kumtafuta mnyama wa pili. Alifikiri hatimaye akapata wazo. Alichukua kibuyu kilichojaa maji na kwenda kwenye mti walimoishi nyigu. Akamwagilia nyumba ya nyigu maji mpaka ikalowa kabisa. Kisha akatafuta jani la mgomba akajikinga nalo kichwani. Akajimwagilia maji yaliyobaki kila sehemu ya mwili. Akawaita nyigu, "Aisee nyigu! Njooni mwone! Mvua inanyesha! Ingieni haraka ndani ya kibuyu changu ili mjikinge na mvua." Nyigu hawapendi kulowa maji. Walikimbilia ndani ya kibuyu cha Buibui Anansi. Kwa kasi, Buibui Anansi aliutungia utando wake kwenye mlango ili nyigu wasitoke kamwe. Akawabeba wote hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alisema, "Wapi nyoka?" Wakati huu hakucheka. Kwa hivyo, Buibui Anansi alirudi ardhini tena. Alifikiri lakini hakuna wazo zuri lililomjia akilini. Basi akamwuliza mkewe aliyekuwa na wazo bora sana. Walishirikiana kutafuta kijiti kimoja kirefu na kamba dhabiti. Walipofika karibu na mto alimoishi nyoka, walianza kubishana. Mmoja alidai kuwa kijiti kile kilikuwa kirefu huku mwingine akisema sivyo. Nyoka alitoka majini akawauliza sababu ya mabishano yao. "Mke wangu anasema kwamba kijiti hiki ni kirefu kukuliko wewe. Lakini si kweli," Buibui Anansi alisema. "Mimi ni mrefu kuliko kijiti hicho! Hebu kiweka karibu nami nijipime," nyoka alijibu. Buibui Anansi alifanya hivyo. Alimfunga yule nyoka kwenye kijiti kile kwa kutumia kamba ili kumnyoosha sawasawa. Alimbeba hadi juu mbinguni. Mungu wa hadithi akaridhika na malipo ya Buibui Anansi. Akafungua sanduku lake la mbao, akampa Buibui Anansi hadithi. Buibui Anansi alizigawa kwa mkewe, watu pamoja na wanyama. Hadithi ni za kuhadithia wala si za kuficha sandukuni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hadithi Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Ghanaian Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Buibui Anansi alimfunga nyoka kwenye kijiti na kumbeba hadi wapi
{ "text": [ "juu mbinguni" ] }
2175_swa
Anansi awapa watu hadithi Hapo zamani za kale, Mungu wa hadithi, alizifungia hadithi zote kwenye sanduku la mbao, huko juu. Watu duniani walihuzunika sana kwa kuwa hawakuhadithiana. Wakamwuliza Buibui Anansi, mwerevu, awasaidie. Buibui Anansi alisokota utando mrefu unaonata, akautumia kupanda hadi mbinguni. "Tafadhali nipe hadithi?" Buibui Anansi alimwambia Mungu wa hadithi. Lakini Mungu wa hadithi alimcheka Anansi akisema, "Hadithi hizi ni ghali mno. Wewe buibui mdogo hutaweza kuzilipia." "Hadithi hugharimu pesa ngapi?" Buibui Anansi aliuliza." "Itabidi uniletee wanyama watatu wakali tena wa kipekee. Chui mwenye meno makali kama mkuki, nyigu anayewauma watu, na nyoka anayewameza watu," Mungu wa hadithi alisema. Alicheka tena. Alidhani kwamba hadithi zake zilikuwa salama. Buibui Anansi alishuka chini polepole. Aliwaza na kuwazua kisha akapata mpango. Alichimba shimo refu, akalifunika kwa matawi na udongo ili lisionekane, halafu, akaenda nyumbani. Asubuhi iliyofuata, chui alikuwa ameanguka kwenye lile shimo. Alikuwa akikwaruza kuta za shimo kwa hasira. "Hebu nikusaidie, rafiki yangu. Lala juu ya vijiti hivi halafu nitakuvuta utoke nje," Buibui Anansi alisema. Buibui Anansi akautungia utando wake unaonata kwenye mwili wa chui na vijiti. Akamvuta hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alimcheka akauliza, "Wako wapi nyigu na nyoka?" Buibui Anansi alirudi tena ardhini kumtafuta mnyama wa pili. Alifikiri hatimaye akapata wazo. Alichukua kibuyu kilichojaa maji na kwenda kwenye mti walimoishi nyigu. Akamwagilia nyumba ya nyigu maji mpaka ikalowa kabisa. Kisha akatafuta jani la mgomba akajikinga nalo kichwani. Akajimwagilia maji yaliyobaki kila sehemu ya mwili. Akawaita nyigu, "Aisee nyigu! Njooni mwone! Mvua inanyesha! Ingieni haraka ndani ya kibuyu changu ili mjikinge na mvua." Nyigu hawapendi kulowa maji. Walikimbilia ndani ya kibuyu cha Buibui Anansi. Kwa kasi, Buibui Anansi aliutungia utando wake kwenye mlango ili nyigu wasitoke kamwe. Akawabeba wote hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alisema, "Wapi nyoka?" Wakati huu hakucheka. Kwa hivyo, Buibui Anansi alirudi ardhini tena. Alifikiri lakini hakuna wazo zuri lililomjia akilini. Basi akamwuliza mkewe aliyekuwa na wazo bora sana. Walishirikiana kutafuta kijiti kimoja kirefu na kamba dhabiti. Walipofika karibu na mto alimoishi nyoka, walianza kubishana. Mmoja alidai kuwa kijiti kile kilikuwa kirefu huku mwingine akisema sivyo. Nyoka alitoka majini akawauliza sababu ya mabishano yao. "Mke wangu anasema kwamba kijiti hiki ni kirefu kukuliko wewe. Lakini si kweli," Buibui Anansi alisema. "Mimi ni mrefu kuliko kijiti hicho! Hebu kiweka karibu nami nijipime," nyoka alijibu. Buibui Anansi alifanya hivyo. Alimfunga yule nyoka kwenye kijiti kile kwa kutumia kamba ili kumnyoosha sawasawa. Alimbeba hadi juu mbinguni. Mungu wa hadithi akaridhika na malipo ya Buibui Anansi. Akafungua sanduku lake la mbao, akampa Buibui Anansi hadithi. Buibui Anansi alizigawa kwa mkewe, watu pamoja na wanyama. Hadithi ni za kuhadithia wala si za kuficha sandukuni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hadithi Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Ghanaian Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Hadithi ni za kuhadithiana wala si za kuficha wapi
{ "text": [ "Sandukuni" ] }
2175_swa
Anansi awapa watu hadithi Hapo zamani za kale, Mungu wa hadithi, alizifungia hadithi zote kwenye sanduku la mbao, huko juu. Watu duniani walihuzunika sana kwa kuwa hawakuhadithiana. Wakamwuliza Buibui Anansi, mwerevu, awasaidie. Buibui Anansi alisokota utando mrefu unaonata, akautumia kupanda hadi mbinguni. "Tafadhali nipe hadithi?" Buibui Anansi alimwambia Mungu wa hadithi. Lakini Mungu wa hadithi alimcheka Anansi akisema, "Hadithi hizi ni ghali mno. Wewe buibui mdogo hutaweza kuzilipia." "Hadithi hugharimu pesa ngapi?" Buibui Anansi aliuliza." "Itabidi uniletee wanyama watatu wakali tena wa kipekee. Chui mwenye meno makali kama mkuki, nyigu anayewauma watu, na nyoka anayewameza watu," Mungu wa hadithi alisema. Alicheka tena. Alidhani kwamba hadithi zake zilikuwa salama. Buibui Anansi alishuka chini polepole. Aliwaza na kuwazua kisha akapata mpango. Alichimba shimo refu, akalifunika kwa matawi na udongo ili lisionekane, halafu, akaenda nyumbani. Asubuhi iliyofuata, chui alikuwa ameanguka kwenye lile shimo. Alikuwa akikwaruza kuta za shimo kwa hasira. "Hebu nikusaidie, rafiki yangu. Lala juu ya vijiti hivi halafu nitakuvuta utoke nje," Buibui Anansi alisema. Buibui Anansi akautungia utando wake unaonata kwenye mwili wa chui na vijiti. Akamvuta hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alimcheka akauliza, "Wako wapi nyigu na nyoka?" Buibui Anansi alirudi tena ardhini kumtafuta mnyama wa pili. Alifikiri hatimaye akapata wazo. Alichukua kibuyu kilichojaa maji na kwenda kwenye mti walimoishi nyigu. Akamwagilia nyumba ya nyigu maji mpaka ikalowa kabisa. Kisha akatafuta jani la mgomba akajikinga nalo kichwani. Akajimwagilia maji yaliyobaki kila sehemu ya mwili. Akawaita nyigu, "Aisee nyigu! Njooni mwone! Mvua inanyesha! Ingieni haraka ndani ya kibuyu changu ili mjikinge na mvua." Nyigu hawapendi kulowa maji. Walikimbilia ndani ya kibuyu cha Buibui Anansi. Kwa kasi, Buibui Anansi aliutungia utando wake kwenye mlango ili nyigu wasitoke kamwe. Akawabeba wote hadi juu kwa Mungu wa hadithi. Lakini, Mungu wa hadithi alisema, "Wapi nyoka?" Wakati huu hakucheka. Kwa hivyo, Buibui Anansi alirudi ardhini tena. Alifikiri lakini hakuna wazo zuri lililomjia akilini. Basi akamwuliza mkewe aliyekuwa na wazo bora sana. Walishirikiana kutafuta kijiti kimoja kirefu na kamba dhabiti. Walipofika karibu na mto alimoishi nyoka, walianza kubishana. Mmoja alidai kuwa kijiti kile kilikuwa kirefu huku mwingine akisema sivyo. Nyoka alitoka majini akawauliza sababu ya mabishano yao. "Mke wangu anasema kwamba kijiti hiki ni kirefu kukuliko wewe. Lakini si kweli," Buibui Anansi alisema. "Mimi ni mrefu kuliko kijiti hicho! Hebu kiweka karibu nami nijipime," nyoka alijibu. Buibui Anansi alifanya hivyo. Alimfunga yule nyoka kwenye kijiti kile kwa kutumia kamba ili kumnyoosha sawasawa. Alimbeba hadi juu mbinguni. Mungu wa hadithi akaridhika na malipo ya Buibui Anansi. Akafungua sanduku lake la mbao, akampa Buibui Anansi hadithi. Buibui Anansi alizigawa kwa mkewe, watu pamoja na wanyama. Hadithi ni za kuhadithia wala si za kuficha sandukuni. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hadithi Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © Ghanaian Folktale 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini nyigu walikimbilia ndani ya kibuyu cha Buibui Anansi
