_id
stringlengths 15
22
| url
stringlengths 31
150
| title
stringlengths 1
86
| text
stringlengths 100
23.8k
|
---|---|---|---|
20231101.sw_174621_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Fortunato%20wa%20Fano
|
Fortunato wa Fano
|
Alijitahidi kukomboa watumwa hata kwa kuingia madeni ambayo Papa Gregori I alimruhusu kuyalipa hata kwa kuuza vyombo vya ibada.
|
20231101.sw_174624_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria (kwa Kiingereza Syriac Christianity; kwa Kisyria ܡܫܝܚܝܘܬܐ ܣܘܪܝܝܬܐ / Mšiḥoyuṯo Suryoyto au Mšiḥāyūṯā Suryāytā) ni aina ya Ukristo wa Mashariki ambayo imestawi kwanza katika lugha ya Kiaramu na matawi yake mbalimbali.
|
20231101.sw_174624_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Lugha hiyo, pamoja na Kigiriki na Kilatini, ni lugha muhimu zaidi ya Ukristo wa karne za kwanza, ikiheshimika pia kwa sababu ndiyo lugha mama ya Yesu na ya mitume wake wengi, kama si wote. Lugha hiyo ilienea na kutawala mawasiliano kutoka Antiokia upande wa magharibi hadi Seleucia-Ctesiphon, mji mkuu wa Milki ya Wasasani upande wa mashariki. Eneo hilo, lililojumlisha Syria, Lebanoni, Israeli/Palestina, Iraq na sehemu za Uturuki na Iran za leo, lilikuwa linagombaniwa kwa muda mrefu na Dola la Roma Mashariki na hiyo milki ya Wasasani.
|
20231101.sw_174624_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Maandishi muhimu zaidi ya mababu wa Kanisa kwa lugha hiyo yanapatikana katika mkusanyo Patrologia Orientalis.
|
20231101.sw_174624_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Tangu wakati wa Mitume Ukristo ulienezwa kwa lugha ya Kiaramu na jamii yake kutoka Yerusalemu hadi sehemu nyingi zilizoitumia, ingawa ushahidi wa hakika ni mdogo hadi karne ya 3. Katika mtaguso wa kwanza wa Nisea (325) walishiriki maaskofu 20 kutoka Syria na 1 kutoka Uajemi, nje ya Dola la Roma.
|
20231101.sw_174624_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Katika karne ya 5 Ukristo wa Kisiria ulijitenga na umoja wa Kanisa. Hawakuwa tena waamini binafsi walioshika msimamo tofauti na ule rasmi, bali Wakristo karibu wote wa nchi fulani chini ya maaskofu wao ndio waliojitenga.
|
20231101.sw_174624_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
1. Kufuatana na mtaguso wa Efeso (431), Wakristo wa nje ya Dola la Roma upande wa mashariki (Mesopotamia, Uajemi n.k.) walijitenga na kuendeleza maisha ya Kikristo chini ya dhuluma za Dola la Uajemi, huku wakieneza habari njema mbali zaidi na zaidi, hadi China na Indonesia.
|
20231101.sw_174624_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Hadi leo, warithi wa Ukristo huo wanafuata liturujia ya Mesopotamia. Ni kama milioni 5, wengi wakiwa Kerala (India Kusini).
|
20231101.sw_174624_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
2. Kwa sababu ya matatizo ya ndani ya dola la Roma la Mashariki mafarakano yalitokea hata katika nchi ya Siria na nyinginezo zilizokuwa chini ya Kaisari wa Bizanti. Katika nchi hizo, baada ya mtaguso wa Kalsedonia (451), sehemu kubwa ya Wakristo walijitenga na kuendelea kama Kanisa la kitaifa.
|
20231101.sw_174624_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Katika hali hiyo ya mafarakano, mbali ya dhuluma kutoka kwa Dola la Uajemi, ilitokea kwamba Muhammad aliunganisha makabila yote ya Waarabu kwa jina la Mungu mmoja, (kwa Kiarabu: Allah). Alipofariki mwaka 632 Waarabu walishambulia maeneo jirani ya Waroma wa Bizanti na ya Waajemi. Miaka mia moja baada ya kifo cha Muhamad sehemu kubwa ya dunia kati ya Moroko na Bonde la Indus (leo Pakistan) ilikuwa chini ya Uislamu.
