_id
stringlengths 15
22
| url
stringlengths 31
150
| title
stringlengths 1
86
| text
stringlengths 100
23.8k
|
---|---|---|---|
20231101.sw_2173_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Hatimaye alipaswa kukabidhi koloni lake binafsi mikononi mwa serikali ya Ubelgiji iliyomlipa fidia kwa mali aliyoacha.
|
20231101.sw_2173_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kati ya mwaka 1908 hadi 1960 ilikuwa koloni la Ubelgiji kwa jina la Kongo ya Kibelgiji baada ya kuhamishiwa mikononi mwa serikali ya Ubelgiji.
|
20231101.sw_2173_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Katika miaka 1925 hadi 1946 maeneo ya Rwanda na Burundi yalitawaliwa kama sehemu za Kongo ya Kibelgiji.
|
20231101.sw_2173_11
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Wabelgiji walijitahidi kuboresha hali ya maisha ya wenyeji baada ya miaka mibaya ya Leopold II. Nia ilichelewa kuonekana hali halisi kwa sababu utaratibu wa kulazimisha Waafrika kufanyia kazi kampuni na shirika kubwa iliendelea hata bila idhini ya serikali mpya ukadai vifo vingi.
|
20231101.sw_2173_12
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kwenye uwanja wa elimu, matibabu na mawasiliano jitihada za siasa mpya zilionekana zaidi. Kongo ilikuwa kati ya nchi chache ambako lugha za kienyeji zilifundishwa shuleni kwa sababu shule nyingi ziliendshwa na wamisionari.
|
20231101.sw_2173_13
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kwa upande mwingine ubaguzi wa rangi uliwaruhusu Waafrika wachache sana kufikia ngazi za juu za elimu.
|
20231101.sw_2173_14
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Makampuni makubwa ya migodi kama vile "Société Générale" na "Union Minière du Haut Katanga" yalichimba madini hasa katika jimbo la Katanga. Makampuni haya yalikuwa na athira kubwa.
|
20231101.sw_2173_15
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Katanga ilikuwa maarufu kwa shaba iliyochimbwa huko. halafu pia kwa uranium iliyotumiwa kwa mabomu ya kwanza ya kinyuklia ya Marekani mwaka 1945.
|
20231101.sw_2173_16
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Baada ya unyama wa miaka ya Leopold II upinzani dhidi ya utawala wa kikoloni ulikuwa hafifu. Kuanzia miaka ya 1920 Wakongo wengi walionyesha upinzani huo katika mahudhurio katika madhehebu mapya ya wafuasi wa Simon Kimbangu yaliyopigwa marufuku na Wabelgiji kuanzia mwaka 1926.
|
20231101.sw_2173_17
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Wabelgiji ambao hawakujiandaa kwa madai hayo yalipaswa kukubali uchaguzi wa halmashauri za vijiji na miji mwaka 1957.
|
20231101.sw_2173_18
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Mwaka 1958 vyama vya kisiasa vilikubaliwa. Harakati mbili muhimu kati ya hivi zilikuwa Abako (Alliance de Bakongo) chini ya Joseph Kasavubu na MNC (Mouvement National Congolais) chini ya Patrice Lumumba.
|
20231101.sw_2173_19
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Wabelgiji walijaribu kuchelewesha harakati hizo lakini baada ya kutambua matatizo serikali ya Ubelgiji ilitangaza mnamo Januari 1960 kuwa uchaguzi utaendeshwa haraka na baada ya miezi sita Wabelgiji watakabidhi nchi kwa wenyeji.
|
20231101.sw_2173_20
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Chama cha Patrice Lumumba kilishinda kwa kura nyingi naye akawa kiongozi wa kwanza wa nchi huru kama waziri mkuu.
|
20231101.sw_2173_21
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kati ya 27 Oktoba 1971 na 17 Mei 1997, chini ya utawala wa dikteta Mobutu, nchi ilijulikana kwa jina la "Zaire".
