Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
3261_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mifumo mipya mipya duniani yanayoweza msaidia binadamu katika maisha yake ya kisasa : Mifumo hii ni kama uvumbuzi wa simu za mikono ambazo zimefanya mawasiliano baina ya watu walio mbali mbali iwe rahisi . Licha ya teknolojia kuwa na faida na muhimu nyingi maishani, limeweza Kuleta manda mengi hasa kwa wanafunzi wa rekondan na watu wote duniani. Faida za teknolojia Katika shule za sekondari zimekua nyingi Kama vile ivanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi na kuweza Kutumia kifaa hicho. Pia katika somo la hisabati wanafunzi wanaweza Kutumia Kikoto Kufanyia hesabu zao Walimu nao pia wamefaidika Kwani sio lazima wabebane na vitabu vingi kuingia pavyo darasani ilhali wano na simu zao na wanaweza kuingia mitandaoni na kupundwhia kupitia mitandao Madhara ya teknolojia yameara kuwafanya wanafunzi wengi na karibia oveltul wote kwa ujumla kuaminika sana Wanafunzi wengi wameweza Kupotoka Kutokana na kuingiliana sana na mambo ya mitandaoni. Wanafunzi wengi wakiweza kuachiwa Simu izo ama tarakilishi wanaweza Kuingia mitandaoni na kuangalia mambo yasiyo umri wao na mambo haya yanaweza kuwaharibu Walimu na wazazi wanafaa Kuwafundisha na kuelimisha wanafunzi Jinsi ya kuweza kutumia teknolojia vizuri na kwa hekima Killiko kujihusisha na mambo yasiyofaa na isipowezekana Wanddunai wasiweze kupewa vifaa hivi vya kiteknolojia kama vile simu na tarakilishi na pia rununu ,Wanafunzi hao pia wanafaa Kujilinda kutokana na Kupotoshwa Kutokana na mambo ya mitandaoni
| Wanafunzi wanapopata fursa ya kutumia simu wao huenda kutazama nini? | {
"text": [
"Video chafu"
]
} |
3261_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Teknolojia ni uvumbuzi wa mifumo mipya mipya duniani yanayoweza msaidia binadamu katika maisha yake ya kisasa : Mifumo hii ni kama uvumbuzi wa simu za mikono ambazo zimefanya mawasiliano baina ya watu walio mbali mbali iwe rahisi . Licha ya teknolojia kuwa na faida na muhimu nyingi maishani, limeweza Kuleta manda mengi hasa kwa wanafunzi wa rekondan na watu wote duniani. Faida za teknolojia Katika shule za sekondari zimekua nyingi Kama vile ivanafunzi wanaweza kutumia tarakilishi na kuweza Kutumia kifaa hicho. Pia katika somo la hisabati wanafunzi wanaweza Kutumia Kikoto Kufanyia hesabu zao Walimu nao pia wamefaidika Kwani sio lazima wabebane na vitabu vingi kuingia pavyo darasani ilhali wano na simu zao na wanaweza kuingia mitandaoni na kupundwhia kupitia mitandao Madhara ya teknolojia yameara kuwafanya wanafunzi wengi na karibia oveltul wote kwa ujumla kuaminika sana Wanafunzi wengi wameweza Kupotoka Kutokana na kuingiliana sana na mambo ya mitandaoni. Wanafunzi wengi wakiweza kuachiwa Simu izo ama tarakilishi wanaweza Kuingia mitandaoni na kuangalia mambo yasiyo umri wao na mambo haya yanaweza kuwaharibu Walimu na wazazi wanafaa Kuwafundisha na kuelimisha wanafunzi Jinsi ya kuweza kutumia teknolojia vizuri na kwa hekima Killiko kujihusisha na mambo yasiyofaa na isipowezekana Wanddunai wasiweze kupewa vifaa hivi vya kiteknolojia kama vile simu na tarakilishi na pia rununu ,Wanafunzi hao pia wanafaa Kujilinda kutokana na Kupotoshwa Kutokana na mambo ya mitandaoni
| Walimu hawabebi vitabu vingi kwa sababu ya kuwepo kwa kifaa kipi? | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3266_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hi ni kwamba iwapo mtu anafanya makosa au mambo mabaya tena arekebishwe na kuelezea madhara ya tabia hizo kisha Gyopulizie munishoure herishia kuwa kwenye shida: Methali hii hutumika kumuonya mtu na kumuelimisha aweze kuwasikiliza wavyele wao Katika kijiji cha Kazo mojo, paliishi msichana na wazazi wake wazazi hao walikua katika maisha lakini waliweza Kufanya vikazi vidogo vidogo ili kukimu mahitaji yao na pia kuweza kumuelimisha mtoto wao aliyekuwa na bidii za mchwa masomoni Licha ya bidii alikuwa mrembo kama malaika. Binti huyu aliyejulikana kama chaurembo jina lililoenda na umbo lake alijulikana sana. Shuleni yeye alikuwa gwiji, yaani yeye ndiye aliyekuwa kichwa darasani. licha ya hayo alikuwa msichana mwenye adabu na heshima zake Heshima zake hizi zilimfanya aweze kupata sifa zote zikwia - mbii a kijiji kizima. Alipofika katika kuift darasa la nane aliweza kuibuka na alama mia nne ambazo wakati huo haikuwa rahisi kuaipata. Aliweza kujiunga na kidato cha kwanza akiwa bado mtoto ni malaika Alipofika katika Kidato cha pili, hapo ndipo alipoanza kuwa na tabia mbaya na hata asomoni alivuta mkia darasani mwao. Wazazi, walimu na hata wanafunzi wenzake walishangazwa sana na wakaanza kumpatia mawaidha lakini hakusikia.Aliendelea na tabia zake hadi alipo pata mimba na kila mtu alijua.Hapo ndipo alipo jua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana maisha yake yaliharibika | Wazazi pia hujulikana kama nani? | {
"text": [
"Wavyele"
]
} |
3266_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hi ni kwamba iwapo mtu anafanya makosa au mambo mabaya tena arekebishwe na kuelezea madhara ya tabia hizo kisha Gyopulizie munishoure herishia kuwa kwenye shida: Methali hii hutumika kumuonya mtu na kumuelimisha aweze kuwasikiliza wavyele wao Katika kijiji cha Kazo mojo, paliishi msichana na wazazi wake wazazi hao walikua katika maisha lakini waliweza Kufanya vikazi vidogo vidogo ili kukimu mahitaji yao na pia kuweza kumuelimisha mtoto wao aliyekuwa na bidii za mchwa masomoni Licha ya bidii alikuwa mrembo kama malaika. Binti huyu aliyejulikana kama chaurembo jina lililoenda na umbo lake alijulikana sana. Shuleni yeye alikuwa gwiji, yaani yeye ndiye aliyekuwa kichwa darasani. licha ya hayo alikuwa msichana mwenye adabu na heshima zake Heshima zake hizi zilimfanya aweze kupata sifa zote zikwia - mbii a kijiji kizima. Alipofika katika kuift darasa la nane aliweza kuibuka na alama mia nne ambazo wakati huo haikuwa rahisi kuaipata. Aliweza kujiunga na kidato cha kwanza akiwa bado mtoto ni malaika Alipofika katika Kidato cha pili, hapo ndipo alipoanza kuwa na tabia mbaya na hata asomoni alivuta mkia darasani mwao. Wazazi, walimu na hata wanafunzi wenzake walishangazwa sana na wakaanza kumpatia mawaidha lakini hakusikia.Aliendelea na tabia zake hadi alipo pata mimba na kila mtu alijua.Hapo ndipo alipo jua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana maisha yake yaliharibika | Asiyeskia la mkuu huvunjika nini? | {
"text": [
"Guu"
]
} |
3266_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hi ni kwamba iwapo mtu anafanya makosa au mambo mabaya tena arekebishwe na kuelezea madhara ya tabia hizo kisha Gyopulizie munishoure herishia kuwa kwenye shida: Methali hii hutumika kumuonya mtu na kumuelimisha aweze kuwasikiliza wavyele wao Katika kijiji cha Kazo mojo, paliishi msichana na wazazi wake wazazi hao walikua katika maisha lakini waliweza Kufanya vikazi vidogo vidogo ili kukimu mahitaji yao na pia kuweza kumuelimisha mtoto wao aliyekuwa na bidii za mchwa masomoni Licha ya bidii alikuwa mrembo kama malaika. Binti huyu aliyejulikana kama chaurembo jina lililoenda na umbo lake alijulikana sana. Shuleni yeye alikuwa gwiji, yaani yeye ndiye aliyekuwa kichwa darasani. licha ya hayo alikuwa msichana mwenye adabu na heshima zake Heshima zake hizi zilimfanya aweze kupata sifa zote zikwia - mbii a kijiji kizima. Alipofika katika kuift darasa la nane aliweza kuibuka na alama mia nne ambazo wakati huo haikuwa rahisi kuaipata. Aliweza kujiunga na kidato cha kwanza akiwa bado mtoto ni malaika Alipofika katika Kidato cha pili, hapo ndipo alipoanza kuwa na tabia mbaya na hata asomoni alivuta mkia darasani mwao. Wazazi, walimu na hata wanafunzi wenzake walishangazwa sana na wakaanza kumpatia mawaidha lakini hakusikia.Aliendelea na tabia zake hadi alipo pata mimba na kila mtu alijua.Hapo ndipo alipo jua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana maisha yake yaliharibika | Mtu mchochole ni mtu wa aina gani? | {
"text": [
"Maskini"
]
} |
3266_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hi ni kwamba iwapo mtu anafanya makosa au mambo mabaya tena arekebishwe na kuelezea madhara ya tabia hizo kisha Gyopulizie munishoure herishia kuwa kwenye shida: Methali hii hutumika kumuonya mtu na kumuelimisha aweze kuwasikiliza wavyele wao Katika kijiji cha Kazo mojo, paliishi msichana na wazazi wake wazazi hao walikua katika maisha lakini waliweza Kufanya vikazi vidogo vidogo ili kukimu mahitaji yao na pia kuweza kumuelimisha mtoto wao aliyekuwa na bidii za mchwa masomoni Licha ya bidii alikuwa mrembo kama malaika. Binti huyu aliyejulikana kama chaurembo jina lililoenda na umbo lake alijulikana sana. Shuleni yeye alikuwa gwiji, yaani yeye ndiye aliyekuwa kichwa darasani. licha ya hayo alikuwa msichana mwenye adabu na heshima zake Heshima zake hizi zilimfanya aweze kupata sifa zote zikwia - mbii a kijiji kizima. Alipofika katika kuift darasa la nane aliweza kuibuka na alama mia nne ambazo wakati huo haikuwa rahisi kuaipata. Aliweza kujiunga na kidato cha kwanza akiwa bado mtoto ni malaika Alipofika katika Kidato cha pili, hapo ndipo alipoanza kuwa na tabia mbaya na hata asomoni alivuta mkia darasani mwao. Wazazi, walimu na hata wanafunzi wenzake walishangazwa sana na wakaanza kumpatia mawaidha lakini hakusikia.Aliendelea na tabia zake hadi alipo pata mimba na kila mtu alijua.Hapo ndipo alipo jua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana maisha yake yaliharibika | Chaurembo alisifika sana juu ya nini alichokua nacho? | {
"text": [
"Urembo"
]
} |
3266_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU
Maana ya methali hi ni kwamba iwapo mtu anafanya makosa au mambo mabaya tena arekebishwe na kuelezea madhara ya tabia hizo kisha Gyopulizie munishoure herishia kuwa kwenye shida: Methali hii hutumika kumuonya mtu na kumuelimisha aweze kuwasikiliza wavyele wao Katika kijiji cha Kazo mojo, paliishi msichana na wazazi wake wazazi hao walikua katika maisha lakini waliweza Kufanya vikazi vidogo vidogo ili kukimu mahitaji yao na pia kuweza kumuelimisha mtoto wao aliyekuwa na bidii za mchwa masomoni Licha ya bidii alikuwa mrembo kama malaika. Binti huyu aliyejulikana kama chaurembo jina lililoenda na umbo lake alijulikana sana. Shuleni yeye alikuwa gwiji, yaani yeye ndiye aliyekuwa kichwa darasani. licha ya hayo alikuwa msichana mwenye adabu na heshima zake Heshima zake hizi zilimfanya aweze kupata sifa zote zikwia - mbii a kijiji kizima. Alipofika katika kuift darasa la nane aliweza kuibuka na alama mia nne ambazo wakati huo haikuwa rahisi kuaipata. Aliweza kujiunga na kidato cha kwanza akiwa bado mtoto ni malaika Alipofika katika Kidato cha pili, hapo ndipo alipoanza kuwa na tabia mbaya na hata asomoni alivuta mkia darasani mwao. Wazazi, walimu na hata wanafunzi wenzake walishangazwa sana na wakaanza kumpatia mawaidha lakini hakusikia.Aliendelea na tabia zake hadi alipo pata mimba na kila mtu alijua.Hapo ndipo alipo jua kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu maana maisha yake yaliharibika | Mgema akisiwa nini hufanyika? | {
"text": [
"Pombe hulitia maji"
]
} |
3275_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA NA JINSI YA KUEPUKANA NAZO
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wengine na wanafunzi hamjambo? Ningependa kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha sisi kufika mahali hapa. Na pia nawashukuru nyinyi kwa kuitikia wito huu kwani mja haitikii wito bali huitikia aitiwalo.
Madhumuni amabayo yametukusanya hapa ni suala kuhusu athari za dawa za kulevya na jinsi vijana wanaweza kuepukana na madhara hayo. Kwanza, athari ni kama matatizo na kuepuka ni kama kujiondoa katika tatizo hilo.
Mojawapo ya athari za dawa za kulevya ni kwamba yamesababisha maradhi kwa wingi sana. Maradhi haya ni kama vile saratani ya mapafu ambao ni ugonjwa sugu sana. Asilimia kubwa zaidi ya vijana wamekata kama dhidi ya ugonjwa huu kwani wao hugundua kuwa wanaugua ugonjwa huu kama wakati ushayoyoma na pia hauna tiba.
Isitoshe, vijana wanapotumia mihadarati, wao hujiona kuwa wenye nguvu zaidi kuliko wengine. Vijana hawa wanapoenda shuleni, wao huanzisha vurugu kwa kuwachokoza wenzao. Mara huweza kutokea vita na kwa hivyo kijana huyu anayetumia mihadarati anaweza kuacha masomo.
Vijana wengi wanaotumia mihadarati huanza kufeli mitihani yao ovyoovyo. Mara nyingi wanafunzi hawa wanapozitumia hasaa wengi wao hawawi maakini darasani ili kuwasikiza walimu wao. Mara nyingi hupoteza wakati wao mwingi sana katika utumiaji wa dawa za kulevya. Pia , matumizi haya huweza kusababaisha wao kulala darasani kwa hivyo kuharibu elimu yao amabayo ni mustakabali wa maisha.
Mara nyingi kumesikika kuwa vijana wengi wameripotiwa katika vituo vya polisi kwa sababu ya wizi. Kesi hizi hutokea sana kwa vijana ambao wanatumia mihadarati . inasemekana kuwa vijana hawa hukosa hela za kununulia dawa hizi za kulevya na kwa hivyo kujihusisha katika wizi ili wapate pesa za kuzinunua bila kujua kuwa pwagu hupata pwaguzi.
Aidha, vijana wengi wamefariki barabarani kwa sababu ya mihadarati. Wengi wao hunywa pombe na kuanza kufanya vituko vyao njiani. Hii husababisha wao kutoona vyema mbele wanakoenda na kwa hivyo huweza kugongwa na gari na kwa bahati mbaya kuiaga dunia.
Ni lazima kila kijana ajaribu iwezekanavyo ili kuepukana na madhara haya. Vijana wengi hutumia dawa hizi wanapokuwa bila shughuli yoyote ya kuwaweka wachangamke. Mojawapo ya njia ya kujiepusha ni kuchangamka katika michezo, uimbaji na shughuli zingine zozote ambazo ni muhimu.
Pia vijana inatakikana muepukana na makundi mabaya ambayo yanaweza kukusababishia wewe kujiunga nao ili kutenda maovu haya ya utumiaji wa mihadarati. Makundi haya mabaya mara nyingi huwakejeli wenzao na kwa sababu ya hivyo wao huona eti aibu na kisha kujiunga nao.
vilevile , kama umeathirika zaidi na mihadarati, unaweza kuenda hospitalini kutibiwa au kupata ushauri mwafaka kutoka kwa daktari. Unapopewa dawa za kuepukana na athari hizi, uweze kuzitumia na hali isipokuwa vyema, unaweza rudi hospitalini ili upate matibabu zaidi. Kwa hayo machache, nawashukuru sana kwa kunipa masikio yenu na Mola awabariki sana. Asanteni sana.” | Mja haitikii wito bali huitikia nini | {
"text": [
"aitiwalo"
]
} |
3275_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA NA JINSI YA KUEPUKANA NAZO
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wengine na wanafunzi hamjambo? Ningependa kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha sisi kufika mahali hapa. Na pia nawashukuru nyinyi kwa kuitikia wito huu kwani mja haitikii wito bali huitikia aitiwalo.
Madhumuni amabayo yametukusanya hapa ni suala kuhusu athari za dawa za kulevya na jinsi vijana wanaweza kuepukana na madhara hayo. Kwanza, athari ni kama matatizo na kuepuka ni kama kujiondoa katika tatizo hilo.
Mojawapo ya athari za dawa za kulevya ni kwamba yamesababisha maradhi kwa wingi sana. Maradhi haya ni kama vile saratani ya mapafu ambao ni ugonjwa sugu sana. Asilimia kubwa zaidi ya vijana wamekata kama dhidi ya ugonjwa huu kwani wao hugundua kuwa wanaugua ugonjwa huu kama wakati ushayoyoma na pia hauna tiba.
Isitoshe, vijana wanapotumia mihadarati, wao hujiona kuwa wenye nguvu zaidi kuliko wengine. Vijana hawa wanapoenda shuleni, wao huanzisha vurugu kwa kuwachokoza wenzao. Mara huweza kutokea vita na kwa hivyo kijana huyu anayetumia mihadarati anaweza kuacha masomo.
Vijana wengi wanaotumia mihadarati huanza kufeli mitihani yao ovyoovyo. Mara nyingi wanafunzi hawa wanapozitumia hasaa wengi wao hawawi maakini darasani ili kuwasikiza walimu wao. Mara nyingi hupoteza wakati wao mwingi sana katika utumiaji wa dawa za kulevya. Pia , matumizi haya huweza kusababaisha wao kulala darasani kwa hivyo kuharibu elimu yao amabayo ni mustakabali wa maisha.
Mara nyingi kumesikika kuwa vijana wengi wameripotiwa katika vituo vya polisi kwa sababu ya wizi. Kesi hizi hutokea sana kwa vijana ambao wanatumia mihadarati . inasemekana kuwa vijana hawa hukosa hela za kununulia dawa hizi za kulevya na kwa hivyo kujihusisha katika wizi ili wapate pesa za kuzinunua bila kujua kuwa pwagu hupata pwaguzi.
Aidha, vijana wengi wamefariki barabarani kwa sababu ya mihadarati. Wengi wao hunywa pombe na kuanza kufanya vituko vyao njiani. Hii husababisha wao kutoona vyema mbele wanakoenda na kwa hivyo huweza kugongwa na gari na kwa bahati mbaya kuiaga dunia.
Ni lazima kila kijana ajaribu iwezekanavyo ili kuepukana na madhara haya. Vijana wengi hutumia dawa hizi wanapokuwa bila shughuli yoyote ya kuwaweka wachangamke. Mojawapo ya njia ya kujiepusha ni kuchangamka katika michezo, uimbaji na shughuli zingine zozote ambazo ni muhimu.
Pia vijana inatakikana muepukana na makundi mabaya ambayo yanaweza kukusababishia wewe kujiunga nao ili kutenda maovu haya ya utumiaji wa mihadarati. Makundi haya mabaya mara nyingi huwakejeli wenzao na kwa sababu ya hivyo wao huona eti aibu na kisha kujiunga nao.
vilevile , kama umeathirika zaidi na mihadarati, unaweza kuenda hospitalini kutibiwa au kupata ushauri mwafaka kutoka kwa daktari. Unapopewa dawa za kuepukana na athari hizi, uweze kuzitumia na hali isipokuwa vyema, unaweza rudi hospitalini ili upate matibabu zaidi. Kwa hayo machache, nawashukuru sana kwa kunipa masikio yenu na Mola awabariki sana. Asanteni sana.” | Nini zimesababisha maradhi kwa wingi | {
"text": [
"dawa za kulevya"
]
} |
3275_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA NA JINSI YA KUEPUKANA NAZO
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wengine na wanafunzi hamjambo? Ningependa kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha sisi kufika mahali hapa. Na pia nawashukuru nyinyi kwa kuitikia wito huu kwani mja haitikii wito bali huitikia aitiwalo.
Madhumuni amabayo yametukusanya hapa ni suala kuhusu athari za dawa za kulevya na jinsi vijana wanaweza kuepukana na madhara hayo. Kwanza, athari ni kama matatizo na kuepuka ni kama kujiondoa katika tatizo hilo.
Mojawapo ya athari za dawa za kulevya ni kwamba yamesababisha maradhi kwa wingi sana. Maradhi haya ni kama vile saratani ya mapafu ambao ni ugonjwa sugu sana. Asilimia kubwa zaidi ya vijana wamekata kama dhidi ya ugonjwa huu kwani wao hugundua kuwa wanaugua ugonjwa huu kama wakati ushayoyoma na pia hauna tiba.
Isitoshe, vijana wanapotumia mihadarati, wao hujiona kuwa wenye nguvu zaidi kuliko wengine. Vijana hawa wanapoenda shuleni, wao huanzisha vurugu kwa kuwachokoza wenzao. Mara huweza kutokea vita na kwa hivyo kijana huyu anayetumia mihadarati anaweza kuacha masomo.
Vijana wengi wanaotumia mihadarati huanza kufeli mitihani yao ovyoovyo. Mara nyingi wanafunzi hawa wanapozitumia hasaa wengi wao hawawi maakini darasani ili kuwasikiza walimu wao. Mara nyingi hupoteza wakati wao mwingi sana katika utumiaji wa dawa za kulevya. Pia , matumizi haya huweza kusababaisha wao kulala darasani kwa hivyo kuharibu elimu yao amabayo ni mustakabali wa maisha.
Mara nyingi kumesikika kuwa vijana wengi wameripotiwa katika vituo vya polisi kwa sababu ya wizi. Kesi hizi hutokea sana kwa vijana ambao wanatumia mihadarati . inasemekana kuwa vijana hawa hukosa hela za kununulia dawa hizi za kulevya na kwa hivyo kujihusisha katika wizi ili wapate pesa za kuzinunua bila kujua kuwa pwagu hupata pwaguzi.
Aidha, vijana wengi wamefariki barabarani kwa sababu ya mihadarati. Wengi wao hunywa pombe na kuanza kufanya vituko vyao njiani. Hii husababisha wao kutoona vyema mbele wanakoenda na kwa hivyo huweza kugongwa na gari na kwa bahati mbaya kuiaga dunia.
Ni lazima kila kijana ajaribu iwezekanavyo ili kuepukana na madhara haya. Vijana wengi hutumia dawa hizi wanapokuwa bila shughuli yoyote ya kuwaweka wachangamke. Mojawapo ya njia ya kujiepusha ni kuchangamka katika michezo, uimbaji na shughuli zingine zozote ambazo ni muhimu.
Pia vijana inatakikana muepukana na makundi mabaya ambayo yanaweza kukusababishia wewe kujiunga nao ili kutenda maovu haya ya utumiaji wa mihadarati. Makundi haya mabaya mara nyingi huwakejeli wenzao na kwa sababu ya hivyo wao huona eti aibu na kisha kujiunga nao.
vilevile , kama umeathirika zaidi na mihadarati, unaweza kuenda hospitalini kutibiwa au kupata ushauri mwafaka kutoka kwa daktari. Unapopewa dawa za kuepukana na athari hizi, uweze kuzitumia na hali isipokuwa vyema, unaweza rudi hospitalini ili upate matibabu zaidi. Kwa hayo machache, nawashukuru sana kwa kunipa masikio yenu na Mola awabariki sana. Asanteni sana.” | Vijana wanapotumia mihadarati hujiona vipi | {
"text": [
"kuwa wenye nguvu"
]
} |
3275_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA NA JINSI YA KUEPUKANA NAZO
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wengine na wanafunzi hamjambo? Ningependa kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha sisi kufika mahali hapa. Na pia nawashukuru nyinyi kwa kuitikia wito huu kwani mja haitikii wito bali huitikia aitiwalo.
Madhumuni amabayo yametukusanya hapa ni suala kuhusu athari za dawa za kulevya na jinsi vijana wanaweza kuepukana na madhara hayo. Kwanza, athari ni kama matatizo na kuepuka ni kama kujiondoa katika tatizo hilo.
Mojawapo ya athari za dawa za kulevya ni kwamba yamesababisha maradhi kwa wingi sana. Maradhi haya ni kama vile saratani ya mapafu ambao ni ugonjwa sugu sana. Asilimia kubwa zaidi ya vijana wamekata kama dhidi ya ugonjwa huu kwani wao hugundua kuwa wanaugua ugonjwa huu kama wakati ushayoyoma na pia hauna tiba.
Isitoshe, vijana wanapotumia mihadarati, wao hujiona kuwa wenye nguvu zaidi kuliko wengine. Vijana hawa wanapoenda shuleni, wao huanzisha vurugu kwa kuwachokoza wenzao. Mara huweza kutokea vita na kwa hivyo kijana huyu anayetumia mihadarati anaweza kuacha masomo.
Vijana wengi wanaotumia mihadarati huanza kufeli mitihani yao ovyoovyo. Mara nyingi wanafunzi hawa wanapozitumia hasaa wengi wao hawawi maakini darasani ili kuwasikiza walimu wao. Mara nyingi hupoteza wakati wao mwingi sana katika utumiaji wa dawa za kulevya. Pia , matumizi haya huweza kusababaisha wao kulala darasani kwa hivyo kuharibu elimu yao amabayo ni mustakabali wa maisha.
Mara nyingi kumesikika kuwa vijana wengi wameripotiwa katika vituo vya polisi kwa sababu ya wizi. Kesi hizi hutokea sana kwa vijana ambao wanatumia mihadarati . inasemekana kuwa vijana hawa hukosa hela za kununulia dawa hizi za kulevya na kwa hivyo kujihusisha katika wizi ili wapate pesa za kuzinunua bila kujua kuwa pwagu hupata pwaguzi.
Aidha, vijana wengi wamefariki barabarani kwa sababu ya mihadarati. Wengi wao hunywa pombe na kuanza kufanya vituko vyao njiani. Hii husababisha wao kutoona vyema mbele wanakoenda na kwa hivyo huweza kugongwa na gari na kwa bahati mbaya kuiaga dunia.
Ni lazima kila kijana ajaribu iwezekanavyo ili kuepukana na madhara haya. Vijana wengi hutumia dawa hizi wanapokuwa bila shughuli yoyote ya kuwaweka wachangamke. Mojawapo ya njia ya kujiepusha ni kuchangamka katika michezo, uimbaji na shughuli zingine zozote ambazo ni muhimu.
Pia vijana inatakikana muepukana na makundi mabaya ambayo yanaweza kukusababishia wewe kujiunga nao ili kutenda maovu haya ya utumiaji wa mihadarati. Makundi haya mabaya mara nyingi huwakejeli wenzao na kwa sababu ya hivyo wao huona eti aibu na kisha kujiunga nao.
vilevile , kama umeathirika zaidi na mihadarati, unaweza kuenda hospitalini kutibiwa au kupata ushauri mwafaka kutoka kwa daktari. Unapopewa dawa za kuepukana na athari hizi, uweze kuzitumia na hali isipokuwa vyema, unaweza rudi hospitalini ili upate matibabu zaidi. Kwa hayo machache, nawashukuru sana kwa kunipa masikio yenu na Mola awabariki sana. Asanteni sana.” | Wale wameathirika zaidi na mihadarati waende wapi | {
"text": [
"hospitalini"
]
} |
3275_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA DAWA ZA KULEVYA NA JINSI YA KUEPUKANA NAZO
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wengine na wanafunzi hamjambo? Ningependa kumshukuru Maulana kwa kutuwezesha sisi kufika mahali hapa. Na pia nawashukuru nyinyi kwa kuitikia wito huu kwani mja haitikii wito bali huitikia aitiwalo.
Madhumuni amabayo yametukusanya hapa ni suala kuhusu athari za dawa za kulevya na jinsi vijana wanaweza kuepukana na madhara hayo. Kwanza, athari ni kama matatizo na kuepuka ni kama kujiondoa katika tatizo hilo.
Mojawapo ya athari za dawa za kulevya ni kwamba yamesababisha maradhi kwa wingi sana. Maradhi haya ni kama vile saratani ya mapafu ambao ni ugonjwa sugu sana. Asilimia kubwa zaidi ya vijana wamekata kama dhidi ya ugonjwa huu kwani wao hugundua kuwa wanaugua ugonjwa huu kama wakati ushayoyoma na pia hauna tiba.
Isitoshe, vijana wanapotumia mihadarati, wao hujiona kuwa wenye nguvu zaidi kuliko wengine. Vijana hawa wanapoenda shuleni, wao huanzisha vurugu kwa kuwachokoza wenzao. Mara huweza kutokea vita na kwa hivyo kijana huyu anayetumia mihadarati anaweza kuacha masomo.
Vijana wengi wanaotumia mihadarati huanza kufeli mitihani yao ovyoovyo. Mara nyingi wanafunzi hawa wanapozitumia hasaa wengi wao hawawi maakini darasani ili kuwasikiza walimu wao. Mara nyingi hupoteza wakati wao mwingi sana katika utumiaji wa dawa za kulevya. Pia , matumizi haya huweza kusababaisha wao kulala darasani kwa hivyo kuharibu elimu yao amabayo ni mustakabali wa maisha.
Mara nyingi kumesikika kuwa vijana wengi wameripotiwa katika vituo vya polisi kwa sababu ya wizi. Kesi hizi hutokea sana kwa vijana ambao wanatumia mihadarati . inasemekana kuwa vijana hawa hukosa hela za kununulia dawa hizi za kulevya na kwa hivyo kujihusisha katika wizi ili wapate pesa za kuzinunua bila kujua kuwa pwagu hupata pwaguzi.
Aidha, vijana wengi wamefariki barabarani kwa sababu ya mihadarati. Wengi wao hunywa pombe na kuanza kufanya vituko vyao njiani. Hii husababisha wao kutoona vyema mbele wanakoenda na kwa hivyo huweza kugongwa na gari na kwa bahati mbaya kuiaga dunia.
Ni lazima kila kijana ajaribu iwezekanavyo ili kuepukana na madhara haya. Vijana wengi hutumia dawa hizi wanapokuwa bila shughuli yoyote ya kuwaweka wachangamke. Mojawapo ya njia ya kujiepusha ni kuchangamka katika michezo, uimbaji na shughuli zingine zozote ambazo ni muhimu.
Pia vijana inatakikana muepukana na makundi mabaya ambayo yanaweza kukusababishia wewe kujiunga nao ili kutenda maovu haya ya utumiaji wa mihadarati. Makundi haya mabaya mara nyingi huwakejeli wenzao na kwa sababu ya hivyo wao huona eti aibu na kisha kujiunga nao.
vilevile , kama umeathirika zaidi na mihadarati, unaweza kuenda hospitalini kutibiwa au kupata ushauri mwafaka kutoka kwa daktari. Unapopewa dawa za kuepukana na athari hizi, uweze kuzitumia na hali isipokuwa vyema, unaweza rudi hospitalini ili upate matibabu zaidi. Kwa hayo machache, nawashukuru sana kwa kunipa masikio yenu na Mola awabariki sana. Asanteni sana.” | Mbona vijana wanaripotiwa katika vituo vya polisi | {
"text": [
"kwa sababu ya wizi"
]
} |
3276_swa | HOTUBA KUHUSU MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa Mwalimu mkuu, walimu , viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwanza ningependa kuwaeleza kuwa kiini cha mkutano huu ni juu ya madhara ya dawa za Kulevya. Kabla sijaendelea ningependa Kuwashukuru na kuwakaribisha kwa kutenga muda wenu kufika kwenye ukumbi huu.
Dawa za kulevya zimeenea kila pembe nchini na watumizi wamezidi kwa idadi bila ya kufahamu madhara yake. Dawa hizi husababisha magonjwa kama vile saratani ya mapafu ambapo mtu anapozidi kuvuta Sigara huweza kuwa na shida ya mapafu ambayo hutokana na moshi ambao unaingia kifuani.
Pili, dawa hizi husababisha ongezeko la wizi. Vijana wanapokosa pesa za kununua dawa hizi hujikuta wakijiingiza kwenye visa vya wizi ili kupata mkwanja wa kununua.
Dawa za kulevya zimesababisha mimba za mapema. Vijana wengi hujihusisha kwenye mapenzi bila kujali umri wao wanapokuwa wametumia dawa hizo za Kulevya. Matokeo yake huwa ni mimba na usambazaji wa Magonjwa ya zinaa.
Vilevile urahibu wa dawa za kulevya husababisha ongezeko la ajali barabarani ambapo madereva wanapotumia dawa hizo na kuendesha magari hujikuta wamepoteza mwelekeo na kusababisha ajali pia huenda kwa mwendo wa kasi ambao pia hufanya gari kubingirika.
Dawa za kulevya zinapotumiwa pia husababisha vifo. Watu wanao kunywa pombe haramu mwishowe hufariki papo hapo na wengine huweza kupoteza macho yao na kuwa vipofu. Mfano watu walio kufa Nakuru kutokana na kutumia pombe haramu na wengine walionusurika waliweza kuwa vijana.
Utumizi wa dawa za kulevya husababisha umaskini. Pesa nyingi ambazo zingetumiwa katika ujenzi wa maendeleo huishia katika matumizi ya dawa za kulevya ambapo mwishowe hakuna faida ambayo inajitokeza baada ya kutumia.
Dawa za Kulevya vilevile husababisha wanafunzi Kuwacha masomo yao wanapotumia. Kwa sababu ya uraibu wanafunzi hujipata wakiacha masomo yao na kuishia kukaa mtaani ili wapate nafasi ya kutumia dawa hizi bila kusumbuliwa na mtu yeyote.
Pia matumizi ya dawa za kulevya husababisha kudorora kwa viwango vya heshima shuleni wanafunzi wengi huishia kuwa gaidi na kukosa heshima kwa wanafunzi wenzao na walimu wao.
Matumizi ya dawa za kulevya pia husababisha ukosefu wa ajira. Watu wengi hupoteza muda mwingi kwenye utumizi wa dawa za kulevya hivyo kusababisha wengi wao kufutwa wanapokuwa wameajiriwa hivyo kusababisha Watu kukosa ajira.
Vilevile matumizi ya dawa za Kulevya hufanya ongezeko la Vijana wanao randaranda kwenye miji.Kwa Kutumia dawa hizi hutoroka makwao na kuishia kukaa kwenye miji na kuomba omba pesa za kununulia dawa za kulevya.
Ningependa kumalizia kwa kuwa shukuru nyote mlio tenda muda wenu kufika hapa. Mkifuata huo wosia wangu mtaweza kuepukana na visa vingi na madhara mengi yanayotokana na utumizi wa dawa za Kulevya. Ahsanteni sana Kwa kunisikiliza. " | Hii ni hotuba kuhusu nini | {
"text": [
"Dawa za kulevya"
]
} |
3276_swa | HOTUBA KUHUSU MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa Mwalimu mkuu, walimu , viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwanza ningependa kuwaeleza kuwa kiini cha mkutano huu ni juu ya madhara ya dawa za Kulevya. Kabla sijaendelea ningependa Kuwashukuru na kuwakaribisha kwa kutenga muda wenu kufika kwenye ukumbi huu.
Dawa za kulevya zimeenea kila pembe nchini na watumizi wamezidi kwa idadi bila ya kufahamu madhara yake. Dawa hizi husababisha magonjwa kama vile saratani ya mapafu ambapo mtu anapozidi kuvuta Sigara huweza kuwa na shida ya mapafu ambayo hutokana na moshi ambao unaingia kifuani.
Pili, dawa hizi husababisha ongezeko la wizi. Vijana wanapokosa pesa za kununua dawa hizi hujikuta wakijiingiza kwenye visa vya wizi ili kupata mkwanja wa kununua.
Dawa za kulevya zimesababisha mimba za mapema. Vijana wengi hujihusisha kwenye mapenzi bila kujali umri wao wanapokuwa wametumia dawa hizo za Kulevya. Matokeo yake huwa ni mimba na usambazaji wa Magonjwa ya zinaa.
Vilevile urahibu wa dawa za kulevya husababisha ongezeko la ajali barabarani ambapo madereva wanapotumia dawa hizo na kuendesha magari hujikuta wamepoteza mwelekeo na kusababisha ajali pia huenda kwa mwendo wa kasi ambao pia hufanya gari kubingirika.
Dawa za kulevya zinapotumiwa pia husababisha vifo. Watu wanao kunywa pombe haramu mwishowe hufariki papo hapo na wengine huweza kupoteza macho yao na kuwa vipofu. Mfano watu walio kufa Nakuru kutokana na kutumia pombe haramu na wengine walionusurika waliweza kuwa vijana.
Utumizi wa dawa za kulevya husababisha umaskini. Pesa nyingi ambazo zingetumiwa katika ujenzi wa maendeleo huishia katika matumizi ya dawa za kulevya ambapo mwishowe hakuna faida ambayo inajitokeza baada ya kutumia.
Dawa za Kulevya vilevile husababisha wanafunzi Kuwacha masomo yao wanapotumia. Kwa sababu ya uraibu wanafunzi hujipata wakiacha masomo yao na kuishia kukaa mtaani ili wapate nafasi ya kutumia dawa hizi bila kusumbuliwa na mtu yeyote.
Pia matumizi ya dawa za kulevya husababisha kudorora kwa viwango vya heshima shuleni wanafunzi wengi huishia kuwa gaidi na kukosa heshima kwa wanafunzi wenzao na walimu wao.
Matumizi ya dawa za kulevya pia husababisha ukosefu wa ajira. Watu wengi hupoteza muda mwingi kwenye utumizi wa dawa za kulevya hivyo kusababisha wengi wao kufutwa wanapokuwa wameajiriwa hivyo kusababisha Watu kukosa ajira.
Vilevile matumizi ya dawa za Kulevya hufanya ongezeko la Vijana wanao randaranda kwenye miji.Kwa Kutumia dawa hizi hutoroka makwao na kuishia kukaa kwenye miji na kuomba omba pesa za kununulia dawa za kulevya.