|
20231101.sw_174624_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Uislamu ulienea haraka sana kwa nguvu ya kijeshi katika nchi hizo, ambazo baadhi, kama Syria, zilikuwa na Wakristo wengi. Mwanzoni walikuja Waarabu kadhaa tu: walichukua madaraka ya serikali kuu na kujenga makambi ya kijeshi katika kila nchi. Vijana wa Kiarabu walifuata baba zao wakiitikia wito wa dini uliokuja pamoja na nafasi ya kupata maisha nafuu. Mbali ya nguzo tano za Uislamu, walifundishwa kwamba ikiwa watakufa katika vita vitakatifu watapokewa na Mungu kama mashahidi wa imani na kuingia Paradiso moja kwa moja. Lakini wasipokufa vitani watakuwa matajiri wakitawala nchi mpya na kupokea kodi za wenyeji wasio Waislamu. Imani ya aina hii iliwapa nguvu kweli na iliendelea kuvuta Waarabu wengi kutoka kwao kuhamia hadi Asia ya Kati.
|
20231101.sw_174624_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Kwa kawaida Wakristo hawakulazimishwa kuacha imani yao. Viongozi wa Waarabu washindi walifanya mikataba na maaskofu wa Kikristo katika maeneo waliyoyateka. Wakristo waliahidiwa ulinzi wa makanisa yao wakiambiwa wanaweza kuendelea na mila na desturi walivyozoea. Lakini hawakuwa na haki zote za uraia. Wasio Waislamu walijiona wanabaguliwa mbele ya Waislamu. Walitozwa kodi kubwa ya pekee. Mahakamani hawakuweza kushuhudia dhidi ya Mwislamu, walilazimishwa kuvaa nguo za pekee tofauti na Waislamu, walikataliwa kupanda farasi, kujenga makanisa mapya, au kutumia kengele makanisani. Waislamu walipata kipaumbele katika mambo yote. Hivyo polepole wenyeji walianza kutumia lugha ya Kiarabu pamoja na kujiunga na Uislamu. Aliyejiunga na Uislamu na kujifunza Kiarabu alikubaliwa lakini Wakristo wenyeji waliotunza urithi wao walibaguliwa. Bila shaka wazazi wengine walitumaini kuwasaidia watoto wao wapate maendeleo maishani wakifuata dini ya watawala.
|
20231101.sw_174624_11
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Masharti ya kujiunga na Uislamu ni rahisi. Hakuna mafundisho magumu, mwanzoni inatosha kutamka "shahada" ya Kiislamu ambayo ni fupi sana: As-haddu inna la ilaha ila allah, wa Muhamad rasul ullah. (Nakiri ya kwamba Mungu ndiye mmoja tu, na Mohamad ni mtume wa Mungu). Lakini baadaye haiwezekani kurudi katika Ukristo maana sheria ya Kiislamu inaruhusu Mkristo kugeuka Mwislamu lakini inakataza kwa adhabu ya kifo Mwislamu asitoke katika imani hiyo na kufuata dini nyingine.
|
20231101.sw_174624_12
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Mara kwa mara upande wa watawala na wakubwa yalijitokeza matendo mabaya, kama makanisa kubomolewa au kugeuzwa misikiti, n.k. Kwa mfano msikiti mkuu wa Dameski (Siria) ulikuwa zamani Kanisa la Mt. Yohane Mbatizaji. Mwanzoni Waarabu waliahidi kuliheshimu, lakini mtawala aliyefuata alitaka jengo kubwa lililopatikana mjini kwa ajili ya ibada yake.
|
20231101.sw_174624_13
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Vipindi vya kulazimisha vilitokea tena na tena, hasa baada ya mataifa mapya kuwa Waislamu. Waarabu wenyewe walionyesha ustahimilivu zaidi kwa wenye imani nyingine (Wakristo, Wayahudi n.k.). Lakini Waturuki, Waajemi na Wamongolia baada ya kuwa Waislamu walikuwa wakali. Hasa vipindi vya vita vya msalaba kati ya Wakristo kutoka Ulaya na Waturuki viliongeza uchungu kwa Wakristo waliokuwa chini ya utawala wa Kiarabu. Katika vipindi hivyo Wakristo chini ya Waislamu waliweza kuangaliwa kama wasaliti na kuteswa, makanisa yao kubomolewa n.k. Majaribio yote ya kupigania uhuru yaligandamizwa vikali.
|
20231101.sw_174624_14
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Pamoja na Wakristo wengi kugeuka Waislamu, umisionari kwa mataifa mengine ya Asia ulizuiwa na dola la Kiislamu lililozunguka karibu pande zote nchi za Kikristo. Hata hivyo wamisionari wa Kanisa la Mesopotamia na Uajemi walikuwa wameshahubiri kote Asia ya Kati hadi China na Indonesia.