|
20231101.sw_2173_22
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Mwaka 2017 wakazi walikuwa 81,339,988: idadi hiyo ni ya 4 kati ya nchi zote za Afrika, baada ya Nigeria, Ethiopia na Misri.
|
20231101.sw_2173_23
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kifaransa ni lugha rasmi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ilikuwa lugha ya utawala ya koloni ikaendelea kutumiwa kama lugha isiyoelekea upande wowote kati ya makabila, lugha na tamaduni za nchi hii.
|
20231101.sw_2173_24
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kwa jumla kuna takriban lugha 242, hasa lugha za Kibantu, zinazozungumzwa nchini (angalia orodha ya lugha). Kati yake, lugha 4 zinatambuliwa kama lugha za kitaifa, nazo ni: Kikongo (Kituba), Kingala (Kongo), Kiluba (Tshiluba) na Kiswahili. Wakati wa ukoloni lugha hizo nne za kitaifa ziliwahi kutumiwa kieneo katika shule za msingi.
|
20231101.sw_2173_25
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Kingala kilikuwa lugha rasmi ya jeshi la kikoloni lililoitwa "Force Publique" chini ya utawala wa Ubelgiji likaendelea kuwa lugha ya jeshi la jamhuri baada ya uhuru.
|
20231101.sw_2173_26
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Wananchi wengi (zaidi ya 90%) wanajihesabu Wakristo wa madhehebu mbalimbali; kati yao asilimia 29.7 ni Wakatoliki. Waislamu ni asilimia 10-12. Wafuasi wa dini asilia za Kiafrika ni 3%.
|
20231101.sw_2173_27
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Edgerton, Robert, The Troubled Heart of Africa: A History of the Congo. St. Martin's Press, December 2002.
|
20231101.sw_2173_28
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Exenberger, Andreas/Hartmann, Simon. The Dark Side of Globalization. The Vicious Cycle of Exploitation from World Market Integration: Lesson from the Congo, Working Papers in Economics and Statistics 31, University Innsbruck 2007.
|
20231101.sw_2173_29
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Exenberger, Andreas/Hartmann, Simon. [http://vkc.library.uu.nl/vkc/seh/research/Lists/Events/Attachments/6/Paper.ExenbergerHartmann.pdf Doomed to Disaster? Long-term Trajectories of Exploitation in the Congo] , Paper to be presented at the Workshop "Colonial Extraction in the Netherlands Indies and Belgian Congo: Institutions, Institutional Change and Long Term Consequences", Utrecht 3–4 December 2010.
|
20231101.sw_2173_30
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Justenhoven, Heinz-Gerhard; Ehrhart, Hans Georg. Intervention im Kongo: eine kritische Analyse der Befriedungspolitik von UN und EU. Stuttgart: Kohlhammer, 2008. (In German) ISBN 978-3-17-020781-3.
|
20231101.sw_2173_31
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Larémont, Ricardo René, ed. 2005. Borders, nationalism and the African state. Boulder, Colorado and London: Lynne Rienner Publishers.
|
20231101.sw_2173_32
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Lemarchand, Reni and Hamilton, Lee; Burundi: Ethnic Conflict and Genocide. Woodrow Wilson Center Press, 1994.
|
20231101.sw_2173_33
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Melvern, Linda, Conspiracy to Murder: The Rwandan Genocide and the International Community. Verso, 2004.
|
20231101.sw_2173_34
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Miller, Eric: "The Inability of Peacekeeping to Address the Security Dilemma", 2010. ISBN 978-3-8383-4027-2.
|
20231101.sw_2173_35
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Mwakikagile, Godfrey, Nyerere and Africa: End of an Era, Third Edition, New Africa Press, 2006, "Chapter Six: Congo in The Sixties: The Bleeding Heart of Africa", pp. 147 – 205, ISBN 978-0-9802534-1-2; Mwakikagile, Godfrey, Africa and America in The Sixties: A Decade That Changed The Nation and The Destiny of A Continent, First Edition, New Africa Press, 2006, ISBN 978-0-9802534-2-9.