Ningependa kumalizia kwa kuwa shukuru nyote mlio tenda muda wenu kufika hapa. Mkifuata huo wosia wangu mtaweza kuepukana na visa vingi na madhara mengi yanayotokana na utumizi wa dawa za Kulevya. Ahsanteni sana Kwa kunisikiliza. " | Dawa za kulevya zimeenea wapi | {
"text": [
"Kila pembe nchini"
]
} |
3276_swa | HOTUBA KUHUSU MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa Mwalimu mkuu, walimu , viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwanza ningependa kuwaeleza kuwa kiini cha mkutano huu ni juu ya madhara ya dawa za Kulevya. Kabla sijaendelea ningependa Kuwashukuru na kuwakaribisha kwa kutenga muda wenu kufika kwenye ukumbi huu.
Dawa za kulevya zimeenea kila pembe nchini na watumizi wamezidi kwa idadi bila ya kufahamu madhara yake. Dawa hizi husababisha magonjwa kama vile saratani ya mapafu ambapo mtu anapozidi kuvuta Sigara huweza kuwa na shida ya mapafu ambayo hutokana na moshi ambao unaingia kifuani.
Pili, dawa hizi husababisha ongezeko la wizi. Vijana wanapokosa pesa za kununua dawa hizi hujikuta wakijiingiza kwenye visa vya wizi ili kupata mkwanja wa kununua.
Dawa za kulevya zimesababisha mimba za mapema. Vijana wengi hujihusisha kwenye mapenzi bila kujali umri wao wanapokuwa wametumia dawa hizo za Kulevya. Matokeo yake huwa ni mimba na usambazaji wa Magonjwa ya zinaa.
Vilevile urahibu wa dawa za kulevya husababisha ongezeko la ajali barabarani ambapo madereva wanapotumia dawa hizo na kuendesha magari hujikuta wamepoteza mwelekeo na kusababisha ajali pia huenda kwa mwendo wa kasi ambao pia hufanya gari kubingirika.
Dawa za kulevya zinapotumiwa pia husababisha vifo. Watu wanao kunywa pombe haramu mwishowe hufariki papo hapo na wengine huweza kupoteza macho yao na kuwa vipofu. Mfano watu walio kufa Nakuru kutokana na kutumia pombe haramu na wengine walionusurika waliweza kuwa vijana.
Utumizi wa dawa za kulevya husababisha umaskini. Pesa nyingi ambazo zingetumiwa katika ujenzi wa maendeleo huishia katika matumizi ya dawa za kulevya ambapo mwishowe hakuna faida ambayo inajitokeza baada ya kutumia.
Dawa za Kulevya vilevile husababisha wanafunzi Kuwacha masomo yao wanapotumia. Kwa sababu ya uraibu wanafunzi hujipata wakiacha masomo yao na kuishia kukaa mtaani ili wapate nafasi ya kutumia dawa hizi bila kusumbuliwa na mtu yeyote.
Pia matumizi ya dawa za kulevya husababisha kudorora kwa viwango vya heshima shuleni wanafunzi wengi huishia kuwa gaidi na kukosa heshima kwa wanafunzi wenzao na walimu wao.
Matumizi ya dawa za kulevya pia husababisha ukosefu wa ajira. Watu wengi hupoteza muda mwingi kwenye utumizi wa dawa za kulevya hivyo kusababisha wengi wao kufutwa wanapokuwa wameajiriwa hivyo kusababisha Watu kukosa ajira.
Vilevile matumizi ya dawa za Kulevya hufanya ongezeko la Vijana wanao randaranda kwenye miji.Kwa Kutumia dawa hizi hutoroka makwao na kuishia kukaa kwenye miji na kuomba omba pesa za kununulia dawa za kulevya.
Ningependa kumalizia kwa kuwa shukuru nyote mlio tenda muda wenu kufika hapa. Mkifuata huo wosia wangu mtaweza kuepukana na visa vingi na madhara mengi yanayotokana na utumizi wa dawa za Kulevya. Ahsanteni sana Kwa kunisikiliza. " | Watumizi wa dawa za kulevya wamezidi bila ya kufahamu nini | {
"text": [
"Madhara yake"
]
} |
3276_swa | HOTUBA KUHUSU MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa Mwalimu mkuu, walimu , viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwanza ningependa kuwaeleza kuwa kiini cha mkutano huu ni juu ya madhara ya dawa za Kulevya. Kabla sijaendelea ningependa Kuwashukuru na kuwakaribisha kwa kutenga muda wenu kufika kwenye ukumbi huu.
Dawa za kulevya zimeenea kila pembe nchini na watumizi wamezidi kwa idadi bila ya kufahamu madhara yake. Dawa hizi husababisha magonjwa kama vile saratani ya mapafu ambapo mtu anapozidi kuvuta Sigara huweza kuwa na shida ya mapafu ambayo hutokana na moshi ambao unaingia kifuani.
Pili, dawa hizi husababisha ongezeko la wizi. Vijana wanapokosa pesa za kununua dawa hizi hujikuta wakijiingiza kwenye visa vya wizi ili kupata mkwanja wa kununua.
Dawa za kulevya zimesababisha mimba za mapema. Vijana wengi hujihusisha kwenye mapenzi bila kujali umri wao wanapokuwa wametumia dawa hizo za Kulevya. Matokeo yake huwa ni mimba na usambazaji wa Magonjwa ya zinaa.
Vilevile urahibu wa dawa za kulevya husababisha ongezeko la ajali barabarani ambapo madereva wanapotumia dawa hizo na kuendesha magari hujikuta wamepoteza mwelekeo na kusababisha ajali pia huenda kwa mwendo wa kasi ambao pia hufanya gari kubingirika.
Dawa za kulevya zinapotumiwa pia husababisha vifo. Watu wanao kunywa pombe haramu mwishowe hufariki papo hapo na wengine huweza kupoteza macho yao na kuwa vipofu. Mfano watu walio kufa Nakuru kutokana na kutumia pombe haramu na wengine walionusurika waliweza kuwa vijana.
Utumizi wa dawa za kulevya husababisha umaskini. Pesa nyingi ambazo zingetumiwa katika ujenzi wa maendeleo huishia katika matumizi ya dawa za kulevya ambapo mwishowe hakuna faida ambayo inajitokeza baada ya kutumia.
Dawa za Kulevya vilevile husababisha wanafunzi Kuwacha masomo yao wanapotumia. Kwa sababu ya uraibu wanafunzi hujipata wakiacha masomo yao na kuishia kukaa mtaani ili wapate nafasi ya kutumia dawa hizi bila kusumbuliwa na mtu yeyote.
Pia matumizi ya dawa za kulevya husababisha kudorora kwa viwango vya heshima shuleni wanafunzi wengi huishia kuwa gaidi na kukosa heshima kwa wanafunzi wenzao na walimu wao.
Matumizi ya dawa za kulevya pia husababisha ukosefu wa ajira. Watu wengi hupoteza muda mwingi kwenye utumizi wa dawa za kulevya hivyo kusababisha wengi wao kufutwa wanapokuwa wameajiriwa hivyo kusababisha Watu kukosa ajira.
Vilevile matumizi ya dawa za Kulevya hufanya ongezeko la Vijana wanao randaranda kwenye miji.Kwa Kutumia dawa hizi hutoroka makwao na kuishia kukaa kwenye miji na kuomba omba pesa za kununulia dawa za kulevya.
Ningependa kumalizia kwa kuwa shukuru nyote mlio tenda muda wenu kufika hapa. Mkifuata huo wosia wangu mtaweza kuepukana na visa vingi na madhara mengi yanayotokana na utumizi wa dawa za Kulevya. Ahsanteni sana Kwa kunisikiliza. " | Dawa hizi husababisha ongezeko la nini | {
"text": [
"Wizi"
]
} |
3276_swa | HOTUBA KUHUSU MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa Mwalimu mkuu, walimu , viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwanza ningependa kuwaeleza kuwa kiini cha mkutano huu ni juu ya madhara ya dawa za Kulevya. Kabla sijaendelea ningependa Kuwashukuru na kuwakaribisha kwa kutenga muda wenu kufika kwenye ukumbi huu.
Dawa za kulevya zimeenea kila pembe nchini na watumizi wamezidi kwa idadi bila ya kufahamu madhara yake. Dawa hizi husababisha magonjwa kama vile saratani ya mapafu ambapo mtu anapozidi kuvuta Sigara huweza kuwa na shida ya mapafu ambayo hutokana na moshi ambao unaingia kifuani.
Pili, dawa hizi husababisha ongezeko la wizi. Vijana wanapokosa pesa za kununua dawa hizi hujikuta wakijiingiza kwenye visa vya wizi ili kupata mkwanja wa kununua.
Dawa za kulevya zimesababisha mimba za mapema. Vijana wengi hujihusisha kwenye mapenzi bila kujali umri wao wanapokuwa wametumia dawa hizo za Kulevya. Matokeo yake huwa ni mimba na usambazaji wa Magonjwa ya zinaa.
Vilevile urahibu wa dawa za kulevya husababisha ongezeko la ajali barabarani ambapo madereva wanapotumia dawa hizo na kuendesha magari hujikuta wamepoteza mwelekeo na kusababisha ajali pia huenda kwa mwendo wa kasi ambao pia hufanya gari kubingirika.
Dawa za kulevya zinapotumiwa pia husababisha vifo. Watu wanao kunywa pombe haramu mwishowe hufariki papo hapo na wengine huweza kupoteza macho yao na kuwa vipofu. Mfano watu walio kufa Nakuru kutokana na kutumia pombe haramu na wengine walionusurika waliweza kuwa vijana.
Utumizi wa dawa za kulevya husababisha umaskini. Pesa nyingi ambazo zingetumiwa katika ujenzi wa maendeleo huishia katika matumizi ya dawa za kulevya ambapo mwishowe hakuna faida ambayo inajitokeza baada ya kutumia.
Dawa za Kulevya vilevile husababisha wanafunzi Kuwacha masomo yao wanapotumia. Kwa sababu ya uraibu wanafunzi hujipata wakiacha masomo yao na kuishia kukaa mtaani ili wapate nafasi ya kutumia dawa hizi bila kusumbuliwa na mtu yeyote.
Pia matumizi ya dawa za kulevya husababisha kudorora kwa viwango vya heshima shuleni wanafunzi wengi huishia kuwa gaidi na kukosa heshima kwa wanafunzi wenzao na walimu wao.
Matumizi ya dawa za kulevya pia husababisha ukosefu wa ajira. Watu wengi hupoteza muda mwingi kwenye utumizi wa dawa za kulevya hivyo kusababisha wengi wao kufutwa wanapokuwa wameajiriwa hivyo kusababisha Watu kukosa ajira.
Vilevile matumizi ya dawa za Kulevya hufanya ongezeko la Vijana wanao randaranda kwenye miji.Kwa Kutumia dawa hizi hutoroka makwao na kuishia kukaa kwenye miji na kuomba omba pesa za kununulia dawa za kulevya.
Ningependa kumalizia kwa kuwa shukuru nyote mlio tenda muda wenu kufika hapa. Mkifuata huo wosia wangu mtaweza kuepukana na visa vingi na madhara mengi yanayotokana na utumizi wa dawa za Kulevya. Ahsanteni sana Kwa kunisikiliza. " | Ni jinsi gani dawa hizi husababisha mimba za mapema | {
"text": [
"Vijana wengi hujihusisha kwenye mapenzi bila kujali umri wao wanapokuwa wametumia dawa hizo za kulevya"
]
} |
3279_swa | MASAIBU YA DICKSON
Katika kijiji cha karatina kuliwa kuwa na mzee mmoja aliyekuwa akiitwa Hamsa. Hamsa alikuwa na watoto kadhaa ambao wengi wao hawakufanya vizuri katika masomo yao isipokuwa mmoja ambaye alifahamika kama Dickson. Dickson alibahatika kumaliza shule ya msingi na kuenda katika shule ya upili amabapo alipitia changamoto mbali mbali kama kukosa karo ishara tosha kuwa kwao walikuwa maskini kwa sababu babake mzee Hamsa alilazimika kufanya kazi katika mashamba ya watu ilikupata hela kidogo kukuidhi mahitaji ya kijana wake Dickson.
Dickson kwa baba yake alikuwa ndio mwangaza au tegemeo katika familia yao na hiyo ndio ilifanya babake kung’ang’ana ili kumsomesha. Kwa bahati nzuri Dickson alipita mtihani wa kitaifa na kuingia katika chuo kikuu cha Kenyatta kule mjini Nairobi. Akiwa kule chuoni alipatana na wanafunzi mbalimbali toka sehemu zingine na kutoka katika tabaka tofauti. Mara nyingi angepatana na wapendwa wawili wawili wakitembea huku wakiwa wamefurahi wakionyesha ishara ya mapenzi yaliyomwaacha Dickson na maswali nyingi kuhusu ni lini au wapi amabapo angewai mpata mpendwa ambaye wangependana naye na msichana ambaye angependa katika hali yake ya umaskini.
Mara nyingi Dickson alipokuwa darasani mhadhiri wao wa fasihi angefanya maisha yao yakuwe magumu walipouliza maswali mhadhiri wao. Daktari Mungai angetumia mafumbo kujibu maswali yao na kuwa kejeli kuhusu kuuliza maswali ambayo kulingana naye walipaswa kuyajua eti walifunzwa katika shule ya upili. Kupitia jinsi walivyofanyiwa mara kwa mara wanafunzi katika darasa la kina Dickson wengine wao waliamua kuacha masomo, mwingine alisema kuwa babake alikuwa anamiliki majumba na angeenda kuyakusanya kodi. Mwingine naye alidai kuwa mchumba wake alikuwa na kazi nzuri iliyompa pesa ya kutosha kuyakidhi mahitaji yao wawili na hakuwa na haja na masomo tena. Dickson alishangaa na kubaki kuduwaa ambacho yeye angemiliki na akakosa jibu.
Masaa ya kuenda nyumbani ilipofika alienda zake nyumbani ambapo alikuwa anaishi katika mtaa iliyoachiwa wachochole na watu wenye tabaka la chini. Alipofika nyumbani kwake alikuwa anahisi njaa na alihitaji kupika. Bahati mbaya hakuwa na chakula chochote cha kupika isipokuwa unga na ikabidi apike uji uliokuwa mweupe pepepe. Alipokuwa akiendelea na upishi mlango ulibishwa na hayo kulingan naye hayakuwa ya kawaida. Aliamua kufungua mlango na alichoshuhudia yalimuacha na maswali pale mlangoni alikuwa msichana mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Alijifahamisha kwa Dickson kama Penina na alimwambia kuwa alikuwa amemwona pale chuoni kwa muda mrefu na alikuwa amemwona na siku hiyo alikuwa ameamua kumtembelea na kumwambia ukweli wake kuwa anampenda. Kilichomshangaza Penina ni kuwa Dickson alikuwa anakunywa uji. Licha ya hayo, Penina alisema kuwa mapenzi hayakujali kuhusu utabaka. Waliamua kuchumbiana na kuishi pamoja. Baada ya hao kuhitimu Penina alimwambia Dickson atafute kazi na alipokosa kazi, Penina aliamua kumfukuza Dickson katika nyumba walikoishi kwa sababu aliyamiliki. Dickson alitaabika sana na kuchoshwa na maisha.
| Katika kijiji cha karatina kulikuwa na mzee aliyekuwa akiitwa | {
"text": [
"Hamsa"
]
} |
3279_swa | MASAIBU YA DICKSON
Katika kijiji cha karatina kuliwa kuwa na mzee mmoja aliyekuwa akiitwa Hamsa. Hamsa alikuwa na watoto kadhaa ambao wengi wao hawakufanya vizuri katika masomo yao isipokuwa mmoja ambaye alifahamika kama Dickson. Dickson alibahatika kumaliza shule ya msingi na kuenda katika shule ya upili amabapo alipitia changamoto mbali mbali kama kukosa karo ishara tosha kuwa kwao walikuwa maskini kwa sababu babake mzee Hamsa alilazimika kufanya kazi katika mashamba ya watu ilikupata hela kidogo kukuidhi mahitaji ya kijana wake Dickson.
Dickson kwa baba yake alikuwa ndio mwangaza au tegemeo katika familia yao na hiyo ndio ilifanya babake kung’ang’ana ili kumsomesha. Kwa bahati nzuri Dickson alipita mtihani wa kitaifa na kuingia katika chuo kikuu cha Kenyatta kule mjini Nairobi. Akiwa kule chuoni alipatana na wanafunzi mbalimbali toka sehemu zingine na kutoka katika tabaka tofauti. Mara nyingi angepatana na wapendwa wawili wawili wakitembea huku wakiwa wamefurahi wakionyesha ishara ya mapenzi yaliyomwaacha Dickson na maswali nyingi kuhusu ni lini au wapi amabapo angewai mpata mpendwa ambaye wangependana naye na msichana ambaye angependa katika hali yake ya umaskini.
Mara nyingi Dickson alipokuwa darasani mhadhiri wao wa fasihi angefanya maisha yao yakuwe magumu walipouliza maswali mhadhiri wao. Daktari Mungai angetumia mafumbo kujibu maswali yao na kuwa kejeli kuhusu kuuliza maswali ambayo kulingana naye walipaswa kuyajua eti walifunzwa katika shule ya upili. Kupitia jinsi walivyofanyiwa mara kwa mara wanafunzi katika darasa la kina Dickson wengine wao waliamua kuacha masomo, mwingine alisema kuwa babake alikuwa anamiliki majumba na angeenda kuyakusanya kodi. Mwingine naye alidai kuwa mchumba wake alikuwa na kazi nzuri iliyompa pesa ya kutosha kuyakidhi mahitaji yao wawili na hakuwa na haja na masomo tena. Dickson alishangaa na kubaki kuduwaa ambacho yeye angemiliki na akakosa jibu.
Masaa ya kuenda nyumbani ilipofika alienda zake nyumbani ambapo alikuwa anaishi katika mtaa iliyoachiwa wachochole na watu wenye tabaka la chini. Alipofika nyumbani kwake alikuwa anahisi njaa na alihitaji kupika. Bahati mbaya hakuwa na chakula chochote cha kupika isipokuwa unga na ikabidi apike uji uliokuwa mweupe pepepe. Alipokuwa akiendelea na upishi mlango ulibishwa na hayo kulingan naye hayakuwa ya kawaida. Aliamua kufungua mlango na alichoshuhudia yalimuacha na maswali pale mlangoni alikuwa msichana mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Alijifahamisha kwa Dickson kama Penina na alimwambia kuwa alikuwa amemwona pale chuoni kwa muda mrefu na alikuwa amemwona na siku hiyo alikuwa ameamua kumtembelea na kumwambia ukweli wake kuwa anampenda. Kilichomshangaza Penina ni kuwa Dickson alikuwa anakunywa uji. Licha ya hayo, Penina alisema kuwa mapenzi hayakujali kuhusu utabaka. Waliamua kuchumbiana na kuishi pamoja. Baada ya hao kuhitimu Penina alimwambia Dickson atafute kazi na alipokosa kazi, Penina aliamua kumfukuza Dickson katika nyumba walikoishi kwa sababu aliyamiliki. Dickson alitaabika sana na kuchoshwa na maisha.
| Nani alibahatika kumaliza shule ya msingi | {
"text": [
"Dickson"
]
} |
3279_swa | MASAIBU YA DICKSON
Katika kijiji cha karatina kuliwa kuwa na mzee mmoja aliyekuwa akiitwa Hamsa. Hamsa alikuwa na watoto kadhaa ambao wengi wao hawakufanya vizuri katika masomo yao isipokuwa mmoja ambaye alifahamika kama Dickson. Dickson alibahatika kumaliza shule ya msingi na kuenda katika shule ya upili amabapo alipitia changamoto mbali mbali kama kukosa karo ishara tosha kuwa kwao walikuwa maskini kwa sababu babake mzee Hamsa alilazimika kufanya kazi katika mashamba ya watu ilikupata hela kidogo kukuidhi mahitaji ya kijana wake Dickson.
Dickson kwa baba yake alikuwa ndio mwangaza au tegemeo katika familia yao na hiyo ndio ilifanya babake kung’ang’ana ili kumsomesha. Kwa bahati nzuri Dickson alipita mtihani wa kitaifa na kuingia katika chuo kikuu cha Kenyatta kule mjini Nairobi. Akiwa kule chuoni alipatana na wanafunzi mbalimbali toka sehemu zingine na kutoka katika tabaka tofauti. Mara nyingi angepatana na wapendwa wawili wawili wakitembea huku wakiwa wamefurahi wakionyesha ishara ya mapenzi yaliyomwaacha Dickson na maswali nyingi kuhusu ni lini au wapi amabapo angewai mpata mpendwa ambaye wangependana naye na msichana ambaye angependa katika hali yake ya umaskini.
Mara nyingi Dickson alipokuwa darasani mhadhiri wao wa fasihi angefanya maisha yao yakuwe magumu walipouliza maswali mhadhiri wao. Daktari Mungai angetumia mafumbo kujibu maswali yao na kuwa kejeli kuhusu kuuliza maswali ambayo kulingana naye walipaswa kuyajua eti walifunzwa katika shule ya upili. Kupitia jinsi walivyofanyiwa mara kwa mara wanafunzi katika darasa la kina Dickson wengine wao waliamua kuacha masomo, mwingine alisema kuwa babake alikuwa anamiliki majumba na angeenda kuyakusanya kodi. Mwingine naye alidai kuwa mchumba wake alikuwa na kazi nzuri iliyompa pesa ya kutosha kuyakidhi mahitaji yao wawili na hakuwa na haja na masomo tena. Dickson alishangaa na kubaki kuduwaa ambacho yeye angemiliki na akakosa jibu.
Masaa ya kuenda nyumbani ilipofika alienda zake nyumbani ambapo alikuwa anaishi katika mtaa iliyoachiwa wachochole na watu wenye tabaka la chini. Alipofika nyumbani kwake alikuwa anahisi njaa na alihitaji kupika. Bahati mbaya hakuwa na chakula chochote cha kupika isipokuwa unga na ikabidi apike uji uliokuwa mweupe pepepe. Alipokuwa akiendelea na upishi mlango ulibishwa na hayo kulingan naye hayakuwa ya kawaida. Aliamua kufungua mlango na alichoshuhudia yalimuacha na maswali pale mlangoni alikuwa msichana mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Alijifahamisha kwa Dickson kama Penina na alimwambia kuwa alikuwa amemwona pale chuoni kwa muda mrefu na alikuwa amemwona na siku hiyo alikuwa ameamua kumtembelea na kumwambia ukweli wake kuwa anampenda. Kilichomshangaza Penina ni kuwa Dickson alikuwa anakunywa uji. Licha ya hayo, Penina alisema kuwa mapenzi hayakujali kuhusu utabaka. Waliamua kuchumbiana na kuishi pamoja. Baada ya hao kuhitimu Penina alimwambia Dickson atafute kazi na alipokosa kazi, Penina aliamua kumfukuza Dickson katika nyumba walikoishi kwa sababu aliyamiliki. Dickson alitaabika sana na kuchoshwa na maisha.
| Mara nyingi mhadhiri wao wa fasihi angefanya maisha yao yawe vipi | {
"text": [
"Magumu"
]
} |
3279_swa | MASAIBU YA DICKSON
Katika kijiji cha karatina kuliwa kuwa na mzee mmoja aliyekuwa akiitwa Hamsa. Hamsa alikuwa na watoto kadhaa ambao wengi wao hawakufanya vizuri katika masomo yao isipokuwa mmoja ambaye alifahamika kama Dickson. Dickson alibahatika kumaliza shule ya msingi na kuenda katika shule ya upili amabapo alipitia changamoto mbali mbali kama kukosa karo ishara tosha kuwa kwao walikuwa maskini kwa sababu babake mzee Hamsa alilazimika kufanya kazi katika mashamba ya watu ilikupata hela kidogo kukuidhi mahitaji ya kijana wake Dickson.
Dickson kwa baba yake alikuwa ndio mwangaza au tegemeo katika familia yao na hiyo ndio ilifanya babake kung’ang’ana ili kumsomesha. Kwa bahati nzuri Dickson alipita mtihani wa kitaifa na kuingia katika chuo kikuu cha Kenyatta kule mjini Nairobi. Akiwa kule chuoni alipatana na wanafunzi mbalimbali toka sehemu zingine na kutoka katika tabaka tofauti. Mara nyingi angepatana na wapendwa wawili wawili wakitembea huku wakiwa wamefurahi wakionyesha ishara ya mapenzi yaliyomwaacha Dickson na maswali nyingi kuhusu ni lini au wapi amabapo angewai mpata mpendwa ambaye wangependana naye na msichana ambaye angependa katika hali yake ya umaskini.
Mara nyingi Dickson alipokuwa darasani mhadhiri wao wa fasihi angefanya maisha yao yakuwe magumu walipouliza maswali mhadhiri wao. Daktari Mungai angetumia mafumbo kujibu maswali yao na kuwa kejeli kuhusu kuuliza maswali ambayo kulingana naye walipaswa kuyajua eti walifunzwa katika shule ya upili. Kupitia jinsi walivyofanyiwa mara kwa mara wanafunzi katika darasa la kina Dickson wengine wao waliamua kuacha masomo, mwingine alisema kuwa babake alikuwa anamiliki majumba na angeenda kuyakusanya kodi. Mwingine naye alidai kuwa mchumba wake alikuwa na kazi nzuri iliyompa pesa ya kutosha kuyakidhi mahitaji yao wawili na hakuwa na haja na masomo tena. Dickson alishangaa na kubaki kuduwaa ambacho yeye angemiliki na akakosa jibu.
Masaa ya kuenda nyumbani ilipofika alienda zake nyumbani ambapo alikuwa anaishi katika mtaa iliyoachiwa wachochole na watu wenye tabaka la chini. Alipofika nyumbani kwake alikuwa anahisi njaa na alihitaji kupika. Bahati mbaya hakuwa na chakula chochote cha kupika isipokuwa unga na ikabidi apike uji uliokuwa mweupe pepepe. Alipokuwa akiendelea na upishi mlango ulibishwa na hayo kulingan naye hayakuwa ya kawaida. Aliamua kufungua mlango na alichoshuhudia yalimuacha na maswali pale mlangoni alikuwa msichana mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Alijifahamisha kwa Dickson kama Penina na alimwambia kuwa alikuwa amemwona pale chuoni kwa muda mrefu na alikuwa amemwona na siku hiyo alikuwa ameamua kumtembelea na kumwambia ukweli wake kuwa anampenda. Kilichomshangaza Penina ni kuwa Dickson alikuwa anakunywa uji. Licha ya hayo, Penina alisema kuwa mapenzi hayakujali kuhusu utabaka. Waliamua kuchumbiana na kuishi pamoja. Baada ya hao kuhitimu Penina alimwambia Dickson atafute kazi na alipokosa kazi, Penina aliamua kumfukuza Dickson katika nyumba walikoishi kwa sababu aliyamiliki. Dickson alitaabika sana na kuchoshwa na maisha.
| Alipofika nyumbani alikuwa amehisi njaa na alihitaji kufanya nini | {
"text": [
"Kupika"
]
} |
3279_swa | MASAIBU YA DICKSON
Katika kijiji cha karatina kuliwa kuwa na mzee mmoja aliyekuwa akiitwa Hamsa. Hamsa alikuwa na watoto kadhaa ambao wengi wao hawakufanya vizuri katika masomo yao isipokuwa mmoja ambaye alifahamika kama Dickson. Dickson alibahatika kumaliza shule ya msingi na kuenda katika shule ya upili amabapo alipitia changamoto mbali mbali kama kukosa karo ishara tosha kuwa kwao walikuwa maskini kwa sababu babake mzee Hamsa alilazimika kufanya kazi katika mashamba ya watu ilikupata hela kidogo kukuidhi mahitaji ya kijana wake Dickson.
Dickson kwa baba yake alikuwa ndio mwangaza au tegemeo katika familia yao na hiyo ndio ilifanya babake kung’ang’ana ili kumsomesha. Kwa bahati nzuri Dickson alipita mtihani wa kitaifa na kuingia katika chuo kikuu cha Kenyatta kule mjini Nairobi. Akiwa kule chuoni alipatana na wanafunzi mbalimbali toka sehemu zingine na kutoka katika tabaka tofauti. Mara nyingi angepatana na wapendwa wawili wawili wakitembea huku wakiwa wamefurahi wakionyesha ishara ya mapenzi yaliyomwaacha Dickson na maswali nyingi kuhusu ni lini au wapi amabapo angewai mpata mpendwa ambaye wangependana naye na msichana ambaye angependa katika hali yake ya umaskini.
Mara nyingi Dickson alipokuwa darasani mhadhiri wao wa fasihi angefanya maisha yao yakuwe magumu walipouliza maswali mhadhiri wao. Daktari Mungai angetumia mafumbo kujibu maswali yao na kuwa kejeli kuhusu kuuliza maswali ambayo kulingana naye walipaswa kuyajua eti walifunzwa katika shule ya upili. Kupitia jinsi walivyofanyiwa mara kwa mara wanafunzi katika darasa la kina Dickson wengine wao waliamua kuacha masomo, mwingine alisema kuwa babake alikuwa anamiliki majumba na angeenda kuyakusanya kodi. Mwingine naye alidai kuwa mchumba wake alikuwa na kazi nzuri iliyompa pesa ya kutosha kuyakidhi mahitaji yao wawili na hakuwa na haja na masomo tena. Dickson alishangaa na kubaki kuduwaa ambacho yeye angemiliki na akakosa jibu.
Masaa ya kuenda nyumbani ilipofika alienda zake nyumbani ambapo alikuwa anaishi katika mtaa iliyoachiwa wachochole na watu wenye tabaka la chini. Alipofika nyumbani kwake alikuwa anahisi njaa na alihitaji kupika. Bahati mbaya hakuwa na chakula chochote cha kupika isipokuwa unga na ikabidi apike uji uliokuwa mweupe pepepe. Alipokuwa akiendelea na upishi mlango ulibishwa na hayo kulingan naye hayakuwa ya kawaida. Aliamua kufungua mlango na alichoshuhudia yalimuacha na maswali pale mlangoni alikuwa msichana mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Alijifahamisha kwa Dickson kama Penina na alimwambia kuwa alikuwa amemwona pale chuoni kwa muda mrefu na alikuwa amemwona na siku hiyo alikuwa ameamua kumtembelea na kumwambia ukweli wake kuwa anampenda. Kilichomshangaza Penina ni kuwa Dickson alikuwa anakunywa uji. Licha ya hayo, Penina alisema kuwa mapenzi hayakujali kuhusu utabaka. Waliamua kuchumbiana na kuishi pamoja. Baada ya hao kuhitimu Penina alimwambia Dickson atafute kazi na alipokosa kazi, Penina aliamua kumfukuza Dickson katika nyumba walikoishi kwa sababu aliyamiliki. Dickson alitaabika sana na kuchoshwa na maisha.
| Kwa nini babake Dickson aling'ang'ana kumsomesha | {
"text": [
"Kwa sababu kwa babake alikuwa mwangaza au tegemeo katika familia yao"
]
} |
3280_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Siku ya safari ilikuwa imewadia na tulikuwa tayari kutembea katika eneo la Mt. Kenya. Ilikuwa safari iliyopangwa na mimi na marafiki wenzangu na kila kitu kilikuwa shwari. Tuliabiri gari kisha tukaondoka tukielekea Mlima Kenya.
Gari hilo lilienda kwa kasi sana kama umeme hadi ulikuwa unaweza kuhisi gari hilo likitingika linapoanda, ni kama dereva mwenyewe alikuwa na haraka kuliko sisi wenye tumeabiri. Gari hilo lilisha mafuta na ikabidi tumetembea sako kwa bako hadi kwenye stesheni ya mafuta. Tulikuwa tumeudhishwa na kitendo kile cha gari kuisha mafuta lakini lisilo budi hubid.
Tulirudi kwa gari lenyewe na kuweka mafuta kisha safari likaendelea na raundi hii tulimkataza dereva huyo kuendesha kwa kasi. Dalili ya mvua ni mawingu nasema hivyo sabau niliona na nikahisi msimu wa baridi nikajua tunaa kukaribia mlima Kenya.
Tulifika tukapata kulikuwa na watu waliokuwa hapo tayari kuupanda mlima huo. Walikuwa wamevalia nguo nzito kama nang’a ili kuzuia baridi kule mlimani. Tulishuka kwenye gari na pia sisi tukaanza kujitayarisha ili tupande mlima huo.
Safari ya kupanda mlima ulianza. Nilianza kuhisi baridi hata kabala ya kufika katikati ya mlima huo. Wakati tulikuwa tunapanda tulifuatwa na kikundi ya wezi kule mlimani na walipotufikia walitupora vitu ambavyo tulikuwa navyo, si chakula, si pesa, simu na mavazi.
Tuliita usaidizi na kwa mapenzi ya Mungu kulikuwa na polisi kwa hilo mlima. Waliwafuata wezi hao ili wawakamate. Kibahati mbaya mwizi mmoja alitegwa na kuangukia wengine kisha wakaanza kushuka mlima huku wakibingirikabingirika na kugonga mawe.
Mmoja wa hao wezi alifika kama ameshaaga dunia na hao wengine wakawa wameumia na wakauguza majeraha mingi sana. Labda hivyo watajifunza wasiwahi iba tena katika maisha yao.
Tulirudishiwa kila kitu kilichokuwa kimeibiwa na safari ikaendelea. Tulifika katikati mwa mlima na tukaanza kupatana na wanyama wanaoishi mlimani ambao walitaka kutuangamiza au kutugeuza kitoweo.
Tulihepa hao wanyama na tukaendelea kupanda huo mlima. Baridi ilikuwa inazidi ukiendelea kupanda mlima. Hatimaye tulifika huko juu na tukaweka kijibendera hapo ili kuonyesha kuwa tulikuwa hapo. Pia tulipiga picha kadhaa ya kujikumbusha kufanikiwa kwetu kupanda huo mlima. | Ni kina nani walioandaa safari | {
"text": [
"Msimulizi na marafiki zake"
]
} |
3280_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Siku ya safari ilikuwa imewadia na tulikuwa tayari kutembea katika eneo la Mt. Kenya. Ilikuwa safari iliyopangwa na mimi na marafiki wenzangu na kila kitu kilikuwa shwari. Tuliabiri gari kisha tukaondoka tukielekea Mlima Kenya.
Gari hilo lilienda kwa kasi sana kama umeme hadi ulikuwa unaweza kuhisi gari hilo likitingika linapoanda, ni kama dereva mwenyewe alikuwa na haraka kuliko sisi wenye tumeabiri. Gari hilo lilisha mafuta na ikabidi tumetembea sako kwa bako hadi kwenye stesheni ya mafuta. Tulikuwa tumeudhishwa na kitendo kile cha gari kuisha mafuta lakini lisilo budi hubid.
Tulirudi kwa gari lenyewe na kuweka mafuta kisha safari likaendelea na raundi hii tulimkataza dereva huyo kuendesha kwa kasi. Dalili ya mvua ni mawingu nasema hivyo sabau niliona na nikahisi msimu wa baridi nikajua tunaa kukaribia mlima Kenya.
Tulifika tukapata kulikuwa na watu waliokuwa hapo tayari kuupanda mlima huo. Walikuwa wamevalia nguo nzito kama nang’a ili kuzuia baridi kule mlimani. Tulishuka kwenye gari na pia sisi tukaanza kujitayarisha ili tupande mlima huo.
Safari ya kupanda mlima ulianza. Nilianza kuhisi baridi hata kabala ya kufika katikati ya mlima huo. Wakati tulikuwa tunapanda tulifuatwa na kikundi ya wezi kule mlimani na walipotufikia walitupora vitu ambavyo tulikuwa navyo, si chakula, si pesa, simu na mavazi.
Tuliita usaidizi na kwa mapenzi ya Mungu kulikuwa na polisi kwa hilo mlima. Waliwafuata wezi hao ili wawakamate. Kibahati mbaya mwizi mmoja alitegwa na kuangukia wengine kisha wakaanza kushuka mlima huku wakibingirikabingirika na kugonga mawe.
Mmoja wa hao wezi alifika kama ameshaaga dunia na hao wengine wakawa wameumia na wakauguza majeraha mingi sana. Labda hivyo watajifunza wasiwahi iba tena katika maisha yao.
Tulirudishiwa kila kitu kilichokuwa kimeibiwa na safari ikaendelea. Tulifika katikati mwa mlima na tukaanza kupatana na wanyama wanaoishi mlimani ambao walitaka kutuangamiza au kutugeuza kitoweo.
Tulihepa hao wanyama na tukaendelea kupanda huo mlima. Baridi ilikuwa inazidi ukiendelea kupanda mlima. Hatimaye tulifika huko juu na tukaweka kijibendera hapo ili kuonyesha kuwa tulikuwa hapo. Pia tulipiga picha kadhaa ya kujikumbusha kufanikiwa kwetu kupanda huo mlima. | Msimulizi aliabiri gari na kuelekea wapi | {
"text": [
"Mlima Kenya"
]
} |
3280_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Siku ya safari ilikuwa imewadia na tulikuwa tayari kutembea katika eneo la Mt. Kenya. Ilikuwa safari iliyopangwa na mimi na marafiki wenzangu na kila kitu kilikuwa shwari. Tuliabiri gari kisha tukaondoka tukielekea Mlima Kenya.
Gari hilo lilienda kwa kasi sana kama umeme hadi ulikuwa unaweza kuhisi gari hilo likitingika linapoanda, ni kama dereva mwenyewe alikuwa na haraka kuliko sisi wenye tumeabiri. Gari hilo lilisha mafuta na ikabidi tumetembea sako kwa bako hadi kwenye stesheni ya mafuta. Tulikuwa tumeudhishwa na kitendo kile cha gari kuisha mafuta lakini lisilo budi hubid.
Tulirudi kwa gari lenyewe na kuweka mafuta kisha safari likaendelea na raundi hii tulimkataza dereva huyo kuendesha kwa kasi. Dalili ya mvua ni mawingu nasema hivyo sabau niliona na nikahisi msimu wa baridi nikajua tunaa kukaribia mlima Kenya.
Tulifika tukapata kulikuwa na watu waliokuwa hapo tayari kuupanda mlima huo. Walikuwa wamevalia nguo nzito kama nang’a ili kuzuia baridi kule mlimani. Tulishuka kwenye gari na pia sisi tukaanza kujitayarisha ili tupande mlima huo.
Safari ya kupanda mlima ulianza. Nilianza kuhisi baridi hata kabala ya kufika katikati ya mlima huo. Wakati tulikuwa tunapanda tulifuatwa na kikundi ya wezi kule mlimani na walipotufikia walitupora vitu ambavyo tulikuwa navyo, si chakula, si pesa, simu na mavazi.
Tuliita usaidizi na kwa mapenzi ya Mungu kulikuwa na polisi kwa hilo mlima. Waliwafuata wezi hao ili wawakamate. Kibahati mbaya mwizi mmoja alitegwa na kuangukia wengine kisha wakaanza kushuka mlima huku wakibingirikabingirika na kugonga mawe.
Mmoja wa hao wezi alifika kama ameshaaga dunia na hao wengine wakawa wameumia na wakauguza majeraha mingi sana. Labda hivyo watajifunza wasiwahi iba tena katika maisha yao.