|
20231101.sw_174624_15
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Lakini huko Asia makabila na mataifa mapya walipokea Uislamu, mara nyingi kwa njia ya vita. Makabila hayo ya Waturuki na Wamongolia yalifuata imani ya Kiislamu kwa ukali kuliko Waarabu wenyewe. Walilazimisha wote waliokuwa na imani tofauti (Wakristo, Wabuddha au wafuasi wa dini za jadi) wawe Waislamu. Mtawala Mwislamu wa Wamongolia, Timur, aliua Wakristo lukuki na kubomoa makanisa elfu kadhaa alipofanya vita vyake Asia ya Kati. Katika vita hivyo Ukristo wa Asia ya Kati uliharibika kabisa. Maeneo makubwa yalichomwa moto, watu walilazimishwa kwa upanga kuwa Waislamu au kuuawa. Mnamo mwaka 1400 Ukristo wa Asia ulibaki katika Mashariki ya Kati tu (Asia ya Magharibi) pamoja na India Kusini (jimbo la Kerala).
|
20231101.sw_174624_16
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ukristo%20wa%20Kisiria
|
Ukristo wa Kisiria
|
Qambel Maran- Syriac chants from South India- a review and liturgical music tradition of Syriac Christians revisited
|
20231101.sw_174628_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck (kwa Kiingereza: Bismarck Archipelago) ni funguvisiwa la kaskazini mwa Papua Guinea Mpya. Vingi vina asili ya volikano.
|
20231101.sw_174628_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck
|
Firth, Stewart (1983). New Guinea Under the Germans. Carlton, Australia: Melbourne University Press. .
|
20231101.sw_174628_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck
|
Howe, K. R., Robert C. Kiste, Brij V. Lal, eds. (1994). Tides of History: The Pacific Islands in the Twentieth Century. Honolulu: University of Hawaii Press. .
|
20231101.sw_174628_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck
|
King, David et al. (1982). Papua New Guinea Atlas: A Nation in Transition. Bathurst, Australia: R. Brown and the University of Papua New Guinea. .
|
20231101.sw_174628_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck
|
Moore, Clive (2003). New Guinea: Crossing Boundaries and History. Honolulu: University of Hawaii Press. .
|
20231101.sw_174628_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Bismarck
|
Funguvisiwa la Bismarck
|
Ryan, Peter, ed. (1972). Encyclopedia of Papua New Guinea. 3 volumes; Vol I: A – K, maps, black and white illustrations, xv + 588pp. Vol II: l – Z, maps, black and white illustrations, 589–1231pp. Vol III: Index, folding colour map in rear pocket, map, colour illustration, v + 83pp. Carlton, Australia: Melbourne University Press. .
|
20231101.sw_174629_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Karolini
|
Funguvisiwa la Karolini
|
Funguvisiwa la Karolini (kwa Kiingereza: Caroline Islands) ni funguvisiwa la Mikronesia lililosambaa sana katika Bahari ya Pasifiki hadi umbali wa kilomita 3,540. Ni visiwa vidogo 500 hivi vyenye asili ya matumbawe.
|
20231101.sw_174629_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Karolini
|
Funguvisiwa la Karolini
|
Visiwa vimekaliwa na watu tangu miaka 4,000 iliyopita, hasa kutoka Rasi ya Malay na visiwa vya Indonesia. Wengine wametokea visiwa vya Polinesia.
|
20231101.sw_174629_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Karolini
|
Funguvisiwa la Karolini
|
Tangu kufika kwa Wahispania katika karne ya 16 visiwa vilikuwa chini ya ubwana wa nje lakini maisha ya kawaida yaliendelea bila mabadiliko makubwa kwa muda mrefu.
|
20231101.sw_174629_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Karolini
|
Funguvisiwa la Karolini
|
Mwisho wa karne ya 19 Hispania iliuza koloni hilo kwa Ujerumani; utawala wa Kijerumani ulikwisha katika Vita vikuu vya kwanza ukachukuliwa na Japani hadi mwisho wa Vita vikuu vya pili.
|
20231101.sw_174629_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Funguvisiwa%20la%20Karolini
|
Funguvisiwa la Karolini
|
Japani ilifuatwa na Marekani iliyoendelea kutawala kwa niaba ya UM hadi uhuru (mwaka 1986 kwa shirikisho na 1994 kwa Palau).
|
20231101.sw_174630_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Kisiwa cha Iona ni kisiwa kidogo magharibi kwa Uskoti Kaskazini kilicho maarufu kutokana na monasteri iliyoanzishwa huko na Kolumba mwaka 563.
|
20231101.sw_174630_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Kwa karne tatu monasteri hiyo ya Ukristo wa Kikelti ilipata kuwa kituo muhimu cha uinjilishaji kwa Uskoti mzima (Wapikti na Waskoti wa kale) na hata mbali zaidi.
|
20231101.sw_174630_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Christian, J & Stiller, C (2000), Iona Portrayed – The Island through Artists' Eyes 1760–1960, The New Iona Press, Inverness, 96pp, numerous illustrations in B&W and colour, with list of artists.