|
20231101.sw_2173_36
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Prunier, Gérard, Africa's World War: Congo, the Rwandan Genocide, and the Making of a Continental Catastrophe, 2011 (also published as From Genocide to Continental War: The Congolese Conflict and the Crisis of Contemporary Africa: The Congo Conflict and the Crisis of Contemporary Africa).
|
20231101.sw_2173_37
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Renton, David; Seddon, David; Zeilig, Leo. The Congo: Plunder and Resistance, 2007. ISBN 978-1-84277-485-4.
|
20231101.sw_2173_38
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Schulz, Manfred. Entwicklungsträger in der DR Kongo: Entwicklungen in Politik, Wirtschaft, Religion, Zivilgesellschaft und Kultur, Berlin: Lit, 2008, (in German) ISBN 978-3-8258-0425-1.
|
20231101.sw_2173_39
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Stearns, Jason: Dancing in the Glory of Monsters: the Collapse of the Congo and the Great War of Africa, Public Affairs, 2011.
|
20231101.sw_2173_40
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamhuri%20ya%20Kidemokrasia%20ya%20Kongo
|
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
|
Osman, Mohamed Omer Guudle(November,2011) Africa: A rich Continent where poorest people live, The Case of DR Congo and the exploitation of the World Market
|
20231101.sw_2175_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Mkoa wa Mara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 31000.. Umepakana na mikoa jirani ya Mwanza na Shinyanga upande wa kusini, Arusha upande wa kusini-mashariki, Kagera kwa njia ya Ziwa Nyanza (au Viktoria) na Kenya upande wa mashariki. Jina linatokana na lile la mto Mara.
|
20231101.sw_2175_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Idadi ya wakazi ilikuwa 2,372,015 wakati wa sensa ya mwaka 2022, kutoka 1,743,830 wa sensa ya mwaka 2012 , na 1,368,602 wa sensa ya 2002.
|
20231101.sw_2175_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Kuna wilaya zifuatazo katika mkoa wa Mara: Bunda, Serengeti, Tarime, Rorya, Butiama, Musoma mjini na Musoma vijijini.
|
20231101.sw_2175_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Makabila ya Mara ni mengi kuliko mikoa yote ya Tanzania, kama vile Waluo, Wajita, Waruri, Wazanaki, Wakuria, Wakabwa, Wakiroba, Wasimbiti, Wangoreme, Wakwaya, Waikoma, Wanata, Waisenye, Waikizu, Wasizaki, Wasukuma, Wataturu na makabila madogo kama Wanandi, Wakisii au Wamaragori.
|
20231101.sw_2175_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Kuna jumla ya makabila 30 yanayodai kujitegemea. Jamii zinazosahaulika huunganishwa katika kundi la Suba (Wategi, ambao pia huitwa Abhathegi maarufu kama Abhagirango, Waugu (Ugu), Warieri, Wakine, Wasweta na Waganjo, Wagire, Wakiseru, Wakamageta na Waturi). Baadhi ya jamii hizi zilimezwa na mila, lugha na desturi za Waluo zikaitwa Suba-Luo katika kipindi cha utawala wa DC Engram aliyekuwa wilaya ya Mara Kaskazini (North Mara).
|
20231101.sw_2175_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Baadhi ya jamii kwa upande wa Kenya iliyotawaliwa na Waingereza katika Wilaya za Kuria na South Nyanza huitwa Suna, Wagwasi, Ungoe, Kajulu na Kadem.
|
20231101.sw_2175_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Hata hivyo habari hizi bado zinafanyiwa utafiti kuangalia muingiliano wa lugha na tofauti za kilahaja kati ya jamii moja na nyingine hasa zilizopo Tanzania. Itakumbukwa jamii nyingi ziliingia upande ulioitwa South Nyanza kabla ya nchi za Afrika Mashariki kupata uhuru. Zipo tafiti nyingi siku hizi ambazo zinajaribu kubainisha makundi ya jamii hizo lakini muingiliano bado haujapata ufafanuzi makini.