Tulirudishiwa kila kitu kilichokuwa kimeibiwa na safari ikaendelea. Tulifika katikati mwa mlima na tukaanza kupatana na wanyama wanaoishi mlimani ambao walitaka kutuangamiza au kutugeuza kitoweo.
Tulihepa hao wanyama na tukaendelea kupanda huo mlima. Baridi ilikuwa inazidi ukiendelea kupanda mlima. Hatimaye tulifika huko juu na tukaweka kijibendera hapo ili kuonyesha kuwa tulikuwa hapo. Pia tulipiga picha kadhaa ya kujikumbusha kufanikiwa kwetu kupanda huo mlima. | Walioabiri gari walitembea hadi wapi | {
"text": [
"Kwenye stesheni ya mafuta"
]
} |
3280_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Siku ya safari ilikuwa imewadia na tulikuwa tayari kutembea katika eneo la Mt. Kenya. Ilikuwa safari iliyopangwa na mimi na marafiki wenzangu na kila kitu kilikuwa shwari. Tuliabiri gari kisha tukaondoka tukielekea Mlima Kenya.
Gari hilo lilienda kwa kasi sana kama umeme hadi ulikuwa unaweza kuhisi gari hilo likitingika linapoanda, ni kama dereva mwenyewe alikuwa na haraka kuliko sisi wenye tumeabiri. Gari hilo lilisha mafuta na ikabidi tumetembea sako kwa bako hadi kwenye stesheni ya mafuta. Tulikuwa tumeudhishwa na kitendo kile cha gari kuisha mafuta lakini lisilo budi hubid.
Tulirudi kwa gari lenyewe na kuweka mafuta kisha safari likaendelea na raundi hii tulimkataza dereva huyo kuendesha kwa kasi. Dalili ya mvua ni mawingu nasema hivyo sabau niliona na nikahisi msimu wa baridi nikajua tunaa kukaribia mlima Kenya.
Tulifika tukapata kulikuwa na watu waliokuwa hapo tayari kuupanda mlima huo. Walikuwa wamevalia nguo nzito kama nang’a ili kuzuia baridi kule mlimani. Tulishuka kwenye gari na pia sisi tukaanza kujitayarisha ili tupande mlima huo.
Safari ya kupanda mlima ulianza. Nilianza kuhisi baridi hata kabala ya kufika katikati ya mlima huo. Wakati tulikuwa tunapanda tulifuatwa na kikundi ya wezi kule mlimani na walipotufikia walitupora vitu ambavyo tulikuwa navyo, si chakula, si pesa, simu na mavazi.
Tuliita usaidizi na kwa mapenzi ya Mungu kulikuwa na polisi kwa hilo mlima. Waliwafuata wezi hao ili wawakamate. Kibahati mbaya mwizi mmoja alitegwa na kuangukia wengine kisha wakaanza kushuka mlima huku wakibingirikabingirika na kugonga mawe.
Mmoja wa hao wezi alifika kama ameshaaga dunia na hao wengine wakawa wameumia na wakauguza majeraha mingi sana. Labda hivyo watajifunza wasiwahi iba tena katika maisha yao.
Tulirudishiwa kila kitu kilichokuwa kimeibiwa na safari ikaendelea. Tulifika katikati mwa mlima na tukaanza kupatana na wanyama wanaoishi mlimani ambao walitaka kutuangamiza au kutugeuza kitoweo.
Tulihepa hao wanyama na tukaendelea kupanda huo mlima. Baridi ilikuwa inazidi ukiendelea kupanda mlima. Hatimaye tulifika huko juu na tukaweka kijibendera hapo ili kuonyesha kuwa tulikuwa hapo. Pia tulipiga picha kadhaa ya kujikumbusha kufanikiwa kwetu kupanda huo mlima. | Waliokwea mlima waliporua na kikundi kipi | {
"text": [
"Kikundi cha wezi"
]
} |
3280_swa | BAADA YA DHIKI FARAJA
Siku ya safari ilikuwa imewadia na tulikuwa tayari kutembea katika eneo la Mt. Kenya. Ilikuwa safari iliyopangwa na mimi na marafiki wenzangu na kila kitu kilikuwa shwari. Tuliabiri gari kisha tukaondoka tukielekea Mlima Kenya.
Gari hilo lilienda kwa kasi sana kama umeme hadi ulikuwa unaweza kuhisi gari hilo likitingika linapoanda, ni kama dereva mwenyewe alikuwa na haraka kuliko sisi wenye tumeabiri. Gari hilo lilisha mafuta na ikabidi tumetembea sako kwa bako hadi kwenye stesheni ya mafuta. Tulikuwa tumeudhishwa na kitendo kile cha gari kuisha mafuta lakini lisilo budi hubid.
Tulirudi kwa gari lenyewe na kuweka mafuta kisha safari likaendelea na raundi hii tulimkataza dereva huyo kuendesha kwa kasi. Dalili ya mvua ni mawingu nasema hivyo sabau niliona na nikahisi msimu wa baridi nikajua tunaa kukaribia mlima Kenya.
Tulifika tukapata kulikuwa na watu waliokuwa hapo tayari kuupanda mlima huo. Walikuwa wamevalia nguo nzito kama nang’a ili kuzuia baridi kule mlimani. Tulishuka kwenye gari na pia sisi tukaanza kujitayarisha ili tupande mlima huo.
Safari ya kupanda mlima ulianza. Nilianza kuhisi baridi hata kabala ya kufika katikati ya mlima huo. Wakati tulikuwa tunapanda tulifuatwa na kikundi ya wezi kule mlimani na walipotufikia walitupora vitu ambavyo tulikuwa navyo, si chakula, si pesa, simu na mavazi.
Tuliita usaidizi na kwa mapenzi ya Mungu kulikuwa na polisi kwa hilo mlima. Waliwafuata wezi hao ili wawakamate. Kibahati mbaya mwizi mmoja alitegwa na kuangukia wengine kisha wakaanza kushuka mlima huku wakibingirikabingirika na kugonga mawe.
Mmoja wa hao wezi alifika kama ameshaaga dunia na hao wengine wakawa wameumia na wakauguza majeraha mingi sana. Labda hivyo watajifunza wasiwahi iba tena katika maisha yao.
Tulirudishiwa kila kitu kilichokuwa kimeibiwa na safari ikaendelea. Tulifika katikati mwa mlima na tukaanza kupatana na wanyama wanaoishi mlimani ambao walitaka kutuangamiza au kutugeuza kitoweo.
Tulihepa hao wanyama na tukaendelea kupanda huo mlima. Baridi ilikuwa inazidi ukiendelea kupanda mlima. Hatimaye tulifika huko juu na tukaweka kijibendera hapo ili kuonyesha kuwa tulikuwa hapo. Pia tulipiga picha kadhaa ya kujikumbusha kufanikiwa kwetu kupanda huo mlima. | Katikati ya mlima msimulizi na rafikize walipatana na nini | {
"text": [
"Wanyama wanaoishi mlimani"
]
} |
3281_swa | MAISHA NI MVIRINGO
Hapo awali palitokea mvuvi mmoja allyeitwa Otieno. Otieno alianza kuishi na wazazi wake tangu utotoni. ambapo alilelewa kwa maisha ya umaskini. Wazazi wake waliaga dunia na hakuna kitu chochote au mali yoyote ambayo angeweza kurithi bali ila neti ambayo babake aliweza kutumia wakati alikuwa hai.
Otieno alikuwa anaenda kila siku ziwani kuvua samaki kwa sababu hilo ndilo lilikuwa kazi lake. Wakati mmoja kwenye harakati za kuvua samaki, alisikia nikama ameshika samaki mkubwa la ajabu ambao hajawahishika. Mwanzoni kabla ya kuuvua ule uzito ambao alikuwa anauhisi, kwa akili yake aliweza kufikiria kana kwamba hilo linaweza kuwa kitu cha maana au cha ajabu ambalo lingeweza kumdhuru.
Otieno aliamua liwe liwalo kwa sababu kwa maisha hii, watu huzaliwa na kufa mara moja. Lakini ghafla bin vu alistukia nini. Mama mzee ambaye alikuwa amefungwa mikono na miguu. Otieno alipigwa na butwaa. Mara ya kwanza aliogopa kwa kuwa mama huyu alianza kuongea na kusema kuwa apelekwe mahali Otieno alikuwa anaishi.
Otieno alimpeleka nyumbani kwake na baada ya masiku kadhaa waliweza kuishi kama bibi na bwana. Siku zikapita na mafanikio ya Otieno kuvua samaki ikaongezeka hadi akaweza kununua mifugo na kujenga jumba la kuhifadhi chakula. Otieno alianza kuishi maisha ya tabaka la juu na kufurahia sana kwa sababu hio ndiyo maisha aliota tangu utotoni.
Baada ya miezi miwili, Otieno alioa wanawke wawili ambao bado walikuwa wa rika yake. Wanawake hawa waliweza kujengewa jumba kando ya mwingine. Yule mwanamke mzee alianza kuona kana kwamba Otieno alikuwa ameanza kumwonyesha madharau kwa sababu alikuwa ameanza kurithi mali zake binafsi.
Siku moja, Otieno alienda klabu kujipa raha na baada ya hapo akarudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Wakati alifika kwenye mlango wa boma lake alianza kupiga kelele afunguliwe mlango na kumwita yule mwanamke mzee.
Nyanya alielewa hali yake na kujua kwamba keshowe Otieno ataweza kumwomba msamaha. Keshowe ikafika na nyanya akamkumbusha kitendo ambalo alifanya usiku uliopita. Otieno alimruka na kumtusi zaidi akisema kuwa hakuna kitu ambacho angeweza kumsaidia nayo kwa maisha yake. Nyanya alitoka nje na kwenda zake.
Otieno alishtuka wakati kila kitu ambacho alikuwa amekipata, mali yote, zilididimia. Otieno hakuamini kuwa mali yake yote vilizama ziwani. Alijishika kichwa na kusema kweli dunia ni duara. | Otieno aliishi na wazee wake tangu lini | {
"text": [
"utotoni"
]
} |
3281_swa | MAISHA NI MVIRINGO
Hapo awali palitokea mvuvi mmoja allyeitwa Otieno. Otieno alianza kuishi na wazazi wake tangu utotoni. ambapo alilelewa kwa maisha ya umaskini. Wazazi wake waliaga dunia na hakuna kitu chochote au mali yoyote ambayo angeweza kurithi bali ila neti ambayo babake aliweza kutumia wakati alikuwa hai.
Otieno alikuwa anaenda kila siku ziwani kuvua samaki kwa sababu hilo ndilo lilikuwa kazi lake. Wakati mmoja kwenye harakati za kuvua samaki, alisikia nikama ameshika samaki mkubwa la ajabu ambao hajawahishika. Mwanzoni kabla ya kuuvua ule uzito ambao alikuwa anauhisi, kwa akili yake aliweza kufikiria kana kwamba hilo linaweza kuwa kitu cha maana au cha ajabu ambalo lingeweza kumdhuru.
Otieno aliamua liwe liwalo kwa sababu kwa maisha hii, watu huzaliwa na kufa mara moja. Lakini ghafla bin vu alistukia nini. Mama mzee ambaye alikuwa amefungwa mikono na miguu. Otieno alipigwa na butwaa. Mara ya kwanza aliogopa kwa kuwa mama huyu alianza kuongea na kusema kuwa apelekwe mahali Otieno alikuwa anaishi.
Otieno alimpeleka nyumbani kwake na baada ya masiku kadhaa waliweza kuishi kama bibi na bwana. Siku zikapita na mafanikio ya Otieno kuvua samaki ikaongezeka hadi akaweza kununua mifugo na kujenga jumba la kuhifadhi chakula. Otieno alianza kuishi maisha ya tabaka la juu na kufurahia sana kwa sababu hio ndiyo maisha aliota tangu utotoni.
Baada ya miezi miwili, Otieno alioa wanawke wawili ambao bado walikuwa wa rika yake. Wanawake hawa waliweza kujengewa jumba kando ya mwingine. Yule mwanamke mzee alianza kuona kana kwamba Otieno alikuwa ameanza kumwonyesha madharau kwa sababu alikuwa ameanza kurithi mali zake binafsi.
Siku moja, Otieno alienda klabu kujipa raha na baada ya hapo akarudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Wakati alifika kwenye mlango wa boma lake alianza kupiga kelele afunguliwe mlango na kumwita yule mwanamke mzee.
Nyanya alielewa hali yake na kujua kwamba keshowe Otieno ataweza kumwomba msamaha. Keshowe ikafika na nyanya akamkumbusha kitendo ambalo alifanya usiku uliopita. Otieno alimruka na kumtusi zaidi akisema kuwa hakuna kitu ambacho angeweza kumsaidia nayo kwa maisha yake. Nyanya alitoka nje na kwenda zake.
Otieno alishtuka wakati kila kitu ambacho alikuwa amekipata, mali yote, zilididimia. Otieno hakuamini kuwa mali yake yote vilizama ziwani. Alijishika kichwa na kusema kweli dunia ni duara. | Otieno alilelewa kwa maisha gani | {
"text": [
"ya umaskini"
]
} |
3281_swa | MAISHA NI MVIRINGO
Hapo awali palitokea mvuvi mmoja allyeitwa Otieno. Otieno alianza kuishi na wazazi wake tangu utotoni. ambapo alilelewa kwa maisha ya umaskini. Wazazi wake waliaga dunia na hakuna kitu chochote au mali yoyote ambayo angeweza kurithi bali ila neti ambayo babake aliweza kutumia wakati alikuwa hai.
Otieno alikuwa anaenda kila siku ziwani kuvua samaki kwa sababu hilo ndilo lilikuwa kazi lake. Wakati mmoja kwenye harakati za kuvua samaki, alisikia nikama ameshika samaki mkubwa la ajabu ambao hajawahishika. Mwanzoni kabla ya kuuvua ule uzito ambao alikuwa anauhisi, kwa akili yake aliweza kufikiria kana kwamba hilo linaweza kuwa kitu cha maana au cha ajabu ambalo lingeweza kumdhuru.
Otieno aliamua liwe liwalo kwa sababu kwa maisha hii, watu huzaliwa na kufa mara moja. Lakini ghafla bin vu alistukia nini. Mama mzee ambaye alikuwa amefungwa mikono na miguu. Otieno alipigwa na butwaa. Mara ya kwanza aliogopa kwa kuwa mama huyu alianza kuongea na kusema kuwa apelekwe mahali Otieno alikuwa anaishi.
Otieno alimpeleka nyumbani kwake na baada ya masiku kadhaa waliweza kuishi kama bibi na bwana. Siku zikapita na mafanikio ya Otieno kuvua samaki ikaongezeka hadi akaweza kununua mifugo na kujenga jumba la kuhifadhi chakula. Otieno alianza kuishi maisha ya tabaka la juu na kufurahia sana kwa sababu hio ndiyo maisha aliota tangu utotoni.
Baada ya miezi miwili, Otieno alioa wanawke wawili ambao bado walikuwa wa rika yake. Wanawake hawa waliweza kujengewa jumba kando ya mwingine. Yule mwanamke mzee alianza kuona kana kwamba Otieno alikuwa ameanza kumwonyesha madharau kwa sababu alikuwa ameanza kurithi mali zake binafsi.
Siku moja, Otieno alienda klabu kujipa raha na baada ya hapo akarudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Wakati alifika kwenye mlango wa boma lake alianza kupiga kelele afunguliwe mlango na kumwita yule mwanamke mzee.
Nyanya alielewa hali yake na kujua kwamba keshowe Otieno ataweza kumwomba msamaha. Keshowe ikafika na nyanya akamkumbusha kitendo ambalo alifanya usiku uliopita. Otieno alimruka na kumtusi zaidi akisema kuwa hakuna kitu ambacho angeweza kumsaidia nayo kwa maisha yake. Nyanya alitoka nje na kwenda zake.
Otieno alishtuka wakati kila kitu ambacho alikuwa amekipata, mali yote, zilididimia. Otieno hakuamini kuwa mali yake yote vilizama ziwani. Alijishika kichwa na kusema kweli dunia ni duara. | Otieno alienda lini ziwani kuvua samaki | {
"text": [
"kila siku"
]
} |
3281_swa | MAISHA NI MVIRINGO
Hapo awali palitokea mvuvi mmoja allyeitwa Otieno. Otieno alianza kuishi na wazazi wake tangu utotoni. ambapo alilelewa kwa maisha ya umaskini. Wazazi wake waliaga dunia na hakuna kitu chochote au mali yoyote ambayo angeweza kurithi bali ila neti ambayo babake aliweza kutumia wakati alikuwa hai.
Otieno alikuwa anaenda kila siku ziwani kuvua samaki kwa sababu hilo ndilo lilikuwa kazi lake. Wakati mmoja kwenye harakati za kuvua samaki, alisikia nikama ameshika samaki mkubwa la ajabu ambao hajawahishika. Mwanzoni kabla ya kuuvua ule uzito ambao alikuwa anauhisi, kwa akili yake aliweza kufikiria kana kwamba hilo linaweza kuwa kitu cha maana au cha ajabu ambalo lingeweza kumdhuru.
Otieno aliamua liwe liwalo kwa sababu kwa maisha hii, watu huzaliwa na kufa mara moja. Lakini ghafla bin vu alistukia nini. Mama mzee ambaye alikuwa amefungwa mikono na miguu. Otieno alipigwa na butwaa. Mara ya kwanza aliogopa kwa kuwa mama huyu alianza kuongea na kusema kuwa apelekwe mahali Otieno alikuwa anaishi.
Otieno alimpeleka nyumbani kwake na baada ya masiku kadhaa waliweza kuishi kama bibi na bwana. Siku zikapita na mafanikio ya Otieno kuvua samaki ikaongezeka hadi akaweza kununua mifugo na kujenga jumba la kuhifadhi chakula. Otieno alianza kuishi maisha ya tabaka la juu na kufurahia sana kwa sababu hio ndiyo maisha aliota tangu utotoni.
Baada ya miezi miwili, Otieno alioa wanawke wawili ambao bado walikuwa wa rika yake. Wanawake hawa waliweza kujengewa jumba kando ya mwingine. Yule mwanamke mzee alianza kuona kana kwamba Otieno alikuwa ameanza kumwonyesha madharau kwa sababu alikuwa ameanza kurithi mali zake binafsi.
Siku moja, Otieno alienda klabu kujipa raha na baada ya hapo akarudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Wakati alifika kwenye mlango wa boma lake alianza kupiga kelele afunguliwe mlango na kumwita yule mwanamke mzee.
Nyanya alielewa hali yake na kujua kwamba keshowe Otieno ataweza kumwomba msamaha. Keshowe ikafika na nyanya akamkumbusha kitendo ambalo alifanya usiku uliopita. Otieno alimruka na kumtusi zaidi akisema kuwa hakuna kitu ambacho angeweza kumsaidia nayo kwa maisha yake. Nyanya alitoka nje na kwenda zake.
Otieno alishtuka wakati kila kitu ambacho alikuwa amekipata, mali yote, zilididimia. Otieno hakuamini kuwa mali yake yote vilizama ziwani. Alijishika kichwa na kusema kweli dunia ni duara. | Otieno alienda wapi kujipa raha | {
"text": [
"klabu"
]
} |
3281_swa | MAISHA NI MVIRINGO
Hapo awali palitokea mvuvi mmoja allyeitwa Otieno. Otieno alianza kuishi na wazazi wake tangu utotoni. ambapo alilelewa kwa maisha ya umaskini. Wazazi wake waliaga dunia na hakuna kitu chochote au mali yoyote ambayo angeweza kurithi bali ila neti ambayo babake aliweza kutumia wakati alikuwa hai.
Otieno alikuwa anaenda kila siku ziwani kuvua samaki kwa sababu hilo ndilo lilikuwa kazi lake. Wakati mmoja kwenye harakati za kuvua samaki, alisikia nikama ameshika samaki mkubwa la ajabu ambao hajawahishika. Mwanzoni kabla ya kuuvua ule uzito ambao alikuwa anauhisi, kwa akili yake aliweza kufikiria kana kwamba hilo linaweza kuwa kitu cha maana au cha ajabu ambalo lingeweza kumdhuru.
Otieno aliamua liwe liwalo kwa sababu kwa maisha hii, watu huzaliwa na kufa mara moja. Lakini ghafla bin vu alistukia nini. Mama mzee ambaye alikuwa amefungwa mikono na miguu. Otieno alipigwa na butwaa. Mara ya kwanza aliogopa kwa kuwa mama huyu alianza kuongea na kusema kuwa apelekwe mahali Otieno alikuwa anaishi.
Otieno alimpeleka nyumbani kwake na baada ya masiku kadhaa waliweza kuishi kama bibi na bwana. Siku zikapita na mafanikio ya Otieno kuvua samaki ikaongezeka hadi akaweza kununua mifugo na kujenga jumba la kuhifadhi chakula. Otieno alianza kuishi maisha ya tabaka la juu na kufurahia sana kwa sababu hio ndiyo maisha aliota tangu utotoni.
Baada ya miezi miwili, Otieno alioa wanawke wawili ambao bado walikuwa wa rika yake. Wanawake hawa waliweza kujengewa jumba kando ya mwingine. Yule mwanamke mzee alianza kuona kana kwamba Otieno alikuwa ameanza kumwonyesha madharau kwa sababu alikuwa ameanza kurithi mali zake binafsi.
Siku moja, Otieno alienda klabu kujipa raha na baada ya hapo akarudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Wakati alifika kwenye mlango wa boma lake alianza kupiga kelele afunguliwe mlango na kumwita yule mwanamke mzee.
Nyanya alielewa hali yake na kujua kwamba keshowe Otieno ataweza kumwomba msamaha. Keshowe ikafika na nyanya akamkumbusha kitendo ambalo alifanya usiku uliopita. Otieno alimruka na kumtusi zaidi akisema kuwa hakuna kitu ambacho angeweza kumsaidia nayo kwa maisha yake. Nyanya alitoka nje na kwenda zake.
Otieno alishtuka wakati kila kitu ambacho alikuwa amekipata, mali yote, zilididimia. Otieno hakuamini kuwa mali yake yote vilizama ziwani. Alijishika kichwa na kusema kweli dunia ni duara. | Mbona aliwacha wanawake wa rika yake wakilala | {
"text": [
"hakuwa anataka kuwasumbua"
]
} |
3283_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kazi ni mojawapo ya manufaa ya elimu katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya. Hii
inatokea wakati kila mtu aliyehitimu miaka kumi na minane, anafanya kazi yoyote ya kuajiriwa mahali popote kwa kazi ya kilimo. Kila mkenya akipata ajira uchumi wa nchi yetu inaimarika kwa kuwa kila mhenga ana uwezo wa kulipa ushuru mahala panapohitajika.
Pato la kazi kwa kila mhenga ni manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi wa
Kenya.
Kilimo pia kinasaidia uchumi wa Kenya wakati ambapo kampuni kubwa zinaimarika kama vile kampuni ya kusiaga miwa na kupata sukari, kampuni ya majani, kampuni ya maziwa na zingine kadhaa ambazo zimeimarika kutokana na mazao ya kilimo. Kampuni hizi zimesaidia pakubwa kama vile kampuni za kusiaga miwa. Kampuni hizi zimeajiri watu wengi. Kampuni hizi pia zinatoa ushuru kwa viwango vya pesa za juu ambazo zinaimarisha uchumi wa Kenya.
Kilimo pia kimetumika kama kigezo cha kuwavutia watalii ambao wanaizuru nchi yetu kwa mambo ya ukulima ili wapate na pia watupe mafunzo kwa hali mbalimbali. Watalii hawa wanapoingia nchini hawaingii bure lazima walipe pesa ili waruhusiwe kutembea kwa makampuni na mashamba makubwa ya fugaji.
Kilimo pia kimeleta ufugaji wa mifugo aina ainati. Mifugo hawa wanasaidia watu kujiajiri wenyewe. Mifugo kama ng’ombe wameleta kuimarika kwa kampuni za nyama. Nyama inauzwa kwa kila binadamu na inaliwa kwa wingi na inasaidia kuimarisha afya ya binadamu ili kupambana na hali zao za kimaisha. Maziwa pia hutoka kwa ng'ombe ambapo kuna kampuni za maziwa.
Watu wengi nchini Kenya awe anayeishi mjini, mashambani anategemea mazao ya kilimo. Wanaoishi mjini, nyanya vitunguu, mboga ambazo zinauzwa kwa viwango vya pesa nyingi inatokana na kilimo. Hii ina maana wanaoishi mjini wanatumia pesa nyingi sana kuliko wanaoishi mashambani. Kuna wanabiashara wakubwa ambao bidhaa wanazouza ni bidhaa za kilimo. Vinywaji vya soda ama juice vina tengenezwa kwa mazao ya kilimo kama vile maembe, machungwa, zabibu ambapo vinywaji hivi vinapouzwa uchumi wa nchi unaimarika kwa uchumi.
Kilimo kimeimarisha hali za binadamu nchini kwa kuwa wengine wanamifugo ambao wanafaidika wenyewe na pia wanapata pesa za kujikumu kimaisha. | Umri wa kuajiriwa ni upi? | {
"text": [
"18"
]
} |
3283_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kazi ni mojawapo ya manufaa ya elimu katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya. Hii
inatokea wakati kila mtu aliyehitimu miaka kumi na minane, anafanya kazi yoyote ya kuajiriwa mahali popote kwa kazi ya kilimo. Kila mkenya akipata ajira uchumi wa nchi yetu inaimarika kwa kuwa kila mhenga ana uwezo wa kulipa ushuru mahala panapohitajika.
Pato la kazi kwa kila mhenga ni manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi wa
Kenya.
Kilimo pia kinasaidia uchumi wa Kenya wakati ambapo kampuni kubwa zinaimarika kama vile kampuni ya kusiaga miwa na kupata sukari, kampuni ya majani, kampuni ya maziwa na zingine kadhaa ambazo zimeimarika kutokana na mazao ya kilimo. Kampuni hizi zimesaidia pakubwa kama vile kampuni za kusiaga miwa. Kampuni hizi zimeajiri watu wengi. Kampuni hizi pia zinatoa ushuru kwa viwango vya pesa za juu ambazo zinaimarisha uchumi wa Kenya.
Kilimo pia kimetumika kama kigezo cha kuwavutia watalii ambao wanaizuru nchi yetu kwa mambo ya ukulima ili wapate na pia watupe mafunzo kwa hali mbalimbali. Watalii hawa wanapoingia nchini hawaingii bure lazima walipe pesa ili waruhusiwe kutembea kwa makampuni na mashamba makubwa ya fugaji.
Kilimo pia kimeleta ufugaji wa mifugo aina ainati. Mifugo hawa wanasaidia watu kujiajiri wenyewe. Mifugo kama ng’ombe wameleta kuimarika kwa kampuni za nyama. Nyama inauzwa kwa kila binadamu na inaliwa kwa wingi na inasaidia kuimarisha afya ya binadamu ili kupambana na hali zao za kimaisha. Maziwa pia hutoka kwa ng'ombe ambapo kuna kampuni za maziwa.
Watu wengi nchini Kenya awe anayeishi mjini, mashambani anategemea mazao ya kilimo. Wanaoishi mjini, nyanya vitunguu, mboga ambazo zinauzwa kwa viwango vya pesa nyingi inatokana na kilimo. Hii ina maana wanaoishi mjini wanatumia pesa nyingi sana kuliko wanaoishi mashambani. Kuna wanabiashara wakubwa ambao bidhaa wanazouza ni bidhaa za kilimo. Vinywaji vya soda ama juice vina tengenezwa kwa mazao ya kilimo kama vile maembe, machungwa, zabibu ambapo vinywaji hivi vinapouzwa uchumi wa nchi unaimarika kwa uchumi.
Kilimo kimeimarisha hali za binadamu nchini kwa kuwa wengine wanamifugo ambao wanafaidika wenyewe na pia wanapata pesa za kujikumu kimaisha. | Mwananchi akiwa na ajira anaweza kulipa nini? | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
3283_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kazi ni mojawapo ya manufaa ya elimu katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya. Hii
inatokea wakati kila mtu aliyehitimu miaka kumi na minane, anafanya kazi yoyote ya kuajiriwa mahali popote kwa kazi ya kilimo. Kila mkenya akipata ajira uchumi wa nchi yetu inaimarika kwa kuwa kila mhenga ana uwezo wa kulipa ushuru mahala panapohitajika.
Pato la kazi kwa kila mhenga ni manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi wa
Kenya.
Kilimo pia kinasaidia uchumi wa Kenya wakati ambapo kampuni kubwa zinaimarika kama vile kampuni ya kusiaga miwa na kupata sukari, kampuni ya majani, kampuni ya maziwa na zingine kadhaa ambazo zimeimarika kutokana na mazao ya kilimo. Kampuni hizi zimesaidia pakubwa kama vile kampuni za kusiaga miwa. Kampuni hizi zimeajiri watu wengi. Kampuni hizi pia zinatoa ushuru kwa viwango vya pesa za juu ambazo zinaimarisha uchumi wa Kenya.
Kilimo pia kimetumika kama kigezo cha kuwavutia watalii ambao wanaizuru nchi yetu kwa mambo ya ukulima ili wapate na pia watupe mafunzo kwa hali mbalimbali. Watalii hawa wanapoingia nchini hawaingii bure lazima walipe pesa ili waruhusiwe kutembea kwa makampuni na mashamba makubwa ya fugaji.
Kilimo pia kimeleta ufugaji wa mifugo aina ainati. Mifugo hawa wanasaidia watu kujiajiri wenyewe. Mifugo kama ng’ombe wameleta kuimarika kwa kampuni za nyama. Nyama inauzwa kwa kila binadamu na inaliwa kwa wingi na inasaidia kuimarisha afya ya binadamu ili kupambana na hali zao za kimaisha. Maziwa pia hutoka kwa ng'ombe ambapo kuna kampuni za maziwa.
Watu wengi nchini Kenya awe anayeishi mjini, mashambani anategemea mazao ya kilimo. Wanaoishi mjini, nyanya vitunguu, mboga ambazo zinauzwa kwa viwango vya pesa nyingi inatokana na kilimo. Hii ina maana wanaoishi mjini wanatumia pesa nyingi sana kuliko wanaoishi mashambani. Kuna wanabiashara wakubwa ambao bidhaa wanazouza ni bidhaa za kilimo. Vinywaji vya soda ama juice vina tengenezwa kwa mazao ya kilimo kama vile maembe, machungwa, zabibu ambapo vinywaji hivi vinapouzwa uchumi wa nchi unaimarika kwa uchumi.
Kilimo kimeimarisha hali za binadamu nchini kwa kuwa wengine wanamifugo ambao wanafaidika wenyewe na pia wanapata pesa za kujikumu kimaisha. | Kampuni zinazojihusisha na kilimo huwapa watu nini? | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
3283_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kazi ni mojawapo ya manufaa ya elimu katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya. Hii
inatokea wakati kila mtu aliyehitimu miaka kumi na minane, anafanya kazi yoyote ya kuajiriwa mahali popote kwa kazi ya kilimo. Kila mkenya akipata ajira uchumi wa nchi yetu inaimarika kwa kuwa kila mhenga ana uwezo wa kulipa ushuru mahala panapohitajika.
Pato la kazi kwa kila mhenga ni manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi wa
Kenya.
Kilimo pia kinasaidia uchumi wa Kenya wakati ambapo kampuni kubwa zinaimarika kama vile kampuni ya kusiaga miwa na kupata sukari, kampuni ya majani, kampuni ya maziwa na zingine kadhaa ambazo zimeimarika kutokana na mazao ya kilimo. Kampuni hizi zimesaidia pakubwa kama vile kampuni za kusiaga miwa. Kampuni hizi zimeajiri watu wengi. Kampuni hizi pia zinatoa ushuru kwa viwango vya pesa za juu ambazo zinaimarisha uchumi wa Kenya.
Kilimo pia kimetumika kama kigezo cha kuwavutia watalii ambao wanaizuru nchi yetu kwa mambo ya ukulima ili wapate na pia watupe mafunzo kwa hali mbalimbali. Watalii hawa wanapoingia nchini hawaingii bure lazima walipe pesa ili waruhusiwe kutembea kwa makampuni na mashamba makubwa ya fugaji.
Kilimo pia kimeleta ufugaji wa mifugo aina ainati. Mifugo hawa wanasaidia watu kujiajiri wenyewe. Mifugo kama ng’ombe wameleta kuimarika kwa kampuni za nyama. Nyama inauzwa kwa kila binadamu na inaliwa kwa wingi na inasaidia kuimarisha afya ya binadamu ili kupambana na hali zao za kimaisha. Maziwa pia hutoka kwa ng'ombe ambapo kuna kampuni za maziwa.
Watu wengi nchini Kenya awe anayeishi mjini, mashambani anategemea mazao ya kilimo. Wanaoishi mjini, nyanya vitunguu, mboga ambazo zinauzwa kwa viwango vya pesa nyingi inatokana na kilimo. Hii ina maana wanaoishi mjini wanatumia pesa nyingi sana kuliko wanaoishi mashambani. Kuna wanabiashara wakubwa ambao bidhaa wanazouza ni bidhaa za kilimo. Vinywaji vya soda ama juice vina tengenezwa kwa mazao ya kilimo kama vile maembe, machungwa, zabibu ambapo vinywaji hivi vinapouzwa uchumi wa nchi unaimarika kwa uchumi.
Kilimo kimeimarisha hali za binadamu nchini kwa kuwa wengine wanamifugo ambao wanafaidika wenyewe na pia wanapata pesa za kujikumu kimaisha. | Nani hutumia pesa nyingi kununua bidhaa za kilimo? | {
"text": [
"Wanamjini"
]
} |
3283_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kazi ni mojawapo ya manufaa ya elimu katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya. Hii
inatokea wakati kila mtu aliyehitimu miaka kumi na minane, anafanya kazi yoyote ya kuajiriwa mahali popote kwa kazi ya kilimo. Kila mkenya akipata ajira uchumi wa nchi yetu inaimarika kwa kuwa kila mhenga ana uwezo wa kulipa ushuru mahala panapohitajika.
Pato la kazi kwa kila mhenga ni manufaa ya kilimo katika uimarishaji wa uchumi wa
Kenya.
Kilimo pia kinasaidia uchumi wa Kenya wakati ambapo kampuni kubwa zinaimarika kama vile kampuni ya kusiaga miwa na kupata sukari, kampuni ya majani, kampuni ya maziwa na zingine kadhaa ambazo zimeimarika kutokana na mazao ya kilimo. Kampuni hizi zimesaidia pakubwa kama vile kampuni za kusiaga miwa. Kampuni hizi zimeajiri watu wengi. Kampuni hizi pia zinatoa ushuru kwa viwango vya pesa za juu ambazo zinaimarisha uchumi wa Kenya.
Kilimo pia kimetumika kama kigezo cha kuwavutia watalii ambao wanaizuru nchi yetu kwa mambo ya ukulima ili wapate na pia watupe mafunzo kwa hali mbalimbali. Watalii hawa wanapoingia nchini hawaingii bure lazima walipe pesa ili waruhusiwe kutembea kwa makampuni na mashamba makubwa ya fugaji.
Kilimo pia kimeleta ufugaji wa mifugo aina ainati. Mifugo hawa wanasaidia watu kujiajiri wenyewe. Mifugo kama ng’ombe wameleta kuimarika kwa kampuni za nyama. Nyama inauzwa kwa kila binadamu na inaliwa kwa wingi na inasaidia kuimarisha afya ya binadamu ili kupambana na hali zao za kimaisha. Maziwa pia hutoka kwa ng'ombe ambapo kuna kampuni za maziwa.
Watu wengi nchini Kenya awe anayeishi mjini, mashambani anategemea mazao ya kilimo. Wanaoishi mjini, nyanya vitunguu, mboga ambazo zinauzwa kwa viwango vya pesa nyingi inatokana na kilimo. Hii ina maana wanaoishi mjini wanatumia pesa nyingi sana kuliko wanaoishi mashambani. Kuna wanabiashara wakubwa ambao bidhaa wanazouza ni bidhaa za kilimo. Vinywaji vya soda ama juice vina tengenezwa kwa mazao ya kilimo kama vile maembe, machungwa, zabibu ambapo vinywaji hivi vinapouzwa uchumi wa nchi unaimarika kwa uchumi.
Kilimo kimeimarisha hali za binadamu nchini kwa kuwa wengine wanamifugo ambao wanafaidika wenyewe na pia wanapata pesa za kujikumu kimaisha. | Uuzaji wa nyama humfaidi mkulima kivipi? | {
"text": [
"Humpa pesa ya matumizi yake"
]
} |
3290_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA KATIKA NCHI YA KENYA
Biashara ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya. Ni jukumu letu sisi sote kuungana kutenda kila tuwazao ili kuhakikisha kwamba tunaimarisha biashara nchini humu. Ni jukumu la kila mkenya na hata serikali kukuza biashara kwa njia zifuatazo;
Kwanza kabisa ni kutoa elimu kwa kila mkenya kuhusu umuhimu wa biashara jinsi ya kuanza na hata kuendeleza biashara zao. Watu wengi sana nchini wana pesa na malighafi ya kuanza biashara lakini wanachokosa ni maana ya kuiendeleza biashara zao. Ni jukumu la kila mtu aliye na maarifa kutoa elimu kwa wakenya wenzao kwa kupitia njia kama vile video, televisheni na hata magazeti ili watu waimarike kiakili. Hii itasaidia pakubwa kuimarisha biashara nchini.
Serikali kuweka miundo msingi kama vile kuimarisha barabara ili kuwapa wanabiashara na hata wale wanaoania kuanza biashara mazingira mema kuendeleza kazi yao vyema. Hii itarahisha kusafirisha bidhaa zao karibu na watumiaji/wanunuaji. Soko pia ni muhimu kwa vile linatoa nafasi ya wanabiashara kuendeleza kazi zao vyema.
Naamini serikali ikifanya hivi watu wengi watajitosa kwenye uwanja wa biashara na kunawiri mno hivyo kuimarisha biashara nchini.
Pia, ni jukumu la wapangaji na serikali kupunguza kodi ya wanaolipa wanabiashara waliopangisha vibanda vya serikali. Wafanyabiashara hulipa kodi nyingi zaidi hata kuliko mapato yao ya kila siku. Hii inawafanya wanabiashara wengine wadogo wadogo kujiondoa kwa sababu ya mapato ya mkia wa mbuzi. Pia ingekuwa vyema zaidi ikiwa serikali itapunguza ada wanayolipa wanabiashara kwa kuuza vitu sokoni, ada hii iko juu zaidi kiasi cha kwamba wanabiashara wengine hawawezi mudu.
Tena, ni jukumu la kila mtu na hata serikali idumishe usalama ili biashara iimarike nchini kutokana na usalama ni adui mkubwa sana wa biashara na hata sekta zingine mbalimbali wanabiashara wakubwa, walionawiri kwenye biashara yao wanauwana kiholela, wanaibiwa mali yao. Hili linawafanya watu walio na uwezo wa kufanya biashara kuogopa na kujiondoa uwanjani.