|
20231101.sw_174630_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Dwelly, Edward (1911). Faclair Gàidhlig gu Beurla le Dealbhan/The Illustrated [Scottish] Gaelic- English Dictionary. Edinburgh. Birlinn. .
|
20231101.sw_174630_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Gregory, Donald (1881) The History of the Western Highlands and Isles of Scotland 1493–1625. Edinburgh. Birlinn. 2008 reprint – originally published by Thomas D. Morrison. .
|
20231101.sw_174630_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Hunter, James (2000). Last of the Free: A History of the Highlands and Islands of Scotland. Edinburgh. Mainstream.
|
20231101.sw_174630_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Johnson, Samuel (1775). A Journey to the Western Islands of Scotland. London: Chapman & Dodd. (1924 edition).
|
20231101.sw_174630_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Watson, W. J., The History of the Celtic Place-names of Scotland. Reprinted with an introduction by Simon Taylor, Birlinn, Edinburgh, 2004. .
|
20231101.sw_174630_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Campbell, George F. (2006). The First and Lost Iona. Glasgow: Candlemas Hill Publishing. (and on Kindle).
|
20231101.sw_174630_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
Herbert, Maire (1996). Iona, Kells and Derry: The History and Hagiography of the Monastic familia of Columba. Dublin: Four Courts Press.
|
20231101.sw_174630_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Iona
|
Kisiwa cha Iona
|
MacArthur, E Mairi, Iona, Colin Baxter Island Guide (1997) Colin Baxter Photography, Grantown-on-Spey, 128pp.
|
20231101.sw_174631_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mitume%20kumi%20na%20wawili%20wa%20Ireland
|
Mitume kumi na wawili wa Ireland
|
Mitume kumi na wawili wa Ireland walikuwa wachache bora kati ya maelfu ya wanafunzi wa Finiani wa Clonard (470-549) katika monasteri ya Clonard, Ireland, kituo muhimu sana cha Ukristo wa Kikelti.
|
20231101.sw_174632_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Landeriko
|
Landeriko
|
Landeriko (kwa Kifaransa: Landry; alifariki Paris, Ufaransa, 656 hivi) alikuwa askofu wa ishirini na nane wa mji huo kuanzia mwaka 650 hadi kifo chake.
|
20231101.sw_174632_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Landeriko
|
Landeriko
|
Ili kusaidia fukara wakati wa njaa aliuza hata vyombo vya ibada na kujenga hospitali karibu na kanisa kuu.
|
20231101.sw_174632_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Landeriko
|
Landeriko
|
François De Vriendt, Saint Landry, évêque de Paris, dans Dictionnaire d'histoire et de géographie ecclésiastiques, t. 30, Paris, 2008, col. 289-292.
|
20231101.sw_174633_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Itamari%20wa%20Rochester
|
Itamari wa Rochester
|
Itamari wa Rochester (kwa Kiingereza: Ithamar, Ythamar; alifariki Rochester, 656/664 ) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki katika mji huo wa Uingereza, wa kwanza mwenye asili ya Kigermanik.
|
20231101.sw_174634_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bogumili
|
Bogumili
|
Bogumili (alifariki Dobrowo, Polandi, 10 Juni 1192) alikuwa askofu mkuu wa Gniezno, miaka 1170-1182, lakini miaka yake ya mwisho aliishi kama mkaapweke mwenye maisha magumu .
|
20231101.sw_174634_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bogumili
|
Bogumili
|
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pio XI tarehe 27 Mei 1925.
|
20231101.sw_174635_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Alida Mkoma (pia: Aleydis, Alix, Alice, Adelaide; Schaerbeek, leo nchini Ubelgiji 1120 hivi - Ixelles, Ubelgiji, 11 Juni 1150), alikuwa bikira wa shirika la Wasitoo ambaye akiwa na umri wa miaka 22 alipatwa na ukoma, hivyo akalazimika kuishi upwekeni. Polepole alipotewa na uwezo wa kuona na kutumia viungo vyake vyote isipokuwa kinywa ili aweze kuimba sifa za Mwenyezi Mungu.
|
20231101.sw_174635_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Tarehe 14 Machi 1907 Papa Pius X alithibitisha heshima ya mtakatifu ambayo Wakatoliki walimpa tangu zamani.
|
20231101.sw_174635_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Latin Critical edition: "De B. Aleyde Scharembekana, Sanctimoniali Ordinis Cisterciensis, Camerae Iuxta Bruxellam", in Acta Sanctorum, edited by Godfrey Henschen, 477–83. Paris: Société des Bollandistes, 1688; repr. 1969.