{ "text": [ "kwa sababu nyigu hawapendi kulowa maji" ] }
2176_swa
Anansi awapa watu hekima Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, kushona nguo, wala kuuunda vyombo vya chuma. Lakini mungu wa hekima, aliimiliki hekima yote ambayo watu walihitaji. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo. Siku moja, mungu wa hekima aliamua kumpa Buibui Anansi chungu hicho kilichojaa ujuzi na hekima. Buibui Anansi alikitazama chungu kile. Na kila alipokitazama alipata kujua jambo jipya. Alifuarahi sana. Buibui Anansi alisema, "Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili mtu mwingine asikifikie. Ningetaka kufaidika peke yangu." Buibui Anansi alitengeneza kamba akaifungia kwenye chungu. Alijifungia kamba hiyo kiunoni. Aliukwea mti chungu kikining'inia mbele yake. Haikuwa rahisi kwani chungu kile kilimgonga magotini. Wakati huo wote, mwanawe Buibui Anansi alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama babake. Hatimaye, alimwuliza, "Baba, mbona usikifunge chungu mgongoni ili uweze kuuparaga mti?" Anansi aliamua kukifunga mgongoni chungu hicho kilichojaa hekima. Ilikuwa rahisi zaidi kukibeba kile chungu mgongoni. Baada ya muda mfupi, alifika juu ya mti. Akiwa juu aliwaza, "Mimi ndiye ninabeba hekima lakini, mwanangu anaonekana kuwa mwerevu kuniliko." Buibui Anansi alikasirika na kukitupa chini kile chungu. Chungu kilianguka na kuvunjika vigae vingi. Watu waliipata hekima wakajua kulima, kushona nguo, na kuunda vyombo vya chuma. Hivyo ndivyo watu walijua kufanya mambo yote wanayofanya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hekima Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mungu alihifadhi hekima wapi
{ "text": [ "kwenye chungu cha udongo" ] }
2176_swa
Anansi awapa watu hekima Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, kushona nguo, wala kuuunda vyombo vya chuma. Lakini mungu wa hekima, aliimiliki hekima yote ambayo watu walihitaji. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo. Siku moja, mungu wa hekima aliamua kumpa Buibui Anansi chungu hicho kilichojaa ujuzi na hekima. Buibui Anansi alikitazama chungu kile. Na kila alipokitazama alipata kujua jambo jipya. Alifuarahi sana. Buibui Anansi alisema, "Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili mtu mwingine asikifikie. Ningetaka kufaidika peke yangu." Buibui Anansi alitengeneza kamba akaifungia kwenye chungu. Alijifungia kamba hiyo kiunoni. Aliukwea mti chungu kikining'inia mbele yake. Haikuwa rahisi kwani chungu kile kilimgonga magotini. Wakati huo wote, mwanawe Buibui Anansi alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama babake. Hatimaye, alimwuliza, "Baba, mbona usikifunge chungu mgongoni ili uweze kuuparaga mti?" Anansi aliamua kukifunga mgongoni chungu hicho kilichojaa hekima. Ilikuwa rahisi zaidi kukibeba kile chungu mgongoni. Baada ya muda mfupi, alifika juu ya mti. Akiwa juu aliwaza, "Mimi ndiye ninabeba hekima lakini, mwanangu anaonekana kuwa mwerevu kuniliko." Buibui Anansi alikasirika na kukitupa chini kile chungu. Chungu kilianguka na kuvunjika vigae vingi. Watu waliipata hekima wakajua kulima, kushona nguo, na kuunda vyombo vya chuma. Hivyo ndivyo watu walijua kufanya mambo yote wanayofanya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hekima Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mungu alimpa nani chungu hicho
{ "text": [ "Buibui Anansi" ] }
2176_swa
Anansi awapa watu hekima Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, kushona nguo, wala kuuunda vyombo vya chuma. Lakini mungu wa hekima, aliimiliki hekima yote ambayo watu walihitaji. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo. Siku moja, mungu wa hekima aliamua kumpa Buibui Anansi chungu hicho kilichojaa ujuzi na hekima. Buibui Anansi alikitazama chungu kile. Na kila alipokitazama alipata kujua jambo jipya. Alifuarahi sana. Buibui Anansi alisema, "Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili mtu mwingine asikifikie. Ningetaka kufaidika peke yangu." Buibui Anansi alitengeneza kamba akaifungia kwenye chungu. Alijifungia kamba hiyo kiunoni. Aliukwea mti chungu kikining'inia mbele yake. Haikuwa rahisi kwani chungu kile kilimgonga magotini. Wakati huo wote, mwanawe Buibui Anansi alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama babake. Hatimaye, alimwuliza, "Baba, mbona usikifunge chungu mgongoni ili uweze kuuparaga mti?" Anansi aliamua kukifunga mgongoni chungu hicho kilichojaa hekima. Ilikuwa rahisi zaidi kukibeba kile chungu mgongoni. Baada ya muda mfupi, alifika juu ya mti. Akiwa juu aliwaza, "Mimi ndiye ninabeba hekima lakini, mwanangu anaonekana kuwa mwerevu kuniliko." Buibui Anansi alikasirika na kukitupa chini kile chungu. Chungu kilianguka na kuvunjika vigae vingi. Watu waliipata hekima wakajua kulima, kushona nguo, na kuunda vyombo vya chuma. Hivyo ndivyo watu walijua kufanya mambo yote wanayofanya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hekima Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Buibui Anansi alitaka kuficha chungu hicho wapi
{ "text": [ "juu ya mti mrefu" ] }
2176_swa
Anansi awapa watu hekima Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, kushona nguo, wala kuuunda vyombo vya chuma. Lakini mungu wa hekima, aliimiliki hekima yote ambayo watu walihitaji. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo. Siku moja, mungu wa hekima aliamua kumpa Buibui Anansi chungu hicho kilichojaa ujuzi na hekima. Buibui Anansi alikitazama chungu kile. Na kila alipokitazama alipata kujua jambo jipya. Alifuarahi sana. Buibui Anansi alisema, "Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili mtu mwingine asikifikie. Ningetaka kufaidika peke yangu." Buibui Anansi alitengeneza kamba akaifungia kwenye chungu. Alijifungia kamba hiyo kiunoni. Aliukwea mti chungu kikining'inia mbele yake. Haikuwa rahisi kwani chungu kile kilimgonga magotini. Wakati huo wote, mwanawe Buibui Anansi alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama babake. Hatimaye, alimwuliza, "Baba, mbona usikifunge chungu mgongoni ili uweze kuuparaga mti?" Anansi aliamua kukifunga mgongoni chungu hicho kilichojaa hekima. Ilikuwa rahisi zaidi kukibeba kile chungu mgongoni. Baada ya muda mfupi, alifika juu ya mti. Akiwa juu aliwaza, "Mimi ndiye ninabeba hekima lakini, mwanangu anaonekana kuwa mwerevu kuniliko." Buibui Anansi alikasirika na kukitupa chini kile chungu. Chungu kilianguka na kuvunjika vigae vingi. Watu waliipata hekima wakajua kulima, kushona nguo, na kuunda vyombo vya chuma. Hivyo ndivyo watu walijua kufanya mambo yote wanayofanya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hekima Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa chini ya mti
{ "text": [ "mwanawe Buibui Anansi" ] }
2176_swa
