Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
1665_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini mwetu. Tunapokuwa tukitupa taka kila mahali na kuweza kujisaidia kila mahali tunapata pia hiyo ni ukosefu wa nidhamu na hiyo ni kuharibu mazingira yetu. Tunapaswa kutumia vyoo vyetu vizuri, kutupa taka mahali kunapofaa kunaweza kupunguza hatari ya magonjwa. Tunapotupa taka kwenye maziwa na mabahari yetu tunasababisha viumbe ambavyo viko majini kuaga. Katika hiyo harakati ya viumbe hivyo kukufa, wavuvi wengi hukosa kazi kwa maana hao wanyama ndio waliokuwa wamewategemea katika kupata riziki yao ya kila siku. Wakati ambapo mazingira yetu ni machafu, harufu mbaya huweza kuwa katika hewa na wakati unapo pumua hewa hiyo, tunaweza kupumua hewa hiyo mbaya na kwa hayo, tukaweza kupata magonjwa mbali mbali na kusababisha watu kukufa kutokana na hewa hiyo. Vyakula vyetu pia vinavyo kuwa vikiuzwa huko barabarani inaweza kuwa imepata uchafu kisha utakapoikula unaweza kuendesha. Katika hali hiyo ya wagonjwa wengi kwenda hospitalini ili waweze kupata matibabu, wanakuwa wengi katika mahospitalini mpaka wagonjwa wengine wanakosa vitanda huko hospitalini. Pia upungufu wa madawa katika hospitalini zetu hupungua kwa maana wagonjwa wa kipindupindu huendelea kuongezeka na wakati wanapoongezeka, nazo madawa zinapungua.
Mtu anaweza kuanza kuendesha lini
{ "text": [ "anapokula chakula kichafu" ] }
1665_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini mwetu. Tunapokuwa tukitupa taka kila mahali na kuweza kujisaidia kila mahali tunapata pia hiyo ni ukosefu wa nidhamu na hiyo ni kuharibu mazingira yetu. Tunapaswa kutumia vyoo vyetu vizuri, kutupa taka mahali kunapofaa kunaweza kupunguza hatari ya magonjwa. Tunapotupa taka kwenye maziwa na mabahari yetu tunasababisha viumbe ambavyo viko majini kuaga. Katika hiyo harakati ya viumbe hivyo kukufa, wavuvi wengi hukosa kazi kwa maana hao wanyama ndio waliokuwa wamewategemea katika kupata riziki yao ya kila siku. Wakati ambapo mazingira yetu ni machafu, harufu mbaya huweza kuwa katika hewa na wakati unapo pumua hewa hiyo, tunaweza kupumua hewa hiyo mbaya na kwa hayo, tukaweza kupata magonjwa mbali mbali na kusababisha watu kukufa kutokana na hewa hiyo. Vyakula vyetu pia vinavyo kuwa vikiuzwa huko barabarani inaweza kuwa imepata uchafu kisha utakapoikula unaweza kuendesha. Katika hali hiyo ya wagonjwa wengi kwenda hospitalini ili waweze kupata matibabu, wanakuwa wengi katika mahospitalini mpaka wagonjwa wengine wanakosa vitanda huko hospitalini. Pia upungufu wa madawa katika hospitalini zetu hupungua kwa maana wagonjwa wa kipindupindu huendelea kuongezeka na wakati wanapoongezeka, nazo madawa zinapungua.
Wavuvi wengi hukosa kazi aje
{ "text": [ "wanyama hao wakifa wavuvi hukosa riziki yao" ] }
1667_swa
Andika insha ya madhara ya kuchafua mazingira Moja wapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zenye viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi nyingine lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambako hakuna viwanda vingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi. Kemikali na uchafuzi wa viwanda hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na sumu nyingi kiasi kwamba wanyama na mimea ya majini hufana hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hauja kuwepo sana katika fiche zinazoendelea, lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa la nchi zinazoendelea ni jinsi ya kujiongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima kwa kutumia dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa. Njia nyingi mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo, ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokotoa katika maeneo ambayo samaki baharini Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zinazoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi kubwa ya magari hutoamoshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hii limekuwa kubwa kiasi ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi ya aina zote.
Mojawapo ya tisho ya mazingira ni nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1667_swa
Andika insha ya madhara ya kuchafua mazingira Moja wapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zenye viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi nyingine lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambako hakuna viwanda vingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi. Kemikali na uchafuzi wa viwanda hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na sumu nyingi kiasi kwamba wanyama na mimea ya majini hufana hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hauja kuwepo sana katika fiche zinazoendelea, lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa la nchi zinazoendelea ni jinsi ya kujiongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima kwa kutumia dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa. Njia nyingi mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo, ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokotoa katika maeneo ambayo samaki baharini Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zinazoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi kubwa ya magari hutoamoshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hii limekuwa kubwa kiasi ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi ya aina zote.
Kemikali za viwanda hutupwa wapi
{ "text": [ "mtoni" ] }
1667_swa
Andika insha ya madhara ya kuchafua mazingira Moja wapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zenye viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi nyingine lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambako hakuna viwanda vingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi. Kemikali na uchafuzi wa viwanda hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na sumu nyingi kiasi kwamba wanyama na mimea ya majini hufana hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hauja kuwepo sana katika fiche zinazoendelea, lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa la nchi zinazoendelea ni jinsi ya kujiongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima kwa kutumia dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa. Njia nyingi mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo, ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokotoa katika maeneo ambayo samaki baharini Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zinazoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi kubwa ya magari hutoamoshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hii limekuwa kubwa kiasi ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi ya aina zote.
Wakulima wanahimizwa kwa kutumia nini
{ "text": [ "Dawa" ] }
1667_swa
Andika insha ya madhara ya kuchafua mazingira Moja wapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zenye viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi nyingine lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambako hakuna viwanda vingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi. Kemikali na uchafuzi wa viwanda hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na sumu nyingi kiasi kwamba wanyama na mimea ya majini hufana hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hauja kuwepo sana katika fiche zinazoendelea, lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa la nchi zinazoendelea ni jinsi ya kujiongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima kwa kutumia dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa. Njia nyingi mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo, ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokotoa katika maeneo ambayo samaki baharini Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zinazoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi kubwa ya magari hutoamoshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hii limekuwa kubwa kiasi ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi ya aina zote.
Sehemu yenye rutuba inageuzwa nini
{ "text": [ "Jangwa" ] }
1667_swa
Andika insha ya madhara ya kuchafua mazingira Moja wapo ya vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafuzi. Uchafuzi wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zenye viwanda vingi. Ni wazi kuwa uchafuzi huo ni mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi nyingine lakini inawezekana pia kuwepo katika nchi zinazoendelea ambako hakuna viwanda vingi. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yenye viwanda vingi. Kemikali na uchafuzi wa viwanda hutupwa katika mito. Maji ya mto huwa na sumu nyingi kiasi kwamba wanyama na mimea ya majini hufana hatimaye kusombwa hadi baharini au ziwani. Ni kweli kwamba uchafuzi huu wa maji hauja kuwepo sana katika fiche zinazoendelea, lakini si kwamba haupo, maji yanaweza kuchafuliwa kwa njia nyingi zaidi ya viwanda. Tatizo kubwa la nchi zinazoendelea ni jinsi ya kujiongezea chakula katika jamii zenye idadi kubwa ya watu. Wakulima wanahimizwa kulima kwa kutumia dawa mbalimbali za kilimo. Baadhi ya dawa hizi zinazowekwa mashambani husombwa na maji ya mvua na kusafirishwa hadi mitoni. Dawa hizi zifikapo mitoni, husaidia kukuza mimea ambayo huzuia mwendo wa maji na wanyama kuishi kwa usalama. Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzunguka binadamu, kama vile ardhi, mito, maziwa, bahari na hewa inayomzunguka kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa. Njia nyingi mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo, ufugaji wa mifugo wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kwa jangwa. Uvuvi wa nyavu za kukokotoa katika maeneo ambayo samaki baharini Hizi ni baadhi ya njia nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kufikia hapo tumejadili uchafuzi wa maji. Hata hivyo lazima ikumbukwe kuwa kuna uchafuzi wa hewa, hasa katika nchi zinazoendelea na zenye viwanda vingi. Viwanda vingi na idadi kubwa ya magari hutoamoshi mwingi wenye sumu katika hewa. Ni wazi kuwa tatizo hii limekuwa kubwa kiasi ambacho baadhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi ya aina zote.
Ni vipi magari huchafua mazingira
{ "text": [ "Magari hutoa moshi mwingi wenye sumu" ] }
1668_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo humzunguka kiumbe pale anapoishi. Tunatakikana tuzingatie usafi wa mazingira kila siku na kila saa. Mazingira ni mahali ambapo ni pa maana sana. Madhara ya uchafuzi wa mazingara ni mengi sana. Madhara ya kwanza ni maafa. Uchafuzi wa mazingira imesababisha maafa mengi duniani. Jambo hili linatokana na kutojali mahali unapoishi. Tunafaa kusafisha kila maali ili tujiepushe na maafa kwani, umoja ni nguvu uthaifu ni utengano. Tukishirikiaina pamoja tutasaidiana na maafa yatapungua duniani. Madhara ya pili ni magonjwa, magonjwa ya uchafuzi wa mazingira yanatisha sana na mengi hayana tiba. Tunafaa tumwage maji machafu ndani ya shimo ili tuepuke kukanyanga na watoto wachanga kuchezea maji machafu haswa kwenye miji yetu. Kutupa taka ovyo bila mwelekeo yanafanya mazingira kukaa au kufanana vibaya. Tunafaa tutupe taka ndani ya shimo iliyofunikwa juu na ndani ya pipa na ya chomwe. Tukiwacha taka bila kuchoma upepo huzipeperusha na kufanya mazingira yakae vibaya. Inastaili tuchukulie usafi wa mazingira kama orodha yetu ya kila siku ili tuepuke aibu na tushirikiane sote maana kidole kimoja hakivuji chawa. Pia watu hutumia mazingira vibaya maana hawajali viumbe wengine wadogo wanaoishi ndani ya ardhi au udongo.Watu huenda haja kila mahali na mvua inaponyesha, maji yanakaa vibaya. Wengine wetu hutumia maji haya kuoga na yanaleta maradhi na magonjwa ya ngozi kama vile saratani ya ngozi, upele na mengine mengi. Ukataji wa miti pia ni madhara ya uchafuzii wa mazingira. Tunapochoma makaa, tunasababisha upungufu wa misitu yetu na wanyama huishi huko. Uchomaji makaa unafanya mazingira yanajaa moshi na hewa hunuka vibaya. Kwani mwenye macho haambiwi tazama, tunastaili tunapoona wengine wetu wanachafua mazingira au kuelekea kinyume na sheria waathibiwe yanavyostaili au tuwaseme kwa mzee wa kijiji, chifu, au kwenye kituo cha polisi maana hii ni muhimu sana.
Madhara ya kwanza ya kuchafua mazingira ni gani
{ "text": [ "maafa" ] }
1668_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo humzunguka kiumbe pale anapoishi. Tunatakikana tuzingatie usafi wa mazingira kila siku na kila saa. Mazingira ni mahali ambapo ni pa maana sana. Madhara ya uchafuzi wa mazingara ni mengi sana. Madhara ya kwanza ni maafa. Uchafuzi wa mazingira imesababisha maafa mengi duniani. Jambo hili linatokana na kutojali mahali unapoishi. Tunafaa kusafisha kila maali ili tujiepushe na maafa kwani, umoja ni nguvu uthaifu ni utengano. Tukishirikiaina pamoja tutasaidiana na maafa yatapungua duniani. Madhara ya pili ni magonjwa, magonjwa ya uchafuzi wa mazingira yanatisha sana na mengi hayana tiba. Tunafaa tumwage maji machafu ndani ya shimo ili tuepuke kukanyanga na watoto wachanga kuchezea maji machafu haswa kwenye miji yetu. Kutupa taka ovyo bila mwelekeo yanafanya mazingira kukaa au kufanana vibaya. Tunafaa tutupe taka ndani ya shimo iliyofunikwa juu na ndani ya pipa na ya chomwe. Tukiwacha taka bila kuchoma upepo huzipeperusha na kufanya mazingira yakae vibaya. Inastaili tuchukulie usafi wa mazingira kama orodha yetu ya kila siku ili tuepuke aibu na tushirikiane sote maana kidole kimoja hakivuji chawa. Pia watu hutumia mazingira vibaya maana hawajali viumbe wengine wadogo wanaoishi ndani ya ardhi au udongo.Watu huenda haja kila mahali na mvua inaponyesha, maji yanakaa vibaya. Wengine wetu hutumia maji haya kuoga na yanaleta maradhi na magonjwa ya ngozi kama vile saratani ya ngozi, upele na mengine mengi. Ukataji wa miti pia ni madhara ya uchafuzii wa mazingira. Tunapochoma makaa, tunasababisha upungufu wa misitu yetu na wanyama huishi huko. Uchomaji makaa unafanya mazingira yanajaa moshi na hewa hunuka vibaya. Kwani mwenye macho haambiwi tazama, tunastaili tunapoona wengine wetu wanachafua mazingira au kuelekea kinyume na sheria waathibiwe yanavyostaili au tuwaseme kwa mzee wa kijiji, chifu, au kwenye kituo cha polisi maana hii ni muhimu sana.
Madhara ya pili ya uchafuzi wa mazingira ni nini
{ "text": [ "magonjwa" ] }
1668_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo humzunguka kiumbe pale anapoishi. Tunatakikana tuzingatie usafi wa mazingira kila siku na kila saa. Mazingira ni mahali ambapo ni pa maana sana. Madhara ya uchafuzi wa mazingara ni mengi sana. Madhara ya kwanza ni maafa. Uchafuzi wa mazingira imesababisha maafa mengi duniani. Jambo hili linatokana na kutojali mahali unapoishi. Tunafaa kusafisha kila maali ili tujiepushe na maafa kwani, umoja ni nguvu uthaifu ni utengano. Tukishirikiaina pamoja tutasaidiana na maafa yatapungua duniani. Madhara ya pili ni magonjwa, magonjwa ya uchafuzi wa mazingira yanatisha sana na mengi hayana tiba. Tunafaa tumwage maji machafu ndani ya shimo ili tuepuke kukanyanga na watoto wachanga kuchezea maji machafu haswa kwenye miji yetu. Kutupa taka ovyo bila mwelekeo yanafanya mazingira kukaa au kufanana vibaya. Tunafaa tutupe taka ndani ya shimo iliyofunikwa juu na ndani ya pipa na ya chomwe. Tukiwacha taka bila kuchoma upepo huzipeperusha na kufanya mazingira yakae vibaya. Inastaili tuchukulie usafi wa mazingira kama orodha yetu ya kila siku ili tuepuke aibu na tushirikiane sote maana kidole kimoja hakivuji chawa. Pia watu hutumia mazingira vibaya maana hawajali viumbe wengine wadogo wanaoishi ndani ya ardhi au udongo.Watu huenda haja kila mahali na mvua inaponyesha, maji yanakaa vibaya. Wengine wetu hutumia maji haya kuoga na yanaleta maradhi na magonjwa ya ngozi kama vile saratani ya ngozi, upele na mengine mengi. Ukataji wa miti pia ni madhara ya uchafuzii wa mazingira. Tunapochoma makaa, tunasababisha upungufu wa misitu yetu na wanyama huishi huko. Uchomaji makaa unafanya mazingira yanajaa moshi na hewa hunuka vibaya. Kwani mwenye macho haambiwi tazama, tunastaili tunapoona wengine wetu wanachafua mazingira au kuelekea kinyume na sheria waathibiwe yanavyostaili au tuwaseme kwa mzee wa kijiji, chifu, au kwenye kituo cha polisi maana hii ni muhimu sana.
Kila mtu anapaswa kutupa taka ndani ya nini
{ "text": [ "shimo" ] }
1668_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo humzunguka kiumbe pale anapoishi. Tunatakikana tuzingatie usafi wa mazingira kila siku na kila saa. Mazingira ni mahali ambapo ni pa maana sana. Madhara ya uchafuzi wa mazingara ni mengi sana. Madhara ya kwanza ni maafa. Uchafuzi wa mazingira imesababisha maafa mengi duniani. Jambo hili linatokana na kutojali mahali unapoishi. Tunafaa kusafisha kila maali ili tujiepushe na maafa kwani, umoja ni nguvu uthaifu ni utengano. Tukishirikiaina pamoja tutasaidiana na maafa yatapungua duniani. Madhara ya pili ni magonjwa, magonjwa ya uchafuzi wa mazingira yanatisha sana na mengi hayana tiba. Tunafaa tumwage maji machafu ndani ya shimo ili tuepuke kukanyanga na watoto wachanga kuchezea maji machafu haswa kwenye miji yetu. Kutupa taka ovyo bila mwelekeo yanafanya mazingira kukaa au kufanana vibaya. Tunafaa tutupe taka ndani ya shimo iliyofunikwa juu na ndani ya pipa na ya chomwe. Tukiwacha taka bila kuchoma upepo huzipeperusha na kufanya mazingira yakae vibaya. Inastaili tuchukulie usafi wa mazingira kama orodha yetu ya kila siku ili tuepuke aibu na tushirikiane sote maana kidole kimoja hakivuji chawa. Pia watu hutumia mazingira vibaya maana hawajali viumbe wengine wadogo wanaoishi ndani ya ardhi au udongo.Watu huenda haja kila mahali na mvua inaponyesha, maji yanakaa vibaya. Wengine wetu hutumia maji haya kuoga na yanaleta maradhi na magonjwa ya ngozi kama vile saratani ya ngozi, upele na mengine mengi. Ukataji wa miti pia ni madhara ya uchafuzii wa mazingira. Tunapochoma makaa, tunasababisha upungufu wa misitu yetu na wanyama huishi huko. Uchomaji makaa unafanya mazingira yanajaa moshi na hewa hunuka vibaya. Kwani mwenye macho haambiwi tazama, tunastaili tunapoona wengine wetu wanachafua mazingira au kuelekea kinyume na sheria waathibiwe yanavyostaili au tuwaseme kwa mzee wa kijiji, chifu, au kwenye kituo cha polisi maana hii ni muhimu sana.
Tunatakikana kuzingatia usafi wa mazingira lini
{ "text": [ "kila saa/siku" ] }
1668_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mambo ambayo humzunguka kiumbe pale anapoishi. Tunatakikana tuzingatie usafi wa mazingira kila siku na kila saa. Mazingira ni mahali ambapo ni pa maana sana. Madhara ya uchafuzi wa mazingara ni mengi sana. Madhara ya kwanza ni maafa. Uchafuzi wa mazingira imesababisha maafa mengi duniani. Jambo hili linatokana na kutojali mahali unapoishi. Tunafaa kusafisha kila maali ili tujiepushe na maafa kwani, umoja ni nguvu uthaifu ni utengano. Tukishirikiaina pamoja tutasaidiana na maafa yatapungua duniani. Madhara ya pili ni magonjwa, magonjwa ya uchafuzi wa mazingira yanatisha sana na mengi hayana tiba. Tunafaa tumwage maji machafu ndani ya shimo ili tuepuke kukanyanga na watoto wachanga kuchezea maji machafu haswa kwenye miji yetu. Kutupa taka ovyo bila mwelekeo yanafanya mazingira kukaa au kufanana vibaya. Tunafaa tutupe taka ndani ya shimo iliyofunikwa juu na ndani ya pipa na ya chomwe. Tukiwacha taka bila kuchoma upepo huzipeperusha na kufanya mazingira yakae vibaya. Inastaili tuchukulie usafi wa mazingira kama orodha yetu ya kila siku ili tuepuke aibu na tushirikiane sote maana kidole kimoja hakivuji chawa. Pia watu hutumia mazingira vibaya maana hawajali viumbe wengine wadogo wanaoishi ndani ya ardhi au udongo.Watu huenda haja kila mahali na mvua inaponyesha, maji yanakaa vibaya. Wengine wetu hutumia maji haya kuoga na yanaleta maradhi na magonjwa ya ngozi kama vile saratani ya ngozi, upele na mengine mengi. Ukataji wa miti pia ni madhara ya uchafuzii wa mazingira. Tunapochoma makaa, tunasababisha upungufu wa misitu yetu na wanyama huishi huko. Uchomaji makaa unafanya mazingira yanajaa moshi na hewa hunuka vibaya. Kwani mwenye macho haambiwi tazama, tunastaili tunapoona wengine wetu wanachafua mazingira au kuelekea kinyume na sheria waathibiwe yanavyostaili au tuwaseme kwa mzee wa kijiji, chifu, au kwenye kituo cha polisi maana hii ni muhimu sana.
Mbona maji machafu yanafaa kumwagwa kwa shimo
{ "text": [ "ili watu wasiweze kuyakanyaga na watoto wasiyachezee" ] }
1669_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali inayomzunguka kiumbe katika sehemu tunapoishi maishani mwetu.Mazingira ni sehemu ambayo kila mmoja wetu huishi. Watu huchafua mazingira kwa kukata miti, kuchoma makaa na kaibeba kama kuni. Wanyama kama vile ndenge ambao huishi kwenye miti huteseka sana. Pia watu huteseka kwa kutopata mvua kwa muda mrefu. Miti huleta mvua. Hebu tazama mazingira ambayo mití imekatwa, mazingira haya hayapendizi hata kidogo. Wanyama hutorokea kwingine. Watu pia huhama na wanaobaki huishi huku shingo upande. Mazingira chafu yana madhara mengi sana kama vilemagonjwa mbali mbali kwa mfano malaria, homa, kipindupindu na kadhalika. Mojawapo wa vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu wa maji mitoni. Kuna njia nyingi za kuchafua maji. Watu wengi hufikiria kuwa uchafu hufanyika tu kwa kutupa taka taka kila mahahali. Wengi hawajui kuwa pia kuelekeza kemikali mitoni huchafua maji na hatimaye mazingira. Wanayama wanaishi majini pamoja na mimea inayomea majini hufa kutokana na maji haya machafu. Watu wengi hufikiri kuwa uchafu wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kuwa, nchi zote zina uchafu sí nchi zilizo na viwanda vingi tu. Nchi zilizoendelea zimeamua kukomesha uchafuzi wa mazingira kwa kupitisha sheria kali dhidi ya uchafuzi wa mazingira haya.
Nini ni mahali yanayomzunguka kiumbe
{ "text": [ "mazingira" ] }
1669_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali inayomzunguka kiumbe katika sehemu tunapoishi maishani mwetu.Mazingira ni sehemu ambayo kila mmoja wetu huishi. Watu huchafua mazingira kwa kukata miti, kuchoma makaa na kaibeba kama kuni. Wanyama kama vile ndenge ambao huishi kwenye miti huteseka sana. Pia watu huteseka kwa kutopata mvua kwa muda mrefu. Miti huleta mvua. Hebu tazama mazingira ambayo mití imekatwa, mazingira haya hayapendizi hata kidogo. Wanyama hutorokea kwingine. Watu pia huhama na wanaobaki huishi huku shingo upande. Mazingira chafu yana madhara mengi sana kama vilemagonjwa mbali mbali kwa mfano malaria, homa, kipindupindu na kadhalika. Mojawapo wa vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu wa maji mitoni. Kuna njia nyingi za kuchafua maji. Watu wengi hufikiria kuwa uchafu hufanyika tu kwa kutupa taka taka kila mahahali. Wengi hawajui kuwa pia kuelekeza kemikali mitoni huchafua maji na hatimaye mazingira. Wanayama wanaishi majini pamoja na mimea inayomea majini hufa kutokana na maji haya machafu. Watu wengi hufikiri kuwa uchafu wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kuwa, nchi zote zina uchafu sí nchi zilizo na viwanda vingi tu. Nchi zilizoendelea zimeamua kukomesha uchafuzi wa mazingira kwa kupitisha sheria kali dhidi ya uchafuzi wa mazingira haya.