|
20231101.sw_174635_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Modern English translation: Life of St Alice of Schaerbeek. Translated by Martinus Cawley, O.C.S.O. Lafayette, OR: Our Lady of Gaudalupe Abbey, 2000. Excerpts of the translation are available to read online:
|
20231101.sw_174635_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Campion, Eleanor, O.C.S.O. "Bernard and Alice the Leper: An Odor of Life for Some." Cistercian Studies Quarterly 39, no. 2 (2004): 127–39.
|
20231101.sw_174635_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Cawley, Martinus. "Introduction." In Life of St Alice of Schaerbeek, edited by Martinus Cawley, v-xxx. Lafayette, OR: Our Lady of Gaudalupe Abbey, 2000.
|
20231101.sw_174635_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Krahmer, Shawn Madison. "Redemptive Suffering: The Life of Alice of Schaerbeek in a Contemporary Context." In Maistresse of My Wit: Medieval Women, Modern Scholars, edited by Juanita Ruys and Louise d’Arcen, 267–93. Turnhout: Brepols, 2004.
|
20231101.sw_174635_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Madison, Shawn. "Suffering, Sacrifice, and Stability: "The Life of Aleydis of Schaerbeek" in a Contemporary Context ". Magistra 8, no. 2 (2002): 25-44.
|
20231101.sw_174635_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Mikkers, Edmund. O.C.S.O. "Meditations on the "Life" of Alice of Schaerbeek ". In Hidden Springs: Cistercian Monastic Women, edited by John A. Nichols and Lillian Thomas. O.C.S.O. Shank. Medieval Religious Women, 395-413. Kentucky: Cistercian Publications, 1995.
|
20231101.sw_174635_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Scholl , Edith, O.C.S.O. "The Golden Cross: Aleydis of Schaerbeek." In Hidden Springs: Cistercian Monastic Women, edited by John A. Nichols and Lillian Thomas. O.C.S.O. Shank. Medieval Religious Women, 377–93. Kentucky: Cistercian Publications, 1995.
|
20231101.sw_174635_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Spencer-Hall, Alicia. "Christ’s Suppurating Wounds: Leprosy in the Vita of Alice of Schaerbeek († 1250)." In ‘His Brest Tobrosten’: Wounds and Wound Repair in Medieval Culture, edited by Kelly DeVries and Larissa Tracy, 389–416. Leiden: Brill, 2015.
|
20231101.sw_174635_11
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Alida%20Mkoma
|
Alida Mkoma
|
Saint Lydwine of Schiedam, by J.K. Huysmans (translated from the French by Agnes Hastings), 1923, Kegan Paul, Trench, Trubner & Co., London. Reprinted 1979, TAN Books and Publishers, Rockford, Illinois, ISBN 0-89555-087-3
|
20231101.sw_174691_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Eskil%20wa%20Tuna
|
Eskil wa Tuna
|
Eskil wa Tuna (Uingereza, karne ya 10 - Uswidi, karne ya 11) alikuwa askofu mmisionari huko Uswidi hadi alipouawa kwa kupigwa mawe mwaka 1038 au 1080.
|
20231101.sw_174692_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Odulfi
|
Odulfi
|
Odulfi (pia: Odwulf, Odulf, Odulph, Odulfo, Odulphus ; alifariki Utrecht, Uholanzi, 865 hivi) alikuwa padri wa shirika la Waaugustino kutoka Brabant Kaskazini aliyeinjilisha kwa mafanikio Wafrisia.
|
20231101.sw_174693_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Rambati
|
Rambati
|
(pia: Rambert, Ragnebert, Ragnebertus; alifariki karibu na Lyon, Ufaransa, 13 Juni 680) alikuwa mkabaila mwenye maadili ya hali ya juu ambaye alichukiwa na mkuu wa ikulu hata akafungwa na hatimae kuuawa.
|
20231101.sw_174733_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Salmodi
|
Salmodi
|
Salmodi (pia: Psalmodius, Psalmet, Sauman, Saumay; aliishi karne ya 7) alikuwa mkaapweke karibu na Limoges, Akwitania, leo nchini Ufaransa.
|
20231101.sw_174734_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Aventino%20wa%20Larboust
|
Aventino wa Larboust
|
Aventino wa Larboust (Bagnères-de-Luchon, 780 hivi - Saint-Aventin, 13 Juni karne ya 8) alikuwa mkaapweke katika bonde la Larboust, kwenye milima ya Pirenei, kusini mwa Ufaransa, hadi alipouawa na Waislamu.