Jambo lingine ni kutoa mikopo kwa wale wanaopania kuanza biashara. Kuna wale ambao wana maarifa ya kuanza biashara ila hali ya maisha na mifuko haiwaruhus.u Lingekuwa jambo la busara mno iwapo mikopo ingetolewa kwa watu kama hawa ambao wana maono makubwa ya kuipeleka nchi mbele. Mikopo hili litawafanya watu wengi wajitose uwanjani wa biashara na kuiendeleza biashara mbele.
Fauka ya hayo, uongozi mwema na utulivu wa kisiasa nchini ni jambo la muhimu ambalo linaendeleza biashara nchini. Mizozano baina ya viongozi, makundi na jamii ni vikwazo vikubwa vinaopeleka biashara nyuma. Mizozo hii mara nyingi huleta vita ambavyo huleta uharibifu wa mali na bidhaa za wanabiashara hivyo kudunisha biashara nchini na ni jukumu letu wote kuhakikisha kuwa kuna uhusiano mzuri baina yetu.
Mwishowe ukabila ni donda sugu katika kuimarisha biashara. Utapata wale wa jamii fulani wananunua bidhaa kwa mtu ambaye ni wa jamii yao. Hii inaleta utengano mkubwa nchini ambao unadunisha na kurudisha chini maendeleo ya kibiashara nchini. Umefika wakati ambapo kila mtu anafaa kuwajibika na kupiga vita ukabila ambao unatunyima usingizi lala uchao.
Sote tukiungana pamoja kufanya kila jambo linalohitajika kuimarisha biashara nina imani kuwa biashara nchini humu itaimarika kwa viwango vya juu zaidi. Pia ningewasihi wote tufanye kile kinachotakikana kuhakikisha biashara inaimarika. | Kando na elimu ni kipi mkenya anahitaji kuendeleza biashara | {
"text": [
"Maarifa"
]
} |
3290_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA KATIKA NCHI YA KENYA
Biashara ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya. Ni jukumu letu sisi sote kuungana kutenda kila tuwazao ili kuhakikisha kwamba tunaimarisha biashara nchini humu. Ni jukumu la kila mkenya na hata serikali kukuza biashara kwa njia zifuatazo;
Kwanza kabisa ni kutoa elimu kwa kila mkenya kuhusu umuhimu wa biashara jinsi ya kuanza na hata kuendeleza biashara zao. Watu wengi sana nchini wana pesa na malighafi ya kuanza biashara lakini wanachokosa ni maana ya kuiendeleza biashara zao. Ni jukumu la kila mtu aliye na maarifa kutoa elimu kwa wakenya wenzao kwa kupitia njia kama vile video, televisheni na hata magazeti ili watu waimarike kiakili. Hii itasaidia pakubwa kuimarisha biashara nchini.
Serikali kuweka miundo msingi kama vile kuimarisha barabara ili kuwapa wanabiashara na hata wale wanaoania kuanza biashara mazingira mema kuendeleza kazi yao vyema. Hii itarahisha kusafirisha bidhaa zao karibu na watumiaji/wanunuaji. Soko pia ni muhimu kwa vile linatoa nafasi ya wanabiashara kuendeleza kazi zao vyema.
Naamini serikali ikifanya hivi watu wengi watajitosa kwenye uwanja wa biashara na kunawiri mno hivyo kuimarisha biashara nchini.
Pia, ni jukumu la wapangaji na serikali kupunguza kodi ya wanaolipa wanabiashara waliopangisha vibanda vya serikali. Wafanyabiashara hulipa kodi nyingi zaidi hata kuliko mapato yao ya kila siku. Hii inawafanya wanabiashara wengine wadogo wadogo kujiondoa kwa sababu ya mapato ya mkia wa mbuzi. Pia ingekuwa vyema zaidi ikiwa serikali itapunguza ada wanayolipa wanabiashara kwa kuuza vitu sokoni, ada hii iko juu zaidi kiasi cha kwamba wanabiashara wengine hawawezi mudu.
Tena, ni jukumu la kila mtu na hata serikali idumishe usalama ili biashara iimarike nchini kutokana na usalama ni adui mkubwa sana wa biashara na hata sekta zingine mbalimbali wanabiashara wakubwa, walionawiri kwenye biashara yao wanauwana kiholela, wanaibiwa mali yao. Hili linawafanya watu walio na uwezo wa kufanya biashara kuogopa na kujiondoa uwanjani.
Jambo lingine ni kutoa mikopo kwa wale wanaopania kuanza biashara. Kuna wale ambao wana maarifa ya kuanza biashara ila hali ya maisha na mifuko haiwaruhus.u Lingekuwa jambo la busara mno iwapo mikopo ingetolewa kwa watu kama hawa ambao wana maono makubwa ya kuipeleka nchi mbele. Mikopo hili litawafanya watu wengi wajitose uwanjani wa biashara na kuiendeleza biashara mbele.
Fauka ya hayo, uongozi mwema na utulivu wa kisiasa nchini ni jambo la muhimu ambalo linaendeleza biashara nchini. Mizozano baina ya viongozi, makundi na jamii ni vikwazo vikubwa vinaopeleka biashara nyuma. Mizozo hii mara nyingi huleta vita ambavyo huleta uharibifu wa mali na bidhaa za wanabiashara hivyo kudunisha biashara nchini na ni jukumu letu wote kuhakikisha kuwa kuna uhusiano mzuri baina yetu.
Mwishowe ukabila ni donda sugu katika kuimarisha biashara. Utapata wale wa jamii fulani wananunua bidhaa kwa mtu ambaye ni wa jamii yao. Hii inaleta utengano mkubwa nchini ambao unadunisha na kurudisha chini maendeleo ya kibiashara nchini. Umefika wakati ambapo kila mtu anafaa kuwajibika na kupiga vita ukabila ambao unatunyima usingizi lala uchao.
Sote tukiungana pamoja kufanya kila jambo linalohitajika kuimarisha biashara nina imani kuwa biashara nchini humu itaimarika kwa viwango vya juu zaidi. Pia ningewasihi wote tufanye kile kinachotakikana kuhakikisha biashara inaimarika. | Ni jukumu la nani kukuza biashara | {
"text": [
"Mkenya na serikali"
]
} |
3290_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA KATIKA NCHI YA KENYA
Biashara ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya. Ni jukumu letu sisi sote kuungana kutenda kila tuwazao ili kuhakikisha kwamba tunaimarisha biashara nchini humu. Ni jukumu la kila mkenya na hata serikali kukuza biashara kwa njia zifuatazo;
Kwanza kabisa ni kutoa elimu kwa kila mkenya kuhusu umuhimu wa biashara jinsi ya kuanza na hata kuendeleza biashara zao. Watu wengi sana nchini wana pesa na malighafi ya kuanza biashara lakini wanachokosa ni maana ya kuiendeleza biashara zao. Ni jukumu la kila mtu aliye na maarifa kutoa elimu kwa wakenya wenzao kwa kupitia njia kama vile video, televisheni na hata magazeti ili watu waimarike kiakili. Hii itasaidia pakubwa kuimarisha biashara nchini.
Serikali kuweka miundo msingi kama vile kuimarisha barabara ili kuwapa wanabiashara na hata wale wanaoania kuanza biashara mazingira mema kuendeleza kazi yao vyema. Hii itarahisha kusafirisha bidhaa zao karibu na watumiaji/wanunuaji. Soko pia ni muhimu kwa vile linatoa nafasi ya wanabiashara kuendeleza kazi zao vyema.
Naamini serikali ikifanya hivi watu wengi watajitosa kwenye uwanja wa biashara na kunawiri mno hivyo kuimarisha biashara nchini.
Pia, ni jukumu la wapangaji na serikali kupunguza kodi ya wanaolipa wanabiashara waliopangisha vibanda vya serikali. Wafanyabiashara hulipa kodi nyingi zaidi hata kuliko mapato yao ya kila siku. Hii inawafanya wanabiashara wengine wadogo wadogo kujiondoa kwa sababu ya mapato ya mkia wa mbuzi. Pia ingekuwa vyema zaidi ikiwa serikali itapunguza ada wanayolipa wanabiashara kwa kuuza vitu sokoni, ada hii iko juu zaidi kiasi cha kwamba wanabiashara wengine hawawezi mudu.
Tena, ni jukumu la kila mtu na hata serikali idumishe usalama ili biashara iimarike nchini kutokana na usalama ni adui mkubwa sana wa biashara na hata sekta zingine mbalimbali wanabiashara wakubwa, walionawiri kwenye biashara yao wanauwana kiholela, wanaibiwa mali yao. Hili linawafanya watu walio na uwezo wa kufanya biashara kuogopa na kujiondoa uwanjani.
Jambo lingine ni kutoa mikopo kwa wale wanaopania kuanza biashara. Kuna wale ambao wana maarifa ya kuanza biashara ila hali ya maisha na mifuko haiwaruhus.u Lingekuwa jambo la busara mno iwapo mikopo ingetolewa kwa watu kama hawa ambao wana maono makubwa ya kuipeleka nchi mbele. Mikopo hili litawafanya watu wengi wajitose uwanjani wa biashara na kuiendeleza biashara mbele.
Fauka ya hayo, uongozi mwema na utulivu wa kisiasa nchini ni jambo la muhimu ambalo linaendeleza biashara nchini. Mizozano baina ya viongozi, makundi na jamii ni vikwazo vikubwa vinaopeleka biashara nyuma. Mizozo hii mara nyingi huleta vita ambavyo huleta uharibifu wa mali na bidhaa za wanabiashara hivyo kudunisha biashara nchini na ni jukumu letu wote kuhakikisha kuwa kuna uhusiano mzuri baina yetu.
Mwishowe ukabila ni donda sugu katika kuimarisha biashara. Utapata wale wa jamii fulani wananunua bidhaa kwa mtu ambaye ni wa jamii yao. Hii inaleta utengano mkubwa nchini ambao unadunisha na kurudisha chini maendeleo ya kibiashara nchini. Umefika wakati ambapo kila mtu anafaa kuwajibika na kupiga vita ukabila ambao unatunyima usingizi lala uchao.
Sote tukiungana pamoja kufanya kila jambo linalohitajika kuimarisha biashara nina imani kuwa biashara nchini humu itaimarika kwa viwango vya juu zaidi. Pia ningewasihi wote tufanye kile kinachotakikana kuhakikisha biashara inaimarika. | Wanaotoa elimu wanaweza tumia njia zipi | {
"text": [
"Redio na televisheni"
]
} |
3290_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA KATIKA NCHI YA KENYA
Biashara ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya. Ni jukumu letu sisi sote kuungana kutenda kila tuwazao ili kuhakikisha kwamba tunaimarisha biashara nchini humu. Ni jukumu la kila mkenya na hata serikali kukuza biashara kwa njia zifuatazo;
Kwanza kabisa ni kutoa elimu kwa kila mkenya kuhusu umuhimu wa biashara jinsi ya kuanza na hata kuendeleza biashara zao. Watu wengi sana nchini wana pesa na malighafi ya kuanza biashara lakini wanachokosa ni maana ya kuiendeleza biashara zao. Ni jukumu la kila mtu aliye na maarifa kutoa elimu kwa wakenya wenzao kwa kupitia njia kama vile video, televisheni na hata magazeti ili watu waimarike kiakili. Hii itasaidia pakubwa kuimarisha biashara nchini.
Serikali kuweka miundo msingi kama vile kuimarisha barabara ili kuwapa wanabiashara na hata wale wanaoania kuanza biashara mazingira mema kuendeleza kazi yao vyema. Hii itarahisha kusafirisha bidhaa zao karibu na watumiaji/wanunuaji. Soko pia ni muhimu kwa vile linatoa nafasi ya wanabiashara kuendeleza kazi zao vyema.
Naamini serikali ikifanya hivi watu wengi watajitosa kwenye uwanja wa biashara na kunawiri mno hivyo kuimarisha biashara nchini.
Pia, ni jukumu la wapangaji na serikali kupunguza kodi ya wanaolipa wanabiashara waliopangisha vibanda vya serikali. Wafanyabiashara hulipa kodi nyingi zaidi hata kuliko mapato yao ya kila siku. Hii inawafanya wanabiashara wengine wadogo wadogo kujiondoa kwa sababu ya mapato ya mkia wa mbuzi. Pia ingekuwa vyema zaidi ikiwa serikali itapunguza ada wanayolipa wanabiashara kwa kuuza vitu sokoni, ada hii iko juu zaidi kiasi cha kwamba wanabiashara wengine hawawezi mudu.
Tena, ni jukumu la kila mtu na hata serikali idumishe usalama ili biashara iimarike nchini kutokana na usalama ni adui mkubwa sana wa biashara na hata sekta zingine mbalimbali wanabiashara wakubwa, walionawiri kwenye biashara yao wanauwana kiholela, wanaibiwa mali yao. Hili linawafanya watu walio na uwezo wa kufanya biashara kuogopa na kujiondoa uwanjani.
Jambo lingine ni kutoa mikopo kwa wale wanaopania kuanza biashara. Kuna wale ambao wana maarifa ya kuanza biashara ila hali ya maisha na mifuko haiwaruhus.u Lingekuwa jambo la busara mno iwapo mikopo ingetolewa kwa watu kama hawa ambao wana maono makubwa ya kuipeleka nchi mbele. Mikopo hili litawafanya watu wengi wajitose uwanjani wa biashara na kuiendeleza biashara mbele.
Fauka ya hayo, uongozi mwema na utulivu wa kisiasa nchini ni jambo la muhimu ambalo linaendeleza biashara nchini. Mizozano baina ya viongozi, makundi na jamii ni vikwazo vikubwa vinaopeleka biashara nyuma. Mizozo hii mara nyingi huleta vita ambavyo huleta uharibifu wa mali na bidhaa za wanabiashara hivyo kudunisha biashara nchini na ni jukumu letu wote kuhakikisha kuwa kuna uhusiano mzuri baina yetu.
Mwishowe ukabila ni donda sugu katika kuimarisha biashara. Utapata wale wa jamii fulani wananunua bidhaa kwa mtu ambaye ni wa jamii yao. Hii inaleta utengano mkubwa nchini ambao unadunisha na kurudisha chini maendeleo ya kibiashara nchini. Umefika wakati ambapo kila mtu anafaa kuwajibika na kupiga vita ukabila ambao unatunyima usingizi lala uchao.
Sote tukiungana pamoja kufanya kila jambo linalohitajika kuimarisha biashara nina imani kuwa biashara nchini humu itaimarika kwa viwango vya juu zaidi. Pia ningewasihi wote tufanye kile kinachotakikana kuhakikisha biashara inaimarika. | Ni jukumu la nani kupunguza kodi | {
"text": [
"Wapangaji na serikali"
]
} |
3290_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA KATIKA NCHI YA KENYA
Biashara ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya. Ni jukumu letu sisi sote kuungana kutenda kila tuwazao ili kuhakikisha kwamba tunaimarisha biashara nchini humu. Ni jukumu la kila mkenya na hata serikali kukuza biashara kwa njia zifuatazo;
Kwanza kabisa ni kutoa elimu kwa kila mkenya kuhusu umuhimu wa biashara jinsi ya kuanza na hata kuendeleza biashara zao. Watu wengi sana nchini wana pesa na malighafi ya kuanza biashara lakini wanachokosa ni maana ya kuiendeleza biashara zao. Ni jukumu la kila mtu aliye na maarifa kutoa elimu kwa wakenya wenzao kwa kupitia njia kama vile video, televisheni na hata magazeti ili watu waimarike kiakili. Hii itasaidia pakubwa kuimarisha biashara nchini.
Serikali kuweka miundo msingi kama vile kuimarisha barabara ili kuwapa wanabiashara na hata wale wanaoania kuanza biashara mazingira mema kuendeleza kazi yao vyema. Hii itarahisha kusafirisha bidhaa zao karibu na watumiaji/wanunuaji. Soko pia ni muhimu kwa vile linatoa nafasi ya wanabiashara kuendeleza kazi zao vyema.
Naamini serikali ikifanya hivi watu wengi watajitosa kwenye uwanja wa biashara na kunawiri mno hivyo kuimarisha biashara nchini.
Pia, ni jukumu la wapangaji na serikali kupunguza kodi ya wanaolipa wanabiashara waliopangisha vibanda vya serikali. Wafanyabiashara hulipa kodi nyingi zaidi hata kuliko mapato yao ya kila siku. Hii inawafanya wanabiashara wengine wadogo wadogo kujiondoa kwa sababu ya mapato ya mkia wa mbuzi. Pia ingekuwa vyema zaidi ikiwa serikali itapunguza ada wanayolipa wanabiashara kwa kuuza vitu sokoni, ada hii iko juu zaidi kiasi cha kwamba wanabiashara wengine hawawezi mudu.
Tena, ni jukumu la kila mtu na hata serikali idumishe usalama ili biashara iimarike nchini kutokana na usalama ni adui mkubwa sana wa biashara na hata sekta zingine mbalimbali wanabiashara wakubwa, walionawiri kwenye biashara yao wanauwana kiholela, wanaibiwa mali yao. Hili linawafanya watu walio na uwezo wa kufanya biashara kuogopa na kujiondoa uwanjani.
Jambo lingine ni kutoa mikopo kwa wale wanaopania kuanza biashara. Kuna wale ambao wana maarifa ya kuanza biashara ila hali ya maisha na mifuko haiwaruhus.u Lingekuwa jambo la busara mno iwapo mikopo ingetolewa kwa watu kama hawa ambao wana maono makubwa ya kuipeleka nchi mbele. Mikopo hili litawafanya watu wengi wajitose uwanjani wa biashara na kuiendeleza biashara mbele.
Fauka ya hayo, uongozi mwema na utulivu wa kisiasa nchini ni jambo la muhimu ambalo linaendeleza biashara nchini. Mizozano baina ya viongozi, makundi na jamii ni vikwazo vikubwa vinaopeleka biashara nyuma. Mizozo hii mara nyingi huleta vita ambavyo huleta uharibifu wa mali na bidhaa za wanabiashara hivyo kudunisha biashara nchini na ni jukumu letu wote kuhakikisha kuwa kuna uhusiano mzuri baina yetu.
Mwishowe ukabila ni donda sugu katika kuimarisha biashara. Utapata wale wa jamii fulani wananunua bidhaa kwa mtu ambaye ni wa jamii yao. Hii inaleta utengano mkubwa nchini ambao unadunisha na kurudisha chini maendeleo ya kibiashara nchini. Umefika wakati ambapo kila mtu anafaa kuwajibika na kupiga vita ukabila ambao unatunyima usingizi lala uchao.
Sote tukiungana pamoja kufanya kila jambo linalohitajika kuimarisha biashara nina imani kuwa biashara nchini humu itaimarika kwa viwango vya juu zaidi. Pia ningewasihi wote tufanye kile kinachotakikana kuhakikisha biashara inaimarika. | Kwa nini wengine hujiondoa nyanjani | {
"text": [
"Kwa sababu ya mapato ya mkia wa mbuzi"
]
} |
3293_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara hapa nchini Kenya ndio unategemewa na watu wengi ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja. Hivyo basi iwapo biashara hazitaimarika watu wengi wataumia basi ya paswa tuungane ili tuimarishe biashara.
Kwanza, yafaa kila mmoja alipe kodi ili serikali ipate hela ya kuunda na kutengeneza soko katika kila jimbo ili kuwawezesha wanabiashara kupata mahali pa kuuzia bidhaa yao na wateja waweze kupata bidhaa karibu nao. Kila mmoja atafaidika na hii itawezesha biashara kuimarika hapa nchini na pia hata maisha ya watu itaimarika.
Pili, serikali inapaswa kuhimiza wawekezaji kutoka nje ya nchi wawekeze katika nchi yetu na hili litawezekana iwapo miundo misingi kama vile barabara itaimarishwa ili kila mmoja awe na uwezo wa kufika anapotaka bila tashwishi na hili litawavutia wawekezaji kuja humu nchini.
Usalama unapaswa kuimarishwa nchini ili kuwapa motisha wanabiashara kuekeza na kupanua biashara zao bila wasiwasi wa kuibiwa vitu vyao hivyo basi biashara zitazidi kuongezeka na litaleta nafasi ya kujihusisha katika uovu au kutumia mihadarati na pia biashara zitazidi kuimarika hapa nchini.
Serikali inapaswa kutoa mikopo midogo midogo kwa wanabiashara wadogo ili waweze kuanzisha kazi na bila shaka vijana wengi watapata uwezo wa kufungua biashara ambazo wamekuwa wakitamani kufungua. Jambo hili litasababisha ongezeko wa bidhaa ya matumizi. Jambo hili pia litaleta mashindano kati ya wafanyibiashara na itawalazimu wauze bidhaa za kishua na kwa bei rahisi ili wapate wanunuzi kwa urahisi.
Serikali inapaswa kuingilia kati na kupunguza kodi inayotolewa na wafanyibiashara wakati ambapo wanaleta bidhaa kutoka nje ya nchi ili pia bidhaa zisiwe ghali.
Wanabiashara wanapaswa kuimarisha ushirikiano na wakuzaji wa bidhaa, kwa mfano, mwanabiashara anayetoa huduma za kuuza vyakula yafaa ajuwe mkulima na pia aweze kutafuta mbinu ya kuvisafirisha kutoka shambani hivyo basi kuzuia bidhaa kupitia mikono wa watu wengi na kufanya mwanabiashara kupata bidhaa kwa bei ghali, inayomfanya apandishe bei ili apate faida.
Serikali inapaswa kutangaza bidhaa ambazo nchi husika wakonazo kwa nchi zingine ili wafanyibiashara waweze kupata soko kubwa ambapo wanaweza uza bidhaa zao.jambo hili litaleta faida kubwa nchini na pia kuwapa motisha wakuzaji wa bidhaa kuzidi kuendelea kukuza bidhaa.
| Watu wengi wanategemea nini nchini Kenya | {
"text": [
"biashara"
]
} |
3293_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara hapa nchini Kenya ndio unategemewa na watu wengi ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja. Hivyo basi iwapo biashara hazitaimarika watu wengi wataumia basi ya paswa tuungane ili tuimarishe biashara.
Kwanza, yafaa kila mmoja alipe kodi ili serikali ipate hela ya kuunda na kutengeneza soko katika kila jimbo ili kuwawezesha wanabiashara kupata mahali pa kuuzia bidhaa yao na wateja waweze kupata bidhaa karibu nao. Kila mmoja atafaidika na hii itawezesha biashara kuimarika hapa nchini na pia hata maisha ya watu itaimarika.
Pili, serikali inapaswa kuhimiza wawekezaji kutoka nje ya nchi wawekeze katika nchi yetu na hili litawezekana iwapo miundo misingi kama vile barabara itaimarishwa ili kila mmoja awe na uwezo wa kufika anapotaka bila tashwishi na hili litawavutia wawekezaji kuja humu nchini.
Usalama unapaswa kuimarishwa nchini ili kuwapa motisha wanabiashara kuekeza na kupanua biashara zao bila wasiwasi wa kuibiwa vitu vyao hivyo basi biashara zitazidi kuongezeka na litaleta nafasi ya kujihusisha katika uovu au kutumia mihadarati na pia biashara zitazidi kuimarika hapa nchini.
Serikali inapaswa kutoa mikopo midogo midogo kwa wanabiashara wadogo ili waweze kuanzisha kazi na bila shaka vijana wengi watapata uwezo wa kufungua biashara ambazo wamekuwa wakitamani kufungua. Jambo hili litasababisha ongezeko wa bidhaa ya matumizi. Jambo hili pia litaleta mashindano kati ya wafanyibiashara na itawalazimu wauze bidhaa za kishua na kwa bei rahisi ili wapate wanunuzi kwa urahisi.
Serikali inapaswa kuingilia kati na kupunguza kodi inayotolewa na wafanyibiashara wakati ambapo wanaleta bidhaa kutoka nje ya nchi ili pia bidhaa zisiwe ghali.
Wanabiashara wanapaswa kuimarisha ushirikiano na wakuzaji wa bidhaa, kwa mfano, mwanabiashara anayetoa huduma za kuuza vyakula yafaa ajuwe mkulima na pia aweze kutafuta mbinu ya kuvisafirisha kutoka shambani hivyo basi kuzuia bidhaa kupitia mikono wa watu wengi na kufanya mwanabiashara kupata bidhaa kwa bei ghali, inayomfanya apandishe bei ili apate faida.
Serikali inapaswa kutangaza bidhaa ambazo nchi husika wakonazo kwa nchi zingine ili wafanyibiashara waweze kupata soko kubwa ambapo wanaweza uza bidhaa zao.jambo hili litaleta faida kubwa nchini na pia kuwapa motisha wakuzaji wa bidhaa kuzidi kuendelea kukuza bidhaa.
| Wawekezaji kutoka nje wahimizwe kuwekeza wapi | {
"text": [
"katika nchi yetu"
]
} |
3293_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara hapa nchini Kenya ndio unategemewa na watu wengi ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja. Hivyo basi iwapo biashara hazitaimarika watu wengi wataumia basi ya paswa tuungane ili tuimarishe biashara.
Kwanza, yafaa kila mmoja alipe kodi ili serikali ipate hela ya kuunda na kutengeneza soko katika kila jimbo ili kuwawezesha wanabiashara kupata mahali pa kuuzia bidhaa yao na wateja waweze kupata bidhaa karibu nao. Kila mmoja atafaidika na hii itawezesha biashara kuimarika hapa nchini na pia hata maisha ya watu itaimarika.
Pili, serikali inapaswa kuhimiza wawekezaji kutoka nje ya nchi wawekeze katika nchi yetu na hili litawezekana iwapo miundo misingi kama vile barabara itaimarishwa ili kila mmoja awe na uwezo wa kufika anapotaka bila tashwishi na hili litawavutia wawekezaji kuja humu nchini.
Usalama unapaswa kuimarishwa nchini ili kuwapa motisha wanabiashara kuekeza na kupanua biashara zao bila wasiwasi wa kuibiwa vitu vyao hivyo basi biashara zitazidi kuongezeka na litaleta nafasi ya kujihusisha katika uovu au kutumia mihadarati na pia biashara zitazidi kuimarika hapa nchini.
Serikali inapaswa kutoa mikopo midogo midogo kwa wanabiashara wadogo ili waweze kuanzisha kazi na bila shaka vijana wengi watapata uwezo wa kufungua biashara ambazo wamekuwa wakitamani kufungua. Jambo hili litasababisha ongezeko wa bidhaa ya matumizi. Jambo hili pia litaleta mashindano kati ya wafanyibiashara na itawalazimu wauze bidhaa za kishua na kwa bei rahisi ili wapate wanunuzi kwa urahisi.
Serikali inapaswa kuingilia kati na kupunguza kodi inayotolewa na wafanyibiashara wakati ambapo wanaleta bidhaa kutoka nje ya nchi ili pia bidhaa zisiwe ghali.
Wanabiashara wanapaswa kuimarisha ushirikiano na wakuzaji wa bidhaa, kwa mfano, mwanabiashara anayetoa huduma za kuuza vyakula yafaa ajuwe mkulima na pia aweze kutafuta mbinu ya kuvisafirisha kutoka shambani hivyo basi kuzuia bidhaa kupitia mikono wa watu wengi na kufanya mwanabiashara kupata bidhaa kwa bei ghali, inayomfanya apandishe bei ili apate faida.
Serikali inapaswa kutangaza bidhaa ambazo nchi husika wakonazo kwa nchi zingine ili wafanyibiashara waweze kupata soko kubwa ambapo wanaweza uza bidhaa zao.jambo hili litaleta faida kubwa nchini na pia kuwapa motisha wakuzaji wa bidhaa kuzidi kuendelea kukuza bidhaa.
| Serikali itoe mkopo kwa nani | {
"text": [
"wanabiashara wadogo"
]
} |
3293_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara hapa nchini Kenya ndio unategemewa na watu wengi ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja. Hivyo basi iwapo biashara hazitaimarika watu wengi wataumia basi ya paswa tuungane ili tuimarishe biashara.
Kwanza, yafaa kila mmoja alipe kodi ili serikali ipate hela ya kuunda na kutengeneza soko katika kila jimbo ili kuwawezesha wanabiashara kupata mahali pa kuuzia bidhaa yao na wateja waweze kupata bidhaa karibu nao. Kila mmoja atafaidika na hii itawezesha biashara kuimarika hapa nchini na pia hata maisha ya watu itaimarika.
Pili, serikali inapaswa kuhimiza wawekezaji kutoka nje ya nchi wawekeze katika nchi yetu na hili litawezekana iwapo miundo misingi kama vile barabara itaimarishwa ili kila mmoja awe na uwezo wa kufika anapotaka bila tashwishi na hili litawavutia wawekezaji kuja humu nchini.
Usalama unapaswa kuimarishwa nchini ili kuwapa motisha wanabiashara kuekeza na kupanua biashara zao bila wasiwasi wa kuibiwa vitu vyao hivyo basi biashara zitazidi kuongezeka na litaleta nafasi ya kujihusisha katika uovu au kutumia mihadarati na pia biashara zitazidi kuimarika hapa nchini.
Serikali inapaswa kutoa mikopo midogo midogo kwa wanabiashara wadogo ili waweze kuanzisha kazi na bila shaka vijana wengi watapata uwezo wa kufungua biashara ambazo wamekuwa wakitamani kufungua. Jambo hili litasababisha ongezeko wa bidhaa ya matumizi. Jambo hili pia litaleta mashindano kati ya wafanyibiashara na itawalazimu wauze bidhaa za kishua na kwa bei rahisi ili wapate wanunuzi kwa urahisi.
Serikali inapaswa kuingilia kati na kupunguza kodi inayotolewa na wafanyibiashara wakati ambapo wanaleta bidhaa kutoka nje ya nchi ili pia bidhaa zisiwe ghali.
Wanabiashara wanapaswa kuimarisha ushirikiano na wakuzaji wa bidhaa, kwa mfano, mwanabiashara anayetoa huduma za kuuza vyakula yafaa ajuwe mkulima na pia aweze kutafuta mbinu ya kuvisafirisha kutoka shambani hivyo basi kuzuia bidhaa kupitia mikono wa watu wengi na kufanya mwanabiashara kupata bidhaa kwa bei ghali, inayomfanya apandishe bei ili apate faida.
Serikali inapaswa kutangaza bidhaa ambazo nchi husika wakonazo kwa nchi zingine ili wafanyibiashara waweze kupata soko kubwa ambapo wanaweza uza bidhaa zao.jambo hili litaleta faida kubwa nchini na pia kuwapa motisha wakuzaji wa bidhaa kuzidi kuendelea kukuza bidhaa.
| Wanabiashara waimarishe nini na wakuzaji wa bidhaa | {
"text": [
"ushirika"
]
} |
3293_swa | NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Biashara hapa nchini Kenya ndio unategemewa na watu wengi ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja. Hivyo basi iwapo biashara hazitaimarika watu wengi wataumia basi ya paswa tuungane ili tuimarishe biashara.
Kwanza, yafaa kila mmoja alipe kodi ili serikali ipate hela ya kuunda na kutengeneza soko katika kila jimbo ili kuwawezesha wanabiashara kupata mahali pa kuuzia bidhaa yao na wateja waweze kupata bidhaa karibu nao. Kila mmoja atafaidika na hii itawezesha biashara kuimarika hapa nchini na pia hata maisha ya watu itaimarika.
Pili, serikali inapaswa kuhimiza wawekezaji kutoka nje ya nchi wawekeze katika nchi yetu na hili litawezekana iwapo miundo misingi kama vile barabara itaimarishwa ili kila mmoja awe na uwezo wa kufika anapotaka bila tashwishi na hili litawavutia wawekezaji kuja humu nchini.
Usalama unapaswa kuimarishwa nchini ili kuwapa motisha wanabiashara kuekeza na kupanua biashara zao bila wasiwasi wa kuibiwa vitu vyao hivyo basi biashara zitazidi kuongezeka na litaleta nafasi ya kujihusisha katika uovu au kutumia mihadarati na pia biashara zitazidi kuimarika hapa nchini.
Serikali inapaswa kutoa mikopo midogo midogo kwa wanabiashara wadogo ili waweze kuanzisha kazi na bila shaka vijana wengi watapata uwezo wa kufungua biashara ambazo wamekuwa wakitamani kufungua. Jambo hili litasababisha ongezeko wa bidhaa ya matumizi. Jambo hili pia litaleta mashindano kati ya wafanyibiashara na itawalazimu wauze bidhaa za kishua na kwa bei rahisi ili wapate wanunuzi kwa urahisi.
Serikali inapaswa kuingilia kati na kupunguza kodi inayotolewa na wafanyibiashara wakati ambapo wanaleta bidhaa kutoka nje ya nchi ili pia bidhaa zisiwe ghali.
Wanabiashara wanapaswa kuimarisha ushirikiano na wakuzaji wa bidhaa, kwa mfano, mwanabiashara anayetoa huduma za kuuza vyakula yafaa ajuwe mkulima na pia aweze kutafuta mbinu ya kuvisafirisha kutoka shambani hivyo basi kuzuia bidhaa kupitia mikono wa watu wengi na kufanya mwanabiashara kupata bidhaa kwa bei ghali, inayomfanya apandishe bei ili apate faida.
Serikali inapaswa kutangaza bidhaa ambazo nchi husika wakonazo kwa nchi zingine ili wafanyibiashara waweze kupata soko kubwa ambapo wanaweza uza bidhaa zao.jambo hili litaleta faida kubwa nchini na pia kuwapa motisha wakuzaji wa bidhaa kuzidi kuendelea kukuza bidhaa.
| Mbona bidhaa huharibika | {
"text": [
"kutokana na kukaa sana"
]
} |
3296_swa | S.L.P. 21136,
Hatiki,
Zimbabwe.
21-02-1998.
Kwa Wasimamizi,
Shirika la Haki za Kibinadamu,
S.L.P 11091,
Tiriko.
Kwa Bw / Bi
MINT: OMBI LA KAZI KAMA MENEJA MKURUGENZI
Ningependa kuwasilisha ombi langu la kazi ya umeneja ambayo ilitangazwa na shirika lenu katika gazeti la Mambo leo, Jumatano tarehe 18 Februari, mwaka wa 1998.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nimekuwa nikisoma katika chuo kikuu cha umeneja hadi miaka miwili hapo nyuma nilipohitimu na shahada ya kwanza. Chuoni pia nilisomea uwekaji fedha na kuhitimu hadi shahada ya pili.
Nina tajriba pana kwa kazi hii kwa kuwa nimewahishiriki kazi hii katika shirika la Umoja wa kimataifa ambapo nilifanya kazi hii kwa bidii. Ninaamini kuwa nina mchango wa kutoa ili kuboresha shirika hili na kuisongeza katika kiwango kingine.
Kama mzaliwa wa Hatiki, ningependa kufanya kazi katika shirika lenu na zaidi ya hayo, nina maazimio ya kuyatekeleza majukumu yangu kwa njia ya kuridhisha ili kufaidi shiriika kwa jumla. Nikipewa nafasi hii nitatia juhudi kuhakikisha kuwa shirika hili litatoa huduma za kupigiwa mfano.
Nimeambatanisha wasifu kazi yangu na stakabadhi nyingine za kielimu na kitaaluma katika barua hii kwa marejeleo yenu. Niko tayari kwa mahojiano wakati wowote ule mtakaponihitaji. Natarajia kupata majibu karibuni.
Wako mwaminifu,
Sitiri Kalua .
WASIFU KAZI
JINA: Sitiri kalua.
URAIA: Mzimbabwe
JINSIA: Mwanaume
SIMU: 0113231622
BARUA PEPE: sikino Sihri @ Rationgo.co.ke
HADHI YA NDOA: Nimeoa
LUGHA: Kiingereza, Kifaransa.
MAHALI PA KUZALIWA: Hatiki.
NAMBARI YA KITAMBULISHO: 23222143.
ELIMU
1992-1996: CHUO CHA KIMATAIFA CHA ZIMBABWE
Shahada ya uzamili, Umeneja
1988.-1992: SHULE YA UPILI YA FAULU
Cheti cha KCSE alama B+
1980 - 1988: SHULE YA MSINGI YA HATIKI
Cheti cha KCPE Alama 360
1978 - 1980 : SHULE YA CHEKECHEA YA BAHATI.
TAJRIBA
1996 - 1997:Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa kimataifa.
AZIMIO LANGU
Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kwango cha juu.
URAIBU
1. kuimba
2. Kuchora
WAREJELEWA
Bw. Jomba Tahidi
S.L.P. 21187
Rununu 0118842332
Bi. Suluhu Latifa.
S.L.P 2230
Rununu 0253515633 | Barua hii ina anwani ngapi | {
"text": [
"Mbili"
]
} |
3296_swa | S.L.P. 21136,
Hatiki,
Zimbabwe.
21-02-1998.
Kwa Wasimamizi,
Shirika la Haki za Kibinadamu,
S.L.P 11091,
Tiriko.
Kwa Bw / Bi
MINT: OMBI LA KAZI KAMA MENEJA MKURUGENZI
Ningependa kuwasilisha ombi langu la kazi ya umeneja ambayo ilitangazwa na shirika lenu katika gazeti la Mambo leo, Jumatano tarehe 18 Februari, mwaka wa 1998.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nimekuwa nikisoma katika chuo kikuu cha umeneja hadi miaka miwili hapo nyuma nilipohitimu na shahada ya kwanza. Chuoni pia nilisomea uwekaji fedha na kuhitimu hadi shahada ya pili.
Nina tajriba pana kwa kazi hii kwa kuwa nimewahishiriki kazi hii katika shirika la Umoja wa kimataifa ambapo nilifanya kazi hii kwa bidii. Ninaamini kuwa nina mchango wa kutoa ili kuboresha shirika hili na kuisongeza katika kiwango kingine.
Kama mzaliwa wa Hatiki, ningependa kufanya kazi katika shirika lenu na zaidi ya hayo, nina maazimio ya kuyatekeleza majukumu yangu kwa njia ya kuridhisha ili kufaidi shiriika kwa jumla. Nikipewa nafasi hii nitatia juhudi kuhakikisha kuwa shirika hili litatoa huduma za kupigiwa mfano.
Nimeambatanisha wasifu kazi yangu na stakabadhi nyingine za kielimu na kitaaluma katika barua hii kwa marejeleo yenu. Niko tayari kwa mahojiano wakati wowote ule mtakaponihitaji. Natarajia kupata majibu karibuni.
Wako mwaminifu,
Sitiri Kalua .
WASIFU KAZI
JINA: Sitiri kalua.
URAIA: Mzimbabwe
JINSIA: Mwanaume
SIMU: 0113231622
BARUA PEPE: sikino Sihri @ Rationgo.co.ke
HADHI YA NDOA: Nimeoa
LUGHA: Kiingereza, Kifaransa.