Nani huteseka kwa kutopata mvua
{ "text": [ "watu" ] }
1669_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali inayomzunguka kiumbe katika sehemu tunapoishi maishani mwetu.Mazingira ni sehemu ambayo kila mmoja wetu huishi. Watu huchafua mazingira kwa kukata miti, kuchoma makaa na kaibeba kama kuni. Wanyama kama vile ndenge ambao huishi kwenye miti huteseka sana. Pia watu huteseka kwa kutopata mvua kwa muda mrefu. Miti huleta mvua. Hebu tazama mazingira ambayo mití imekatwa, mazingira haya hayapendizi hata kidogo. Wanyama hutorokea kwingine. Watu pia huhama na wanaobaki huishi huku shingo upande. Mazingira chafu yana madhara mengi sana kama vilemagonjwa mbali mbali kwa mfano malaria, homa, kipindupindu na kadhalika. Mojawapo wa vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu wa maji mitoni. Kuna njia nyingi za kuchafua maji. Watu wengi hufikiria kuwa uchafu hufanyika tu kwa kutupa taka taka kila mahahali. Wengi hawajui kuwa pia kuelekeza kemikali mitoni huchafua maji na hatimaye mazingira. Wanayama wanaishi majini pamoja na mimea inayomea majini hufa kutokana na maji haya machafu. Watu wengi hufikiri kuwa uchafu wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kuwa, nchi zote zina uchafu sí nchi zilizo na viwanda vingi tu. Nchi zilizoendelea zimeamua kukomesha uchafuzi wa mazingira kwa kupitisha sheria kali dhidi ya uchafuzi wa mazingira haya.
Watu wanaoishi huku huishije
{ "text": [ "shingo upande" ] }
1669_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali inayomzunguka kiumbe katika sehemu tunapoishi maishani mwetu.Mazingira ni sehemu ambayo kila mmoja wetu huishi. Watu huchafua mazingira kwa kukata miti, kuchoma makaa na kaibeba kama kuni. Wanyama kama vile ndenge ambao huishi kwenye miti huteseka sana. Pia watu huteseka kwa kutopata mvua kwa muda mrefu. Miti huleta mvua. Hebu tazama mazingira ambayo mití imekatwa, mazingira haya hayapendizi hata kidogo. Wanyama hutorokea kwingine. Watu pia huhama na wanaobaki huishi huku shingo upande. Mazingira chafu yana madhara mengi sana kama vilemagonjwa mbali mbali kwa mfano malaria, homa, kipindupindu na kadhalika. Mojawapo wa vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu wa maji mitoni. Kuna njia nyingi za kuchafua maji. Watu wengi hufikiria kuwa uchafu hufanyika tu kwa kutupa taka taka kila mahahali. Wengi hawajui kuwa pia kuelekeza kemikali mitoni huchafua maji na hatimaye mazingira. Wanayama wanaishi majini pamoja na mimea inayomea majini hufa kutokana na maji haya machafu. Watu wengi hufikiri kuwa uchafu wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kuwa, nchi zote zina uchafu sí nchi zilizo na viwanda vingi tu. Nchi zilizoendelea zimeamua kukomesha uchafuzi wa mazingira kwa kupitisha sheria kali dhidi ya uchafuzi wa mazingira haya.
Nini huleta mvua
{ "text": [ "miti" ] }
1669_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali inayomzunguka kiumbe katika sehemu tunapoishi maishani mwetu.Mazingira ni sehemu ambayo kila mmoja wetu huishi. Watu huchafua mazingira kwa kukata miti, kuchoma makaa na kaibeba kama kuni. Wanyama kama vile ndenge ambao huishi kwenye miti huteseka sana. Pia watu huteseka kwa kutopata mvua kwa muda mrefu. Miti huleta mvua. Hebu tazama mazingira ambayo mití imekatwa, mazingira haya hayapendizi hata kidogo. Wanyama hutorokea kwingine. Watu pia huhama na wanaobaki huishi huku shingo upande. Mazingira chafu yana madhara mengi sana kama vilemagonjwa mbali mbali kwa mfano malaria, homa, kipindupindu na kadhalika. Mojawapo wa vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu wa maji mitoni. Kuna njia nyingi za kuchafua maji. Watu wengi hufikiria kuwa uchafu hufanyika tu kwa kutupa taka taka kila mahahali. Wengi hawajui kuwa pia kuelekeza kemikali mitoni huchafua maji na hatimaye mazingira. Wanayama wanaishi majini pamoja na mimea inayomea majini hufa kutokana na maji haya machafu. Watu wengi hufikiri kuwa uchafu wa mazingira hufanyika tu kwenye nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kuwa, nchi zote zina uchafu sí nchi zilizo na viwanda vingi tu. Nchi zilizoendelea zimeamua kukomesha uchafuzi wa mazingira kwa kupitisha sheria kali dhidi ya uchafuzi wa mazingira haya.
Nchi zimepitisha sheria gani
{ "text": [ "kukomesha uchafu" ] }
1670_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayozunguka binadamu kama vile ardhI, mito, maziwa, bahari na hewa. Mojawapo ya madhara ya kuchafuwa mazingira ni utupaji wa taka taka ovyo ovyo. Mazingira yetu yamebadilika kuwa pipa la kurusha taka taka. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yetu, ukitazama mito katika nchi yetu imekuwa pipa ya taka taka na kemikali za aina zote. Maji hayo yanaleta madhara mengi katika nchi yetu kwa kuwa inaharibu mimea na hata kuwaua wanyama wa maji kama samaki. Pia inaleta madhara kwa binadamu kwa kuwa wana tumia maji hayo kunywa na kupikia vykula vyao. Hiyo imefanya watu waunguwe ugonjwa wa kipindupindu. Ukijaribu kwenda hospitali, utawakuta milioni ya wa watu wanao uguwa ugonjwa wa kipindupindu. Fauka ya hayo, udongo pia umeadhiriwa na uchafuzi wa mazingira. Watu wamekata miti na kuchoma makaa, hiyo imefanya udongo kuwa huru na huweza kubebwa na maji na upepo kwa urahisi. Ufungaji wa mifungo wengi pia husababisha mmonyoko wa udongo. Isitoshe, ukataji wa miti umechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira. Watu wamepata magonjwa mengi ya kifua. Hii ni kwa sababu ya hewa chafu inayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Haya yote yamechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira hapa nchini.
Ardhi, maziwa na mito huunda nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1670_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayozunguka binadamu kama vile ardhI, mito, maziwa, bahari na hewa. Mojawapo ya madhara ya kuchafuwa mazingira ni utupaji wa taka taka ovyo ovyo. Mazingira yetu yamebadilika kuwa pipa la kurusha taka taka. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yetu, ukitazama mito katika nchi yetu imekuwa pipa ya taka taka na kemikali za aina zote. Maji hayo yanaleta madhara mengi katika nchi yetu kwa kuwa inaharibu mimea na hata kuwaua wanyama wa maji kama samaki. Pia inaleta madhara kwa binadamu kwa kuwa wana tumia maji hayo kunywa na kupikia vykula vyao. Hiyo imefanya watu waunguwe ugonjwa wa kipindupindu. Ukijaribu kwenda hospitali, utawakuta milioni ya wa watu wanao uguwa ugonjwa wa kipindupindu. Fauka ya hayo, udongo pia umeadhiriwa na uchafuzi wa mazingira. Watu wamekata miti na kuchoma makaa, hiyo imefanya udongo kuwa huru na huweza kubebwa na maji na upepo kwa urahisi. Ufungaji wa mifungo wengi pia husababisha mmonyoko wa udongo. Isitoshe, ukataji wa miti umechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira. Watu wamepata magonjwa mengi ya kifua. Hii ni kwa sababu ya hewa chafu inayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Haya yote yamechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira hapa nchini.
Kipi hutupwa kwenye maji
{ "text": [ "Kemikali" ] }
1670_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayozunguka binadamu kama vile ardhI, mito, maziwa, bahari na hewa. Mojawapo ya madhara ya kuchafuwa mazingira ni utupaji wa taka taka ovyo ovyo. Mazingira yetu yamebadilika kuwa pipa la kurusha taka taka. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yetu, ukitazama mito katika nchi yetu imekuwa pipa ya taka taka na kemikali za aina zote. Maji hayo yanaleta madhara mengi katika nchi yetu kwa kuwa inaharibu mimea na hata kuwaua wanyama wa maji kama samaki. Pia inaleta madhara kwa binadamu kwa kuwa wana tumia maji hayo kunywa na kupikia vykula vyao. Hiyo imefanya watu waunguwe ugonjwa wa kipindupindu. Ukijaribu kwenda hospitali, utawakuta milioni ya wa watu wanao uguwa ugonjwa wa kipindupindu. Fauka ya hayo, udongo pia umeadhiriwa na uchafuzi wa mazingira. Watu wamekata miti na kuchoma makaa, hiyo imefanya udongo kuwa huru na huweza kubebwa na maji na upepo kwa urahisi. Ufungaji wa mifungo wengi pia husababisha mmonyoko wa udongo. Isitoshe, ukataji wa miti umechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira. Watu wamepata magonjwa mengi ya kifua. Hii ni kwa sababu ya hewa chafu inayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Haya yote yamechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira hapa nchini.
Mnyama yupi hupatikana majini
{ "text": [ "Samaki" ] }
1670_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayozunguka binadamu kama vile ardhI, mito, maziwa, bahari na hewa. Mojawapo ya madhara ya kuchafuwa mazingira ni utupaji wa taka taka ovyo ovyo. Mazingira yetu yamebadilika kuwa pipa la kurusha taka taka. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yetu, ukitazama mito katika nchi yetu imekuwa pipa ya taka taka na kemikali za aina zote. Maji hayo yanaleta madhara mengi katika nchi yetu kwa kuwa inaharibu mimea na hata kuwaua wanyama wa maji kama samaki. Pia inaleta madhara kwa binadamu kwa kuwa wana tumia maji hayo kunywa na kupikia vykula vyao. Hiyo imefanya watu waunguwe ugonjwa wa kipindupindu. Ukijaribu kwenda hospitali, utawakuta milioni ya wa watu wanao uguwa ugonjwa wa kipindupindu. Fauka ya hayo, udongo pia umeadhiriwa na uchafuzi wa mazingira. Watu wamekata miti na kuchoma makaa, hiyo imefanya udongo kuwa huru na huweza kubebwa na maji na upepo kwa urahisi. Ufungaji wa mifungo wengi pia husababisha mmonyoko wa udongo. Isitoshe, ukataji wa miti umechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira. Watu wamepata magonjwa mengi ya kifua. Hii ni kwa sababu ya hewa chafu inayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Haya yote yamechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira hapa nchini.
Idadi ipi imetajwa kuugua kipindupindu hospitalini
{ "text": [ "Milioni" ] }
1670_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayozunguka binadamu kama vile ardhI, mito, maziwa, bahari na hewa. Mojawapo ya madhara ya kuchafuwa mazingira ni utupaji wa taka taka ovyo ovyo. Mazingira yetu yamebadilika kuwa pipa la kurusha taka taka. Hebu tuchunguze uchafuzi wa maji katika nchi yetu, ukitazama mito katika nchi yetu imekuwa pipa ya taka taka na kemikali za aina zote. Maji hayo yanaleta madhara mengi katika nchi yetu kwa kuwa inaharibu mimea na hata kuwaua wanyama wa maji kama samaki. Pia inaleta madhara kwa binadamu kwa kuwa wana tumia maji hayo kunywa na kupikia vykula vyao. Hiyo imefanya watu waunguwe ugonjwa wa kipindupindu. Ukijaribu kwenda hospitali, utawakuta milioni ya wa watu wanao uguwa ugonjwa wa kipindupindu. Fauka ya hayo, udongo pia umeadhiriwa na uchafuzi wa mazingira. Watu wamekata miti na kuchoma makaa, hiyo imefanya udongo kuwa huru na huweza kubebwa na maji na upepo kwa urahisi. Ufungaji wa mifungo wengi pia husababisha mmonyoko wa udongo. Isitoshe, ukataji wa miti umechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira. Watu wamepata magonjwa mengi ya kifua. Hii ni kwa sababu ya hewa chafu inayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Haya yote yamechangia pakubwa katika uchafuzi wa mazingira hapa nchini.
Kipi kimechangia mmomonyoko wa udongo
{ "text": [ "Ufugaji wa wanyama kwa wingi" ] }
1671_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzingira binadamu kama vile ardhi mito, bahari na maziwa na hewa inayomzunguka. Kwanza uchafu unasababishwa na wanadamu wenyewe. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu katika nchi zilizo naa viwanda vingi pekee ilhali, uchafuzi hufanyika kila mahali. Kana njia nyingi za kuchafua mazingira kama vile mito. Viwanda huelekeza uchafu mitoni na kuchafua maji haya. Watu hutumia maji haya na kupata magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na mengineyo. Magonjwa kama vile malaria imesababisha vifo za wanadamu wengi. Ugonjwa wa malaria huenezwa na mbu. Tunapomwaga maji kula mahali na kukosa kukata nyasi, huwa tunatengeza maeneo ya mbu kuzaana. Uchafuzi wa bahari husababisha vifo vya wanyama wanaishi majini kama vile samaki. Uchafuzi huu wa bahari husababishwa na kemikali zinazoelekezwa majini na pia utupaji wa taka taka ovyo ovyo . Kemikali hizi huwa na sumu ambayo ni hatari kwa wanyama wanaishi baharini. Maji yaliyo machafu yakinywewa na mifugo,huwaletea magonjwa mengi na hata kifo. Tunapotumia maji machafu, tunaweza kupata magonjwa kama vile kipindupindu. Ugonjwa huu umewaathiri watu wengi hasa watoto wadogo. Tunahimizakunawa mikono kabla ya kula chakula na tunapotoka msalani. Jambo hili la uchafuzi wa mazingira hufanywa sana sana na wanakijiji ambao hawakupata nafasi ya kwenda shule. Watu wakielimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira, madhara ya uchafuzi wa mazingira yatakwenda jongomeo.
Mazingira ni mambo yanayomhusu na kumzingira nani
{ "text": [ "Binadamu" ] }
1671_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzingira binadamu kama vile ardhi mito, bahari na maziwa na hewa inayomzunguka. Kwanza uchafu unasababishwa na wanadamu wenyewe. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu katika nchi zilizo naa viwanda vingi pekee ilhali, uchafuzi hufanyika kila mahali. Kana njia nyingi za kuchafua mazingira kama vile mito. Viwanda huelekeza uchafu mitoni na kuchafua maji haya. Watu hutumia maji haya na kupata magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na mengineyo. Magonjwa kama vile malaria imesababisha vifo za wanadamu wengi. Ugonjwa wa malaria huenezwa na mbu. Tunapomwaga maji kula mahali na kukosa kukata nyasi, huwa tunatengeza maeneo ya mbu kuzaana. Uchafuzi wa bahari husababisha vifo vya wanyama wanaishi majini kama vile samaki. Uchafuzi huu wa bahari husababishwa na kemikali zinazoelekezwa majini na pia utupaji wa taka taka ovyo ovyo . Kemikali hizi huwa na sumu ambayo ni hatari kwa wanyama wanaishi baharini. Maji yaliyo machafu yakinywewa na mifugo,huwaletea magonjwa mengi na hata kifo. Tunapotumia maji machafu, tunaweza kupata magonjwa kama vile kipindupindu. Ugonjwa huu umewaathiri watu wengi hasa watoto wadogo. Tunahimizakunawa mikono kabla ya kula chakula na tunapotoka msalani. Jambo hili la uchafuzi wa mazingira hufanywa sana sana na wanakijiji ambao hawakupata nafasi ya kwenda shule. Watu wakielimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira, madhara ya uchafuzi wa mazingira yatakwenda jongomeo.
Malaria imesababisha nini
{ "text": [ "Kifo" ] }
1671_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzingira binadamu kama vile ardhi mito, bahari na maziwa na hewa inayomzunguka. Kwanza uchafu unasababishwa na wanadamu wenyewe. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu katika nchi zilizo naa viwanda vingi pekee ilhali, uchafuzi hufanyika kila mahali. Kana njia nyingi za kuchafua mazingira kama vile mito. Viwanda huelekeza uchafu mitoni na kuchafua maji haya. Watu hutumia maji haya na kupata magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na mengineyo. Magonjwa kama vile malaria imesababisha vifo za wanadamu wengi. Ugonjwa wa malaria huenezwa na mbu. Tunapomwaga maji kula mahali na kukosa kukata nyasi, huwa tunatengeza maeneo ya mbu kuzaana. Uchafuzi wa bahari husababisha vifo vya wanyama wanaishi majini kama vile samaki. Uchafuzi huu wa bahari husababishwa na kemikali zinazoelekezwa majini na pia utupaji wa taka taka ovyo ovyo . Kemikali hizi huwa na sumu ambayo ni hatari kwa wanyama wanaishi baharini. Maji yaliyo machafu yakinywewa na mifugo,huwaletea magonjwa mengi na hata kifo. Tunapotumia maji machafu, tunaweza kupata magonjwa kama vile kipindupindu. Ugonjwa huu umewaathiri watu wengi hasa watoto wadogo. Tunahimizakunawa mikono kabla ya kula chakula na tunapotoka msalani. Jambo hili la uchafuzi wa mazingira hufanywa sana sana na wanakijiji ambao hawakupata nafasi ya kwenda shule. Watu wakielimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira, madhara ya uchafuzi wa mazingira yatakwenda jongomeo.
Wanyama baharini wanamalizwa na nini
{ "text": [ "Kemikali" ] }
1671_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzingira binadamu kama vile ardhi mito, bahari na maziwa na hewa inayomzunguka. Kwanza uchafu unasababishwa na wanadamu wenyewe. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu katika nchi zilizo naa viwanda vingi pekee ilhali, uchafuzi hufanyika kila mahali. Kana njia nyingi za kuchafua mazingira kama vile mito. Viwanda huelekeza uchafu mitoni na kuchafua maji haya. Watu hutumia maji haya na kupata magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na mengineyo. Magonjwa kama vile malaria imesababisha vifo za wanadamu wengi. Ugonjwa wa malaria huenezwa na mbu. Tunapomwaga maji kula mahali na kukosa kukata nyasi, huwa tunatengeza maeneo ya mbu kuzaana. Uchafuzi wa bahari husababisha vifo vya wanyama wanaishi majini kama vile samaki. Uchafuzi huu wa bahari husababishwa na kemikali zinazoelekezwa majini na pia utupaji wa taka taka ovyo ovyo . Kemikali hizi huwa na sumu ambayo ni hatari kwa wanyama wanaishi baharini. Maji yaliyo machafu yakinywewa na mifugo,huwaletea magonjwa mengi na hata kifo. Tunapotumia maji machafu, tunaweza kupata magonjwa kama vile kipindupindu. Ugonjwa huu umewaathiri watu wengi hasa watoto wadogo. Tunahimizakunawa mikono kabla ya kula chakula na tunapotoka msalani. Jambo hili la uchafuzi wa mazingira hufanywa sana sana na wanakijiji ambao hawakupata nafasi ya kwenda shule. Watu wakielimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira, madhara ya uchafuzi wa mazingira yatakwenda jongomeo.
Wnayama wanakufa kwa kukosa nini
{ "text": [ "Maji" ] }
1671_swa
MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mambo yote yanayomhusu na kumzingira binadamu kama vile ardhi mito, bahari na maziwa na hewa inayomzunguka. Kwanza uchafu unasababishwa na wanadamu wenyewe. Watu wengi hufikiri kuwa uchafuzi wa mazingira hufanyika tu katika nchi zilizo naa viwanda vingi pekee ilhali, uchafuzi hufanyika kila mahali. Kana njia nyingi za kuchafua mazingira kama vile mito. Viwanda huelekeza uchafu mitoni na kuchafua maji haya. Watu hutumia maji haya na kupata magonjwa kama vile kipindupindu, malaria na mengineyo. Magonjwa kama vile malaria imesababisha vifo za wanadamu wengi. Ugonjwa wa malaria huenezwa na mbu. Tunapomwaga maji kula mahali na kukosa kukata nyasi, huwa tunatengeza maeneo ya mbu kuzaana. Uchafuzi wa bahari husababisha vifo vya wanyama wanaishi majini kama vile samaki. Uchafuzi huu wa bahari husababishwa na kemikali zinazoelekezwa majini na pia utupaji wa taka taka ovyo ovyo . Kemikali hizi huwa na sumu ambayo ni hatari kwa wanyama wanaishi baharini. Maji yaliyo machafu yakinywewa na mifugo,huwaletea magonjwa mengi na hata kifo. Tunapotumia maji machafu, tunaweza kupata magonjwa kama vile kipindupindu. Ugonjwa huu umewaathiri watu wengi hasa watoto wadogo. Tunahimizakunawa mikono kabla ya kula chakula na tunapotoka msalani. Jambo hili la uchafuzi wa mazingira hufanywa sana sana na wanakijiji ambao hawakupata nafasi ya kwenda shule. Watu wakielimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira, madhara ya uchafuzi wa mazingira yatakwenda jongomeo.
Ugonjwa wa kipindupindu utamalizwa na nini
{ "text": [ "Usafi" ] }
1672_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mahali yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi maishani mwake. Mazingira huchafuliwa kwa kutupa taka taka ovyo ovyo. Kuchafua mazingira ni tabia mbaya sana na husababisha magonjwa mabaya. Mazingira chafu hutusababisha kupatwa na mawele mabaya kama vile malaria, homa ya manjano au matende na kipindupindu na mengineyo. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu kwa mazingira yako. Uchafu huu ni kuacha taka taka katika mahali isipotakikana. Uchafu huleta maradhi mengi kwa waja pia kwa wanyama. Maradhi haya ni kama vile malaria amabayo hutokana na mbu. Wadudu hawa huzaana mahali ambapo kuna maji chafu au mahali palipo na nyasi ndefu. Maradhi mengine ni ugonjwa wa homa ya manjano au matende. Ugonjwa huu husababiswa na vumbi na hewa chafu. Ugonjwa wa matende ni mbaya sana kwa adinasi kama baridi ya masika. Ugonjwa huu husababishwa na baridi kali na vumbi kwa pua na kifua.Pia husababisha ugonjwa wa kipindupindu kwa waja wengi wanapotumia maji machafu kunya au kupika.Ugonjwa huu ni hatari sana kwa adinasi wote. Ugonjwa huu husababisha kifo cha haraka. Ugonjwa huu husababisha kutapika na kuendesha sana. Ugonjwa huu haubanguwi wala cha kuchangua, huwaathiri watu wote. Ugonjwa huu ni hatari sana na umewaacha wengi wakiwa vinywa wazi.
Jina lingine la ugonjwa ni nini?
{ "text": [ "Uwele" ] }
1672_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mahali yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi maishani mwake. Mazingira huchafuliwa kwa kutupa taka taka ovyo ovyo. Kuchafua mazingira ni tabia mbaya sana na husababisha magonjwa mabaya. Mazingira chafu hutusababisha kupatwa na mawele mabaya kama vile malaria, homa ya manjano au matende na kipindupindu na mengineyo. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu kwa mazingira yako. Uchafu huu ni kuacha taka taka katika mahali isipotakikana. Uchafu huleta maradhi mengi kwa waja pia kwa wanyama. Maradhi haya ni kama vile malaria amabayo hutokana na mbu. Wadudu hawa huzaana mahali ambapo kuna maji chafu au mahali palipo na nyasi ndefu. Maradhi mengine ni ugonjwa wa homa ya manjano au matende. Ugonjwa huu husababiswa na vumbi na hewa chafu. Ugonjwa wa matende ni mbaya sana kwa adinasi kama baridi ya masika. Ugonjwa huu husababishwa na baridi kali na vumbi kwa pua na kifua.Pia husababisha ugonjwa wa kipindupindu kwa waja wengi wanapotumia maji machafu kunya au kupika.Ugonjwa huu ni hatari sana kwa adinasi wote. Ugonjwa huu husababisha kifo cha haraka. Ugonjwa huu husababisha kutapika na kuendesha sana. Ugonjwa huu haubanguwi wala cha kuchangua, huwaathiri watu wote. Ugonjwa huu ni hatari sana na umewaacha wengi wakiwa vinywa wazi.
