_id
stringlengths
15
22
url
stringlengths
31
150
title
stringlengths
1
86
text
stringlengths
100
23.8k
20231101.sw_2818_14
https://sw.wikipedia.org/wiki/Burkina%20Faso
Burkina Faso
Howorth, Chris, Rebuilding the Local Landscape: Environmental Management in Burkina Faso (Ashgate, 1999).
20231101.sw_2818_15
https://sw.wikipedia.org/wiki/Burkina%20Faso
Burkina Faso
McFarland, Daniel Miles and Rupley, Lawrence A, Historical Dictionary of Burkina Faso (Scarecrow Press, 1998).
20231101.sw_2818_16
https://sw.wikipedia.org/wiki/Burkina%20Faso
Burkina Faso
Roy, Christopher D and Wheelock, Thomas G B, Land of the Flying Masks: Art and Culture in Burkina Faso: The Thomas G.B. Wheelock Collection (Prestel Publishing, 2007).
20231101.sw_2818_17
https://sw.wikipedia.org/wiki/Burkina%20Faso
Burkina Faso
Sankara, Thomas, Thomas Sankara Speaks: The Burkina Faso Revolution 1983–1987 (Pathfinder Press, 2007).
20231101.sw_2818_18
https://sw.wikipedia.org/wiki/Burkina%20Faso
Burkina Faso
Sankara, Thomas, We are the Heirs of the World's Revolutions: Speeches from the Burkina Faso Revolution 1983–1987 (Pathfinder Press, 2007).
20231101.sw_2820_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Wagadugu
Wagadugu
Wagadugu (kwa Kifaransa huandikwa Ouagadougou) ni mji mkuu wa Burkina Faso, na pia mji mkubwa kabisa wa nchi hiyo na wa mkoa wa Centre.
20231101.sw_2820_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Wagadugu
Wagadugu
Mji ni pia kitovu cha usafiri na mawasiliano. Kuna kiwanja cha kimataifa cha ndege na njia ya reli kwenda Abidjan (Côte d'Ivoire), halafu barabara za kwenda Lome (Togo), Bamako (Mali), Niamey (Niger), Accra (Ghana).
20231101.sw_2822_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Volta%20%28mto%29
Volta (mto)
Volta ni mto muhimu wa Afrika ya Magharibi. Inaanza katika maungano ya matawimto yake ya Muhun (Volta nyeusi), Nazinon (Volta nyekundu) na Nakambe (Volta nyeupe) karibu na mji wa Salaga, Ghana.
20231101.sw_2822_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Volta%20%28mto%29
Volta (mto)
Katika Ghana boma la lambo la Akosombo (Ghana) limesababisha kutokea kwa ziwa Volta ambalo ni lambo kubwa kabisa duniani. Baada ya kuondoka katika ziwa hilo lisilo asilia Volta inaingia katika Ghuba ya Guinea ya bahari Atlantiki.
20231101.sw_2823_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Gambia (jina rasmi: Republic of The Gambia) ni nchi ndogo kabisa ya Afrika bara. Eneo lake lote linazungukwa na Senegal kwa kufuata mwendo wa mto Gambia hadi Bahari ya Atlantiki.
20231101.sw_2823_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Kimsingi nchi yote ni maeneo ya kandokando ya mto huo; urefu ni takriban km 500, upana kati ya 10 na 50.
20231101.sw_2823_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Nchi kama ilivyo leo imepatikana kutokana na mvutano kati ya Uingereza na Ufaransa wakati wa ukoloni.
20231101.sw_2823_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Mapatano kati ya Ufaransa na Uingereza baada ya vita vya Napoleon Bonaparte yaliimarisha hali hiyo. Wafaransa walichukua eneo lote kubwa la Senegal, na Waingereza ile kanda ndogo ndani ya Senegal.
20231101.sw_2823_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Tangu uhuru wa nchi zote mbili palikuwa na mpango wa kuziunganisha kwa njia ya shirikisho lililoanzishwa mwaka 1982 lakini Gambia ilitoka katika mapatano hayo mwaka 1989.