MAHALI PA KUZALIWA: Hatiki.
NAMBARI YA KITAMBULISHO: 23222143.
ELIMU
1992-1996: CHUO CHA KIMATAIFA CHA ZIMBABWE
Shahada ya uzamili, Umeneja
1988.-1992: SHULE YA UPILI YA FAULU
Cheti cha KCSE alama B+
1980 - 1988: SHULE YA MSINGI YA HATIKI
Cheti cha KCPE Alama 360
1978 - 1980 : SHULE YA CHEKECHEA YA BAHATI.
TAJRIBA
1996 - 1997:Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa kimataifa.
AZIMIO LANGU
Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kwango cha juu.
URAIBU
1. kuimba
2. Kuchora
WAREJELEWA
Bw. Jomba Tahidi
S.L.P. 21187
Rununu 0118842332
Bi. Suluhu Latifa.
S.L.P 2230
Rununu 0253515633 | Lengo la barua lilikuwa lipi | {
"text": [
"Kuomba kazi kama meneja mkurugenzi katika shirika la Haki za binadamu"
]
} |
3296_swa | S.L.P. 21136,
Hatiki,
Zimbabwe.
21-02-1998.
Kwa Wasimamizi,
Shirika la Haki za Kibinadamu,
S.L.P 11091,
Tiriko.
Kwa Bw / Bi
MINT: OMBI LA KAZI KAMA MENEJA MKURUGENZI
Ningependa kuwasilisha ombi langu la kazi ya umeneja ambayo ilitangazwa na shirika lenu katika gazeti la Mambo leo, Jumatano tarehe 18 Februari, mwaka wa 1998.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nimekuwa nikisoma katika chuo kikuu cha umeneja hadi miaka miwili hapo nyuma nilipohitimu na shahada ya kwanza. Chuoni pia nilisomea uwekaji fedha na kuhitimu hadi shahada ya pili.
Nina tajriba pana kwa kazi hii kwa kuwa nimewahishiriki kazi hii katika shirika la Umoja wa kimataifa ambapo nilifanya kazi hii kwa bidii. Ninaamini kuwa nina mchango wa kutoa ili kuboresha shirika hili na kuisongeza katika kiwango kingine.
Kama mzaliwa wa Hatiki, ningependa kufanya kazi katika shirika lenu na zaidi ya hayo, nina maazimio ya kuyatekeleza majukumu yangu kwa njia ya kuridhisha ili kufaidi shiriika kwa jumla. Nikipewa nafasi hii nitatia juhudi kuhakikisha kuwa shirika hili litatoa huduma za kupigiwa mfano.
Nimeambatanisha wasifu kazi yangu na stakabadhi nyingine za kielimu na kitaaluma katika barua hii kwa marejeleo yenu. Niko tayari kwa mahojiano wakati wowote ule mtakaponihitaji. Natarajia kupata majibu karibuni.
Wako mwaminifu,
Sitiri Kalua .
WASIFU KAZI
JINA: Sitiri kalua.
URAIA: Mzimbabwe
JINSIA: Mwanaume
SIMU: 0113231622
BARUA PEPE: sikino Sihri @ Rationgo.co.ke
HADHI YA NDOA: Nimeoa
LUGHA: Kiingereza, Kifaransa.
MAHALI PA KUZALIWA: Hatiki.
NAMBARI YA KITAMBULISHO: 23222143.
ELIMU
1992-1996: CHUO CHA KIMATAIFA CHA ZIMBABWE
Shahada ya uzamili, Umeneja
1988.-1992: SHULE YA UPILI YA FAULU
Cheti cha KCSE alama B+
1980 - 1988: SHULE YA MSINGI YA HATIKI
Cheti cha KCPE Alama 360
1978 - 1980 : SHULE YA CHEKECHEA YA BAHATI.
TAJRIBA
1996 - 1997:Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa kimataifa.
AZIMIO LANGU
Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kwango cha juu.
URAIBU
1. kuimba
2. Kuchora
WAREJELEWA
Bw. Jomba Tahidi
S.L.P. 21187
Rununu 0118842332
Bi. Suluhu Latifa.
S.L.P 2230
Rununu 0253515633 | Ni nani aliyeiandika barua hii | {
"text": [
"Sitiri kalua"
]
} |
3296_swa | S.L.P. 21136,
Hatiki,
Zimbabwe.
21-02-1998.
Kwa Wasimamizi,
Shirika la Haki za Kibinadamu,
S.L.P 11091,
Tiriko.
Kwa Bw / Bi
MINT: OMBI LA KAZI KAMA MENEJA MKURUGENZI
Ningependa kuwasilisha ombi langu la kazi ya umeneja ambayo ilitangazwa na shirika lenu katika gazeti la Mambo leo, Jumatano tarehe 18 Februari, mwaka wa 1998.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nimekuwa nikisoma katika chuo kikuu cha umeneja hadi miaka miwili hapo nyuma nilipohitimu na shahada ya kwanza. Chuoni pia nilisomea uwekaji fedha na kuhitimu hadi shahada ya pili.
Nina tajriba pana kwa kazi hii kwa kuwa nimewahishiriki kazi hii katika shirika la Umoja wa kimataifa ambapo nilifanya kazi hii kwa bidii. Ninaamini kuwa nina mchango wa kutoa ili kuboresha shirika hili na kuisongeza katika kiwango kingine.
Kama mzaliwa wa Hatiki, ningependa kufanya kazi katika shirika lenu na zaidi ya hayo, nina maazimio ya kuyatekeleza majukumu yangu kwa njia ya kuridhisha ili kufaidi shiriika kwa jumla. Nikipewa nafasi hii nitatia juhudi kuhakikisha kuwa shirika hili litatoa huduma za kupigiwa mfano.
Nimeambatanisha wasifu kazi yangu na stakabadhi nyingine za kielimu na kitaaluma katika barua hii kwa marejeleo yenu. Niko tayari kwa mahojiano wakati wowote ule mtakaponihitaji. Natarajia kupata majibu karibuni.
Wako mwaminifu,
Sitiri Kalua .
WASIFU KAZI
JINA: Sitiri kalua.
URAIA: Mzimbabwe
JINSIA: Mwanaume
SIMU: 0113231622
BARUA PEPE: sikino Sihri @ Rationgo.co.ke
HADHI YA NDOA: Nimeoa
LUGHA: Kiingereza, Kifaransa.
MAHALI PA KUZALIWA: Hatiki.
NAMBARI YA KITAMBULISHO: 23222143.
ELIMU
1992-1996: CHUO CHA KIMATAIFA CHA ZIMBABWE
Shahada ya uzamili, Umeneja
1988.-1992: SHULE YA UPILI YA FAULU
Cheti cha KCSE alama B+
1980 - 1988: SHULE YA MSINGI YA HATIKI
Cheti cha KCPE Alama 360
1978 - 1980 : SHULE YA CHEKECHEA YA BAHATI.
TAJRIBA
1996 - 1997:Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa kimataifa.
AZIMIO LANGU
Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kwango cha juu.
URAIBU
1. kuimba
2. Kuchora
WAREJELEWA
Bw. Jomba Tahidi
S.L.P. 21187
Rununu 0118842332
Bi. Suluhu Latifa.
S.L.P 2230
Rununu 0253515633 | Kijana aliyeiandika barua hii alikuwa na miaka mingapi | {
"text": [
"Ishirini na mitano"
]
} |
3296_swa | S.L.P. 21136,
Hatiki,
Zimbabwe.
21-02-1998.
Kwa Wasimamizi,
Shirika la Haki za Kibinadamu,
S.L.P 11091,
Tiriko.
Kwa Bw / Bi
MINT: OMBI LA KAZI KAMA MENEJA MKURUGENZI
Ningependa kuwasilisha ombi langu la kazi ya umeneja ambayo ilitangazwa na shirika lenu katika gazeti la Mambo leo, Jumatano tarehe 18 Februari, mwaka wa 1998.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nimekuwa nikisoma katika chuo kikuu cha umeneja hadi miaka miwili hapo nyuma nilipohitimu na shahada ya kwanza. Chuoni pia nilisomea uwekaji fedha na kuhitimu hadi shahada ya pili.
Nina tajriba pana kwa kazi hii kwa kuwa nimewahishiriki kazi hii katika shirika la Umoja wa kimataifa ambapo nilifanya kazi hii kwa bidii. Ninaamini kuwa nina mchango wa kutoa ili kuboresha shirika hili na kuisongeza katika kiwango kingine.
Kama mzaliwa wa Hatiki, ningependa kufanya kazi katika shirika lenu na zaidi ya hayo, nina maazimio ya kuyatekeleza majukumu yangu kwa njia ya kuridhisha ili kufaidi shiriika kwa jumla. Nikipewa nafasi hii nitatia juhudi kuhakikisha kuwa shirika hili litatoa huduma za kupigiwa mfano.
Nimeambatanisha wasifu kazi yangu na stakabadhi nyingine za kielimu na kitaaluma katika barua hii kwa marejeleo yenu. Niko tayari kwa mahojiano wakati wowote ule mtakaponihitaji. Natarajia kupata majibu karibuni.
Wako mwaminifu,
Sitiri Kalua .
WASIFU KAZI
JINA: Sitiri kalua.
URAIA: Mzimbabwe
JINSIA: Mwanaume
SIMU: 0113231622
BARUA PEPE: sikino Sihri @ Rationgo.co.ke
HADHI YA NDOA: Nimeoa
LUGHA: Kiingereza, Kifaransa.
MAHALI PA KUZALIWA: Hatiki.
NAMBARI YA KITAMBULISHO: 23222143.
ELIMU
1992-1996: CHUO CHA KIMATAIFA CHA ZIMBABWE
Shahada ya uzamili, Umeneja
1988.-1992: SHULE YA UPILI YA FAULU
Cheti cha KCSE alama B+
1980 - 1988: SHULE YA MSINGI YA HATIKI
Cheti cha KCPE Alama 360
1978 - 1980 : SHULE YA CHEKECHEA YA BAHATI.
TAJRIBA
1996 - 1997:Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa kimataifa.
AZIMIO LANGU
Kupaa kitaaluma kwa kuendeleza masomo yangu hadi kwango cha juu.
URAIBU
1. kuimba
2. Kuchora
WAREJELEWA
Bw. Jomba Tahidi
S.L.P. 21187
Rununu 0118842332
Bi. Suluhu Latifa.
S.L.P 2230
Rununu 0253515633 | Kulingana na wasifu kazi Sitiri Kalua alizifahamu lugha zipi | {
"text": [
"Kiingereza na kifaransa"
]
} |
3298_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo imeweza kuchangia sana katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya kwa sababu kilimo imechangia pakubwa sana katika ukuaji wa nchi hii. Kilimo pia imeweza kuwekwa kama somo amabayo wanafunzi wanafunzwa ilinwaweze kujua umuhimu wake katika jamii na nchi yote kwa ujumla.
Kuna njia mingi sana ambayo kilimo imeimarisha uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana. Humu nchini shughuli nyingi za kilimo zimechangia kuimarisha uchumi wa taifa kama vile upanzi wa maua katika sehemu mbalimbali nchini; mfano Nakuru, ambapo kilimo ya maua imeinua uchumi wakati yanauzwa kwa nchi zingine.
Majani chai ambayo inapandwa nchini kule Kericho imeweza kuimarisha uchumi kwa sababu majani hii inapotengenezwa kisha kuuzwa katika sehemu mbalimbali nchini na pia nje ya taifa letula Kenya. Inachangia pakubwa katika kuimarisha uchumi wa Kenya na kukua kwa nchi. Majani chai hii inauzwa mikahawani, madukani na hata sokoni.
Upanadaji wa mboga tofauti tofauti shambani kwa mfano kabeji, sukumawiki, mboga za kienyejikama vile managu na matunda kama vile nyanya, maembe na mengineyo zinapokuzwa na kuuziwa watu nchini na pia nje ya nchi. Jambo hili huchangia kwa uimarishaji wa uchumi.
Kilimo pia imeweza kuleta kujiajiri miongoni mwa vijana ambapo bidhaa zao za kilimo wanapozipanda na kisha zinapokuwa tayari zinauziwa watu mbalimbali katika vijiji na pia sokoni hivyo kuwanufaisha vijana na pia nchi kwa ukubwa.
Ukulima wa miwa ambayo inapandwa katika sehemu mbalimbali nchini kwa mfano Mumias, Nzoia zinachangia utengenezaji wa sukari ambayo inauzwa nchini kwa asilimia kubwa sana na pia kusafirishwa na kuuziwa pia kwa nchi jirani inachangia kuimarisha uchumi wa nchi kwa asilimia kubwa sana.
Kwa kweli kilimo ina manufaa mingi katika jamii na nchio kwa jumla hivyo basi kila mkenya aweze kujitambua umuhimu wake na pia wawajibike katika kufanya kilimo ili kuimarisha uchumi wa nchi yetu ya Kenya kwa asilimia kubwa sana.
| Kilimo kimeweza kuchangia katika kuimarisha nini | {
"text": [
"Uchumi wa nchi"
]
} |
3298_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo imeweza kuchangia sana katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya kwa sababu kilimo imechangia pakubwa sana katika ukuaji wa nchi hii. Kilimo pia imeweza kuwekwa kama somo amabayo wanafunzi wanafunzwa ilinwaweze kujua umuhimu wake katika jamii na nchi yote kwa ujumla.
Kuna njia mingi sana ambayo kilimo imeimarisha uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana. Humu nchini shughuli nyingi za kilimo zimechangia kuimarisha uchumi wa taifa kama vile upanzi wa maua katika sehemu mbalimbali nchini; mfano Nakuru, ambapo kilimo ya maua imeinua uchumi wakati yanauzwa kwa nchi zingine.
Majani chai ambayo inapandwa nchini kule Kericho imeweza kuimarisha uchumi kwa sababu majani hii inapotengenezwa kisha kuuzwa katika sehemu mbalimbali nchini na pia nje ya taifa letula Kenya. Inachangia pakubwa katika kuimarisha uchumi wa Kenya na kukua kwa nchi. Majani chai hii inauzwa mikahawani, madukani na hata sokoni.
Upanadaji wa mboga tofauti tofauti shambani kwa mfano kabeji, sukumawiki, mboga za kienyejikama vile managu na matunda kama vile nyanya, maembe na mengineyo zinapokuzwa na kuuziwa watu nchini na pia nje ya nchi. Jambo hili huchangia kwa uimarishaji wa uchumi.
Kilimo pia imeweza kuleta kujiajiri miongoni mwa vijana ambapo bidhaa zao za kilimo wanapozipanda na kisha zinapokuwa tayari zinauziwa watu mbalimbali katika vijiji na pia sokoni hivyo kuwanufaisha vijana na pia nchi kwa ukubwa.
Ukulima wa miwa ambayo inapandwa katika sehemu mbalimbali nchini kwa mfano Mumias, Nzoia zinachangia utengenezaji wa sukari ambayo inauzwa nchini kwa asilimia kubwa sana na pia kusafirishwa na kuuziwa pia kwa nchi jirani inachangia kuimarisha uchumi wa nchi kwa asilimia kubwa sana.
Kwa kweli kilimo ina manufaa mingi katika jamii na nchio kwa jumla hivyo basi kila mkenya aweze kujitambua umuhimu wake na pia wawajibike katika kufanya kilimo ili kuimarisha uchumi wa nchi yetu ya Kenya kwa asilimia kubwa sana.
| Ni aina ngapi ya mboga iliyotajwa | {
"text": [
"Tatu"
]
} |
3298_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo imeweza kuchangia sana katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya kwa sababu kilimo imechangia pakubwa sana katika ukuaji wa nchi hii. Kilimo pia imeweza kuwekwa kama somo amabayo wanafunzi wanafunzwa ilinwaweze kujua umuhimu wake katika jamii na nchi yote kwa ujumla.
Kuna njia mingi sana ambayo kilimo imeimarisha uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana. Humu nchini shughuli nyingi za kilimo zimechangia kuimarisha uchumi wa taifa kama vile upanzi wa maua katika sehemu mbalimbali nchini; mfano Nakuru, ambapo kilimo ya maua imeinua uchumi wakati yanauzwa kwa nchi zingine.
Majani chai ambayo inapandwa nchini kule Kericho imeweza kuimarisha uchumi kwa sababu majani hii inapotengenezwa kisha kuuzwa katika sehemu mbalimbali nchini na pia nje ya taifa letula Kenya. Inachangia pakubwa katika kuimarisha uchumi wa Kenya na kukua kwa nchi. Majani chai hii inauzwa mikahawani, madukani na hata sokoni.
Upanadaji wa mboga tofauti tofauti shambani kwa mfano kabeji, sukumawiki, mboga za kienyejikama vile managu na matunda kama vile nyanya, maembe na mengineyo zinapokuzwa na kuuziwa watu nchini na pia nje ya nchi. Jambo hili huchangia kwa uimarishaji wa uchumi.
Kilimo pia imeweza kuleta kujiajiri miongoni mwa vijana ambapo bidhaa zao za kilimo wanapozipanda na kisha zinapokuwa tayari zinauziwa watu mbalimbali katika vijiji na pia sokoni hivyo kuwanufaisha vijana na pia nchi kwa ukubwa.
Ukulima wa miwa ambayo inapandwa katika sehemu mbalimbali nchini kwa mfano Mumias, Nzoia zinachangia utengenezaji wa sukari ambayo inauzwa nchini kwa asilimia kubwa sana na pia kusafirishwa na kuuziwa pia kwa nchi jirani inachangia kuimarisha uchumi wa nchi kwa asilimia kubwa sana.
Kwa kweli kilimo ina manufaa mingi katika jamii na nchio kwa jumla hivyo basi kila mkenya aweze kujitambua umuhimu wake na pia wawajibike katika kufanya kilimo ili kuimarisha uchumi wa nchi yetu ya Kenya kwa asilimia kubwa sana.
| Kwa nini matunda huuzwa nje ya nchi | {
"text": [
"Ni njia mojawapo ya kuimarisha uchumi wa nchi"
]
} |
3298_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo imeweza kuchangia sana katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya kwa sababu kilimo imechangia pakubwa sana katika ukuaji wa nchi hii. Kilimo pia imeweza kuwekwa kama somo amabayo wanafunzi wanafunzwa ilinwaweze kujua umuhimu wake katika jamii na nchi yote kwa ujumla.
Kuna njia mingi sana ambayo kilimo imeimarisha uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana. Humu nchini shughuli nyingi za kilimo zimechangia kuimarisha uchumi wa taifa kama vile upanzi wa maua katika sehemu mbalimbali nchini; mfano Nakuru, ambapo kilimo ya maua imeinua uchumi wakati yanauzwa kwa nchi zingine.
Majani chai ambayo inapandwa nchini kule Kericho imeweza kuimarisha uchumi kwa sababu majani hii inapotengenezwa kisha kuuzwa katika sehemu mbalimbali nchini na pia nje ya taifa letula Kenya. Inachangia pakubwa katika kuimarisha uchumi wa Kenya na kukua kwa nchi. Majani chai hii inauzwa mikahawani, madukani na hata sokoni.
Upanadaji wa mboga tofauti tofauti shambani kwa mfano kabeji, sukumawiki, mboga za kienyejikama vile managu na matunda kama vile nyanya, maembe na mengineyo zinapokuzwa na kuuziwa watu nchini na pia nje ya nchi. Jambo hili huchangia kwa uimarishaji wa uchumi.
Kilimo pia imeweza kuleta kujiajiri miongoni mwa vijana ambapo bidhaa zao za kilimo wanapozipanda na kisha zinapokuwa tayari zinauziwa watu mbalimbali katika vijiji na pia sokoni hivyo kuwanufaisha vijana na pia nchi kwa ukubwa.
Ukulima wa miwa ambayo inapandwa katika sehemu mbalimbali nchini kwa mfano Mumias, Nzoia zinachangia utengenezaji wa sukari ambayo inauzwa nchini kwa asilimia kubwa sana na pia kusafirishwa na kuuziwa pia kwa nchi jirani inachangia kuimarisha uchumi wa nchi kwa asilimia kubwa sana.
Kwa kweli kilimo ina manufaa mingi katika jamii na nchio kwa jumla hivyo basi kila mkenya aweze kujitambua umuhimu wake na pia wawajibike katika kufanya kilimo ili kuimarisha uchumi wa nchi yetu ya Kenya kwa asilimia kubwa sana.
| Kando na uchumi kilimo pia kimeleta nini | {
"text": [
"Ajira kwa wengi"
]
} |
3298_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA
Kilimo imeweza kuchangia sana katika uimarishaji wa uchumi wa Kenya kwa sababu kilimo imechangia pakubwa sana katika ukuaji wa nchi hii. Kilimo pia imeweza kuwekwa kama somo amabayo wanafunzi wanafunzwa ilinwaweze kujua umuhimu wake katika jamii na nchi yote kwa ujumla.
Kuna njia mingi sana ambayo kilimo imeimarisha uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana. Humu nchini shughuli nyingi za kilimo zimechangia kuimarisha uchumi wa taifa kama vile upanzi wa maua katika sehemu mbalimbali nchini; mfano Nakuru, ambapo kilimo ya maua imeinua uchumi wakati yanauzwa kwa nchi zingine.
Majani chai ambayo inapandwa nchini kule Kericho imeweza kuimarisha uchumi kwa sababu majani hii inapotengenezwa kisha kuuzwa katika sehemu mbalimbali nchini na pia nje ya taifa letula Kenya. Inachangia pakubwa katika kuimarisha uchumi wa Kenya na kukua kwa nchi. Majani chai hii inauzwa mikahawani, madukani na hata sokoni.
Upanadaji wa mboga tofauti tofauti shambani kwa mfano kabeji, sukumawiki, mboga za kienyejikama vile managu na matunda kama vile nyanya, maembe na mengineyo zinapokuzwa na kuuziwa watu nchini na pia nje ya nchi. Jambo hili huchangia kwa uimarishaji wa uchumi.
Kilimo pia imeweza kuleta kujiajiri miongoni mwa vijana ambapo bidhaa zao za kilimo wanapozipanda na kisha zinapokuwa tayari zinauziwa watu mbalimbali katika vijiji na pia sokoni hivyo kuwanufaisha vijana na pia nchi kwa ukubwa.
Ukulima wa miwa ambayo inapandwa katika sehemu mbalimbali nchini kwa mfano Mumias, Nzoia zinachangia utengenezaji wa sukari ambayo inauzwa nchini kwa asilimia kubwa sana na pia kusafirishwa na kuuziwa pia kwa nchi jirani inachangia kuimarisha uchumi wa nchi kwa asilimia kubwa sana.
Kwa kweli kilimo ina manufaa mingi katika jamii na nchio kwa jumla hivyo basi kila mkenya aweze kujitambua umuhimu wake na pia wawajibike katika kufanya kilimo ili kuimarisha uchumi wa nchi yetu ya Kenya kwa asilimia kubwa sana.
| Kila mkenya amehimizwa nini | {
"text": [
"Kuwajibika katika kilimo kukuza uchumi wa nchi"
]
} |
3300_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo ni njia ya mtu kujihusisha katika kazi ya kujifurahisha ili kupitisha muda. Kwa mfano kandanda , riadha na kadhalika.
Serikali ya Kenya ikiongozwa na Rais imechukua hatua mbalimbali ili kuimarisha michezo. Kwa mfano, kuwafadhili wachezaji wanaposhiriki katika mashindano ya kimataifa.
Serikali kupitia rais imeteua wizara ya michezo ili iweze kutatua shida zinazokumba sekta ya michezo.
Serikali kupitia wizara ya michezo imeanza michuano ili kukuza talanta ya wachezaji.
Serikali inajenga uwanja wa michezo kama alivyofanya rais Moi alipotengeneza uwanja wa Kasarani.
Kupitia wizara ya michezo kuna ukuaji wa kampuni kama vile kampuni ya kutengeneza majezi ambazo wachezaji hutumia katika michezo yao.
Kupitia wizara ya michezo, kuna ukuaji wa wizara zingine kama wizara ya kitamaduni ambapo watu huonyesha tamaduni zao kwenye jukwani.
Kupitia wizara ya michezo, imeimarisha ukuaji na utunzaji wa vyombo vya safari kama vile barabara, reli na hata kupitia usafirishaji wa maji.
Wizara ya michezo imewzeshauletaji wa bidhaa nchini na hata pesa za kitalii; kama vile wachezaji wanachezea nchi za ulaya.
Wizara ya michezo imewezesha kukua kwa sifa ya nchi ya Kenya kama vile Eliud Kipchoge aliyevunja rekodi dunia nzima.
Ukuzaji wa miondo msingi kama vile uchimbaji visima ili kuimarisha maji safi nchini na hata chakula.
Michezo imeimarisha uombaji wa jinsi mtu anavyoishi na matendo ambayo ni mema kama vile kujenga barabara kupitia ujuzi na ng’ambo.
Kupitia michezo kuna ukuaji wa shule za kukuza talanta na hivyo kueneza ujuzi.
Kupitia wizara ya michezo imeimarisha ukuzaji amani kama vile michuano kati ya bara la Afrika. | Serikali ya Kenya imechukua hatua kuimarisha nini | {
"text": [
"michezo"
]
} |
3300_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo ni njia ya mtu kujihusisha katika kazi ya kujifurahisha ili kupitisha muda. Kwa mfano kandanda , riadha na kadhalika.
Serikali ya Kenya ikiongozwa na Rais imechukua hatua mbalimbali ili kuimarisha michezo. Kwa mfano, kuwafadhili wachezaji wanaposhiriki katika mashindano ya kimataifa.
Serikali kupitia rais imeteua wizara ya michezo ili iweze kutatua shida zinazokumba sekta ya michezo.
Serikali kupitia wizara ya michezo imeanza michuano ili kukuza talanta ya wachezaji.
Serikali inajenga uwanja wa michezo kama alivyofanya rais Moi alipotengeneza uwanja wa Kasarani.
Kupitia wizara ya michezo kuna ukuaji wa kampuni kama vile kampuni ya kutengeneza majezi ambazo wachezaji hutumia katika michezo yao.
Kupitia wizara ya michezo, kuna ukuaji wa wizara zingine kama wizara ya kitamaduni ambapo watu huonyesha tamaduni zao kwenye jukwani.
Kupitia wizara ya michezo, imeimarisha ukuaji na utunzaji wa vyombo vya safari kama vile barabara, reli na hata kupitia usafirishaji wa maji.
Wizara ya michezo imewzeshauletaji wa bidhaa nchini na hata pesa za kitalii; kama vile wachezaji wanachezea nchi za ulaya.
Wizara ya michezo imewezesha kukua kwa sifa ya nchi ya Kenya kama vile Eliud Kipchoge aliyevunja rekodi dunia nzima.
Ukuzaji wa miondo msingi kama vile uchimbaji visima ili kuimarisha maji safi nchini na hata chakula.
Michezo imeimarisha uombaji wa jinsi mtu anavyoishi na matendo ambayo ni mema kama vile kujenga barabara kupitia ujuzi na ng’ambo.
Kupitia michezo kuna ukuaji wa shule za kukuza talanta na hivyo kueneza ujuzi.
Kupitia wizara ya michezo imeimarisha ukuzaji amani kama vile michuano kati ya bara la Afrika. | Serikali kupitia katika wizara ya michezo imeanzisha nini | {
"text": [
"michuano"
]
} |
3300_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo ni njia ya mtu kujihusisha katika kazi ya kujifurahisha ili kupitisha muda. Kwa mfano kandanda , riadha na kadhalika.
Serikali ya Kenya ikiongozwa na Rais imechukua hatua mbalimbali ili kuimarisha michezo. Kwa mfano, kuwafadhili wachezaji wanaposhiriki katika mashindano ya kimataifa.
Serikali kupitia rais imeteua wizara ya michezo ili iweze kutatua shida zinazokumba sekta ya michezo.
Serikali kupitia wizara ya michezo imeanza michuano ili kukuza talanta ya wachezaji.
Serikali inajenga uwanja wa michezo kama alivyofanya rais Moi alipotengeneza uwanja wa Kasarani.
Kupitia wizara ya michezo kuna ukuaji wa kampuni kama vile kampuni ya kutengeneza majezi ambazo wachezaji hutumia katika michezo yao.
Kupitia wizara ya michezo, kuna ukuaji wa wizara zingine kama wizara ya kitamaduni ambapo watu huonyesha tamaduni zao kwenye jukwani.
Kupitia wizara ya michezo, imeimarisha ukuaji na utunzaji wa vyombo vya safari kama vile barabara, reli na hata kupitia usafirishaji wa maji.
Wizara ya michezo imewzeshauletaji wa bidhaa nchini na hata pesa za kitalii; kama vile wachezaji wanachezea nchi za ulaya.
Wizara ya michezo imewezesha kukua kwa sifa ya nchi ya Kenya kama vile Eliud Kipchoge aliyevunja rekodi dunia nzima.
Ukuzaji wa miondo msingi kama vile uchimbaji visima ili kuimarisha maji safi nchini na hata chakula.
Michezo imeimarisha uombaji wa jinsi mtu anavyoishi na matendo ambayo ni mema kama vile kujenga barabara kupitia ujuzi na ng’ambo.
Kupitia michezo kuna ukuaji wa shule za kukuza talanta na hivyo kueneza ujuzi.
Kupitia wizara ya michezo imeimarisha ukuzaji amani kama vile michuano kati ya bara la Afrika. | Nani alikuwa anajenga nyuga za michezo | {
"text": [
"Rais Moi"
]
} |
3300_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo ni njia ya mtu kujihusisha katika kazi ya kujifurahisha ili kupitisha muda. Kwa mfano kandanda , riadha na kadhalika.
Serikali ya Kenya ikiongozwa na Rais imechukua hatua mbalimbali ili kuimarisha michezo. Kwa mfano, kuwafadhili wachezaji wanaposhiriki katika mashindano ya kimataifa.
Serikali kupitia rais imeteua wizara ya michezo ili iweze kutatua shida zinazokumba sekta ya michezo.
Serikali kupitia wizara ya michezo imeanza michuano ili kukuza talanta ya wachezaji.
Serikali inajenga uwanja wa michezo kama alivyofanya rais Moi alipotengeneza uwanja wa Kasarani.
Kupitia wizara ya michezo kuna ukuaji wa kampuni kama vile kampuni ya kutengeneza majezi ambazo wachezaji hutumia katika michezo yao.
Kupitia wizara ya michezo, kuna ukuaji wa wizara zingine kama wizara ya kitamaduni ambapo watu huonyesha tamaduni zao kwenye jukwani.
Kupitia wizara ya michezo, imeimarisha ukuaji na utunzaji wa vyombo vya safari kama vile barabara, reli na hata kupitia usafirishaji wa maji.
Wizara ya michezo imewzeshauletaji wa bidhaa nchini na hata pesa za kitalii; kama vile wachezaji wanachezea nchi za ulaya.
Wizara ya michezo imewezesha kukua kwa sifa ya nchi ya Kenya kama vile Eliud Kipchoge aliyevunja rekodi dunia nzima.
Ukuzaji wa miondo msingi kama vile uchimbaji visima ili kuimarisha maji safi nchini na hata chakula.
Michezo imeimarisha uombaji wa jinsi mtu anavyoishi na matendo ambayo ni mema kama vile kujenga barabara kupitia ujuzi na ng’ambo.
Kupitia michezo kuna ukuaji wa shule za kukuza talanta na hivyo kueneza ujuzi.
Kupitia wizara ya michezo imeimarisha ukuzaji amani kama vile michuano kati ya bara la Afrika. | Barabara zinajengwa kupitia ujuzi wa wapi | {
"text": [
"ng'ambo"
]
} |
3300_swa | UIMARISHAJI WA MICHEZO KATIKA NCHI YA KENYA
Michezo ni njia ya mtu kujihusisha katika kazi ya kujifurahisha ili kupitisha muda. Kwa mfano kandanda , riadha na kadhalika.
Serikali ya Kenya ikiongozwa na Rais imechukua hatua mbalimbali ili kuimarisha michezo. Kwa mfano, kuwafadhili wachezaji wanaposhiriki katika mashindano ya kimataifa.
Serikali kupitia rais imeteua wizara ya michezo ili iweze kutatua shida zinazokumba sekta ya michezo.
Serikali kupitia wizara ya michezo imeanza michuano ili kukuza talanta ya wachezaji.
Serikali inajenga uwanja wa michezo kama alivyofanya rais Moi alipotengeneza uwanja wa Kasarani.
Kupitia wizara ya michezo kuna ukuaji wa kampuni kama vile kampuni ya kutengeneza majezi ambazo wachezaji hutumia katika michezo yao.
Kupitia wizara ya michezo, kuna ukuaji wa wizara zingine kama wizara ya kitamaduni ambapo watu huonyesha tamaduni zao kwenye jukwani.
Kupitia wizara ya michezo, imeimarisha ukuaji na utunzaji wa vyombo vya safari kama vile barabara, reli na hata kupitia usafirishaji wa maji.
Wizara ya michezo imewzeshauletaji wa bidhaa nchini na hata pesa za kitalii; kama vile wachezaji wanachezea nchi za ulaya.
Wizara ya michezo imewezesha kukua kwa sifa ya nchi ya Kenya kama vile Eliud Kipchoge aliyevunja rekodi dunia nzima.
Ukuzaji wa miondo msingi kama vile uchimbaji visima ili kuimarisha maji safi nchini na hata chakula.
Michezo imeimarisha uombaji wa jinsi mtu anavyoishi na matendo ambayo ni mema kama vile kujenga barabara kupitia ujuzi na ng’ambo.
Kupitia michezo kuna ukuaji wa shule za kukuza talanta na hivyo kueneza ujuzi.
Kupitia wizara ya michezo imeimarisha ukuzaji amani kama vile michuano kati ya bara la Afrika. | Mbona serikali imeanzisha michuano | {
"text": [
"Ili kukuza talanta ya wachezaji"
]
} |
3301_swa | MADHARA YA SIASA NCHINI
Siasa ni mojawapo ya chombo unaotumiwa na viongozi kama njia ya kuwasilisha na kueleza hisia zao. Kadri muda unavyozidi kusonga ndivyo siasa inavyozidi kutumiwa vibaya na kuharibiwa badala ya kutumiwa kwa njia iliyokusudiwa. Hili limechangia kuwepo kwa matokeo hasi nchini kama vile viongozi kueneza propaganda, vita na mambo zinginezo ambazo hazijaweza kudhibitiwa
Mojawapo ya athari hizi ni kuwa imechangia kwa ongezeko la vita ambayo hutokana na mawazo potovu ambayo viongozi hutia akilini mwa wananchi. Pia viongozi huwanunua vijana ambao hutumiwa kuzua vurugu na ghasia katika mikutano ya wapinzani wao. Hili limechangia kwa ongezeko la vifo na kueneza hofu miongini mwa wananchi.
Kuongezea, siasa imesababisha kuwepo kwa utengano. Hili linaonekana kwa vile wananchi wanjitenga kwa njia tofauti kama vile kikabila ambapo watu wa kabila moja wanajitenga na kabila lingine jambo ambalo linaeneza chuki. Pia wananchi wanajitenga kulingana na kitabaka. Wananchi wa tabaka la juu wanataka kutangamana na wenzao wa tabaka la juu pekee.
Zaidi ya hayo siasa imechangia kuongezeka kwa migomo na maandamano ambayo huchngia kuongezeka kwa vifo na uharibifu wa mali. Hili limekuwa na pigo kubwa kwa sekta ya fedha ya nchi. Pia limechangia kuongezeka kwa ukosefu wa nafasi za kazi nchini. Hii ni kwa sababu ya hofu miongoni mwa wanachi.
Aghalabu , siasa zimeweza kuharibu elimu. Wanafunzi wanaotaka kujiendeleza kimasomo wanakosa njia hii kwa sababu wengi wa wanafunzi hawa wanakuja wanakosa karo za kusomea nchi zingine jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa watu wasio na kisomo nchini. Hili linawaathiri maishani kwa vile wanakosa kazi.
Pia, siasa imechangia kuharibika kwa mshikamano wa nchi yetu na nchi zingine. Hivyo basi nchi yetu inakosa kupata msaada kutoka nchi zingine. | Siasa hutumiwa na viongozi kueleza nini | {
"text": [
"hisia zao"
]
} |
3301_swa | MADHARA YA SIASA NCHINI
Siasa ni mojawapo ya chombo unaotumiwa na viongozi kama njia ya kuwasilisha na kueleza hisia zao. Kadri muda unavyozidi kusonga ndivyo siasa inavyozidi kutumiwa vibaya na kuharibiwa badala ya kutumiwa kwa njia iliyokusudiwa. Hili limechangia kuwepo kwa matokeo hasi nchini kama vile viongozi kueneza propaganda, vita na mambo zinginezo ambazo hazijaweza kudhibitiwa
Mojawapo ya athari hizi ni kuwa imechangia kwa ongezeko la vita ambayo hutokana na mawazo potovu ambayo viongozi hutia akilini mwa wananchi. Pia viongozi huwanunua vijana ambao hutumiwa kuzua vurugu na ghasia katika mikutano ya wapinzani wao. Hili limechangia kwa ongezeko la vifo na kueneza hofu miongini mwa wananchi.
Kuongezea, siasa imesababisha kuwepo kwa utengano. Hili linaonekana kwa vile wananchi wanjitenga kwa njia tofauti kama vile kikabila ambapo watu wa kabila moja wanajitenga na kabila lingine jambo ambalo linaeneza chuki. Pia wananchi wanajitenga kulingana na kitabaka. Wananchi wa tabaka la juu wanataka kutangamana na wenzao wa tabaka la juu pekee.
Zaidi ya hayo siasa imechangia kuongezeka kwa migomo na maandamano ambayo huchngia kuongezeka kwa vifo na uharibifu wa mali. Hili limekuwa na pigo kubwa kwa sekta ya fedha ya nchi. Pia limechangia kuongezeka kwa ukosefu wa nafasi za kazi nchini. Hii ni kwa sababu ya hofu miongoni mwa wanachi.
Aghalabu , siasa zimeweza kuharibu elimu. Wanafunzi wanaotaka kujiendeleza kimasomo wanakosa njia hii kwa sababu wengi wa wanafunzi hawa wanakuja wanakosa karo za kusomea nchi zingine jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa watu wasio na kisomo nchini. Hili linawaathiri maishani kwa vile wanakosa kazi.
Pia, siasa imechangia kuharibika kwa mshikamano wa nchi yetu na nchi zingine. Hivyo basi nchi yetu inakosa kupata msaada kutoka nchi zingine. | Siasa ikitumiwa vibaya huleta matokeo hasi wapi | {
"text": [
"nchini"
]
} |
3301_swa | MADHARA YA SIASA NCHINI
Siasa ni mojawapo ya chombo unaotumiwa na viongozi kama njia ya kuwasilisha na kueleza hisia zao. Kadri muda unavyozidi kusonga ndivyo siasa inavyozidi kutumiwa vibaya na kuharibiwa badala ya kutumiwa kwa njia iliyokusudiwa. Hili limechangia kuwepo kwa matokeo hasi nchini kama vile viongozi kueneza propaganda, vita na mambo zinginezo ambazo hazijaweza kudhibitiwa
Mojawapo ya athari hizi ni kuwa imechangia kwa ongezeko la vita ambayo hutokana na mawazo potovu ambayo viongozi hutia akilini mwa wananchi. Pia viongozi huwanunua vijana ambao hutumiwa kuzua vurugu na ghasia katika mikutano ya wapinzani wao. Hili limechangia kwa ongezeko la vifo na kueneza hofu miongini mwa wananchi.