Malaria hutokana na mazingira kuwa katika hali gani?
{ "text": [ "Chafu" ] }
1672_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mahali yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi maishani mwake. Mazingira huchafuliwa kwa kutupa taka taka ovyo ovyo. Kuchafua mazingira ni tabia mbaya sana na husababisha magonjwa mabaya. Mazingira chafu hutusababisha kupatwa na mawele mabaya kama vile malaria, homa ya manjano au matende na kipindupindu na mengineyo. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu kwa mazingira yako. Uchafu huu ni kuacha taka taka katika mahali isipotakikana. Uchafu huleta maradhi mengi kwa waja pia kwa wanyama. Maradhi haya ni kama vile malaria amabayo hutokana na mbu. Wadudu hawa huzaana mahali ambapo kuna maji chafu au mahali palipo na nyasi ndefu. Maradhi mengine ni ugonjwa wa homa ya manjano au matende. Ugonjwa huu husababiswa na vumbi na hewa chafu. Ugonjwa wa matende ni mbaya sana kwa adinasi kama baridi ya masika. Ugonjwa huu husababishwa na baridi kali na vumbi kwa pua na kifua.Pia husababisha ugonjwa wa kipindupindu kwa waja wengi wanapotumia maji machafu kunya au kupika.Ugonjwa huu ni hatari sana kwa adinasi wote. Ugonjwa huu husababisha kifo cha haraka. Ugonjwa huu husababisha kutapika na kuendesha sana. Ugonjwa huu haubanguwi wala cha kuchangua, huwaathiri watu wote. Ugonjwa huu ni hatari sana na umewaacha wengi wakiwa vinywa wazi.
Kutupa taka kiholela husababisha ongezeko wa nini?
{ "text": [ "Wadudu hatari" ] }
1672_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mahali yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi maishani mwake. Mazingira huchafuliwa kwa kutupa taka taka ovyo ovyo. Kuchafua mazingira ni tabia mbaya sana na husababisha magonjwa mabaya. Mazingira chafu hutusababisha kupatwa na mawele mabaya kama vile malaria, homa ya manjano au matende na kipindupindu na mengineyo. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu kwa mazingira yako. Uchafu huu ni kuacha taka taka katika mahali isipotakikana. Uchafu huleta maradhi mengi kwa waja pia kwa wanyama. Maradhi haya ni kama vile malaria amabayo hutokana na mbu. Wadudu hawa huzaana mahali ambapo kuna maji chafu au mahali palipo na nyasi ndefu. Maradhi mengine ni ugonjwa wa homa ya manjano au matende. Ugonjwa huu husababiswa na vumbi na hewa chafu. Ugonjwa wa matende ni mbaya sana kwa adinasi kama baridi ya masika. Ugonjwa huu husababishwa na baridi kali na vumbi kwa pua na kifua.Pia husababisha ugonjwa wa kipindupindu kwa waja wengi wanapotumia maji machafu kunya au kupika.Ugonjwa huu ni hatari sana kwa adinasi wote. Ugonjwa huu husababisha kifo cha haraka. Ugonjwa huu husababisha kutapika na kuendesha sana. Ugonjwa huu haubanguwi wala cha kuchangua, huwaathiri watu wote. Ugonjwa huu ni hatari sana na umewaacha wengi wakiwa vinywa wazi.
Kipindupindu inaathari gani katika mwili wa binadamu?
{ "text": [ "Kuendesha sana" ] }
1672_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mahali yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anayoishi maishani mwake. Mazingira huchafuliwa kwa kutupa taka taka ovyo ovyo. Kuchafua mazingira ni tabia mbaya sana na husababisha magonjwa mabaya. Mazingira chafu hutusababisha kupatwa na mawele mabaya kama vile malaria, homa ya manjano au matende na kipindupindu na mengineyo. Njia moja ya kuchafua mazingira ni kutupa uchafu kwa mazingira yako. Uchafu huu ni kuacha taka taka katika mahali isipotakikana. Uchafu huleta maradhi mengi kwa waja pia kwa wanyama. Maradhi haya ni kama vile malaria amabayo hutokana na mbu. Wadudu hawa huzaana mahali ambapo kuna maji chafu au mahali palipo na nyasi ndefu. Maradhi mengine ni ugonjwa wa homa ya manjano au matende. Ugonjwa huu husababiswa na vumbi na hewa chafu. Ugonjwa wa matende ni mbaya sana kwa adinasi kama baridi ya masika. Ugonjwa huu husababishwa na baridi kali na vumbi kwa pua na kifua.Pia husababisha ugonjwa wa kipindupindu kwa waja wengi wanapotumia maji machafu kunya au kupika.Ugonjwa huu ni hatari sana kwa adinasi wote. Ugonjwa huu husababisha kifo cha haraka. Ugonjwa huu husababisha kutapika na kuendesha sana. Ugonjwa huu haubanguwi wala cha kuchangua, huwaathiri watu wote. Ugonjwa huu ni hatari sana na umewaacha wengi wakiwa vinywa wazi.
Ugonjwa wa matende huonekana sana wakati upi?
{ "text": [ "Wa baridi" ] }
1673_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni kile kinachotuzingira, mengine ni ya maana sana katika maisha ya binadamu. Mazingira yanafaa kutunzwa vizuri, kwa kuwa tunapoharibu mazingira yetu, ni kama kuharibu afya yetu. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati, kwa kuwa mazingira safi yanatupa afya bora. Mazingira safi yana hewa safi pia ni ya muhimu sana kwa mifugo wetu. Unapokuwa na mazingira safi, utaona kuwa mifugo nao wanafurahi na wana afya nzuri ya kupendeza. Tunaweza kutunza mazingira yetu kwa; kupanda miti, kuchoma takataka na kufagia. Kupanda miti kunafanya mazingira kuwa na hawa safi na huleta mvua ambayo inasaidia miti kukua na nyasi kumea. Kutunza mazingira kwa kufagia ni janbo la maana zaidi kwa kuwa ukitunza mazingira yako, wageni mbalimbali watakuwa wanasafiri na kuja kuona mazingira yako na wengine watatamani pia yao itunzwe vizuri kama yako. Wengine wanaweza kukulipa ili uwafunze jinsi ya kutunza mazingira yawe safi. Kutunza mazingira ina faida nyingi sana kwa yule anayeunza mazingira. Kuchafua mazingira kuna madhara mengi sana kwa maisha yetu na kwa maisha ya kila kiumbe ambacho kina uhai. Kutopanda miti huzuia hewa safi na mvua. Mvua inapokosekana, binadamu na wanyama hukumbwa na njaa na kutokana na njaa watakufa. Kifo huleta huzuri kwa mazingira yetu na tunapokosa maji hatuwezi ishi tena. Pili mazingira chafu huleta magonjwa mbalimbali, kama vile malaria, kipundupindu na mengine mengi. Malaria huletwa wadudu wanaosababisha malaria. Kula chakula chafu na kunywa maji chafu husababisha kipindupindu, huu ni ugonjwa wa kuhara. Ugonjwa huu ni hatari sana kwa kuwa huwamaliza watu haraka. Kuhara hudhoofisha afya yetu. Kutofagia mazingira husababisha kifo cha mifugo kwa kuwa wanapokula uchafu hawatakuwa na afya nzuri, na ndio chakula cha watu wengine. Tutunze mazingira yetu tuishi maisha marefu.
Mazingira ni nini
{ "text": [ "Kile kinachotuzingira" ] }
1673_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni kile kinachotuzingira, mengine ni ya maana sana katika maisha ya binadamu. Mazingira yanafaa kutunzwa vizuri, kwa kuwa tunapoharibu mazingira yetu, ni kama kuharibu afya yetu. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati, kwa kuwa mazingira safi yanatupa afya bora. Mazingira safi yana hewa safi pia ni ya muhimu sana kwa mifugo wetu. Unapokuwa na mazingira safi, utaona kuwa mifugo nao wanafurahi na wana afya nzuri ya kupendeza. Tunaweza kutunza mazingira yetu kwa; kupanda miti, kuchoma takataka na kufagia. Kupanda miti kunafanya mazingira kuwa na hawa safi na huleta mvua ambayo inasaidia miti kukua na nyasi kumea. Kutunza mazingira kwa kufagia ni janbo la maana zaidi kwa kuwa ukitunza mazingira yako, wageni mbalimbali watakuwa wanasafiri na kuja kuona mazingira yako na wengine watatamani pia yao itunzwe vizuri kama yako. Wengine wanaweza kukulipa ili uwafunze jinsi ya kutunza mazingira yawe safi. Kutunza mazingira ina faida nyingi sana kwa yule anayeunza mazingira. Kuchafua mazingira kuna madhara mengi sana kwa maisha yetu na kwa maisha ya kila kiumbe ambacho kina uhai. Kutopanda miti huzuia hewa safi na mvua. Mvua inapokosekana, binadamu na wanyama hukumbwa na njaa na kutokana na njaa watakufa. Kifo huleta huzuri kwa mazingira yetu na tunapokosa maji hatuwezi ishi tena. Pili mazingira chafu huleta magonjwa mbalimbali, kama vile malaria, kipundupindu na mengine mengi. Malaria huletwa wadudu wanaosababisha malaria. Kula chakula chafu na kunywa maji chafu husababisha kipindupindu, huu ni ugonjwa wa kuhara. Ugonjwa huu ni hatari sana kwa kuwa huwamaliza watu haraka. Kuhara hudhoofisha afya yetu. Kutofagia mazingira husababisha kifo cha mifugo kwa kuwa wanapokula uchafu hawatakuwa na afya nzuri, na ndio chakula cha watu wengine. Tutunze mazingira yetu tuishi maisha marefu.
Mazingira ni ya maana sana kwa maisha ya nani
{ "text": [ "Binadamu" ] }
1673_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni kile kinachotuzingira, mengine ni ya maana sana katika maisha ya binadamu. Mazingira yanafaa kutunzwa vizuri, kwa kuwa tunapoharibu mazingira yetu, ni kama kuharibu afya yetu. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati, kwa kuwa mazingira safi yanatupa afya bora. Mazingira safi yana hewa safi pia ni ya muhimu sana kwa mifugo wetu. Unapokuwa na mazingira safi, utaona kuwa mifugo nao wanafurahi na wana afya nzuri ya kupendeza. Tunaweza kutunza mazingira yetu kwa; kupanda miti, kuchoma takataka na kufagia. Kupanda miti kunafanya mazingira kuwa na hawa safi na huleta mvua ambayo inasaidia miti kukua na nyasi kumea. Kutunza mazingira kwa kufagia ni janbo la maana zaidi kwa kuwa ukitunza mazingira yako, wageni mbalimbali watakuwa wanasafiri na kuja kuona mazingira yako na wengine watatamani pia yao itunzwe vizuri kama yako. Wengine wanaweza kukulipa ili uwafunze jinsi ya kutunza mazingira yawe safi. Kutunza mazingira ina faida nyingi sana kwa yule anayeunza mazingira. Kuchafua mazingira kuna madhara mengi sana kwa maisha yetu na kwa maisha ya kila kiumbe ambacho kina uhai. Kutopanda miti huzuia hewa safi na mvua. Mvua inapokosekana, binadamu na wanyama hukumbwa na njaa na kutokana na njaa watakufa. Kifo huleta huzuri kwa mazingira yetu na tunapokosa maji hatuwezi ishi tena. Pili mazingira chafu huleta magonjwa mbalimbali, kama vile malaria, kipundupindu na mengine mengi. Malaria huletwa wadudu wanaosababisha malaria. Kula chakula chafu na kunywa maji chafu husababisha kipindupindu, huu ni ugonjwa wa kuhara. Ugonjwa huu ni hatari sana kwa kuwa huwamaliza watu haraka. Kuhara hudhoofisha afya yetu. Kutofagia mazingira husababisha kifo cha mifugo kwa kuwa wanapokula uchafu hawatakuwa na afya nzuri, na ndio chakula cha watu wengine. Tutunze mazingira yetu tuishi maisha marefu.
Mazingira yanafaa kuwa safi wakati gani
{ "text": [ "Kila wakati" ] }
1673_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni kile kinachotuzingira, mengine ni ya maana sana katika maisha ya binadamu. Mazingira yanafaa kutunzwa vizuri, kwa kuwa tunapoharibu mazingira yetu, ni kama kuharibu afya yetu. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati, kwa kuwa mazingira safi yanatupa afya bora. Mazingira safi yana hewa safi pia ni ya muhimu sana kwa mifugo wetu. Unapokuwa na mazingira safi, utaona kuwa mifugo nao wanafurahi na wana afya nzuri ya kupendeza. Tunaweza kutunza mazingira yetu kwa; kupanda miti, kuchoma takataka na kufagia. Kupanda miti kunafanya mazingira kuwa na hawa safi na huleta mvua ambayo inasaidia miti kukua na nyasi kumea. Kutunza mazingira kwa kufagia ni janbo la maana zaidi kwa kuwa ukitunza mazingira yako, wageni mbalimbali watakuwa wanasafiri na kuja kuona mazingira yako na wengine watatamani pia yao itunzwe vizuri kama yako. Wengine wanaweza kukulipa ili uwafunze jinsi ya kutunza mazingira yawe safi. Kutunza mazingira ina faida nyingi sana kwa yule anayeunza mazingira. Kuchafua mazingira kuna madhara mengi sana kwa maisha yetu na kwa maisha ya kila kiumbe ambacho kina uhai. Kutopanda miti huzuia hewa safi na mvua. Mvua inapokosekana, binadamu na wanyama hukumbwa na njaa na kutokana na njaa watakufa. Kifo huleta huzuri kwa mazingira yetu na tunapokosa maji hatuwezi ishi tena. Pili mazingira chafu huleta magonjwa mbalimbali, kama vile malaria, kipundupindu na mengine mengi. Malaria huletwa wadudu wanaosababisha malaria. Kula chakula chafu na kunywa maji chafu husababisha kipindupindu, huu ni ugonjwa wa kuhara. Ugonjwa huu ni hatari sana kwa kuwa huwamaliza watu haraka. Kuhara hudhoofisha afya yetu. Kutofagia mazingira husababisha kifo cha mifugo kwa kuwa wanapokula uchafu hawatakuwa na afya nzuri, na ndio chakula cha watu wengine. Tutunze mazingira yetu tuishi maisha marefu.
Mazingira safi yanatupa nini
{ "text": [ "Afya bora" ] }
1673_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni kile kinachotuzingira, mengine ni ya maana sana katika maisha ya binadamu. Mazingira yanafaa kutunzwa vizuri, kwa kuwa tunapoharibu mazingira yetu, ni kama kuharibu afya yetu. Mazingira yanafaa kuwa safi kila wakati, kwa kuwa mazingira safi yanatupa afya bora. Mazingira safi yana hewa safi pia ni ya muhimu sana kwa mifugo wetu. Unapokuwa na mazingira safi, utaona kuwa mifugo nao wanafurahi na wana afya nzuri ya kupendeza. Tunaweza kutunza mazingira yetu kwa; kupanda miti, kuchoma takataka na kufagia. Kupanda miti kunafanya mazingira kuwa na hawa safi na huleta mvua ambayo inasaidia miti kukua na nyasi kumea. Kutunza mazingira kwa kufagia ni janbo la maana zaidi kwa kuwa ukitunza mazingira yako, wageni mbalimbali watakuwa wanasafiri na kuja kuona mazingira yako na wengine watatamani pia yao itunzwe vizuri kama yako. Wengine wanaweza kukulipa ili uwafunze jinsi ya kutunza mazingira yawe safi. Kutunza mazingira ina faida nyingi sana kwa yule anayeunza mazingira. Kuchafua mazingira kuna madhara mengi sana kwa maisha yetu na kwa maisha ya kila kiumbe ambacho kina uhai. Kutopanda miti huzuia hewa safi na mvua. Mvua inapokosekana, binadamu na wanyama hukumbwa na njaa na kutokana na njaa watakufa. Kifo huleta huzuri kwa mazingira yetu na tunapokosa maji hatuwezi ishi tena. Pili mazingira chafu huleta magonjwa mbalimbali, kama vile malaria, kipundupindu na mengine mengi. Malaria huletwa wadudu wanaosababisha malaria. Kula chakula chafu na kunywa maji chafu husababisha kipindupindu, huu ni ugonjwa wa kuhara. Ugonjwa huu ni hatari sana kwa kuwa huwamaliza watu haraka. Kuhara hudhoofisha afya yetu. Kutofagia mazingira husababisha kifo cha mifugo kwa kuwa wanapokula uchafu hawatakuwa na afya nzuri, na ndio chakula cha watu wengine. Tutunze mazingira yetu tuishi maisha marefu.
Kuchafua mazingira kuna madhara kwa maisha yetu na maisha ya nani
{ "text": [ "Kila kiumbe" ] }
1675_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapo mzunguka binadamu. Madhara ni kitu kinachofanyika kisha kuwadhuru watu. Baadhi ya madhara inayoletwa na kuchafua mazingira ni kama yafuatayo; magonjwa kuchipuka, idadi ya wagonjwa kuongezeka, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Magonjwa kuchipuka kama vile kipindupindu ni jambo linaloonyeshwa kuwa kuna udhaifu wa serikari katika kuzingatia mazingira. Kipindupindu ni ugonjwa ambao ni mbaya na unaposhika mtu, huanza kusokotwa na tumbo na kuhara ovyo ovyo na kutapika. Baada ya hayo, mtu pia huanza kuonekana mnyonge na kupelekwa hospitalini haraka iwezekanaiyo. Tunafaa kuwajibika na kujali maslahi yetu pamoja na watu wengine. Tabia kama ya kwenda ukinunua vyakula vinavyopikwa kando ya baraste tunafaa kukoma.Tusinunue vyakula ambavyo vinapikwa katika mazingira ambayo si safi. Narnbari ya Wagorjwa Hospitalini kuongezeka husababisha nchi kuwa na ukosefu wa wardrritarda, dawa na vitu vinginevyo vinavyotumiwa hospitalini Idadi ya wagonjwa hospitalini inazidi kuongezeka. Jambo hili linasababisha ukosefu wa vitanda hospitalini na vitu vingine vinavyotumiwa hospitalini. Kuongezeka kwa wadudu kama nzi ni athari moja ya uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa ni hatari kwa afya ya binadamu. Wadudu hawa wanapotua kwenye vyakula, huacha uchafu kwenye chakula.Wadudu hawa sana sana hushinda chooni. Wakati unapokula chakula hicho, utaanza kuugua ugonjwa wa kipindupindu.Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi. Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi, kutayarisha chakula na mikono michafu au kutumia viungo ambavyo sio safi au kukosa kunawa mikono unapotoka msalani.
Hali inayodhuru mtu baada ya kitendo flani kufanyika inajulikana kama nini?
{ "text": [ "Madhara" ] }
1675_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapo mzunguka binadamu. Madhara ni kitu kinachofanyika kisha kuwadhuru watu. Baadhi ya madhara inayoletwa na kuchafua mazingira ni kama yafuatayo; magonjwa kuchipuka, idadi ya wagonjwa kuongezeka, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Magonjwa kuchipuka kama vile kipindupindu ni jambo linaloonyeshwa kuwa kuna udhaifu wa serikari katika kuzingatia mazingira. Kipindupindu ni ugonjwa ambao ni mbaya na unaposhika mtu, huanza kusokotwa na tumbo na kuhara ovyo ovyo na kutapika. Baada ya hayo, mtu pia huanza kuonekana mnyonge na kupelekwa hospitalini haraka iwezekanaiyo. Tunafaa kuwajibika na kujali maslahi yetu pamoja na watu wengine. Tabia kama ya kwenda ukinunua vyakula vinavyopikwa kando ya baraste tunafaa kukoma.Tusinunue vyakula ambavyo vinapikwa katika mazingira ambayo si safi. Narnbari ya Wagorjwa Hospitalini kuongezeka husababisha nchi kuwa na ukosefu wa wardrritarda, dawa na vitu vinginevyo vinavyotumiwa hospitalini Idadi ya wagonjwa hospitalini inazidi kuongezeka. Jambo hili linasababisha ukosefu wa vitanda hospitalini na vitu vingine vinavyotumiwa hospitalini. Kuongezeka kwa wadudu kama nzi ni athari moja ya uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa ni hatari kwa afya ya binadamu. Wadudu hawa wanapotua kwenye vyakula, huacha uchafu kwenye chakula.Wadudu hawa sana sana hushinda chooni. Wakati unapokula chakula hicho, utaanza kuugua ugonjwa wa kipindupindu.Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi. Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi, kutayarisha chakula na mikono michafu au kutumia viungo ambavyo sio safi au kukosa kunawa mikono unapotoka msalani.
Kutozingatia usafi wa mazingira husababisha ugonjwa kama gani?
{ "text": [ "Kipindupindu" ] }
1675_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapo mzunguka binadamu. Madhara ni kitu kinachofanyika kisha kuwadhuru watu. Baadhi ya madhara inayoletwa na kuchafua mazingira ni kama yafuatayo; magonjwa kuchipuka, idadi ya wagonjwa kuongezeka, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Magonjwa kuchipuka kama vile kipindupindu ni jambo linaloonyeshwa kuwa kuna udhaifu wa serikari katika kuzingatia mazingira. Kipindupindu ni ugonjwa ambao ni mbaya na unaposhika mtu, huanza kusokotwa na tumbo na kuhara ovyo ovyo na kutapika. Baada ya hayo, mtu pia huanza kuonekana mnyonge na kupelekwa hospitalini haraka iwezekanaiyo. Tunafaa kuwajibika na kujali maslahi yetu pamoja na watu wengine. Tabia kama ya kwenda ukinunua vyakula vinavyopikwa kando ya baraste tunafaa kukoma.Tusinunue vyakula ambavyo vinapikwa katika mazingira ambayo si safi. Narnbari ya Wagorjwa Hospitalini kuongezeka husababisha nchi kuwa na ukosefu wa wardrritarda, dawa na vitu vinginevyo vinavyotumiwa hospitalini Idadi ya wagonjwa hospitalini inazidi kuongezeka. Jambo hili linasababisha ukosefu wa vitanda hospitalini na vitu vingine vinavyotumiwa hospitalini. Kuongezeka kwa wadudu kama nzi ni athari moja ya uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa ni hatari kwa afya ya binadamu. Wadudu hawa wanapotua kwenye vyakula, huacha uchafu kwenye chakula.Wadudu hawa sana sana hushinda chooni. Wakati unapokula chakula hicho, utaanza kuugua ugonjwa wa kipindupindu.Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi. Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi, kutayarisha chakula na mikono michafu au kutumia viungo ambavyo sio safi au kukosa kunawa mikono unapotoka msalani.
Kipindupindu sababisha mtu kuhisi vipi?