|
20231101.sw_2175_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Kimsingi Mkoa wa Mara una jamii hizo zipatazo 30 lakini lugha kuu ni saba tu na nyingine ni lahaja kutokana na makundi ya lugha hizi: Luo, Kuria, Sukuma, Suba, Shashi, Zanaki na Taturu. Yapo makundi ya Wanata, Waisenye na Wataturu, Wazanaki (kundi lake: Kabwa, Kirobha, Wasimbiti, Wairienyi, Waikizu, Wangoreme), Luo (Wakowak, Wakamoti), Wakuria (Nyebhasi, Nyamongo, Wanchari, Wasweta, Wakenye, Warenchoka, Watimbaru, Waregi, hadi 14/15), Sukuma, Nyantuzu na Shashi (Wajita, Wakwaya, Waruri, Wakerewe, Wakara). Jamii zote humezwa katika makundi saba ya lugha kuu lakini kila jamii inajitofautisha kwa lahaja yake.
|
20231101.sw_2175_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Ni jamii za Kibantu peke yake zinazoweza kuwasiliana na kuelewana kukiwa na tofauti kidogo katika matamshi ya maneno.
|
20231101.sw_2175_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Ukichunguza zaidi, wakazi wa asili wa Mkoa wa Mara ni makabila makuu mawili yenye uhusiano wa karibu sana, yaani Wakurya (na vikabila kadhaa: Wakurya ni jina ‘linalobeba’ mengi ya yale yanaoyoitwa 'makabila' mkoani Mara, ambayo tafsiri yake halisi ni 'vikabila') na Wajita (hawa nao wana vikabila kadhaa).
|
20231101.sw_2175_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Pia, Wakurya-Waghusii si 'Bantu halisi' bali ni mchanganyiko kati ya Wabantu na Waniloti. Katika makabila ya Kibantu, yaliyoathiri damu ya Wakurya ni pamoja na:
|
20231101.sw_2175_11
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Wachaga (kwa mfano, Wakerobha au Wakiroba, walichanganya damu sana na wahamiaji toka Machame na Marangu kwa Wachaga - na hadi leo Machame na Marangu ni majina ya vitongoji huko kwa Wakiroba Mkoa wa Mara!)
|
20231101.sw_2175_12
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Wakikuyu (kwa mfano, baadhi ya Wakurya wa North Mara wana asili ya Wakikuyu au 'Abhaghekoyo'). Pia Wakikuyu wanachanga majina mengi na Wakurya - kama Nyambura, Murughi, Mwita, n.k. na hata lugha zinafanana kwa kiasi kikubwa).
|
20231101.sw_2175_13
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Pia, kama makabila, Wakurya-Waghusii, Wakikuyu, na Wameru wa Kenya wana uhusiano wa karibu na asili moja. Makabila mengine yanayohusiana nao ni Wagisu (Uganda) na Waluya (Kenya). Kuna wakati ambapo makundi hayo yote yalikuwa kabila moja, lakini wakatengana kwa kuhamia sehemu za mbali, wakawa makabila tofauti tunayoyajua leo.
|
20231101.sw_2175_14
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Kwa hiyo, dhana ambayo imejengeka sana vichwani mwa watu kwamba Mara kuna makabila mengi, kwa kiasi kikubwa ni potofu. Ukiangalia kwa undani hata lugha na mila zilizopo, utaona kwamba hata hao kina yego/mbani (Wajita, Wakwaya, Wakara, Waruri, Wakerewe, n.k.) ni 'vikabila' tu vya kabila kubwa la Wajita.
|
20231101.sw_2175_15
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Ukiachia Wajaluo (au 'Jakowiny Luo'), mkoani Mara pia kuna Wataturu na Wanandi. Wanandi ni moja kati ya 'vikibila' vya Wakalenjin. Hata hivyo, idadi ya watu wa makabila haya ni ndogo ukilinganisha na ile ya 'Wakurya-Waghusii' na Wajita (ikiwa na maana ya kabila kubwa linalojumuisha pia Wajita, Wakwaya, na Waruri).