20231101.sw_2823_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Hadi mwaka 1994 Gambia ilifuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi lakini mwaka ule uasi wa wanajeshi ulipindua serikali na kuwa chanzo cha utawala wa Yahya Jammeh aliyekuwa kiongozi, kwanza kama mwenyekiti wa kamati ya kijeshi, baadaye kama rais aliyechaguliwa mwaka 1996 na kuchaguliwa tena miaka 2001, 2006 na 2011. Isipokuwa mwaka 2001 wapinzani na watazamaji wa nje walilalamika ya kwamba kura hazikuwa huru.
20231101.sw_2823_6
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Katika uchaguzi wa rais wa mwaka 2016 vyama vya upinzani viliungana, na mgombea wao Adama Barrow alishinda, ilhali Jammeh awali alikubali kushindwa, lakini baada ya siku nane alitangaza ya kwamba alitaka kubatilisha matokeo na kuwa na uchaguzi mpya.
20231101.sw_2823_7
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Tarehe 19 Januari 2017, rais mteule aliapishwa katika ubalozi wa Gambia huko Dakar, halafu wanajeshi wa Senegal, Nigeria na Ghana walivamia nchi ili kumuondoa madarakani kwa idhini ya Umoja wa Mataifa.
20231101.sw_2823_8
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Tarehe 21 Januari Jammeh alikubali kuachia. Mwandamizi wake amerudisha nchi katika Jumuiya ya Madola.
20231101.sw_2823_9
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Upande wa dini, Uislamu unafuatwa na 90% za wakazi, Ukristo (hasa Kanisa Katoliki) na 8%, wakati wafuasi wa dini asilia za Kiafrika ni 2%.
20231101.sw_2823_10
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Uchumi unategemea kilimo, uvuvi na hasa utalii. Mwaka 2008, thuluthi moja ya wananchi hawakuwa na kipato cha $ 1.25 kwa siku.
20231101.sw_2823_11
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Hughes, Arnold and Perfect, David, A Political History of The Gambia, 1816–1994, (University of Rochester Press, 2008)
20231101.sw_2823_12
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Sternfeldt, Ann-Britt, The Good Tourist in The Gambia: Travelguide for conscious tourists Translated from Swedish by Rolli Fölsch (Sexdrega,2000)
20231101.sw_2823_13
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Wright, Donald R, The World and a Very Small Place in Africa: A History of Glogalization in Niumi, The Gambia (New York: M.E. Sharpe, 2004)
20231101.sw_2823_14
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gambia
Gambia
Birdwatching in the Gambia – Website about Birdwatching in the Gambia including photo galleries of Gambian birds
20231101.sw_2825_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Esta%20%C3%A9%20a%20Nossa%20P%C3%A1tria%20Bem%20Amada
Esta é a Nossa Pátria Bem Amada
"Esta é a Nossa Pátria Bem Amada" ("Hii ni nchi yetu tunayoipenda") ni wimbo wa kitaifa wa Guinea Bisau. Ilitungwa na Amílcar Cabral ikawa wimbo rasmi wakati wa uhuru mwaka 1974.
20231101.sw_2826_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Iko mwambaoni kwa Bahari Atlantiki ikipakana na Senegal upande wa kaskazini na Guinea upande wa kusini.
20231101.sw_2826_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Guinea-Bisau ni kati ya nchi ndogo sana za Afrika ikiwa na eneo la kilomita mraba 36,125; takriban 22% ni visiwa na bahari. Sehemu ya bara ni tambarare. Funguvisiwa la Bissagos lenye visiwa 77 liko karibu na pwani.
20231101.sw_2826_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Miji mikubwa zaidi ya Guinea Bisau ni: Bisau (wakazi 492,004), Gabú (wakazi 48,670), Bafatá (wakazi 37,875), Bissorã (wakazi 29,468), Bolama (wakazi 16,216) na Cacheu (14,320).