{ "text": [ "Kusokotwa na tumbo" ] }
1675_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapo mzunguka binadamu. Madhara ni kitu kinachofanyika kisha kuwadhuru watu. Baadhi ya madhara inayoletwa na kuchafua mazingira ni kama yafuatayo; magonjwa kuchipuka, idadi ya wagonjwa kuongezeka, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Magonjwa kuchipuka kama vile kipindupindu ni jambo linaloonyeshwa kuwa kuna udhaifu wa serikari katika kuzingatia mazingira. Kipindupindu ni ugonjwa ambao ni mbaya na unaposhika mtu, huanza kusokotwa na tumbo na kuhara ovyo ovyo na kutapika. Baada ya hayo, mtu pia huanza kuonekana mnyonge na kupelekwa hospitalini haraka iwezekanaiyo. Tunafaa kuwajibika na kujali maslahi yetu pamoja na watu wengine. Tabia kama ya kwenda ukinunua vyakula vinavyopikwa kando ya baraste tunafaa kukoma.Tusinunue vyakula ambavyo vinapikwa katika mazingira ambayo si safi. Narnbari ya Wagorjwa Hospitalini kuongezeka husababisha nchi kuwa na ukosefu wa wardrritarda, dawa na vitu vinginevyo vinavyotumiwa hospitalini Idadi ya wagonjwa hospitalini inazidi kuongezeka. Jambo hili linasababisha ukosefu wa vitanda hospitalini na vitu vingine vinavyotumiwa hospitalini. Kuongezeka kwa wadudu kama nzi ni athari moja ya uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa ni hatari kwa afya ya binadamu. Wadudu hawa wanapotua kwenye vyakula, huacha uchafu kwenye chakula.Wadudu hawa sana sana hushinda chooni. Wakati unapokula chakula hicho, utaanza kuugua ugonjwa wa kipindupindu.Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi. Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi, kutayarisha chakula na mikono michafu au kutumia viungo ambavyo sio safi au kukosa kunawa mikono unapotoka msalani.
Mwandishi anahimiza watu wasite kununua chakula ipi?
{ "text": [ "Iliyopikwa barabarani" ] }
1675_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapo mzunguka binadamu. Madhara ni kitu kinachofanyika kisha kuwadhuru watu. Baadhi ya madhara inayoletwa na kuchafua mazingira ni kama yafuatayo; magonjwa kuchipuka, idadi ya wagonjwa kuongezeka, kuongezeka kwa wadudu kama vile nzi. Magonjwa kuchipuka kama vile kipindupindu ni jambo linaloonyeshwa kuwa kuna udhaifu wa serikari katika kuzingatia mazingira. Kipindupindu ni ugonjwa ambao ni mbaya na unaposhika mtu, huanza kusokotwa na tumbo na kuhara ovyo ovyo na kutapika. Baada ya hayo, mtu pia huanza kuonekana mnyonge na kupelekwa hospitalini haraka iwezekanaiyo. Tunafaa kuwajibika na kujali maslahi yetu pamoja na watu wengine. Tabia kama ya kwenda ukinunua vyakula vinavyopikwa kando ya baraste tunafaa kukoma.Tusinunue vyakula ambavyo vinapikwa katika mazingira ambayo si safi. Narnbari ya Wagorjwa Hospitalini kuongezeka husababisha nchi kuwa na ukosefu wa wardrritarda, dawa na vitu vinginevyo vinavyotumiwa hospitalini Idadi ya wagonjwa hospitalini inazidi kuongezeka. Jambo hili linasababisha ukosefu wa vitanda hospitalini na vitu vingine vinavyotumiwa hospitalini. Kuongezeka kwa wadudu kama nzi ni athari moja ya uchafuzi wa mazingira. Wadudu hawa ni hatari kwa afya ya binadamu. Wadudu hawa wanapotua kwenye vyakula, huacha uchafu kwenye chakula.Wadudu hawa sana sana hushinda chooni. Wakati unapokula chakula hicho, utaanza kuugua ugonjwa wa kipindupindu.Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi. Ugonjwa huu huletwa na kula chakula ambacho kimepandiliwa na nzi, kutayarisha chakula na mikono michafu au kutumia viungo ambavyo sio safi au kukosa kunawa mikono unapotoka msalani.
Kuongezeka kwa wagonjwa hospitalini husababisha upungufu wa nini?
{ "text": [ "Dawa za matibabu" ] }
1676_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapozunguka makaazi ya watu. Kila mja anapasawa kuzingatia usafi wa kila mahali ili tusipatwena maonjwa. Pia, vijiji vyetu vinapaswa kuwa visafi. Mafuma yanayopatikana kwenye fukwe za bahari, moshi wa magari, taka taka na bidhaa nyinginezo zilizotupwa hapa na pale huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Uchafu ulio katika mazingira huathiri afya zetu na pia ya wanyama na mimea. Wanadamu wanachafua mazingira yao kwa kila aina ya bidhaa mbaya za kemikali zinazotoka viwandani. Miaka na miaka, viwanda vimekuwa vikitoa mawingu makubwa makubwa ya moshi wenye sumu. Uchafu umesambaa ardhini, kwenye anga na majini. Msambao huu umeonekana katika pembe zote za dunia. Mji mikubwa hukumbwa na uchafuzi mwengine unaohusiana na kuwako kwa idadi kubwa ya magari. Magari haya hutoa moshi mbaya ambayo, pamoja na ile inayotoka katika viwanda vikubwa huchafua hewa. Mvua inaponyesha wakati hewa ni chafu, huweza kuathiri mimea, mijengo na hata kuwaua wanyama wa pori ambao huenda wakayatumia maji hayo. Magari hutoa moshi uliochanganyika na madini aina ya risasi ambayo huweza kuathiri siyo tu mazingira bali pia mfumo wa akili ya binadamu. Kila siku, tunatupa taka taka bila kujali. Taka taka hizi ni kama makopa, mifuko ya plastiki mabaki ya sigara au maganda ya matunda. Baadhi ya taka taka hizi hufanya mazingira yetu yaonekane kuwa machafu. Sote tunapaswa kusimama tisti, kwani wahenga hawakubajoa maneno ovyo walipanena umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. utengano ni udhaifu. Hatua ya kwanza ni kuelimisha na kutambua umuhimu wa usafi wa mazingira. Tunapaswa kutia taka taka katika vifaa maalum au mahali tunapoweza kuzichoma. Hatua ya mwisho ya kumpambana na uchafuzi wa mazingira ni kujielimisha na kuwajibika. Kila mmoja akitoa mchango wake tutafanikiwa. Kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
Kipi kinafaa kizingawe ili ugonjwa usipatikane
{ "text": [ "Usafi" ] }
1676_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapozunguka makaazi ya watu. Kila mja anapasawa kuzingatia usafi wa kila mahali ili tusipatwena maonjwa. Pia, vijiji vyetu vinapaswa kuwa visafi. Mafuma yanayopatikana kwenye fukwe za bahari, moshi wa magari, taka taka na bidhaa nyinginezo zilizotupwa hapa na pale huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Uchafu ulio katika mazingira huathiri afya zetu na pia ya wanyama na mimea. Wanadamu wanachafua mazingira yao kwa kila aina ya bidhaa mbaya za kemikali zinazotoka viwandani. Miaka na miaka, viwanda vimekuwa vikitoa mawingu makubwa makubwa ya moshi wenye sumu. Uchafu umesambaa ardhini, kwenye anga na majini. Msambao huu umeonekana katika pembe zote za dunia. Mji mikubwa hukumbwa na uchafuzi mwengine unaohusiana na kuwako kwa idadi kubwa ya magari. Magari haya hutoa moshi mbaya ambayo, pamoja na ile inayotoka katika viwanda vikubwa huchafua hewa. Mvua inaponyesha wakati hewa ni chafu, huweza kuathiri mimea, mijengo na hata kuwaua wanyama wa pori ambao huenda wakayatumia maji hayo. Magari hutoa moshi uliochanganyika na madini aina ya risasi ambayo huweza kuathiri siyo tu mazingira bali pia mfumo wa akili ya binadamu. Kila siku, tunatupa taka taka bila kujali. Taka taka hizi ni kama makopa, mifuko ya plastiki mabaki ya sigara au maganda ya matunda. Baadhi ya taka taka hizi hufanya mazingira yetu yaonekane kuwa machafu. Sote tunapaswa kusimama tisti, kwani wahenga hawakubajoa maneno ovyo walipanena umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. utengano ni udhaifu. Hatua ya kwanza ni kuelimisha na kutambua umuhimu wa usafi wa mazingira. Tunapaswa kutia taka taka katika vifaa maalum au mahali tunapoweza kuzichoma. Hatua ya mwisho ya kumpambana na uchafuzi wa mazingira ni kujielimisha na kuwajibika. Kila mmoja akitoa mchango wake tutafanikiwa. Kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
Kemikali inayochafua mazingira hutoka wapi
{ "text": [ "Viwandani" ] }
1676_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapozunguka makaazi ya watu. Kila mja anapasawa kuzingatia usafi wa kila mahali ili tusipatwena maonjwa. Pia, vijiji vyetu vinapaswa kuwa visafi. Mafuma yanayopatikana kwenye fukwe za bahari, moshi wa magari, taka taka na bidhaa nyinginezo zilizotupwa hapa na pale huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Uchafu ulio katika mazingira huathiri afya zetu na pia ya wanyama na mimea. Wanadamu wanachafua mazingira yao kwa kila aina ya bidhaa mbaya za kemikali zinazotoka viwandani. Miaka na miaka, viwanda vimekuwa vikitoa mawingu makubwa makubwa ya moshi wenye sumu. Uchafu umesambaa ardhini, kwenye anga na majini. Msambao huu umeonekana katika pembe zote za dunia. Mji mikubwa hukumbwa na uchafuzi mwengine unaohusiana na kuwako kwa idadi kubwa ya magari. Magari haya hutoa moshi mbaya ambayo, pamoja na ile inayotoka katika viwanda vikubwa huchafua hewa. Mvua inaponyesha wakati hewa ni chafu, huweza kuathiri mimea, mijengo na hata kuwaua wanyama wa pori ambao huenda wakayatumia maji hayo. Magari hutoa moshi uliochanganyika na madini aina ya risasi ambayo huweza kuathiri siyo tu mazingira bali pia mfumo wa akili ya binadamu. Kila siku, tunatupa taka taka bila kujali. Taka taka hizi ni kama makopa, mifuko ya plastiki mabaki ya sigara au maganda ya matunda. Baadhi ya taka taka hizi hufanya mazingira yetu yaonekane kuwa machafu. Sote tunapaswa kusimama tisti, kwani wahenga hawakubajoa maneno ovyo walipanena umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. utengano ni udhaifu. Hatua ya kwanza ni kuelimisha na kutambua umuhimu wa usafi wa mazingira. Tunapaswa kutia taka taka katika vifaa maalum au mahali tunapoweza kuzichoma. Hatua ya mwisho ya kumpambana na uchafuzi wa mazingira ni kujielimisha na kuwajibika. Kila mmoja akitoa mchango wake tutafanikiwa. Kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
Moshi unaotolewa na magari huathiri nini bali na mazingira
{ "text": [ "Mfumo wa akili ya binadamu" ] }
1676_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapozunguka makaazi ya watu. Kila mja anapasawa kuzingatia usafi wa kila mahali ili tusipatwena maonjwa. Pia, vijiji vyetu vinapaswa kuwa visafi. Mafuma yanayopatikana kwenye fukwe za bahari, moshi wa magari, taka taka na bidhaa nyinginezo zilizotupwa hapa na pale huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Uchafu ulio katika mazingira huathiri afya zetu na pia ya wanyama na mimea. Wanadamu wanachafua mazingira yao kwa kila aina ya bidhaa mbaya za kemikali zinazotoka viwandani. Miaka na miaka, viwanda vimekuwa vikitoa mawingu makubwa makubwa ya moshi wenye sumu. Uchafu umesambaa ardhini, kwenye anga na majini. Msambao huu umeonekana katika pembe zote za dunia. Mji mikubwa hukumbwa na uchafuzi mwengine unaohusiana na kuwako kwa idadi kubwa ya magari. Magari haya hutoa moshi mbaya ambayo, pamoja na ile inayotoka katika viwanda vikubwa huchafua hewa. Mvua inaponyesha wakati hewa ni chafu, huweza kuathiri mimea, mijengo na hata kuwaua wanyama wa pori ambao huenda wakayatumia maji hayo. Magari hutoa moshi uliochanganyika na madini aina ya risasi ambayo huweza kuathiri siyo tu mazingira bali pia mfumo wa akili ya binadamu. Kila siku, tunatupa taka taka bila kujali. Taka taka hizi ni kama makopa, mifuko ya plastiki mabaki ya sigara au maganda ya matunda. Baadhi ya taka taka hizi hufanya mazingira yetu yaonekane kuwa machafu. Sote tunapaswa kusimama tisti, kwani wahenga hawakubajoa maneno ovyo walipanena umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. utengano ni udhaifu. Hatua ya kwanza ni kuelimisha na kutambua umuhimu wa usafi wa mazingira. Tunapaswa kutia taka taka katika vifaa maalum au mahali tunapoweza kuzichoma. Hatua ya mwisho ya kumpambana na uchafuzi wa mazingira ni kujielimisha na kuwajibika. Kila mmoja akitoa mchango wake tutafanikiwa. Kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
Msimulizi anapendekeza nini katika uimarishaji wa mazingira
{ "text": [ "Ushirikiano" ] }
1676_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni mahali panapozunguka makaazi ya watu. Kila mja anapasawa kuzingatia usafi wa kila mahali ili tusipatwena maonjwa. Pia, vijiji vyetu vinapaswa kuwa visafi. Mafuma yanayopatikana kwenye fukwe za bahari, moshi wa magari, taka taka na bidhaa nyinginezo zilizotupwa hapa na pale huchangia katika uchafuzi wa mazingira. Uchafu ulio katika mazingira huathiri afya zetu na pia ya wanyama na mimea. Wanadamu wanachafua mazingira yao kwa kila aina ya bidhaa mbaya za kemikali zinazotoka viwandani. Miaka na miaka, viwanda vimekuwa vikitoa mawingu makubwa makubwa ya moshi wenye sumu. Uchafu umesambaa ardhini, kwenye anga na majini. Msambao huu umeonekana katika pembe zote za dunia. Mji mikubwa hukumbwa na uchafuzi mwengine unaohusiana na kuwako kwa idadi kubwa ya magari. Magari haya hutoa moshi mbaya ambayo, pamoja na ile inayotoka katika viwanda vikubwa huchafua hewa. Mvua inaponyesha wakati hewa ni chafu, huweza kuathiri mimea, mijengo na hata kuwaua wanyama wa pori ambao huenda wakayatumia maji hayo. Magari hutoa moshi uliochanganyika na madini aina ya risasi ambayo huweza kuathiri siyo tu mazingira bali pia mfumo wa akili ya binadamu. Kila siku, tunatupa taka taka bila kujali. Taka taka hizi ni kama makopa, mifuko ya plastiki mabaki ya sigara au maganda ya matunda. Baadhi ya taka taka hizi hufanya mazingira yetu yaonekane kuwa machafu. Sote tunapaswa kusimama tisti, kwani wahenga hawakubajoa maneno ovyo walipanena umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. utengano ni udhaifu. Hatua ya kwanza ni kuelimisha na kutambua umuhimu wa usafi wa mazingira. Tunapaswa kutia taka taka katika vifaa maalum au mahali tunapoweza kuzichoma. Hatua ya mwisho ya kumpambana na uchafuzi wa mazingira ni kujielimisha na kuwajibika. Kila mmoja akitoa mchango wake tutafanikiwa. Kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
Takataka ziwekwe wapi ili ziweze kuchomwa
{ "text": [ "Katika vijalala" ] }
1677_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali ambapo binadamu anaishi na nilazima iwe safi kila wakati, hata mahali ambapo wanyama wa nyumbani wanapoishi panatakiwa pawe safi wakati wote. Usafi wa binadamu haupaswi kuwa ya mazingira pekee, unatakiwa kuwa msafi hata mwili na nguo unazovaa. Usafi ni jambo la busara na pia lenye maana nzuri sana. Tunapo dumisha usafi bila shaka hatutashikwa na magonjwa kama vile: kipindupindu, malaria, homa na mengineyo. Tukiwa nyumbani tunastahili kutunza mazingira yetu vizuri ili magonjwa yasitushike. Tunastahili kuosha vyoo na kukata nyasi ndefu ili tuweze kujikinga na ugonjwa wa malaria. Ugonjwa huu ni hatari sana katika maisha ya binadamu kwa kuwa unaweza kusababisha kifo.Tunafaa kuzingatia usafi wa ndani ya nyumba pia. Tunapotumia vyombo vichafu kukula chakula tunaweza kupatwa na ugonjwa wa kipindupindu. Tukikuja upande wa shuleni, walimu huwaambia wanafunzi wajifunze mambo ya usafi wote. Walikua pia wakituhimiza kuhakikisha kuwa madarasa yetu ni safi pamoja na vyoo na mazingira yetu. Walituambia kuwa ukiwa msafi,utamkaribia Mungu lakini usipodumisha usafi, hautaelewa masomo yako vizuri. Walimu wetu walikua wakituelekeza vizuri upande wa usafi na ndiposa ninawashukuru sana kwa mwelekeo huo. Siku moja tulipokuwa shuleni, wanafunzi walikuwa watovu wa nidhamu sana Wakati wowote walipokuwa wakimskia mwalimu akiongea, wanichukulia kimchezo mchezo, hawakuskia la mwadhini wala mteka maji msinitini. Walikuwa wakifanya chochote walichotaka kufanya. Ilipofika wakati wa maakuli, wasichana wawili waliambiwia na kiranja wa shule waende wakaoshe sahani zao lakini hawakuskia lolote lile. Walisema watatumia zikiwa chafu kwa sababu mili ni yao. Walipomaliza kula, walienda kwa mwalimu wa zamu wakilalamikia kuumwa tumbo. Wakati mwalimu aliskia hayo, alikosa la kusema ila kuwapeleka hospitali. Walipimwa na kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Wasichana hao walilazwa hospitalini. Siku kadhaa baadaye,walitoka hospitalini na kujifunza kuwa usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Walijifunza kuwa asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Mazingira ni mahali nani anaishi
{ "text": [ "Binadamu" ] }
1677_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali ambapo binadamu anaishi na nilazima iwe safi kila wakati, hata mahali ambapo wanyama wa nyumbani wanapoishi panatakiwa pawe safi wakati wote. Usafi wa binadamu haupaswi kuwa ya mazingira pekee, unatakiwa kuwa msafi hata mwili na nguo unazovaa. Usafi ni jambo la busara na pia lenye maana nzuri sana. Tunapo dumisha usafi bila shaka hatutashikwa na magonjwa kama vile: kipindupindu, malaria, homa na mengineyo. Tukiwa nyumbani tunastahili kutunza mazingira yetu vizuri ili magonjwa yasitushike. Tunastahili kuosha vyoo na kukata nyasi ndefu ili tuweze kujikinga na ugonjwa wa malaria. Ugonjwa huu ni hatari sana katika maisha ya binadamu kwa kuwa unaweza kusababisha kifo.Tunafaa kuzingatia usafi wa ndani ya nyumba pia. Tunapotumia vyombo vichafu kukula chakula tunaweza kupatwa na ugonjwa wa kipindupindu. Tukikuja upande wa shuleni, walimu huwaambia wanafunzi wajifunze mambo ya usafi wote. Walikua pia wakituhimiza kuhakikisha kuwa madarasa yetu ni safi pamoja na vyoo na mazingira yetu. Walituambia kuwa ukiwa msafi,utamkaribia Mungu lakini usipodumisha usafi, hautaelewa masomo yako vizuri. Walimu wetu walikua wakituelekeza vizuri upande wa usafi na ndiposa ninawashukuru sana kwa mwelekeo huo. Siku moja tulipokuwa shuleni, wanafunzi walikuwa watovu wa nidhamu sana Wakati wowote walipokuwa wakimskia mwalimu akiongea, wanichukulia kimchezo mchezo, hawakuskia la mwadhini wala mteka maji msinitini. Walikuwa wakifanya chochote walichotaka kufanya. Ilipofika wakati wa maakuli, wasichana wawili waliambiwia na kiranja wa shule waende wakaoshe sahani zao lakini hawakuskia lolote lile. Walisema watatumia zikiwa chafu kwa sababu mili ni yao. Walipomaliza kula, walienda kwa mwalimu wa zamu wakilalamikia kuumwa tumbo. Wakati mwalimu aliskia hayo, alikosa la kusema ila kuwapeleka hospitali. Walipimwa na kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Wasichana hao walilazwa hospitalini. Siku kadhaa baadaye,walitoka hospitalini na kujifunza kuwa usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Walijifunza kuwa asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Kunastahili kuosha nini
{ "text": [ "vyoo" ] }
1677_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali ambapo binadamu anaishi na nilazima iwe safi kila wakati, hata mahali ambapo wanyama wa nyumbani wanapoishi panatakiwa pawe safi wakati wote. Usafi wa binadamu haupaswi kuwa ya mazingira pekee, unatakiwa kuwa msafi hata mwili na nguo unazovaa. Usafi ni jambo la busara na pia lenye maana nzuri sana. Tunapo dumisha usafi bila shaka hatutashikwa na magonjwa kama vile: kipindupindu, malaria, homa na mengineyo. Tukiwa nyumbani tunastahili kutunza mazingira yetu vizuri ili magonjwa yasitushike. Tunastahili kuosha vyoo na kukata nyasi ndefu ili tuweze kujikinga na ugonjwa wa malaria. Ugonjwa huu ni hatari sana katika maisha ya binadamu kwa kuwa unaweza kusababisha kifo.Tunafaa kuzingatia usafi wa ndani ya nyumba pia. Tunapotumia vyombo vichafu kukula chakula tunaweza kupatwa na ugonjwa wa kipindupindu. Tukikuja upande wa shuleni, walimu huwaambia wanafunzi wajifunze mambo ya usafi wote. Walikua pia wakituhimiza kuhakikisha kuwa madarasa yetu ni safi pamoja na vyoo na mazingira yetu. Walituambia kuwa ukiwa msafi,utamkaribia Mungu lakini usipodumisha usafi, hautaelewa masomo yako vizuri. Walimu wetu walikua wakituelekeza vizuri upande wa usafi na ndiposa ninawashukuru sana kwa mwelekeo huo. Siku moja tulipokuwa shuleni, wanafunzi walikuwa watovu wa nidhamu sana Wakati wowote walipokuwa wakimskia mwalimu akiongea, wanichukulia kimchezo mchezo, hawakuskia la mwadhini wala mteka maji msinitini. Walikuwa wakifanya chochote walichotaka kufanya. Ilipofika wakati wa maakuli, wasichana wawili waliambiwia na kiranja wa shule waende wakaoshe sahani zao lakini hawakuskia lolote lile. Walisema watatumia zikiwa chafu kwa sababu mili ni yao. Walipomaliza kula, walienda kwa mwalimu wa zamu wakilalamikia kuumwa tumbo. Wakati mwalimu aliskia hayo, alikosa la kusema ila kuwapeleka hospitali. Walipimwa na kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Wasichana hao walilazwa hospitalini. Siku kadhaa baadaye,walitoka hospitalini na kujifunza kuwa usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Walijifunza kuwa asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Nani huwambia wanafunzi wajifunze mambo ya usafi
{ "text": [ "Walimu" ] }
1677_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali ambapo binadamu anaishi na nilazima iwe safi kila wakati, hata mahali ambapo wanyama wa nyumbani wanapoishi panatakiwa pawe safi wakati wote. Usafi wa binadamu haupaswi kuwa ya mazingira pekee, unatakiwa kuwa msafi hata mwili na nguo unazovaa. Usafi ni jambo la busara na pia lenye maana nzuri sana. Tunapo dumisha usafi bila shaka hatutashikwa na magonjwa kama vile: kipindupindu, malaria, homa na mengineyo. Tukiwa nyumbani tunastahili kutunza mazingira yetu vizuri ili magonjwa yasitushike. Tunastahili kuosha vyoo na kukata nyasi ndefu ili tuweze kujikinga na ugonjwa wa malaria. Ugonjwa huu ni hatari sana katika maisha ya binadamu kwa kuwa unaweza kusababisha kifo.Tunafaa kuzingatia usafi wa ndani ya nyumba pia. Tunapotumia vyombo vichafu kukula chakula tunaweza kupatwa na ugonjwa wa kipindupindu. Tukikuja upande wa shuleni, walimu huwaambia wanafunzi wajifunze mambo ya usafi wote. Walikua pia wakituhimiza kuhakikisha kuwa madarasa yetu ni safi pamoja na vyoo na mazingira yetu. Walituambia kuwa ukiwa msafi,utamkaribia Mungu lakini usipodumisha usafi, hautaelewa masomo yako vizuri. Walimu wetu walikua wakituelekeza vizuri upande wa usafi na ndiposa ninawashukuru sana kwa mwelekeo huo. Siku moja tulipokuwa shuleni, wanafunzi walikuwa watovu wa nidhamu sana Wakati wowote walipokuwa wakimskia mwalimu akiongea, wanichukulia kimchezo mchezo, hawakuskia la mwadhini wala mteka maji msinitini. Walikuwa wakifanya chochote walichotaka kufanya. Ilipofika wakati wa maakuli, wasichana wawili waliambiwia na kiranja wa shule waende wakaoshe sahani zao lakini hawakuskia lolote lile. Walisema watatumia zikiwa chafu kwa sababu mili ni yao. Walipomaliza kula, walienda kwa mwalimu wa zamu wakilalamikia kuumwa tumbo. Wakati mwalimu aliskia hayo, alikosa la kusema ila kuwapeleka hospitali. Walipimwa na kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Wasichana hao walilazwa hospitalini. Siku kadhaa baadaye,walitoka hospitalini na kujifunza kuwa usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Walijifunza kuwa asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Wasichana wangapi waliambiwa wakaoshe sahani
{ "text": [ "Wawili" ] }
1677_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA. Mazingira ni mahali ambapo binadamu anaishi na nilazima iwe safi kila wakati, hata mahali ambapo wanyama wa nyumbani wanapoishi panatakiwa pawe safi wakati wote. Usafi wa binadamu haupaswi kuwa ya mazingira pekee, unatakiwa kuwa msafi hata mwili na nguo unazovaa. Usafi ni jambo la busara na pia lenye maana nzuri sana. Tunapo dumisha usafi bila shaka hatutashikwa na magonjwa kama vile: kipindupindu, malaria, homa na mengineyo. Tukiwa nyumbani tunastahili kutunza mazingira yetu vizuri ili magonjwa yasitushike. Tunastahili kuosha vyoo na kukata nyasi ndefu ili tuweze kujikinga na ugonjwa wa malaria. Ugonjwa huu ni hatari sana katika maisha ya binadamu kwa kuwa unaweza kusababisha kifo.Tunafaa kuzingatia usafi wa ndani ya nyumba pia. Tunapotumia vyombo vichafu kukula chakula tunaweza kupatwa na ugonjwa wa kipindupindu. Tukikuja upande wa shuleni, walimu huwaambia wanafunzi wajifunze mambo ya usafi wote. Walikua pia wakituhimiza kuhakikisha kuwa madarasa yetu ni safi pamoja na vyoo na mazingira yetu. Walituambia kuwa ukiwa msafi,utamkaribia Mungu lakini usipodumisha usafi, hautaelewa masomo yako vizuri. Walimu wetu walikua wakituelekeza vizuri upande wa usafi na ndiposa ninawashukuru sana kwa mwelekeo huo. Siku moja tulipokuwa shuleni, wanafunzi walikuwa watovu wa nidhamu sana Wakati wowote walipokuwa wakimskia mwalimu akiongea, wanichukulia kimchezo mchezo, hawakuskia la mwadhini wala mteka maji msinitini. Walikuwa wakifanya chochote walichotaka kufanya. Ilipofika wakati wa maakuli, wasichana wawili waliambiwia na kiranja wa shule waende wakaoshe sahani zao lakini hawakuskia lolote lile. Walisema watatumia zikiwa chafu kwa sababu mili ni yao. Walipomaliza kula, walienda kwa mwalimu wa zamu wakilalamikia kuumwa tumbo. Wakati mwalimu aliskia hayo, alikosa la kusema ila kuwapeleka hospitali. Walipimwa na kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Wasichana hao walilazwa hospitalini. Siku kadhaa baadaye,walitoka hospitalini na kujifunza kuwa usafi ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu. Walijifunza kuwa asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu.