|
20231101.sw_2175_16
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Pia Mara, Wakurya hawaishi tu Tarime, bali huishi wilaya zote 6 za Mkoa wa Mara: Tarime, Rorya (hao ni Wakurya wa North Mara), Musoma Vijjini, Musoma Mjini, Bunda, na Serengati (hao ndio Wakurya wa South Mara). Abhaghusii (wanaoishi jimbo la Nyanza, Kenya) ni sehemu ya Wakurya wa 'North Mara'.
|
20231101.sw_2175_17
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Kwa hiyo, wanahistoria wanatakiwa kuliweka hili sawa. Wazungu walichorekodi ni majina ya vikabila (au koo kubwa), kwani hata leo ukienda Mara, ukauliza swali lako kizembe, si ajabu usikute mtu atayekujibu kwamba anaitwa Mkurya: wote watakuambia, mimi Mzanaki, Mkiroba, Mtimbaru, n.k. Wengine watasema, mimi Mmjita, Mkwaya, Mruri, nk.
|
20231101.sw_2175_18
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Kwa wakereketwa wa historia, Wakiroba (kikabila cha Wakurya-Wakisii) na Wakwaya (kikabila cha Wajita) ndiyo makabila ya asili ya inayoitwa leo hii Musoma mjini. Makundi haya mawili, pamoja na kuwa makibali tofauti, yana uhusiano wa muda mrefu wa karibu sana. Hupendana sana, na hata vita walipigana kwa kushirikiana!
|
20231101.sw_2175_19
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Pia Wakurya na Wajita, uhusiano wao wa karibu, na hata kushabihiana kwa lugha zao (kwa makabila haya makubwa mawili ya Mkoa wa Mara, hakuna anayeweza akamsengenya mwenzie, na asijue anasema nini), si jambo lililoanza juzi. Mababu wanatuambia hawa watu wote wamehamia Mara, wakitokea maeneo ambayo kwa sasa yako katika nchi zinazojulikana kama Misri na Libya (hata Wajaluo nao, walikujua toka huko). Wakati wa msafara, waligawanyika makundi matatu:
|
20231101.sw_2175_20
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
• Moja likapita mashariki mwa Ziwa Victoria. Hili lilikuwa ndilo kundi kuu. Koo nyingi za Kikurya zilipita huko. Katika nyakati tofauti, zilitengana na Wagisu (Uganda), Waluya, Wameru, Wakikuyu (Kenya).
|
20231101.sw_2175_21
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
• Moja likapita magharibi mwa Ziwa Victoria. Koo nyingi za Wajita, pamoja na baadhi ya koo za Wakurya (kama Abhashanake) walipita huko.
|
20231101.sw_2175_22
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
• Moja likapita katikati ya Ziwa Victoria. Hili kundi lilikuwa dogo zaidi. Lilijumuisha zaidi koo chache za Kijita, kama vile Wakerewe.
|
20231101.sw_2175_23
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Hakuna historia ya vita kati ya Wakurya na Wajita, bali wameishi kwa kuelewana na kusaidiana. Hata hivyo, koo za Kikurya hupenda sana kupigana – na haya tunayaona hadi leo hii.
|
20231101.sw_2175_24
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa%20wa%20Mara
|
Mkoa wa Mara
|
Pia tukumbuke: Wabantu ni familia moja, na Waafrika ni ’kabila’ moja kubwa, na binadamu wote, bila kujali rangi zetu, tumetoka kwa Muumba mmoja na tuna asili moja – ni watoto wa Adamu na Eva (Waarabu humwita Hawa), kwa wale wanaoamini dini; au ni watoto wa Mwafrika kwa wale wanaoamini sayansi.
|
20231101.sw_2177_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma (pia Rumi) ni mji mkuu ("Roma Capitale") wa Jamhuri ya Italia. Pia ni mji mkuu wa mkoa wa Lazio.