20231101.sw_2826_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Baada ya uhuru (1973/1974) jina la mji mkuu wake lilishika nafasi ya nchi tawala kuwa Guinea-Bisau kwa kusudi la kuitofautisha na nchi jirani ya Guinea na ile ya Guinea ya Ikweta.
20231101.sw_2826_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Waafrika ni 99%: makabila makubwa ni Wabalanta 30%, Wafulbe 30%, Wamanjaca 14%, Wamandinka 13%, Wapapel 7%). Wazungu na machotara ni chini ya 1%.
20231101.sw_2826_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Pamoja na lugha asilia, 32.1% za wakazi wanasema Kireno ambacho ndicho lugha rasmi na 90.4% wanatumia Krioli maalumu ya Kireno ambayo ni kama lugha ya taifa inayounganisha makabila. Lugha nyingine za kigeni zinazotumika ni Kifaransa (7%), Kiingereza (2.9%) na Kihispania (0.5%)
20231101.sw_2826_6
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Takriban 46.1% ni Waislamu (hasa Wasuni), 30.6% wafuasi wa dini asilia za Kiafrika, 18.9 % Wakristo (hasa Wakatoliki).
20231101.sw_2826_7
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Abdel Malek, K.,"Le processus d'accès à l'indépendance de la Guinée-Bissau.",In : Bulletin de l'Association des Anciens Elèves de l'Institut National de Langues et de Cultures Orientales, N°1, Avril 1998. – pp. 53–60
20231101.sw_2826_8
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Forrest, Joshua B., Lineages of State Fragility. Rural Civil Society in Guinea-Bissau (Ohio University Press/James Currey Ltd., 2003)
20231101.sw_2826_9
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Lobban, Jr., Richard Andrew and Mendy, Peter Karibe, Historical Dictionary of the Republic of Guinea-Bissau, third edition (Scarecrow Press, 1997)
20231101.sw_2826_10
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Vigh, Henrik, Navigating Terrains of War: Youth And Soldiering in Guinea-Bissau, (Berghahn Books, 2006)
20231101.sw_2826_11
https://sw.wikipedia.org/wiki/Guinea%20Bisau
Guinea Bisau
Guinea-Bissau: Prime Minister’s fate unknown after apparent military coup – West Africa – Portuguese American Journal
20231101.sw_2827_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bisau
Bisau
Bisau ni mji mkuu wa nchi ya Guinea Bisau ikiwa na wakazi 190,000. Bisau ni mji mkubwa wa nchi na kitovu wa utawala, biashara na viwanda.
20231101.sw_2828_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Geba
Geba
Geba ni mto katika Afrika ya Magharibi inayoanzia Guinea ikipitia Senegal na kufufikia Bahari ya Atlantiki katika Guinea Bisau. Ina urefu wa km 540.
20231101.sw_2828_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Geba
Geba
Kabla ya kufika Atlantiki mto unaanza kuwa mpana hadi kufikia upana wa km 16 mdomoni kwenye mji wa Bisau.
20231101.sw_2829_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Jamhuri ya Kidemokrasia ya São Tomé na Príncipe (kifupi: Sao Tome na Principe) ni nchi ndogo inayoundwa na visiwa vichache vilivyoko katika Bahari ya Atlantiki mbele ya pwani ya Afrika ya Magharibi katika Ghuba ya Guinea. Ilikuwa koloni la Ureno hadi mwaka 1975.
20231101.sw_2829_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Sao Tome na Principe vina umbali wa km 140 kati yake, vikiwa takriban km 250 na 225 kutoka pwani ya Gabon.
20231101.sw_2829_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Visiwa vyote ni vilele vya milima ambayo ni sehemu ya safu za volkeno zilizokua kuanzia sakafu ya bahari hadi kufikia usoni pake. Volkeno hizi ni zimwe, si hai tena.