Kwa nini wasichana waliumwa na tumbo
{ "text": [ "Walikula kwa sahani chafu" ] }
1678_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu ambavyo vinazingira kila mahali kama nyumba, miti, wanyama, maduka na mengineo. Mazingira ni mahali ambapo watu wengi hukaa na kila wakati panafaa kuwa safi. Mazingira ambayo si safi huleta magonjwa kama malaria, na kipindupindu, na pia husababisha kifo.Malaria ni ugonjwa ambao unaletwa na mdudu anayeitwa mbu.Tunafaa kukata nyasi ili kuzuia mbu kuzaana. Usipo kuwa na mazingira masafi, mbu watakuja wakuambukize malara. Wadudu wengine kama nzi huwa wengi mazingira yakiwa chafu. Kipindupindu huletwa na maji machafu. Tunapokunywa au kupika kwa kutumia maji machafu tunaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Pla tujichunge kutembea miguu tupu kwa sababu kunaponyesha, hayo maji huwa machafu sana na huweza kusababisha kipindupindu.Aidha, watu hutupa taka taka kila mahali bila kujali iwapo wanchafua mazingira au la. Kunao watu ambao hutafuta chakula katika biwi za taka taka, hawa mara kwa mara hukumbwa na maradhi ya kipindupindu.
Mazingira inafaa kuwekwa ikiwa nini
{ "text": [ "safi" ] }
1678_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu ambavyo vinazingira kila mahali kama nyumba, miti, wanyama, maduka na mengineo. Mazingira ni mahali ambapo watu wengi hukaa na kila wakati panafaa kuwa safi. Mazingira ambayo si safi huleta magonjwa kama malaria, na kipindupindu, na pia husababisha kifo.Malaria ni ugonjwa ambao unaletwa na mdudu anayeitwa mbu.Tunafaa kukata nyasi ili kuzuia mbu kuzaana. Usipo kuwa na mazingira masafi, mbu watakuja wakuambukize malara. Wadudu wengine kama nzi huwa wengi mazingira yakiwa chafu. Kipindupindu huletwa na maji machafu. Tunapokunywa au kupika kwa kutumia maji machafu tunaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Pla tujichunge kutembea miguu tupu kwa sababu kunaponyesha, hayo maji huwa machafu sana na huweza kusababisha kipindupindu.Aidha, watu hutupa taka taka kila mahali bila kujali iwapo wanchafua mazingira au la. Kunao watu ambao hutafuta chakula katika biwi za taka taka, hawa mara kwa mara hukumbwa na maradhi ya kipindupindu.
Mazingira ambayo si safi huleta nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1678_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu ambavyo vinazingira kila mahali kama nyumba, miti, wanyama, maduka na mengineo. Mazingira ni mahali ambapo watu wengi hukaa na kila wakati panafaa kuwa safi. Mazingira ambayo si safi huleta magonjwa kama malaria, na kipindupindu, na pia husababisha kifo.Malaria ni ugonjwa ambao unaletwa na mdudu anayeitwa mbu.Tunafaa kukata nyasi ili kuzuia mbu kuzaana. Usipo kuwa na mazingira masafi, mbu watakuja wakuambukize malara. Wadudu wengine kama nzi huwa wengi mazingira yakiwa chafu. Kipindupindu huletwa na maji machafu. Tunapokunywa au kupika kwa kutumia maji machafu tunaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Pla tujichunge kutembea miguu tupu kwa sababu kunaponyesha, hayo maji huwa machafu sana na huweza kusababisha kipindupindu.Aidha, watu hutupa taka taka kila mahali bila kujali iwapo wanchafua mazingira au la. Kunao watu ambao hutafuta chakula katika biwi za taka taka, hawa mara kwa mara hukumbwa na maradhi ya kipindupindu.
Nini huambukiza malaria
{ "text": [ "Mbu" ] }
1678_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu ambavyo vinazingira kila mahali kama nyumba, miti, wanyama, maduka na mengineo. Mazingira ni mahali ambapo watu wengi hukaa na kila wakati panafaa kuwa safi. Mazingira ambayo si safi huleta magonjwa kama malaria, na kipindupindu, na pia husababisha kifo.Malaria ni ugonjwa ambao unaletwa na mdudu anayeitwa mbu.Tunafaa kukata nyasi ili kuzuia mbu kuzaana. Usipo kuwa na mazingira masafi, mbu watakuja wakuambukize malara. Wadudu wengine kama nzi huwa wengi mazingira yakiwa chafu. Kipindupindu huletwa na maji machafu. Tunapokunywa au kupika kwa kutumia maji machafu tunaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Pla tujichunge kutembea miguu tupu kwa sababu kunaponyesha, hayo maji huwa machafu sana na huweza kusababisha kipindupindu.Aidha, watu hutupa taka taka kila mahali bila kujali iwapo wanchafua mazingira au la. Kunao watu ambao hutafuta chakula katika biwi za taka taka, hawa mara kwa mara hukumbwa na maradhi ya kipindupindu.
Mtu ajichunge kutembea miguu gani
{ "text": [ "Tupu" ] }
1678_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu ambavyo vinazingira kila mahali kama nyumba, miti, wanyama, maduka na mengineo. Mazingira ni mahali ambapo watu wengi hukaa na kila wakati panafaa kuwa safi. Mazingira ambayo si safi huleta magonjwa kama malaria, na kipindupindu, na pia husababisha kifo.Malaria ni ugonjwa ambao unaletwa na mdudu anayeitwa mbu.Tunafaa kukata nyasi ili kuzuia mbu kuzaana. Usipo kuwa na mazingira masafi, mbu watakuja wakuambukize malara. Wadudu wengine kama nzi huwa wengi mazingira yakiwa chafu. Kipindupindu huletwa na maji machafu. Tunapokunywa au kupika kwa kutumia maji machafu tunaweza kupata ugonjwa wa kipindupindu. Pla tujichunge kutembea miguu tupu kwa sababu kunaponyesha, hayo maji huwa machafu sana na huweza kusababisha kipindupindu.Aidha, watu hutupa taka taka kila mahali bila kujali iwapo wanchafua mazingira au la. Kunao watu ambao hutafuta chakula katika biwi za taka taka, hawa mara kwa mara hukumbwa na maradhi ya kipindupindu.
Kuokota chakula kwa biwi la takataka kuna madhara gani
{ "text": [ "Huleta ugonjwa na kuwashika watu" ] }
1679_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafu ni hali ya kutokuwa safi. Madhara ya uchafu wa mazingira mbaya sana kwa kama vile mangojwa mbalimbali kama: malaria, kipandupindu. Mazingira yetu ya shule yetu ni safi kabisa hadi kila mahali unakokanyanga ni safi kwa sababu mwalimu wetu alituambia kwamba tuzingatie mazingira yetu kila mara na hata kila dakika. Kuna shule zingine hata watoto wanapata magonjwa kama kipindupindu kwa sababu ya kunywa maji machafu na hata chakula chafu. Si Shuleni tu, bali hata nyumbani tuzingatie usafi. Kuna watu wanachukulia jambo la usafi na mzaha mwingi. Siku moja. nilikata karatasi darasani tena nikazichukua na kuzitupa chini. Mwalimu wa somo la kiswahili aliingia darasani akazipata zile karatasi zikiwa chini, hata hakakuuliza ni nani aliyezitupa,nilisikia tu nikipinga magoti mbele ya shule nzima. Nilichapwa viboko ishirini na tano na ndipo nilijua kwamba usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Mazingira lazima yafangiliwe na hata miti lazima imwangiliwe maji kwa sababu miti pia iko katika mazingira kwa sababu bila miti hatungekua na mvua.
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka nani
{ "text": [ "Kiumbe" ] }
1679_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafu ni hali ya kutokuwa safi. Madhara ya uchafu wa mazingira mbaya sana kwa kama vile mangojwa mbalimbali kama: malaria, kipandupindu. Mazingira yetu ya shule yetu ni safi kabisa hadi kila mahali unakokanyanga ni safi kwa sababu mwalimu wetu alituambia kwamba tuzingatie mazingira yetu kila mara na hata kila dakika. Kuna shule zingine hata watoto wanapata magonjwa kama kipindupindu kwa sababu ya kunywa maji machafu na hata chakula chafu. Si Shuleni tu, bali hata nyumbani tuzingatie usafi. Kuna watu wanachukulia jambo la usafi na mzaha mwingi. Siku moja. nilikata karatasi darasani tena nikazichukua na kuzitupa chini. Mwalimu wa somo la kiswahili aliingia darasani akazipata zile karatasi zikiwa chini, hata hakakuuliza ni nani aliyezitupa,nilisikia tu nikipinga magoti mbele ya shule nzima. Nilichapwa viboko ishirini na tano na ndipo nilijua kwamba usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Mazingira lazima yafangiliwe na hata miti lazima imwangiliwe maji kwa sababu miti pia iko katika mazingira kwa sababu bila miti hatungekua na mvua.
Uchafu unaleta nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1679_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafu ni hali ya kutokuwa safi. Madhara ya uchafu wa mazingira mbaya sana kwa kama vile mangojwa mbalimbali kama: malaria, kipandupindu. Mazingira yetu ya shule yetu ni safi kabisa hadi kila mahali unakokanyanga ni safi kwa sababu mwalimu wetu alituambia kwamba tuzingatie mazingira yetu kila mara na hata kila dakika. Kuna shule zingine hata watoto wanapata magonjwa kama kipindupindu kwa sababu ya kunywa maji machafu na hata chakula chafu. Si Shuleni tu, bali hata nyumbani tuzingatie usafi. Kuna watu wanachukulia jambo la usafi na mzaha mwingi. Siku moja. nilikata karatasi darasani tena nikazichukua na kuzitupa chini. Mwalimu wa somo la kiswahili aliingia darasani akazipata zile karatasi zikiwa chini, hata hakakuuliza ni nani aliyezitupa,nilisikia tu nikipinga magoti mbele ya shule nzima. Nilichapwa viboko ishirini na tano na ndipo nilijua kwamba usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Mazingira lazima yafangiliwe na hata miti lazima imwangiliwe maji kwa sababu miti pia iko katika mazingira kwa sababu bila miti hatungekua na mvua.
Watoto wanapata ugonjwa upi kwa kunywa maji machafu
{ "text": [ "Chorela" ] }
1679_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafu ni hali ya kutokuwa safi. Madhara ya uchafu wa mazingira mbaya sana kwa kama vile mangojwa mbalimbali kama: malaria, kipandupindu. Mazingira yetu ya shule yetu ni safi kabisa hadi kila mahali unakokanyanga ni safi kwa sababu mwalimu wetu alituambia kwamba tuzingatie mazingira yetu kila mara na hata kila dakika. Kuna shule zingine hata watoto wanapata magonjwa kama kipindupindu kwa sababu ya kunywa maji machafu na hata chakula chafu. Si Shuleni tu, bali hata nyumbani tuzingatie usafi. Kuna watu wanachukulia jambo la usafi na mzaha mwingi. Siku moja. nilikata karatasi darasani tena nikazichukua na kuzitupa chini. Mwalimu wa somo la kiswahili aliingia darasani akazipata zile karatasi zikiwa chini, hata hakakuuliza ni nani aliyezitupa,nilisikia tu nikipinga magoti mbele ya shule nzima. Nilichapwa viboko ishirini na tano na ndipo nilijua kwamba usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Mazingira lazima yafangiliwe na hata miti lazima imwangiliwe maji kwa sababu miti pia iko katika mazingira kwa sababu bila miti hatungekua na mvua.
mwalimu wa somo lipi aliingia darasani
{ "text": [ "Kiswahili" ] }
1679_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Uchafu ni hali ya kutokuwa safi. Madhara ya uchafu wa mazingira mbaya sana kwa kama vile mangojwa mbalimbali kama: malaria, kipandupindu. Mazingira yetu ya shule yetu ni safi kabisa hadi kila mahali unakokanyanga ni safi kwa sababu mwalimu wetu alituambia kwamba tuzingatie mazingira yetu kila mara na hata kila dakika. Kuna shule zingine hata watoto wanapata magonjwa kama kipindupindu kwa sababu ya kunywa maji machafu na hata chakula chafu. Si Shuleni tu, bali hata nyumbani tuzingatie usafi. Kuna watu wanachukulia jambo la usafi na mzaha mwingi. Siku moja. nilikata karatasi darasani tena nikazichukua na kuzitupa chini. Mwalimu wa somo la kiswahili aliingia darasani akazipata zile karatasi zikiwa chini, hata hakakuuliza ni nani aliyezitupa,nilisikia tu nikipinga magoti mbele ya shule nzima. Nilichapwa viboko ishirini na tano na ndipo nilijua kwamba usafi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Mazingira lazima yafangiliwe na hata miti lazima imwangiliwe maji kwa sababu miti pia iko katika mazingira kwa sababu bila miti hatungekua na mvua.
Kwa nini alichapwa viboko ishirini na tano
{ "text": [ "Kwa kukosa kuokota karatasi" ] }
1680_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni maeneo tunayokaa na tumezingira nayo katika nyumba zetu. Mazingira ni mahali ambapo panapaswa kuwa safi. Hadi mwili wako unafaa kuwa safi. Kuna njia mingi ya kusafisha mazingira. Siku hizi uchafuzi wa mazingira umepita mipaka na kuzaidisha uchafu wa mazingira. Kwanza ni kuwa, waja wanatupa taka taka kwenye mito na kuchafua maji ambayo adinasi wengi wanatumia kufanya shughuli nyingi kama kuoga, kuosha, nguo, kupikia, kuosha vyombo na juu ya hayo, kunywa na inaweza leta ugonjwa wa kolera. Pia wanafanya uchafuzi wa mazingira kwa kwenda haja ndogo na kubwa kwenye vichaka na pahali wapita njia wanapita. Hii inaleta madhara katika mazingira na wanyama ambo hula nyasi watakuwa wagonjwa na huenda wanaweza kuja kupiga dunia teke. Unafaa pia kuwa na usafi wako kibinafsi. Mtu anafaa kuoga kila siku na kuzingatia usafi wa nyumba na hata mwili. Nyumba inapaswa kuwa safi na nje ya nyumba kufyekwe nyasi ili kuzuia wadudu wadogo wadogo kuingia ndani ya nyumba. Vyoo pia vinapaswa kuwa safi kila kucha na kutwa. Pia unafaa kufunga mlango unapotoka ili watu wasiingie na kukichafua. Ikiwa chafu inaweza lete ugonjwa kama bakteria na zinginezo. Hazipaswi kuwa chafu Unapotaka kutupa taka , weka ndani ya pipa na kuzingatia usafi. Usiwache ziende huku na huko bila kuwekwa kwa pipa. Mazingira yetu yanapaswa kuwa safi kwa sababu yataleta magonjwa mengi. Kutega samaki katika bahari hufanya wafe. Uvuvi wa nyanu za kuokokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki. Hizi ni baadhi in nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kwa wakati huu, binadamu wanazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa wanyama wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Watu hufikiri kuwa uchafuzi huwa mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kua tatizo hili limekuwakubwa kiasi cha kwamba badhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina yoyote. UNEP hutekeleza kazi zake kwenye ngazi za kimataifa, hushauri hatari zilizopo kimazingira na jinsi ya kuziepuka. Kwa njia hiyo, UNEP hufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Kutupa takataka kwenye mto unaweza leta ugonjwa gani
{ "text": [ "kolera" ] }
1680_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni maeneo tunayokaa na tumezingira nayo katika nyumba zetu. Mazingira ni mahali ambapo panapaswa kuwa safi. Hadi mwili wako unafaa kuwa safi. Kuna njia mingi ya kusafisha mazingira. Siku hizi uchafuzi wa mazingira umepita mipaka na kuzaidisha uchafu wa mazingira. Kwanza ni kuwa, waja wanatupa taka taka kwenye mito na kuchafua maji ambayo adinasi wengi wanatumia kufanya shughuli nyingi kama kuoga, kuosha, nguo, kupikia, kuosha vyombo na juu ya hayo, kunywa na inaweza leta ugonjwa wa kolera. Pia wanafanya uchafuzi wa mazingira kwa kwenda haja ndogo na kubwa kwenye vichaka na pahali wapita njia wanapita. Hii inaleta madhara katika mazingira na wanyama ambo hula nyasi watakuwa wagonjwa na huenda wanaweza kuja kupiga dunia teke. Unafaa pia kuwa na usafi wako kibinafsi. Mtu anafaa kuoga kila siku na kuzingatia usafi wa nyumba na hata mwili. Nyumba inapaswa kuwa safi na nje ya nyumba kufyekwe nyasi ili kuzuia wadudu wadogo wadogo kuingia ndani ya nyumba. Vyoo pia vinapaswa kuwa safi kila kucha na kutwa. Pia unafaa kufunga mlango unapotoka ili watu wasiingie na kukichafua. Ikiwa chafu inaweza lete ugonjwa kama bakteria na zinginezo. Hazipaswi kuwa chafu Unapotaka kutupa taka , weka ndani ya pipa na kuzingatia usafi. Usiwache ziende huku na huko bila kuwekwa kwa pipa. Mazingira yetu yanapaswa kuwa safi kwa sababu yataleta magonjwa mengi. Kutega samaki katika bahari hufanya wafe. Uvuvi wa nyanu za kuokokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki. Hizi ni baadhi in nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kwa wakati huu, binadamu wanazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa wanyama wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Watu hufikiri kuwa uchafuzi huwa mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kua tatizo hili limekuwakubwa kiasi cha kwamba badhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina yoyote. UNEP hutekeleza kazi zake kwenye ngazi za kimataifa, hushauri hatari zilizopo kimazingira na jinsi ya kuziepuka. Kwa njia hiyo, UNEP hufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi.