|
20231101.sw_2177_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma iko katika sehemu ya magharibi ya kati ya Rasi ya Italia, katika makutano ya mito ya Tiber na Aniene karibu na Bahari ya Mediteranea.
|
20231101.sw_2177_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma ina wakazi 2,860,009 katika 1,285 km2 (496.1 sq mi), Roma ni komune yenye watu wengi zaidi nchini na ni jiji la tatu lenye watu wengi katika Umoja wa Ulaya kwa idadi ya watu ndani ya mipaka ya jiji.
|
20231101.sw_2177_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma mara nyingi inajulikana kama Jiji la Milima Saba kutokana na eneo lake la kijiografia, na pia kama "Mji wa Milele". Roma kwa ujumla inachukuliwa kuwa "chimbuko la ustaarabu wa magharibi na Utamaduni wa Kikristo", na kitovu cha Kanisa Katoliki. Mji wa Vatikano (nchi ndogo zaidi duniani) ni nchi huru ndani ya mipaka ya jiji la Roma, mfano pekee uliopo wa nchi ndani ya jiji.
|
20231101.sw_2177_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma uko katikati ya Italia ikiwa mita 20 juu ya UB ndani ya tambarare ya bonde la mto Tiber linalopakana na milima ya Abruzzi, milima ya Sabini na milima ya Albani.
|
20231101.sw_2177_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Mwanzo wa Roma ulikuwa kwenye vilima saba vilivyo katikati ya mji wa leo vinavyoitwa: Palatino, Aventino, Campidoglio, Quirinale, Viminale, Esquilino na Celio.
|
20231101.sw_2177_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Hali ya hewa hutawaliwa na bahari iliyo karibu. Wastani wa halijoto kwa mwaka ni sentigredi 15,4. Mvua hunyesha wastani wa mm 758 kwa mwaka.
|
20231101.sw_2177_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Miezi yenye joto ni Juni hadi Agosti ikiwa na wastani wa sentigredi 21 hadi 23,8; ni miezi ya mvua kidogo.
|
20231101.sw_2177_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Historia ya mji inasemekana imeanza rasmi tarehe 21 Aprili 753 KK, lakini majengo ya kwanza ni ya karne ya 10 KK.
|
20231101.sw_2177_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Katika karne za KK ulikuwa mji mkuu wa ufalme wa Roma, halafu wa Jamhuri ya Roma, hatimaye wa Dola la Roma.
|
20231101.sw_2177_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Uenezi wa Ukristo kuanzia mwaka 30 na hasa ujio wa Mtume Petro na Mtume Paulo waliofia dini yao (64-68) huko viliathiri mji huo moja kwa moja.
|
20231101.sw_2177_11
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Kuanzia karne ya 7 BK ukawa mji mkuu wa Dola la Papa, halafu wa Ufalme wa Italia na sasa wa Jamhuri ya Italia. Huitwa mara nyingi "Mji wa Milele".
|
20231101.sw_2177_12
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Tangu kuondoka kwa makao makuu ya Kaisari na kupungua kwa nguvu ya Dola la Roma Magharibi idadi ya wakazi ilipungua hadi kuwa na takriban 100,000 mnamo mwaka 530.
|
20231101.sw_2177_13
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Katika karne zilizofuata Italia pamoja na Ulaya iliona vita na mashambulio ya makabila yasiyostaarabika. Mnamo mwaka 1000 Roma ilikuwa mji mdogo wenye wakazi 20,000 pekee walioishi ndani ya maghofu ya mji mkubwa wa kale.
|
20231101.sw_2177_14
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Tangu kuimarika kwa utawala wa mapapa mji ulianza kukua tena; mnamo mwaka 1900 ukawa na wakazi 400,000. Katika karne ya 20 mji ulipanuka sana hadi kufikia idadi ya wakazi wa zamani hata kuipita. Siku hizi asilimia 7.4 ni wageni.