Anansi awapa watu hekima Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, kushona nguo, wala kuuunda vyombo vya chuma. Lakini mungu wa hekima, aliimiliki hekima yote ambayo watu walihitaji. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo. Siku moja, mungu wa hekima aliamua kumpa Buibui Anansi chungu hicho kilichojaa ujuzi na hekima. Buibui Anansi alikitazama chungu kile. Na kila alipokitazama alipata kujua jambo jipya. Alifuarahi sana. Buibui Anansi alisema, "Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili mtu mwingine asikifikie. Ningetaka kufaidika peke yangu." Buibui Anansi alitengeneza kamba akaifungia kwenye chungu. Alijifungia kamba hiyo kiunoni. Aliukwea mti chungu kikining'inia mbele yake. Haikuwa rahisi kwani chungu kile kilimgonga magotini. Wakati huo wote, mwanawe Buibui Anansi alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama babake. Hatimaye, alimwuliza, "Baba, mbona usikifunge chungu mgongoni ili uweze kuuparaga mti?" Anansi aliamua kukifunga mgongoni chungu hicho kilichojaa hekima. Ilikuwa rahisi zaidi kukibeba kile chungu mgongoni. Baada ya muda mfupi, alifika juu ya mti. Akiwa juu aliwaza, "Mimi ndiye ninabeba hekima lakini, mwanangu anaonekana kuwa mwerevu kuniliko." Buibui Anansi alikasirika na kukitupa chini kile chungu. Chungu kilianguka na kuvunjika vigae vingi. Watu waliipata hekima wakajua kulima, kushona nguo, na kuunda vyombo vya chuma. Hivyo ndivyo watu walijua kufanya mambo yote wanayofanya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi awapa watu hekima Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Longer paragraphs © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Mbona Buibui Anansi alifurahi kila alipokitazama chungu
{ "text": [ "alipata kujua jambo jipya" ] }
2180_swa
Anansi na Kasa Siku moja, Buibui Anansi, alivuna viazi vikuu shambani mwake. Vilipendeza na kuonekana vitamu sana. Alivichoma taratibu kwenye moto na akaanza kula. Buibui Anansi alipokuwa akitia tonge la kwanza kinywani, mlango wake ulibishwa. "Lo! Lo! Lo!" alisema moyoni. "Huyo ni nani?" Kasa, aliyeonekana mchovu, alisimama mlangoni. Kasa alisema, "Anansi, tafadhali niruhusu niingie. Nimetembea mwendo mrefu leo. Nimechoka na ninahisi njaa." Buibui Anansi alimruhusu Kasa akaingia. Buibui Anansi hakumgawia mwengine chakula chake kitamu, hata mgeni. Kasa alipotaka kula, Buibui Anansi alimkemea, "Kasa, huwezi kula kwa mikono michafu. Nenda ukanawe kwanza." Mikono ya Kasa kweli ilikuwa michafu sana kwani aliitembelea siku nzima. Kasa alijikokota hadi mtoni akanawa mikono kisha akarudi. Buibui Anansi alibaki akibugia viazi kwa haraka. Kasa aliporejea hakupata kiazi hata kimoja. Kasa alimwambia Buibui Anansi, "Asante kunialika kwa chakula cha jioni. Nami pia nitakukaribisha kwangu nikuandalie chakula kitamu." Kasa alijikokota kuelekea nyumbani kwake. Siku moja Buibui Anansi aliwasili nyumbani kwa Kasa kabla chakula cha jioni. Kasa alikuwa amejilaza chali akiota jua kama Kasa wafanyavyo. Alipomwona Buibui Anansi, alisema, "Aa! Hujambo Anansi! Umekuja kushiriki nami chakula cha jioni?" Buibui Anansi akaitikia, "Naam, nitafurahia sana, asante." Anansi alikuwa akihisi njaa mno. Kasa alipiga mbizi na kuzama chini ya mto akaandaa chakula cha jioni. Naye Buibui Anansi alingoja kando ya mto. Baada ya maandalizi, Kasa alirudi juu ya maji akasema, "Kila kitu ki tayari, karibu. Twende tukafurahie mapochopocho." Kasa alipiga mbizi tena na akaanza kula majani matamu aliyokuwa ameandaa. Buibui Anansi alijaribu kujizamisha mtoni lakini, wapi! Yeye alikuwa buibui wala sio kasa. Alishindwa kupiga mbizi kabisa. Kila alipojaribu, alielea juu ya maji. Alijaribu kuruka majini tena na tena lakini ng'o! Hakufanikiwa kukifikia chakula kilichoandaliwa na Kasa chini ya maji. Hatimaye, Buibui Anansi alipata wazo zuri. Alitia mawe kwenye mifuko ya koti lake. Akawa mzito akaweza kuzama majini. Alikuwa mwerevu kwelikweli! Sasa aliweza kuiona meza iliyojaa majani matamu na laini pamoja na vyakula vingine vya kupendeza. Alidondokwa na mate alipoviona vyakula hivyo. Buibui Anansi alipokuwa akinyoosha mkono kuchukua chakula hicho cha kupendeza, Kasa alimkataza akisema, "Anansi, unawezaje kula ukiwa umevaa koti? Haiwezekani hapa kwangu." Bila kufikiri, Buibui Anansi akasema, "Samahani! Bila shaka usemavyo ni kweli. Sikufikiria kuhusu hilo." Buibui Anansi, alilivua koti lake. Punde tu alipolivua koti, Buibui Anansi alielea juu ya maji kwa sababu hakuwa na mawe ya kumwezesha kuzama. Alihuzunika na akachopeka kichwa chake majini akawa anamtazama Kasa akila chakula hicho chote kitamu peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Kasa Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alivuna viazi vikuu shambani mwake?
{ "text": [ "Buibui Anansi" ] }
2180_swa
Anansi na Kasa Siku moja, Buibui Anansi, alivuna viazi vikuu shambani mwake. Vilipendeza na kuonekana vitamu sana. Alivichoma taratibu kwenye moto na akaanza kula. Buibui Anansi alipokuwa akitia tonge la kwanza kinywani, mlango wake ulibishwa. "Lo! Lo! Lo!" alisema moyoni. "Huyo ni nani?" Kasa, aliyeonekana mchovu, alisimama mlangoni. Kasa alisema, "Anansi, tafadhali niruhusu niingie. Nimetembea mwendo mrefu leo. Nimechoka na ninahisi njaa." Buibui Anansi alimruhusu Kasa akaingia. Buibui Anansi hakumgawia mwengine chakula chake kitamu, hata mgeni. Kasa alipotaka kula, Buibui Anansi alimkemea, "Kasa, huwezi kula kwa mikono michafu. Nenda ukanawe kwanza." Mikono ya Kasa kweli ilikuwa michafu sana kwani aliitembelea siku nzima. Kasa alijikokota hadi mtoni akanawa mikono kisha akarudi. Buibui Anansi alibaki akibugia viazi kwa haraka. Kasa aliporejea hakupata kiazi hata kimoja. Kasa alimwambia Buibui Anansi, "Asante kunialika kwa chakula cha jioni. Nami pia nitakukaribisha kwangu nikuandalie chakula kitamu." Kasa alijikokota kuelekea nyumbani kwake. Siku moja Buibui Anansi aliwasili nyumbani kwa Kasa kabla chakula cha jioni. Kasa alikuwa amejilaza chali akiota jua kama Kasa wafanyavyo. Alipomwona Buibui Anansi, alisema, "Aa! Hujambo Anansi! Umekuja kushiriki nami chakula cha jioni?" Buibui Anansi akaitikia, "Naam, nitafurahia sana, asante." Anansi alikuwa akihisi njaa mno. Kasa alipiga mbizi na kuzama chini ya mto akaandaa chakula cha jioni. Naye Buibui Anansi alingoja kando ya mto. Baada ya maandalizi, Kasa alirudi juu ya maji akasema, "Kila kitu ki tayari, karibu. Twende tukafurahie mapochopocho." Kasa alipiga mbizi tena na akaanza kula majani matamu aliyokuwa ameandaa. Buibui Anansi alijaribu kujizamisha mtoni lakini, wapi! Yeye alikuwa buibui wala sio kasa. Alishindwa kupiga mbizi kabisa. Kila alipojaribu, alielea juu ya maji. Alijaribu kuruka majini tena na tena lakini ng'o! Hakufanikiwa kukifikia chakula kilichoandaliwa na Kasa chini ya maji. Hatimaye, Buibui Anansi alipata wazo zuri. Alitia mawe kwenye mifuko ya koti lake. Akawa mzito akaweza kuzama majini. Alikuwa mwerevu kwelikweli! Sasa aliweza kuiona meza iliyojaa majani matamu na laini pamoja na vyakula vingine vya kupendeza. Alidondokwa na mate alipoviona vyakula hivyo. Buibui Anansi alipokuwa akinyoosha mkono kuchukua chakula hicho cha kupendeza, Kasa alimkataza akisema, "Anansi, unawezaje kula ukiwa umevaa koti? Haiwezekani hapa kwangu." Bila kufikiri, Buibui Anansi akasema, "Samahani! Bila shaka usemavyo ni kweli. Sikufikiria kuhusu hilo." Buibui Anansi, alilivua koti lake. Punde tu alipolivua koti, Buibui Anansi alielea juu ya maji kwa sababu hakuwa na mawe ya kumwezesha kuzama. Alihuzunika na akachopeka kichwa chake majini akawa anamtazama Kasa akila chakula hicho chote kitamu peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Kasa Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kasa alizama wapi kwenda kula chakula?