unapotaka kutupa taka unapaswa kuweka ndani ya nini
{ "text": [ "pipa" ] }
1680_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni maeneo tunayokaa na tumezingira nayo katika nyumba zetu. Mazingira ni mahali ambapo panapaswa kuwa safi. Hadi mwili wako unafaa kuwa safi. Kuna njia mingi ya kusafisha mazingira. Siku hizi uchafuzi wa mazingira umepita mipaka na kuzaidisha uchafu wa mazingira. Kwanza ni kuwa, waja wanatupa taka taka kwenye mito na kuchafua maji ambayo adinasi wengi wanatumia kufanya shughuli nyingi kama kuoga, kuosha, nguo, kupikia, kuosha vyombo na juu ya hayo, kunywa na inaweza leta ugonjwa wa kolera. Pia wanafanya uchafuzi wa mazingira kwa kwenda haja ndogo na kubwa kwenye vichaka na pahali wapita njia wanapita. Hii inaleta madhara katika mazingira na wanyama ambo hula nyasi watakuwa wagonjwa na huenda wanaweza kuja kupiga dunia teke. Unafaa pia kuwa na usafi wako kibinafsi. Mtu anafaa kuoga kila siku na kuzingatia usafi wa nyumba na hata mwili. Nyumba inapaswa kuwa safi na nje ya nyumba kufyekwe nyasi ili kuzuia wadudu wadogo wadogo kuingia ndani ya nyumba. Vyoo pia vinapaswa kuwa safi kila kucha na kutwa. Pia unafaa kufunga mlango unapotoka ili watu wasiingie na kukichafua. Ikiwa chafu inaweza lete ugonjwa kama bakteria na zinginezo. Hazipaswi kuwa chafu Unapotaka kutupa taka , weka ndani ya pipa na kuzingatia usafi. Usiwache ziende huku na huko bila kuwekwa kwa pipa. Mazingira yetu yanapaswa kuwa safi kwa sababu yataleta magonjwa mengi. Kutega samaki katika bahari hufanya wafe. Uvuvi wa nyanu za kuokokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki. Hizi ni baadhi in nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kwa wakati huu, binadamu wanazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa wanyama wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Watu hufikiri kuwa uchafuzi huwa mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kua tatizo hili limekuwakubwa kiasi cha kwamba badhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina yoyote. UNEP hutekeleza kazi zake kwenye ngazi za kimataifa, hushauri hatari zilizopo kimazingira na jinsi ya kuziepuka. Kwa njia hiyo, UNEP hufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Mbinu duni za kilimo husababisha nini
{ "text": [ "mmomonyoko wa udongo" ] }
1680_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni maeneo tunayokaa na tumezingira nayo katika nyumba zetu. Mazingira ni mahali ambapo panapaswa kuwa safi. Hadi mwili wako unafaa kuwa safi. Kuna njia mingi ya kusafisha mazingira. Siku hizi uchafuzi wa mazingira umepita mipaka na kuzaidisha uchafu wa mazingira. Kwanza ni kuwa, waja wanatupa taka taka kwenye mito na kuchafua maji ambayo adinasi wengi wanatumia kufanya shughuli nyingi kama kuoga, kuosha, nguo, kupikia, kuosha vyombo na juu ya hayo, kunywa na inaweza leta ugonjwa wa kolera. Pia wanafanya uchafuzi wa mazingira kwa kwenda haja ndogo na kubwa kwenye vichaka na pahali wapita njia wanapita. Hii inaleta madhara katika mazingira na wanyama ambo hula nyasi watakuwa wagonjwa na huenda wanaweza kuja kupiga dunia teke. Unafaa pia kuwa na usafi wako kibinafsi. Mtu anafaa kuoga kila siku na kuzingatia usafi wa nyumba na hata mwili. Nyumba inapaswa kuwa safi na nje ya nyumba kufyekwe nyasi ili kuzuia wadudu wadogo wadogo kuingia ndani ya nyumba. Vyoo pia vinapaswa kuwa safi kila kucha na kutwa. Pia unafaa kufunga mlango unapotoka ili watu wasiingie na kukichafua. Ikiwa chafu inaweza lete ugonjwa kama bakteria na zinginezo. Hazipaswi kuwa chafu Unapotaka kutupa taka , weka ndani ya pipa na kuzingatia usafi. Usiwache ziende huku na huko bila kuwekwa kwa pipa. Mazingira yetu yanapaswa kuwa safi kwa sababu yataleta magonjwa mengi. Kutega samaki katika bahari hufanya wafe. Uvuvi wa nyanu za kuokokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki. Hizi ni baadhi in nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kwa wakati huu, binadamu wanazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa wanyama wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Watu hufikiri kuwa uchafuzi huwa mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kua tatizo hili limekuwakubwa kiasi cha kwamba badhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina yoyote. UNEP hutekeleza kazi zake kwenye ngazi za kimataifa, hushauri hatari zilizopo kimazingira na jinsi ya kuziepuka. Kwa njia hiyo, UNEP hufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Mtu anafaa kuoga lini
{ "text": [ "kila siku" ] }
1680_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni maeneo tunayokaa na tumezingira nayo katika nyumba zetu. Mazingira ni mahali ambapo panapaswa kuwa safi. Hadi mwili wako unafaa kuwa safi. Kuna njia mingi ya kusafisha mazingira. Siku hizi uchafuzi wa mazingira umepita mipaka na kuzaidisha uchafu wa mazingira. Kwanza ni kuwa, waja wanatupa taka taka kwenye mito na kuchafua maji ambayo adinasi wengi wanatumia kufanya shughuli nyingi kama kuoga, kuosha, nguo, kupikia, kuosha vyombo na juu ya hayo, kunywa na inaweza leta ugonjwa wa kolera. Pia wanafanya uchafuzi wa mazingira kwa kwenda haja ndogo na kubwa kwenye vichaka na pahali wapita njia wanapita. Hii inaleta madhara katika mazingira na wanyama ambo hula nyasi watakuwa wagonjwa na huenda wanaweza kuja kupiga dunia teke. Unafaa pia kuwa na usafi wako kibinafsi. Mtu anafaa kuoga kila siku na kuzingatia usafi wa nyumba na hata mwili. Nyumba inapaswa kuwa safi na nje ya nyumba kufyekwe nyasi ili kuzuia wadudu wadogo wadogo kuingia ndani ya nyumba. Vyoo pia vinapaswa kuwa safi kila kucha na kutwa. Pia unafaa kufunga mlango unapotoka ili watu wasiingie na kukichafua. Ikiwa chafu inaweza lete ugonjwa kama bakteria na zinginezo. Hazipaswi kuwa chafu Unapotaka kutupa taka , weka ndani ya pipa na kuzingatia usafi. Usiwache ziende huku na huko bila kuwekwa kwa pipa. Mazingira yetu yanapaswa kuwa safi kwa sababu yataleta magonjwa mengi. Kutega samaki katika bahari hufanya wafe. Uvuvi wa nyanu za kuokokota katika maeneo ambayo samaki huzaliana kwa wingi, hupunguza idadi ya samaki. Hizi ni baadhi in nyingi ambazo zinaharibu mazingira yetu. Kwa wakati huu, binadamu wanazidi kuongezeka na mataifa yamekuwa na ongezeko la viwanda. Mazingira yamekuwa katika hatari kubwa kwa njia nyingi. Mbinu duni za kilimo husababisha mmomonyoko wa udongo. Ufugaji wa wanyama wengi katika kipande kidogo cha ardhi hugeuza sehemu yenye rutuba kuwa jangwa. Watu hufikiri kuwa uchafuzi huwa mkubwa katika nchi hizo kuliko nchi zilizo na viwanda vingi. Ni wazi kua tatizo hili limekuwakubwa kiasi cha kwamba badhi ya nchi zimepitisha sheria kuzuia uchafuzi wa aina yoyote. UNEP hutekeleza kazi zake kwenye ngazi za kimataifa, hushauri hatari zilizopo kimazingira na jinsi ya kuziepuka. Kwa njia hiyo, UNEP hufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Mbona mazingira yamekuwa katika hatari kubwa
{ "text": [ "binadamu wamezidi kuongezeka na kumekua na ongezeko la viwanda" ] }
1682_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Naam! ni ukweli kuwa mathara ya uchafu ni uharibu wa mazingira kama vile watu hutupa taka taa kila mahali na kuichafua. Magonjwa huanza kuenea. Magonjwa haya ni kama malaria na kipindupindu. Wengi wetu huaribu mazingira kwa kutumia misitu kama vyoo kwa hivyo huanza kuharibu hewa kila mahali na kuchafua mazingira. Jambo nzuri la kufanya ni kila mtu kujenga choo ili watu waache kuchafua mazingira. Wengine pia huosha nguo ama vyombo na kuyamwaga hayo maji chafu kila mahali na kuchafua mazingira. Wengine huchoma taka taka kila mahali na inafaa kila binadamu kudumisha usafi. Mazingira huyafaa kusafishwa ili tuweze kuishi maisha mazuri yenyee afya nzuri. Usafi pia huweza kudumishwa kwa kufangia mazingira na kukata nyasi ambayo iko karibu na nyumba zetu. Usafi wa mazingira unafaa uzingatiwe kila wakati. Taka taka inafaa kuokotwa ili watoto wadogo wasiokote na kuanza kula kwa sababu husabisha wao kupatwa na magonjwa kama vile malaria.Ugonjwa huu humfanya mtoto kuanza kuimaliza maji mwilini, kuharisha na kuendesha. Ni vizuri tusafishe mazingira yetu ili tusiambukizwe magonjwa hayo yote kwa sababu ni hatari sana kwa binadamu yoyote duniani. Mazingira yafaa kufangiliwa na kusafishwa kila siku yapendeze sawa sawa. Ni vizuri binadamu azingatie mambo ya usafi ili aweze kuishi maisha yake vizuri. Watu wengine hupenda kupanda miti na hilo ni jambo nzuri na tunafaa kuimwagia maji ili iweze kumea kwa haraka, kwa sababu hutupa kivuli wakati wa jua na pia kutupa hewa safi.
Uchafu huaribu nini
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1682_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Naam! ni ukweli kuwa mathara ya uchafu ni uharibu wa mazingira kama vile watu hutupa taka taa kila mahali na kuichafua. Magonjwa huanza kuenea. Magonjwa haya ni kama malaria na kipindupindu. Wengi wetu huaribu mazingira kwa kutumia misitu kama vyoo kwa hivyo huanza kuharibu hewa kila mahali na kuchafua mazingira. Jambo nzuri la kufanya ni kila mtu kujenga choo ili watu waache kuchafua mazingira. Wengine pia huosha nguo ama vyombo na kuyamwaga hayo maji chafu kila mahali na kuchafua mazingira. Wengine huchoma taka taka kila mahali na inafaa kila binadamu kudumisha usafi. Mazingira huyafaa kusafishwa ili tuweze kuishi maisha mazuri yenyee afya nzuri. Usafi pia huweza kudumishwa kwa kufangia mazingira na kukata nyasi ambayo iko karibu na nyumba zetu. Usafi wa mazingira unafaa uzingatiwe kila wakati. Taka taka inafaa kuokotwa ili watoto wadogo wasiokote na kuanza kula kwa sababu husabisha wao kupatwa na magonjwa kama vile malaria.Ugonjwa huu humfanya mtoto kuanza kuimaliza maji mwilini, kuharisha na kuendesha. Ni vizuri tusafishe mazingira yetu ili tusiambukizwe magonjwa hayo yote kwa sababu ni hatari sana kwa binadamu yoyote duniani. Mazingira yafaa kufangiliwa na kusafishwa kila siku yapendeze sawa sawa. Ni vizuri binadamu azingatie mambo ya usafi ili aweze kuishi maisha yake vizuri. Watu wengine hupenda kupanda miti na hilo ni jambo nzuri na tunafaa kuimwagia maji ili iweze kumea kwa haraka, kwa sababu hutupa kivuli wakati wa jua na pia kutupa hewa safi.
Watu wengine huchoma nini kila mahali
{ "text": [ "Takataka" ] }
1682_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Naam! ni ukweli kuwa mathara ya uchafu ni uharibu wa mazingira kama vile watu hutupa taka taa kila mahali na kuichafua. Magonjwa huanza kuenea. Magonjwa haya ni kama malaria na kipindupindu. Wengi wetu huaribu mazingira kwa kutumia misitu kama vyoo kwa hivyo huanza kuharibu hewa kila mahali na kuchafua mazingira. Jambo nzuri la kufanya ni kila mtu kujenga choo ili watu waache kuchafua mazingira. Wengine pia huosha nguo ama vyombo na kuyamwaga hayo maji chafu kila mahali na kuchafua mazingira. Wengine huchoma taka taka kila mahali na inafaa kila binadamu kudumisha usafi. Mazingira huyafaa kusafishwa ili tuweze kuishi maisha mazuri yenyee afya nzuri. Usafi pia huweza kudumishwa kwa kufangia mazingira na kukata nyasi ambayo iko karibu na nyumba zetu. Usafi wa mazingira unafaa uzingatiwe kila wakati. Taka taka inafaa kuokotwa ili watoto wadogo wasiokote na kuanza kula kwa sababu husabisha wao kupatwa na magonjwa kama vile malaria.Ugonjwa huu humfanya mtoto kuanza kuimaliza maji mwilini, kuharisha na kuendesha. Ni vizuri tusafishe mazingira yetu ili tusiambukizwe magonjwa hayo yote kwa sababu ni hatari sana kwa binadamu yoyote duniani. Mazingira yafaa kufangiliwa na kusafishwa kila siku yapendeze sawa sawa. Ni vizuri binadamu azingatie mambo ya usafi ili aweze kuishi maisha yake vizuri. Watu wengine hupenda kupanda miti na hilo ni jambo nzuri na tunafaa kuimwagia maji ili iweze kumea kwa haraka, kwa sababu hutupa kivuli wakati wa jua na pia kutupa hewa safi.
Ni vizuri tusafishe mazingira yetu tusipatwe na nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1682_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Naam! ni ukweli kuwa mathara ya uchafu ni uharibu wa mazingira kama vile watu hutupa taka taa kila mahali na kuichafua. Magonjwa huanza kuenea. Magonjwa haya ni kama malaria na kipindupindu. Wengi wetu huaribu mazingira kwa kutumia misitu kama vyoo kwa hivyo huanza kuharibu hewa kila mahali na kuchafua mazingira. Jambo nzuri la kufanya ni kila mtu kujenga choo ili watu waache kuchafua mazingira. Wengine pia huosha nguo ama vyombo na kuyamwaga hayo maji chafu kila mahali na kuchafua mazingira. Wengine huchoma taka taka kila mahali na inafaa kila binadamu kudumisha usafi. Mazingira huyafaa kusafishwa ili tuweze kuishi maisha mazuri yenyee afya nzuri. Usafi pia huweza kudumishwa kwa kufangia mazingira na kukata nyasi ambayo iko karibu na nyumba zetu. Usafi wa mazingira unafaa uzingatiwe kila wakati. Taka taka inafaa kuokotwa ili watoto wadogo wasiokote na kuanza kula kwa sababu husabisha wao kupatwa na magonjwa kama vile malaria.Ugonjwa huu humfanya mtoto kuanza kuimaliza maji mwilini, kuharisha na kuendesha. Ni vizuri tusafishe mazingira yetu ili tusiambukizwe magonjwa hayo yote kwa sababu ni hatari sana kwa binadamu yoyote duniani. Mazingira yafaa kufangiliwa na kusafishwa kila siku yapendeze sawa sawa. Ni vizuri binadamu azingatie mambo ya usafi ili aweze kuishi maisha yake vizuri. Watu wengine hupenda kupanda miti na hilo ni jambo nzuri na tunafaa kuimwagia maji ili iweze kumea kwa haraka, kwa sababu hutupa kivuli wakati wa jua na pia kutupa hewa safi.
Mazingira yanafaa kufagiliwa na kusafishwa wakati gani
{ "text": [ "Kila siku" ] }
1682_swa
MADHARA YA UCHAFU WA MAZINGIRA Naam! ni ukweli kuwa mathara ya uchafu ni uharibu wa mazingira kama vile watu hutupa taka taa kila mahali na kuichafua. Magonjwa huanza kuenea. Magonjwa haya ni kama malaria na kipindupindu. Wengi wetu huaribu mazingira kwa kutumia misitu kama vyoo kwa hivyo huanza kuharibu hewa kila mahali na kuchafua mazingira. Jambo nzuri la kufanya ni kila mtu kujenga choo ili watu waache kuchafua mazingira. Wengine pia huosha nguo ama vyombo na kuyamwaga hayo maji chafu kila mahali na kuchafua mazingira. Wengine huchoma taka taka kila mahali na inafaa kila binadamu kudumisha usafi. Mazingira huyafaa kusafishwa ili tuweze kuishi maisha mazuri yenyee afya nzuri. Usafi pia huweza kudumishwa kwa kufangia mazingira na kukata nyasi ambayo iko karibu na nyumba zetu. Usafi wa mazingira unafaa uzingatiwe kila wakati. Taka taka inafaa kuokotwa ili watoto wadogo wasiokote na kuanza kula kwa sababu husabisha wao kupatwa na magonjwa kama vile malaria.Ugonjwa huu humfanya mtoto kuanza kuimaliza maji mwilini, kuharisha na kuendesha. Ni vizuri tusafishe mazingira yetu ili tusiambukizwe magonjwa hayo yote kwa sababu ni hatari sana kwa binadamu yoyote duniani. Mazingira yafaa kufangiliwa na kusafishwa kila siku yapendeze sawa sawa. Ni vizuri binadamu azingatie mambo ya usafi ili aweze kuishi maisha yake vizuri. Watu wengine hupenda kupanda miti na hilo ni jambo nzuri na tunafaa kuimwagia maji ili iweze kumea kwa haraka, kwa sababu hutupa kivuli wakati wa jua na pia kutupa hewa safi.
Watu wengine hupenda kupanda nini
{ "text": [ "Miti" ] }
1684_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Na vile tunafahamu ni vibaya kuweka mazingira chafu kwa sababu watoto wadogo wanaweza kula uchafu huu na kupata maradhi ya tumbo. Wazazi huteseka watoto wao wakiwa wagonjwa ilhali ugonjwa huu huweza kuzuiwa kwa kuzingatia usafi wa mazingira. Mazingira machafu husababishwa na binadamu wote. Kutupa uchafu sehemu yeyote na pahali ambapo hapafai husababisha mrundiko wa taka taka na sehemu hizi hutoa uvundo mbaya sana. Ningeomba habari hii iwafikie wachanchi wote, watambuwe kuwa wakitupa taka taka pahali pasipofaa watakuwa wamekosa na wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Ningeomba rais kuwe na siku maalum iliyotengwa ya mazingira, ya kusafisha mazingira na kila mtu ajitokeza na kufanya usafi, hadi rais. Nilisikia nchi ya Rwanda ndio nchi safi kabisa duniani, nani angependa tuwe kama hao? Pia, usafi huaza na mwili wa binadamu. Mtu anafaa awe msafi kisha mazingira ifwate. Tunapaswa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili tuweze kuwavutia watalii. Kaunti kama vile Kilifi na Mombasa huwavutia watalii sana. Hili halimaanishi kuwa kaunti hizi zingune hazifai kuzingatia usafi, la hasha. Watalii pia wanawza kuzuru miji mingine. Wakati huu wa janga la korona, ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuvaa barakoa wakati wote, usipo vaa barakoa na mwenzio ako na virusi vya korona, basi atakuambukiza ule mgonjwa. Ugonjwa huu umeenea sana humu nchini. Kama wananchi wema, tunahimizwa kuvaa baakoa kila wakati ili tuzuie kueneza kwa ugonjwa huu. Tukifanya hivi, idadi ya watu wanaokufa kwa sababu ya ugonjwa huu itapungua sana.
Watoto wadogo wanajulikana kula chakula ipi inayosababisha tumbo kuwasokota?
{ "text": [ "Vilivyoharibika" ] }
1684_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Na vile tunafahamu ni vibaya kuweka mazingira chafu kwa sababu watoto wadogo wanaweza kula uchafu huu na kupata maradhi ya tumbo. Wazazi huteseka watoto wao wakiwa wagonjwa ilhali ugonjwa huu huweza kuzuiwa kwa kuzingatia usafi wa mazingira. Mazingira machafu husababishwa na binadamu wote. Kutupa uchafu sehemu yeyote na pahali ambapo hapafai husababisha mrundiko wa taka taka na sehemu hizi hutoa uvundo mbaya sana. Ningeomba habari hii iwafikie wachanchi wote, watambuwe kuwa wakitupa taka taka pahali pasipofaa watakuwa wamekosa na wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Ningeomba rais kuwe na siku maalum iliyotengwa ya mazingira, ya kusafisha mazingira na kila mtu ajitokeza na kufanya usafi, hadi rais. Nilisikia nchi ya Rwanda ndio nchi safi kabisa duniani, nani angependa tuwe kama hao? Pia, usafi huaza na mwili wa binadamu. Mtu anafaa awe msafi kisha mazingira ifwate. Tunapaswa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili tuweze kuwavutia watalii. Kaunti kama vile Kilifi na Mombasa huwavutia watalii sana. Hili halimaanishi kuwa kaunti hizi zingune hazifai kuzingatia usafi, la hasha. Watalii pia wanawza kuzuru miji mingine. Wakati huu wa janga la korona, ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuvaa barakoa wakati wote, usipo vaa barakoa na mwenzio ako na virusi vya korona, basi atakuambukiza ule mgonjwa. Ugonjwa huu umeenea sana humu nchini. Kama wananchi wema, tunahimizwa kuvaa baakoa kila wakati ili tuzuie kueneza kwa ugonjwa huu. Tukifanya hivi, idadi ya watu wanaokufa kwa sababu ya ugonjwa huu itapungua sana.
Nani anayeweza kila kitendo anachofanya binadamu?
{ "text": [ "Mungu" ] }
1684_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Na vile tunafahamu ni vibaya kuweka mazingira chafu kwa sababu watoto wadogo wanaweza kula uchafu huu na kupata maradhi ya tumbo. Wazazi huteseka watoto wao wakiwa wagonjwa ilhali ugonjwa huu huweza kuzuiwa kwa kuzingatia usafi wa mazingira. Mazingira machafu husababishwa na binadamu wote. Kutupa uchafu sehemu yeyote na pahali ambapo hapafai husababisha mrundiko wa taka taka na sehemu hizi hutoa uvundo mbaya sana. Ningeomba habari hii iwafikie wachanchi wote, watambuwe kuwa wakitupa taka taka pahali pasipofaa watakuwa wamekosa na wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Ningeomba rais kuwe na siku maalum iliyotengwa ya mazingira, ya kusafisha mazingira na kila mtu ajitokeza na kufanya usafi, hadi rais. Nilisikia nchi ya Rwanda ndio nchi safi kabisa duniani, nani angependa tuwe kama hao? Pia, usafi huaza na mwili wa binadamu. Mtu anafaa awe msafi kisha mazingira ifwate. Tunapaswa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili tuweze kuwavutia watalii. Kaunti kama vile Kilifi na Mombasa huwavutia watalii sana. Hili halimaanishi kuwa kaunti hizi zingune hazifai kuzingatia usafi, la hasha. Watalii pia wanawza kuzuru miji mingine. Wakati huu wa janga la korona, ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuvaa barakoa wakati wote, usipo vaa barakoa na mwenzio ako na virusi vya korona, basi atakuambukiza ule mgonjwa. Ugonjwa huu umeenea sana humu nchini. Kama wananchi wema, tunahimizwa kuvaa baakoa kila wakati ili tuzuie kueneza kwa ugonjwa huu. Tukifanya hivi, idadi ya watu wanaokufa kwa sababu ya ugonjwa huu itapungua sana.
Mwandishi aliomba rais kuwe na sika aina gani?
{ "text": [ "Kusafisha mazingira" ] }
1684_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Na vile tunafahamu ni vibaya kuweka mazingira chafu kwa sababu watoto wadogo wanaweza kula uchafu huu na kupata maradhi ya tumbo. Wazazi huteseka watoto wao wakiwa wagonjwa ilhali ugonjwa huu huweza kuzuiwa kwa kuzingatia usafi wa mazingira. Mazingira machafu husababishwa na binadamu wote. Kutupa uchafu sehemu yeyote na pahali ambapo hapafai husababisha mrundiko wa taka taka na sehemu hizi hutoa uvundo mbaya sana. Ningeomba habari hii iwafikie wachanchi wote, watambuwe kuwa wakitupa taka taka pahali pasipofaa watakuwa wamekosa na wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Ningeomba rais kuwe na siku maalum iliyotengwa ya mazingira, ya kusafisha mazingira na kila mtu ajitokeza na kufanya usafi, hadi rais. Nilisikia nchi ya Rwanda ndio nchi safi kabisa duniani, nani angependa tuwe kama hao? Pia, usafi huaza na mwili wa binadamu. Mtu anafaa awe msafi kisha mazingira ifwate. Tunapaswa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili tuweze kuwavutia watalii. Kaunti kama vile Kilifi na Mombasa huwavutia watalii sana. Hili halimaanishi kuwa kaunti hizi zingune hazifai kuzingatia usafi, la hasha. Watalii pia wanawza kuzuru miji mingine. Wakati huu wa janga la korona, ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuvaa barakoa wakati wote, usipo vaa barakoa na mwenzio ako na virusi vya korona, basi atakuambukiza ule mgonjwa. Ugonjwa huu umeenea sana humu nchini. Kama wananchi wema, tunahimizwa kuvaa baakoa kila wakati ili tuzuie kueneza kwa ugonjwa huu. Tukifanya hivi, idadi ya watu wanaokufa kwa sababu ya ugonjwa huu itapungua sana.