|
20231101.sw_2177_15
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma ndiyo kitovu kimojawapo cha sekta ya viwanda na sekta ya huduma ya Italia. Utalii ni pia muhimu sana kiuchumi, kutokana na watalii 26,100,000 wanaoutembelea kila mwaka: 6.5% za Jumla ya Pato la Taifa zinapatikana ndani ya Roma ambazo ni kushinda miji mingine yote ya Italia.
|
20231101.sw_2177_16
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Roma ina makao makuu ya F.A.O. (Food and Agriculture Organisation - Shirika la Chakula na Kilimo) ya Umoja wa Mataifa pamoja na ofisi zote za serikali ya Italia.
|
20231101.sw_2177_17
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Roma
|
Roma
|
Info-Roma - Info-Rome ni tovuti kuhusu mambo ya kitalii katika mji wa Roma, hasa matukio ya aina mbalimbali, hoteli, maonyesho, nyumba za kumbukumbu na vyakula.
|
20231101.sw_2184_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Mto Nile (pia: Naili; kwa Kiarabu: ,النيل an-nīl) ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za Uganda, Sudan Kusini, Sudan na Misri kwa urefu wa km 6,650.
|
20231101.sw_2184_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Beseni la Nile hukusanya maji ya eneo linalojumlisha 10% za eneo la Afrika yote au km² 3,349,000. Takriban watu milioni 250 hukalia beseni hilo.
|
20231101.sw_2184_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
"Nile" au "Naili" ni umbo la Kiingereza la jina la mto lililotokana na lile lililotumiwa na Wagiriki wa Kale: "Neilos" (Νεῖλος). Haijulikani Wagiriki walipata jina hilo kwa njia gani, lakini lilikuwa kawaida nje ya Misri.
|
20231101.sw_2184_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Wamisri wa Kale waliita mto huu kwa jina Ḥ'pī au Iteru linalomaanisha "mto mkubwa". Wakopti walikuwa na jina la piaro lakini tangu utawala wa Kiroma jina la Kigiriki lilizidi kutumika, na Waarabu waliendelea na jina la Kigiriki pia, hivyo leo hii wananchi wanasema "an-nil".
|
20231101.sw_2184_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Majina hayo ya "nyeupe" na "buluu" yana asili yake katika mji wa Khartoum ambako mito yote miwili inaunganika ilhali kila mmoja una rangi tofauti kutokana na udongo tofauti uliotia rangi yake kwenye maji hayo.
|
20231101.sw_2184_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Vyanzo vya Nile ni mito yote inayopeleka maji kwenda Ziwa Viktoria Nyanza katika nchi za Tanzania, Burundi, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda na Kenya. Chanzo cha mbali kabisa ni mto wa Luvironza huko Burundi unaoingia katika mto Kagera na kufika Ziwa Viktoria Nyanza.
|
20231101.sw_2184_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Hakuna mapatano kabisa Nile inaanzia wapi. Kawaida ya waandishi Waingereza ni kuhesabu kuanzia Ziwa Viktoria; waandishi wa mataifa mengine huwa wanaweza wakaita tayari mto Kagera kwa jina "Nile ya Kagera".
|
20231101.sw_2184_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
ndani ya Sudan Kusini mto huitwa Bahr al-Jabal (mto wa mlimani) hadi kupokea tawimto la Bahr al-Ghazal
|
20231101.sw_2184_8
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
kwa sababu ya rangi wakati wa mvua yake kutokana na udongo katika maji jina linakuwa Bahr al-Abyad kuanzia Bahr al-Ghazal hadi Khartoum
|
20231101.sw_2184_9
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
kuanzia Khartoum jina pekee ni Bahr an-Nil (mto wa Nile) hadi mdomo wake wa delta kwenye Mediteranea.
|
20231101.sw_2184_10
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Tangu milenia kadhaa maji ya Nile yamekuwa msingi wa maisha yote nchini Misri na pia kwa sehemu kubwa ya nchi ya Sudan.