{ "text": [ "Mtoni" ] }
2180_swa
Anansi na Kasa Siku moja, Buibui Anansi, alivuna viazi vikuu shambani mwake. Vilipendeza na kuonekana vitamu sana. Alivichoma taratibu kwenye moto na akaanza kula. Buibui Anansi alipokuwa akitia tonge la kwanza kinywani, mlango wake ulibishwa. "Lo! Lo! Lo!" alisema moyoni. "Huyo ni nani?" Kasa, aliyeonekana mchovu, alisimama mlangoni. Kasa alisema, "Anansi, tafadhali niruhusu niingie. Nimetembea mwendo mrefu leo. Nimechoka na ninahisi njaa." Buibui Anansi alimruhusu Kasa akaingia. Buibui Anansi hakumgawia mwengine chakula chake kitamu, hata mgeni. Kasa alipotaka kula, Buibui Anansi alimkemea, "Kasa, huwezi kula kwa mikono michafu. Nenda ukanawe kwanza." Mikono ya Kasa kweli ilikuwa michafu sana kwani aliitembelea siku nzima. Kasa alijikokota hadi mtoni akanawa mikono kisha akarudi. Buibui Anansi alibaki akibugia viazi kwa haraka. Kasa aliporejea hakupata kiazi hata kimoja. Kasa alimwambia Buibui Anansi, "Asante kunialika kwa chakula cha jioni. Nami pia nitakukaribisha kwangu nikuandalie chakula kitamu." Kasa alijikokota kuelekea nyumbani kwake. Siku moja Buibui Anansi aliwasili nyumbani kwa Kasa kabla chakula cha jioni. Kasa alikuwa amejilaza chali akiota jua kama Kasa wafanyavyo. Alipomwona Buibui Anansi, alisema, "Aa! Hujambo Anansi! Umekuja kushiriki nami chakula cha jioni?" Buibui Anansi akaitikia, "Naam, nitafurahia sana, asante." Anansi alikuwa akihisi njaa mno. Kasa alipiga mbizi na kuzama chini ya mto akaandaa chakula cha jioni. Naye Buibui Anansi alingoja kando ya mto. Baada ya maandalizi, Kasa alirudi juu ya maji akasema, "Kila kitu ki tayari, karibu. Twende tukafurahie mapochopocho." Kasa alipiga mbizi tena na akaanza kula majani matamu aliyokuwa ameandaa. Buibui Anansi alijaribu kujizamisha mtoni lakini, wapi! Yeye alikuwa buibui wala sio kasa. Alishindwa kupiga mbizi kabisa. Kila alipojaribu, alielea juu ya maji. Alijaribu kuruka majini tena na tena lakini ng'o! Hakufanikiwa kukifikia chakula kilichoandaliwa na Kasa chini ya maji. Hatimaye, Buibui Anansi alipata wazo zuri. Alitia mawe kwenye mifuko ya koti lake. Akawa mzito akaweza kuzama majini. Alikuwa mwerevu kwelikweli! Sasa aliweza kuiona meza iliyojaa majani matamu na laini pamoja na vyakula vingine vya kupendeza. Alidondokwa na mate alipoviona vyakula hivyo. Buibui Anansi alipokuwa akinyoosha mkono kuchukua chakula hicho cha kupendeza, Kasa alimkataza akisema, "Anansi, unawezaje kula ukiwa umevaa koti? Haiwezekani hapa kwangu." Bila kufikiri, Buibui Anansi akasema, "Samahani! Bila shaka usemavyo ni kweli. Sikufikiria kuhusu hilo." Buibui Anansi, alilivua koti lake. Punde tu alipolivua koti, Buibui Anansi alielea juu ya maji kwa sababu hakuwa na mawe ya kumwezesha kuzama. Alihuzunika na akachopeka kichwa chake majini akawa anamtazama Kasa akila chakula hicho chote kitamu peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Kasa Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sehemu gani ya mwili wa Kasa ulikua mchafu sana?
{ "text": [ "Mikono" ] }
2180_swa
Anansi na Kasa Siku moja, Buibui Anansi, alivuna viazi vikuu shambani mwake. Vilipendeza na kuonekana vitamu sana. Alivichoma taratibu kwenye moto na akaanza kula. Buibui Anansi alipokuwa akitia tonge la kwanza kinywani, mlango wake ulibishwa. "Lo! Lo! Lo!" alisema moyoni. "Huyo ni nani?" Kasa, aliyeonekana mchovu, alisimama mlangoni. Kasa alisema, "Anansi, tafadhali niruhusu niingie. Nimetembea mwendo mrefu leo. Nimechoka na ninahisi njaa." Buibui Anansi alimruhusu Kasa akaingia. Buibui Anansi hakumgawia mwengine chakula chake kitamu, hata mgeni. Kasa alipotaka kula, Buibui Anansi alimkemea, "Kasa, huwezi kula kwa mikono michafu. Nenda ukanawe kwanza." Mikono ya Kasa kweli ilikuwa michafu sana kwani aliitembelea siku nzima. Kasa alijikokota hadi mtoni akanawa mikono kisha akarudi. Buibui Anansi alibaki akibugia viazi kwa haraka. Kasa aliporejea hakupata kiazi hata kimoja. Kasa alimwambia Buibui Anansi, "Asante kunialika kwa chakula cha jioni. Nami pia nitakukaribisha kwangu nikuandalie chakula kitamu." Kasa alijikokota kuelekea nyumbani kwake. Siku moja Buibui Anansi aliwasili nyumbani kwa Kasa kabla chakula cha jioni. Kasa alikuwa amejilaza chali akiota jua kama Kasa wafanyavyo. Alipomwona Buibui Anansi, alisema, "Aa! Hujambo Anansi! Umekuja kushiriki nami chakula cha jioni?" Buibui Anansi akaitikia, "Naam, nitafurahia sana, asante." Anansi alikuwa akihisi njaa mno. Kasa alipiga mbizi na kuzama chini ya mto akaandaa chakula cha jioni. Naye Buibui Anansi alingoja kando ya mto. Baada ya maandalizi, Kasa alirudi juu ya maji akasema, "Kila kitu ki tayari, karibu. Twende tukafurahie mapochopocho." Kasa alipiga mbizi tena na akaanza kula majani matamu aliyokuwa ameandaa. Buibui Anansi alijaribu kujizamisha mtoni lakini, wapi! Yeye alikuwa buibui wala sio kasa. Alishindwa kupiga mbizi kabisa. Kila alipojaribu, alielea juu ya maji. Alijaribu kuruka majini tena na tena lakini ng'o! Hakufanikiwa kukifikia chakula kilichoandaliwa na Kasa chini ya maji. Hatimaye, Buibui Anansi alipata wazo zuri. Alitia mawe kwenye mifuko ya koti lake. Akawa mzito akaweza kuzama majini. Alikuwa mwerevu kwelikweli! Sasa aliweza kuiona meza iliyojaa majani matamu na laini pamoja na vyakula vingine vya kupendeza. Alidondokwa na mate alipoviona vyakula hivyo. Buibui Anansi alipokuwa akinyoosha mkono kuchukua chakula hicho cha kupendeza, Kasa alimkataza akisema, "Anansi, unawezaje kula ukiwa umevaa koti? Haiwezekani hapa kwangu." Bila kufikiri, Buibui Anansi akasema, "Samahani! Bila shaka usemavyo ni kweli. Sikufikiria kuhusu hilo." Buibui Anansi, alilivua koti lake. Punde tu alipolivua koti, Buibui Anansi alielea juu ya maji kwa sababu hakuwa na mawe ya kumwezesha kuzama. Alihuzunika na akachopeka kichwa chake majini akawa anamtazama Kasa akila chakula hicho chote kitamu peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Kasa Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kasa alikua akihisi nini baada ya safari mrefu?