20231101.sw_2829_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
São Tomé ndicho kisiwa kikubwa, chenye takriban asilimia 90 ya watu wote wa nchi. Kisiwa hicho kina urefu wa km 48 na upana wa km 32. Kimo cha milima yake hufikia mita 2,024 juu ya UB. Sao Tome iko kaskazini kidogo kwa mstari wa ikweta.
20231101.sw_2829_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Jina la Sao Tome linamaanisha "Mtakatifu Thomas" kwa sababu Wareno walifika huko mara ya kwanza siku ya Mt. Thomas katika kalenda ya Kanisa Katoliki.
20231101.sw_2829_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Kisiwa cha pili, jina lake ni Príncipe, yaani "Mfalme mdogo" au "Mwana wa mfalme"; kina urefu wa km 16 na upana wa km 6. Milima yake hufikia mita 927 juu ya UB.
20231101.sw_2829_6
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Nchi ilifuata siasa ya chama kimoja tangu uhuru hadi mwaka 1990. Katiba ya 1990 imeruhusu vyama vingi.
20231101.sw_2829_7
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Nchi ina mikoa miwili (inayolingana na visiwa viwili) na wilaya saba. Wilaya sita ziko kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome na ya saba iko Principe.
20231101.sw_2829_8
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Pamoja na lugha rasmi ya Kireno, inayojulikana na 98.4% ya wakazi wote, wengi hutumika lugha za Krioli zinazochanganya Kireno na lugha za Kibantu kama vile Saotomense (wasemaji 70.000), Principense (wasemaji 1.500) na Angolar (wasemaji 5.000).
20231101.sw_2829_9
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Katika miaka ya nyuma akiba za mafuta ziligunduliwa baharini katika maeneo kati ya Sao Tome na Nigeria.
20231101.sw_2829_10
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Mwaka 2001 nchi hizo mbili zilipatana kuendelea pamoja na utafiti wa akiba hizo. Kutokana na kazi hizi kuna matumaini ya mapato makubwa wakati ujao.
20231101.sw_2829_11
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Presidência da República Democrática de São Tomé e Príncipe - Jamhuri ya kidemokrasia ya São Tomé na Príncipe (makala rasmi, Ureno)
20231101.sw_2829_12
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome%20na%20Principe
Sao Tome na Principe
Assembleia Nacional de São Tomé e Príncipe -Baraza la Taifa ya São Tomé na Príncipe (makala rasmi, kireno)
20231101.sw_2831_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome
Sao Tome
Mji ulianzishwa na Ureno mwaka 1485 kwenye pwani ya kaskazini-mashariki ya kisiwa chenye jina lilelile katika ghuba ya Guinea.
20231101.sw_2831_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sao%20Tome
Sao Tome
Sao Tome ina shule za msingi hadi sekondari, makanisa, hospitali ya pekee nchini, vituo vya TV na redio.
20231101.sw_2832_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Biladi%2C%20Biladi%2C%20Biladi
Biladi, Biladi, Biladi
Biladi, Biladi, Biladi (بلادي بلادي بلادي, yaani "Nchi yangu") ni wimbo wa taifa wa Misri tangu mwaka 1979.
20231101.sw_2835_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Praia
Praia
Praia ikiwa na wakazi 159,000 hivi (2017) ni mji mkubwa kabisa pamoja na kuwa kitovu cha uchumi cha nchi.
20231101.sw_2836_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Oh%20Uganda%2C%20Land%20of%20Beauty
Oh Uganda, Land of Beauty
"Oh Uganda, Land of Beauty" ni wimbo wa taifa wa Uganda tangu mwaka 1962. Sauti na maneno vimetungwa na George Wilberforce Kakoma.
20231101.sw_2837_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Accra
Accra
Accra ni mji mkuu wa Ghana ukiwa na wakazi 1 650 000. Accra ni kitovu cha uchumi, biashara na mawasiliano ya nchi. Iko ndani ya mkoa wa Accra Kuu.