Kuongezea, siasa imesababisha kuwepo kwa utengano. Hili linaonekana kwa vile wananchi wanjitenga kwa njia tofauti kama vile kikabila ambapo watu wa kabila moja wanajitenga na kabila lingine jambo ambalo linaeneza chuki. Pia wananchi wanajitenga kulingana na kitabaka. Wananchi wa tabaka la juu wanataka kutangamana na wenzao wa tabaka la juu pekee.
Zaidi ya hayo siasa imechangia kuongezeka kwa migomo na maandamano ambayo huchngia kuongezeka kwa vifo na uharibifu wa mali. Hili limekuwa na pigo kubwa kwa sekta ya fedha ya nchi. Pia limechangia kuongezeka kwa ukosefu wa nafasi za kazi nchini. Hii ni kwa sababu ya hofu miongoni mwa wanachi.
Aghalabu , siasa zimeweza kuharibu elimu. Wanafunzi wanaotaka kujiendeleza kimasomo wanakosa njia hii kwa sababu wengi wa wanafunzi hawa wanakuja wanakosa karo za kusomea nchi zingine jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa watu wasio na kisomo nchini. Hili linawaathiri maishani kwa vile wanakosa kazi.
Pia, siasa imechangia kuharibika kwa mshikamano wa nchi yetu na nchi zingine. Hivyo basi nchi yetu inakosa kupata msaada kutoka nchi zingine. | Nani hutumiwa kuzua vurugu | {
"text": [
"vijana"
]
} |
3301_swa | MADHARA YA SIASA NCHINI
Siasa ni mojawapo ya chombo unaotumiwa na viongozi kama njia ya kuwasilisha na kueleza hisia zao. Kadri muda unavyozidi kusonga ndivyo siasa inavyozidi kutumiwa vibaya na kuharibiwa badala ya kutumiwa kwa njia iliyokusudiwa. Hili limechangia kuwepo kwa matokeo hasi nchini kama vile viongozi kueneza propaganda, vita na mambo zinginezo ambazo hazijaweza kudhibitiwa
Mojawapo ya athari hizi ni kuwa imechangia kwa ongezeko la vita ambayo hutokana na mawazo potovu ambayo viongozi hutia akilini mwa wananchi. Pia viongozi huwanunua vijana ambao hutumiwa kuzua vurugu na ghasia katika mikutano ya wapinzani wao. Hili limechangia kwa ongezeko la vifo na kueneza hofu miongini mwa wananchi.
Kuongezea, siasa imesababisha kuwepo kwa utengano. Hili linaonekana kwa vile wananchi wanjitenga kwa njia tofauti kama vile kikabila ambapo watu wa kabila moja wanajitenga na kabila lingine jambo ambalo linaeneza chuki. Pia wananchi wanajitenga kulingana na kitabaka. Wananchi wa tabaka la juu wanataka kutangamana na wenzao wa tabaka la juu pekee.
Zaidi ya hayo siasa imechangia kuongezeka kwa migomo na maandamano ambayo huchngia kuongezeka kwa vifo na uharibifu wa mali. Hili limekuwa na pigo kubwa kwa sekta ya fedha ya nchi. Pia limechangia kuongezeka kwa ukosefu wa nafasi za kazi nchini. Hii ni kwa sababu ya hofu miongoni mwa wanachi.
Aghalabu , siasa zimeweza kuharibu elimu. Wanafunzi wanaotaka kujiendeleza kimasomo wanakosa njia hii kwa sababu wengi wa wanafunzi hawa wanakuja wanakosa karo za kusomea nchi zingine jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa watu wasio na kisomo nchini. Hili linawaathiri maishani kwa vile wanakosa kazi.
Pia, siasa imechangia kuharibika kwa mshikamano wa nchi yetu na nchi zingine. Hivyo basi nchi yetu inakosa kupata msaada kutoka nchi zingine. | Migomo imekuwa na pigo kwa sekta gani nchini | {
"text": [
"ya fedha"
]
} |
3301_swa | MADHARA YA SIASA NCHINI
Siasa ni mojawapo ya chombo unaotumiwa na viongozi kama njia ya kuwasilisha na kueleza hisia zao. Kadri muda unavyozidi kusonga ndivyo siasa inavyozidi kutumiwa vibaya na kuharibiwa badala ya kutumiwa kwa njia iliyokusudiwa. Hili limechangia kuwepo kwa matokeo hasi nchini kama vile viongozi kueneza propaganda, vita na mambo zinginezo ambazo hazijaweza kudhibitiwa
Mojawapo ya athari hizi ni kuwa imechangia kwa ongezeko la vita ambayo hutokana na mawazo potovu ambayo viongozi hutia akilini mwa wananchi. Pia viongozi huwanunua vijana ambao hutumiwa kuzua vurugu na ghasia katika mikutano ya wapinzani wao. Hili limechangia kwa ongezeko la vifo na kueneza hofu miongini mwa wananchi.
Kuongezea, siasa imesababisha kuwepo kwa utengano. Hili linaonekana kwa vile wananchi wanjitenga kwa njia tofauti kama vile kikabila ambapo watu wa kabila moja wanajitenga na kabila lingine jambo ambalo linaeneza chuki. Pia wananchi wanajitenga kulingana na kitabaka. Wananchi wa tabaka la juu wanataka kutangamana na wenzao wa tabaka la juu pekee.
Zaidi ya hayo siasa imechangia kuongezeka kwa migomo na maandamano ambayo huchngia kuongezeka kwa vifo na uharibifu wa mali. Hili limekuwa na pigo kubwa kwa sekta ya fedha ya nchi. Pia limechangia kuongezeka kwa ukosefu wa nafasi za kazi nchini. Hii ni kwa sababu ya hofu miongoni mwa wanachi.
Aghalabu , siasa zimeweza kuharibu elimu. Wanafunzi wanaotaka kujiendeleza kimasomo wanakosa njia hii kwa sababu wengi wa wanafunzi hawa wanakuja wanakosa karo za kusomea nchi zingine jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa watu wasio na kisomo nchini. Hili linawaathiri maishani kwa vile wanakosa kazi.
Pia, siasa imechangia kuharibika kwa mshikamano wa nchi yetu na nchi zingine. Hivyo basi nchi yetu inakosa kupata msaada kutoka nchi zingine. | Mbona nchi yetu inakosa kupata misaada | {
"text": [
"kuharibika kwa mshikamano wa nchi yetu na nchi zingine"
]
} |
3302_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI
Siasa ni mojawapo ya gezo kuu la nchi inayoathiri ukuaji au kudidimia kwa nchi kiuchumi na kimaendeleo. Siasa za migawanyiko inatuathiri sana kama nchi na kulemaza ukuaji na ufanisi wa nchi yetu. Siasa kwa ujumla inatugusa katika kila nyenzo. Hakuna mahali popote nchini ambapo siasa hazijafika na kutekeleza athari zake.
Kwanza, siasa za migawanyiko zimetuathiri mno kwa kukuza chuki na uadui miongoni mwetu. Wanasiasa ambao huwania kutuongoza ndio mstari mbele katika kutugawanya. Tunapata wanasiasa wengine wanahamasisha wananchi kumpigia kura mtu fulani tuseme kwa sababu ya jinsia au chuki aliyonayo kwa wenzake. Chuki inapojengwa hukuza uadui miongoni mwao. Uadui huu unaweza zushia kutoelewana na kuzua vita. Watu wanapopigana kwa sababu ya kugawanywa na wanasiasa hujiumiza wao wenyewe kwa wenyewe.
Pili, siasa za mgawanyiko zimefanya maendeleo nchini kulemaa. Hii ni kwa kuwa viongozi wanapochaguliwa huwagawa watu wake na kuamua kuwasaidia wao pekeyao. Hii hufanya watu kuchukia kiongozi yule kwa vile hawasaidii kimaendeleo . Waliogawanywa pale huwa wanakabiliwa na lindi la umaskini. Umaskini vilevile huathiri nchi yetu mno kwa vile hupunguza uwezo wa nchi kujitegemea na pia hukuza kuwepo kwa aina tofauti tofauti ya matabaka.
Tatu, siasa za mgawanyiko imeathiri amani ya nchi na pia kuifanya mahali pasikuze biashara na uwezo wa mwananchi kuishi vyema kwa amani na upendo. Migawanyiko hufanya watu kadhaa wenye nchi kujiunga au kuyaunda makundi ya kuwavamia na kuwavuruga wananchi. Makundi haya huvamia wananchi wazalendo ma kuvuruga amani yao. Wao huenda na kuvamia basi na kuwaua watu,kuvamia hoteli na viwanda vikubwa vya kufanyia biashara. Jambo hili husababisha uharibifu wa mali. Wanapofanya hivi, waekaji hazina kutoka ng’ambo huhofia kuwekeza katika nchi yetu kwa hofu ya kuvamiwa na vitu vyao kuharibiwa.
Siasa za migawanyiko inafaa ipingwe mara moja kwa vile pia inafanya nchi yetu isiwe na umoja. Wanasiasa wanapogawa wananchi katika tabaka ,kabila, jinsia na hata rangi hutawanya umoja wa nchi. Nchi inapokosa amani kwa sababu ya kugawanywa kwa ajili ya siasa huleta vita. Vita bila shaka inapotokea wananchi huathirika sana. Watu huweza kuumiza wenzao na hata kuwaua wenzao. Wanaoumizwa wanaweza baki vilema na kufanya kutegemea wachache walio vyema.
Migawanyiko ya siasa inayofanya watu kuuwana ni hatari mno. Hii hupunguza idadi ya wananchi kwa ujumla. Wananchi wanauliwa na basi kupungua kwa idadi ya wananchi, na kisha kupunguka kwa maendeleo ya nchi. Wachache waliobaki hubaki kwa maumivu na simanzi. Hii ni kwa sababu pengine wapendwa wao wameangamizwa kwa vita zilizotokea.
Siasa za mgawanyiko pia hukuza uongozi mbaya wa nchi. Nchi inapoongozwa vibaya huwaumiza wananchi vibaya. Mfano ni kuwa kama kiongozi yule hawapendi watu wenye mahali fulani kwa kuwa vile walimtenga ai aliwatenga kisiasa anaweza lipiza kisasi. Anaweza kosa kuendeleza maendeleo katika eneo hilo au pia awanyime watu wenye eneo hilo kazi. Hii ni athari kubwa kwa nchi kwa kuwa inwaeza zushia vurugu katika eneo hilo.
Siasa za mgawanyiko zinaweza pia kuifanya nchi kumchagua kiongozi asiyefaa. Kiongozi huyu anaweza tumia rasilimali ya nchi vibaya ili ajinufaishe yeye mwenyewe. Anaweza pia wanyima wananchi haki zao. Ama kweli siasa za mgawanyiko zina athari kubwa nchini na zinafaa kukashifiwa kwa ukali na umoja.
| Nini huathiri ukuaji au kudidimia kwa nchi | {
"text": [
"siasa"
]
} |
3302_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI
Siasa ni mojawapo ya gezo kuu la nchi inayoathiri ukuaji au kudidimia kwa nchi kiuchumi na kimaendeleo. Siasa za migawanyiko inatuathiri sana kama nchi na kulemaza ukuaji na ufanisi wa nchi yetu. Siasa kwa ujumla inatugusa katika kila nyenzo. Hakuna mahali popote nchini ambapo siasa hazijafika na kutekeleza athari zake.
Kwanza, siasa za migawanyiko zimetuathiri mno kwa kukuza chuki na uadui miongoni mwetu. Wanasiasa ambao huwania kutuongoza ndio mstari mbele katika kutugawanya. Tunapata wanasiasa wengine wanahamasisha wananchi kumpigia kura mtu fulani tuseme kwa sababu ya jinsia au chuki aliyonayo kwa wenzake. Chuki inapojengwa hukuza uadui miongoni mwao. Uadui huu unaweza zushia kutoelewana na kuzua vita. Watu wanapopigana kwa sababu ya kugawanywa na wanasiasa hujiumiza wao wenyewe kwa wenyewe.
Pili, siasa za mgawanyiko zimefanya maendeleo nchini kulemaa. Hii ni kwa kuwa viongozi wanapochaguliwa huwagawa watu wake na kuamua kuwasaidia wao pekeyao. Hii hufanya watu kuchukia kiongozi yule kwa vile hawasaidii kimaendeleo . Waliogawanywa pale huwa wanakabiliwa na lindi la umaskini. Umaskini vilevile huathiri nchi yetu mno kwa vile hupunguza uwezo wa nchi kujitegemea na pia hukuza kuwepo kwa aina tofauti tofauti ya matabaka.
Tatu, siasa za mgawanyiko imeathiri amani ya nchi na pia kuifanya mahali pasikuze biashara na uwezo wa mwananchi kuishi vyema kwa amani na upendo. Migawanyiko hufanya watu kadhaa wenye nchi kujiunga au kuyaunda makundi ya kuwavamia na kuwavuruga wananchi. Makundi haya huvamia wananchi wazalendo ma kuvuruga amani yao. Wao huenda na kuvamia basi na kuwaua watu,kuvamia hoteli na viwanda vikubwa vya kufanyia biashara. Jambo hili husababisha uharibifu wa mali. Wanapofanya hivi, waekaji hazina kutoka ng’ambo huhofia kuwekeza katika nchi yetu kwa hofu ya kuvamiwa na vitu vyao kuharibiwa.
Siasa za migawanyiko inafaa ipingwe mara moja kwa vile pia inafanya nchi yetu isiwe na umoja. Wanasiasa wanapogawa wananchi katika tabaka ,kabila, jinsia na hata rangi hutawanya umoja wa nchi. Nchi inapokosa amani kwa sababu ya kugawanywa kwa ajili ya siasa huleta vita. Vita bila shaka inapotokea wananchi huathirika sana. Watu huweza kuumiza wenzao na hata kuwaua wenzao. Wanaoumizwa wanaweza baki vilema na kufanya kutegemea wachache walio vyema.
Migawanyiko ya siasa inayofanya watu kuuwana ni hatari mno. Hii hupunguza idadi ya wananchi kwa ujumla. Wananchi wanauliwa na basi kupungua kwa idadi ya wananchi, na kisha kupunguka kwa maendeleo ya nchi. Wachache waliobaki hubaki kwa maumivu na simanzi. Hii ni kwa sababu pengine wapendwa wao wameangamizwa kwa vita zilizotokea.
Siasa za mgawanyiko pia hukuza uongozi mbaya wa nchi. Nchi inapoongozwa vibaya huwaumiza wananchi vibaya. Mfano ni kuwa kama kiongozi yule hawapendi watu wenye mahali fulani kwa kuwa vile walimtenga ai aliwatenga kisiasa anaweza lipiza kisasi. Anaweza kosa kuendeleza maendeleo katika eneo hilo au pia awanyime watu wenye eneo hilo kazi. Hii ni athari kubwa kwa nchi kwa kuwa inwaeza zushia vurugu katika eneo hilo.
Siasa za mgawanyiko zinaweza pia kuifanya nchi kumchagua kiongozi asiyefaa. Kiongozi huyu anaweza tumia rasilimali ya nchi vibaya ili ajinufaishe yeye mwenyewe. Anaweza pia wanyima wananchi haki zao. Ama kweli siasa za mgawanyiko zina athari kubwa nchini na zinafaa kukashifiwa kwa ukali na umoja.
| Nani huwa katika mstari mbele kutugawanya | {
"text": [
"wanasiasa"
]
} |
3302_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI
Siasa ni mojawapo ya gezo kuu la nchi inayoathiri ukuaji au kudidimia kwa nchi kiuchumi na kimaendeleo. Siasa za migawanyiko inatuathiri sana kama nchi na kulemaza ukuaji na ufanisi wa nchi yetu. Siasa kwa ujumla inatugusa katika kila nyenzo. Hakuna mahali popote nchini ambapo siasa hazijafika na kutekeleza athari zake.
Kwanza, siasa za migawanyiko zimetuathiri mno kwa kukuza chuki na uadui miongoni mwetu. Wanasiasa ambao huwania kutuongoza ndio mstari mbele katika kutugawanya. Tunapata wanasiasa wengine wanahamasisha wananchi kumpigia kura mtu fulani tuseme kwa sababu ya jinsia au chuki aliyonayo kwa wenzake. Chuki inapojengwa hukuza uadui miongoni mwao. Uadui huu unaweza zushia kutoelewana na kuzua vita. Watu wanapopigana kwa sababu ya kugawanywa na wanasiasa hujiumiza wao wenyewe kwa wenyewe.
Pili, siasa za mgawanyiko zimefanya maendeleo nchini kulemaa. Hii ni kwa kuwa viongozi wanapochaguliwa huwagawa watu wake na kuamua kuwasaidia wao pekeyao. Hii hufanya watu kuchukia kiongozi yule kwa vile hawasaidii kimaendeleo . Waliogawanywa pale huwa wanakabiliwa na lindi la umaskini. Umaskini vilevile huathiri nchi yetu mno kwa vile hupunguza uwezo wa nchi kujitegemea na pia hukuza kuwepo kwa aina tofauti tofauti ya matabaka.
Tatu, siasa za mgawanyiko imeathiri amani ya nchi na pia kuifanya mahali pasikuze biashara na uwezo wa mwananchi kuishi vyema kwa amani na upendo. Migawanyiko hufanya watu kadhaa wenye nchi kujiunga au kuyaunda makundi ya kuwavamia na kuwavuruga wananchi. Makundi haya huvamia wananchi wazalendo ma kuvuruga amani yao. Wao huenda na kuvamia basi na kuwaua watu,kuvamia hoteli na viwanda vikubwa vya kufanyia biashara. Jambo hili husababisha uharibifu wa mali. Wanapofanya hivi, waekaji hazina kutoka ng’ambo huhofia kuwekeza katika nchi yetu kwa hofu ya kuvamiwa na vitu vyao kuharibiwa.
Siasa za migawanyiko inafaa ipingwe mara moja kwa vile pia inafanya nchi yetu isiwe na umoja. Wanasiasa wanapogawa wananchi katika tabaka ,kabila, jinsia na hata rangi hutawanya umoja wa nchi. Nchi inapokosa amani kwa sababu ya kugawanywa kwa ajili ya siasa huleta vita. Vita bila shaka inapotokea wananchi huathirika sana. Watu huweza kuumiza wenzao na hata kuwaua wenzao. Wanaoumizwa wanaweza baki vilema na kufanya kutegemea wachache walio vyema.
Migawanyiko ya siasa inayofanya watu kuuwana ni hatari mno. Hii hupunguza idadi ya wananchi kwa ujumla. Wananchi wanauliwa na basi kupungua kwa idadi ya wananchi, na kisha kupunguka kwa maendeleo ya nchi. Wachache waliobaki hubaki kwa maumivu na simanzi. Hii ni kwa sababu pengine wapendwa wao wameangamizwa kwa vita zilizotokea.
Siasa za mgawanyiko pia hukuza uongozi mbaya wa nchi. Nchi inapoongozwa vibaya huwaumiza wananchi vibaya. Mfano ni kuwa kama kiongozi yule hawapendi watu wenye mahali fulani kwa kuwa vile walimtenga ai aliwatenga kisiasa anaweza lipiza kisasi. Anaweza kosa kuendeleza maendeleo katika eneo hilo au pia awanyime watu wenye eneo hilo kazi. Hii ni athari kubwa kwa nchi kwa kuwa inwaeza zushia vurugu katika eneo hilo.
Siasa za mgawanyiko zinaweza pia kuifanya nchi kumchagua kiongozi asiyefaa. Kiongozi huyu anaweza tumia rasilimali ya nchi vibaya ili ajinufaishe yeye mwenyewe. Anaweza pia wanyima wananchi haki zao. Ama kweli siasa za mgawanyiko zina athari kubwa nchini na zinafaa kukashifiwa kwa ukali na umoja.
| Siasa za mgawanyiko zimefanya maendeleo kulemaa wapi | {
"text": [
"nchini"
]
} |
3302_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI
Siasa ni mojawapo ya gezo kuu la nchi inayoathiri ukuaji au kudidimia kwa nchi kiuchumi na kimaendeleo. Siasa za migawanyiko inatuathiri sana kama nchi na kulemaza ukuaji na ufanisi wa nchi yetu. Siasa kwa ujumla inatugusa katika kila nyenzo. Hakuna mahali popote nchini ambapo siasa hazijafika na kutekeleza athari zake.
Kwanza, siasa za migawanyiko zimetuathiri mno kwa kukuza chuki na uadui miongoni mwetu. Wanasiasa ambao huwania kutuongoza ndio mstari mbele katika kutugawanya. Tunapata wanasiasa wengine wanahamasisha wananchi kumpigia kura mtu fulani tuseme kwa sababu ya jinsia au chuki aliyonayo kwa wenzake. Chuki inapojengwa hukuza uadui miongoni mwao. Uadui huu unaweza zushia kutoelewana na kuzua vita. Watu wanapopigana kwa sababu ya kugawanywa na wanasiasa hujiumiza wao wenyewe kwa wenyewe.
Pili, siasa za mgawanyiko zimefanya maendeleo nchini kulemaa. Hii ni kwa kuwa viongozi wanapochaguliwa huwagawa watu wake na kuamua kuwasaidia wao pekeyao. Hii hufanya watu kuchukia kiongozi yule kwa vile hawasaidii kimaendeleo . Waliogawanywa pale huwa wanakabiliwa na lindi la umaskini. Umaskini vilevile huathiri nchi yetu mno kwa vile hupunguza uwezo wa nchi kujitegemea na pia hukuza kuwepo kwa aina tofauti tofauti ya matabaka.
Tatu, siasa za mgawanyiko imeathiri amani ya nchi na pia kuifanya mahali pasikuze biashara na uwezo wa mwananchi kuishi vyema kwa amani na upendo. Migawanyiko hufanya watu kadhaa wenye nchi kujiunga au kuyaunda makundi ya kuwavamia na kuwavuruga wananchi. Makundi haya huvamia wananchi wazalendo ma kuvuruga amani yao. Wao huenda na kuvamia basi na kuwaua watu,kuvamia hoteli na viwanda vikubwa vya kufanyia biashara. Jambo hili husababisha uharibifu wa mali. Wanapofanya hivi, waekaji hazina kutoka ng’ambo huhofia kuwekeza katika nchi yetu kwa hofu ya kuvamiwa na vitu vyao kuharibiwa.
Siasa za migawanyiko inafaa ipingwe mara moja kwa vile pia inafanya nchi yetu isiwe na umoja. Wanasiasa wanapogawa wananchi katika tabaka ,kabila, jinsia na hata rangi hutawanya umoja wa nchi. Nchi inapokosa amani kwa sababu ya kugawanywa kwa ajili ya siasa huleta vita. Vita bila shaka inapotokea wananchi huathirika sana. Watu huweza kuumiza wenzao na hata kuwaua wenzao. Wanaoumizwa wanaweza baki vilema na kufanya kutegemea wachache walio vyema.
Migawanyiko ya siasa inayofanya watu kuuwana ni hatari mno. Hii hupunguza idadi ya wananchi kwa ujumla. Wananchi wanauliwa na basi kupungua kwa idadi ya wananchi, na kisha kupunguka kwa maendeleo ya nchi. Wachache waliobaki hubaki kwa maumivu na simanzi. Hii ni kwa sababu pengine wapendwa wao wameangamizwa kwa vita zilizotokea.
Siasa za mgawanyiko pia hukuza uongozi mbaya wa nchi. Nchi inapoongozwa vibaya huwaumiza wananchi vibaya. Mfano ni kuwa kama kiongozi yule hawapendi watu wenye mahali fulani kwa kuwa vile walimtenga ai aliwatenga kisiasa anaweza lipiza kisasi. Anaweza kosa kuendeleza maendeleo katika eneo hilo au pia awanyime watu wenye eneo hilo kazi. Hii ni athari kubwa kwa nchi kwa kuwa inwaeza zushia vurugu katika eneo hilo.
Siasa za mgawanyiko zinaweza pia kuifanya nchi kumchagua kiongozi asiyefaa. Kiongozi huyu anaweza tumia rasilimali ya nchi vibaya ili ajinufaishe yeye mwenyewe. Anaweza pia wanyima wananchi haki zao. Ama kweli siasa za mgawanyiko zina athari kubwa nchini na zinafaa kukashifiwa kwa ukali na umoja.
| Watu wanapopungua maendeleo ya nchi hufanyaje | {
"text": [
"huharibika"
]
} |
3302_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI
Siasa ni mojawapo ya gezo kuu la nchi inayoathiri ukuaji au kudidimia kwa nchi kiuchumi na kimaendeleo. Siasa za migawanyiko inatuathiri sana kama nchi na kulemaza ukuaji na ufanisi wa nchi yetu. Siasa kwa ujumla inatugusa katika kila nyenzo. Hakuna mahali popote nchini ambapo siasa hazijafika na kutekeleza athari zake.
Kwanza, siasa za migawanyiko zimetuathiri mno kwa kukuza chuki na uadui miongoni mwetu. Wanasiasa ambao huwania kutuongoza ndio mstari mbele katika kutugawanya. Tunapata wanasiasa wengine wanahamasisha wananchi kumpigia kura mtu fulani tuseme kwa sababu ya jinsia au chuki aliyonayo kwa wenzake. Chuki inapojengwa hukuza uadui miongoni mwao. Uadui huu unaweza zushia kutoelewana na kuzua vita. Watu wanapopigana kwa sababu ya kugawanywa na wanasiasa hujiumiza wao wenyewe kwa wenyewe.
Pili, siasa za mgawanyiko zimefanya maendeleo nchini kulemaa. Hii ni kwa kuwa viongozi wanapochaguliwa huwagawa watu wake na kuamua kuwasaidia wao pekeyao. Hii hufanya watu kuchukia kiongozi yule kwa vile hawasaidii kimaendeleo . Waliogawanywa pale huwa wanakabiliwa na lindi la umaskini. Umaskini vilevile huathiri nchi yetu mno kwa vile hupunguza uwezo wa nchi kujitegemea na pia hukuza kuwepo kwa aina tofauti tofauti ya matabaka.
Tatu, siasa za mgawanyiko imeathiri amani ya nchi na pia kuifanya mahali pasikuze biashara na uwezo wa mwananchi kuishi vyema kwa amani na upendo. Migawanyiko hufanya watu kadhaa wenye nchi kujiunga au kuyaunda makundi ya kuwavamia na kuwavuruga wananchi. Makundi haya huvamia wananchi wazalendo ma kuvuruga amani yao. Wao huenda na kuvamia basi na kuwaua watu,kuvamia hoteli na viwanda vikubwa vya kufanyia biashara. Jambo hili husababisha uharibifu wa mali. Wanapofanya hivi, waekaji hazina kutoka ng’ambo huhofia kuwekeza katika nchi yetu kwa hofu ya kuvamiwa na vitu vyao kuharibiwa.
Siasa za migawanyiko inafaa ipingwe mara moja kwa vile pia inafanya nchi yetu isiwe na umoja. Wanasiasa wanapogawa wananchi katika tabaka ,kabila, jinsia na hata rangi hutawanya umoja wa nchi. Nchi inapokosa amani kwa sababu ya kugawanywa kwa ajili ya siasa huleta vita. Vita bila shaka inapotokea wananchi huathirika sana. Watu huweza kuumiza wenzao na hata kuwaua wenzao. Wanaoumizwa wanaweza baki vilema na kufanya kutegemea wachache walio vyema.
Migawanyiko ya siasa inayofanya watu kuuwana ni hatari mno. Hii hupunguza idadi ya wananchi kwa ujumla. Wananchi wanauliwa na basi kupungua kwa idadi ya wananchi, na kisha kupunguka kwa maendeleo ya nchi. Wachache waliobaki hubaki kwa maumivu na simanzi. Hii ni kwa sababu pengine wapendwa wao wameangamizwa kwa vita zilizotokea.
Siasa za mgawanyiko pia hukuza uongozi mbaya wa nchi. Nchi inapoongozwa vibaya huwaumiza wananchi vibaya. Mfano ni kuwa kama kiongozi yule hawapendi watu wenye mahali fulani kwa kuwa vile walimtenga ai aliwatenga kisiasa anaweza lipiza kisasi. Anaweza kosa kuendeleza maendeleo katika eneo hilo au pia awanyime watu wenye eneo hilo kazi. Hii ni athari kubwa kwa nchi kwa kuwa inwaeza zushia vurugu katika eneo hilo.
Siasa za mgawanyiko zinaweza pia kuifanya nchi kumchagua kiongozi asiyefaa. Kiongozi huyu anaweza tumia rasilimali ya nchi vibaya ili ajinufaishe yeye mwenyewe. Anaweza pia wanyima wananchi haki zao. Ama kweli siasa za mgawanyiko zina athari kubwa nchini na zinafaa kukashifiwa kwa ukali na umoja.
| Umaskini huathirije nchi yetu | {
"text": [
"hupunguza uwezo wa nchi kujitegemea"
]
} |
3303_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO
Siasa ni nguzo muhimu katika nchi au jamii yoyote ile. Siasa ndiyo inayoamua ukuaji wa nchi. Iwapo siasa itajengwa kwa msingi mwema, nchi husika itaendelea na kujitegemea. Lakini iwapo nchi itajiingiza katika siasa ya mgawanyiko, basi itajirudisha nyuma kimaendeleo kutokana na athari za siasa ya mgawanyiko.
Kwanza, siasa ya mgawanyiko husababisha uchumi wa nchi husika kudorora. Hii ni kwa sababu wawekezaji wengi wataona afadhali kuwekeza katika nchi zingine. Hivyo basi wananchi wengi hawatapata nafasi za kazi na walio nazo watazipoteza. Pia wananchi wenyewe wataogopa kuwekeza kwa kuhofia kuwa watapoteza mali yao. Viongozi pia nao watashiriki katika maswala ya siasa zaidi huku wakisahau kufanya maendeleo ya uchumi. Hivyo basi nchi itakosa kujitegemea na itabidi iweze kutegemea nchi zingine ili iendelee.
Siasa za mgawanyiko pia itachangia vita ambapo makundi mbalimbali yatajitokeza kutetea viongozi wao. Wanasiasa wasiojali maslahi ya wananchi hutumia lugha chafu ili kutenganisha wananchi. Wananchi nao pia wanauaminifu zaidi kwa viongozi wao na watasababisha hata vita ili kuwatetea. Vifo vitaletwa na vita na hata wengine kupata majeraha. Ni jambo la kusikitisha kumwona mja akitoa mwenzake uhai kinyama. Vijisenti vichache ndivyo vinavyowatia watu uhayawani amabavyo vinapeanwa na wanasiasa. Watoto wengi wanabaki mayatima kwa kupoteza wazazi wakati wa vita za kisiasa.
Watu pia hujipata wanahama kiholela ili kutafuta mahali salama pa kuishi. Wananchi huhofia kupoteza mali yao na pia maisha yao hivyo basi kuwalazimu kuhama. Inakuwa ngumu ngumu kwa wananchi wengine kujiendeleza kwa kuwa mipango yao ya kimaisha huharibiwa wanapolazimika kuhama. Kuhama huleta gharama kwa mtu binafsi kwa kuwa anapohama inabidi aanze kujipanga upya kimaisha.
Ushirikiano baina ya wananchi unapoea. Hii ni kutokana na ukabila unaotokana na siasa. Kwani nani aliyesema mwanasiasa lazima awe wa kabila lako? Wananchi wengi hujipata wakimtetea mwanasiasa wa kabila lao hata kama ana makosa. Wananchi badala ya kusaidiana, hutengana na kujihusisha tu na maswala yanayohusu jammi au kabila lake. Ikumbukwe kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Lakini hili halizingatiwi kabisa katika siasa. Si ajabu kwamba mtu anaweza kumuua jirani yake kwa sababu si wa kabila lake. Hapo ndio uhuru wa mtu kuishi anapotaka unapokatizwa. Pia, watu hawawezi kujifunza mambo mapya kwa kuwa hakuna ushirikiano baina ya kabila tofauti tofauti. Viongozi walio na tamaa ya mali watawachochea wananchi dhidi ya kushirikiana.
Pia kuna mapendeleo yatakayojitokeza wakati wa siasa ya mgawanyiko. Ni mara ngapi umesikia mtu amenyimwa kazi kwa kutounga mrengo fulani wa kisiasa mkono? Naam jambo hili si geni na iwapo kutokuwa na siasa hizi za mgawanyiko basi nafasi za kazi zitabaki tu kwa wachache wanaojuana. Watu wengi wanaamini ili kupata kazi lazima uwe na ‘connection’ ambayo si rahisi kupata. Kwa hivyo wananchi wanyonge wamebaki na kazi ya kutafuta kazi tu.
Siasa za migawangiko huleta utabaka ambapo walio na mali wataendelea Kujipulia mali zaidi na wanyonge wakiendelea kuwa maskini. Wanasiasa wanafadhili miradi inayofaidisha tu matajiri na wanyonge wasio na haki wakibaki kulia. "Nimefungua hoteli kubwa ya kimataifa” utasikia kiongozi fulani akisema na wananchi wa kawaida, kwa lugha ya kimombo eti wanaitwa 'common mwananchi’ watashangaa kwa kuwa hakuna manufaa yoyote watakayopata.
Elimu duni pia ndiyo wanayoipata wananchi. Walio na uwezo ndio wanaoshughulikiwa, na wale wanyonge wakiachwa wajisaidie. Wanasiasa fulani wanachochea wakuu wa shule kuwaruhusu tu wanafunzi wachache kupata elimu. | Siasa za mgawanyiko hufukuza kina nani? | {
"text": [
"Wawekezaji"
]
} |
3303_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO
Siasa ni nguzo muhimu katika nchi au jamii yoyote ile. Siasa ndiyo inayoamua ukuaji wa nchi. Iwapo siasa itajengwa kwa msingi mwema, nchi husika itaendelea na kujitegemea. Lakini iwapo nchi itajiingiza katika siasa ya mgawanyiko, basi itajirudisha nyuma kimaendeleo kutokana na athari za siasa ya mgawanyiko.
Kwanza, siasa ya mgawanyiko husababisha uchumi wa nchi husika kudorora. Hii ni kwa sababu wawekezaji wengi wataona afadhali kuwekeza katika nchi zingine. Hivyo basi wananchi wengi hawatapata nafasi za kazi na walio nazo watazipoteza. Pia wananchi wenyewe wataogopa kuwekeza kwa kuhofia kuwa watapoteza mali yao. Viongozi pia nao watashiriki katika maswala ya siasa zaidi huku wakisahau kufanya maendeleo ya uchumi. Hivyo basi nchi itakosa kujitegemea na itabidi iweze kutegemea nchi zingine ili iendelee.
Siasa za mgawanyiko pia itachangia vita ambapo makundi mbalimbali yatajitokeza kutetea viongozi wao. Wanasiasa wasiojali maslahi ya wananchi hutumia lugha chafu ili kutenganisha wananchi. Wananchi nao pia wanauaminifu zaidi kwa viongozi wao na watasababisha hata vita ili kuwatetea. Vifo vitaletwa na vita na hata wengine kupata majeraha. Ni jambo la kusikitisha kumwona mja akitoa mwenzake uhai kinyama. Vijisenti vichache ndivyo vinavyowatia watu uhayawani amabavyo vinapeanwa na wanasiasa. Watoto wengi wanabaki mayatima kwa kupoteza wazazi wakati wa vita za kisiasa.
Watu pia hujipata wanahama kiholela ili kutafuta mahali salama pa kuishi. Wananchi huhofia kupoteza mali yao na pia maisha yao hivyo basi kuwalazimu kuhama. Inakuwa ngumu ngumu kwa wananchi wengine kujiendeleza kwa kuwa mipango yao ya kimaisha huharibiwa wanapolazimika kuhama. Kuhama huleta gharama kwa mtu binafsi kwa kuwa anapohama inabidi aanze kujipanga upya kimaisha.
Ushirikiano baina ya wananchi unapoea. Hii ni kutokana na ukabila unaotokana na siasa. Kwani nani aliyesema mwanasiasa lazima awe wa kabila lako? Wananchi wengi hujipata wakimtetea mwanasiasa wa kabila lao hata kama ana makosa. Wananchi badala ya kusaidiana, hutengana na kujihusisha tu na maswala yanayohusu jammi au kabila lake. Ikumbukwe kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Lakini hili halizingatiwi kabisa katika siasa. Si ajabu kwamba mtu anaweza kumuua jirani yake kwa sababu si wa kabila lake. Hapo ndio uhuru wa mtu kuishi anapotaka unapokatizwa. Pia, watu hawawezi kujifunza mambo mapya kwa kuwa hakuna ushirikiano baina ya kabila tofauti tofauti. Viongozi walio na tamaa ya mali watawachochea wananchi dhidi ya kushirikiana.
Pia kuna mapendeleo yatakayojitokeza wakati wa siasa ya mgawanyiko. Ni mara ngapi umesikia mtu amenyimwa kazi kwa kutounga mrengo fulani wa kisiasa mkono? Naam jambo hili si geni na iwapo kutokuwa na siasa hizi za mgawanyiko basi nafasi za kazi zitabaki tu kwa wachache wanaojuana. Watu wengi wanaamini ili kupata kazi lazima uwe na ‘connection’ ambayo si rahisi kupata. Kwa hivyo wananchi wanyonge wamebaki na kazi ya kutafuta kazi tu.
Siasa za migawangiko huleta utabaka ambapo walio na mali wataendelea Kujipulia mali zaidi na wanyonge wakiendelea kuwa maskini. Wanasiasa wanafadhili miradi inayofaidisha tu matajiri na wanyonge wasio na haki wakibaki kulia. "Nimefungua hoteli kubwa ya kimataifa” utasikia kiongozi fulani akisema na wananchi wa kawaida, kwa lugha ya kimombo eti wanaitwa 'common mwananchi’ watashangaa kwa kuwa hakuna manufaa yoyote watakayopata.
Elimu duni pia ndiyo wanayoipata wananchi. Walio na uwezo ndio wanaoshughulikiwa, na wale wanyonge wakiachwa wajisaidie. Wanasiasa fulani wanachochea wakuu wa shule kuwaruhusu tu wanafunzi wachache kupata elimu. | Nani huendeleza siasa za mgawanyiko? | {
"text": [
"Viongozi"
]
} |
3303_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO
Siasa ni nguzo muhimu katika nchi au jamii yoyote ile. Siasa ndiyo inayoamua ukuaji wa nchi. Iwapo siasa itajengwa kwa msingi mwema, nchi husika itaendelea na kujitegemea. Lakini iwapo nchi itajiingiza katika siasa ya mgawanyiko, basi itajirudisha nyuma kimaendeleo kutokana na athari za siasa ya mgawanyiko.