{ "text": [ "Njaa" ] }
2180_swa
Anansi na Kasa Siku moja, Buibui Anansi, alivuna viazi vikuu shambani mwake. Vilipendeza na kuonekana vitamu sana. Alivichoma taratibu kwenye moto na akaanza kula. Buibui Anansi alipokuwa akitia tonge la kwanza kinywani, mlango wake ulibishwa. "Lo! Lo! Lo!" alisema moyoni. "Huyo ni nani?" Kasa, aliyeonekana mchovu, alisimama mlangoni. Kasa alisema, "Anansi, tafadhali niruhusu niingie. Nimetembea mwendo mrefu leo. Nimechoka na ninahisi njaa." Buibui Anansi alimruhusu Kasa akaingia. Buibui Anansi hakumgawia mwengine chakula chake kitamu, hata mgeni. Kasa alipotaka kula, Buibui Anansi alimkemea, "Kasa, huwezi kula kwa mikono michafu. Nenda ukanawe kwanza." Mikono ya Kasa kweli ilikuwa michafu sana kwani aliitembelea siku nzima. Kasa alijikokota hadi mtoni akanawa mikono kisha akarudi. Buibui Anansi alibaki akibugia viazi kwa haraka. Kasa aliporejea hakupata kiazi hata kimoja. Kasa alimwambia Buibui Anansi, "Asante kunialika kwa chakula cha jioni. Nami pia nitakukaribisha kwangu nikuandalie chakula kitamu." Kasa alijikokota kuelekea nyumbani kwake. Siku moja Buibui Anansi aliwasili nyumbani kwa Kasa kabla chakula cha jioni. Kasa alikuwa amejilaza chali akiota jua kama Kasa wafanyavyo. Alipomwona Buibui Anansi, alisema, "Aa! Hujambo Anansi! Umekuja kushiriki nami chakula cha jioni?" Buibui Anansi akaitikia, "Naam, nitafurahia sana, asante." Anansi alikuwa akihisi njaa mno. Kasa alipiga mbizi na kuzama chini ya mto akaandaa chakula cha jioni. Naye Buibui Anansi alingoja kando ya mto. Baada ya maandalizi, Kasa alirudi juu ya maji akasema, "Kila kitu ki tayari, karibu. Twende tukafurahie mapochopocho." Kasa alipiga mbizi tena na akaanza kula majani matamu aliyokuwa ameandaa. Buibui Anansi alijaribu kujizamisha mtoni lakini, wapi! Yeye alikuwa buibui wala sio kasa. Alishindwa kupiga mbizi kabisa. Kila alipojaribu, alielea juu ya maji. Alijaribu kuruka majini tena na tena lakini ng'o! Hakufanikiwa kukifikia chakula kilichoandaliwa na Kasa chini ya maji. Hatimaye, Buibui Anansi alipata wazo zuri. Alitia mawe kwenye mifuko ya koti lake. Akawa mzito akaweza kuzama majini. Alikuwa mwerevu kwelikweli! Sasa aliweza kuiona meza iliyojaa majani matamu na laini pamoja na vyakula vingine vya kupendeza. Alidondokwa na mate alipoviona vyakula hivyo. Buibui Anansi alipokuwa akinyoosha mkono kuchukua chakula hicho cha kupendeza, Kasa alimkataza akisema, "Anansi, unawezaje kula ukiwa umevaa koti? Haiwezekani hapa kwangu." Bila kufikiri, Buibui Anansi akasema, "Samahani! Bila shaka usemavyo ni kweli. Sikufikiria kuhusu hilo." Buibui Anansi, alilivua koti lake. Punde tu alipolivua koti, Buibui Anansi alielea juu ya maji kwa sababu hakuwa na mawe ya kumwezesha kuzama. Alihuzunika na akachopeka kichwa chake majini akawa anamtazama Kasa akila chakula hicho chote kitamu peke yake. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Kasa Author - Ghanaian folktale Translation - Mutugi Kamundi Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alimbishia Buibui Anansi mlango?
{ "text": [ "Rafiki yake Kasa" ] }
2181_swa
Anansi na Tai Buibui Anansi, na Sungura, walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani kijijini milimani. Sungura alimiliki shamba kubwa lililojaa mboga na matunda. Ingawa Sungura alimgawia rafikiye Anansi kwa ukarimu, Anansi hakufurahia na alimwonea wivu. Buibui Anansi aliwaza jinsi angelinyakua shamba la Sungura na kulifanya kuwa lake. Alifaulu na kumwacha Sungura katika hali ya umaskini na bila makao. Buibui Anansi sasa alijivunia kuwa mmiliki wa shamba lote la Sungura pamoja na mboga na matunda. Siku moja, Buibui Anansi alienda sokoni kuuza matunda na mboga. Alizipata hela nyingi akakijaza kikapu! Alizitumia baadhi ya hela hizo kuinunulia familia yake nafaka. Aliweka nafaka hiyo juu ya hela zilizokuwa kikapuni. Buibui Anansi alikibeba kikapu chake kichwani akaelekea nyumbani huku akiimba. Wakati wote huo, alikuwa akiwaza juu ya vitu vyote ambavyo angetumia hela hizo zote kununa. Alipokuwa njiani, kulikuwa na manyunyu ya mvua. Punde tu manyunyu yaligeuka na kuwa mvua kubwa iliyomwagika. Buibui Anansi alikiacha kikapu chake pembeni mwa barabara naye akaenda chini ya mti kujikinga. Lakini alikichunga kikapu hicho cha thamani kutoka pale alikokuwa. Mvua ilinyesha kwa wingi zaidi hadi Anansi akalowa na kuhisi baridi. Aliamua kukimbilia shimoni. "Nitaketi hapa shimoni hadi mvua itakapoisha," alijiambia. "Bora hela zangu zimekingwa na nafaka niliyoweka juu yake." Muda mfupi baadaye, Tai aliruka pahali pale na kukiona kikapu kando ya barabara. Aliona pia kwamba kulikuwa na fedha na nafaka. Tai alikifunika kikapu hicho kwa mabawa yake na kusubiri mvua iishe. Buibui Anansi alimwona Tai akiwa amekalia kikapu chake. "Ah asante rafiki yangu kwa kukilinda kikapu changu," alimwambia Tai. "Samahani, Anansi, nilikusikia vyema?" Tai aliuliza. "Eti kikapu chako? Kikapu hiki ni changu! Nilikipata hapo pembeni mwa barabara!" Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake! "Ni changu, nakwambia!" Buibui Anansi alienda kushtaki kwa Chifu. Tai aliwaambia Chifu na wazee, "Inawezekanaje kukiacha kikapu kilichojaa fedha na nafaka barabarani bila ulinzi wowote?" "Nilikuwa nikikichunga kikapu changu. Fedha ni zangu na nafaka ni yangu!" Buibui Anansi alisema. "Nilikuwa nimekikinga kikapu hiki kwa mabawa yangu ulipotokezea na kudai kwamba kilikuwa chako!" Tai alijibu. Baada ya Chifu na wazee wake kusikiliza kwa makini pande zote mbili, waliwataka Buibui Anansi na Tai watoke hapo na kwenda mbali kidogo. Walijadili kisa hicho kwa muda mrefu. Hatimaye, walifikia uamuzi. Waliwaita tena Buibui Anansi na Tai. "Tunamwamini Tai," walisema. "Yeye si mwizi. Wewe Anansi, ulikuwa ukijitakia kitu kisichokuwa chako." Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake. Aliangua kilio. Ujumbe ulisambaa kwamba uamuzi ulimwendea vibaya Buibui Anansi. Buibui Anansi alipoondoka, alimsikia Sungura akicheka kwa nguvu. Sungura alirudi shambani kwake akaendelea kupanda matunda na mboga. Buibui Anansi aliwapoteza marafiki wote. Alirejelea hali yake ya umaskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Tai Author - Ghanaian folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Buibui Anansi na sungura waliishi wapi
{ "text": [ "Kijijini Milimani" ] }
2181_swa
Anansi na Tai Buibui Anansi, na Sungura, walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani kijijini milimani. Sungura alimiliki shamba kubwa lililojaa mboga na matunda. Ingawa Sungura alimgawia rafikiye Anansi kwa ukarimu, Anansi hakufurahia na alimwonea wivu. Buibui Anansi aliwaza jinsi angelinyakua shamba la Sungura na kulifanya kuwa lake. Alifaulu na kumwacha Sungura katika hali ya umaskini na bila makao. Buibui Anansi sasa alijivunia kuwa mmiliki wa shamba lote la Sungura pamoja na mboga na matunda. Siku moja, Buibui Anansi alienda sokoni kuuza matunda na mboga. Alizipata hela nyingi akakijaza kikapu! Alizitumia baadhi ya hela hizo kuinunulia familia yake nafaka. Aliweka nafaka hiyo juu ya hela zilizokuwa kikapuni. Buibui Anansi alikibeba kikapu chake kichwani akaelekea nyumbani huku akiimba. Wakati wote huo, alikuwa akiwaza juu ya vitu vyote ambavyo angetumia hela hizo zote kununa. Alipokuwa njiani, kulikuwa na manyunyu ya mvua. Punde tu manyunyu yaligeuka na kuwa mvua kubwa iliyomwagika. Buibui Anansi alikiacha kikapu chake pembeni mwa barabara naye akaenda chini ya mti kujikinga. Lakini alikichunga kikapu hicho cha thamani kutoka pale alikokuwa. Mvua ilinyesha kwa wingi zaidi hadi Anansi akalowa na kuhisi baridi. Aliamua kukimbilia shimoni. "Nitaketi hapa shimoni hadi mvua itakapoisha," alijiambia. "Bora hela zangu zimekingwa na nafaka niliyoweka juu yake." Muda mfupi baadaye, Tai aliruka pahali pale na kukiona kikapu kando ya barabara. Aliona pia kwamba kulikuwa na fedha na nafaka. Tai alikifunika kikapu hicho kwa mabawa yake na kusubiri mvua iishe. Buibui Anansi alimwona Tai akiwa amekalia kikapu chake. "Ah asante rafiki yangu kwa kukilinda kikapu changu," alimwambia Tai. "Samahani, Anansi, nilikusikia vyema?" Tai aliuliza. "Eti kikapu chako? Kikapu hiki ni changu! Nilikipata hapo pembeni mwa barabara!" Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake! "Ni changu, nakwambia!" Buibui Anansi alienda kushtaki kwa Chifu. Tai aliwaambia Chifu na wazee, "Inawezekanaje kukiacha kikapu kilichojaa fedha na nafaka barabarani bila ulinzi wowote?" "Nilikuwa nikikichunga kikapu changu. Fedha ni zangu na nafaka ni yangu!" Buibui Anansi alisema. "Nilikuwa nimekikinga kikapu hiki kwa mabawa yangu ulipotokezea na kudai kwamba kilikuwa chako!" Tai alijibu. Baada ya Chifu na wazee wake kusikiliza kwa makini pande zote mbili, waliwataka Buibui Anansi na Tai watoke hapo na kwenda mbali kidogo. Walijadili kisa hicho kwa muda mrefu. Hatimaye, walifikia uamuzi. Waliwaita tena Buibui Anansi na Tai. "Tunamwamini Tai," walisema. "Yeye si mwizi. Wewe Anansi, ulikuwa ukijitakia kitu kisichokuwa chako." Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake. Aliangua kilio. Ujumbe ulisambaa kwamba uamuzi ulimwendea vibaya Buibui Anansi. Buibui Anansi alipoondoka, alimsikia Sungura akicheka kwa nguvu. Sungura alirudi shambani kwake akaendelea kupanda matunda na mboga. Buibui Anansi aliwapoteza marafiki wote. Alirejelea hali yake ya umaskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Tai Author - Ghanaian folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Nani alikifunika kikapu cha Buibui Anansi mvua ilipokuwa inanyesha
{ "text": [ "Tai" ] }
2181_swa
Anansi na Tai Buibui Anansi, na Sungura, walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani kijijini milimani. Sungura alimiliki shamba kubwa lililojaa mboga na matunda. Ingawa Sungura alimgawia rafikiye Anansi kwa ukarimu, Anansi hakufurahia na alimwonea wivu. Buibui Anansi aliwaza jinsi angelinyakua shamba la Sungura na kulifanya kuwa lake. Alifaulu na kumwacha Sungura katika hali ya umaskini na bila makao. Buibui Anansi sasa alijivunia kuwa mmiliki wa shamba lote la Sungura pamoja na mboga na matunda. Siku moja, Buibui Anansi alienda sokoni kuuza matunda na mboga. Alizipata hela nyingi akakijaza kikapu! Alizitumia baadhi ya hela hizo kuinunulia familia yake nafaka. Aliweka nafaka hiyo juu ya hela zilizokuwa kikapuni. Buibui Anansi alikibeba kikapu chake kichwani akaelekea nyumbani huku akiimba. Wakati wote huo, alikuwa akiwaza juu ya vitu vyote ambavyo angetumia hela hizo zote kununa. Alipokuwa njiani, kulikuwa na manyunyu ya mvua. Punde tu manyunyu yaligeuka na kuwa mvua kubwa iliyomwagika. Buibui Anansi alikiacha kikapu chake pembeni mwa barabara naye akaenda chini ya mti kujikinga. Lakini alikichunga kikapu hicho cha thamani kutoka pale alikokuwa. Mvua ilinyesha kwa wingi zaidi hadi Anansi akalowa na kuhisi baridi. Aliamua kukimbilia shimoni. "Nitaketi hapa shimoni hadi mvua itakapoisha," alijiambia. "Bora hela zangu zimekingwa na nafaka niliyoweka juu yake." Muda mfupi baadaye, Tai aliruka pahali pale na kukiona kikapu kando ya barabara. Aliona pia kwamba kulikuwa na fedha na nafaka. Tai alikifunika kikapu hicho kwa mabawa yake na kusubiri mvua iishe. Buibui Anansi alimwona Tai akiwa amekalia kikapu chake. "Ah asante rafiki yangu kwa kukilinda kikapu changu," alimwambia Tai. "Samahani, Anansi, nilikusikia vyema?" Tai aliuliza. "Eti kikapu chako? Kikapu hiki ni changu! Nilikipata hapo pembeni mwa barabara!" Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake! "Ni changu, nakwambia!" Buibui Anansi alienda kushtaki kwa Chifu. Tai aliwaambia Chifu na wazee, "Inawezekanaje kukiacha kikapu kilichojaa fedha na nafaka barabarani bila ulinzi wowote?" "Nilikuwa nikikichunga kikapu changu. Fedha ni zangu na nafaka ni yangu!" Buibui Anansi alisema. "Nilikuwa nimekikinga kikapu hiki kwa mabawa yangu ulipotokezea na kudai kwamba kilikuwa chako!" Tai alijibu. Baada ya Chifu na wazee wake kusikiliza kwa makini pande zote mbili, waliwataka Buibui Anansi na Tai watoke hapo na kwenda mbali kidogo. Walijadili kisa hicho kwa muda mrefu. Hatimaye, walifikia uamuzi. Waliwaita tena Buibui Anansi na Tai. "Tunamwamini Tai," walisema. "Yeye si mwizi. Wewe Anansi, ulikuwa ukijitakia kitu kisichokuwa chako." Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake. Aliangua kilio. Ujumbe ulisambaa kwamba uamuzi ulimwendea vibaya Buibui Anansi. Buibui Anansi alipoondoka, alimsikia Sungura akicheka kwa nguvu. Sungura alirudi shambani kwake akaendelea kupanda matunda na mboga. Buibui Anansi aliwapoteza marafiki wote. Alirejelea hali yake ya umaskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Tai Author - Ghanaian folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Sungura alikuwa mkulima wa nini
{ "text": [ "Matunda na mboga" ] }
2181_swa
Anansi na Tai Buibui Anansi, na Sungura, walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani kijijini milimani. Sungura alimiliki shamba kubwa lililojaa mboga na matunda. Ingawa Sungura alimgawia rafikiye Anansi kwa ukarimu, Anansi hakufurahia na alimwonea wivu. Buibui Anansi aliwaza jinsi angelinyakua shamba la Sungura na kulifanya kuwa lake. Alifaulu na kumwacha Sungura katika hali ya umaskini na bila makao. Buibui Anansi sasa alijivunia kuwa mmiliki wa shamba lote la Sungura pamoja na mboga na matunda. Siku moja, Buibui Anansi alienda sokoni kuuza matunda na mboga. Alizipata hela nyingi akakijaza kikapu! Alizitumia baadhi ya hela hizo kuinunulia familia yake nafaka. Aliweka nafaka hiyo juu ya hela zilizokuwa kikapuni. Buibui Anansi alikibeba kikapu chake kichwani akaelekea nyumbani huku akiimba. Wakati wote huo, alikuwa akiwaza juu ya vitu vyote ambavyo angetumia hela hizo zote kununa. Alipokuwa njiani, kulikuwa na manyunyu ya mvua. Punde tu manyunyu yaligeuka na kuwa mvua kubwa iliyomwagika. Buibui Anansi alikiacha kikapu chake pembeni mwa barabara naye akaenda chini ya mti kujikinga. Lakini alikichunga kikapu hicho cha thamani kutoka pale alikokuwa. Mvua ilinyesha kwa wingi zaidi hadi Anansi akalowa na kuhisi baridi. Aliamua kukimbilia shimoni. "Nitaketi hapa shimoni hadi mvua itakapoisha," alijiambia. "Bora hela zangu zimekingwa na nafaka niliyoweka juu yake." Muda mfupi baadaye, Tai aliruka pahali pale na kukiona kikapu kando ya barabara. Aliona pia kwamba kulikuwa na fedha na nafaka. Tai alikifunika kikapu hicho kwa mabawa yake na kusubiri mvua iishe. Buibui Anansi alimwona Tai akiwa amekalia kikapu chake. "Ah asante rafiki yangu kwa kukilinda kikapu changu," alimwambia Tai. "Samahani, Anansi, nilikusikia vyema?" Tai aliuliza. "Eti kikapu chako? Kikapu hiki ni changu! Nilikipata hapo pembeni mwa barabara!" Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake! "Ni changu, nakwambia!" Buibui Anansi alienda kushtaki kwa Chifu. Tai aliwaambia Chifu na wazee, "Inawezekanaje kukiacha kikapu kilichojaa fedha na nafaka barabarani bila ulinzi wowote?" "Nilikuwa nikikichunga kikapu changu. Fedha ni zangu na nafaka ni yangu!" Buibui Anansi alisema. "Nilikuwa nimekikinga kikapu hiki kwa mabawa yangu ulipotokezea na kudai kwamba kilikuwa chako!" Tai alijibu. Baada ya Chifu na wazee wake kusikiliza kwa makini pande zote mbili, waliwataka Buibui Anansi na Tai watoke hapo na kwenda mbali kidogo. Walijadili kisa hicho kwa muda mrefu. Hatimaye, walifikia uamuzi. Waliwaita tena Buibui Anansi na Tai. "Tunamwamini Tai," walisema. "Yeye si mwizi. Wewe Anansi, ulikuwa ukijitakia kitu kisichokuwa chako." Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake. Aliangua kilio. Ujumbe ulisambaa kwamba uamuzi ulimwendea vibaya Buibui Anansi. Buibui Anansi alipoondoka, alimsikia Sungura akicheka kwa nguvu. Sungura alirudi shambani kwake akaendelea kupanda matunda na mboga. Buibui Anansi aliwapoteza marafiki wote. Alirejelea hali yake ya umaskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Tai Author - Ghanaian folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Buibui Anansi alienda kushtaki kwa nani baada ya tai kukatalia kikapu chake