20231101.sw_2837_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Accra
Accra
Accra ilianzishwa na Waga katika karne ya 15 BK kama kituo cha biashara na Wareno. Wareno walijenga boma kwa ajili ya biashara hiyo na Waswidi, Waholanzi, Wafaransa, Waingereza na Wadenmark walifuata.
20231101.sw_2837_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Accra
Accra
Eneo la Accra ya leo liliendelea kuwa mji kati ya boma tatu za Uingereza (Jamestown), Denmark (Osu) na Uholanzi (Ussherstown). Maeneo hayo matatu leo ni kitovu cha mji wa kisasa.
20231101.sw_2837_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Accra
Accra
Baada ya Waingereza kushinda Waashanti, Accra ikawa mji mkuu wa koloni la Pwani la dhahabu. Mji uliendelea kukua baada ya kujengwa kwa reli na bandari.
20231101.sw_2837_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Accra
Accra
Katika miaka ya 1940 Accra ilikuwa pia mwanzo wa upinzani dhidi ya Waingereza ulioleta uhuru wa Ghana mwaka 1956.
20231101.sw_2837_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Accra
Accra
Leo hii Accra imepata mji pacha wa karibu wa Tema baada ya kuhamishwa kwa viwanda na bandari kwenda Tema inayounganishwa na Accra yenyewe kwa reli na barabara kuu.
20231101.sw_2839_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Tema
Tema
Tema ni mji wa bandari na viwanda nchini Ghana karibu na mji mkuu wa Accra kwenye mwambao wa Bahari ya Atlantiki.
20231101.sw_2839_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Tema
Tema
Hadi mwaka 1961 Tema ilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi. Tangu mwaka huo bandari kubwa ya Ghana ilijengwa Tema pamoja na viwanda vingi. Imekuwa kitovu cha viwanda nchini. Kuna mawasiliano kwa reli na barabara kuu kati ya Tema na Accra.
20231101.sw_2841_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Cabo Verde (kwa Kiing. Cape Verde) ni nchi ya visiwa katika bahari ya Atlantiki mbele ya pwani ya Afrika ya Magharibi.
20231101.sw_2841_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Visiwa "juu ya upepo" (Barlavento): Santo Antão, São Vicente, São Nicolau, Sal, Boa Vista na visiwa bila watu vya Santa Luzia, Branco na Razo.
20231101.sw_2841_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Visiwa "chini ya upepo" (Sotavento): Maio, Santiago, Fogo, Brava na visiwa bila watu vya Ilheus Secos ou do Rombo.
20231101.sw_2841_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Miji mikubwa zaidi ni (takwimu za mwaka 2010): Praia (wakazi 127,832), Mindelo (wakazi 70,468), Santa Maria (wakazi 23,839), Assomada (wakazi 12,026), Pedra Badejo (wakazi 9,345) na São Filipe (wakazi 8,125).
20231101.sw_2841_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Wahamiaji kutoka Ulaya walikuwa pia Wahispania, Waitalia pamoja na Wayahudi na Waislamu waliokataliwa kukaa kwao Ureno.
20231101.sw_2841_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Kutokana na historia hiyo, leo idadi kubwa ya wakazi ni machotara waliozaliwa na Waafrika (waliochangia 56% ya DNA) na Wazungu (waliochangia 44%).
20231101.sw_2841_6
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Lugha rasmi ni Kireno, lakini wakazi wanazungumza zaidi aina mbalimbali za Krioli iliyotokana na lugha hiyo.
20231101.sw_2841_7
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Upande wa dini, walau 89.1% ya wakazi ni Wakristo, hasa wa Kanisa Katoliki (78.7%), lakini pia wa madhehebu mbalimbali ya Uprotestanti (10.4%).
20231101.sw_2841_8
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cabo%20Verde
Cabo Verde
Kutokana na hali ngumu ya uchumi, wananchi wanaoishi nje ya Cabo Verde ni mara mbili kuliko wale wanaoishi nchini. Kati ya waliohama baada ya uhuru (1975), 500,000 wanaishi Marekani na 150,000 Ureno. Hata hivyo kuna wahamiaji vilevile, hasa kutoka nchi za Afrika bara.