Kwanza, siasa ya mgawanyiko husababisha uchumi wa nchi husika kudorora. Hii ni kwa sababu wawekezaji wengi wataona afadhali kuwekeza katika nchi zingine. Hivyo basi wananchi wengi hawatapata nafasi za kazi na walio nazo watazipoteza. Pia wananchi wenyewe wataogopa kuwekeza kwa kuhofia kuwa watapoteza mali yao. Viongozi pia nao watashiriki katika maswala ya siasa zaidi huku wakisahau kufanya maendeleo ya uchumi. Hivyo basi nchi itakosa kujitegemea na itabidi iweze kutegemea nchi zingine ili iendelee.
Siasa za mgawanyiko pia itachangia vita ambapo makundi mbalimbali yatajitokeza kutetea viongozi wao. Wanasiasa wasiojali maslahi ya wananchi hutumia lugha chafu ili kutenganisha wananchi. Wananchi nao pia wanauaminifu zaidi kwa viongozi wao na watasababisha hata vita ili kuwatetea. Vifo vitaletwa na vita na hata wengine kupata majeraha. Ni jambo la kusikitisha kumwona mja akitoa mwenzake uhai kinyama. Vijisenti vichache ndivyo vinavyowatia watu uhayawani amabavyo vinapeanwa na wanasiasa. Watoto wengi wanabaki mayatima kwa kupoteza wazazi wakati wa vita za kisiasa.
Watu pia hujipata wanahama kiholela ili kutafuta mahali salama pa kuishi. Wananchi huhofia kupoteza mali yao na pia maisha yao hivyo basi kuwalazimu kuhama. Inakuwa ngumu ngumu kwa wananchi wengine kujiendeleza kwa kuwa mipango yao ya kimaisha huharibiwa wanapolazimika kuhama. Kuhama huleta gharama kwa mtu binafsi kwa kuwa anapohama inabidi aanze kujipanga upya kimaisha.
Ushirikiano baina ya wananchi unapoea. Hii ni kutokana na ukabila unaotokana na siasa. Kwani nani aliyesema mwanasiasa lazima awe wa kabila lako? Wananchi wengi hujipata wakimtetea mwanasiasa wa kabila lao hata kama ana makosa. Wananchi badala ya kusaidiana, hutengana na kujihusisha tu na maswala yanayohusu jammi au kabila lake. Ikumbukwe kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Lakini hili halizingatiwi kabisa katika siasa. Si ajabu kwamba mtu anaweza kumuua jirani yake kwa sababu si wa kabila lake. Hapo ndio uhuru wa mtu kuishi anapotaka unapokatizwa. Pia, watu hawawezi kujifunza mambo mapya kwa kuwa hakuna ushirikiano baina ya kabila tofauti tofauti. Viongozi walio na tamaa ya mali watawachochea wananchi dhidi ya kushirikiana.
Pia kuna mapendeleo yatakayojitokeza wakati wa siasa ya mgawanyiko. Ni mara ngapi umesikia mtu amenyimwa kazi kwa kutounga mrengo fulani wa kisiasa mkono? Naam jambo hili si geni na iwapo kutokuwa na siasa hizi za mgawanyiko basi nafasi za kazi zitabaki tu kwa wachache wanaojuana. Watu wengi wanaamini ili kupata kazi lazima uwe na ‘connection’ ambayo si rahisi kupata. Kwa hivyo wananchi wanyonge wamebaki na kazi ya kutafuta kazi tu.
Siasa za migawangiko huleta utabaka ambapo walio na mali wataendelea Kujipulia mali zaidi na wanyonge wakiendelea kuwa maskini. Wanasiasa wanafadhili miradi inayofaidisha tu matajiri na wanyonge wasio na haki wakibaki kulia. "Nimefungua hoteli kubwa ya kimataifa” utasikia kiongozi fulani akisema na wananchi wa kawaida, kwa lugha ya kimombo eti wanaitwa 'common mwananchi’ watashangaa kwa kuwa hakuna manufaa yoyote watakayopata.
Elimu duni pia ndiyo wanayoipata wananchi. Walio na uwezo ndio wanaoshughulikiwa, na wale wanyonge wakiachwa wajisaidie. Wanasiasa fulani wanachochea wakuu wa shule kuwaruhusu tu wanafunzi wachache kupata elimu. | Makundi pinzani ya kisiasa husababisha nini? | {
"text": [
"Vita"
]
} |
3303_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO
Siasa ni nguzo muhimu katika nchi au jamii yoyote ile. Siasa ndiyo inayoamua ukuaji wa nchi. Iwapo siasa itajengwa kwa msingi mwema, nchi husika itaendelea na kujitegemea. Lakini iwapo nchi itajiingiza katika siasa ya mgawanyiko, basi itajirudisha nyuma kimaendeleo kutokana na athari za siasa ya mgawanyiko.
Kwanza, siasa ya mgawanyiko husababisha uchumi wa nchi husika kudorora. Hii ni kwa sababu wawekezaji wengi wataona afadhali kuwekeza katika nchi zingine. Hivyo basi wananchi wengi hawatapata nafasi za kazi na walio nazo watazipoteza. Pia wananchi wenyewe wataogopa kuwekeza kwa kuhofia kuwa watapoteza mali yao. Viongozi pia nao watashiriki katika maswala ya siasa zaidi huku wakisahau kufanya maendeleo ya uchumi. Hivyo basi nchi itakosa kujitegemea na itabidi iweze kutegemea nchi zingine ili iendelee.
Siasa za mgawanyiko pia itachangia vita ambapo makundi mbalimbali yatajitokeza kutetea viongozi wao. Wanasiasa wasiojali maslahi ya wananchi hutumia lugha chafu ili kutenganisha wananchi. Wananchi nao pia wanauaminifu zaidi kwa viongozi wao na watasababisha hata vita ili kuwatetea. Vifo vitaletwa na vita na hata wengine kupata majeraha. Ni jambo la kusikitisha kumwona mja akitoa mwenzake uhai kinyama. Vijisenti vichache ndivyo vinavyowatia watu uhayawani amabavyo vinapeanwa na wanasiasa. Watoto wengi wanabaki mayatima kwa kupoteza wazazi wakati wa vita za kisiasa.
Watu pia hujipata wanahama kiholela ili kutafuta mahali salama pa kuishi. Wananchi huhofia kupoteza mali yao na pia maisha yao hivyo basi kuwalazimu kuhama. Inakuwa ngumu ngumu kwa wananchi wengine kujiendeleza kwa kuwa mipango yao ya kimaisha huharibiwa wanapolazimika kuhama. Kuhama huleta gharama kwa mtu binafsi kwa kuwa anapohama inabidi aanze kujipanga upya kimaisha.
Ushirikiano baina ya wananchi unapoea. Hii ni kutokana na ukabila unaotokana na siasa. Kwani nani aliyesema mwanasiasa lazima awe wa kabila lako? Wananchi wengi hujipata wakimtetea mwanasiasa wa kabila lao hata kama ana makosa. Wananchi badala ya kusaidiana, hutengana na kujihusisha tu na maswala yanayohusu jammi au kabila lake. Ikumbukwe kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Lakini hili halizingatiwi kabisa katika siasa. Si ajabu kwamba mtu anaweza kumuua jirani yake kwa sababu si wa kabila lake. Hapo ndio uhuru wa mtu kuishi anapotaka unapokatizwa. Pia, watu hawawezi kujifunza mambo mapya kwa kuwa hakuna ushirikiano baina ya kabila tofauti tofauti. Viongozi walio na tamaa ya mali watawachochea wananchi dhidi ya kushirikiana.
Pia kuna mapendeleo yatakayojitokeza wakati wa siasa ya mgawanyiko. Ni mara ngapi umesikia mtu amenyimwa kazi kwa kutounga mrengo fulani wa kisiasa mkono? Naam jambo hili si geni na iwapo kutokuwa na siasa hizi za mgawanyiko basi nafasi za kazi zitabaki tu kwa wachache wanaojuana. Watu wengi wanaamini ili kupata kazi lazima uwe na ‘connection’ ambayo si rahisi kupata. Kwa hivyo wananchi wanyonge wamebaki na kazi ya kutafuta kazi tu.
Siasa za migawangiko huleta utabaka ambapo walio na mali wataendelea Kujipulia mali zaidi na wanyonge wakiendelea kuwa maskini. Wanasiasa wanafadhili miradi inayofaidisha tu matajiri na wanyonge wasio na haki wakibaki kulia. "Nimefungua hoteli kubwa ya kimataifa” utasikia kiongozi fulani akisema na wananchi wa kawaida, kwa lugha ya kimombo eti wanaitwa 'common mwananchi’ watashangaa kwa kuwa hakuna manufaa yoyote watakayopata.
Elimu duni pia ndiyo wanayoipata wananchi. Walio na uwezo ndio wanaoshughulikiwa, na wale wanyonge wakiachwa wajisaidie. Wanasiasa fulani wanachochea wakuu wa shule kuwaruhusu tu wanafunzi wachache kupata elimu. | Wanachi waaminifu kwa viongozi wao hujihusisha na nini wakitetea viongozi wao? | {
"text": [
"Vita"
]
} |
3303_swa | ATHARI ZA SIASA ZA MIGAWANYIKO
Siasa ni nguzo muhimu katika nchi au jamii yoyote ile. Siasa ndiyo inayoamua ukuaji wa nchi. Iwapo siasa itajengwa kwa msingi mwema, nchi husika itaendelea na kujitegemea. Lakini iwapo nchi itajiingiza katika siasa ya mgawanyiko, basi itajirudisha nyuma kimaendeleo kutokana na athari za siasa ya mgawanyiko.
Kwanza, siasa ya mgawanyiko husababisha uchumi wa nchi husika kudorora. Hii ni kwa sababu wawekezaji wengi wataona afadhali kuwekeza katika nchi zingine. Hivyo basi wananchi wengi hawatapata nafasi za kazi na walio nazo watazipoteza. Pia wananchi wenyewe wataogopa kuwekeza kwa kuhofia kuwa watapoteza mali yao. Viongozi pia nao watashiriki katika maswala ya siasa zaidi huku wakisahau kufanya maendeleo ya uchumi. Hivyo basi nchi itakosa kujitegemea na itabidi iweze kutegemea nchi zingine ili iendelee.
Siasa za mgawanyiko pia itachangia vita ambapo makundi mbalimbali yatajitokeza kutetea viongozi wao. Wanasiasa wasiojali maslahi ya wananchi hutumia lugha chafu ili kutenganisha wananchi. Wananchi nao pia wanauaminifu zaidi kwa viongozi wao na watasababisha hata vita ili kuwatetea. Vifo vitaletwa na vita na hata wengine kupata majeraha. Ni jambo la kusikitisha kumwona mja akitoa mwenzake uhai kinyama. Vijisenti vichache ndivyo vinavyowatia watu uhayawani amabavyo vinapeanwa na wanasiasa. Watoto wengi wanabaki mayatima kwa kupoteza wazazi wakati wa vita za kisiasa.
Watu pia hujipata wanahama kiholela ili kutafuta mahali salama pa kuishi. Wananchi huhofia kupoteza mali yao na pia maisha yao hivyo basi kuwalazimu kuhama. Inakuwa ngumu ngumu kwa wananchi wengine kujiendeleza kwa kuwa mipango yao ya kimaisha huharibiwa wanapolazimika kuhama. Kuhama huleta gharama kwa mtu binafsi kwa kuwa anapohama inabidi aanze kujipanga upya kimaisha.
Ushirikiano baina ya wananchi unapoea. Hii ni kutokana na ukabila unaotokana na siasa. Kwani nani aliyesema mwanasiasa lazima awe wa kabila lako? Wananchi wengi hujipata wakimtetea mwanasiasa wa kabila lao hata kama ana makosa. Wananchi badala ya kusaidiana, hutengana na kujihusisha tu na maswala yanayohusu jammi au kabila lake. Ikumbukwe kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Lakini hili halizingatiwi kabisa katika siasa. Si ajabu kwamba mtu anaweza kumuua jirani yake kwa sababu si wa kabila lake. Hapo ndio uhuru wa mtu kuishi anapotaka unapokatizwa. Pia, watu hawawezi kujifunza mambo mapya kwa kuwa hakuna ushirikiano baina ya kabila tofauti tofauti. Viongozi walio na tamaa ya mali watawachochea wananchi dhidi ya kushirikiana.
Pia kuna mapendeleo yatakayojitokeza wakati wa siasa ya mgawanyiko. Ni mara ngapi umesikia mtu amenyimwa kazi kwa kutounga mrengo fulani wa kisiasa mkono? Naam jambo hili si geni na iwapo kutokuwa na siasa hizi za mgawanyiko basi nafasi za kazi zitabaki tu kwa wachache wanaojuana. Watu wengi wanaamini ili kupata kazi lazima uwe na ‘connection’ ambayo si rahisi kupata. Kwa hivyo wananchi wanyonge wamebaki na kazi ya kutafuta kazi tu.
Siasa za migawangiko huleta utabaka ambapo walio na mali wataendelea Kujipulia mali zaidi na wanyonge wakiendelea kuwa maskini. Wanasiasa wanafadhili miradi inayofaidisha tu matajiri na wanyonge wasio na haki wakibaki kulia. "Nimefungua hoteli kubwa ya kimataifa” utasikia kiongozi fulani akisema na wananchi wa kawaida, kwa lugha ya kimombo eti wanaitwa 'common mwananchi’ watashangaa kwa kuwa hakuna manufaa yoyote watakayopata.
Elimu duni pia ndiyo wanayoipata wananchi. Walio na uwezo ndio wanaoshughulikiwa, na wale wanyonge wakiachwa wajisaidie. Wanasiasa fulani wanachochea wakuu wa shule kuwaruhusu tu wanafunzi wachache kupata elimu. | Vita na mgawanyiko husababisha watu kufanya nini? | {
"text": [
"Kuhama kiholelaholela"
]
} |
3304_swa | JINSI YA KUIMARISHA MSHIKAMANO WA TAIFA
Kwa kweli Taifa letu lafaa kuwa na mwelewano na mshikamano baina ya wananchi ndiposa kila moja aweze kuishi maisha yaliyo memea. Kwanza kabisa kama taifa, yapaswa kutilia mkazo katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kuleta mshikamano katika taifa. Baadhi ya mambo ni:
Kuhimiza ugawi wa rasilimali kiusawa. Yafaa tuhakikishe kama taifa kuwa kila jamii kila mahali kuwa kila mmoja anafurahia na kusherehekea kiwango cha rasilimali sawa na yule mwenzake. Njia ama mrengo kuu ukiimarishwa, kila mwananchi ataishi maisha ya kuelewana na yule jirani wake hivyo kukuza uimarisho wa mshikamano wa taifa letu.
Njia nyingine mwafaka ni kwamba yafaa tushikane mikono bega kwa bega maanake wahenga na wahenguzi wa jadi hawakutuchana nywele zetu kwa mifupa wa samaki walipotongoa kuwa umoja ni nguvu na huku kidole kimoja hakivunji chawa. Kwani yafaa tuje pamoja kuliangamiza janga hili sugu la ukabila. Ili kuimarisha mshikamano yafaa kuwa ukabila ama kuangamiza ukabila. Ukabila utakapotokomea, watu wataajiriwa kutoka makabila yote nchini maanake kila kabila litakuwa linaonyeshwa kuwa linajaliwa ama linaheshimiwa katika taifa. Hivyo kutawa na uimarisho na mshikamano wa taifa.
Naam, kweli kabisa hatuna budi kutekeleza shughuli za uchaguzi wa kiuhuru na ulio wa haki ili kuwateua viongozi walio na maono ama niseme walio manya umuhimu wao kwani wanakiangaza mbele. Kwa kweli alim wa lugha hawakukosea waliponena kuwa maji ukiyafulia nguo basi ni sharti uyaoge. Kwa kweli tumevua nguo kuwachagua viongozi wetu tuttekeleze wajibu huu maanake ni haki yetu na ni jukumu letu kuwateua viongozi amabao pia nao watawajibika katika sekta hii ya kuimarisha maelewano na mshikamano wa taifa.
Kutosahau, ni adili kuwa ili kuleta mshikamano yafaa kila adinasi kukuza uzalendo. Na je, atakuzaje uzalendo? Atatekeleza wajibu huu pindi tu atakapohusika kuimarisha lugha ya taifa. Lugha itakayotumiwa yafaa iwe ni ile moja tu ili kuleta maelewano katika mawasiliano na maingiliano hivyo kukuza mshikamano.
Mwisho ni kwamba wafanyikazi wa umma pia nao wanajuhudi za kuhamishwa ama kupewa shamisho kutoka sehemu walizomo na kupelekwa katika sehemu mbalimbali na makwao ili kuingiliana na makundi ya watu wengine hivyo kutengeneza uhusiano ama kupata marafiki wengine ambapo watasaidiana kila mahali iwapo katika juhudi za kutoa wasia watahusikawote hivyo kuimarisha na kuleta mshikamano.
Kwa kweli, hatuna budi sisi kama wananchi kuja pamoja maanake umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tunapaswa kutekeleza juhudi hizi ili kila mmoja afurahie na kuongoza maisha mema ili kuleta mshikamano wa taifa. Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa migongo ya chupa walipoamba ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge. Tumelivulia taifa letu nguo kama wananchi yafaa tutekeleze ama tuimarishe mshikamano. Mshikamao wenyewe utatoka wapi? Yafaa tufuate juhudi hizi zote ili kuleta mshikamano. | Ugawi wa rasilimali huimarisha nini? | {
"text": [
"Mshikamano"
]
} |
3304_swa | JINSI YA KUIMARISHA MSHIKAMANO WA TAIFA
Kwa kweli Taifa letu lafaa kuwa na mwelewano na mshikamano baina ya wananchi ndiposa kila moja aweze kuishi maisha yaliyo memea. Kwanza kabisa kama taifa, yapaswa kutilia mkazo katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kuleta mshikamano katika taifa. Baadhi ya mambo ni:
Kuhimiza ugawi wa rasilimali kiusawa. Yafaa tuhakikishe kama taifa kuwa kila jamii kila mahali kuwa kila mmoja anafurahia na kusherehekea kiwango cha rasilimali sawa na yule mwenzake. Njia ama mrengo kuu ukiimarishwa, kila mwananchi ataishi maisha ya kuelewana na yule jirani wake hivyo kukuza uimarisho wa mshikamano wa taifa letu.
Njia nyingine mwafaka ni kwamba yafaa tushikane mikono bega kwa bega maanake wahenga na wahenguzi wa jadi hawakutuchana nywele zetu kwa mifupa wa samaki walipotongoa kuwa umoja ni nguvu na huku kidole kimoja hakivunji chawa. Kwani yafaa tuje pamoja kuliangamiza janga hili sugu la ukabila. Ili kuimarisha mshikamano yafaa kuwa ukabila ama kuangamiza ukabila. Ukabila utakapotokomea, watu wataajiriwa kutoka makabila yote nchini maanake kila kabila litakuwa linaonyeshwa kuwa linajaliwa ama linaheshimiwa katika taifa. Hivyo kutawa na uimarisho na mshikamano wa taifa.
Naam, kweli kabisa hatuna budi kutekeleza shughuli za uchaguzi wa kiuhuru na ulio wa haki ili kuwateua viongozi walio na maono ama niseme walio manya umuhimu wao kwani wanakiangaza mbele. Kwa kweli alim wa lugha hawakukosea waliponena kuwa maji ukiyafulia nguo basi ni sharti uyaoge. Kwa kweli tumevua nguo kuwachagua viongozi wetu tuttekeleze wajibu huu maanake ni haki yetu na ni jukumu letu kuwateua viongozi amabao pia nao watawajibika katika sekta hii ya kuimarisha maelewano na mshikamano wa taifa.
Kutosahau, ni adili kuwa ili kuleta mshikamano yafaa kila adinasi kukuza uzalendo. Na je, atakuzaje uzalendo? Atatekeleza wajibu huu pindi tu atakapohusika kuimarisha lugha ya taifa. Lugha itakayotumiwa yafaa iwe ni ile moja tu ili kuleta maelewano katika mawasiliano na maingiliano hivyo kukuza mshikamano.
Mwisho ni kwamba wafanyikazi wa umma pia nao wanajuhudi za kuhamishwa ama kupewa shamisho kutoka sehemu walizomo na kupelekwa katika sehemu mbalimbali na makwao ili kuingiliana na makundi ya watu wengine hivyo kutengeneza uhusiano ama kupata marafiki wengine ambapo watasaidiana kila mahali iwapo katika juhudi za kutoa wasia watahusikawote hivyo kuimarisha na kuleta mshikamano.
Kwa kweli, hatuna budi sisi kama wananchi kuja pamoja maanake umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tunapaswa kutekeleza juhudi hizi ili kila mmoja afurahie na kuongoza maisha mema ili kuleta mshikamano wa taifa. Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa migongo ya chupa walipoamba ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge. Tumelivulia taifa letu nguo kama wananchi yafaa tutekeleze ama tuimarishe mshikamano. Mshikamao wenyewe utatoka wapi? Yafaa tufuate juhudi hizi zote ili kuleta mshikamano. | Mshikamano wa nchi huimarika wakati jamii huhimiza nini? | {
"text": [
"Ndoa za mseto"
]
} |
3304_swa | JINSI YA KUIMARISHA MSHIKAMANO WA TAIFA
Kwa kweli Taifa letu lafaa kuwa na mwelewano na mshikamano baina ya wananchi ndiposa kila moja aweze kuishi maisha yaliyo memea. Kwanza kabisa kama taifa, yapaswa kutilia mkazo katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kuleta mshikamano katika taifa. Baadhi ya mambo ni:
Kuhimiza ugawi wa rasilimali kiusawa. Yafaa tuhakikishe kama taifa kuwa kila jamii kila mahali kuwa kila mmoja anafurahia na kusherehekea kiwango cha rasilimali sawa na yule mwenzake. Njia ama mrengo kuu ukiimarishwa, kila mwananchi ataishi maisha ya kuelewana na yule jirani wake hivyo kukuza uimarisho wa mshikamano wa taifa letu.
Njia nyingine mwafaka ni kwamba yafaa tushikane mikono bega kwa bega maanake wahenga na wahenguzi wa jadi hawakutuchana nywele zetu kwa mifupa wa samaki walipotongoa kuwa umoja ni nguvu na huku kidole kimoja hakivunji chawa. Kwani yafaa tuje pamoja kuliangamiza janga hili sugu la ukabila. Ili kuimarisha mshikamano yafaa kuwa ukabila ama kuangamiza ukabila. Ukabila utakapotokomea, watu wataajiriwa kutoka makabila yote nchini maanake kila kabila litakuwa linaonyeshwa kuwa linajaliwa ama linaheshimiwa katika taifa. Hivyo kutawa na uimarisho na mshikamano wa taifa.
Naam, kweli kabisa hatuna budi kutekeleza shughuli za uchaguzi wa kiuhuru na ulio wa haki ili kuwateua viongozi walio na maono ama niseme walio manya umuhimu wao kwani wanakiangaza mbele. Kwa kweli alim wa lugha hawakukosea waliponena kuwa maji ukiyafulia nguo basi ni sharti uyaoge. Kwa kweli tumevua nguo kuwachagua viongozi wetu tuttekeleze wajibu huu maanake ni haki yetu na ni jukumu letu kuwateua viongozi amabao pia nao watawajibika katika sekta hii ya kuimarisha maelewano na mshikamano wa taifa.
Kutosahau, ni adili kuwa ili kuleta mshikamano yafaa kila adinasi kukuza uzalendo. Na je, atakuzaje uzalendo? Atatekeleza wajibu huu pindi tu atakapohusika kuimarisha lugha ya taifa. Lugha itakayotumiwa yafaa iwe ni ile moja tu ili kuleta maelewano katika mawasiliano na maingiliano hivyo kukuza mshikamano.
Mwisho ni kwamba wafanyikazi wa umma pia nao wanajuhudi za kuhamishwa ama kupewa shamisho kutoka sehemu walizomo na kupelekwa katika sehemu mbalimbali na makwao ili kuingiliana na makundi ya watu wengine hivyo kutengeneza uhusiano ama kupata marafiki wengine ambapo watasaidiana kila mahali iwapo katika juhudi za kutoa wasia watahusikawote hivyo kuimarisha na kuleta mshikamano.
Kwa kweli, hatuna budi sisi kama wananchi kuja pamoja maanake umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tunapaswa kutekeleza juhudi hizi ili kila mmoja afurahie na kuongoza maisha mema ili kuleta mshikamano wa taifa. Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa migongo ya chupa walipoamba ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge. Tumelivulia taifa letu nguo kama wananchi yafaa tutekeleze ama tuimarishe mshikamano. Mshikamao wenyewe utatoka wapi? Yafaa tufuate juhudi hizi zote ili kuleta mshikamano. | Vijana huhumizwa kujihusisha na nini ili waimarishe ushikamano wa taifa? | {
"text": [
"Michezo "
]
} |
3304_swa | JINSI YA KUIMARISHA MSHIKAMANO WA TAIFA
Kwa kweli Taifa letu lafaa kuwa na mwelewano na mshikamano baina ya wananchi ndiposa kila moja aweze kuishi maisha yaliyo memea. Kwanza kabisa kama taifa, yapaswa kutilia mkazo katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kuleta mshikamano katika taifa. Baadhi ya mambo ni:
Kuhimiza ugawi wa rasilimali kiusawa. Yafaa tuhakikishe kama taifa kuwa kila jamii kila mahali kuwa kila mmoja anafurahia na kusherehekea kiwango cha rasilimali sawa na yule mwenzake. Njia ama mrengo kuu ukiimarishwa, kila mwananchi ataishi maisha ya kuelewana na yule jirani wake hivyo kukuza uimarisho wa mshikamano wa taifa letu.
Njia nyingine mwafaka ni kwamba yafaa tushikane mikono bega kwa bega maanake wahenga na wahenguzi wa jadi hawakutuchana nywele zetu kwa mifupa wa samaki walipotongoa kuwa umoja ni nguvu na huku kidole kimoja hakivunji chawa. Kwani yafaa tuje pamoja kuliangamiza janga hili sugu la ukabila. Ili kuimarisha mshikamano yafaa kuwa ukabila ama kuangamiza ukabila. Ukabila utakapotokomea, watu wataajiriwa kutoka makabila yote nchini maanake kila kabila litakuwa linaonyeshwa kuwa linajaliwa ama linaheshimiwa katika taifa. Hivyo kutawa na uimarisho na mshikamano wa taifa.
Naam, kweli kabisa hatuna budi kutekeleza shughuli za uchaguzi wa kiuhuru na ulio wa haki ili kuwateua viongozi walio na maono ama niseme walio manya umuhimu wao kwani wanakiangaza mbele. Kwa kweli alim wa lugha hawakukosea waliponena kuwa maji ukiyafulia nguo basi ni sharti uyaoge. Kwa kweli tumevua nguo kuwachagua viongozi wetu tuttekeleze wajibu huu maanake ni haki yetu na ni jukumu letu kuwateua viongozi amabao pia nao watawajibika katika sekta hii ya kuimarisha maelewano na mshikamano wa taifa.
Kutosahau, ni adili kuwa ili kuleta mshikamano yafaa kila adinasi kukuza uzalendo. Na je, atakuzaje uzalendo? Atatekeleza wajibu huu pindi tu atakapohusika kuimarisha lugha ya taifa. Lugha itakayotumiwa yafaa iwe ni ile moja tu ili kuleta maelewano katika mawasiliano na maingiliano hivyo kukuza mshikamano.
Mwisho ni kwamba wafanyikazi wa umma pia nao wanajuhudi za kuhamishwa ama kupewa shamisho kutoka sehemu walizomo na kupelekwa katika sehemu mbalimbali na makwao ili kuingiliana na makundi ya watu wengine hivyo kutengeneza uhusiano ama kupata marafiki wengine ambapo watasaidiana kila mahali iwapo katika juhudi za kutoa wasia watahusikawote hivyo kuimarisha na kuleta mshikamano.
Kwa kweli, hatuna budi sisi kama wananchi kuja pamoja maanake umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tunapaswa kutekeleza juhudi hizi ili kila mmoja afurahie na kuongoza maisha mema ili kuleta mshikamano wa taifa. Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa migongo ya chupa walipoamba ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge. Tumelivulia taifa letu nguo kama wananchi yafaa tutekeleze ama tuimarishe mshikamano. Mshikamao wenyewe utatoka wapi? Yafaa tufuate juhudi hizi zote ili kuleta mshikamano. | Umoja ni nini? | {
"text": [
"Nguvu"
]
} |
3304_swa | JINSI YA KUIMARISHA MSHIKAMANO WA TAIFA
Kwa kweli Taifa letu lafaa kuwa na mwelewano na mshikamano baina ya wananchi ndiposa kila moja aweze kuishi maisha yaliyo memea. Kwanza kabisa kama taifa, yapaswa kutilia mkazo katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kuleta mshikamano katika taifa. Baadhi ya mambo ni:
Kuhimiza ugawi wa rasilimali kiusawa. Yafaa tuhakikishe kama taifa kuwa kila jamii kila mahali kuwa kila mmoja anafurahia na kusherehekea kiwango cha rasilimali sawa na yule mwenzake. Njia ama mrengo kuu ukiimarishwa, kila mwananchi ataishi maisha ya kuelewana na yule jirani wake hivyo kukuza uimarisho wa mshikamano wa taifa letu.
Njia nyingine mwafaka ni kwamba yafaa tushikane mikono bega kwa bega maanake wahenga na wahenguzi wa jadi hawakutuchana nywele zetu kwa mifupa wa samaki walipotongoa kuwa umoja ni nguvu na huku kidole kimoja hakivunji chawa. Kwani yafaa tuje pamoja kuliangamiza janga hili sugu la ukabila. Ili kuimarisha mshikamano yafaa kuwa ukabila ama kuangamiza ukabila. Ukabila utakapotokomea, watu wataajiriwa kutoka makabila yote nchini maanake kila kabila litakuwa linaonyeshwa kuwa linajaliwa ama linaheshimiwa katika taifa. Hivyo kutawa na uimarisho na mshikamano wa taifa.
Naam, kweli kabisa hatuna budi kutekeleza shughuli za uchaguzi wa kiuhuru na ulio wa haki ili kuwateua viongozi walio na maono ama niseme walio manya umuhimu wao kwani wanakiangaza mbele. Kwa kweli alim wa lugha hawakukosea waliponena kuwa maji ukiyafulia nguo basi ni sharti uyaoge. Kwa kweli tumevua nguo kuwachagua viongozi wetu tuttekeleze wajibu huu maanake ni haki yetu na ni jukumu letu kuwateua viongozi amabao pia nao watawajibika katika sekta hii ya kuimarisha maelewano na mshikamano wa taifa.
Kutosahau, ni adili kuwa ili kuleta mshikamano yafaa kila adinasi kukuza uzalendo. Na je, atakuzaje uzalendo? Atatekeleza wajibu huu pindi tu atakapohusika kuimarisha lugha ya taifa. Lugha itakayotumiwa yafaa iwe ni ile moja tu ili kuleta maelewano katika mawasiliano na maingiliano hivyo kukuza mshikamano.
Mwisho ni kwamba wafanyikazi wa umma pia nao wanajuhudi za kuhamishwa ama kupewa shamisho kutoka sehemu walizomo na kupelekwa katika sehemu mbalimbali na makwao ili kuingiliana na makundi ya watu wengine hivyo kutengeneza uhusiano ama kupata marafiki wengine ambapo watasaidiana kila mahali iwapo katika juhudi za kutoa wasia watahusikawote hivyo kuimarisha na kuleta mshikamano.
Kwa kweli, hatuna budi sisi kama wananchi kuja pamoja maanake umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Tunapaswa kutekeleza juhudi hizi ili kila mmoja afurahie na kuongoza maisha mema ili kuleta mshikamano wa taifa. Ama kwa kweli wahenga na wahenguzi hawakutupaka mafuta kwa migongo ya chupa walipoamba ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge. Tumelivulia taifa letu nguo kama wananchi yafaa tutekeleze ama tuimarishe mshikamano. Mshikamao wenyewe utatoka wapi? Yafaa tufuate juhudi hizi zote ili kuleta mshikamano. | Viongozi wanahimizwa kuwajibika kivipi? | {
"text": [
"Kujihusisha na uchaguzi wa haki"
]
} |
3306_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni lugha ambayo inahitaji kuimarishwa ili iweze kuzungumuzwa na watu wengi. Njia zifuatazo zinaweza kutumika kuimarisha lugha hii.
Mashirika mbalimbali ya kutoa habari yafaa kupeperusha vipindi vya somo la kiwahili hewani kwenye redio na televisheni. Hii itaimarisha uwezo wa mtu na hata wanafunzi kulipenda somo hili. Aidha, msamiati wanaotumia wanafunzi huweza kuboreshwa.
Vipatakilishi vinavyotumiwa mtandaoni vinafaa viweke Kiswahili kama lugha inayotumika. Hii itafanya kiswahili kujulikana na wengine, na basi kuchangia kwa njia ya kuendeleza uchumi na hata kuimarisha maisha. Vipatakilishi hivyo vitarahisisha elimu na hata karahisishia wanafunzi kazi.
Vitabu vya kiswahiti vinafaa kushapishwa kwa wingi. Hili litawezesha kuwepo kwa urahisi vitabu vya kufanya utafiti kuhusu lugha hii. Vitabu hivi vitafanya wanafunzi kuipenda somo la kiswahili na hata kuweza kuichungamkia wanaposoma.
Kiswahili yafaa kuwekwa kama lugha ya taifa. Hili litawafanya watu kutumia lugha hii na hivyo basi kuimarika. Kiswahili kitaweza kusambaa katika maeneo mbalimbali ya ulimwengu.
Wanafunzi wanaofanya vizuri wanafaa kupongezwa shuleni kwa kupewa zawadi. Jambo hili litaongeza ushindani miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuimarisha lugha ya kiswahili. Walimu pia wanafaa kutenga siku maalum za kuzungumza lugha ya Kiswahili, hili litawawezesha wanafuzi kuboresha ujuzi wao wa lugha hii. Somo hili la kiswahili pia linafaa kufunzwa katika chuo kikuu kama somo la lazima. Hili litawafanya wanafunzi kuwa na ujuzi zaidi wa lugha ya kiswahili. | Kiswahili kinaweza kuimarishwa kutumia nini | {
"text": [
"Redio na televisheni"
]
} |
3306_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni lugha ambayo inahitaji kuimarishwa ili iweze kuzungumuzwa na watu wengi. Njia zifuatazo zinaweza kutumika kuimarisha lugha hii.
Mashirika mbalimbali ya kutoa habari yafaa kupeperusha vipindi vya somo la kiwahili hewani kwenye redio na televisheni. Hii itaimarisha uwezo wa mtu na hata wanafunzi kulipenda somo hili. Aidha, msamiati wanaotumia wanafunzi huweza kuboreshwa.
Vipatakilishi vinavyotumiwa mtandaoni vinafaa viweke Kiswahili kama lugha inayotumika. Hii itafanya kiswahili kujulikana na wengine, na basi kuchangia kwa njia ya kuendeleza uchumi na hata kuimarisha maisha. Vipatakilishi hivyo vitarahisisha elimu na hata karahisishia wanafunzi kazi.
Vitabu vya kiswahiti vinafaa kushapishwa kwa wingi. Hili litawezesha kuwepo kwa urahisi vitabu vya kufanya utafiti kuhusu lugha hii. Vitabu hivi vitafanya wanafunzi kuipenda somo la kiswahili na hata kuweza kuichungamkia wanaposoma.
Kiswahili yafaa kuwekwa kama lugha ya taifa. Hili litawafanya watu kutumia lugha hii na hivyo basi kuimarika. Kiswahili kitaweza kusambaa katika maeneo mbalimbali ya ulimwengu.
Wanafunzi wanaofanya vizuri wanafaa kupongezwa shuleni kwa kupewa zawadi. Jambo hili litaongeza ushindani miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuimarisha lugha ya kiswahili. Walimu pia wanafaa kutenga siku maalum za kuzungumza lugha ya Kiswahili, hili litawawezesha wanafuzi kuboresha ujuzi wao wa lugha hii. Somo hili la kiswahili pia linafaa kufunzwa katika chuo kikuu kama somo la lazima. Hili litawafanya wanafunzi kuwa na ujuzi zaidi wa lugha ya kiswahili. | Ni kifaa kipi chaweza kutumiwa kusoma kiswahili mtandaoni | {
"text": [
"Kipakatalishi"
]
} |
3306_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni lugha ambayo inahitaji kuimarishwa ili iweze kuzungumuzwa na watu wengi. Njia zifuatazo zinaweza kutumika kuimarisha lugha hii.
Mashirika mbalimbali ya kutoa habari yafaa kupeperusha vipindi vya somo la kiwahili hewani kwenye redio na televisheni. Hii itaimarisha uwezo wa mtu na hata wanafunzi kulipenda somo hili. Aidha, msamiati wanaotumia wanafunzi huweza kuboreshwa.
Vipatakilishi vinavyotumiwa mtandaoni vinafaa viweke Kiswahili kama lugha inayotumika. Hii itafanya kiswahili kujulikana na wengine, na basi kuchangia kwa njia ya kuendeleza uchumi na hata kuimarisha maisha. Vipatakilishi hivyo vitarahisisha elimu na hata karahisishia wanafunzi kazi.
Vitabu vya kiswahiti vinafaa kushapishwa kwa wingi. Hili litawezesha kuwepo kwa urahisi vitabu vya kufanya utafiti kuhusu lugha hii. Vitabu hivi vitafanya wanafunzi kuipenda somo la kiswahili na hata kuweza kuichungamkia wanaposoma.
Kiswahili yafaa kuwekwa kama lugha ya taifa. Hili litawafanya watu kutumia lugha hii na hivyo basi kuimarika. Kiswahili kitaweza kusambaa katika maeneo mbalimbali ya ulimwengu.
Wanafunzi wanaofanya vizuri wanafaa kupongezwa shuleni kwa kupewa zawadi. Jambo hili litaongeza ushindani miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuimarisha lugha ya kiswahili. Walimu pia wanafaa kutenga siku maalum za kuzungumza lugha ya Kiswahili, hili litawawezesha wanafuzi kuboresha ujuzi wao wa lugha hii. Somo hili la kiswahili pia linafaa kufunzwa katika chuo kikuu kama somo la lazima. Hili litawafanya wanafunzi kuwa na ujuzi zaidi wa lugha ya kiswahili. | Ni nini kinafaa kuchapishwa ili kuimarisha kiswahili | {
"text": [
"Vitabu"
]
} |
3306_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni lugha ambayo inahitaji kuimarishwa ili iweze kuzungumuzwa na watu wengi. Njia zifuatazo zinaweza kutumika kuimarisha lugha hii.