{ "text": [ "Chifu" ] }
2181_swa
Anansi na Tai Buibui Anansi, na Sungura, walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani kijijini milimani. Sungura alimiliki shamba kubwa lililojaa mboga na matunda. Ingawa Sungura alimgawia rafikiye Anansi kwa ukarimu, Anansi hakufurahia na alimwonea wivu. Buibui Anansi aliwaza jinsi angelinyakua shamba la Sungura na kulifanya kuwa lake. Alifaulu na kumwacha Sungura katika hali ya umaskini na bila makao. Buibui Anansi sasa alijivunia kuwa mmiliki wa shamba lote la Sungura pamoja na mboga na matunda. Siku moja, Buibui Anansi alienda sokoni kuuza matunda na mboga. Alizipata hela nyingi akakijaza kikapu! Alizitumia baadhi ya hela hizo kuinunulia familia yake nafaka. Aliweka nafaka hiyo juu ya hela zilizokuwa kikapuni. Buibui Anansi alikibeba kikapu chake kichwani akaelekea nyumbani huku akiimba. Wakati wote huo, alikuwa akiwaza juu ya vitu vyote ambavyo angetumia hela hizo zote kununa. Alipokuwa njiani, kulikuwa na manyunyu ya mvua. Punde tu manyunyu yaligeuka na kuwa mvua kubwa iliyomwagika. Buibui Anansi alikiacha kikapu chake pembeni mwa barabara naye akaenda chini ya mti kujikinga. Lakini alikichunga kikapu hicho cha thamani kutoka pale alikokuwa. Mvua ilinyesha kwa wingi zaidi hadi Anansi akalowa na kuhisi baridi. Aliamua kukimbilia shimoni. "Nitaketi hapa shimoni hadi mvua itakapoisha," alijiambia. "Bora hela zangu zimekingwa na nafaka niliyoweka juu yake." Muda mfupi baadaye, Tai aliruka pahali pale na kukiona kikapu kando ya barabara. Aliona pia kwamba kulikuwa na fedha na nafaka. Tai alikifunika kikapu hicho kwa mabawa yake na kusubiri mvua iishe. Buibui Anansi alimwona Tai akiwa amekalia kikapu chake. "Ah asante rafiki yangu kwa kukilinda kikapu changu," alimwambia Tai. "Samahani, Anansi, nilikusikia vyema?" Tai aliuliza. "Eti kikapu chako? Kikapu hiki ni changu! Nilikipata hapo pembeni mwa barabara!" Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake! "Ni changu, nakwambia!" Buibui Anansi alienda kushtaki kwa Chifu. Tai aliwaambia Chifu na wazee, "Inawezekanaje kukiacha kikapu kilichojaa fedha na nafaka barabarani bila ulinzi wowote?" "Nilikuwa nikikichunga kikapu changu. Fedha ni zangu na nafaka ni yangu!" Buibui Anansi alisema. "Nilikuwa nimekikinga kikapu hiki kwa mabawa yangu ulipotokezea na kudai kwamba kilikuwa chako!" Tai alijibu. Baada ya Chifu na wazee wake kusikiliza kwa makini pande zote mbili, waliwataka Buibui Anansi na Tai watoke hapo na kwenda mbali kidogo. Walijadili kisa hicho kwa muda mrefu. Hatimaye, walifikia uamuzi. Waliwaita tena Buibui Anansi na Tai. "Tunamwamini Tai," walisema. "Yeye si mwizi. Wewe Anansi, ulikuwa ukijitakia kitu kisichokuwa chako." Buibui Anansi hakuweza kuamini masikio yake. Aliangua kilio. Ujumbe ulisambaa kwamba uamuzi ulimwendea vibaya Buibui Anansi. Buibui Anansi alipoondoka, alimsikia Sungura akicheka kwa nguvu. Sungura alirudi shambani kwake akaendelea kupanda matunda na mboga. Buibui Anansi aliwapoteza marafiki wote. Alirejelea hali yake ya umaskini. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anansi na Tai Author - Ghanaian folktale Translation - Brigid Simiyu Illustration - Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - Read aloud © African Storybook Initiative 2014 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Kwa nini sungura alicheka
{ "text": [ "Kesi ilikuwa imemwendea vibaya Buibui Anansi" ] }
2182_swa
Anayenipenda, hujua ninachopenda Hapo zamani za kale, palikuwa na mfalme. Yeye na wake zake watatu, waliishi katika kijiji kimoja kilichoitwa Nuru. Siku moja, mfalme yule aliwaita wake zake na kusema, "Wake zangu wapendwa, ningependa leo nile chakula kitamu. Atakayepika chakula kitamu zaidi, atapata zawadi nono." Mke mmoja alienda sokoni akanunua nyama ya ng'ombe na viungo vingi. Alirudi nyumbani na kupika kitoweo alichoamini kilikuwa kitamu. Mke mwingine alienda soko iliyokuwa sehemu tofauti. Alinunua nyama ya pori pamoja na viungo tofauti. Naye alirudi nyumbani kuitayarisha. Mke wa mwisho aliamua kwenda kumuona mamake mfalme. Aliambiwa apike chakula cha kienyeji na wala asiweke mafuta au viungo vyovyote vya kisasa. Mke huyo wa tatu, alienda shambani kutafuta mboga tofauti za kutayarishia chakula cha kienyeji. Mfalme na wenzake walifika kwa wake waliopika nyama ya ng'ombe na ya pori. Hata hivyo, mfalme hakukipenda chakula alichoandaliwa. Walienda kwa mke aliyeandaa chakula cha kienyeji. Mfalme alikifurahia sana kwani kilikuwa chakula alichokipenda. Alimteua mke huyo kuwa malkia katika ufalme wake. Tangu siku hiyo, huyo mke aliheshimiwa sana. Yeye alijua namna ya kumfurahisha mmewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anayenipenda, hujua ninachopenda Author - Palmesi Katangambo Illustration - Natalie Propa, Rob Owen and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source Palmesi Katangambo
Mfalme alikuwa na wake wangapi
{ "text": [ "watatu" ] }
2182_swa
Anayenipenda, hujua ninachopenda Hapo zamani za kale, palikuwa na mfalme. Yeye na wake zake watatu, waliishi katika kijiji kimoja kilichoitwa Nuru. Siku moja, mfalme yule aliwaita wake zake na kusema, "Wake zangu wapendwa, ningependa leo nile chakula kitamu. Atakayepika chakula kitamu zaidi, atapata zawadi nono." Mke mmoja alienda sokoni akanunua nyama ya ng'ombe na viungo vingi. Alirudi nyumbani na kupika kitoweo alichoamini kilikuwa kitamu. Mke mwingine alienda soko iliyokuwa sehemu tofauti. Alinunua nyama ya pori pamoja na viungo tofauti. Naye alirudi nyumbani kuitayarisha. Mke wa mwisho aliamua kwenda kumuona mamake mfalme. Aliambiwa apike chakula cha kienyeji na wala asiweke mafuta au viungo vyovyote vya kisasa. Mke huyo wa tatu, alienda shambani kutafuta mboga tofauti za kutayarishia chakula cha kienyeji. Mfalme na wenzake walifika kwa wake waliopika nyama ya ng'ombe na ya pori. Hata hivyo, mfalme hakukipenda chakula alichoandaliwa. Walienda kwa mke aliyeandaa chakula cha kienyeji. Mfalme alikifurahia sana kwani kilikuwa chakula alichokipenda. Alimteua mke huyo kuwa malkia katika ufalme wake. Tangu siku hiyo, huyo mke aliheshimiwa sana. Yeye alijua namna ya kumfurahisha mmewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anayenipenda, hujua ninachopenda Author - Palmesi Katangambo Illustration - Natalie Propa, Rob Owen and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source Palmesi Katangambo
Aliyepika chakula kitamu zaidi angepata nini
{ "text": [ "zawadi nono" ] }
2182_swa
Anayenipenda, hujua ninachopenda Hapo zamani za kale, palikuwa na mfalme. Yeye na wake zake watatu, waliishi katika kijiji kimoja kilichoitwa Nuru. Siku moja, mfalme yule aliwaita wake zake na kusema, "Wake zangu wapendwa, ningependa leo nile chakula kitamu. Atakayepika chakula kitamu zaidi, atapata zawadi nono." Mke mmoja alienda sokoni akanunua nyama ya ng'ombe na viungo vingi. Alirudi nyumbani na kupika kitoweo alichoamini kilikuwa kitamu. Mke mwingine alienda soko iliyokuwa sehemu tofauti. Alinunua nyama ya pori pamoja na viungo tofauti. Naye alirudi nyumbani kuitayarisha. Mke wa mwisho aliamua kwenda kumuona mamake mfalme. Aliambiwa apike chakula cha kienyeji na wala asiweke mafuta au viungo vyovyote vya kisasa. Mke huyo wa tatu, alienda shambani kutafuta mboga tofauti za kutayarishia chakula cha kienyeji. Mfalme na wenzake walifika kwa wake waliopika nyama ya ng'ombe na ya pori. Hata hivyo, mfalme hakukipenda chakula alichoandaliwa. Walienda kwa mke aliyeandaa chakula cha kienyeji. Mfalme alikifurahia sana kwani kilikuwa chakula alichokipenda. Alimteua mke huyo kuwa malkia katika ufalme wake. Tangu siku hiyo, huyo mke aliheshimiwa sana. Yeye alijua namna ya kumfurahisha mmewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anayenipenda, hujua ninachopenda Author - Palmesi Katangambo Illustration - Natalie Propa, Rob Owen and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source Palmesi Katangambo