20231101.sw_2843_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Lamu%20%28kisiwa%29
Lamu (kisiwa)
Kisiwa cha Lamu ni sehemu ya funguvisiwa la Lamu pamoja na visiwa vya Pate na Manda karibu na mwambao wa Kenya katika Bahari Hindi.
20231101.sw_2843_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Lamu%20%28kisiwa%29
Lamu (kisiwa)
Kisiwani Lamu kuna mji wa Lamu na vijiji vya Shela, Kipangani na Matondoni. Shela imekuwa mahali pa utalii ambako watu wa nje wamejenga nyumba zao. Matondoni bado ni kijiji cha Waswahili watupu wanaojenga jahazi kama zamani.
20231101.sw_2843_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Lamu%20%28kisiwa%29
Lamu (kisiwa)
Lamu inafikiwa kwa njia ya barabara ya pwani kutoka Malindi halafu kwa feri ya Mukowe. Kuna mabasi kadhaa kila siku tangu kuboreshwa kwa barabara kulipopunguza matatizo ya ujambazi njiani. Watalii wengi wanafika kwa njia ya ndege. Uwanja wa ndege wa kitaifa upo Manda kisiwani na abiria huvuka kwa maboti.
20231101.sw_2844_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Pate ni kisiwa kikubwa cha funguvisiwa la Lamu mbele ya pwani ya Kenya katika Bahari Hindi. Pate ni kisiwa ambacho ni karibu na Somalia.
20231101.sw_2844_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Wakati ya maji kujaa Pate inagawanywa katika sehemu mbili kwa mtaro wa bahari karibu na Siyu; wakati wa maji kupwa mtaro huwa pakavu.
20231101.sw_2844_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Pate ilikuwa kati ya mahali pa kwanza kutembelewa na wafanyabiashara Waarabu, labda kuanzia karne ya 7 BK. Inawezekana ilikuwa tayari kati ya mahali palipotajwa katika taarifa za kale kuhusu Azania kama vile Periplus ya Bahari ya Eritrea.
20231101.sw_2844_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Kisiwa cha Pate kilikuwa mahali pa miji muhimu ya Waswahili Pate, Siyu na Faza iliyoshindana na mji wa Lamu juu ya kipaumbele katika funguvisiwa.
20231101.sw_2844_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Katika karne ya 19 umuhimu wa miji hiyo ilirudi nyuma na kisiwa kilikuwa sehemu ya dola la Usultani wa Zanzibar.
20231101.sw_2844_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Siku hizi Faza ni kijiji kikubwa cha Pate chenye hospitali ndogo, polisi, nyumba ya wageni, shule ya sekondari na maduka.
20231101.sw_2844_6
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Martin, Chryssee MacCasler Perry and Esmond Bradley Martin: Quest for the Past. An historical guide to the Lamu Archipelago. 1973.
20231101.sw_2844_7
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Mark Horton; with contributions by Helen W. Brown and Nina Mudida: Shanga: the archaeology of a Muslim trading community on the coast of East Africa. Memoirs of the British Institute in Eastern Africa; No. 14 London: British Institute in Eastern Africa, 1996.
20231101.sw_2844_8
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Allen, J. de V. (1979) Siyu in the eighteenth and nineteenth centuries. Transafrican journal of History 8 (2), pp. 1–35,
20231101.sw_2844_9
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Allen, James de Vere: Lamu, with an appendix on Archaeological finds from the region of Lamu by H. Neville Chittick. Nairobi: Kenya National Museums.
20231101.sw_2844_10
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Barros, João de (1778): Da Asia de João de Barros e de Diogo de Couto v.2 pt.1 Chapter 2: p. 15 ff (referenced in Freeman-Grenville 1962, 83–84 181)
20231101.sw_2844_11
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Brown, H. (1985) History of Siyu: the development and decline of a Swahili town on the northern Swahili coast. Unpublished PhD thesis, Indiana University.