|
20231101.sw_174734_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Aventino%20wa%20Larboust
|
Aventino wa Larboust
|
Paul Guérin et François Giry, « 13 juin : saint Aventin, apôtre de la Gascogne et martyr », dans Les petits Bollandistes Vies des saints de l'Ancien et du Nouveau Testament : Du 19 mai au 13 juin, t. 6, Bloud et Barral libraires-éditeurs, 1882, 654+VIII, p. 607-611
|
20231101.sw_174734_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Aventino%20wa%20Larboust
|
Aventino wa Larboust
|
Notice historique sur Saint-Aventin d'Aquitaine, martyr, par un prêtre du diocèse, Toulouse, Bon et Privat, 1850 ; rééd. Montréjeau, imp. Fabbro, 1988
|
20231101.sw_174747_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Bungo wapenda-giza au madundu ni mbawakawa wa familia Tenebrionidae katika nusuoda Polyphaga ya oda Coleoptera. Kama bungo wote wanaweza kuwa wakubwa lakini wadogo pia. Baadhi ya spishi zinaweza kuwa haribifu, kama vile bungo wa unga (inayojulikana zaidi kama mnyoo wa unga). Kuna spishi zaidi ya 20,000 duniani kote; idadi ya spishi za Afrika ya Mashariki haijahesabiwa.
|
20231101.sw_174747_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Kwa ujumla, mbawakawa hawa wanafanana sana na mbawakawa wa wastani. Katika ukaguzi wa karibu, sifa zifuatazo zinaweza kutambuliwa:
|
20231101.sw_174747_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Tarsi zina pingili tano katika jozi ya kwanza na ya kati na nne katika jozi ya nyuma (5-5-4); kucha za tarsi ni rahisi.
|
20231101.sw_174747_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Lava ni ndefu, nyembamba na ya umbo la mcheduara na wana kutikulo yenye siklerotini nyingi. Kwa kawaida huwa na rangi ya manjano hadi rangi ya machungwa isiyoiva.
|
20231101.sw_174747_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Kama jina lao linavyoonyesha, wapevu hupenda kukaa mahali penye giza kama vile chini ya takataka au mawe, kwenye nyufa na mashimo. Wapevu na lava wa spishi nyingi ni wakulavyote wanaokula majani yanayooza, ubao unaooza, dutu bichi ya mimea, wadudu waliokufa na kuvu. [10] Wengine wamebobea katika kula nyoga. Spishi nyingi kubwa zaidi haziruki, mara nyingi kwa sababu mabawa yao mangumu ya mbele yameunganishwa pamoja, haswa katika maeneo makavu, ili kupunguza uvukizaji. Wapevu wa spishi nyingi huishi muda mrefu zaidi kuliko wadudu wengine wengi, kama miezi sita hadi miaka miwili.
|
20231101.sw_174747_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Lava wanaoishi ardhini huitwa nyunguwaya bandia (nyunguwaya wa kweli ni lava za bungo-fyatuo). Wanakula dutu za kikaboni zinazooza lakini pia wanaweza kusababisha hasara kwa kula mbegu zinazoota na kutafuna mizizi na machipukizi ya miche. Mara nyingi wao ni chanzo kinono cha chakula cha ndege na mamalia wadogo. Lava wengine hula nafaka iliyohifadhiwa na bidhaa zingine kama unga, nafaka za kiamshakinywa, tambi, biskuti, maharagwe na makokwa. Hawa huitwa minyoo ya unga, ikiwa ni pamoja na wale wa bungo mwekundu wa unga (Tribolium castaneum).
|
20231101.sw_174747_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bungo%20mpenda-giza
|
Bungo mpenda-giza
|
Bungo wapenda-giza ni sehemu muhimu ya kina wadudu wa jangwani pamoja na bungo-mavi. Wale walio katika Jangwa la Namib wamebadilika kwa njia ambayo hukusanya matone ya ukungu yanayowekwa kwenye mabawa yao. Matone yanapokusanyika, maji hutiririka chini ya mgongo wa bungo hadi kwenye sehemu za kinywa, ambapo yanamezwa.[14]
|
20231101.sw_174759_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Lotari%20wa%20Seez
|
Lotari wa Seez
|
(pia: Lother, Lotharie au Lohier; 685 - 15 Juni 756) alikuwa askofu wa 16 wa Seez, katika Ufaransa wa leo, hadi alipoamua kwenda kuishi upwekeni.
|
20231101.sw_174760_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Isfridi
|
Isfridi
|
Isfridi, O.Prem. (1115 - Ratzeburg, Holstein, Ujerumani, 15 Juni 1204) alikuwa askofu wa 3 wa Ratzeburg kutoka shirika la Wapremontree, ambaye, huku akidumisha nidhamu ya kitawa, aliinjilisha Wavendi .
|
20231101.sw_174760_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Isfridi
|
Isfridi
|
Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Benedikto XIII alithibitisha heshima hiyo mwaka 1725.