|
20231101.sw_2184_11
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Katika miaka ya 1920 Uingereza kama mtawala mkoloni wa Sudan na Misri ulikuwa na majadiliano juu ya ugawaji wa maji ya mto na kufikia mapatano juu ya matumizi ya maji ya mto Nile ya 1929.
|
20231101.sw_2184_12
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Nile
|
Nile
|
Hadi leo Misri inadai ya kwamba mapatanao yale yanakataa ujenzi wa malambo na kuanzishwa kwa miradi ya umwagiliaji inayotumia maji ya Nile bila kibali cha serikali yake. Hapa Misri inadai ya kwamba nchi zote zilizokuwa makoloni ya Uingereza wakati ule zinafungwa na mapatano ya mwaka 1929 na hizi ni pamoja na Sudan, Uganda, Kenya, Tanzania, halafu pia Ethiopia iliyopatana na Uingereza wakati ule. Nchi nyingine hazikubali madai hayo, ila majadiliano juu ya mapatano mapya ya ushirikiano katika beseni la Nile yanaendelea.
|
20231101.sw_2185_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5 km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.
|
20231101.sw_2185_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Neno "Mediteranea" limetokana na lugha ya Kilatini likiunganisha maneno ya "medium" (inamaanisha "kati ya, katikati") na "terra" (inamaanisha "bara"). Kwa hiyo neno lenyewe linamaanisha "Bahari katikati ya bara".
|
20231101.sw_2185_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Katika lugha ya Biblia Kiebrania iliitwa "Bahari ya Magharibi" au "Bahari Kuu"; Waroma wa Kale waliotwala nchi zote zinazopakana na Bahari ya Mediteranea waliita "mare nostrum" yaani "bahari yetu". Waarabu na Waturuki wanaiita "Bahari Nyeupe" (kwa Kituruki: Akdeniz; kwa Kiarabu: البحر الأبيض al-baHr-al-abyaD)
|
20231101.sw_2185_3
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea ni bahari, si ziwa, kwa sababu imeunganishwa na Atlantiki kwa njia ya mlango wa bahari wa Gibraltar.
|
20231101.sw_2185_4
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Ina bahari za pembeni zake ambazo ni pamoja na Bahari Nyeusi, Bahari ya Aegean, Bahari ya Tyrrheni na mengine. Bahari Nyeusi inaunganishwa kwa njia ya mlangobahari wa Dardaneli, Bahari ya Marmara na mlangobahari wa Bosporus.
|
20231101.sw_2185_5
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Tangu mwaka 1869 kuna pia njia ya maji kati ya Mediteranea na Bahari ya Shamu ambayo ni Mfereji wa Suez.
|
20231101.sw_2185_6
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Kuna visiwa vingi sana hasa kati ya Ugiriki na Uturuki. Visiwa vikubwa ni Korsika, Sardinia, Sisilia, Kreta, Rhodos na Kibros.
|
20231101.sw_2185_7
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari%20ya%20Mediteranea
|
Bahari ya Mediteranea
|
Hispania, Ufaransa, Monako, Italia, Malta (funguvisiwa), Slovenia, Kroatia, Bosnia - Herzegovina, Montenegro, Albania, Ugiriki, Uturuki
|
20231101.sw_2194_0
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jibuti
|
Jibuti
|
Jibuti (kwa Kifaransa: Djibouti, kwa Kiarabu: جيبوتي) ni nchi ndogo ya Afrika ya Mashariki kwenye Pembe la Afrika.
|
20231101.sw_2194_1
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jibuti
|
Jibuti
|
Imepakana na Eritrea, Ethiopia na Somalia upande wa bara. Kuna pwani ya Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden. Ng'ambo ya bahari iko nchi ya Yemen katika umbali wa km 20 pekee.
|
20231101.sw_2194_2
|
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jibuti
|
Jibuti
|
Hali ya nchi inalingana kwa karibu na ile ya mataifa mengine katika Mashariki mwa Afrika, Jibuti ilipo, ikipakana na Ghuba ya Aden na Bahari ya Shamu, katikati ya Eritrea, Ethiopia na Somalia.
|
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.