20231101.sw_2844_12
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Freeman-Grenville (1962) The East-African coast: select documents from the first to the earlier nineteenth century. London: Oxford University Press.
20231101.sw_2844_13
https://sw.wikipedia.org/wiki/Pate
Pate
Tolmacheva, Marina; Weiler, Dagmar (translator): The Pate Chronicle: Edited and Translated from Mss 177, 321, 344, and 358 of the Library of the University of Dar Es Salaam (African Historical Sources)
20231101.sw_2848_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Moroni%20%28Komori%29
Moroni (Komori)
Mji uko upande wa magharibi wa kisiwa cha Ngazija (Grande Comore). Kuna bandari kwa usafiri kwa meli kwenda visiwa vingine vya Bahari Hindi pia bara la Afrika ya Mashariki pamoja na uwanja wa kimataifa wa ndege.
20231101.sw_2848_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Moroni%20%28Komori%29
Moroni (Komori)
Moroni ilikuwa mji mkuu wa Usultani wa Bambao uliokuwa dola lenye kipaumbele kisiwani hadi kuja kwa ukoloni wa Ufaransa.
20231101.sw_2849_0
https://sw.wikipedia.org/wiki/Leonard%20Mbotela
Leonard Mbotela
Leonard "Mambo“ Mbotela ni mtangazaji mashuhuri wa redio nchini Kenya. Amejulikana kwa huduma yake ya zaidi ya miaka 40 tangu mwaka 1964. Alikuwa mtangazaji wa habari na michezo, haswa soka. Tangu mwaka 1966 amekuwa hewani na kipindi chake "Je, Huu ni Ungwana?".
20231101.sw_2849_1
https://sw.wikipedia.org/wiki/Leonard%20Mbotela
Leonard Mbotela
Leonard Mbotela alizaliwa Freretown, Mombasa katika familia ya Kianglikana ya watoto nane. Babake James Mbotela alikuwa kati ya walimu wa kwanza Waafrika Kenya. Mamake Ida alifanya kazi ya ustawi wa jamii.
20231101.sw_2849_2
https://sw.wikipedia.org/wiki/Leonard%20Mbotela
Leonard Mbotela
Leonard alisoma shule ya msingi ya Freretown kati ya 1948 na 1953 halafu akaenda Buxton shule ya kati Mombasa kuanzia 1954 hadi 1958. Alihudhuria shule ya sekondari ya Kitui High School kuanzia 1959 hadi 1963.
20231101.sw_2849_3
https://sw.wikipedia.org/wiki/Leonard%20Mbotela
Leonard Mbotela
Alipata nafasi ya kuingia katika ukurufunzi wa Sauti ya Kenya akishirikiana na Simon Ndesanjo katika kipindi ‘Hodi hodi mitaani’. 1964 aliajiriwa kama mtangazaji wa huduma ya Kiswahili. Mbotela alianzisha kipindi chake cha ‘Salamu za vijana’ na pia akasoma taarifa za habari za huduma ya Kiswahili.
20231101.sw_2849_4
https://sw.wikipedia.org/wiki/Leonard%20Mbotela
Leonard Mbotela
Mwaka 1966 alianzisha ‘Je, huu ni ungwana?’ ambacho ni kipindi cha pekee kinachoendelea hadi leo (2006). Alijulikana zaidi nchini kama mtangazaji wa soka kuanzia mwaka 1967. Kati ya vipindi vyake vilivyopendwa ni Uhalifu Haulipi, Ongea Lugha Sanifu na Waliosifika.
20231101.sw_2849_5
https://sw.wikipedia.org/wiki/Leonard%20Mbotela
Leonard Mbotela
Wakati wa uasi wa 1982 (jaribio la kijeshi kuipindua serikali ya rais Moi) Mbotela alilazimishwa kusoma habari za waasi kwa sababu sauti yake ilijulikana kote nchini.