Mke wa kwanza alinunua nyama gani
{ "text": [ "ya ng'ombe" ] }
2182_swa
Anayenipenda, hujua ninachopenda Hapo zamani za kale, palikuwa na mfalme. Yeye na wake zake watatu, waliishi katika kijiji kimoja kilichoitwa Nuru. Siku moja, mfalme yule aliwaita wake zake na kusema, "Wake zangu wapendwa, ningependa leo nile chakula kitamu. Atakayepika chakula kitamu zaidi, atapata zawadi nono." Mke mmoja alienda sokoni akanunua nyama ya ng'ombe na viungo vingi. Alirudi nyumbani na kupika kitoweo alichoamini kilikuwa kitamu. Mke mwingine alienda soko iliyokuwa sehemu tofauti. Alinunua nyama ya pori pamoja na viungo tofauti. Naye alirudi nyumbani kuitayarisha. Mke wa mwisho aliamua kwenda kumuona mamake mfalme. Aliambiwa apike chakula cha kienyeji na wala asiweke mafuta au viungo vyovyote vya kisasa. Mke huyo wa tatu, alienda shambani kutafuta mboga tofauti za kutayarishia chakula cha kienyeji. Mfalme na wenzake walifika kwa wake waliopika nyama ya ng'ombe na ya pori. Hata hivyo, mfalme hakukipenda chakula alichoandaliwa. Walienda kwa mke aliyeandaa chakula cha kienyeji. Mfalme alikifurahia sana kwani kilikuwa chakula alichokipenda. Alimteua mke huyo kuwa malkia katika ufalme wake. Tangu siku hiyo, huyo mke aliheshimiwa sana. Yeye alijua namna ya kumfurahisha mmewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anayenipenda, hujua ninachopenda Author - Palmesi Katangambo Illustration - Natalie Propa, Rob Owen and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source Palmesi Katangambo
Mke wa mwisho alienda kumwona nani
{ "text": [ "mamake mfalme" ] }
2182_swa
Anayenipenda, hujua ninachopenda Hapo zamani za kale, palikuwa na mfalme. Yeye na wake zake watatu, waliishi katika kijiji kimoja kilichoitwa Nuru. Siku moja, mfalme yule aliwaita wake zake na kusema, "Wake zangu wapendwa, ningependa leo nile chakula kitamu. Atakayepika chakula kitamu zaidi, atapata zawadi nono." Mke mmoja alienda sokoni akanunua nyama ya ng'ombe na viungo vingi. Alirudi nyumbani na kupika kitoweo alichoamini kilikuwa kitamu. Mke mwingine alienda soko iliyokuwa sehemu tofauti. Alinunua nyama ya pori pamoja na viungo tofauti. Naye alirudi nyumbani kuitayarisha. Mke wa mwisho aliamua kwenda kumuona mamake mfalme. Aliambiwa apike chakula cha kienyeji na wala asiweke mafuta au viungo vyovyote vya kisasa. Mke huyo wa tatu, alienda shambani kutafuta mboga tofauti za kutayarishia chakula cha kienyeji. Mfalme na wenzake walifika kwa wake waliopika nyama ya ng'ombe na ya pori. Hata hivyo, mfalme hakukipenda chakula alichoandaliwa. Walienda kwa mke aliyeandaa chakula cha kienyeji. Mfalme alikifurahia sana kwani kilikuwa chakula alichokipenda. Alimteua mke huyo kuwa malkia katika ufalme wake. Tangu siku hiyo, huyo mke aliheshimiwa sana. Yeye alijua namna ya kumfurahisha mmewe. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Anayenipenda, hujua ninachopenda Author - Palmesi Katangambo Illustration - Natalie Propa, Rob Owen and Wiehan de Jager Language - Kiswahili Level - First paragraphs © African Storybook Initiative 2018 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org Original source Palmesi Katangambo
Kwa nini mke wa tatu aliheshimiwa
{ "text": [ "alijua namna ya kumfurahisha mumewe" ] }
2183_swa
Ariana anataka kutembelea Kenya Ariana yuko Amerika. Anataka kutembelea Kenya. Barabarani, ataona kondoo. Ataona bodaboda na tuktuk. Ataona jamaa zake wa Kenya. Jamaa zake watafanya sherehe kubwa. Ariana atasherehekea na kufurahi nao. Ariana atacheza na watoto wengine. Akienda sokoni, ataona vitu vingi tofauti vikiuzwa. Atawaona watu waliovalia mavazi tofuati. Atakula matunda mengi sana. Atakula machungwa, ndizi na mananasi. Ariana atajaribu kupanda miti mrefu. Hajawahi kufanya hivyo akiwa Amerika. Atayaona mashamba yenye mimea tofauti. Wakenya wengi ni wakulima. Atatembelea mbuga za wanyama. Atawaona wanyama wa porini kama simba, ndovu, twiga na punda milia. Ataona wanyama wa kufugwa kama kuku, paka, mbuzi na njiwa. Amerika, anafuga paka mmoja na mbwa mmoja. Atashuhudia harusi kijijini. Atawaona watu wakiimba na kucheza ngoma za kitamaduni. Ataitembelea pwani ya Kenya. Ataogelea katika bahari ya Hindi. Jumapili, Ariana atajiunga na jamaa zake kwenda kanisani. Ariana atafurahia sana kuitembelea Kenya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ariana anataka kutembelea Kenya Author - Kez Badi Illustration - Brian Wambi, Catherine Groenewald, Isaac Okwir, Jesse Breytenbach, Rob Owen and Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ariana yuko wapi
{ "text": [ "Amerika" ] }
2183_swa
Ariana anataka kutembelea Kenya Ariana yuko Amerika. Anataka kutembelea Kenya. Barabarani, ataona kondoo. Ataona bodaboda na tuktuk. Ataona jamaa zake wa Kenya. Jamaa zake watafanya sherehe kubwa. Ariana atasherehekea na kufurahi nao. Ariana atacheza na watoto wengine. Akienda sokoni, ataona vitu vingi tofauti vikiuzwa. Atawaona watu waliovalia mavazi tofuati. Atakula matunda mengi sana. Atakula machungwa, ndizi na mananasi. Ariana atajaribu kupanda miti mrefu. Hajawahi kufanya hivyo akiwa Amerika. Atayaona mashamba yenye mimea tofauti. Wakenya wengi ni wakulima. Atatembelea mbuga za wanyama. Atawaona wanyama wa porini kama simba, ndovu, twiga na punda milia. Ataona wanyama wa kufugwa kama kuku, paka, mbuzi na njiwa. Amerika, anafuga paka mmoja na mbwa mmoja. Atashuhudia harusi kijijini. Atawaona watu wakiimba na kucheza ngoma za kitamaduni. Ataitembelea pwani ya Kenya. Ataogelea katika bahari ya Hindi. Jumapili, Ariana atajiunga na jamaa zake kwenda kanisani. Ariana atafurahia sana kuitembelea Kenya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ariana anataka kutembelea Kenya Author - Kez Badi Illustration - Brian Wambi, Catherine Groenewald, Isaac Okwir, Jesse Breytenbach, Rob Owen and Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Ariana anataka kutembelea wapi
{ "text": [ "Kenya" ] }
2183_swa
Ariana anataka kutembelea Kenya Ariana yuko Amerika. Anataka kutembelea Kenya. Barabarani, ataona kondoo. Ataona bodaboda na tuktuk. Ataona jamaa zake wa Kenya. Jamaa zake watafanya sherehe kubwa. Ariana atasherehekea na kufurahi nao. Ariana atacheza na watoto wengine. Akienda sokoni, ataona vitu vingi tofauti vikiuzwa. Atawaona watu waliovalia mavazi tofuati. Atakula matunda mengi sana. Atakula machungwa, ndizi na mananasi. Ariana atajaribu kupanda miti mrefu. Hajawahi kufanya hivyo akiwa Amerika. Atayaona mashamba yenye mimea tofauti. Wakenya wengi ni wakulima. Atatembelea mbuga za wanyama. Atawaona wanyama wa porini kama simba, ndovu, twiga na punda milia. Ataona wanyama wa kufugwa kama kuku, paka, mbuzi na njiwa. Amerika, anafuga paka mmoja na mbwa mmoja. Atashuhudia harusi kijijini. Atawaona watu wakiimba na kucheza ngoma za kitamaduni. Ataitembelea pwani ya Kenya. Ataogelea katika bahari ya Hindi. Jumapili, Ariana atajiunga na jamaa zake kwenda kanisani. Ariana atafurahia sana kuitembelea Kenya. You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Ariana anataka kutembelea Kenya Author - Kez Badi Illustration - Brian Wambi, Catherine Groenewald, Isaac Okwir, Jesse Breytenbach, Rob Owen and Salim Kasamba Language - Kiswahili Level - First sentences © African Storybook Initiative 2020 Creative Commons: Attribution 4.0 Source www.africanstorybook.org
Barabarani ataona nini
{ "text": [ "Kondoo" ] }