Nchi ipi inajulikana kwa usafi dunia mzima?
{ "text": [ "Rwanda" ] }
1684_swa
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Na vile tunafahamu ni vibaya kuweka mazingira chafu kwa sababu watoto wadogo wanaweza kula uchafu huu na kupata maradhi ya tumbo. Wazazi huteseka watoto wao wakiwa wagonjwa ilhali ugonjwa huu huweza kuzuiwa kwa kuzingatia usafi wa mazingira. Mazingira machafu husababishwa na binadamu wote. Kutupa uchafu sehemu yeyote na pahali ambapo hapafai husababisha mrundiko wa taka taka na sehemu hizi hutoa uvundo mbaya sana. Ningeomba habari hii iwafikie wachanchi wote, watambuwe kuwa wakitupa taka taka pahali pasipofaa watakuwa wamekosa na wanafaa kuchukuliwa hatua kali. Ningeomba rais kuwe na siku maalum iliyotengwa ya mazingira, ya kusafisha mazingira na kila mtu ajitokeza na kufanya usafi, hadi rais. Nilisikia nchi ya Rwanda ndio nchi safi kabisa duniani, nani angependa tuwe kama hao? Pia, usafi huaza na mwili wa binadamu. Mtu anafaa awe msafi kisha mazingira ifwate. Tunapaswa kuweka mazingira yetu yakiwa safi ili tuweze kuwavutia watalii. Kaunti kama vile Kilifi na Mombasa huwavutia watalii sana. Hili halimaanishi kuwa kaunti hizi zingune hazifai kuzingatia usafi, la hasha. Watalii pia wanawza kuzuru miji mingine. Wakati huu wa janga la korona, ni muhimu sana kuzingatia usafi wa mazingira. Tunahimizwa kuvaa barakoa wakati wote, usipo vaa barakoa na mwenzio ako na virusi vya korona, basi atakuambukiza ule mgonjwa. Ugonjwa huu umeenea sana humu nchini. Kama wananchi wema, tunahimizwa kuvaa baakoa kila wakati ili tuzuie kueneza kwa ugonjwa huu. Tukifanya hivi, idadi ya watu wanaokufa kwa sababu ya ugonjwa huu itapungua sana.
Korona ilishuhudiwa nchini Kenya mwaka upi?
{ "text": [ "2019" ] }
1685_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mzunguko wa watu na vitu vilivyo na uhai na pia anapoishi. Uchafuzi wa mazingira umeenea mno katika nchi zetu na kusababisha magonjwa mbali mbali inayodhuru wakubwa kwa wadogo. Tukichunguza nchi zote, nchi yetu ya Kenya ndio inaongoza kwa uchafuzi wa mazingira. Uchafuzi ule mwingi zaidi hufanyika mitoni humu nchini. Nairobi ni mji mkubwa mno lakini una sifa mbaya kutokana na uchafuzi wa mazingira. Nchi zingine zinaharibu mazingira kwa kukata miti ovyo ovyo. Ukataji wa miti umeenea sana. Hayati Wangari Mathai alijaribu kutufunza jinsi ya kuyatunza mazingira yetu vyema kama alivyokuwa akiyatunza, lakini yote yalipotelea mbali kwa sababu hatukuyatilia maanani. Tunamuomba Maulana atupe Wangari Mathai mwingine ili awasaidie wananchi na awafunze umuhimu wa kuzingatia mazingira yetu ili yawe safi. Pia ningetaka kumpongeza rais wetu wa taifa la Kenya kwa kuwaambia wakenya wote waungane kwa pamoja ili kuyasafisha mazingira yetu. Vijana wamejaribu kuzingatia usafi wa hali ya juu kwa kuanzisha kikundi cha kazi mtaani au kazi kwa vijana. Nawasihi vijana mzidi kuzingatia usafi ili tumalize uchafuzi wa mazingira na magonjwa yaliyoenea nchini ili pia hewa tunayopumua isitudhuru na tuzidi kuwa na afya njema. Nina tumai kuwa mtazingatia usafi na tukome kutupatupa taka taka chini na napi za watoto pia na kujisaidia barabarani, pia hiyo ina changia kuwa uchafuzi wa mazingira. Tutumie vyoo vyetu bali si kuharibu mazingira yetu. Tutumie kila kitu vile kinapaswa kutumiwa. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu.
Uchafuzi wa mazingira umesababisha nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1685_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mzunguko wa watu na vitu vilivyo na uhai na pia anapoishi. Uchafuzi wa mazingira umeenea mno katika nchi zetu na kusababisha magonjwa mbali mbali inayodhuru wakubwa kwa wadogo. Tukichunguza nchi zote, nchi yetu ya Kenya ndio inaongoza kwa uchafuzi wa mazingira. Uchafuzi ule mwingi zaidi hufanyika mitoni humu nchini. Nairobi ni mji mkubwa mno lakini una sifa mbaya kutokana na uchafuzi wa mazingira. Nchi zingine zinaharibu mazingira kwa kukata miti ovyo ovyo. Ukataji wa miti umeenea sana. Hayati Wangari Mathai alijaribu kutufunza jinsi ya kuyatunza mazingira yetu vyema kama alivyokuwa akiyatunza, lakini yote yalipotelea mbali kwa sababu hatukuyatilia maanani. Tunamuomba Maulana atupe Wangari Mathai mwingine ili awasaidie wananchi na awafunze umuhimu wa kuzingatia mazingira yetu ili yawe safi. Pia ningetaka kumpongeza rais wetu wa taifa la Kenya kwa kuwaambia wakenya wote waungane kwa pamoja ili kuyasafisha mazingira yetu. Vijana wamejaribu kuzingatia usafi wa hali ya juu kwa kuanzisha kikundi cha kazi mtaani au kazi kwa vijana. Nawasihi vijana mzidi kuzingatia usafi ili tumalize uchafuzi wa mazingira na magonjwa yaliyoenea nchini ili pia hewa tunayopumua isitudhuru na tuzidi kuwa na afya njema. Nina tumai kuwa mtazingatia usafi na tukome kutupatupa taka taka chini na napi za watoto pia na kujisaidia barabarani, pia hiyo ina changia kuwa uchafuzi wa mazingira. Tutumie vyoo vyetu bali si kuharibu mazingira yetu. Tutumie kila kitu vile kinapaswa kutumiwa. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu.
Ni gani mji mkubwa sana
{ "text": [ "Nairobi" ] }
1685_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mzunguko wa watu na vitu vilivyo na uhai na pia anapoishi. Uchafuzi wa mazingira umeenea mno katika nchi zetu na kusababisha magonjwa mbali mbali inayodhuru wakubwa kwa wadogo. Tukichunguza nchi zote, nchi yetu ya Kenya ndio inaongoza kwa uchafuzi wa mazingira. Uchafuzi ule mwingi zaidi hufanyika mitoni humu nchini. Nairobi ni mji mkubwa mno lakini una sifa mbaya kutokana na uchafuzi wa mazingira. Nchi zingine zinaharibu mazingira kwa kukata miti ovyo ovyo. Ukataji wa miti umeenea sana. Hayati Wangari Mathai alijaribu kutufunza jinsi ya kuyatunza mazingira yetu vyema kama alivyokuwa akiyatunza, lakini yote yalipotelea mbali kwa sababu hatukuyatilia maanani. Tunamuomba Maulana atupe Wangari Mathai mwingine ili awasaidie wananchi na awafunze umuhimu wa kuzingatia mazingira yetu ili yawe safi. Pia ningetaka kumpongeza rais wetu wa taifa la Kenya kwa kuwaambia wakenya wote waungane kwa pamoja ili kuyasafisha mazingira yetu. Vijana wamejaribu kuzingatia usafi wa hali ya juu kwa kuanzisha kikundi cha kazi mtaani au kazi kwa vijana. Nawasihi vijana mzidi kuzingatia usafi ili tumalize uchafuzi wa mazingira na magonjwa yaliyoenea nchini ili pia hewa tunayopumua isitudhuru na tuzidi kuwa na afya njema. Nina tumai kuwa mtazingatia usafi na tukome kutupatupa taka taka chini na napi za watoto pia na kujisaidia barabarani, pia hiyo ina changia kuwa uchafuzi wa mazingira. Tutumie vyoo vyetu bali si kuharibu mazingira yetu. Tutumie kila kitu vile kinapaswa kutumiwa. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu.
Anataka kumpongeza nani
{ "text": [ "Raisi" ] }
1685_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mzunguko wa watu na vitu vilivyo na uhai na pia anapoishi. Uchafuzi wa mazingira umeenea mno katika nchi zetu na kusababisha magonjwa mbali mbali inayodhuru wakubwa kwa wadogo. Tukichunguza nchi zote, nchi yetu ya Kenya ndio inaongoza kwa uchafuzi wa mazingira. Uchafuzi ule mwingi zaidi hufanyika mitoni humu nchini. Nairobi ni mji mkubwa mno lakini una sifa mbaya kutokana na uchafuzi wa mazingira. Nchi zingine zinaharibu mazingira kwa kukata miti ovyo ovyo. Ukataji wa miti umeenea sana. Hayati Wangari Mathai alijaribu kutufunza jinsi ya kuyatunza mazingira yetu vyema kama alivyokuwa akiyatunza, lakini yote yalipotelea mbali kwa sababu hatukuyatilia maanani. Tunamuomba Maulana atupe Wangari Mathai mwingine ili awasaidie wananchi na awafunze umuhimu wa kuzingatia mazingira yetu ili yawe safi. Pia ningetaka kumpongeza rais wetu wa taifa la Kenya kwa kuwaambia wakenya wote waungane kwa pamoja ili kuyasafisha mazingira yetu. Vijana wamejaribu kuzingatia usafi wa hali ya juu kwa kuanzisha kikundi cha kazi mtaani au kazi kwa vijana. Nawasihi vijana mzidi kuzingatia usafi ili tumalize uchafuzi wa mazingira na magonjwa yaliyoenea nchini ili pia hewa tunayopumua isitudhuru na tuzidi kuwa na afya njema. Nina tumai kuwa mtazingatia usafi na tukome kutupatupa taka taka chini na napi za watoto pia na kujisaidia barabarani, pia hiyo ina changia kuwa uchafuzi wa mazingira. Tutumie vyoo vyetu bali si kuharibu mazingira yetu. Tutumie kila kitu vile kinapaswa kutumiwa. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu.
Umoja ni nguvu utengano ni nini
{ "text": [ "Udhaifu" ] }
1685_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Mazingira ni mzunguko wa watu na vitu vilivyo na uhai na pia anapoishi. Uchafuzi wa mazingira umeenea mno katika nchi zetu na kusababisha magonjwa mbali mbali inayodhuru wakubwa kwa wadogo. Tukichunguza nchi zote, nchi yetu ya Kenya ndio inaongoza kwa uchafuzi wa mazingira. Uchafuzi ule mwingi zaidi hufanyika mitoni humu nchini. Nairobi ni mji mkubwa mno lakini una sifa mbaya kutokana na uchafuzi wa mazingira. Nchi zingine zinaharibu mazingira kwa kukata miti ovyo ovyo. Ukataji wa miti umeenea sana. Hayati Wangari Mathai alijaribu kutufunza jinsi ya kuyatunza mazingira yetu vyema kama alivyokuwa akiyatunza, lakini yote yalipotelea mbali kwa sababu hatukuyatilia maanani. Tunamuomba Maulana atupe Wangari Mathai mwingine ili awasaidie wananchi na awafunze umuhimu wa kuzingatia mazingira yetu ili yawe safi. Pia ningetaka kumpongeza rais wetu wa taifa la Kenya kwa kuwaambia wakenya wote waungane kwa pamoja ili kuyasafisha mazingira yetu. Vijana wamejaribu kuzingatia usafi wa hali ya juu kwa kuanzisha kikundi cha kazi mtaani au kazi kwa vijana. Nawasihi vijana mzidi kuzingatia usafi ili tumalize uchafuzi wa mazingira na magonjwa yaliyoenea nchini ili pia hewa tunayopumua isitudhuru na tuzidi kuwa na afya njema. Nina tumai kuwa mtazingatia usafi na tukome kutupatupa taka taka chini na napi za watoto pia na kujisaidia barabarani, pia hiyo ina changia kuwa uchafuzi wa mazingira. Tutumie vyoo vyetu bali si kuharibu mazingira yetu. Tutumie kila kitu vile kinapaswa kutumiwa. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu. Tuungane kwa pamoja ili tuweze kukomesha madhara haya kwa kuwa umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tunapoendelea kudumisha usafi hadi watoto wetu watafuata mtindo huo na tukichafua pia wao watachafua kabisa. Mungu anapenda watu wasafi. Tukiendelea na usafi pia nchi zingine zitaiga mfano wetu.
Ni vipi watoto wataadumisha usafi
{ "text": [ "Kwa kufuata jinsi wakubwa wanadumisha usafi" ] }
1686_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Uchafuzi wa mazingira ni jambo la kuhuzunisha sana. Ni dhahiri shairi kuwa, mazingira yetu yakizingatiwa,tutaweza kuishi maisha ya amani bila matatizo yoyote. Magonjwa mengi huletwa na uchafu. Hapo zama za zamani palikua na kijiji kimoja kilichojaa watu wengi. Watu hao waiishi katika mazingira chafu sana. Wengi wao wapewa wasia na waziri wa afya lakani hawakushia la mwadhini wala la meka maji msikiti. Walizidi kuishi katika mazingira hayo yaliyokua machafu na yaliyojaa magonjwa. Hawakuelewa kuwa unapoishi katika mazingira chafu, utapatwa na maisibu mengi. Shida ili wapata si haba, wengine walitumia pesa nyingi sana wakienda kwa mganga kutafuta matibabu lakini hawakusaidika manake walirudi katika yale mazingira machafu. Siku moja, waziri wa afya aliitembea pale kijijini na kuwasaka wale walioishi katika mazingira machafu. Wale watu wote walipatikana katika yale mazingira waliadhibiwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha waziri ya afya. Waliliipa pesa nyingi sana ili kuachiliwa na kijiji chao kilisafishwa na kukawa na mazingira. Hapo ndipo naligundua kuwa madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mbaya kuliko vitu vyote duniani. Basi sisi tuishi katika mazingira safi ndio tusipatwe na masaibu yoyote yale. Tunapasua kuna wasafi ili kuepuka madhara yanalotetwa na uchafuzi wa mazingira . Ni dhahiri shairi kuwa tunapokuwa wasafi kimazingira, hatutapapatwa na magonjwa wala shida zozote zile.
Uchafuzi wa mazingira si muhimu kwa nani
{ "text": [ "Kila adinasi" ] }
1686_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Uchafuzi wa mazingira ni jambo la kuhuzunisha sana. Ni dhahiri shairi kuwa, mazingira yetu yakizingatiwa,tutaweza kuishi maisha ya amani bila matatizo yoyote. Magonjwa mengi huletwa na uchafu. Hapo zama za zamani palikua na kijiji kimoja kilichojaa watu wengi. Watu hao waiishi katika mazingira chafu sana. Wengi wao wapewa wasia na waziri wa afya lakani hawakushia la mwadhini wala la meka maji msikiti. Walizidi kuishi katika mazingira hayo yaliyokua machafu na yaliyojaa magonjwa. Hawakuelewa kuwa unapoishi katika mazingira chafu, utapatwa na maisibu mengi. Shida ili wapata si haba, wengine walitumia pesa nyingi sana wakienda kwa mganga kutafuta matibabu lakini hawakusaidika manake walirudi katika yale mazingira machafu. Siku moja, waziri wa afya aliitembea pale kijijini na kuwasaka wale walioishi katika mazingira machafu. Wale watu wote walipatikana katika yale mazingira waliadhibiwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha waziri ya afya. Waliliipa pesa nyingi sana ili kuachiliwa na kijiji chao kilisafishwa na kukawa na mazingira. Hapo ndipo naligundua kuwa madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mbaya kuliko vitu vyote duniani. Basi sisi tuishi katika mazingira safi ndio tusipatwe na masaibu yoyote yale. Tunapasua kuna wasafi ili kuepuka madhara yanalotetwa na uchafuzi wa mazingira . Ni dhahiri shairi kuwa tunapokuwa wasafi kimazingira, hatutapapatwa na magonjwa wala shida zozote zile.
Matatizo ya ugonjwa huletwa na nini
{ "text": [ "Uchafu" ] }
1686_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Uchafuzi wa mazingira ni jambo la kuhuzunisha sana. Ni dhahiri shairi kuwa, mazingira yetu yakizingatiwa,tutaweza kuishi maisha ya amani bila matatizo yoyote. Magonjwa mengi huletwa na uchafu. Hapo zama za zamani palikua na kijiji kimoja kilichojaa watu wengi. Watu hao waiishi katika mazingira chafu sana. Wengi wao wapewa wasia na waziri wa afya lakani hawakushia la mwadhini wala la meka maji msikiti. Walizidi kuishi katika mazingira hayo yaliyokua machafu na yaliyojaa magonjwa. Hawakuelewa kuwa unapoishi katika mazingira chafu, utapatwa na maisibu mengi. Shida ili wapata si haba, wengine walitumia pesa nyingi sana wakienda kwa mganga kutafuta matibabu lakini hawakusaidika manake walirudi katika yale mazingira machafu. Siku moja, waziri wa afya aliitembea pale kijijini na kuwasaka wale walioishi katika mazingira machafu. Wale watu wote walipatikana katika yale mazingira waliadhibiwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha waziri ya afya. Waliliipa pesa nyingi sana ili kuachiliwa na kijiji chao kilisafishwa na kukawa na mazingira. Hapo ndipo naligundua kuwa madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mbaya kuliko vitu vyote duniani. Basi sisi tuishi katika mazingira safi ndio tusipatwe na masaibu yoyote yale. Tunapasua kuna wasafi ili kuepuka madhara yanalotetwa na uchafuzi wa mazingira . Ni dhahiri shairi kuwa tunapokuwa wasafi kimazingira, hatutapapatwa na magonjwa wala shida zozote zile.
Watu hao waliishi katika mazingira yapi
{ "text": [ "Chafu sana" ] }
1686_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Uchafuzi wa mazingira ni jambo la kuhuzunisha sana. Ni dhahiri shairi kuwa, mazingira yetu yakizingatiwa,tutaweza kuishi maisha ya amani bila matatizo yoyote. Magonjwa mengi huletwa na uchafu. Hapo zama za zamani palikua na kijiji kimoja kilichojaa watu wengi. Watu hao waiishi katika mazingira chafu sana. Wengi wao wapewa wasia na waziri wa afya lakani hawakushia la mwadhini wala la meka maji msikiti. Walizidi kuishi katika mazingira hayo yaliyokua machafu na yaliyojaa magonjwa. Hawakuelewa kuwa unapoishi katika mazingira chafu, utapatwa na maisibu mengi. Shida ili wapata si haba, wengine walitumia pesa nyingi sana wakienda kwa mganga kutafuta matibabu lakini hawakusaidika manake walirudi katika yale mazingira machafu. Siku moja, waziri wa afya aliitembea pale kijijini na kuwasaka wale walioishi katika mazingira machafu. Wale watu wote walipatikana katika yale mazingira waliadhibiwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha waziri ya afya. Waliliipa pesa nyingi sana ili kuachiliwa na kijiji chao kilisafishwa na kukawa na mazingira. Hapo ndipo naligundua kuwa madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mbaya kuliko vitu vyote duniani. Basi sisi tuishi katika mazingira safi ndio tusipatwe na masaibu yoyote yale. Tunapasua kuna wasafi ili kuepuka madhara yanalotetwa na uchafuzi wa mazingira . Ni dhahiri shairi kuwa tunapokuwa wasafi kimazingira, hatutapapatwa na magonjwa wala shida zozote zile.
Nini kiliwapata
{ "text": [ "Shida" ] }
1686_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Uchafuzi wa mazingira ni jambo la kuhuzunisha sana. Ni dhahiri shairi kuwa, mazingira yetu yakizingatiwa,tutaweza kuishi maisha ya amani bila matatizo yoyote. Magonjwa mengi huletwa na uchafu. Hapo zama za zamani palikua na kijiji kimoja kilichojaa watu wengi. Watu hao waiishi katika mazingira chafu sana. Wengi wao wapewa wasia na waziri wa afya lakani hawakushia la mwadhini wala la meka maji msikiti. Walizidi kuishi katika mazingira hayo yaliyokua machafu na yaliyojaa magonjwa. Hawakuelewa kuwa unapoishi katika mazingira chafu, utapatwa na maisibu mengi. Shida ili wapata si haba, wengine walitumia pesa nyingi sana wakienda kwa mganga kutafuta matibabu lakini hawakusaidika manake walirudi katika yale mazingira machafu. Siku moja, waziri wa afya aliitembea pale kijijini na kuwasaka wale walioishi katika mazingira machafu. Wale watu wote walipatikana katika yale mazingira waliadhibiwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha waziri ya afya. Waliliipa pesa nyingi sana ili kuachiliwa na kijiji chao kilisafishwa na kukawa na mazingira. Hapo ndipo naligundua kuwa madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mbaya kuliko vitu vyote duniani. Basi sisi tuishi katika mazingira safi ndio tusipatwe na masaibu yoyote yale. Tunapasua kuna wasafi ili kuepuka madhara yanalotetwa na uchafuzi wa mazingira . Ni dhahiri shairi kuwa tunapokuwa wasafi kimazingira, hatutapapatwa na magonjwa wala shida zozote zile.
Wengine walitumia nini nyingi sana
{ "text": [ "Pesa" ] }
1687_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au kitu au athari mbaya. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka binadamu au kiumbe yeyote katika sehemu apanapoishi au maisha yake. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mengi na hutokana na kutupa taka taka mahali popote pasipofaa kama vile darasani nyumbani au barabarani. Utupaji wa takataka husababisha mazingira yetu kutoa harufu isiyo ya kupendeza na kuwafanya watu kupatwa na magonjwa mbalimbali. Vyombo vya usafirishaji pia huleta madhara ya uchafuzi kwa mazingira yetu. Mfano ni magari yanayopita na kutoa moshi ambayo ina sumu na kusababisha insi wengi ambao wana shida ya hiyo harufu kufungana na pia huleta harufu isiyopendeza. Tukija shambani, utapata mimea imewekwa kemikali aina mbalimbali na mvua inapokuja, kemikali hizi husombwa na maji na kuelekezwa mitoni au baharini na kuyachafua maji. Uchafu wa kemikali kutoka viwandani pia huleta madhara kwa wanyama wadogo wa baharini kama vile; samaki kukosa hewa ya kupumua kutokana na kemikali na baadaye kukufa. Wanadamu pia hujiletea madhara wao wenyewe kwa sababu, wanatumia maji kuosha nguo na tena kurudi kuyamwaga pamoja na mengine na baadaye watayachota na kutumia kupika, kunywa na hata kuoshea vyombo na kuoga. Pia wawe utawapata wakitabawali na kutoa kiyesi karibu na mito. Isitoshe wanyama pia hunywa maji hayo na kutoa vinyesi wanapokuwa katikati ya mito wakiyanywa maji hayo. Kwa njia hizo zote wanadamu hugonjeka polepole na kisha kuwa katika hali mahututi na baadaye kupoteza maisha yao. Madhara haya yote husababishwa na binadamu. Hayo yote ni madhara mabaya na ndio maana shirika la UNEP husaidia katika mazingira.Shirika hili linatuhimiza tuwe wasafi kwa njia yoyote ile ndio tusiweze kuadhirika kiafya. Ama kweli tunafaa kujihadhari kabla ya hatari.
utupaji takataka hufanya mazingira kutoa nini
{ "text": [ "Harufu" ] }
1687_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au kitu au athari mbaya. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka binadamu au kiumbe yeyote katika sehemu apanapoishi au maisha yake. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mengi na hutokana na kutupa taka taka mahali popote pasipofaa kama vile darasani nyumbani au barabarani. Utupaji wa takataka husababisha mazingira yetu kutoa harufu isiyo ya kupendeza na kuwafanya watu kupatwa na magonjwa mbalimbali. Vyombo vya usafirishaji pia huleta madhara ya uchafuzi kwa mazingira yetu. Mfano ni magari yanayopita na kutoa moshi ambayo ina sumu na kusababisha insi wengi ambao wana shida ya hiyo harufu kufungana na pia huleta harufu isiyopendeza. Tukija shambani, utapata mimea imewekwa kemikali aina mbalimbali na mvua inapokuja, kemikali hizi husombwa na maji na kuelekezwa mitoni au baharini na kuyachafua maji. Uchafu wa kemikali kutoka viwandani pia huleta madhara kwa wanyama wadogo wa baharini kama vile; samaki kukosa hewa ya kupumua kutokana na kemikali na baadaye kukufa. Wanadamu pia hujiletea madhara wao wenyewe kwa sababu, wanatumia maji kuosha nguo na tena kurudi kuyamwaga pamoja na mengine na baadaye watayachota na kutumia kupika, kunywa na hata kuoshea vyombo na kuoga. Pia wawe utawapata wakitabawali na kutoa kiyesi karibu na mito. Isitoshe wanyama pia hunywa maji hayo na kutoa vinyesi wanapokuwa katikati ya mito wakiyanywa maji hayo. Kwa njia hizo zote wanadamu hugonjeka polepole na kisha kuwa katika hali mahututi na baadaye kupoteza maisha yao. Madhara haya yote husababishwa na binadamu. Hayo yote ni madhara mabaya na ndio maana shirika la UNEP husaidia katika mazingira.Shirika hili linatuhimiza tuwe wasafi kwa njia yoyote ile ndio tusiweze kuadhirika kiafya. Ama kweli tunafaa kujihadhari kabla ya hatari.