|
20231101.sw_174766_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Bobsledi (vilevile bobsleigh kutoka Kiingereza) ni aina ya mchezo wa Olimpiki unaohusisha timu ya watu wanaojitupa katika gari dogo la kusukuma lenye umbo la mstatili (bobsled). Maarufu sana nyakati za baridi. Ushindanishwaji wake huwa kwenye njia iliyotengenezwa katika barafu au utando wa baridi. Bobsledi inaweza kuwa mchezo wa kusisimua na unaohitaji ustadi mkubwa na ushirikiano kati ya wanariadha wa timu.
|
20231101.sw_174766_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Gari la Bobsled: Bobsledi ni gari la kushusha / kupoza baridi lenye muundo wa umbo la mstatili na lenye mawasiliano ya kushikilia baridi vizuri. Kuna aina tofauti za bobsledi, ikiwa ni pamoja na bobber-4 (kwa timu ya watu wanne) na bobber-2 (kwa timu ya watu wawili).
|
20231101.sw_174766_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Timu: Timu ya bobsledi ina jumla ya wanariadha wanaojumuisha dereva na wale wanaojipanga ndani ya bobsledi. Dereva anadhibiti mwelekeo na kasi ya bobsledi wakati wa kushuka kwenye njia.
|
20231101.sw_174766_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Njia: Njia ya bobsledi hutengenezwa kwenye barafu au utando wa baridi. Njia hizi zina vipengele, sehemu zenye mwinuko, haraka, pia zinaweza kuhusisha sehemu za kugeuza na changarawe ili kuongeza chachu ya mchezo.
|
20231101.sw_174766_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Shindano: Katika shindano la bobsledi, timu huanza kukimbiza mbio chombo kutoka juu ya mwinuko na kuingia kwenye bobsledi kwa kuchumpayao. Wanariadha hujaribu kushika nafasi za ndani ya gari ili kupunguza upinzani wa hewa. Dereva anatumia mbinu za kuendesha kubadilisha mwelekeo na kasi ya bobsledi wakati wa kushuka kwenye njia.
|
20231101.sw_174766_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Kasi na Usalama: Bobsledi inaweza kufikia kasi kubwa sana wakati wa kushuka, na kwa sababu hiyo, usalama ni jambo muhimu sana. Wanariadha wanavaa vifaa vya kinga, na kuna kanuni kali za usalama zinazosimamiwa katika mchezo huu.
|
20231101.sw_174766_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bobsledi
|
Bobsledi
|
Historia: Bobsled ulianza katika miaka ya 1870 huko Uswisi na baadaye ukawa mchezo maarufu wa barafu. Leo, bobsledi ni sehemu ya Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi na inashirikisha timu kutoka duniani kote.
|
20231101.sw_174767_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
Jon Turteltaub ni mwongozaji na mtayarishaji maarufu wa filamu kutoka Marekani. Alizaliwa mnamo Agosti 8, 1963, huko New York City, New York], Marekani. Akiwa na asili ya Italia katika familia ya wasanii, Jon alionyesha uwezo wa kuongoza na kuunda hadithi mapema katika maisha yake.
|
20231101.sw_174767_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
Baada ya kumaliza masomo yake ya shule ya upili, Jon Turteltaub aliendelea na masomo yake ya chuo kikuu katika Chuo Kikuu cha Wesleyan, ambapo alisomea sanaa ya maigizo na uongozaji wa filamu. Elimu yake ya chuo kikuu ilimpa msingi imara wa uelewa wa sanaa na uigizaji, ambapo ulimsaidia kuendeleza kazi yake katika tasnia ya filamu.
|
20231101.sw_174767_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
Kazi ya Jon Turteltaub katika tasnia ya filamu imejulikana kwa ubunifu wake na uwezo wa kuwafikishia watazamaji hadithi zenye kugusa mioyo na burudani. Baadhi ya filamu zake maarufu ni pamoja na "Cool Runnings" (1993), ambayo iliiangazia hadithi ya kweli ya timu ya mbio za sledi kutoka nchi ya Jamaica kushiriki katika Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi. Filamu hii ilikuwa kichekesho cha moyo na inayojenga ujasiri.
|
20231101.sw_174767_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
"Phenomenon" (1996) ni nyingine iliyofanikiwa sana katika mkusanyiko wake, inaigiza John Travolta kama mwanaume wa kawaida ambaye anapata uwezo wa kipekee wa kujifunza na kufanya mambo ya ajabu baada ya tukio la kimya kimya. Filamu hii ilikuwa na ujumbe wa kusisimua kuhusu nguvu ya maarifa na uelewa.
|
20231101.sw_174767_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
Jon Turteltaub pia alishiriki katika utengenezaji wa safu ya filamu za "National Treasure" (2004) na "National Treasure: Book of Secrets" (2007), ambazo zinajumuisha uchunguzi wa siri za kihistoria na hazina kubwa za taifa la Marekani. Filamu hizi zilileta pamoja historia, vitisho, na hadithi za uchunguzi kwa njia ya kufurahisha na kusisimua.