Mashirika mbalimbali ya kutoa habari yafaa kupeperusha vipindi vya somo la kiwahili hewani kwenye redio na televisheni. Hii itaimarisha uwezo wa mtu na hata wanafunzi kulipenda somo hili. Aidha, msamiati wanaotumia wanafunzi huweza kuboreshwa.
Vipatakilishi vinavyotumiwa mtandaoni vinafaa viweke Kiswahili kama lugha inayotumika. Hii itafanya kiswahili kujulikana na wengine, na basi kuchangia kwa njia ya kuendeleza uchumi na hata kuimarisha maisha. Vipatakilishi hivyo vitarahisisha elimu na hata karahisishia wanafunzi kazi.
Vitabu vya kiswahiti vinafaa kushapishwa kwa wingi. Hili litawezesha kuwepo kwa urahisi vitabu vya kufanya utafiti kuhusu lugha hii. Vitabu hivi vitafanya wanafunzi kuipenda somo la kiswahili na hata kuweza kuichungamkia wanaposoma.
Kiswahili yafaa kuwekwa kama lugha ya taifa. Hili litawafanya watu kutumia lugha hii na hivyo basi kuimarika. Kiswahili kitaweza kusambaa katika maeneo mbalimbali ya ulimwengu.
Wanafunzi wanaofanya vizuri wanafaa kupongezwa shuleni kwa kupewa zawadi. Jambo hili litaongeza ushindani miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuimarisha lugha ya kiswahili. Walimu pia wanafaa kutenga siku maalum za kuzungumza lugha ya Kiswahili, hili litawawezesha wanafuzi kuboresha ujuzi wao wa lugha hii. Somo hili la kiswahili pia linafaa kufunzwa katika chuo kikuu kama somo la lazima. Hili litawafanya wanafunzi kuwa na ujuzi zaidi wa lugha ya kiswahili. | Ni vipi lugha ya kiswahili inaweza kusambazwa katika maeneo mbalimbali | {
"text": [
"Kwa kufanywa kuwa lugha ya taifa"
]
} |
3306_swa | NJIA YA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI
Kiswahili ni lugha ambayo inahitaji kuimarishwa ili iweze kuzungumuzwa na watu wengi. Njia zifuatazo zinaweza kutumika kuimarisha lugha hii.
Mashirika mbalimbali ya kutoa habari yafaa kupeperusha vipindi vya somo la kiwahili hewani kwenye redio na televisheni. Hii itaimarisha uwezo wa mtu na hata wanafunzi kulipenda somo hili. Aidha, msamiati wanaotumia wanafunzi huweza kuboreshwa.
Vipatakilishi vinavyotumiwa mtandaoni vinafaa viweke Kiswahili kama lugha inayotumika. Hii itafanya kiswahili kujulikana na wengine, na basi kuchangia kwa njia ya kuendeleza uchumi na hata kuimarisha maisha. Vipatakilishi hivyo vitarahisisha elimu na hata karahisishia wanafunzi kazi.
Vitabu vya kiswahiti vinafaa kushapishwa kwa wingi. Hili litawezesha kuwepo kwa urahisi vitabu vya kufanya utafiti kuhusu lugha hii. Vitabu hivi vitafanya wanafunzi kuipenda somo la kiswahili na hata kuweza kuichungamkia wanaposoma.
Kiswahili yafaa kuwekwa kama lugha ya taifa. Hili litawafanya watu kutumia lugha hii na hivyo basi kuimarika. Kiswahili kitaweza kusambaa katika maeneo mbalimbali ya ulimwengu.
Wanafunzi wanaofanya vizuri wanafaa kupongezwa shuleni kwa kupewa zawadi. Jambo hili litaongeza ushindani miongoni mwa wanafunzi na hatimaye kuimarisha lugha ya kiswahili. Walimu pia wanafaa kutenga siku maalum za kuzungumza lugha ya Kiswahili, hili litawawezesha wanafuzi kuboresha ujuzi wao wa lugha hii. Somo hili la kiswahili pia linafaa kufunzwa katika chuo kikuu kama somo la lazima. Hili litawafanya wanafunzi kuwa na ujuzi zaidi wa lugha ya kiswahili. | Kwa nini somo la kiswahili lafaa kuwa la lazima katika vyuo vikuu | {
"text": [
"Ili wanafunzi wawe na ujuzi na msamiati wa kutosha kuhusu kiswahili"
]
} |
3307_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zatumika katika mataifa mengi sana. Ni mojawapo ya lugha za kimataifa ambayo imetumika na wanakamati walio na hadhi mbalimbali katika idara hizo.
Serikali kuweka tamasha za kiswahili. Wakati serikali itaweza kuandaa tamasha mbalimbali, ndipo watu wengine watakapoweza kuimarika. Katika tamasha hizi, serikali yaweza kuwaalika magwiji wa lugha ya kiswahili ili kuweza kuendeleza lugha ya kiswahili.
Serikali kuweka mashindano ya kiswahili na wale wanaoshinda wapelekwe nje ya nchi kushindana na magwiji wa mataifa mengine. Kwa kuweka mashindano haya, serikali itawaza kuwafanya watu wengi watie bidii waweze kutuzwa na kwenda mashindano kwa mataifa ya ng’ambo.
Mataifa kujiunga pamoja na kuanzisha chama cha Kiswahili katakachoweza kuangalia maslahi ya lugha ya kiswahili na pia hata kuongeza na kuondoa maneno katika kamusi ya hivi sasa. Chama hicho kiweze kuwa cha kimataifa.
Vyama tofauti vya kiswahili viweze kuchagua watu watakaoenda katika nchi ambazo hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili na kuweza kuwafunza lugha hii.
Serikali kuweza kutambua kazi ya fasihi kwa kununua makala mbalimbali na kuweza kuyafanya ya kitaifa. Kwa kufanya hivi, itawafanya wazalendo wa kiswahili na hata wengine watiwe moyo na kuanza kuandika makala ya kiswahili na kuweza hata kuimarisha lugha hii.
Wananchi pia wanaweza kutengeneza filamu nyingi kwa kutumia lugha ya kiswahili iliyo na ufasaha. Kwa kupitia filamu hizi, wale wanaotazama wataweza kuongeza maarifa kuhusu lugha hiyo ya Kiswahili. Serikali kuweka vituo vya runinga na redio ambavyo vitasaidia kuwafunza watu lugha ya kiswahili.
| Kiswahili ni mojawapo ya lugha ipi? | {
"text": [
"Kimataifa"
]
} |
3307_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zatumika katika mataifa mengi sana. Ni mojawapo ya lugha za kimataifa ambayo imetumika na wanakamati walio na hadhi mbalimbali katika idara hizo.
Serikali kuweka tamasha za kiswahili. Wakati serikali itaweza kuandaa tamasha mbalimbali, ndipo watu wengine watakapoweza kuimarika. Katika tamasha hizi, serikali yaweza kuwaalika magwiji wa lugha ya kiswahili ili kuweza kuendeleza lugha ya kiswahili.
Serikali kuweka mashindano ya kiswahili na wale wanaoshinda wapelekwe nje ya nchi kushindana na magwiji wa mataifa mengine. Kwa kuweka mashindano haya, serikali itawaza kuwafanya watu wengi watie bidii waweze kutuzwa na kwenda mashindano kwa mataifa ya ng’ambo.
Mataifa kujiunga pamoja na kuanzisha chama cha Kiswahili katakachoweza kuangalia maslahi ya lugha ya kiswahili na pia hata kuongeza na kuondoa maneno katika kamusi ya hivi sasa. Chama hicho kiweze kuwa cha kimataifa.
Vyama tofauti vya kiswahili viweze kuchagua watu watakaoenda katika nchi ambazo hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili na kuweza kuwafunza lugha hii.
Serikali kuweza kutambua kazi ya fasihi kwa kununua makala mbalimbali na kuweza kuyafanya ya kitaifa. Kwa kufanya hivi, itawafanya wazalendo wa kiswahili na hata wengine watiwe moyo na kuanza kuandika makala ya kiswahili na kuweza hata kuimarisha lugha hii.
Wananchi pia wanaweza kutengeneza filamu nyingi kwa kutumia lugha ya kiswahili iliyo na ufasaha. Kwa kupitia filamu hizi, wale wanaotazama wataweza kuongeza maarifa kuhusu lugha hiyo ya Kiswahili. Serikali kuweka vituo vya runinga na redio ambavyo vitasaidia kuwafunza watu lugha ya kiswahili.
| Nani anafaa kuandaa tamasha za Kiswahili? | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
3307_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zatumika katika mataifa mengi sana. Ni mojawapo ya lugha za kimataifa ambayo imetumika na wanakamati walio na hadhi mbalimbali katika idara hizo.
Serikali kuweka tamasha za kiswahili. Wakati serikali itaweza kuandaa tamasha mbalimbali, ndipo watu wengine watakapoweza kuimarika. Katika tamasha hizi, serikali yaweza kuwaalika magwiji wa lugha ya kiswahili ili kuweza kuendeleza lugha ya kiswahili.
Serikali kuweka mashindano ya kiswahili na wale wanaoshinda wapelekwe nje ya nchi kushindana na magwiji wa mataifa mengine. Kwa kuweka mashindano haya, serikali itawaza kuwafanya watu wengi watie bidii waweze kutuzwa na kwenda mashindano kwa mataifa ya ng’ambo.
Mataifa kujiunga pamoja na kuanzisha chama cha Kiswahili katakachoweza kuangalia maslahi ya lugha ya kiswahili na pia hata kuongeza na kuondoa maneno katika kamusi ya hivi sasa. Chama hicho kiweze kuwa cha kimataifa.
Vyama tofauti vya kiswahili viweze kuchagua watu watakaoenda katika nchi ambazo hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili na kuweza kuwafunza lugha hii.
Serikali kuweza kutambua kazi ya fasihi kwa kununua makala mbalimbali na kuweza kuyafanya ya kitaifa. Kwa kufanya hivi, itawafanya wazalendo wa kiswahili na hata wengine watiwe moyo na kuanza kuandika makala ya kiswahili na kuweza hata kuimarisha lugha hii.
Wananchi pia wanaweza kutengeneza filamu nyingi kwa kutumia lugha ya kiswahili iliyo na ufasaha. Kwa kupitia filamu hizi, wale wanaotazama wataweza kuongeza maarifa kuhusu lugha hiyo ya Kiswahili. Serikali kuweka vituo vya runinga na redio ambavyo vitasaidia kuwafunza watu lugha ya kiswahili.
| Wananchi wanahimizwa kufanya nini? | {
"text": [
"Kufunza Kiswahili"
]
} |
3307_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zatumika katika mataifa mengi sana. Ni mojawapo ya lugha za kimataifa ambayo imetumika na wanakamati walio na hadhi mbalimbali katika idara hizo.
Serikali kuweka tamasha za kiswahili. Wakati serikali itaweza kuandaa tamasha mbalimbali, ndipo watu wengine watakapoweza kuimarika. Katika tamasha hizi, serikali yaweza kuwaalika magwiji wa lugha ya kiswahili ili kuweza kuendeleza lugha ya kiswahili.
Serikali kuweka mashindano ya kiswahili na wale wanaoshinda wapelekwe nje ya nchi kushindana na magwiji wa mataifa mengine. Kwa kuweka mashindano haya, serikali itawaza kuwafanya watu wengi watie bidii waweze kutuzwa na kwenda mashindano kwa mataifa ya ng’ambo.
Mataifa kujiunga pamoja na kuanzisha chama cha Kiswahili katakachoweza kuangalia maslahi ya lugha ya kiswahili na pia hata kuongeza na kuondoa maneno katika kamusi ya hivi sasa. Chama hicho kiweze kuwa cha kimataifa.
Vyama tofauti vya kiswahili viweze kuchagua watu watakaoenda katika nchi ambazo hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili na kuweza kuwafunza lugha hii.
Serikali kuweza kutambua kazi ya fasihi kwa kununua makala mbalimbali na kuweza kuyafanya ya kitaifa. Kwa kufanya hivi, itawafanya wazalendo wa kiswahili na hata wengine watiwe moyo na kuanza kuandika makala ya kiswahili na kuweza hata kuimarisha lugha hii.
Wananchi pia wanaweza kutengeneza filamu nyingi kwa kutumia lugha ya kiswahili iliyo na ufasaha. Kwa kupitia filamu hizi, wale wanaotazama wataweza kuongeza maarifa kuhusu lugha hiyo ya Kiswahili. Serikali kuweka vituo vya runinga na redio ambavyo vitasaidia kuwafunza watu lugha ya kiswahili.
| Kiswahili kitakua wakati serikali kitabuni nini? | {
"text": [
"Stesheni ya Kiswahili kwenye runinga na redio "
]
} |
3307_swa | NJIA ZA KUIMARISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI KENYA NA ULIMWENGUNI
Kiswahili ni mojawapo ya lugha ambazo zatumika katika mataifa mengi sana. Ni mojawapo ya lugha za kimataifa ambayo imetumika na wanakamati walio na hadhi mbalimbali katika idara hizo.
Serikali kuweka tamasha za kiswahili. Wakati serikali itaweza kuandaa tamasha mbalimbali, ndipo watu wengine watakapoweza kuimarika. Katika tamasha hizi, serikali yaweza kuwaalika magwiji wa lugha ya kiswahili ili kuweza kuendeleza lugha ya kiswahili.
Serikali kuweka mashindano ya kiswahili na wale wanaoshinda wapelekwe nje ya nchi kushindana na magwiji wa mataifa mengine. Kwa kuweka mashindano haya, serikali itawaza kuwafanya watu wengi watie bidii waweze kutuzwa na kwenda mashindano kwa mataifa ya ng’ambo.
Mataifa kujiunga pamoja na kuanzisha chama cha Kiswahili katakachoweza kuangalia maslahi ya lugha ya kiswahili na pia hata kuongeza na kuondoa maneno katika kamusi ya hivi sasa. Chama hicho kiweze kuwa cha kimataifa.
Vyama tofauti vya kiswahili viweze kuchagua watu watakaoenda katika nchi ambazo hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili na kuweza kuwafunza lugha hii.
Serikali kuweza kutambua kazi ya fasihi kwa kununua makala mbalimbali na kuweza kuyafanya ya kitaifa. Kwa kufanya hivi, itawafanya wazalendo wa kiswahili na hata wengine watiwe moyo na kuanza kuandika makala ya kiswahili na kuweza hata kuimarisha lugha hii.
Wananchi pia wanaweza kutengeneza filamu nyingi kwa kutumia lugha ya kiswahili iliyo na ufasaha. Kwa kupitia filamu hizi, wale wanaotazama wataweza kuongeza maarifa kuhusu lugha hiyo ya Kiswahili. Serikali kuweka vituo vya runinga na redio ambavyo vitasaidia kuwafunza watu lugha ya kiswahili.
| Washindi wa mashindano ya Kiswahili wanapaswa kuzawadiwa kivipi? | {
"text": [
"Kupelekwa nje ya nchi"
]
} |
3309_swa | JINSI TEKNOLOJIA IMEWEZA KUIMARISHA ELIMU.
Teknolojia ni mfumo wa kisayansi iliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile tarakilishi, vipatakilishi, rununu inayotumiwa katika kilimo, elimu na mengine mengi. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko makubwa katika masomo yetu.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujifunza jinsi ya kutumia vifaa kama vile vipatakilishi,
tarakilishi na hata rununu. Hii inafanyika katika shule, vyuo na hata pia mifumo mbali mbali za kimasomo. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma somo la kompyuta kama somo na pia imewawezesha wanafunzi kufuzu katika vyuo. Somo la kompyuta pia limewawezesha wanafunzi kutumia mtandao ili kufanya na kutafuta habari zinazohusu masomo. Hii imechangia pakubwa katika masomo.
Teknolojia pia imeweza kurahisisha ulipaji wa karo shuleni. Hili ni pia mjengo kuu katika elimu.
Sasa, wazazi wanaweza kulipa karo na pia wanafunzi wamepata kusoma vizuri. Hiyo ni kongole kubwa kwa teknolojia. Pia, teknolojia hii imewawezesha waalimu pia kufanya utafiti wa kufunza vipera vya masomo mbali mbali kama vile kemia. Sasa, wanafunzi wanaweza kufunzwa kemia kwa kuonyeshwa jinsi kemikali zinavyoweza kuchanganywa bila hata vifaa.
Pia, teknolojia imewarahisishia walimu kazi kwa ajili wanapoandika makala, inawachukua muda mrefu kukamilisha. Lakini, na mfumo wa kisasa imeweza kuwarahisishia kazi kwa kutafuta makala kwa tarakilishi kama vile makala ya riwaya, tamthlia na hata vitabu vya hadhithi.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi wa chuo kikuu kufanya utafiti kutumia vipatakilishi vyao na hata rununu. Bila mambo haya, Elimu ingalikuwa inadorora. Wanafunzi hawa sasa pia wanaweza kutumia ‘Google’ kufanya utafiti wa kimasomo.
Teknolojia ya habari na mawasiliano pia imewawezesha wanafunzi wanaojihusisha na wanahabari kufanya utafiti na hata kupata habari nyingi kupitia teknolojia. ‘TEKNO HAMA’ imechangia pakubwa kwa uimarishaji wa teknolojia katika elimu.
Isitoshe, teknolojia hii imeweza kuleta urahisi katika hisabati kwa kuleta kikokotoo ambayo ukibonyeza mbili tatu inatoa jibu. Hii ni badiliko kubwa katika teknolojia ya elimu. Sasa wanafunzi wanabobea katika somo la hisabati. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko na kuimarisha mfumo wa kielimu. | Somo gani kimewezesha wanafunzi kusoma kuhusu kemikali pasipo kuwepo na vifaa? | {
"text": [
"Kemia"
]
} |
3309_swa | JINSI TEKNOLOJIA IMEWEZA KUIMARISHA ELIMU.
Teknolojia ni mfumo wa kisayansi iliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile tarakilishi, vipatakilishi, rununu inayotumiwa katika kilimo, elimu na mengine mengi. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko makubwa katika masomo yetu.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujifunza jinsi ya kutumia vifaa kama vile vipatakilishi,
tarakilishi na hata rununu. Hii inafanyika katika shule, vyuo na hata pia mifumo mbali mbali za kimasomo. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma somo la kompyuta kama somo na pia imewawezesha wanafunzi kufuzu katika vyuo. Somo la kompyuta pia limewawezesha wanafunzi kutumia mtandao ili kufanya na kutafuta habari zinazohusu masomo. Hii imechangia pakubwa katika masomo.
Teknolojia pia imeweza kurahisisha ulipaji wa karo shuleni. Hili ni pia mjengo kuu katika elimu.
Sasa, wazazi wanaweza kulipa karo na pia wanafunzi wamepata kusoma vizuri. Hiyo ni kongole kubwa kwa teknolojia. Pia, teknolojia hii imewawezesha waalimu pia kufanya utafiti wa kufunza vipera vya masomo mbali mbali kama vile kemia. Sasa, wanafunzi wanaweza kufunzwa kemia kwa kuonyeshwa jinsi kemikali zinavyoweza kuchanganywa bila hata vifaa.
Pia, teknolojia imewarahisishia walimu kazi kwa ajili wanapoandika makala, inawachukua muda mrefu kukamilisha. Lakini, na mfumo wa kisasa imeweza kuwarahisishia kazi kwa kutafuta makala kwa tarakilishi kama vile makala ya riwaya, tamthlia na hata vitabu vya hadhithi.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi wa chuo kikuu kufanya utafiti kutumia vipatakilishi vyao na hata rununu. Bila mambo haya, Elimu ingalikuwa inadorora. Wanafunzi hawa sasa pia wanaweza kutumia ‘Google’ kufanya utafiti wa kimasomo.
Teknolojia ya habari na mawasiliano pia imewawezesha wanafunzi wanaojihusisha na wanahabari kufanya utafiti na hata kupata habari nyingi kupitia teknolojia. ‘TEKNO HAMA’ imechangia pakubwa kwa uimarishaji wa teknolojia katika elimu.
Isitoshe, teknolojia hii imeweza kuleta urahisi katika hisabati kwa kuleta kikokotoo ambayo ukibonyeza mbili tatu inatoa jibu. Hii ni badiliko kubwa katika teknolojia ya elimu. Sasa wanafunzi wanabobea katika somo la hisabati. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko na kuimarisha mfumo wa kielimu. | Teknologia kimechangia kusaidia wazazi kulipia nini? | {
"text": [
"Karo"
]
} |
3309_swa | JINSI TEKNOLOJIA IMEWEZA KUIMARISHA ELIMU.
Teknolojia ni mfumo wa kisayansi iliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile tarakilishi, vipatakilishi, rununu inayotumiwa katika kilimo, elimu na mengine mengi. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko makubwa katika masomo yetu.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujifunza jinsi ya kutumia vifaa kama vile vipatakilishi,
tarakilishi na hata rununu. Hii inafanyika katika shule, vyuo na hata pia mifumo mbali mbali za kimasomo. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma somo la kompyuta kama somo na pia imewawezesha wanafunzi kufuzu katika vyuo. Somo la kompyuta pia limewawezesha wanafunzi kutumia mtandao ili kufanya na kutafuta habari zinazohusu masomo. Hii imechangia pakubwa katika masomo.
Teknolojia pia imeweza kurahisisha ulipaji wa karo shuleni. Hili ni pia mjengo kuu katika elimu.
Sasa, wazazi wanaweza kulipa karo na pia wanafunzi wamepata kusoma vizuri. Hiyo ni kongole kubwa kwa teknolojia. Pia, teknolojia hii imewawezesha waalimu pia kufanya utafiti wa kufunza vipera vya masomo mbali mbali kama vile kemia. Sasa, wanafunzi wanaweza kufunzwa kemia kwa kuonyeshwa jinsi kemikali zinavyoweza kuchanganywa bila hata vifaa.
Pia, teknolojia imewarahisishia walimu kazi kwa ajili wanapoandika makala, inawachukua muda mrefu kukamilisha. Lakini, na mfumo wa kisasa imeweza kuwarahisishia kazi kwa kutafuta makala kwa tarakilishi kama vile makala ya riwaya, tamthlia na hata vitabu vya hadhithi.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi wa chuo kikuu kufanya utafiti kutumia vipatakilishi vyao na hata rununu. Bila mambo haya, Elimu ingalikuwa inadorora. Wanafunzi hawa sasa pia wanaweza kutumia ‘Google’ kufanya utafiti wa kimasomo.
Teknolojia ya habari na mawasiliano pia imewawezesha wanafunzi wanaojihusisha na wanahabari kufanya utafiti na hata kupata habari nyingi kupitia teknolojia. ‘TEKNO HAMA’ imechangia pakubwa kwa uimarishaji wa teknolojia katika elimu.
Isitoshe, teknolojia hii imeweza kuleta urahisi katika hisabati kwa kuleta kikokotoo ambayo ukibonyeza mbili tatu inatoa jibu. Hii ni badiliko kubwa katika teknolojia ya elimu. Sasa wanafunzi wanabobea katika somo la hisabati. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko na kuimarisha mfumo wa kielimu. | Chombo kipi kimewasaidia waalimu katika kuandika makala kama vile riwaya? | {
"text": [
"Tarakilishi"
]
} |
3309_swa | JINSI TEKNOLOJIA IMEWEZA KUIMARISHA ELIMU.
Teknolojia ni mfumo wa kisayansi iliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile tarakilishi, vipatakilishi, rununu inayotumiwa katika kilimo, elimu na mengine mengi. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko makubwa katika masomo yetu.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujifunza jinsi ya kutumia vifaa kama vile vipatakilishi,
tarakilishi na hata rununu. Hii inafanyika katika shule, vyuo na hata pia mifumo mbali mbali za kimasomo. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma somo la kompyuta kama somo na pia imewawezesha wanafunzi kufuzu katika vyuo. Somo la kompyuta pia limewawezesha wanafunzi kutumia mtandao ili kufanya na kutafuta habari zinazohusu masomo. Hii imechangia pakubwa katika masomo.
Teknolojia pia imeweza kurahisisha ulipaji wa karo shuleni. Hili ni pia mjengo kuu katika elimu.
Sasa, wazazi wanaweza kulipa karo na pia wanafunzi wamepata kusoma vizuri. Hiyo ni kongole kubwa kwa teknolojia. Pia, teknolojia hii imewawezesha waalimu pia kufanya utafiti wa kufunza vipera vya masomo mbali mbali kama vile kemia. Sasa, wanafunzi wanaweza kufunzwa kemia kwa kuonyeshwa jinsi kemikali zinavyoweza kuchanganywa bila hata vifaa.
Pia, teknolojia imewarahisishia walimu kazi kwa ajili wanapoandika makala, inawachukua muda mrefu kukamilisha. Lakini, na mfumo wa kisasa imeweza kuwarahisishia kazi kwa kutafuta makala kwa tarakilishi kama vile makala ya riwaya, tamthlia na hata vitabu vya hadhithi.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi wa chuo kikuu kufanya utafiti kutumia vipatakilishi vyao na hata rununu. Bila mambo haya, Elimu ingalikuwa inadorora. Wanafunzi hawa sasa pia wanaweza kutumia ‘Google’ kufanya utafiti wa kimasomo.
Teknolojia ya habari na mawasiliano pia imewawezesha wanafunzi wanaojihusisha na wanahabari kufanya utafiti na hata kupata habari nyingi kupitia teknolojia. ‘TEKNO HAMA’ imechangia pakubwa kwa uimarishaji wa teknolojia katika elimu.
Isitoshe, teknolojia hii imeweza kuleta urahisi katika hisabati kwa kuleta kikokotoo ambayo ukibonyeza mbili tatu inatoa jibu. Hii ni badiliko kubwa katika teknolojia ya elimu. Sasa wanafunzi wanabobea katika somo la hisabati. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko na kuimarisha mfumo wa kielimu. | Kupitia vipakatalishi, wanafunzi wa vyuo vikuu wamewezeshwa kufanya nini? | {
"text": [
"Utafiti"
]
} |
3309_swa | JINSI TEKNOLOJIA IMEWEZA KUIMARISHA ELIMU.
Teknolojia ni mfumo wa kisayansi iliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile tarakilishi, vipatakilishi, rununu inayotumiwa katika kilimo, elimu na mengine mengi. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko makubwa katika masomo yetu.
Teknolojia imewezesha wanafunzi kujifunza jinsi ya kutumia vifaa kama vile vipatakilishi,
tarakilishi na hata rununu. Hii inafanyika katika shule, vyuo na hata pia mifumo mbali mbali za kimasomo. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma somo la kompyuta kama somo na pia imewawezesha wanafunzi kufuzu katika vyuo. Somo la kompyuta pia limewawezesha wanafunzi kutumia mtandao ili kufanya na kutafuta habari zinazohusu masomo. Hii imechangia pakubwa katika masomo.
Teknolojia pia imeweza kurahisisha ulipaji wa karo shuleni. Hili ni pia mjengo kuu katika elimu.
Sasa, wazazi wanaweza kulipa karo na pia wanafunzi wamepata kusoma vizuri. Hiyo ni kongole kubwa kwa teknolojia. Pia, teknolojia hii imewawezesha waalimu pia kufanya utafiti wa kufunza vipera vya masomo mbali mbali kama vile kemia. Sasa, wanafunzi wanaweza kufunzwa kemia kwa kuonyeshwa jinsi kemikali zinavyoweza kuchanganywa bila hata vifaa.
Pia, teknolojia imewarahisishia walimu kazi kwa ajili wanapoandika makala, inawachukua muda mrefu kukamilisha. Lakini, na mfumo wa kisasa imeweza kuwarahisishia kazi kwa kutafuta makala kwa tarakilishi kama vile makala ya riwaya, tamthlia na hata vitabu vya hadhithi.
Teknolojia pia imewezesha wanafunzi wa chuo kikuu kufanya utafiti kutumia vipatakilishi vyao na hata rununu. Bila mambo haya, Elimu ingalikuwa inadorora. Wanafunzi hawa sasa pia wanaweza kutumia ‘Google’ kufanya utafiti wa kimasomo.
Teknolojia ya habari na mawasiliano pia imewawezesha wanafunzi wanaojihusisha na wanahabari kufanya utafiti na hata kupata habari nyingi kupitia teknolojia. ‘TEKNO HAMA’ imechangia pakubwa kwa uimarishaji wa teknolojia katika elimu.
Isitoshe, teknolojia hii imeweza kuleta urahisi katika hisabati kwa kuleta kikokotoo ambayo ukibonyeza mbili tatu inatoa jibu. Hii ni badiliko kubwa katika teknolojia ya elimu. Sasa wanafunzi wanabobea katika somo la hisabati. Teknolojia imeweza kuleta mabadiliko na kuimarisha mfumo wa kielimu. | Nini kimechnagia pakubwa kuimarisha teknologia katika elimu? | {
"text": [
"TEKNOHAMA"
]
} |
3310_swa | MBINU ZA KUHIFADHI MISITU.
Msitu ni mahala ambapo pamezingirwa na miti. Misitu inatusaidia kama wanadamu kwa njia mbalimbali kwa mfano miti hutumika katika ujenzi wa nyumba, hurembesha mazingira na ni mahali ambapo mito huanzia. Kwa miaka za hivi karibuni, wanadamu wamekata miti ovyo ovyo hata kupelekea mahali pengine kuwa na jangwa. Kwa sababu ya hayo, kunafaa kuwekwa mbinu za kuhifadhi misitu kwa vizazi vijavyo.
Kwanza kabisa ni kupanda miti pale ambapo hapajawai pandwa. Hii itasaidia kuleta hali nzuri ya anga. Kwenye jangwa, serikali inapaswa kupeleka maji ya kunyunyizia miti wakati ambapo imepandwa. Tukifanya hivyo, tutaleta ile taswira ya kijani kibichi na kutoa ile dhana ya nchi yetu kuwa ya hudhurungi.
Pili ni kuhimiza wakulima kupanda mazao yao pamoja na miti. Kwa mfano, kando ya mashamba kupandwe miti na pia tutilie mkazo ule mradi wa Moi wa kupanda majani na miti kwa pamoja. Hii itasaidia kwa kuongeza miti kwa wingi ambayo huleta mvua.
Kuwaimiza na kuwafunza wananchi umuhimu wa misitu katika mazingira ili wapunguze ukataji wa miti. Kuanzisha kampeni za uhifadhi wa mazingira kupitia mashirika kama vile ‘The Green Belt Movement’ ya Wangari Mathaa ili kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa misitu na athari za ukataji wa miti.
Pia serikali kuonyesha mfano mwema kwa wananchi wake kwa kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti kupitia kwa viongozi kama vile rais. Hii italeta hali ya wananchi kuelewa umuhimu wa upandaji miti. Pia serikali itie mikakati ya dhidi ya wale watakaokata misitu ovyo ovyo bila ya kupewa ruhusa. Mfano, wanaweza kufungwa jela mwaka moja ili kuwatahadharisha wengine.
Njia nyingine ni kuwahimiza wale wanaokata miti kila wanapokata mti mmoja wapande miti ingine kumi. Kisa na maana, akikata miti bila ya kupanda nyingine inaweza kusababisha mmomonyoka wa udongo ambayo itasababisha kiangazi. Tunapaswa kupanda miti kila mara tunapokata.
Pia serikali kuwahimiza wananchi kutumia njia mbadala za nishati katika upishi wao ili kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya upishi. Watu wanaweza kutumia mitungi ya gesi na stovu ambayo itapunguza ukataji wa miti. Kuhimiza watu kutochoma makaa na kutumia mbinu tofauti utachangia katika utunzi wa mazingira.
Serikali kutenga misitu kando ili watu wasiharibu misitu wa kukata ili kutafuta mashamba ya kulima. Serikali inaweza kufanya hivyo kwa kuweka walinda usalama katika misitu na pia kuwekea sengenge ili wanadamu wasiweze kuingia ndani.
Mwisho, wananchi wanapaswa kutii sheria na kanuni zilizowekwa katika utunzi wa misitu. Mikakati hii ikifuatwa, italeta na kufanya mazingira yawe safi na bora ya binadamu kuishi hat kwa vizazi vijavyo. | Misitu ni mahala ambapo pamezingirwa na nini | {
"text": [
"Miti"
]
} |
3310_swa | MBINU ZA KUHIFADHI MISITU.
Msitu ni mahala ambapo pamezingirwa na miti. Misitu inatusaidia kama wanadamu kwa njia mbalimbali kwa mfano miti hutumika katika ujenzi wa nyumba, hurembesha mazingira na ni mahali ambapo mito huanzia. Kwa miaka za hivi karibuni, wanadamu wamekata miti ovyo ovyo hata kupelekea mahali pengine kuwa na jangwa. Kwa sababu ya hayo, kunafaa kuwekwa mbinu za kuhifadhi misitu kwa vizazi vijavyo.
Kwanza kabisa ni kupanda miti pale ambapo hapajawai pandwa. Hii itasaidia kuleta hali nzuri ya anga. Kwenye jangwa, serikali inapaswa kupeleka maji ya kunyunyizia miti wakati ambapo imepandwa. Tukifanya hivyo, tutaleta ile taswira ya kijani kibichi na kutoa ile dhana ya nchi yetu kuwa ya hudhurungi.
Pili ni kuhimiza wakulima kupanda mazao yao pamoja na miti. Kwa mfano, kando ya mashamba kupandwe miti na pia tutilie mkazo ule mradi wa Moi wa kupanda majani na miti kwa pamoja. Hii itasaidia kwa kuongeza miti kwa wingi ambayo huleta mvua.
Kuwaimiza na kuwafunza wananchi umuhimu wa misitu katika mazingira ili wapunguze ukataji wa miti. Kuanzisha kampeni za uhifadhi wa mazingira kupitia mashirika kama vile ‘The Green Belt Movement’ ya Wangari Mathaa ili kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa misitu na athari za ukataji wa miti.
Pia serikali kuonyesha mfano mwema kwa wananchi wake kwa kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti kupitia kwa viongozi kama vile rais. Hii italeta hali ya wananchi kuelewa umuhimu wa upandaji miti. Pia serikali itie mikakati ya dhidi ya wale watakaokata misitu ovyo ovyo bila ya kupewa ruhusa. Mfano, wanaweza kufungwa jela mwaka moja ili kuwatahadharisha wengine.
Njia nyingine ni kuwahimiza wale wanaokata miti kila wanapokata mti mmoja wapande miti ingine kumi. Kisa na maana, akikata miti bila ya kupanda nyingine inaweza kusababisha mmomonyoka wa udongo ambayo itasababisha kiangazi. Tunapaswa kupanda miti kila mara tunapokata.
Pia serikali kuwahimiza wananchi kutumia njia mbadala za nishati katika upishi wao ili kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya upishi. Watu wanaweza kutumia mitungi ya gesi na stovu ambayo itapunguza ukataji wa miti. Kuhimiza watu kutochoma makaa na kutumia mbinu tofauti utachangia katika utunzi wa mazingira.
Serikali kutenga misitu kando ili watu wasiharibu misitu wa kukata ili kutafuta mashamba ya kulima. Serikali inaweza kufanya hivyo kwa kuweka walinda usalama katika misitu na pia kuwekea sengenge ili wanadamu wasiweze kuingia ndani.
Mwisho, wananchi wanapaswa kutii sheria na kanuni zilizowekwa katika utunzi wa misitu. Mikakati hii ikifuatwa, italeta na kufanya mazingira yawe safi na bora ya binadamu kuishi hat kwa vizazi vijavyo. | Miti hutumika katika ujenzi wa nini | {
"text": [
"Nyumba"
]
} |
3310_swa | MBINU ZA KUHIFADHI MISITU.
Msitu ni mahala ambapo pamezingirwa na miti. Misitu inatusaidia kama wanadamu kwa njia mbalimbali kwa mfano miti hutumika katika ujenzi wa nyumba, hurembesha mazingira na ni mahali ambapo mito huanzia. Kwa miaka za hivi karibuni, wanadamu wamekata miti ovyo ovyo hata kupelekea mahali pengine kuwa na jangwa. Kwa sababu ya hayo, kunafaa kuwekwa mbinu za kuhifadhi misitu kwa vizazi vijavyo.
Kwanza kabisa ni kupanda miti pale ambapo hapajawai pandwa. Hii itasaidia kuleta hali nzuri ya anga. Kwenye jangwa, serikali inapaswa kupeleka maji ya kunyunyizia miti wakati ambapo imepandwa. Tukifanya hivyo, tutaleta ile taswira ya kijani kibichi na kutoa ile dhana ya nchi yetu kuwa ya hudhurungi.
Pili ni kuhimiza wakulima kupanda mazao yao pamoja na miti. Kwa mfano, kando ya mashamba kupandwe miti na pia tutilie mkazo ule mradi wa Moi wa kupanda majani na miti kwa pamoja. Hii itasaidia kwa kuongeza miti kwa wingi ambayo huleta mvua.
Kuwaimiza na kuwafunza wananchi umuhimu wa misitu katika mazingira ili wapunguze ukataji wa miti. Kuanzisha kampeni za uhifadhi wa mazingira kupitia mashirika kama vile ‘The Green Belt Movement’ ya Wangari Mathaa ili kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa misitu na athari za ukataji wa miti.
Pia serikali kuonyesha mfano mwema kwa wananchi wake kwa kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti kupitia kwa viongozi kama vile rais. Hii italeta hali ya wananchi kuelewa umuhimu wa upandaji miti. Pia serikali itie mikakati ya dhidi ya wale watakaokata misitu ovyo ovyo bila ya kupewa ruhusa. Mfano, wanaweza kufungwa jela mwaka moja ili kuwatahadharisha wengine.
Njia nyingine ni kuwahimiza wale wanaokata miti kila wanapokata mti mmoja wapande miti ingine kumi. Kisa na maana, akikata miti bila ya kupanda nyingine inaweza kusababisha mmomonyoka wa udongo ambayo itasababisha kiangazi. Tunapaswa kupanda miti kila mara tunapokata.
Pia serikali kuwahimiza wananchi kutumia njia mbadala za nishati katika upishi wao ili kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya upishi. Watu wanaweza kutumia mitungi ya gesi na stovu ambayo itapunguza ukataji wa miti. Kuhimiza watu kutochoma makaa na kutumia mbinu tofauti utachangia katika utunzi wa mazingira.
Serikali kutenga misitu kando ili watu wasiharibu misitu wa kukata ili kutafuta mashamba ya kulima. Serikali inaweza kufanya hivyo kwa kuweka walinda usalama katika misitu na pia kuwekea sengenge ili wanadamu wasiweze kuingia ndani.
Mwisho, wananchi wanapaswa kutii sheria na kanuni zilizowekwa katika utunzi wa misitu. Mikakati hii ikifuatwa, italeta na kufanya mazingira yawe safi na bora ya binadamu kuishi hat kwa vizazi vijavyo. | Kubebwa kwa mchanga wa juu kutasababisha nini | {
"text": [
"Kukosekana kwa rotuba"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.