Magari yanayopita hutoa nini
{ "text": [ "Moshi" ] }
1687_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au kitu au athari mbaya. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka binadamu au kiumbe yeyote katika sehemu apanapoishi au maisha yake. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mengi na hutokana na kutupa taka taka mahali popote pasipofaa kama vile darasani nyumbani au barabarani. Utupaji wa takataka husababisha mazingira yetu kutoa harufu isiyo ya kupendeza na kuwafanya watu kupatwa na magonjwa mbalimbali. Vyombo vya usafirishaji pia huleta madhara ya uchafuzi kwa mazingira yetu. Mfano ni magari yanayopita na kutoa moshi ambayo ina sumu na kusababisha insi wengi ambao wana shida ya hiyo harufu kufungana na pia huleta harufu isiyopendeza. Tukija shambani, utapata mimea imewekwa kemikali aina mbalimbali na mvua inapokuja, kemikali hizi husombwa na maji na kuelekezwa mitoni au baharini na kuyachafua maji. Uchafu wa kemikali kutoka viwandani pia huleta madhara kwa wanyama wadogo wa baharini kama vile; samaki kukosa hewa ya kupumua kutokana na kemikali na baadaye kukufa. Wanadamu pia hujiletea madhara wao wenyewe kwa sababu, wanatumia maji kuosha nguo na tena kurudi kuyamwaga pamoja na mengine na baadaye watayachota na kutumia kupika, kunywa na hata kuoshea vyombo na kuoga. Pia wawe utawapata wakitabawali na kutoa kiyesi karibu na mito. Isitoshe wanyama pia hunywa maji hayo na kutoa vinyesi wanapokuwa katikati ya mito wakiyanywa maji hayo. Kwa njia hizo zote wanadamu hugonjeka polepole na kisha kuwa katika hali mahututi na baadaye kupoteza maisha yao. Madhara haya yote husababishwa na binadamu. Hayo yote ni madhara mabaya na ndio maana shirika la UNEP husaidia katika mazingira.Shirika hili linatuhimiza tuwe wasafi kwa njia yoyote ile ndio tusiweze kuadhirika kiafya. Ama kweli tunafaa kujihadhari kabla ya hatari.
Mimea huwekwa nini
{ "text": [ "Kemikali" ] }
1687_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au kitu au athari mbaya. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka binadamu au kiumbe yeyote katika sehemu apanapoishi au maisha yake. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mengi na hutokana na kutupa taka taka mahali popote pasipofaa kama vile darasani nyumbani au barabarani. Utupaji wa takataka husababisha mazingira yetu kutoa harufu isiyo ya kupendeza na kuwafanya watu kupatwa na magonjwa mbalimbali. Vyombo vya usafirishaji pia huleta madhara ya uchafuzi kwa mazingira yetu. Mfano ni magari yanayopita na kutoa moshi ambayo ina sumu na kusababisha insi wengi ambao wana shida ya hiyo harufu kufungana na pia huleta harufu isiyopendeza. Tukija shambani, utapata mimea imewekwa kemikali aina mbalimbali na mvua inapokuja, kemikali hizi husombwa na maji na kuelekezwa mitoni au baharini na kuyachafua maji. Uchafu wa kemikali kutoka viwandani pia huleta madhara kwa wanyama wadogo wa baharini kama vile; samaki kukosa hewa ya kupumua kutokana na kemikali na baadaye kukufa. Wanadamu pia hujiletea madhara wao wenyewe kwa sababu, wanatumia maji kuosha nguo na tena kurudi kuyamwaga pamoja na mengine na baadaye watayachota na kutumia kupika, kunywa na hata kuoshea vyombo na kuoga. Pia wawe utawapata wakitabawali na kutoa kiyesi karibu na mito. Isitoshe wanyama pia hunywa maji hayo na kutoa vinyesi wanapokuwa katikati ya mito wakiyanywa maji hayo. Kwa njia hizo zote wanadamu hugonjeka polepole na kisha kuwa katika hali mahututi na baadaye kupoteza maisha yao. Madhara haya yote husababishwa na binadamu. Hayo yote ni madhara mabaya na ndio maana shirika la UNEP husaidia katika mazingira.Shirika hili linatuhimiza tuwe wasafi kwa njia yoyote ile ndio tusiweze kuadhirika kiafya. Ama kweli tunafaa kujihadhari kabla ya hatari.
Uchafu wa kemikali kutoka viwandani huua wanyama wapi
{ "text": [ "Baharini" ] }
1687_swa
MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA Madhara ni uharibifu au kitu au athari mbaya. Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka binadamu au kiumbe yeyote katika sehemu apanapoishi au maisha yake. Madhara ya uchafuzi wa mazingira ni mengi na hutokana na kutupa taka taka mahali popote pasipofaa kama vile darasani nyumbani au barabarani. Utupaji wa takataka husababisha mazingira yetu kutoa harufu isiyo ya kupendeza na kuwafanya watu kupatwa na magonjwa mbalimbali. Vyombo vya usafirishaji pia huleta madhara ya uchafuzi kwa mazingira yetu. Mfano ni magari yanayopita na kutoa moshi ambayo ina sumu na kusababisha insi wengi ambao wana shida ya hiyo harufu kufungana na pia huleta harufu isiyopendeza. Tukija shambani, utapata mimea imewekwa kemikali aina mbalimbali na mvua inapokuja, kemikali hizi husombwa na maji na kuelekezwa mitoni au baharini na kuyachafua maji. Uchafu wa kemikali kutoka viwandani pia huleta madhara kwa wanyama wadogo wa baharini kama vile; samaki kukosa hewa ya kupumua kutokana na kemikali na baadaye kukufa. Wanadamu pia hujiletea madhara wao wenyewe kwa sababu, wanatumia maji kuosha nguo na tena kurudi kuyamwaga pamoja na mengine na baadaye watayachota na kutumia kupika, kunywa na hata kuoshea vyombo na kuoga. Pia wawe utawapata wakitabawali na kutoa kiyesi karibu na mito. Isitoshe wanyama pia hunywa maji hayo na kutoa vinyesi wanapokuwa katikati ya mito wakiyanywa maji hayo. Kwa njia hizo zote wanadamu hugonjeka polepole na kisha kuwa katika hali mahututi na baadaye kupoteza maisha yao. Madhara haya yote husababishwa na binadamu. Hayo yote ni madhara mabaya na ndio maana shirika la UNEP husaidia katika mazingira.Shirika hili linatuhimiza tuwe wasafi kwa njia yoyote ile ndio tusiweze kuadhirika kiafya. Ama kweli tunafaa kujihadhari kabla ya hatari.
Kwa nini watu wanahimizwa kuwa safi
{ "text": [ "Ili wasiadhirike kiafya" ] }
1688_swa
Mazingira ni kitu cha maana sana kwa maisha ya mwanadamu, hivyo basi tunafaa kuyatunza vizuri. Niko na furaha chemchem, siku iliyopita, tuliweza kutembelewa na mheshimiwa Wangari Maathai. Asubuhi na mapema, mwalimu mkuu aliuamuru tupange foleni kwenye gwaride na tunyamaze kwani tulikua na mgeni. Wangari Mathai alianza hotuba yake hivi, "mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Natumai leo mko salama salimini. Tunamshukuru Maulana sana kwa pumzi ya leo. Siku ya leo ningependa kuzungumza kuhusu mazingira yetu.Kwenye redio na runinga, tumeweza kuskia watu wakilalamika kuhusu mazingira. Ningependa kusema kuwa, kila mwanafunzi ana uwezo wa kupanda mche wa mti kila baada ya miezi mbili. Kila shule inafaa kuwa na pipa la kutupia taka taka. Taka taka hizi zinafaa kuchomwa mara kwa mara ili zisitapakae kila mahali." Mheshimiwa alimaliza hotuba yake na kwenda kukaa chini. Niliharakisha na kufika jukwaani kabla mheshimiwa kutoka pale. Niliweza kumuuliza ikiwa alikua amemaliza hotuba yake, kisha akanieleza kuwa alipokuwa akituhutubia, kunao wnafunzi ambao hawakua wakisikiliza. Mwalimu mkuu aliweza kuwaita wanafunzi wale ofisini mwake na kuwaadibu vilivyo. Niliweza kusimama jukwaani na kuwahutubua wanafunzi wenzangu kuhusu umuhimu wa mazingira. Niliwaaeleza kuwa tukiishi katika mazingira safi, hattutapatwa na magonjwa kama vile kipindupindu. Pia, niliweza kuwaeleza kuwa ukataji wa miti huathiri mazingira kwani tutaweza kukosa mvua na ukame utaenea kote.
Mgeni yupi alikufa kutembelea shule ya mwandishi?
{ "text": [ "Wangari Mathai" ] }
1688_swa
Mazingira ni kitu cha maana sana kwa maisha ya mwanadamu, hivyo basi tunafaa kuyatunza vizuri. Niko na furaha chemchem, siku iliyopita, tuliweza kutembelewa na mheshimiwa Wangari Maathai. Asubuhi na mapema, mwalimu mkuu aliuamuru tupange foleni kwenye gwaride na tunyamaze kwani tulikua na mgeni. Wangari Mathai alianza hotuba yake hivi, "mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Natumai leo mko salama salimini. Tunamshukuru Maulana sana kwa pumzi ya leo. Siku ya leo ningependa kuzungumza kuhusu mazingira yetu.Kwenye redio na runinga, tumeweza kuskia watu wakilalamika kuhusu mazingira. Ningependa kusema kuwa, kila mwanafunzi ana uwezo wa kupanda mche wa mti kila baada ya miezi mbili. Kila shule inafaa kuwa na pipa la kutupia taka taka. Taka taka hizi zinafaa kuchomwa mara kwa mara ili zisitapakae kila mahali." Mheshimiwa alimaliza hotuba yake na kwenda kukaa chini. Niliharakisha na kufika jukwaani kabla mheshimiwa kutoka pale. Niliweza kumuuliza ikiwa alikua amemaliza hotuba yake, kisha akanieleza kuwa alipokuwa akituhutubia, kunao wnafunzi ambao hawakua wakisikiliza. Mwalimu mkuu aliweza kuwaita wanafunzi wale ofisini mwake na kuwaadibu vilivyo. Niliweza kusimama jukwaani na kuwahutubua wanafunzi wenzangu kuhusu umuhimu wa mazingira. Niliwaaeleza kuwa tukiishi katika mazingira safi, hattutapatwa na magonjwa kama vile kipindupindu. Pia, niliweza kuwaeleza kuwa ukataji wa miti huathiri mazingira kwani tutaweza kukosa mvua na ukame utaenea kote.
Nani aliagiza wanafunzi wote wakusanyike kwenya gwaride na wakae kimya?
{ "text": [ "Mwalimu mkuu" ] }
1688_swa
Mazingira ni kitu cha maana sana kwa maisha ya mwanadamu, hivyo basi tunafaa kuyatunza vizuri. Niko na furaha chemchem, siku iliyopita, tuliweza kutembelewa na mheshimiwa Wangari Maathai. Asubuhi na mapema, mwalimu mkuu aliuamuru tupange foleni kwenye gwaride na tunyamaze kwani tulikua na mgeni. Wangari Mathai alianza hotuba yake hivi, "mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Natumai leo mko salama salimini. Tunamshukuru Maulana sana kwa pumzi ya leo. Siku ya leo ningependa kuzungumza kuhusu mazingira yetu.Kwenye redio na runinga, tumeweza kuskia watu wakilalamika kuhusu mazingira. Ningependa kusema kuwa, kila mwanafunzi ana uwezo wa kupanda mche wa mti kila baada ya miezi mbili. Kila shule inafaa kuwa na pipa la kutupia taka taka. Taka taka hizi zinafaa kuchomwa mara kwa mara ili zisitapakae kila mahali." Mheshimiwa alimaliza hotuba yake na kwenda kukaa chini. Niliharakisha na kufika jukwaani kabla mheshimiwa kutoka pale. Niliweza kumuuliza ikiwa alikua amemaliza hotuba yake, kisha akanieleza kuwa alipokuwa akituhutubia, kunao wnafunzi ambao hawakua wakisikiliza. Mwalimu mkuu aliweza kuwaita wanafunzi wale ofisini mwake na kuwaadibu vilivyo. Niliweza kusimama jukwaani na kuwahutubua wanafunzi wenzangu kuhusu umuhimu wa mazingira. Niliwaaeleza kuwa tukiishi katika mazingira safi, hattutapatwa na magonjwa kama vile kipindupindu. Pia, niliweza kuwaeleza kuwa ukataji wa miti huathiri mazingira kwani tutaweza kukosa mvua na ukame utaenea kote.
Wangari aliwahimiza wanafunzi kupanda miche ya miti baada ya miezi mingapi?
{ "text": [ "Miwili" ] }
1688_swa
Mazingira ni kitu cha maana sana kwa maisha ya mwanadamu, hivyo basi tunafaa kuyatunza vizuri. Niko na furaha chemchem, siku iliyopita, tuliweza kutembelewa na mheshimiwa Wangari Maathai. Asubuhi na mapema, mwalimu mkuu aliuamuru tupange foleni kwenye gwaride na tunyamaze kwani tulikua na mgeni. Wangari Mathai alianza hotuba yake hivi, "mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Natumai leo mko salama salimini. Tunamshukuru Maulana sana kwa pumzi ya leo. Siku ya leo ningependa kuzungumza kuhusu mazingira yetu.Kwenye redio na runinga, tumeweza kuskia watu wakilalamika kuhusu mazingira. Ningependa kusema kuwa, kila mwanafunzi ana uwezo wa kupanda mche wa mti kila baada ya miezi mbili. Kila shule inafaa kuwa na pipa la kutupia taka taka. Taka taka hizi zinafaa kuchomwa mara kwa mara ili zisitapakae kila mahali." Mheshimiwa alimaliza hotuba yake na kwenda kukaa chini. Niliharakisha na kufika jukwaani kabla mheshimiwa kutoka pale. Niliweza kumuuliza ikiwa alikua amemaliza hotuba yake, kisha akanieleza kuwa alipokuwa akituhutubia, kunao wnafunzi ambao hawakua wakisikiliza. Mwalimu mkuu aliweza kuwaita wanafunzi wale ofisini mwake na kuwaadibu vilivyo. Niliweza kusimama jukwaani na kuwahutubua wanafunzi wenzangu kuhusu umuhimu wa mazingira. Niliwaaeleza kuwa tukiishi katika mazingira safi, hattutapatwa na magonjwa kama vile kipindupindu. Pia, niliweza kuwaeleza kuwa ukataji wa miti huathiri mazingira kwani tutaweza kukosa mvua na ukame utaenea kote.
Wangari alirai shule iwe na nini ndiposa wanafunze waweze kutupa takataka?
{ "text": [ "Pipa" ] }
1688_swa
Mazingira ni kitu cha maana sana kwa maisha ya mwanadamu, hivyo basi tunafaa kuyatunza vizuri. Niko na furaha chemchem, siku iliyopita, tuliweza kutembelewa na mheshimiwa Wangari Maathai. Asubuhi na mapema, mwalimu mkuu aliuamuru tupange foleni kwenye gwaride na tunyamaze kwani tulikua na mgeni. Wangari Mathai alianza hotuba yake hivi, "mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Natumai leo mko salama salimini. Tunamshukuru Maulana sana kwa pumzi ya leo. Siku ya leo ningependa kuzungumza kuhusu mazingira yetu.Kwenye redio na runinga, tumeweza kuskia watu wakilalamika kuhusu mazingira. Ningependa kusema kuwa, kila mwanafunzi ana uwezo wa kupanda mche wa mti kila baada ya miezi mbili. Kila shule inafaa kuwa na pipa la kutupia taka taka. Taka taka hizi zinafaa kuchomwa mara kwa mara ili zisitapakae kila mahali." Mheshimiwa alimaliza hotuba yake na kwenda kukaa chini. Niliharakisha na kufika jukwaani kabla mheshimiwa kutoka pale. Niliweza kumuuliza ikiwa alikua amemaliza hotuba yake, kisha akanieleza kuwa alipokuwa akituhutubia, kunao wnafunzi ambao hawakua wakisikiliza. Mwalimu mkuu aliweza kuwaita wanafunzi wale ofisini mwake na kuwaadibu vilivyo. Niliweza kusimama jukwaani na kuwahutubua wanafunzi wenzangu kuhusu umuhimu wa mazingira. Niliwaaeleza kuwa tukiishi katika mazingira safi, hattutapatwa na magonjwa kama vile kipindupindu. Pia, niliweza kuwaeleza kuwa ukataji wa miti huathiri mazingira kwani tutaweza kukosa mvua na ukame utaenea kote.
Hali inayomzunguka mwanafunzi ama binadamu inajulikana kama nini?
{ "text": [ "Mazingira" ] }
1689_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Hii ni kwa sababu, tunpoishi katika mazingira machafu, tutaweza kupatwa na magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu na malaria.Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali ya nyumba ambazo tunaishi. Tunafaa pia kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Tunafaa pia kula vyakula safi kila wakati, tuvae nguo safi ili tusipatwe na ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji masafi ili tuepuke magonjwa. Tunapaswa kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani kwa kuwajengea vizuri mahali wanakaa. Kwanza kabisa, tunafaa kuchoma taka taka ili isitapakae katika mazingira yetu. Pia, tunafaa kutumia vyoo kwa njia mzuri il tusipate mgonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuosha vyoo kila siku. Pia tunafaa kuwa mapipa ya taka taka katika nyumba zenu ili tunapofangia tusitupe taka taka katika mazingira yetu. Wanyama pia wanyumbani kama vile umbwa yafaa kujengea mahali ndipoza umbwa pia apate mahali yake ili asichafulie mazingira. Yafaa kuwa mazingira tunapoishi sisi binadamu yanga'aa. Napia hapa shuleni, tunafaa kusafisha mazingira yetu kwa kuokota karatasi na kuzichoma. Tusafishe pia madarasa ambayo tunasomea kwa sababu tunahitaji usafi tunapoendelea na masomo yetu. Tunapaswa pia kuwa na vyandarua kitandani ili kuzuia kuumwa na mbu tunapolala. Tukifanya hivi tutajiepusha na ugonjwa wa malaria.
Mazingira machafu huleta nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
1689_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Hii ni kwa sababu, tunpoishi katika mazingira machafu, tutaweza kupatwa na magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu na malaria.Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali ya nyumba ambazo tunaishi. Tunafaa pia kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Tunafaa pia kula vyakula safi kila wakati, tuvae nguo safi ili tusipatwe na ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji masafi ili tuepuke magonjwa. Tunapaswa kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani kwa kuwajengea vizuri mahali wanakaa. Kwanza kabisa, tunafaa kuchoma taka taka ili isitapakae katika mazingira yetu. Pia, tunafaa kutumia vyoo kwa njia mzuri il tusipate mgonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuosha vyoo kila siku. Pia tunafaa kuwa mapipa ya taka taka katika nyumba zenu ili tunapofangia tusitupe taka taka katika mazingira yetu. Wanyama pia wanyumbani kama vile umbwa yafaa kujengea mahali ndipoza umbwa pia apate mahali yake ili asichafulie mazingira. Yafaa kuwa mazingira tunapoishi sisi binadamu yanga'aa. Napia hapa shuleni, tunafaa kusafisha mazingira yetu kwa kuokota karatasi na kuzichoma. Tusafishe pia madarasa ambayo tunasomea kwa sababu tunahitaji usafi tunapoendelea na masomo yetu. Tunapaswa pia kuwa na vyandarua kitandani ili kuzuia kuumwa na mbu tunapolala. Tukifanya hivi tutajiepusha na ugonjwa wa malaria.
Ugonjwa wa ngozi husababishwa na nini
{ "text": [ "Kuvaa nguo chafu" ] }
1689_swa
Mazingira ni mahali panapozunguka viumbe vyote. Tunafaa kuzingatia usafi mahali tunapoishi. Hii ni kwa sababu, tunpoishi katika mazingira machafu, tutaweza kupatwa na magonjwa mbali mbali kama vile kipindupindu na malaria.Tunafaa kukata nyasi karibu na nyumba zetu na kupeleka uchafu mbali ya nyumba ambazo tunaishi. Tunafaa pia kuwa tunaosha vyoo ambavyo tunatumia kwa sababu, kule chooni kuna magonjwa. Tunafaa pia kula vyakula safi kila wakati, tuvae nguo safi ili tusipatwe na ugonjwa wa ngozi. Pia matunda tunayokula yanafaa kuoshwa na maji masafi ili tuepuke magonjwa. Tunapaswa kutunza pia wanyama wetu wa nyumbani kwa kuwajengea vizuri mahali wanakaa. Kwanza kabisa, tunafaa kuchoma taka taka ili isitapakae katika mazingira yetu. Pia, tunafaa kutumia vyoo kwa njia mzuri il tusipate mgonjwa ya aina mbalimbali. Tunafaa kuosha vyoo kila siku. Pia tunafaa kuwa mapipa ya taka taka katika nyumba zenu ili tunapofangia tusitupe taka taka katika mazingira yetu. Wanyama pia wanyumbani kama vile umbwa yafaa kujengea mahali ndipoza umbwa pia apate mahali yake ili asichafulie mazingira. Yafaa kuwa mazingira tunapoishi sisi binadamu yanga'aa. Napia hapa shuleni, tunafaa kusafisha mazingira yetu kwa kuokota karatasi na kuzichoma. Tusafishe pia madarasa ambayo tunasomea kwa sababu tunahitaji usafi tunapoendelea na masomo yetu. Tunapaswa pia kuwa na vyandarua kitandani ili kuzuia kuumwa na mbu tunapolala. Tukifanya hivi tutajiepusha na ugonjwa wa malaria.
Takataka zafaa kutupwa wapi
{ "text": [ "Kwenye biwi la takataka" ] }