|
20231101.sw_174767_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
Katika "The Sorcerer's Apprentice" (2010), Jon Turteltaub aliendelea kuonyesha ujuzi wake wa kuongoza filamu za vitisho na hatua. Filamu hii inaigiza Nicolas Cage na inategemea hadithi ya mwanafunzi wa uchawi ambaye anajifunza kutoka kwa mchawi mkongwe.
|
20231101.sw_174767_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jon%20Turteltaub
|
Jon Turteltaub
|
Kupitia kazi yake ya kuigiza na kuongoza, Jon Turteltaub ameleta burudani na mafanikio kwa watazamaji ulimwenguni kote. Amekuwa mmoja wa waongozaji wa filamu wanaoheshimiwa sana katika tasnia ya burudani, na kazi zake zinaendelea kufurahisha na kuhamasisha watazamaji kote ulimwenguni.
|
20231101.sw_174768_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
Dawn Steel alikuwa mtendaji maarufu katika tasnia ya filamu ya Marekani. Alizaliwa mnamo Agosti 19, 1946, huko New York City, New York, USA, na alifariki mnamo Desemba 20, 1997. Alikuwa mmoja wa wanawake wachache waliopata mafanikio makubwa katika nafasi za uongozi katika tasnia ya filamu wakati wa kazi yake.
|
20231101.sw_174768_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
Dawn Steel alipata elimu yake katika Chuo Kikuu cha West Virginia na baadaye alifanya kazi katika majarida ya burudani kabla ya kuanza kazi yake katika tasnia ya filamu. Alianza kama msimamizi wa utengenezaji na baadaye akafanya kazi na kampuni za filamu kama vile Paramount Pictures.
|
20231101.sw_174768_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
Kazi ya Dawn Steel katika tasnia ya filamu imejulikana kwa uwezo wake wa kuchukua hatari na kuendeleza miradi ya kuvutia. Alihusika katika uzalishaji wa filamu nyingi maarufu, ikiwa ni pamoja na:
|
20231101.sw_174768_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
"Top Gun" (1986) - Filamu hii ya vitisho na hatua ilikuwa moja wapo ya filamu za kubeba mapato zaidi za mwaka huo. Iliwasilisha maisha ya marubani wa kijeshi wa Navy na iliyoongozwa na Tony Scott.
|
20231101.sw_174768_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
"Fatal Attraction" (1987) - Filamu hii ya kutisha iliyoiigiza Michael Douglas na Glenn Close ilitengeneza msisimko mkubwa na inaendelea kuchukuliwa kuwa moja ya sinema bora za kutisha za muda wote.
|
20231101.sw_174768_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
"The Accused" (1988) - Filamu hii iliyoiigiza Jodie Foster ililenga suala la unyanyasaji wa kijinsia na ilipokea tuzo nyingi na sifa kwa uigizaji wa Foster.
|
20231101.sw_174768_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dawn%20Steel
|
Dawn Steel
|
Dawn Steel alikuwa mtendaji wa kwanza wa kike kuchukua jukumu la uongozi katika kampuni kubwa ya filamu, Paramount Pictures, na aliendelea kufanya kazi kwa ufanisi katika majukumu ya utayarishaji na utendaji katika tasnia ya burudani. Alichangia sana katika mafanikio ya filamu za Hollywood na kuwa mfano wa mwanamke mwenye mafanikio katika tasnia hiyo. Kifo chake mnamo 1997 kilikuwa pigo kwa tasnia ya filamu na ulimwengu wa burudani.
|
20231101.sw_174776_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Yustina%20wa%20Mainz
|
Yustina wa Mainz
|
Yustina wa Mainz (alifariki 451 hivi) alikuwa dada wa Aureus wa Mainz, askofu wa kwanza kujulikana wa Mainz, leo nchini Ujerumani, katika nusu ya kwanza ya karne ya 5.
|
20231101.sw_174781_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sekardo
|
Sekardo
|
Sekardo (kwa Kiitalia: Ceccardo; alifariki Carrara, Toscana, Italia, 860 au 892) alikuwa askofu wa Luni aliyeuawa na mafundi wa kukata miamba .
|
20231101.sw_174808_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Vercetti%20Regular
|
Vercetti Regular
|
Vercetti Regular, ambayo pia inajulikana kama Vercetti, ni fonti isiyolipishwa ya sans serif ambayo inaweza kutumika kwa madhumuni ya kibiashara na kibinafsi. Ilianza kupatikana mnamo 2022 chini ya leseni ya Licence Amicale, ambayo inaruhusu watumiaji kushiriki faili za fonti na marafiki na wafanyikazi wenzako.
|
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.